Ngoma hii kweli kweli naikumbuka sana kwa demu nilikuwa naye. Demu sooo, bado June 2024 naiskiza. Na wewe kama hivo gonga like. Love from Burundi. Nay apa amenikaza sana
2020, namwona NEYBA mzee wa PENZI KISU KIKALI,, pia namwona MR NAY, wa mungu yuko api, PIA nmwona Abdul Kiba ambaye alishindwa kufunga penalti mbili ktk mechi ya SAMA-KIBA, kama umenielewa, gonga like hapo chini .
Huyu *NEYBA* ni kisanga na robo aiseee kamsikilizeni kwenye ngoma ya *Amirado ft ney wa mitego & neyba-nimechoka* mtasadiki ninachowaambia Wale wa 2020 Gonga like tukamchague magufuli tena 😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥
Hii ngoma ilileta ma bishoo sana kipindi hicho Niko kidato cha pili mwanza sec daahh!!! Tulikuwa tunacheza hii ngoma basi mademu kujigonga big up sana neyba
Neyber na abdu wamshikur nay japo iyo kwa buku iliikosesha tuzo hii Ngoma ,,,,,,2010 ilikua inachukua tuzo akapewa ommydiponz ,,kwa nyimbo ya nainai Ila abdu alitisha Sana mpka kesho
Kiukweli naupenda sana huu wimbo tangia nikiwa sekondari hadi mpaka sasa nikiwa chuo kikuu;! " I know huwezi laumu kumpenda yule; alisema mtoto mdogo na bado yuko shule;!
Turolud uku 2024 tujuane kw like za kutosha aisee bc tu nakumbuka mbali xna enzi hizo tupo kwenye mkesha wa MWENGE balaa mkwaju bado wa moto aiseeeeeeee tia like z kutosha s mchezo muziki mnene cd ndogo
Bingwa wa viduku bingwa wa vigodoro ata huku kwetu wapo sana ase nimekuwa najionea mwenyewe big up ney saiv ndo nimemwelewa ney na mwanzoni nilipo kuwa cjui nilimwelewa sana abdu kiba ila saiv najionea na nimeelewa sana ney alivo kuwa akiimba hapa all in all big upp wimbo huu mzur unamafunzo sana hasa kwa sisi vijana wa kisasa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏♥️
nawakumbuka sana ndgu zangu now ni marehemu walikua wanaupenda huu wimbo uko api judy msungu and dada yako ester msungu dunia hii daah nimelia kwa machozi
Ngoma hii kweli kweli naikumbuka sana kwa demu nilikuwa naye. Demu sooo, bado June 2024 naiskiza. Na wewe kama hivo gonga like. Love from Burundi. Nay apa amenikaza sana
ambao bado tupo hapa 2024 tujuane kwa like 👍 👌 😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Tupo Bado. 2024 tunsdunda. Mungu mkubwa
Bwanee😂😂😂😂
July 2024 still watching
Maisha mengi blood
Hii ngoma Bado yachana Hadi Leo,.. kama umeisikiza mara kumi na simu battery low nipe like Mchizi wangu...
2025 kama waitazama hii hit song ngonga like hapa
Kama bado unaipenda hii ngoma unaagali gonga like😍😍
Ngoma bado lakubalika tena kwa sanaa
kakudanganya osterbay wakati anakaa manzese afu we mwenyewe unafuraha.....usimwamini hii...🔥
Nimejikut tu sina lakusem nilipo pitia comment zenu 🥰🥰🥰iyi song sio yakitoto nawambia like zenu basi😪😪😪
Ambaooo tunasikiliza hiiii ngom 2023 like zanguu jmni ❤❤❤❤❤❤
❤ Mwambaa Uyooo Pamoko Sana
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤@@HarunaRamadhan-vk6yy
Nikosawa❤❤❤❤❤❤❤
Its 2024 we still rockin with this Vybe 🎉🎉🎉🎉
Yes 🎉🎉
Mbaya sana❤
@@MartinDaridajega11a1W
🎉🎉😊
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Wale wa 2025 mko wapi
Tupo😂😂
Ss hapa
Tupo tuuu kwa sana bloody ❤❤❤❤❤
kiba family mnajua sio siri...
