MAKAMU WA RAIS MPANGO AKASIRIKA, 'SHUKA CHINI, ACHA KUNIPIGA MBWEMBWE HAPA, UNAJIONA UNATOSHA?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 368

  • @fredmakubo
    @fredmakubo Год назад +3

    Hongera sana Mheshimiwa makamo wa Rais Dr Philipo Mpango unafanya kazi nzuri

  • @reubenlucumay1929
    @reubenlucumay1929 7 месяцев назад +5

    Makamu wa Rais Hongera Sana kwa kutumia mfumo wa Hayati Magufuli mkitumia njia hiyo sina haja ya kuharibu kura yangu kupeleka kwingine nitabaki kuwa CCM ndio damu yangu hadi mauti unifike sina mengi ila Mungu atulinde Sisi zote tuone mabadiliko AMEN

  • @amonbwanakunu910
    @amonbwanakunu910 Год назад +2

    Hongera Sana Mheshimiwa Makamu wa Rais , Dr Philipo Mpango Kwa Kazi nzuri

  • @davidchirimi2013
    @davidchirimi2013 4 месяца назад

    Binafsi Mh. Mpango namuelewa sana ni mpenda haki sema hawa wengine dharau nyingi janja janja nyingi haya sasa

  • @henrychacha5592
    @henrychacha5592 Год назад +30

    Hii style ya Maghufuli naipenda sana!

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt Год назад +5

    Asante Baba Mungu akujalie katika kazi yako

  • @ellydaniely-qw8bf
    @ellydaniely-qw8bf 5 месяцев назад +1

    Narudi cm jamani

  • @bakarimohamedi5814
    @bakarimohamedi5814 Год назад +1

    Hii safi sana ila isiishie hapo hao watendaji ni wa kufukuzwa tu na kufunguliwa mashtaka maana wanawaza upigaji tu na sio kuwahudumia wananchi

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 5 месяцев назад +1

    Makamu wa raisi ,wazili mkuu mama samia kaupiga mwingi🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @appolonation
    @appolonation Год назад +14

    Hii style ya Kagame na Magufuli kbs!! 👏👏👏👏👏. Congratulations to Vice President!!

  • @GaudencioKivamba-xq3qc
    @GaudencioKivamba-xq3qc 4 месяца назад

    Mheshima makamu wa raisi hapo umetenda jambo jemaa viongozi wengi wamekuwa miungu watu wanataka kuabudiwa

  • @engribertinnocent7536
    @engribertinnocent7536 Год назад +5

    Daaha isee makamu wangu nimpole saana, namuonaga kama padreau askofu kabisa🙏🙏🙏

  • @user-os8yq4ps8k
    @user-os8yq4ps8k 4 месяца назад

    Hiyo style ya magufuli, ndo style ya kuongonza nchi bila ivo serikali, itaibiwa sana

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 Год назад +5

    Viongozi wanajisahau sana wakipata nafasi za kuwasimamia wananch wanasahau kbs shida zetu

  • @nekaagripa3993
    @nekaagripa3993 Год назад +5

    Kwa mara ya kwanza namuona serious 😂😂

  • @saidybhokey5744
    @saidybhokey5744 Год назад +5

    muache siasa bhana ccm mkipewa hata mpaka mwisho wa dunia maji hamuwezi

  • @methewbuzuruga-eg8oz
    @methewbuzuruga-eg8oz Год назад +14

    Hiyo style ya kutumbua watumishi hazarani ndiyo style pekee ya kurudisha nizamu kazini na hiyo ndiyo style ya magufuli kuaminka Kwa wananchi asilimia mia tunahitaji rais mwenye maamuzi magumu

  • @MzeeMkoloni
    @MzeeMkoloni 4 месяца назад

    Njooni chalinze Dawasa pia huku nako ni shida vijana wanadharaù sana watumishi wa dawasa baadhi yao ni shida

