Ali Kiba feat Mr. Mim - Hadithi
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- www.eastafrican... ~ Bongo Flava Video from Tanzania in East Africa, For More Videos Please Check Out EastAfricanTube
Listen to Bongo Radio LIVE at tinyurl.com/Bo...
Visit our website at www.bongoradio...
Download our Bongo Radio Android App for LIVE Streaming at tinyurl.com/bo...
Download our Bongo Radio iPhone App for LIVE Streaming at tinyurl.com/bo...
"The True Size of Africa" T-Shirts buy at www.amazon.com...
"The True Size of Africa" Sweatshirts buy at www.amazon.com...
"Mama Africa Love" Tshirts buy at www.amazon.com...
"Hope is the Message" T-Shirts buy at www.amazon.com...
"Keep Life Simple" Tshirts buy at www.amazon.com...
Bongo Radio Tshirts buy at www.amazon.com...
Bongo Radio Sweatshirts buy here www.amazon.com...
*PLEASE SUBSCRIBE TO OUR CHANNEL*
Tunaotazama tena 2024 naomba like Tafadhali
tupo pamoja
When i was aly fan but before chibu trend
Tupo
Tuko wengi kutokea uganda 🇺🇬
TUPO
Kiba nakuuomba ssana uirudie hii ngoma itolee RIMMIX tafadhari sana... huu moto ni balaa mpaka tunaenda 2024 😢😢
Kiba ikitokea ukairemix naomba unishilikishe by black Johnson musoma moja ❤❤❤❤❤
kuna muda anaiskiliza hii 2024 jaman bas like au comment hapa chini
Kiba aifanyie limix hii ngoma ni balaa sana
Zitadum sana
2po
Mobeto ndie ananileta hapa.
Am inlove with this song,2024 fam 🎉
It's very nice guys😍😍😍😍 Utafikiri himetoka jana tu😍😍😍😍 kam unaamini ngonga like twende sawa.
acha tu
Khalfan mapinda kaka mwenyez mungu akulaze mahali pema pepon uko ulipo.nyimbo naikumbuka nipo kwako unatupokea mwanza air port 2011.ipo cku tutaonana kaka
Jamani Alikiba hii song kila nikiiskia lazima kunamambo flani nitayakumbuka yalionitokea kwenye maisha yangu😭😭😭ilikuwa nihuzuni kwangu.kila nikitaka kuyakumbuka lazima nitafute huu mziki niuskilize
Hayakuumiz, ucngekuwa unataka kuyakumbuka
Pole Sana ndo maisha
Noma sana@
Mm nakumbuk niliondk nilimuach mpenz wang yan daaa
Pole my 💯💯💯💯💯🤣🤣🤣
Alikiba bro hii ni moja ya ngoma kubwa kutoka kwako na itaishi milele .I reminisce man😢
2024 gonga like naipenda hii song
kumbe huyu mwamba alifanya colabo za majuu akiwa mdogo hivi, nowonder akiona wengine wakifanya collabo na watu w majuu kwake anaona ni vitu za kawaida bt kwa wengine wanaona basi ndio wamefika, Ali is the king..kule alisha tinga kitamboooooo
Wale wakuanzia miaka 1988 Tujuane kwa koment like
Tujue hii ngoma ilitoka mwaka gani😅
Ilitoka 2009
KIBA AISEE ILI GOMA ULIINGIA NA UBUNIFU MKUBW SANA, ALICHUKUA KIPANDE CHA KIHINDI KUTOKA KWA MAREHEMU MZEE MOHD RAFI KONGOLE KWAKE KING KIBA 👏👏
2024 na bado iko moto 🎉 Respect to the only King 💯🙌 #love from 🇰🇪
nina imani wapenzi wa sanaa na itikadi ya mwelekeyo kwa washika dau ,hapa nimeinamisha 'HADITHI !!! ALI KIBA shukrani sana inshallah mwenyezi mungu akuzidishiye!!!
