Makamu wa Rais Hongera Sana kwa kutumia mfumo wa Hayati Magufuli mkitumia njia hiyo sina haja ya kuharibu kura yangu kupeleka kwingine nitabaki kuwa CCM ndio damu yangu hadi mauti unifike sina mengi ila Mungu atulinde Sisi zote tuone mabadiliko AMEN
Hiyo style ya kutumbua watumishi hazarani ndiyo style pekee ya kurudisha nizamu kazini na hiyo ndiyo style ya magufuli kuaminka Kwa wananchi asilimia mia tunahitaji rais mwenye maamuzi magumu
Kazi nzr Sana ukija dodoma niletee friji me nimjasiliamali mdogo, nauza Juis natengeneza mwenyewe Ila Nina upungufu wa friji,,nisaidie kwa Hilo TU hakika nitapiga kazii na kujikwamua na umasikini balikiwa sana baba Mungu akuongeze katika utendajii wako
Mngekua na mipango hiyo ya kujitokeza kwa raia Kujua matatizo yao yasinge fika hapo leo Lkn yote hayo ameondoka nayo magufuli Naomba mawaziri wote waende wakasikilize Raia kero zao sio kukaa ofisini turudi na system ya magufuli
Hili tatizo la kuhamisha Baadhi ya watendaji wanapo haribu Ndio kufeli kwa serikali nikama Tanzania hamna watu wenye elimu na uwezo Kila siku kuhamisha hamisha mawaziri na watendaji Hii ibada imalizike inatosha
Hali ya maji ni shida sana. Mh makamu wa rais huwezi amini mkoa wa mwanza hasa katika kata ya buhongwa hakuna maji kabisa. Wakati ziwa victaria ukirusha jiwe linaangukia ziwani. Mh!!! Nimateso makubwa sana.
@@alipandu3446 Lina muda sana toka enzi za kikwete alafu tatizo uongozi wa mkoa mfano kipindi wenje alikua mbunge nyamagana alikua anapigia kelele sana hilo swala la maji Sasa kwa huyu mabula ndo hakuna lolote
Dkt samia suluhu hasani kaleta suluhu kwa kumwezesha dkt philipo mpango ,maana anamipango dhabiti juu ya maendeleo ya wananchi ,tunaitaji suluhu na mipango ya kama hii🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Me ninaalama ya kuuliza why mbn mnafanya hivi uchaguzi ukikaribia? Kwa maana hiyo uchaguzi ukipita mtabaki kujificha msitoke kusikiliza kero za wananchi
tatizo wanaopewa majukumu wakisha pata to hayo mamlaka wanajisahau sana ata wakilibu wanaamini watahamishiwa kwingine hili selikali liangalie hao ndio wanamfelisha mama
Hii sijaelewa vizuri wenye uelewa wanifahamishe , makamu wa raisi anatoa maagizo? Na anamua ? Kama kauli ya raisi ni helia akiagiza , akielekeza ndio hivyo hivyo je makamu wa raisi kauli yake nini?
kipindi cha kura kimefika ndo unaanza kutoa speech kwa kusikiliza kero za watanzania ulikuwaga wapi (endapo mtakapopata ni mwendo wa kmy kmy wananchi wanaumia2 acheni hzo endlea2 kukaa behind mwachie2 makonda ndo mwenye fani yake tangu akiwa mkuu wa mkoa na kura hampat
MNA VYANZO VYA MAJI???? MH: NDALICHAKOO??? MTO BOGWE UKO JIMBON KWAKO IKA HUO MTO UMEJAAA MIKARATUS LEO UNAKUJA UNASEMA HUNA MAJI ACHA USWAHILI WA KUTAFUTA KURA KWA KUDANGANYA WATU KWA NINI UCHIMBE KISIMA WAKATI UNA MTO MKUBWA BOGWE?? WEWE UMEACHA MIKARATUSI IMEPANDWA HUMO HUNA HABAR
tatizo la Africa wenye uwezo kuongoza hawapati nafasi ya kuongoza wehu kama samia na vyeti vyao vya form IV eti ndio wanakuwa viongozi tunategemea nini ?