  • @NeemaJaskon
    @NeemaJaskon 7 месяцев назад

    Kazi nzr Sana ukija dodoma niletee friji me nimjasiliamali mdogo, nauza Juis natengeneza mwenyewe Ila Nina upungufu wa friji,,nisaidie kwa Hilo TU hakika nitapiga kazii na kujikwamua na umasikini balikiwa sana baba Mungu akuongeze katika utendajii wako

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 Год назад +7

    Mngekua na mipango hiyo ya kujitokeza kwa raia
    Kujua matatizo yao yasinge fika hapo leo
    Lkn yote hayo ameondoka nayo magufuli
    Naomba mawaziri wote waende wakasikilize
    Raia kero zao sio kukaa ofisini turudi na system ya magufuli

  • @rashidwalwanda1991
    @rashidwalwanda1991 Год назад +4

    Kweli Watanzania mmetushinda kwa hili wakenya

  • @mrbolt8194
    @mrbolt8194 Год назад +3

    Tena tasafu wanazulum pesa zakaya maskini mitalo wamekula pasa zawatu diwani wakumnyika nimuhusika mkuu wautapeli

  • @zephaniamwangu9857
    @zephaniamwangu9857 Год назад +5

    Safi sana mheshimiwa kazi nzuri sana ni papo kwa papo JPM bado yupo kazini!!

  • @salimalharrasi3943
    @salimalharrasi3943 Год назад +3

    MNAANZA USANII WA WAKUDANGANYA WATU..

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka Год назад +4

    Ndiyoo mkifanya ivo wakuwa na dispilini kazini kila mahali kama alivokuwepo rais magufuli

  • @SensaManzagata-tv7ds
    @SensaManzagata-tv7ds 9 месяцев назад

    Baba Philip mpango tunakuombea Kwa Mungu akujaze katika kazi yako ya kumsaidia mama

  • @ThuliMkhize-zu1mx
    @ThuliMkhize-zu1mx Год назад +2

    Makamo waRais mungu akubark endelea nakuchapakazi kwamfumo huo wa hayat magufuli

  • @mrbolt8194
    @mrbolt8194 Год назад +4

    hata nida kunashida watu wanatukwanwa vitambulisha kupata nishida

  • @OmaryFwadi
    @OmaryFwadi 5 месяцев назад

    Kweli ukienda hivi mtafikaa isiwe kasulu tu

  • @nzingonism4345
    @nzingonism4345 Год назад +3

    Alakoze mtama wachu makamu wa rais

  • @kidphenomenal4131
    @kidphenomenal4131 7 месяцев назад

    Hawajaona maji wanayotumia wananchi wa mpwapwa maji yanatoka tope kwenye bomba na yanasukumwa na idara ya maji

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 Год назад +3

    Hili tatizo la kuhamisha
    Baadhi ya watendaji wanapo haribu
    Ndio kufeli kwa serikali nikama
    Tanzania hamna watu wenye elimu na uwezo
    Kila siku kuhamisha hamisha mawaziri na watendaji
    Hii ibada imalizike inatosha

  • @mohammedmakoa2609
    @mohammedmakoa2609 6 месяцев назад

    Huyu mama Alitutesa sana 2015 kipindi kili yuko Elimuni Alihisi vilio vyetuu havitofika Mbaalii kwiiiiishaaaa habar Yake

  • @JosephatBahakaso-yn9hg
    @JosephatBahakaso-yn9hg 6 месяцев назад +1

    Angalau Leo nimesikia sauti yako

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Год назад +1

    I wish mnipe nafasi na mimi jmn nitende haswaaa. Ila mnipe meno khaaswaaa. Ukweli mtapenda

  • @fredyshirima8594
    @fredyshirima8594 Год назад +4

    Kweli yajayo yanafurahisha yani watu hawana maji halafu wanaambiwa kasulu oyee na wao wanaitikia oyee......😪

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Год назад

      unajua hawa ccm wanajua watanzania wengi bado wamo kwenye uzingizi mzito , kwa hiyo raisi hata akiwa ngedere wanamshangiria tuuu