Anaejiita simba wakati huo bado ndiyo kwaanza ananyonya 😀😀😀😀😀big up King👑 Kiba. Listening 2017
😂😂😂
Erasto Solomon😂😂😂😂😂kabisaaa
Khadija Khadija huyu jamaa ndio king wa bongo flava in Tanzania
😂 😂 😂 😂
Erasto Solomon
uliniambia unanipenda sanaaa nikusaidie, roho yako inadunda ukinionaa nikuhurumiee. ha ha ha ha hatarii sana hii hadithi
who’s here 2024 king 👑 😊
December 11th 2024 all the way from Zambia
2023 here I come,great work Mr Kiba. Watching from margin of coastal region of Kenya 🇰🇪 (Mombasa)
Waona angalia huh wimbo mpaka like hapa tujuane # team kiba
Kumbe kiba nae alikuwa loverboy ezi zake keep burning bro nitakufagilia till last minute
Enzi hizo hii ngoma ipo hit mondi sizani kama alikua hata kwenye ramani hapo ndipo utaamini kuwa kiba ni king..we love u brother
❤
Diamond anasema huu ndio wimbo wake Bora wa muda wote
Siach kukushabikia my brother Aliy 👌👌👍👆😘😘
Team kiba forever
Nice song kiba kudos
Alli kiba Fundi sana
Hadija
hii nyimbo kama imetoka jana
Alikiba is more than a legend...... A living legend.......
Nani anaangalia hii 2019? Like hapa
I'll never get tired of this song,,💯
kama kupenda ni dhambi me basii, narudi kwa mola niombe radhii
Mfalme wa bongo fleva ni mmoja tuh KING 👑 KIBA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 10-10-2024 na kuendelea tutazidi kusapoti king WETU
dah......we ndio king kiba.umetisha nice song
fatuma Ababy fatuma sikuizi nakuona sana upande wa wcb👂👈
OSTAZ CLASSIC 😁
Wewe ni king of bongo fleva hao wengine kwa upande wangu siwafahamu
😂😂😂
Hii ngoma niya kitambo sana nkiwa kijana mdogo.nlianza kuiskiza 2007 sai nko 31yrs
Zarau na matusi yote nilivumilia, wakiwemo marafiki wote wakishuhudia. Heshima ya mapenzi pale pale japo hujaridhia... Ali the Best.
Rabi Moise
Aristhode
Tujuane basi
Like kama bado unaichek ngoma hiyi
Walikupata kwa game na hawatakuweza wapi king kiba fans
💯🙌🏼
I breaked into tears 2015
Hii ni ile ngoma moto inakupa motisha
2021 bado tunasikia
The living legend 2023 and still listening this amazing song from king
Ali Kiba is better than Diamond because of this song...PERIOD.....!!!!
true
Mim.nampenda mpka 2019 and 2050
Ali k 4real
How abt nowadays ?
@@husseinmachozi2848 diamond anafanya biashara si mziki that's why anazidi alikiba hela .Ali naye anazidi mondi kuimba mziki wake unajiuza kwa ajili ya mvuto c yeye anauuza hiyo ndo tofauti ya Ali na mondi mm nawapenda wote kwenye maswala ya burudani
so sweet ally! maneno wayapanga sawia kabisa dr
mm ctak kuomba like ya mtu yeyote ila kubali au ukatae huyu ndo mfalme wa bongo fleva. king#
Alikiba batter than diamond who is watching 2019....
Mm hapa
Me am watching now
NaBad iyo NoLoL me
Na mm
Utapata taabu sana dogo
Nakupenda Ali....this reminds me of an old love hadithi tamu...kuwaste time
Hi
Aisha N.D me 2
eti simba mm nipo nacheki apa kitu toka miaka hiyo Leo 2019 mwezi 4 kitu bado kipya uyo ndiyo king atabaki kuwa juu kama pielee konk fayaaa.
Elia Richard ata mm nakubali huyu jama mpaka kufa
Ngoma ni kali ila ishu kiba haimbi tena aina hii ya muziki na ndio anapokosea sana maana ametoka kwa laini hii kwa kasi kubwaa.
Acha nafiki ili goma ni mwaka 2010
Hii niya kwetu wenyewe pure bongo fleva. Huyu jamaa pekeyake ndiye alie bakia kuupigania muziki wetu wengine wanaimba miziki ya inchi zingine ilimladi wawe kwenye trend, much respect my big brother Ali
I've never heard this one am falling in love again with kiba❤
Asee...iko vizuri bado hii hapa 2024
nc song, always ur de one king kiba ,mond kacheze mbali aiseee!!!!!!!!!!!!
