HILI BALAA LA LISSU SINGIDA SI MCHEZO, ATOA HOTUBA NZITO NYUMANI KWAO, SHANGWE KILA KONA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • #TANZANIA: Hili balaa la Tundu Lissu Singida si mchezo, atoa hotuba nzito nyumbani kwao, shangwe kila kona.
    Zaidi: • HILI BALAA LA LISSU SI...

Комментарии • 64

  • @veronicaadrof8244
    @veronicaadrof8244 4 месяца назад +4

    Asante kwa ujumbe mzuri kweri kweri tuwe kero kweri kweri kwa watawala katiba na tume hulu vitapatikana tuongeze kelo tuu wataelewa

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 4 месяца назад +2

    Pole sana Mh.Lisu,sio kupenda kwako bali walitaka kukuua, Mungu akakataa ukabaki na ulemavu wa kusababishwa vinginevyo Mungu alikupa kila kitu na ungeweza hata klmt.1000. Mungu akupe umri mrefu na akujalie uongozi uliotukuka Amen.

  • @pennymahombo9528
    @pennymahombo9528 3 месяца назад

    It's already gone down to history,not only for Tanzania but to the world of democracy

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 4 месяца назад +1

    Thak gunda,singida hold opposition

  • @daudimwakatobe2064
    @daudimwakatobe2064 4 месяца назад +2

    Mungu awapiganie ktk harakati za kuleta ukombozi wa fikra za watu

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 4 месяца назад +1

    MH Lisu, kodi ya kiwanja ni sh, 1500 Kila mwezi

  • @danielkanso
    @danielkanso 4 месяца назад +1

    Pamoja sana huwa nawapenda kuungana na msema kweli yeyote na anayependa kuhaki

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 4 месяца назад

    Great speech from tundundulisu address problem of singida home land where tundundulisu born on that regional singida home land of tundundulisu strong hold opposition in Tanzania tundundulisu

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 4 месяца назад +3

    Ukweli mama amenzeeka vijana wake wanamzungaka au anapiga bei rasilimali za Tanganyika za kwao zamzibar hazihusiki na viongozi wa bara hajitambui

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 4 месяца назад

      Tatizo haujui asili ya mama ni wapi?

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 4 месяца назад +3

    lissu bi bahati kua na ww katika siasa za mageuzi

  • @gelardanyasi919
    @gelardanyasi919 4 месяца назад

    Kamanda lisu komaanao 😊😊😊😊😊😊😊😊🎉mpaka kieleweke

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 4 месяца назад +1

    Maandamo haya yana jema Kwa Tanzania bora kwa kila rai na wazalendo.

  • @emmanuelmasele9585
    @emmanuelmasele9585 4 месяца назад

    Hongera kugusa Vikokotoo kwa watumishi wastaafu tunauwawa.Sema baba mteule wa Mungu

  • @modestalois2535
    @modestalois2535 4 месяца назад

    Mungu awainue wapinzani wa Nchi hii 🎉🎉🎉😂😂😂😢😮😅😊

  • @gelardanyasi919
    @gelardanyasi919 4 месяца назад

    😮😮😮😮😮😮😅kanda lisu

  • @boscokabulwa-uk9gh
    @boscokabulwa-uk9gh 4 месяца назад

    Ni kweli kabisa, serikali ya ccm ni kikundi cha wezi watupu, taarifa zote za CAG huwa hazifanyiwi kaz kwa sababu ya viongozi wasiokuwa na huduma kwa taifa, wote hawafai kabisa.

  • @elisantenyange8751
    @elisantenyange8751 4 месяца назад

    Asante sana mheshimiwa Lisu

  • @MagalaMakweta
    @MagalaMakweta 4 месяца назад

    Very Great Speach

  • @Masanjalata
    @Masanjalata 4 месяца назад

    Ni kweli kabisa kamanda

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 4 месяца назад

    Karibu nyumban singida kaka lisu

  • @husseynzooh1979
    @husseynzooh1979 4 месяца назад

  • @jovitherkaijage614
    @jovitherkaijage614 4 месяца назад

    Zipo Kodi mbili , 1. Kodi ya Nyumba unakatwa ukinunua umeme, na2. Kodi ya kiwanja unaripa ofisi za Ardhi

  • @JumaMohammed-ch1sm
    @JumaMohammed-ch1sm 4 месяца назад

    Mnisaidie jamani maandamano katika hili taifa letu yanaleta mabadiliko kweli?