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 Год назад

      Akili kichwani 2025

    • @PhilemonPaulo
      @PhilemonPaulo 11 месяцев назад

      😂😂😂 weee jamaa umenichekesha

  • @DanielSabuni-iw3ns
    @DanielSabuni-iw3ns 5 месяцев назад

    Hata tanesco Kuna shida makam wa rais,cio tassaf tu

  • @murandabrian
    @murandabrian 6 месяцев назад +1

    next magufuli

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Год назад +2

    MTOENI KAZINI UYO NI MJINGA
    ANAKULA PESA ZA BURE KABISA MJINGA UYU

  • @endlessloveofchristlovewor9991

    Miguguno mingi mara TASAF, TAGES, TASS, TAKUKURU, TARURA mnachanganya tu wananchi. Wapeni maendeleo muache kuongea ongea

  • @malandojames5151
    @malandojames5151 Год назад +5

    Hali ya maji ni shida sana. Mh makamu wa rais huwezi amini mkoa wa mwanza hasa katika kata ya buhongwa hakuna maji kabisa. Wakati ziwa victaria ukirusha jiwe linaangukia ziwani. Mh!!! Nimateso makubwa sana.

    • @aishajaphary
      @aishajaphary Год назад +1

      Tena mi hua nawaza kwanini siku moja tusije andamana sio buhongwa tu nenda nyasaka mahina hakuna maji

    • @alipandu3446
      @alipandu3446 Год назад

      Poleni lkn hilo tatizo la kukosekana kwa maji limeanza kipindi hichi cha mama au tokea Rais alopita

    • @aishajaphary
      @aishajaphary Год назад

      @@alipandu3446 Lina muda sana toka enzi za kikwete alafu tatizo uongozi wa mkoa mfano kipindi wenje alikua mbunge nyamagana alikua anapigia kelele sana hilo swala la maji Sasa kwa huyu mabula ndo hakuna lolote

    • @abdurahamansaid7259
      @abdurahamansaid7259 11 месяцев назад

      Tena nihatari sana kwa mwanza yetu ipo siku tutatoboa mpira mkubwa wa kwenda shinyanga

    • @abdurahamansaid7259
      @abdurahamansaid7259 11 месяцев назад

      Haiwezekani tabora wapate maji kutoka mwanza alafu sisi tunakosa maji

  • @mhangwacastory8765
    @mhangwacastory8765 Год назад +5

    Mimi binafsi ndo natamani iwe hivyo kila siku

  • @abuuabdillahtv8457
    @abuuabdillahtv8457 Год назад +1

    Makamu wa rais umefanya vizur sana fanya kaz uo ndio mwenendo wa maghufur

  • @abdulfatahhussein4087
    @abdulfatahhussein4087 Год назад +2

    Tunashkuru Dr Mpango👏🏽

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 5 месяцев назад

    Dkt samia suluhu hasani kaleta suluhu kwa kumwezesha dkt philipo mpango ,maana anamipango dhabiti juu ya maendeleo ya wananchi ,tunaitaji suluhu na mipango ya kama hii🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @ZachariaKibuga
    @ZachariaKibuga 7 месяцев назад

    Makamu wa Rais kasuru kunashida ya kamchape wanazaririsha Watu na kuwaibia Kwa kigezo Cha uchawi kijiji chabuoro shunga

  • @daffagunda-rm3hj
    @daffagunda-rm3hj Год назад +3

    NI KWELI AWESO NI MCHAPA KAZI HANA TAMAA,NAMUOMBA RAISI AENDELEE KUPATA VIONGOZI WENGI KUTOKA MKOA WA TANGA.AMEN

    • @stellah3844
      @stellah3844 Год назад

      Kweli hata Ummy nimchapa kazi nampenda sana na Aweso japo mm stokei Tanga

    • @kolisonkolison3681
      @kolisonkolison3681 Год назад +1

      ACHANA NA HUO UKABILA UTAKUDHOOFISHA SANA....