Penda sana King kiba huy anae jiit ximba akatoe mikos kwanga ❣️❣️ King kiba 4 lil
This dudes music stands firm against the test of time,most of his hit don’t lose flavors for dayZ.
Ali k Mambo mbaya toka kitambo. Nakutambua ndo maana nakushabikia. My role model
"...this is Ali ....Ali Kibaaa "
You are always the best one bro.
Bonge la ngoma king anajua bhana 🔥🔥
My favourite artist wa mda wote Alikiba..........❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
braza kaka aise.......penda sana mzic yako iko levo moja matata sana lyk zat...
Wale wa 2070s hii inawahusu..❤kingkiba from 🇰🇪🇰🇪
His voice always makes me wanna cry out of happiness
Kiba ni bishoo toka mond anajitafuta kiba on🔥🔥
masha'allah kibaa...napenda sanaa hii ngoma....
Much love from Congo 🇨🇩 2023✌️
Kama uko hapa baada ya diamond kuimba hili dudee kali nambie like 🔥🔥januar 2020
Yaaani hapa hakuna cha simba wala yanga kingkiba unauagaaa saanaaa you're a Gold brother
2024 November mko wapi
Unasifa zote za kuitwa msanii,kioo cha jamii and king of afrika.cnachakuzungumza niishie apo
Kama umeamua kuipiga upya hii ngoma baada ya diamond kuikubali like twende sawa 2020
😂
I love this song coz it was sang a day after my birthday..my G ali❤
Ali Kiba is da best in swahili music,love him love him
Mapenzi yanatesa sana 😢😢
Kiukweli m nimemc alikiba huyuuuu,,,,,,,, still listening In 2020
2024 stll a hit🔥 much love from kenya 🇰🇪
Ngoma Moto Hadi waleo jamani....likes 2021 hapaaaa😘😘
You still on top. We ni wa pekee kiba
Kama 2019 tupo pamoja gonga like hapa.
Ali k 4 real
tupo
dah huyu jamaa hawamuezi bc tu jamaa tangu zama hizo media hazina nguvu mpka ss yupo na Anatoa hit tu salute sana king kiba
Kama unaangalia 2020 like tujuane! Kings music
Nimeisikia ikipigwa sehemu kwa mbaaali nikaikimbilia chapu, hii ngoma bado nikali hadi Leo hii 2024🎉
forever Ali Kiba nice song.
Kiba sifanye utalatibu hizi ngoma za zamani aziweke kwenye akaunt yake kwahivi kufaidisha tu mengne
Daaah kiba apana 2019.. Bado hii ngoma inanikill🔥💡
no1 like king in TZ. anaebisha mchawi
listen 2019 good music bado yamoto sana hizi mashine hapa kiba ulituliza matako gonga like kama unakubali
20 years Bado nko kwa kingi nan Ako na mimi
This song dah, 2021 still can't get enough, mad tune 🙌
Kwamba alikiba hajui kuimba😂 Woiii Diamond anajua biashara ila kwenye kipaji Kiba yupo mbali sana asee
2020 like kwa kiba
The best song of all time in Tanzania 2024
The one and only king of music of africa
Daa king kiba Anajua san uyu jamaa
Back again in 2023,,alikiba is monster ❤️🙌
2020 ivi kunaweny bado mnaskiliz kama mm mzki mzr unaishi sio yule wa week moja umezima
Alikiba always is the best who's watching with me 2020 king kiba
Kama unaangalia baada ya shobo za mondii gonga li LIKE Likubwaa
2023 and still rocking, ALIK is a Raw talent.
❤
Muache aitwe king af ao wengine masimba na machui..team kiba ❤❤
i love this song to death even after 100 years if i will be still existing i won't get tired to listen to it
The defination of a masterpiece
Love this song
Mh! I think no one like you King-Kiba
💯🙌🏼
Ngoma kali na ikipigwa popote pale bado inabamba mnoo, king 👑🙌 bado ni Hit 2023
Dope,love from Kenya...
Diamond kipind icho mimba Ali we ni king
Who's here in 2024❤ king kiba
niko hapa
Mm bhana kwa kwa king cjawah ona upungufu Kama ni mthian bas ni 💯