I remember those days I had a girlfriend and she was cheating and I had to stay until midnight listening to this song and feeling how she was looking like video vixen of this video...thanks God we breakup and after few months she tested HIV positive and pregnant. I went to test and found myself negative from HIV from that days I learned not to force love... I'm safe my family is safe and somehow we're successful.
Najikuta nashindwa kuna muda nawaza upumbavu (hook!) Vile ulivyonibiduwa naye unambiduwa vilivile Kisha nawaza Vile ulivyonihemea naye unamuhemea vilevile Ni mawazo tu sina plan za kurudi i love this song like crazy!! much love from 254 toBarnaba boi
Niliachagwa na mpnz wang nilifukuzwa kz gafla nae akaniambia tuachane yn nilipata tabu sana kumsahau. Gafla mungu akaniletea chaguo langu nampenda sana na naishi nae.nyimbo ina nikumbusha mbali sana
Inanikumbusha demu wangu flani alivyokuwa ananiringia...sasa yashapita nimepata mwingine na tumeoana na ananipendaje..yule anazeeka tu. gonga like kama kwako yamepita😂😂😂
honhera xn my bro, wimbo wako unanikumbusha kipindi flani hv yalinitokra yalionitokea ila yashapita nami namshukuru mungu hakuna kinachodumu milele, wimbo mzuri xn hongera my dear😍😍
🌸☺️💋I love you Barnaba and all your music may Elohim always bless you and your family your music moves my soul l feel reborn l love this track but my favourite is 🥰Tuachane Mdogo Mdogo🥰, Thank God l found you, l am going to buy this track next week Sir, Much love from Susanne 🇬🇧
Boom! KIBABEEE! Heeh! Emma ze boy on the beat(classic!) Bribababeiii!!! Pull up! (Radadaa ...) Nilimpenda miaka tisa penzi la miezi sita likakatisha upendo Chuki akazidisha nakuyaanisha malengo (uouwooh!) Najutia muda kupoteza malengo (oooooh!) Kama kinywa kakitia pengo Mapenzi yanauma (yeee!) Nalala! Na moyo sio chuma (eeeeeeh!) Na mapenzii hayana Komando (enhe!) Na moyo wangu ("eheheheeeh")naubeba kwenye Rambo (eeeh!) Onanananaa, Niliforce kupenda pengine eti nafsi itatulia Ila wapii kipendacho roho hula Nyama mbichi (Onanananaa! aaaaah! eeeeeh!) Sina budi kukubaliana na uamuzi aliochukua Kama mpenzi ntapata mwingine na nafsi Itatulia 'mmmh' Onanananaa! aaaaah! eeeeeh! Yatakishaa Hizo nyodo za kupostiana Instagram, Yatapita! Mara Snapchat, mara Facebook na ntasahau! Nitaachacha kulia na mwili kubaki kaukau Najikuta nashindwa kuna muda nawaza upumbavu (hook!) Vile ulivyonibiduwa naye unambiduwa vilivile Kisha nawaza Vile ulivyonihemea naye unamuhemea vilevile Ni mawazo tu sina plan za kurudi Kwa alivyoniadhibuuuuuh, ebwana usiskie Mapenzi yanauma (yeee!) Na moyo sio chuma (eeeeeeh!) Na mapenzii hayana Komando Na moyo wangu kaubeba kwenye Rambo (Noooouoooh!! "eeeeeh") Yatakwisha Hizo nyodo napiga simu unajitia hunijui Yatapita' Mara unakata Mara unampa mpenzi wako kunitukana, na ntasahau (nooooouooooooh!) Mwili kubaki kaukau, Mwanzoni nilishindwa kwa sasa ninasema 'mapenzi basi' Penzi lako painkiller 'nami nasema basi' Penzi lako snak 'kukupenda basi' Kupenda basiiiiih!! noouoooh! 'mapenzi basi' Penzi lako painkiller 'nami nasema basi' Penzi lako snak 'kukupenda basi' Kupenda basiiiiih!! noouoooh! 'Yatakwisha!' Yatakwisha babee iiieeeh enheee! 'Yatapita' Mapenzi yanaweza kukupeleka Jehanam 'nantasahau' Nantasau (Noooouuuuh!)kichwani mwangu ntakutoa 'mwili kubaki kaukau' Mwilii, Mwilii! iiiih! Goes around comes around This is Barnaba boi Classic Be happy in Your Lives Baby Classic
