HILI BALAA LA LISSU SINGIDA SI MCHEZO, ATOA HOTUBA NZITO NYUMANI KWAO, SHANGWE KILA KONA
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2024
- #TANZANIA: Hili balaa la Tundu Lissu Singida si mchezo, atoa hotuba nzito nyumbani kwao, shangwe kila kona.
Zaidi: • HILI BALAA LA LISSU SI...
Asante kwa ujumbe mzuri kweri kweri tuwe kero kweri kweri kwa watawala katiba na tume hulu vitapatikana tuongeze kelo tuu wataelewa
Pole sana Mh.Lisu,sio kupenda kwako bali walitaka kukuua, Mungu akakataa ukabaki na ulemavu wa kusababishwa vinginevyo Mungu alikupa kila kitu na ungeweza hata klmt.1000. Mungu akupe umri mrefu na akujalie uongozi uliotukuka Amen.
Kweli ndugu.Mungu ampe umri mrefu Tundulissu, Amen
Okoa tz
It's already gone down to history,not only for Tanzania but to the world of democracy
Thak gunda,singida hold opposition
Mungu awapiganie ktk harakati za kuleta ukombozi wa fikra za watu
MH Lisu, kodi ya kiwanja ni sh, 1500 Kila mwezi
Pamoja sana huwa nawapenda kuungana na msema kweli yeyote na anayependa kuhaki
Great speech from tundundulisu address problem of singida home land where tundundulisu born on that regional singida home land of tundundulisu strong hold opposition in Tanzania tundundulisu
Ukweli mama amenzeeka vijana wake wanamzungaka au anapiga bei rasilimali za Tanganyika za kwao zamzibar hazihusiki na viongozi wa bara hajitambui
Tatizo haujui asili ya mama ni wapi?
lissu bi bahati kua na ww katika siasa za mageuzi
Kamanda lisu komaanao 😊😊😊😊😊😊😊😊🎉mpaka kieleweke
Maandamo haya yana jema Kwa Tanzania bora kwa kila rai na wazalendo.
Hongera kugusa Vikokotoo kwa watumishi wastaafu tunauwawa.Sema baba mteule wa Mungu
Mungu awainue wapinzani wa Nchi hii 🎉🎉🎉😂😂😂😢😮😅😊
😮😮😮😮😮😮😅kanda lisu
Ni kweli kabisa, serikali ya ccm ni kikundi cha wezi watupu, taarifa zote za CAG huwa hazifanyiwi kaz kwa sababu ya viongozi wasiokuwa na huduma kwa taifa, wote hawafai kabisa.
Asante sana mheshimiwa Lisu
Very Great Speach
Ni kweli kabisa kamanda
Karibu nyumban singida kaka lisu
❤
Zipo Kodi mbili , 1. Kodi ya Nyumba unakatwa ukinunua umeme, na2. Kodi ya kiwanja unaripa ofisi za Ardhi
Mnisaidie jamani maandamano katika hili taifa letu yanaleta mabadiliko kweli?
Sana Tena kwel kwel kwani wewe hauoni
Kwema kdgo,vat Tozo petroleum sukar matbab juu maisha magumu wizara zimeongezwa n mzigo kw Raia,
❤❤❤❤ lisu
Ndiyooooo
Wakwetu mtinda mpaka ntuntu saw anyampaa munguu wiefooo,
Tuzidi kumuomba Mungu awaonye baadhi ya viongozi wetu wa dini waache kuutetea na kuuombea ufalme unaotutesa kwa kutumainia ulimwengu wa mambo ya giza udumu,na kumkufuru na kumkasirisha Mungu atupige mapigo mazito kwa kutukuza uovu kwa jina lake takatifu.
Kodi ya. Nyumba , kiwanja unalipa ofisi ya Ardhi
Ongera Lisu
Kwahiyo unataka umukimbize tena au ulifulahi
Sema lisu hawa ni wezi unakata kodi ya kiwanja wakati kuna wapangaji
✌️👊👍.
Hongera Tanganyika yetu,Sijui Nyerere Tanganyika kailimkosea Nini?
Lissu punguza mdomo wa hovyo wewe ni mbaguzi
M.viongozi.msichoke.watu.wAtoe.kweli.kweli.ccm.itaogopa.wao.ni.kamasimba.kutisha
Wewe Addam,Umesoma hata lakwanza kweli,mwenzako alikuwa mwiba wakataka kumuua ww unajifanya taahira hukumbuki
😂
Mimi Kazi Yangu ni kuwaombea tu
🥲🙏
Wadanganye hao hao ule ushibe
Tunaongozwa na bibi yy anapambana kujiona ni binti
😂😂😂 kaka
Tundu Lissu acha propaganda. Wazungu wamekubwaga. Ulikuwa puppet wawo. Ukiimba Tanzania isuswe, ikatiwe misaada na ichekelewe. Watanzania hawakupendi kwa kumutusi Hayati Magufuli. Tundu Lissu wewe ni puppet. Huna mana kwa Tanzania
Ww ndio humependi kiazi ww, soma ata komenti, uone wanavyompenda, lichawi ww
Sasa ana uwezo wa kutatua hizo kero na alikuwa mbunge nini? Alifanya
Aliikimbia nchi akiwa mbunge wa hilo jimbo
Alikimbia nchi?? Unajielewa kweli?? Hujui kilichomtoa Lisu nchini akauacha ubunge? Kama hujui kaa kimya.
Hakir huna jomba
Akili ninayo saana na ninajua alichokimbia
Kama aliogopa kifo mbona as lirudi kugombea urais
Kakimbia kupoteza ushahidi tu
Anatafuta huruma ya kupata pesa tu
Hakuna hata la maaana anachokifanya
@@adamlubawa1281choko la makonda
@@adamlubawa1281Tuliza Akili Acha kupayuka