🤣🤣🤣🤣🤣Kweli kabisa hata Mimi nimekuja huku kumuangalia Nicole Yani narudia rudia kila wakati Yani hata siamini kama ndie yeye 😂😂😂ila huyu dada nilimpendaga toka kitambo hicho Yani nilimpendaga Sana jinsi kalivyo kaa
Maisha yana siri kubwa sana. Imagine sumalee alitrend akiwa hana ata you tube account, I wish ata angekuwa nayo nisubscribe just to show how much i appreciate what he did back then, he did it and leave😭😭 so sad for real, I can see izi motion zake kwenye video, dah naona kama vile sumalee mziki ulikua unamhitaji sana, anyway Mungu amlinde uko aliko🥺🤛. 2024🎉🎉.
hakunaga ni nyimbo nayoikubal sana tangu 2012 mpaka saivi 2022 ila nikitafuta boomplay nakosa ila kweny computer yang napata kwann sasa sometime nahitaji kusikiliza kwenye cm ndio ivo inashindikana na katika hii nyimbo namkumbuka sana rafiki yangu wa primary adam na hussein
Diamond just released Enjoy, I came back here to compare nione if hakunanga will lose it’s position as my all time favorite song, but no, the year is 2023 and this song still remains my number one
Best song ever recorded in Tanzania Mind you, Mb dogi is my favorite tz artist Lakini hii ngoma apa man, hakutawai kua na kubwa shinda hii. My opinion though 😊 The end part is kila kitu
Tunaoiskiliz hii ngoma 2024 gonga like❤
Tunaoiskiliz hii ngoma 2024 gonga like❤
Mimi hapa
❤
Wapi waleee❤❤
❤❤🎉
We are here ❤❤❤
Tuliokuja huku kumuangalia nicole tujuane😂😂😂
Hhhh
where is she?
I think n huyo video vixen😂
Mi mbon sijamuona aise
Tuko wengi aiseee
2024 tupo nayo❤
When music was still fresh
Nikiiangalia hii video namkumbuka Sana classmate wangu huyu video qeen swahibati Selemani daah natamani maisha ya shule yarudi nyuma 😔😔😔♥️
Amazing song, gives me a lot of positive vibes to start the day off feeling blessed.
Hakunaga nyimbo nzuri mno
Suma aliwakalisha watu huo mwaka mbaya
This the booooom can't go aday without it posive energy
Best song of all time
Et huyu video vicxin ni Nicole duuuuh😄😄😄 maisha banaa
2024 bado naiskiliza hii nyimbo
Hitsong
❤❤
Who still watch this song
Nice
Tommy flavor kanirudisha hapa
2021
July 2024
Wanao itazama adi 2022 like
Inaishi miaka mia
Nicole uko wpi??
2023 mko
🤣🤣🤣🤣2022 tunaomuangalia NICOLE wa bedroom tafuteni hela makalio yapo utuluki😅
simuoni ni yupi apo
Kama huyu ni nicole basi sina haraka na maisha😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣Kweli kabisa hata Mimi nimekuja huku kumuangalia Nicole Yani narudia rudia kila wakati Yani hata siamini kama ndie yeye 😂😂😂ila huyu dada nilimpendaga toka kitambo hicho Yani nilimpendaga Sana jinsi kalivyo kaa
Sio nikole huyo swahibati Mimi nilisoma nae msingi
Nicole
Wa mwaka wa leo 2024 gonga like 👍🏿👍🏿👍🏿
2024 bado narudia hapa ❤
Haichoshi mazee, dah madogo wasiojua izi wamekosa utamu
Hakunaga 2021 Gonga likes tu! Suma lee aliuaga kwenye hili goma akaacha na muziki.
Aliyemuona diamond anakata uno gonga like hapa
Nice
Hayuko
😂umetisha mwamba
Iii wimbo daily lazima niskize😊
Hii nyimbo hata ukiwa umelala unaamka nakumbuka miaka iyo 2012 high scul... this was song was a damn banger
Dahh nilikua form two kipindi hiyo maisha yanakwenda kwa kasi kweli
The best sumalee… Hakika mungu humuongoa amtakae 👏👏👏
Tunaoiskiliz hii ngoma 2024 gonga like❤
Ama kweli pesa sabuni ya mwili huyu ndo NICOLE 😆😆😆
Ni Nicole kwel??
Nauangalia mara ya 5 bdo sura yake hainijii siamn😂
Duh mm nmekuja baada ya ile interview ni vitu viwili tofauti AF anabisha mm nauliza tu Nicole umetoa wapi takoooo
@@emmybasley9293 mm nimekuja baada yakuangalia interview ya nicole kwa dida😂🤣😂😂
😂😂😂😂😂😂hmn jmn
Nimejikuta huku nikikumbuka Quality ya Bongo muzik, miaka ya majuuzi tu! 😘❤💋👄 @Suma Lee uliwezaa! 💪😎
Hakunaga Kama MAGUFULI rest in peace..😰
Amen 🙏🏽
Miaka inakwenda kwa kasi kweli by that time nilikua kidato cha pili asee😂😂😂😂
duh kitambo sana jmn umezeeka siyo poa
Hakunaga 2022 ...vibe🔥🔥
Bado ina hit kinoma 🗣
Maisha yana siri kubwa sana. Imagine sumalee alitrend akiwa hana ata you tube account, I wish ata angekuwa nayo nisubscribe just to show how much i appreciate what he did back then, he did it and leave😭😭 so sad for real, I can see izi motion zake kwenye video, dah naona kama vile sumalee mziki ulikua unamhitaji sana, anyway Mungu amlinde uko aliko🥺🤛. 2024🎉🎉.