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Год назад +1

    Ahsanteni sana Kwa jitihada za pambano la maji

  • @sadikykiyago3030
    @sadikykiyago3030 Год назад

    Haya matatizo yapo kwenye Jimbo ra buhigwe munanira siku moja tuangizie waziri wa maji aweso akatatuwe kero zetu Asante

  • @EmanuelJoseph-cx3hz
    @EmanuelJoseph-cx3hz 7 месяцев назад

    Me ninaalama ya kuuliza why mbn mnafanya hivi uchaguzi ukikaribia? Kwa maana hiyo uchaguzi ukipita mtabaki kujificha msitoke kusikiliza kero za wananchi

  • @YohanaNkanda
    @YohanaNkanda 5 месяцев назад

    Makam chapa kazi hapo kasulu

  • @EliasGilbert-he3fc
    @EliasGilbert-he3fc 6 месяцев назад

    Msifananishe vitu vya ajabu na magufuri bhana kile kilikuwa chuma cha reli

  • @enedictmchau1053
    @enedictmchau1053 Год назад

    Ombi Mh Makamu wa Rais uwajibikaji umeondoka kabisa ila Tanesco wanafanya vizuri.

  • @rashidichamkulu4104
    @rashidichamkulu4104 10 месяцев назад

    tatizo wanaopewa majukumu wakisha pata to hayo mamlaka wanajisahau sana ata wakilibu wanaamini watahamishiwa kwingine hili selikali liangalie hao ndio wanamfelisha mama

  • @omarykajuna2552
    @omarykajuna2552 Год назад

    Hii sijaelewa vizuri wenye uelewa wanifahamishe , makamu wa raisi anatoa maagizo? Na anamua ? Kama kauli ya raisi ni helia akiagiza , akielekeza ndio hivyo hivyo je makamu wa raisi kauli yake nini?

  • @shabanikwabi9351
    @shabanikwabi9351 Год назад

    Mhe uko vzr sana viongozi wote wagefanya kama ww tugefika mbali sana Tanzania nakuombea afya njema

  • @bahatitumaini347
    @bahatitumaini347 Год назад +1

    Tunduma songwe maji changamoto mbona hawapiti viongozi Kama hawa

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Год назад

    Yaani kwnn kufanya yaani kisimamia miradi ya nchi owe tabu. Jamani nipeni hata kwa kujaribu

  • @justicegoodluck5118
    @justicegoodluck5118 6 месяцев назад

    kipindi cha kura kimefika ndo unaanza kutoa speech kwa kusikiliza kero za watanzania ulikuwaga wapi (endapo mtakapopata ni mwendo wa kmy kmy wananchi wanaumia2 acheni hzo endlea2 kukaa behind mwachie2 makonda ndo mwenye fani yake tangu akiwa mkuu wa mkoa na kura hampat

  • @ngwanyijekatanga1682
    @ngwanyijekatanga1682 11 месяцев назад

    Njoo wilaya ya uvinza utamkuta mtu mmoja anaitwa antoni ni tatizo

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi8792 Год назад

    MNA VYANZO VYA MAJI???? MH: NDALICHAKOO??? MTO BOGWE UKO JIMBON KWAKO IKA HUO MTO UMEJAAA MIKARATUS LEO UNAKUJA UNASEMA HUNA MAJI ACHA USWAHILI WA KUTAFUTA KURA KWA KUDANGANYA WATU KWA NINI UCHIMBE KISIMA WAKATI UNA MTO MKUBWA BOGWE?? WEWE UMEACHA MIKARATUSI IMEPANDWA HUMO HUNA HABAR

  • @DanielSabuni-iw3ns
    @DanielSabuni-iw3ns 5 месяцев назад

    Mungu analipa apap dunian ndalichako chali

  • @husseijuma1025
    @husseijuma1025 Год назад

    mheshimiwa rais acha kasulu sisi wananchi wa michese dodoma tuna matatizo kama hayo sisi tuna visina lakin hatuna maji

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Год назад +12

    Bola uyu mpango ngekua rais tu kwasabbu na hofu ya mungu

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Год назад

      tatizo la Africa wenye uwezo kuongoza hawapati nafasi ya kuongoza wehu kama samia na vyeti vyao vya form IV eti ndio wanakuwa viongozi tunategemea nini ?