Doctor Mh magu ndo alikuwa kiboko yao waheshimiwa kazeni mwendo ili mmuenzi hayati magufuli ili nayeye apate matumain aliko kwann mpaka leo bado anaishi katika nafsi zetu
Huyu magufuli angekuwepo leo hii tungeshaanza kulipa mishahara wasio na kazi Tanzania. Alikuwa na uwezo wakufanya yaliyofanywa hayawezekani. kwake kila kitu kilikuwa kinawezekana.Hakuna mwingine kama yeye.
Mbn ninyi mmeendelea kukaa ofisini na huku mmesikia kelele na malalamiko kuhusu mkataba wa bandari?Mmepitisha mkataba mbovu usiyofaa ,lkn mnaonea dagaa hii siyo sawa
Makamu wa raisi ndo naanza kukuerewa sisi wanaichi wamwisho kwamana yakutokua watumishi wa serikari tunaomba kuona na kusikia kauri kamahizo nikushukuri nanikuome uenderee tumerudi kunyanyaswa rakini pia kutopatahaki zetu za kimusingi na kuripwa maumivu Kira siku Mungu wa mbinguni akusimamie onya karipia ilibidi fukuza Asante
siasa nyingi mbona hata hapa Busweru Mwanza Aweso huyu huyu alitoa wiki 6 maana yake mwezi na wiki mbili. lakini mpaka leo mbona shida ni hiyo hiyo?? kamaninawezekana Mh. makamu tumia wataalamu kujibu hoja za wananchi na sio mwana siasa
Tulikuwa hatujawahi kuona hivi vitu tokea jembe la tz litutoke lakin sasa 2025 ileeeeeeee watu wameanza kuiga 😂😂😂😂😂vile wanaona kila ujinga wao tuna Comment R.i.p jpm 😢
Hongera sana Mheshimiwa makamo wa Rais Dr Philipo Mpango unafanya kazi nzuri
Makamu wa Rais Hongera Sana kwa kutumia mfumo wa Hayati Magufuli mkitumia njia hiyo sina haja ya kuharibu kura yangu kupeleka kwingine nitabaki kuwa CCM ndio damu yangu hadi mauti unifike sina mengi ila Mungu atulinde Sisi zote tuone mabadiliko AMEN
Umeona Eeeh
Hongera Sana Mheshimiwa Makamu wa Rais , Dr Philipo Mpango Kwa Kazi nzuri
Binafsi Mh. Mpango namuelewa sana ni mpenda haki sema hawa wengine dharau nyingi janja janja nyingi haya sasa
Hii style ya Maghufuli naipenda sana!
mmbb v
Wameona hawatoboi
Kabisa
Asante Baba Mungu akujalie katika kazi yako
Narudi cm jamani
Hii safi sana ila isiishie hapo hao watendaji ni wa kufukuzwa tu na kufunguliwa mashtaka maana wanawaza upigaji tu na sio kuwahudumia wananchi
Makamu wa raisi ,wazili mkuu mama samia kaupiga mwingi🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hii style ya Kagame na Magufuli kbs!! 👏👏👏👏👏. Congratulations to Vice President!!
hakika huyu anaweza anikumbusha baba Magu
Mheshima makamu wa raisi hapo umetenda jambo jemaa viongozi wengi wamekuwa miungu watu wanataka kuabudiwa
Daaha isee makamu wangu nimpole saana, namuonaga kama padreau askofu kabisa🙏🙏🙏
Hiyo style ya magufuli, ndo style ya kuongonza nchi bila ivo serikali, itaibiwa sana
Viongozi wanajisahau sana wakipata nafasi za kuwasimamia wananch wanasahau kbs shida zetu
Tatizo kazi za kupeana ni mtt wa furani
Kwa mara ya kwanza namuona serious 😂😂
Hali mbaya wanapumulia mipira
muache siasa bhana ccm mkipewa hata mpaka mwisho wa dunia maji hamuwezi
Hiyo style ya kutumbua watumishi hazarani ndiyo style pekee ya kurudisha nizamu kazini na hiyo ndiyo style ya magufuli kuaminka Kwa wananchi asilimia mia tunahitaji rais mwenye maamuzi magumu
Uko sahihi Sana
Njooni chalinze Dawasa pia huku nako ni shida vijana wanadharaù sana watumishi wa dawasa baadhi yao ni shida
Kazi nzr Sana ukija dodoma niletee friji me nimjasiliamali mdogo, nauza Juis natengeneza mwenyewe Ila Nina upungufu wa friji,,nisaidie kwa Hilo TU hakika nitapiga kazii na kujikwamua na umasikini balikiwa sana baba Mungu akuongeze katika utendajii wako
Mngekua na mipango hiyo ya kujitokeza kwa raia
Kujua matatizo yao yasinge fika hapo leo
Lkn yote hayo ameondoka nayo magufuli
Naomba mawaziri wote waende wakasikilize
Raia kero zao sio kukaa ofisini turudi na system ya magufuli
Kweli Watanzania mmetushinda kwa hili wakenya
Tena tasafu wanazulum pesa zakaya maskini mitalo wamekula pasa zawatu diwani wakumnyika nimuhusika mkuu wautapeli
Safi sana mheshimiwa kazi nzuri sana ni papo kwa papo JPM bado yupo kazini!!