Waliomuona Nicoleberry tujuane😃😃😃,kumbe kwel ni yeye
Sio huyu video queen anaitwa Sabrina
kwani nicole menyew ndo yuko wap au ndo uyo mdada apo
hakunaga ni nyimbo nayoikubal sana tangu 2012 mpaka saivi 2022 ila nikitafuta boomplay nakosa ila kweny computer yang napata kwann sasa sometime nahitaji kusikiliza kwenye cm ndio ivo inashindikana na katika hii nyimbo namkumbuka sana rafiki yangu wa primary adam na hussein
Itafute vidimate kaka. Utapata audio kabisa
Song hili 2011 namaliza la saba daaar
ndomwaka namimi namaliza lasaba
Jamani natafuta Nicole na simuoni,ni ako kasichana au?
aisee ata mm ndo najiuliza apa.katakuwa ndo ako na kam ni ako hahaha atar sana
yan nimemtafuta kma ww aisee
😂😂😂😂wengi tumekimbilia uku baaada ya interview
@@zulfahalily6095 tuko wengin mm pia baada ya interview ndo nmekuj
@@jescaadruf6079 hhhhh ata mimi nimekuja uku kumutafuta tu Nicole pesa nisabuni ya maisha ndo Nicole uyo anaeturingia mujini
Diamond just released Enjoy, I came back here to compare nione if hakunanga will lose it’s position as my all time favorite song, but no, the year is 2023 and this song still remains my number one
Jambo. Wazima nyumbani kwenu ? Mimi mzima namshukuru muhumba wa mbingu na ardhi kuona ameniamusha mzima kwa siku ya leo. Ngoma Safi kweli!!!
hakunaga sumalee gonga like 2024 wadau
Nimemuon Nicole
Jamani sumalee come back kwenye music bas tumemiss magoma kama haya
Wimbo wa taifa zima..the best song ever
the guy wearing pink shirt makes me repeat this song more and more.. still vibing till now 2022
Wooow nakumbukia mbali mnooo!! Hakunaga, suma diamond mwenyew anaujua uwepo wako mzee!!!
Best song ever recorded in Tanzania
Mind you, Mb dogi is my favorite tz artist
Lakini hii ngoma apa man, hakutawai kua na kubwa shinda hii.
My opinion though 😊
The end part is kila kitu
2024
Huyo mwenye kilemba ndo nicole 😮😮😮au
2024 bado tunaiskiza hii
jaman namtafuta huyo Nicole . .. atayemuona anishtue
Tuko pamoja mwezangu hata na mimi namtafuta 😂😂
😂😂😂
Wangapi tunangalia 2021 kumuangalia nicol😂😂😂😂😂👌
Tup weng
Ha kumbe n ni col
Jambo. Ngoma kali iyo
Nimekuja huku kumtafuta Nicole wa Huba
🤣🤣🤣🤣🤣
Damn, nostalgic. When I had no bills or a nasty baby mama
Another year 2023 but am still in love with the song ❤❤❤
Namkubukaga marychui wangu 😚ilala ,kila nikimpigiaga nakutana na hii.....
Alichukuaga tuzo mbele ya mondi
2024 ngoma inabamba tu
here we goooo 2024 forever hit song❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤
Those dance moves aishiii 💯 2024
Baada ya interview ya Nicole
We ni mm kabisaa😂😂
Kabsa nimekuja huku kupitia comment za Interview
Hv nikole ndo hako kadem
@@ynawtyynot1261 ahahaha 😂😂😂
Baada ya interview ya nicol
Wangap tumemuona diamond akicheza
hyo kofia kama ya upinde
Hakunanga 2024.
Ngoma bila tusi bonge la hit
Tanga wanajua
Saaana
Nimeimisi ledioyanguyambao
bado narudia hiii ngoma
Siezi choka kusikiliza hio 🎉
Waaaaa mda unaenda mbio sana nkikumbuka pale eld Annex ❤❤
Mrud kwa allah
Daah ni mda mrefu
2024 here we go 🤩🤩🤩
Ibrahimu abdallah
Kuna mtu kasema Nicole yupo humu imebid Nike nmtafute japo cjafanikiwa😅
Hii Ngoma na video inanikumbusha mapenzi yetu ya balehe ,migomigo,ila ujumbe mzuri..
2022 lakini nikama jana sumalee dem days
Tupo
Jambo. Ngoma kali iyo
Jambo. Ngoma kali iyo !!!
Nilikuja kumuangalia nicoleberry 😂
Mbn simuonii,😃
@@halmatsembe3037 uyo video queen 🤣
nmekuja kumtafuta nicole
still our fave 2022❤️
😘😘😘😘mhhhm nmejikuta nakumba sekondar form one 2013 👌 niljua kuwakimbiza haswa
Suma wewe ni noma,
Nicole umejua kuudangisha mshono.... Kutoka hakunaga had ✊...umeupga mwing
Nice
Hii ngoma inge fanyiwa remix. Italudi upya tena