    • @MasudiSuleman-ui5wh
      @MasudiSuleman-ui5wh 5 месяцев назад

      Mwehu ni mama yako samia cio mweh mshenz. Ww

  • @mihayo12simon31
    @mihayo12simon31 Год назад +1

    Good leader

  • @nicodemusfidelis3772
    @nicodemusfidelis3772 Год назад

    Asante Baba

  • @murandabrian
    @murandabrian 6 месяцев назад

    nchi yangu kenya jameni jambo kama hili kufanyika ni kinaya sanaa

  • @thomasdavid3741
    @thomasdavid3741 7 месяцев назад

    Samia atawewe nimbaya sana kwanini usimshirikishi mahamu wa rais😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Год назад +2

    Kwani kuna anaetosha kwenye hiyo CCM wachumia matumbo tupu. Acheni kuonea watu.

    • @majaliwabwitonde6900
      @majaliwabwitonde6900 Год назад +1

      Punguza ujinga, kuonea wapi vipi, huo ndio ujinga wa watanzania wengi, watu wakifanya kazi mnalalamika, wakiacha kelele

  • @henryj3304
    @henryj3304 Год назад +4

    Huyu Baba anaongea kwa hisia sana hadi unaweza ukatoa machozi. Mungu akupe maisha marefu Mh. Vice President.

  • @ellydaniely-qw8bf
    @ellydaniely-qw8bf 5 месяцев назад

    Samiaaaaa oyeee!! Umeshinda uchaguzi Kwa akili nyingi sana

  • @LaurentMuya-mb9rf
    @LaurentMuya-mb9rf Год назад

    Doctor Mh magu ndo alikuwa kiboko yao waheshimiwa kazeni mwendo ili mmuenzi hayati magufuli ili nayeye apate matumain aliko kwann mpaka leo bado anaishi katika nafsi zetu

  • @RuandaDimoso
    @RuandaDimoso 6 месяцев назад

    Hamna kitu mnakuaga wapi inamaana makatibu hawapeleki lipoti? Mpaka muumbuane kujifanya nyinyi wasafi

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Год назад

    Huyu magufuli angekuwepo leo hii tungeshaanza kulipa mishahara wasio na kazi Tanzania. Alikuwa na uwezo wakufanya yaliyofanywa hayawezekani. kwake kila kitu kilikuwa kinawezekana.Hakuna mwingine kama yeye.

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 Год назад

    Mbn ninyi mmeendelea kukaa ofisini na huku mmesikia kelele na malalamiko kuhusu mkataba wa bandari?Mmepitisha mkataba mbovu usiyofaa ,lkn mnaonea dagaa hii siyo sawa

  • @sadikykiyago3030
    @sadikykiyago3030 Год назад

    Makamu wa raisi ndo naanza kukuerewa sisi wanaichi wamwisho kwamana yakutokua watumishi wa serikari tunaomba kuona na kusikia kauri kamahizo nikushukuri nanikuome uenderee tumerudi kunyanyaswa rakini pia kutopatahaki zetu za kimusingi na kuripwa maumivu Kira siku Mungu wa mbinguni akusimamie onya karipia ilibidi fukuza Asante

  • @anthonymgina3893
    @anthonymgina3893 7 месяцев назад

    Mh Waziri Aweso una majukumu makubwa na kweli wewe ni mchapa kazi naona unavyo angaika sana japo wizara yako ni ngumu mno.