MNAANZA USANII WA WAKUDANGANYA WATU..
Ndiyoo mkifanya ivo wakuwa na dispilini kazini kila mahali kama alivokuwepo rais magufuli
Baba Philip mpango tunakuombea Kwa Mungu akujaze katika kazi yako ya kumsaidia mama
Makamo waRais mungu akubark endelea nakuchapakazi kwamfumo huo wa hayat magufuli
hata nida kunashida watu wanatukwanwa vitambulisha kupata nishida
Kweli ukienda hivi mtafikaa isiwe kasulu tu
Alakoze mtama wachu makamu wa rais
Hawajaona maji wanayotumia wananchi wa mpwapwa maji yanatoka tope kwenye bomba na yanasukumwa na idara ya maji
Hili tatizo la kuhamisha
Baadhi ya watendaji wanapo haribu
Ndio kufeli kwa serikali nikama
Tanzania hamna watu wenye elimu na uwezo
Kila siku kuhamisha hamisha mawaziri na watendaji
Hii ibada imalizike inatosha
Huyu mama Alitutesa sana 2015 kipindi kili yuko Elimuni Alihisi vilio vyetuu havitofika Mbaalii kwiiiiishaaaa habar Yake
Angalau Leo nimesikia sauti yako
I wish mnipe nafasi na mimi jmn nitende haswaaa. Ila mnipe meno khaaswaaa. Ukweli mtapenda
Kweli yajayo yanafurahisha yani watu hawana maji halafu wanaambiwa kasulu oyee na wao wanaitikia oyee......😪
unajua hawa ccm wanajua watanzania wengi bado wamo kwenye uzingizi mzito , kwa hiyo raisi hata akiwa ngedere wanamshangiria tuuu
Akili kichwani 2025
😂😂😂 weee jamaa umenichekesha
Hata tanesco Kuna shida makam wa rais,cio tassaf tu
next magufuli
MTOENI KAZINI UYO NI MJINGA
ANAKULA PESA ZA BURE KABISA MJINGA UYU
Miguguno mingi mara TASAF, TAGES, TASS, TAKUKURU, TARURA mnachanganya tu wananchi. Wapeni maendeleo muache kuongea ongea
Hali ya maji ni shida sana. Mh makamu wa rais huwezi amini mkoa wa mwanza hasa katika kata ya buhongwa hakuna maji kabisa. Wakati ziwa victaria ukirusha jiwe linaangukia ziwani. Mh!!! Nimateso makubwa sana.
Tena mi hua nawaza kwanini siku moja tusije andamana sio buhongwa tu nenda nyasaka mahina hakuna maji
Poleni lkn hilo tatizo la kukosekana kwa maji limeanza kipindi hichi cha mama au tokea Rais alopita
@@alipandu3446 Lina muda sana toka enzi za kikwete alafu tatizo uongozi wa mkoa mfano kipindi wenje alikua mbunge nyamagana alikua anapigia kelele sana hilo swala la maji Sasa kwa huyu mabula ndo hakuna lolote
Tena nihatari sana kwa mwanza yetu ipo siku tutatoboa mpira mkubwa wa kwenda shinyanga
Haiwezekani tabora wapate maji kutoka mwanza alafu sisi tunakosa maji
Mimi binafsi ndo natamani iwe hivyo kila siku
Makamu wa rais umefanya vizur sana fanya kaz uo ndio mwenendo wa maghufur
Tunashkuru Dr Mpango👏🏽
Dkt samia suluhu hasani kaleta suluhu kwa kumwezesha dkt philipo mpango ,maana anamipango dhabiti juu ya maendeleo ya wananchi ,tunaitaji suluhu na mipango ya kama hii🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Makamu wa Rais kasuru kunashida ya kamchape wanazaririsha Watu na kuwaibia Kwa kigezo Cha uchawi kijiji chabuoro shunga
NI KWELI AWESO NI MCHAPA KAZI HANA TAMAA,NAMUOMBA RAISI AENDELEE KUPATA VIONGOZI WENGI KUTOKA MKOA WA TANGA.AMEN
Kweli hata Ummy nimchapa kazi nampenda sana na Aweso japo mm stokei Tanga
ACHANA NA HUO UKABILA UTAKUDHOOFISHA SANA....