like my comment kama bdo unawatch this song till now
Uzia Msimbe acha hzo ngoma zilikuwa balaaa sana had sasa nakubali kinyama big up
Sanaaaaa
Jgg
Uzia Msimbe uhakika dright
Hii ngoma naikubali sana 30 July 2022
Kwa hii ngoma wahuni walitisha gonga like twende gud 2019 December
Ndani ya 2018/=2019 ukiwatch hili Dude...nbinyie hapo nkupe zako...Gonga Like
Mtoto_Wa_Kiba79 MO_FAYA TZ ya nampata kutoka pande za mwanza
Mtoto_Wa_Kiba79 MO_FAYA TZ good
1.10.2018...nouma sana Neyba kaua
Mtoto_Wa_Kiba79 MO_FAYA TZ nn
Tunaendana nayo sawa team kiba damu
2023 and still I can't get iff the heavy bass boom in this music. I love everything about it 💕
5
5
5
Hili Goma Usipime ukiskizaa katika speaker la #JBL 🔊
@@joycemasawe3821😊😊😊😊😊😊11111qq1111111111qqqqqqqqqqqqqqq😊qqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqq😊
kama unaamini Neyba ndo alitisha kwenye hii ngoma like please 2020
NICO TV ONLINE
Wametisha woote
Ngoma Kali sana long time
naamin ilo broo saut kinanda
Awote walitisha
Neiba
Leo nmerudi tena june 18 mwaka 2024 weka comment kama umeumizwa na umepata penzi jipya 😂😂😂
Same here
2024 gather here 🎉😊
Pamoja
"We don't search for old songs"
"We search for gold memories"🎶🎶
2022✨🎇
Everlasting masterpiece
Am here
@@solomonkitonka6904 😜😜😜😜😜😜m677😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😥l
I remember playing this song all the way from Nairobi to Kitale back in those days. Still a hit now in 2023. Love it
Lusifuma saa
Ninakupenda sana mchizi wangu wangu ndio maana nakwambia 2020 nani mwingine anakubaliana namimi
💥💥💥💥💥
Yani nikikusikiliza kama na msikiliza ali kiba yani mnajuasana kiba family
Yaukweli
Sana yaan
Ngoma bado iko vizurii
Tunaenda nalo hd 2021 goma bado linalipa like kama zote 🔥🔥
Ndio jombi
Hii ngoma inabamba moyo mpaka leo 12.08.2021 17:17
Sanaaa
🔥🔥🔥
The way Neiba sang this song was amazing at all. He had classic tune
Kama unachek hii ngoma July 2020 baada ya corona gonga like apa tule mziki mzuuri 💯...
Pamo1 xana k
Ninamuelewa xn abdukiba
2030 siku Kama hii ntakua hapa Mungu akijalia 😇😇
Amiin
Inshallah
Io siku ikifika unshtue please. Ukiona sreply basi ujue karash... Nawe pia nikiona hunshtui pia ntajua karash😁😁😁
leo tupo 2024 bado miak mingap broh 🙏🙏🙏
@@enginierthalion-kid4998 🤣🤣🤣🤣🤣ujuwe khalas
Kama Bado una enjoy hii Ngoma July 2024 gonga like
ukitaka kujua ili dude alikuachi salama weka kwny bufa uone shoo Lake dadeki 2019 nalitizma apa ney true BOY shidaa sana
Japo n ya enz za ktambo kiax bt bado inachapa,ina mafunzo mob I xei,,,gonga like bax
Sio poa mzee
daaah kwenye bufa n nomaa
@@modernthika3140 ngma kali sana hii
@@directorsuntana4922 atareeee
Hongera sn kwa aliyenyonga hii ngoma pa1 na hawa raia watatu... bonge la ngoma 2024 bado nalilisikiliza
Daaah ili dude stil liko vzuri bt amini usiamini since then nlifagilia Neyba
Mwanzo neyba alienda wapi mm fan wake sanaa
Alafu mbona msingemchukua neiba kings music ..? Kuliza tu anajua sana jamaa 2021 inatesa tu
Nadhan mashabk wa Arsenal hapo wamevmba vchwa sio pw.
Weka like yako ya nguvu hapa kama bado unaichek ngoma
Umejua kuotea bro
2023 bado ni wicked tune love from kenya 🇰🇪🇰🇪
uyu Neiba anajua sanaa🔥🔥🔥mpaka Leo....nimemuelewa....yuko wapi huyu jamaaaa????anajua mpaka ywakera😂😂😂
MTALII TV hata mimi nimemuelewa
Neiba anajua sana ila bahati hana na kwenye maisha muombe Mungu vitu vyote lakini usisahau kumuomba bahati
@@yustochitema8201 huna akili mungu humpa mtu kwa wakati wake usiongee ujinga mungu hamnyimi mtu bahati
MTALII FOREAL neyba mashine mm namkubali 100000℅.