  • @akasiraacalamon4034
    @akasiraacalamon4034 Год назад

    Dats ... Right appreciate DP mipango

  • @deodatuselias412
    @deodatuselias412 5 месяцев назад

    Safi ndiotunatakahivyo hakunakumchekea mzembepigachini chap

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 Год назад

    Ccm hatuwataki ..kwanza tunataka bandari yetu pili muindoke ..vip kuhusu pesa zetu zilizoibiwa mpaka leo???? Na wez bado wapo mkaguz mkuu mnamdharau

  • @ShabaniRamadhani-jb6wy
    @ShabaniRamadhani-jb6wy 4 месяца назад

    Naomba goma ya sigeri

  • @dennischarles3174
    @dennischarles3174 Год назад +3

    Well done vice president

  • @princebuganzilut2047
    @princebuganzilut2047 Год назад

    siasa nyingi mbona hata hapa Busweru Mwanza Aweso huyu huyu alitoa wiki 6 maana yake mwezi na wiki mbili. lakini mpaka leo mbona shida ni hiyo hiyo?? kamaninawezekana Mh. makamu tumia wataalamu kujibu hoja za wananchi na sio mwana siasa

  • @patrickmfundiri8669
    @patrickmfundiri8669 Год назад +6

    Kumbe mpango ni mkali nimekuelewa

  • @SolomoniSolomoni-o2w
    @SolomoniSolomoni-o2w 10 месяцев назад +1

    Makuma hawa wote

  • @Zafaabutterfly
    @Zafaabutterfly 6 месяцев назад

    Kampeni watu wanatumia akili kubwa cheza na mama nini

  • @aeshamrange6540
    @aeshamrange6540 Год назад +2

    Tulikuwa hatujawahi kuona hivi vitu tokea jembe la tz litutoke lakin sasa 2025 ileeeeeeee watu wameanza kuiga 😂😂😂😂😂vile wanaona kila ujinga wao tuna Comment R.i.p jpm 😢

    • @rehmakondo
      @rehmakondo Год назад

      Nahatuwapi kura watashinda kimabavu kama destur yao

  • @issakobakimanga7738
    @issakobakimanga7738 5 месяцев назад

    Sasa mbona amechelewa? Alikuwa kimyaa huongei kitu

  • @enockkimase6764
    @enockkimase6764 Год назад

    Naitwa ENOCK KIMASA HAWA WANAKA MUDA MWINGI OFISINI

  • @Waafrika_Tujitambue
    @Waafrika_Tujitambue 6 месяцев назад

    Hizi ni Sanaa tu

  • @KeyMurad
    @KeyMurad 7 месяцев назад

    Jamani muheshimiwa mipango usijiuzulu wewe ni mchapa kazi wa vitendo na sio maneno

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo2567 Год назад +4

    Uchaguzi umekaribia eeee ndio wameanza kuonekana mitaani. R.i.P magufuli tutakukumbuka kila siku.

  • @jacksonmagola1824
    @jacksonmagola1824 Год назад

    Yaani mm nahisi ningekuwa mkali ..watu wanajiona Mungu watu....

  • @Sudibo
    @Sudibo 7 месяцев назад

    Mmesituka kumbeee😅😅

  • @HisaniMsigwa-lc6zk
    @HisaniMsigwa-lc6zk Год назад +1

    Kuna vijana wazalendo watoto wa maskini wapo ,makamu toa hao

  • @jjm4583
    @jjm4583 Год назад +1

    Bora mpango mpango awe rais

  • @amosmbangala9079
    @amosmbangala9079 6 месяцев назад

    Uje njombe kaimu mkuu wa idara ya aridhi nishida njombe

  • @ElizabethKimbi
    @ElizabethKimbi Год назад

    Duh sasa makamu hebu tufundishe hiyo sheria inayoeenda kubadilisgwa bungeni ili mwarabu apate bandari itakuwaje jeshi liko wapi

  • @SensaManzagata-tv7ds
    @SensaManzagata-tv7ds 9 месяцев назад

    Na kutetea Wananchi wanyonge wanateseka sana Kwa sababu ya watu wachache

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 Год назад

    Mpka vywama vyaupinzani vipite viseme ndio mtoe amri.