Ahsanteni sana Kwa jitihada za pambano la maji
Haya matatizo yapo kwenye Jimbo ra buhigwe munanira siku moja tuangizie waziri wa maji aweso akatatuwe kero zetu Asante
Me ninaalama ya kuuliza why mbn mnafanya hivi uchaguzi ukikaribia? Kwa maana hiyo uchaguzi ukipita mtabaki kujificha msitoke kusikiliza kero za wananchi
Makam chapa kazi hapo kasulu
Msifananishe vitu vya ajabu na magufuri bhana kile kilikuwa chuma cha reli
Ombi Mh Makamu wa Rais uwajibikaji umeondoka kabisa ila Tanesco wanafanya vizuri.
tatizo wanaopewa majukumu wakisha pata to hayo mamlaka wanajisahau sana ata wakilibu wanaamini watahamishiwa kwingine hili selikali liangalie hao ndio wanamfelisha mama
Hii sijaelewa vizuri wenye uelewa wanifahamishe , makamu wa raisi anatoa maagizo? Na anamua ? Kama kauli ya raisi ni helia akiagiza , akielekeza ndio hivyo hivyo je makamu wa raisi kauli yake nini?
Mhe uko vzr sana viongozi wote wagefanya kama ww tugefika mbali sana Tanzania nakuombea afya njema
Tunduma songwe maji changamoto mbona hawapiti viongozi Kama hawa
Yaani kwnn kufanya yaani kisimamia miradi ya nchi owe tabu. Jamani nipeni hata kwa kujaribu
kipindi cha kura kimefika ndo unaanza kutoa speech kwa kusikiliza kero za watanzania ulikuwaga wapi (endapo mtakapopata ni mwendo wa kmy kmy wananchi wanaumia2 acheni hzo endlea2 kukaa behind mwachie2 makonda ndo mwenye fani yake tangu akiwa mkuu wa mkoa na kura hampat
Njoo wilaya ya uvinza utamkuta mtu mmoja anaitwa antoni ni tatizo
MNA VYANZO VYA MAJI???? MH: NDALICHAKOO??? MTO BOGWE UKO JIMBON KWAKO IKA HUO MTO UMEJAAA MIKARATUS LEO UNAKUJA UNASEMA HUNA MAJI ACHA USWAHILI WA KUTAFUTA KURA KWA KUDANGANYA WATU KWA NINI UCHIMBE KISIMA WAKATI UNA MTO MKUBWA BOGWE?? WEWE UMEACHA MIKARATUSI IMEPANDWA HUMO HUNA HABAR
Mungu analipa apap dunian ndalichako chali
mheshimiwa rais acha kasulu sisi wananchi wa michese dodoma tuna matatizo kama hayo sisi tuna visina lakin hatuna maji
Bola uyu mpango ngekua rais tu kwasabbu na hofu ya mungu
tatizo la Africa wenye uwezo kuongoza hawapati nafasi ya kuongoza wehu kama samia na vyeti vyao vya form IV eti ndio wanakuwa viongozi tunategemea nini ?
Mwehu ni mama yako samia cio mweh mshenz. Ww
Good leader
Asante Baba
nchi yangu kenya jameni jambo kama hili kufanyika ni kinaya sanaa
Samia atawewe nimbaya sana kwanini usimshirikishi mahamu wa rais😢😢😢😢😢😢😢😢
Kwani kuna anaetosha kwenye hiyo CCM wachumia matumbo tupu. Acheni kuonea watu.