Wow,,,🎼🎼🎼🎶🎶🎶💃💃💃💃😘😘😘♥️♥️yanauma kweli 🙆♂️🙆♂️🎶💃💃💃am here 2020 july wapi likes zangu,,i just like this guy,,,barnabas nawaza upumbazu ,,,can't stop dancing 🎶🎶💃💃💃💞💞
you touched my heart daah.....Nimekua n mtu kwenye mahusiano miaka kama 4 hiv lkn baada tu y kua busy n Masomo ndani y miez 2 kanisaliti daah mpk kambebesha mtu MIMBA...inaumiza sana but I hope yatakwisha. Big up bro
hihi nyimbo naipenda sana nimetendwa na mume wangu yaan alimwambia maisha yangu yote yule mwanamke maisha yangu na hata tukigombna anamsimlia na mwanamke alikua tunaish nae nyumba moja yule alikua rafk angu anawa anataka kuingia kwa nguv kweny ndoa yangu alinisababisha talaka 2 na sasa nipo na mume wangu lakin siwenz kumsahau yule mwanamke aliuyumbisha sana ndoa yangu
Hii ni moja kati ya dhahabu chache zilizobakia katika kiwanda cha muziki "classic" hapa Tanzania ambayo bado Watanzania hawajatilia maanani thamani yake... Kazi nzuri kama kawaida yako! Endeleza vita ya muziki classic kaka
Mimi na kupenda sana tu usitesekwe moyo ila kwa shariti moja mpe mungu maisha yako uone uleupendo wa kweli siku zote una sura mbili ila kwa mungu ni sura moja upendo tuuu
Barnaba ni msanii pekee asiye toka kwa mada verse zake zina hisia zote
true
Charlo Msanifu
said Ulomi nambie
Kweli
Barnaba
Anajuwa
Yani mulemule
Tunao skiza hii ngoma aki pitieni na like, ingawa tuna majonzi😭😭😭 ya Baba etu shupavu mtetezi wawa nyonge,, magufuli lala salama my daddy
nilifosi kupenda pengine eti nafsi itatulia lakini wapi...nikimpata tena ninayempenda bado ananizengua tu.. Mapenzi yanauma😭😭💔mapenzi basi
1st January 2023 I still listen to this guy's songs.This guy is so talented maze.
Never gets old
I’m here with you😂 without any heartbreak😂😂
January 2024❤😂
I remember those days I had a girlfriend and she was cheating and I had to stay until midnight listening to this song and feeling how she was looking like video vixen of this video...thanks God we breakup and after few months she tested HIV positive and pregnant. I went to test and found myself negative from HIV from that days I learned not to force love... I'm safe my family is safe and somehow we're successful.
Najikuta nashindwa kuna muda nawaza upumbavu (hook!) Vile ulivyonibiduwa naye unambiduwa vilivile Kisha nawaza Vile ulivyonihemea naye unamuhemea vilevile Ni mawazo tu sina plan za kurudi
i love this song like crazy!! much love from 254 toBarnaba boi
Nhuu wimbo mzuli umenilenga mimi kabisa Barnaba yaani mapenzi yanauma sana kakangu 💓💓💕💕💞💞😭😭
kama hujawahi penda sana afu ukaachwa huwezi Iielew hili goma
😢😢
Tunda man officaly 😂😂😂😂😂
Acha tu 😭😭😭😭, tunaish kwenye dunia ambayo tunawatesa wanaotupenda na tunawapenda wanaotuumiza😭😭😭✋ mapenz yanauma acha tu 😭😭🙏
Sad story💯
@@gracemmasi2141 😅😅😅😅😅
Bongo wanaweza sema hatupendani bigup barnaba mapenzi jeneza
Daaah yatapita tu bna,, kma cio rizik bora iendee.big up barnaba..... Touching song ,, nakubar,,, gudy heat whoaa... Luv it
Touching story!
Big up Sana mtu mzima Barnaba
Yatapita(tumeumbiwa kusahau)
Barnaba is my new bongo flava artist
barnaba nyimbo nzr sana
hahah ulitendwa ,,,eeeehhhh😥😥
E
Niliachagwa na mpnz wang nilifukuzwa kz gafla nae akaniambia tuachane yn nilipata tabu sana kumsahau. Gafla mungu akaniletea chaguo langu nampenda sana na naishi nae.nyimbo ina nikumbusha mbali sana
Mie ndo napitia hii hali sahivi na nimeachwaa na mtoto,,ooh hope nami nitampata chaguo langu..