    • @rizikiminga3010
      @rizikiminga3010 4 месяца назад

      Sana Tena kwel kwel kwani wewe hauoni

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 4 месяца назад

    Kwema kdgo,vat Tozo petroleum sukar matbab juu maisha magumu wizara zimeongezwa n mzigo kw Raia,

  • @nassibdoma5408
    @nassibdoma5408 4 месяца назад

    ❤❤❤❤ lisu

  • @user-ze7uu4df8p
    @user-ze7uu4df8p 4 месяца назад

    Ndiyooooo

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 4 месяца назад

    Wakwetu mtinda mpaka ntuntu saw anyampaa munguu wiefooo,

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 4 месяца назад

    Tuzidi kumuomba Mungu awaonye baadhi ya viongozi wetu wa dini waache kuutetea na kuuombea ufalme unaotutesa kwa kutumainia ulimwengu wa mambo ya giza udumu,na kumkufuru na kumkasirisha Mungu atupige mapigo mazito kwa kutukuza uovu kwa jina lake takatifu.

  • @jovitherkaijage614
    @jovitherkaijage614 4 месяца назад

    Kodi ya. Nyumba , kiwanja unalipa ofisi ya Ardhi

  • @pastorykimaro7576
    @pastorykimaro7576 4 месяца назад

    Ongera Lisu

  • @user-ut2fo1hi9i
    @user-ut2fo1hi9i 4 месяца назад

    Kwahiyo unataka umukimbize tena au ulifulahi

  • @user-ut2fo1hi9i
    @user-ut2fo1hi9i 4 месяца назад

    Sema lisu hawa ni wezi unakata kodi ya kiwanja wakati kuna wapangaji

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 4 месяца назад

    ✌️👊👍.

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc 4 месяца назад +1

    Hongera Tanganyika yetu,Sijui Nyerere Tanganyika kailimkosea Nini?

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 4 месяца назад

    Lissu punguza mdomo wa hovyo wewe ni mbaguzi

  • @evelina9621
    @evelina9621 4 месяца назад

    M.viongozi.msichoke.watu.wAtoe.kweli.kweli.ccm.itaogopa.wao.ni.kamasimba.kutisha

  • @pastorykimaro7576
    @pastorykimaro7576 4 месяца назад

    Wewe Addam,Umesoma hata lakwanza kweli,mwenzako alikuwa mwiba wakataka kumuua ww unajifanya taahira hukumbuki

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 4 месяца назад

    😂

  • @abelmbega3707
    @abelmbega3707 4 месяца назад +1

    Mimi Kazi Yangu ni kuwaombea tu

  • @hassankidilikia5566
    @hassankidilikia5566 4 месяца назад

    🥲🙏

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si 4 месяца назад

    Wadanganye hao hao ule ushibe

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v 4 месяца назад

    Tunaongozwa na bibi yy anapambana kujiona ni binti

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 4 месяца назад

    Tundu Lissu acha propaganda. Wazungu wamekubwaga. Ulikuwa puppet wawo. Ukiimba Tanzania isuswe, ikatiwe misaada na ichekelewe. Watanzania hawakupendi kwa kumutusi Hayati Magufuli. Tundu Lissu wewe ni puppet. Huna mana kwa Tanzania

    • @katibampya8442
      @katibampya8442 4 месяца назад

      Ww ndio humependi kiazi ww, soma ata komenti, uone wanavyompenda, lichawi ww

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 4 месяца назад +1

    Sasa ana uwezo wa kutatua hizo kero na alikuwa mbunge nini? Alifanya
    Aliikimbia nchi akiwa mbunge wa hilo jimbo

    • @ngambikomsu64
      @ngambikomsu64 4 месяца назад +2

      Alikimbia nchi?? Unajielewa kweli?? Hujui kilichomtoa Lisu nchini akauacha ubunge? Kama hujui kaa kimya.

    • @user-xx1je7sy4h
      @user-xx1je7sy4h 4 месяца назад +2

      Hakir huna jomba

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 4 месяца назад +1

      Akili ninayo saana na ninajua alichokimbia
      Kama aliogopa kifo mbona as lirudi kugombea urais
      Kakimbia kupoteza ushahidi tu
      Anatafuta huruma ya kupata pesa tu
      Hakuna hata la maaana anachokifanya

    • @helenakamenya8680
      @helenakamenya8680 4 месяца назад

      ​@@adamlubawa1281choko la makonda

    • @talents7934
      @talents7934 4 месяца назад

      ​@@adamlubawa1281Tuliza Akili Acha kupayuka