Me at sijui huyu jamaa noma asee
Mnanikumbusha mbali sana guys Neiba na nay wametisha kwenye hii song Mpaka Raha
Who else still listening throwback 🎵🎶songs,very motivational
2020, namwona NEYBA mzee wa PENZI KISU KIKALI,, pia namwona MR NAY, wa mungu yuko api, PIA nmwona Abdul Kiba ambaye alishindwa kufunga penalti mbili ktk mechi ya SAMA-KIBA, kama umenielewa, gonga like hapo chini .
Huyu *NEYBA* ni kisanga na robo aiseee kamsikilizeni kwenye ngoma ya *Amirado ft ney wa mitego & neyba-nimechoka* mtasadiki ninachowaambia
Wale wa 2020 Gonga like tukamchague magufuli tena 😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥
Ambao tumekumbuka kusiliza goma hili jul 5 tujuane nimekumbuka mabali Sana daah like ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ndani ya 2019-2020 ukiwatch hii ngoma like and comment twende Sawa
Nafunga mwaka na nyimbo zangu za kale kila nyimbo ya abukib inahistorya kwenye maisha yangu kutoka oman 2020:12:10
my favourite song forever 2019/ 2020 if your like me men just like..like mistake ❤
Longisho. Oleningori
Feb 2020
Aaàààaa0papl
I will get bx
Huyu ndio abdukiba sasaaa....who else is with me 7/12/2019
Msinicheke zamani kipindi anaanza kuimba nilikua najua ni mapacha na Ally kiba nilikua nawagomea wenzangu😄😄
Aaaaaaaaaaa Asha mtamu
Huhuhuhuhuuuuuu
Si kaka na Ali kiba
Hii ngoma ilileta ma bishoo sana kipindi hicho Niko kidato cha pili mwanza sec daahh!!! Tulikuwa tunacheza hii ngoma basi mademu kujigonga big up sana neyba
Ambao tuko hapo kufunga mwaka ns nyimbo za kale tujuwane 2023😊27,j3
Until now 2022 my favorite song since childhood 🔥🔥🔥osterbay kumbe manzese
bonge la hit badoo ,,,💯✔️
Chek ya shidonna prince..pia hio tamuu
ruclips.net/video/15DU_4uF0c4/видео.html
mziki mzuri haujifichi kweli
Shida
N now im still listening 😂😅😂
Ngoma kali sana jitahidi mwanangu utafika mbali sana Mungu ni mwema,
Neyber na abdu wamshikur nay japo iyo kwa buku iliikosesha tuzo hii Ngoma ,,,,,,2010 ilikua inachukua tuzo akapewa ommydiponz ,,kwa nyimbo ya nainai Ila abdu alitisha Sana mpka kesho
Huyo sio demu ni demu wa kitaa huyo huyo sio demu ni demu wa masela
Ambao tuko 2024 na bado tunaisikiliza hii ngoma
Kwani Neiba alipotelea wapi aisee watoe collabo nyengine na Abdu kiba na ney
Kiukweli naupenda sana huu wimbo tangia nikiwa sekondari hadi mpaka sasa nikiwa chuo kikuu;! " I know huwezi laumu kumpenda yule; alisema mtoto mdogo na bado yuko shule;!
Kitambo sana jombaa
Turolud uku 2024 tujuane kw like za kutosha aisee bc tu nakumbuka mbali xna enzi hizo tupo kwenye mkesha wa MWENGE balaa mkwaju bado wa moto aiseeeeeeee tia like z kutosha s mchezo muziki mnene cd ndogo
This song is a trend on TikTok, I thought it was a new banger 😂😂 kumbe it's a tbt banger🎉
Since wew ni wa 2000 huwezijua😂
I like Neiba
Mazuuu ndio alicheza,,,big up niggaz 😎 still watching 2023
kuna vitu nakumbk vingivingi sana ..nikisikiliza hii nyimbo .
Eliza Mpole ata Mimi shoga. Upo wapi
Unakumbuka ulikuwa wap kipindi hicho
Moja ya nyimbo iliyofanya poa sana miaka takribani 7 iliyopita lakini bado iko vizuri sana,hongera sana Abdul kiba.
Tunaoisikiliza ngoma hii 2024 na tunaiona kali like apa😂😂😂😂
It's 2021 and still listening beautiful voice ......who is with me here
2022
Gonga like kama unamkubali kiba
Wah the internet doesn't forget! What a tbt..Neiba, Abdukiba and Nay Wa Mitego🔥🔥🔥
Kama na wewe uliona baada ya kuposti insta ukaja gonga like hapa tupo pamojaaa
the song is a true story marafiki s chote kingaacho n dhahabu usimpe moyo usije kaliaa
Kama na w unachek hii ngoma 2020 weka like yko
Atali sana ili ngoma du!