@@mariamibrahj1591 pole sana mungu atakupa Chaguo lako mpz
nakupendaa sanaaa barnaba
Vile ulivyonibidua naye unambidua vilvile...vile ulivyonihemea naye unamuhemea vilevile...ur the best"
Mi ndomana sipendi ngoma zako, sa ndo nini unanitoa machozi jamani,,,, kupenda baaasiii heee yatakishaaaa. 👏👏👏👌
yupo vizuri
he is a good one
hahahahaaa umefanya nicheke
jamani hii nyimbo naipenda sana na inanikumbusha mbali
michael gakwandi nimelia mpaka
Wapi likes za huyu msela ! Mob love from +254
Nampenda sana huyu ninnomaa😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😙😙😙😙😚😚😚😚😚
Yani hii wimbo ukiusikilz unakuumz kabisa dah barnaba upo juuu kaz Buti iv iv
Mapenzi inauma sana,kwanza ukipenda mtu akupendi......na ni kweli mapenzi inaeza kkupeleka jehanamu.....wenye bado tunalia 2022 juu ya mapenzi tujuane
Ni watu wachache ambao hawajatendwa kwenye mahusiano. So kila ausikilizae lazima aupende. Big up sana Barnaba.
Kama yupo ambaye hajatendwa basi bado ajaingia kwenye mapenzi ila ukiingia lazima mbuluzane kwanza ndo somo lenyewe la mapenzi
Mapenzi jeneza+washa +nyang'anyang'a ___🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 umeitendea haki album....💯
Gonga like kama unadhani afaa kufanya collabo na Alikiba.....wimbo mtamu sana
Naona utabiri wako ilitimia
Yatakwishaaaaaa. Ntampata mwingine nafsi itatulia............. Haha
nimependa ngoma kareeeeeee sema woyoooooo😘😘😘😘
Zahra zahra woyooooooooo
kanyimbo kazur
Zahra zahra woyoooooooooooooo
Zahra zahra umeipend san zahr
Oyoooooo
Mapenzi yanaweza kukupeleka jehanamu 😱🤷🏻♀️👌❤️
Ndikumana Jacqueline kabisa my
Hujakosea
Inanikumbusha demu wangu flani alivyokuwa ananiringia...sasa yashapita nimepata mwingine na tumeoana na ananipendaje..yule anazeeka tu. gonga like kama kwako yamepita😂😂😂
nimekukubar sana
Weraaaaaaaaaaaa
Claus Ngowi p
Claus Ngowi inanikumbusha mbali sn nilikuwa nateseka na mapenz ss nimepata mwingine mapenz bubashara
Umeona
Naipenda sana hii nyimbo kusema ukweli huwa nikiisikiliza nakumbuka mbali sana🙄🙄😭😭😭
😭😭
Pole Dear
Huu wimbo unanigusa sana. Big up
poa sana
Pole sana
huko pekeako
Penda sana
Hahhaha hata mm pia kabisaaa
Penda sana ngoma zakoo,,, hukoseagiii👊👊
huy kaka anajua kuimba kweli.. saut kali. voko kam lote
Nakpenda Barnaba....kaz nzuri mkubwa wangu
Daaah huu wimbo mpaka nimeweka wakuitia kwa sm yangu ni mwaka sas sijabadilisha love this song
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nani bado ana uskiza huu wimbo ulivyo mtamu gonga like ✔✔✔✔✔✔🗣🗣🗣🎧🎵🎼🎶🎸😍
mama peku peku
Izolinke munazipeleka wap
Alafu na yule jamaa kamtema sasa patamu apoooo goma limejirudia
Mimi
Kaimba sana jamaa
ntakuwa nimefanya makosa makubwaaa saan kupita bila comment bonge ya NGOMA bigg upp
Kweli kabisa ngoma kariii cnaa 💪💪
Mm mwenyewe naikubali acha
huuu wimbo unatoa machoz jamn hasa km ulishawah kuumizwa na mapenzii😭😭😭
Phinias Gewa 😢😢😢
Duh acha tu😪😪😪
Nimekuwa WA 99 kukomenti kwa brother angu barnaba namkubali mgonge like wajanja WA musik all the way from Korea ya kasikazin
honhera xn my bro, wimbo wako unanikumbusha kipindi flani hv yalinitokra yalionitokea ila yashapita nami namshukuru mungu hakuna kinachodumu milele, wimbo mzuri xn hongera my dear😍😍
Hi
😍😍😍😘😘😘
Love
Haiwezi maliza wiki bila ya kuiangalia hii ngoma yaani hapa barnaba salute kwako inamgusa kila anayejua nini LOVE
da! msanii anaejua siku zote mwendo wake wa kimya
Huyu jamaa yani fundi anajuwa hadi anaudhi .
