#live

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • TAZAMA TUNDU LISSU AITWA KWA MAZUNGUMZO MAALUM BAADA YA KUMWAGA SIRI "NIMEZIFANYIA UTAFITI"

Комментарии • 11

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 3 месяца назад

    Zanzibar tume ya ccm inawakatalia Wazanzibari kuwaandisha kupiga kura, inabagua watu. Hata kitambulisho cha MZANZIBARI , Wazanzibari wanakataliwa kupewa na ccm Zanzibar.

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 4 месяца назад +2

    Nadhani kwa sasa cha kuongelewa kiwe ni mbin za kuukabili uchaguzi,stori nyiiingi zimeshapitwa na wakati, 👇🏿
    #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

  • @deusdedithLwamlema-yx6fg
    @deusdedithLwamlema-yx6fg 4 месяца назад

    Una jitahidi sana hakuna mtanzania mwenye uwezo wa. Kufafanua sheria kama wewe

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843 4 месяца назад +1

    Sheria za uchaguzi..kuandikisha wapiga kura..haki tofauti ni tatizo!
    Katiba haitoi haki ya kikatiba!
    Imeweka masharti yanayominya haki kuweza kuwa kikwazo kwa mpiga kura!
    Maboresho yanahitajika!

  • @donaldfrancissassa8360
    @donaldfrancissassa8360 4 месяца назад

    CCM mzaha 'unawatoa' mamlakani mara hii.

  • @lauriankajugusi1776
    @lauriankajugusi1776 4 месяца назад

    Unadhani Bw.Lisu wawatendea haki wanaokusiliza? Unadhani mchanyato wa lugha ujumbe unawafikia walengwa,Ama kweli nyie mliosomasoma kidogo mna mambo!!

  • @FrankSanga-vk8lg
    @FrankSanga-vk8lg 4 месяца назад

    Tusiwe wanyonge twendeni mbele

  • @nanguniMtaita-hz4zt
    @nanguniMtaita-hz4zt 4 месяца назад

    Tindu Lissu, samahani sana kama utajisikia vibaya, kwani sina budi nikusifu mubashara, kwa ulimwengu wetu wa Tanganyika, Africa Mashariki hatan Africa ya sasa, you are too much. You are a man every inch. Tunakuhusudu, ukichwa uliyebarikiwa mno. Tisaidie hayo mambo yaliyoko kwenye bongo lako. Una uwezo hakika songa mbele. Inshalla tutafika tuendako.

    • @user-zr8lo7zq2d
      @user-zr8lo7zq2d 4 месяца назад

      Asante sana Kwa elimu nzuri.juu ya Sheria za uchaguzi

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 4 месяца назад

    Rais kwa kusaini sheria ya uchaguzi, inayoitwa mpya, Rais hajatutendea haki. Sheria imebakwa. Watanzania tumetaka Tume huru maana yake wakurugenzi wasihusike kusimamia uchaguzi, sababu wengi ni makada wa Ccm , na kutumia watumishi wa umma ( walimu na wengine wa aina hiyo) ni kutaka waibebe ccm, sababu ya watajengewa hofu kwa kuisaliti serikali yao. Viongozi wetu msijivue nguo kwa mambo ya wazi ya kijinga, yanayowanyima haki Watnznia.

  • @rashidkihunga2938
    @rashidkihunga2938 4 месяца назад

    ila ww ni unafraid sana