@@shabnmbango5100 pamoja sana
@@shabnmbango5100 aatt
Neyba anatisha
iko.
Huu Naupenda sana zaidi ya sana.huyu mwimbaji mwenyewe ananivutia sana big up Abdul Kiba
who's watching today 2019? this song is classic. Huyu Neyba kapotelea wapi?
Ni mbinu IPi hii wasanii wa kitambo walitumia ngoma zao haziishi ladha jamani?Tamu Hadi kisogoni🙌🔥
Yan acha tu .....had raha
zinakukumbusha za hizo ndo maana unaona kal . japo kwl n kali.
2019 bado nacheki hii ngoma, kama na ww gonga like.
Yani nakumbuka zamani
Tupo 2020 mkuu
Ninoma sana
Sambu Ching'oro Safi sna
Son kali sana, vipi 2023 gonga likes kama tupo pamoja.
2023 bongo music forever ❤🇰🇪🇹🇿
Bingwa wa viduku bingwa wa vigodoro ata huku kwetu wapo sana ase nimekuwa najionea mwenyewe big up ney saiv ndo nimemwelewa ney na mwanzoni nilipo kuwa cjui nilimwelewa sana abdu kiba ila saiv najionea na nimeelewa sana ney alivo kuwa akiimba hapa all in all big upp wimbo huu mzur unamafunzo sana hasa kwa sisi vijana wa kisasa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏♥️
Kama hii ngoma inakugusa Kama my gonga like tujuane 2019
nawakumbuka sana ndgu zangu now ni marehemu walikua wanaupenda huu wimbo uko api judy msungu and dada yako ester msungu dunia hii daah nimelia kwa machozi
Jamn
acha tu dunia hii
kiukweli wimbo huu unagusa maisha yangu wakati na mwanadada mmoja du!!!
Nilikuwa naomba mtafute nyinbo ya neyba inayoitwa ahadi ya kweli ukiipenda urudi unipe like yangu
Neyba namkubali sana nyimbo zake akuchi kunakucha na uje ngoma kali sana
Kam unaamini iingoma ndio ngoma bora ya muda wote ya abdu like apa
Tuliopo hapa 2025😂
😂😂
Best song forever always for me seen as new hit ov all time ❤❤😅😅
Hatari sana nina history nahii ngomaa daah jamani hizii ndo zilikuwaga songs kalii🙏💥💥
2019, tupo?? like APA.
Bado ni Hit song 2024🔥🎉❤
I remember this song 🇰🇪🇰🇪
Big respect to Abdul kiba
Pamoja ndugu yangu
Kviijggghiugggghyhhghhuuyyuiuggyuutriirifduwwfhkjg dtihftfiugggyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy
hvii Abdul kiba utakuja kutoa nyimbo nzurii zaidii ya hii kwelii.....hata iifikie tu hii
Ngoma imeenda skuli,,bado naipenda 254
Imetulia tuu sana
Abdul kiba hapa alikua hajaingiwa na upepo wa kusulisuli alikua yuaja kwa kasi kimziki ,jiziki safi sana
I love this song. Abdul Kina.. ur the Best.. love song always bro
Now 2023 ..abduukiba neiba na ney hamtokuja kuimba nyimbo Kamahii🙌
Wangap bd tunaikubali nyimbo hii mwaka huu ikiwa Leo 16/2/2021
2024 at midnight am still awake to listen to this on a Friday night ❤
Nipen like nyingi hili dude
Ebwanae mziki mzuri haujifichi Ngoma tamu mpaka Kesho 2025💯
2024 still listening ❤❤😊
hiii nyimbo atowe tena kwa kumshirikisha mboso itakaa poa
Abdu Kiba Feat Nay , Neiba na mboso hapo itakaa poa sana
au munaonaje
ambao tupo hapa 2024 tujuane july❤
Nakubali Sana mumeua vaibu namshukuru mungu neyba amerudi kwenye game ishallah mungu amufanyie wepesi namkubali Sana
neiba anaweza huyo jamaaa
Ali kiba family Noma kimusic
Ngoma za zamani zilikua na kijiujumbe frani ivi Kwa ndani ila ngoma za saiz Zimejaa na matusi tu ila hii ngoma myaka 100000 inaishi tu❤❤❤
nani yuko na hii ngoma 2018????????
king studio inakufaa abdul achana na wcb
31 December 2019 12 pm upo na ww u afunga nayo mwaka gonga like
Hii combination ni mwisho wa matatizo. Safi sana.