Mimeipeanda ngoma imebamba
Yani barnaba sijui kwanini napenda mziki wako kupita kiasi daa nakuombea mungu ufanikie na dunia ikujye
Nice tune am obsessed OMG i cant get enough of it I am barnaba's number 1 fan
Nice song
Ni mawazo tu sina plan za kurudi... Mapenzi yanauma big up. Barnaba ngoma tamu Sana hii🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🌸☺️💋I love you Barnaba and all your music may Elohim always bless you and your family your music moves my soul l feel reborn l love this track but my favourite is 🥰Tuachane Mdogo Mdogo🥰, Thank God l found you, l am going to buy this track next week Sir, Much love from Susanne 🇬🇧
Uko very well
au waziri mkuu wa SHILAWADU. .... we fundi toka enzi za rong number hadi sasa 👏👏👏👏
Kuna muda nawaza upumbavu, vile............NI mawazo tuu Sina plan za kurudi +254
Najikuta nashindwa kuna mda nawaza upumbavu....Holy Spirit his is singing someone heart....but sio mimi. 💕💕
daaah barnaba mh mapenz jeneza kupenda kaburi
Barnaba unajua mpk unazidisha.Mungu akubariki
mapenzi hayana komando na moyo wang kaubeba kwenye rambo wozaaaaaaaaaa
Hii ngoma inagusa hisia za wengi well done barnaba
Nani yuko humu 2025 baada ya heartbreak, kuja kujifariji😢
Ngoma kari sana safi brother
ni master
very nice and lovely
sio kari-kali.
Boom! KIBABEEE! Heeh!
Emma ze boy on the beat(classic!)
Bribababeiii!!! Pull up! (Radadaa ...)
Nilimpenda miaka tisa penzi la miezi sita likakatisha upendo
Chuki akazidisha nakuyaanisha malengo (uouwooh!)
Najutia muda kupoteza malengo (oooooh!)
Kama kinywa kakitia pengo
Mapenzi yanauma (yeee!)
Nalala! Na moyo sio chuma (eeeeeeh!)
Na mapenzii hayana Komando (enhe!)
Na moyo wangu ("eheheheeeh")naubeba kwenye Rambo (eeeh!)
Onanananaa, Niliforce kupenda pengine eti nafsi itatulia
Ila wapii kipendacho roho hula
Nyama mbichi (Onanananaa! aaaaah! eeeeeh!)
Sina budi kukubaliana na uamuzi aliochukua
Kama mpenzi ntapata mwingine na nafsi
Itatulia 'mmmh' Onanananaa! aaaaah! eeeeeh!
Yatakishaa
Hizo nyodo za kupostiana Instagram, Yatapita!
Mara Snapchat, mara Facebook na ntasahau!
Nitaachacha kulia na mwili kubaki kaukau
Najikuta nashindwa kuna muda nawaza upumbavu (hook!)
Vile ulivyonibiduwa naye unambiduwa vilivile
Kisha nawaza
Vile ulivyonihemea naye unamuhemea vilevile
Ni mawazo tu sina plan za kurudi
Kwa alivyoniadhibuuuuuh, ebwana usiskie
Mapenzi yanauma (yeee!)
Na moyo sio chuma (eeeeeeh!)
Na mapenzii hayana Komando
Na moyo wangu kaubeba kwenye Rambo (Noooouoooh!! "eeeeeh")
Yatakwisha
Hizo nyodo napiga simu unajitia hunijui Yatapita'
Mara unakata
Mara unampa mpenzi wako kunitukana, na ntasahau (nooooouooooooh!)
Mwili kubaki kaukau,
Mwanzoni nilishindwa kwa sasa ninasema 'mapenzi basi'
Penzi lako painkiller 'nami nasema basi'
Penzi lako snak 'kukupenda basi'
Kupenda basiiiiih!! noouoooh! 'mapenzi basi'
Penzi lako painkiller 'nami nasema basi'
Penzi lako snak 'kukupenda basi'
Kupenda basiiiiih!! noouoooh! 'Yatakwisha!'
Yatakwisha babee iiieeeh enheee! 'Yatapita'
Mapenzi yanaweza kukupeleka Jehanam 'nantasahau'
Nantasau (Noooouuuuh!)kichwani mwangu ntakutoa 'mwili kubaki kaukau'
Mwilii, Mwilii! iiiih!