Punguza ujinga, kuonea wapi vipi, huo ndio ujinga wa watanzania wengi, watu wakifanya kazi mnalalamika, wakiacha kelele
Huyu Baba anaongea kwa hisia sana hadi unaweza ukatoa machozi. Mungu akupe maisha marefu Mh. Vice President.
Samiaaaaa oyeee!! Umeshinda uchaguzi Kwa akili nyingi sana
Doctor Mh magu ndo alikuwa kiboko yao waheshimiwa kazeni mwendo ili mmuenzi hayati magufuli ili nayeye apate matumain aliko kwann mpaka leo bado anaishi katika nafsi zetu
Hamna kitu mnakuaga wapi inamaana makatibu hawapeleki lipoti? Mpaka muumbuane kujifanya nyinyi wasafi
Huyu magufuli angekuwepo leo hii tungeshaanza kulipa mishahara wasio na kazi Tanzania. Alikuwa na uwezo wakufanya yaliyofanywa hayawezekani. kwake kila kitu kilikuwa kinawezekana.Hakuna mwingine kama yeye.
Mbn ninyi mmeendelea kukaa ofisini na huku mmesikia kelele na malalamiko kuhusu mkataba wa bandari?Mmepitisha mkataba mbovu usiyofaa ,lkn mnaonea dagaa hii siyo sawa
Makamu wa raisi ndo naanza kukuerewa sisi wanaichi wamwisho kwamana yakutokua watumishi wa serikari tunaomba kuona na kusikia kauri kamahizo nikushukuri nanikuome uenderee tumerudi kunyanyaswa rakini pia kutopatahaki zetu za kimusingi na kuripwa maumivu Kira siku Mungu wa mbinguni akusimamie onya karipia ilibidi fukuza Asante
Mh Waziri Aweso una majukumu makubwa na kweli wewe ni mchapa kazi naona unavyo angaika sana japo wizara yako ni ngumu mno.
Dats ... Right appreciate DP mipango
Safi ndiotunatakahivyo hakunakumchekea mzembepigachini chap
Ccm hatuwataki ..kwanza tunataka bandari yetu pili muindoke ..vip kuhusu pesa zetu zilizoibiwa mpaka leo???? Na wez bado wapo mkaguz mkuu mnamdharau
Naomba goma ya sigeri
Well done vice president
siasa nyingi mbona hata hapa Busweru Mwanza Aweso huyu huyu alitoa wiki 6 maana yake mwezi na wiki mbili. lakini mpaka leo mbona shida ni hiyo hiyo?? kamaninawezekana Mh. makamu tumia wataalamu kujibu hoja za wananchi na sio mwana siasa
Kumbe mpango ni mkali nimekuelewa
Makuma hawa wote
Kampeni watu wanatumia akili kubwa cheza na mama nini
Tulikuwa hatujawahi kuona hivi vitu tokea jembe la tz litutoke lakin sasa 2025 ileeeeeeee watu wameanza kuiga 😂😂😂😂😂vile wanaona kila ujinga wao tuna Comment R.i.p jpm 😢
Nahatuwapi kura watashinda kimabavu kama destur yao
Sasa mbona amechelewa? Alikuwa kimyaa huongei kitu
Naitwa ENOCK KIMASA HAWA WANAKA MUDA MWINGI OFISINI
Hizi ni Sanaa tu
Jamani muheshimiwa mipango usijiuzulu wewe ni mchapa kazi wa vitendo na sio maneno
Uchaguzi umekaribia eeee ndio wameanza kuonekana mitaani. R.i.P magufuli tutakukumbuka kila siku.
Baada ya magufuli kufa wamezaliana sana wasumbufu wenyemajibu ya jeuri njoo na huku kwingine
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yaani mm nahisi ningekuwa mkali ..watu wanajiona Mungu watu....
Mmesituka kumbeee😅😅
Kuna vijana wazalendo watoto wa maskini wapo ,makamu toa hao
Bora mpango mpango awe rais
Uje njombe kaimu mkuu wa idara ya aridhi nishida njombe
Duh sasa makamu hebu tufundishe hiyo sheria inayoeenda kubadilisgwa bungeni ili mwarabu apate bandari itakuwaje jeshi liko wapi
Na kutetea Wananchi wanyonge wanateseka sana Kwa sababu ya watu wachache
Mpka vywama vyaupinzani vipite viseme ndio mtoe amri.