Goes around comes around
This is Barnaba boi Classic
Be happy in Your Lives Baby
Classic
Congratulations bro this song is killing me I love it so bad ohh 🙌💖💝💞😍😍
sooooo deep ,Barnaba ndio mkali wao
😢😢😢daah km umenimbia mm💔🙏
Tupo wengi
Tumejaa kila siku tunaongezeka
Shabiki wako miaka buku😥😥😥.
kazi nzuri
Nimeupenda bure uo wimbo hongera cnaa barnaba
Asante kututoaa Stress za mitandaonii CLASSIC HIMSELF. 🌟🌟🌟🌟🌟
This is one of the best songs in Tanzania.... nimekuwa nikirudia rudia kuisikiliza mara zote hongera Barnaba
nyimbo nzuri sema wasani wetu bwana mpaka watendwe ndio akili za utunzi zina ongezeka we need to change
mhando255… hahahaha, mpaka waumizwe kimapenzi😀😀
❤️❤️ nyimbo nzuri sana yenye maudhui mazuri pia
Nikiwa Kama muhanga wa mapenzi big up broo nyimbo zako zinanifariji 🙌🙌
Yaan unajua hadi unakera🔥🔥🔥
Always on top
Kipindi hichi nimeachama na baby najifariji tuuuy mwenyew kupitia hii nyimbo asante barnaba
Wow,,,🎼🎼🎼🎶🎶🎶💃💃💃💃😘😘😘♥️♥️yanauma kweli 🙆♂️🙆♂️🎶💃💃💃am here 2020 july wapi likes zangu,,i just like this guy,,,barnabas nawaza upumbazu ,,,can't stop dancing 🎶🎶💃💃💃💞💞
kazi yako naielewa sana kaka mkubwa #team barinaba mwanzo mwisho washamba wale awawezi elewa
you touched my heart daah.....Nimekua n mtu kwenye mahusiano miaka kama 4 hiv lkn baada tu y kua busy n Masomo ndani y miez 2 kanisaliti daah mpk kambebesha mtu MIMBA...inaumiza sana but I hope yatakwisha. Big up bro
mh
Pole
Tuzoee jmn
😭😭
me shabiki ako ntasimama hata ukikaa....keeping the gud music alive....salute baba steve....✌️✌️✌️✌️
Album lini,sio kW melody hizi Mzee Barnaba....
Huyu jamaa huwa habahatishi kabisa ....yani kwaufupi nyimbo zake miaka mia hazizimi katu
keep the good music alive, 🙏🙏🙏🙏
hihi nyimbo naipenda sana nimetendwa na mume wangu yaan alimwambia maisha yangu yote yule mwanamke maisha yangu na hata tukigombna anamsimlia na mwanamke alikua tunaish nae nyumba moja yule alikua rafk angu anawa anataka kuingia kwa nguv kweny ndoa yangu alinisababisha talaka 2 na sasa nipo na mume wangu lakin siwenz kumsahau yule mwanamke aliuyumbisha sana ndoa yangu
Hii ni moja kati ya dhahabu chache zilizobakia katika kiwanda cha muziki "classic" hapa Tanzania ambayo bado Watanzania hawajatilia maanani thamani yake... Kazi nzuri kama kawaida yako! Endeleza vita ya muziki classic kaka
from kibit sielewii kiswahili ila hiii ngoma mamae
Hii ngoma naipenda joman!!!!
18 December I have still listening to this guy song,,it make me memories a certain day when the love was destroyed
🤔🤔🤔yatapita Kweli kazi nzuri Sana mungu akuzidishie kipaji chako 🙏
I really iyo ngoma nikali sana brother keep up bro 🎥📹👓
You always makes us wonder....I love you
Yani umenikumbusha mbali niliachwa bila kosa ,dah niliumia sana ,yani sasa mwenzangu anaangaika mimi najilia rahaaaa nipo na wangu wa ubani
daaaaaah mapenz yanauma e bwana usisikie,umenitach Sana u wimbo,BG UP Broo
Catherine Mgaya catherine ❣️
Duu point ngoma Kali sn siichoki kwa kweli kuisikiza maana ndo maisha ya kila cku duu
Too much love from Uganda 🇺🇬 I love ur music Banarba
Wewe ndiyo king naye kuwelewa mashairi yamenda shule voice tam yani unacfa ya uwana muziki haswa.
loving the vibe
pole mwaya jaman!! ila wimbo mzuri xna keep it up kweli yatakwisha vumilia tu😭😭
Mapenzi hayana komando na moyo wangu kauweka kwenye rambo😥😥
I can't stop listening to this song,,big up barnaba💪💪
Nice video ...I love it.
Kiukweli jombaa B unaukosha sana moyo, salt kwako Barnb
when i say music ,i mean this.....am always loyal to what u do brother...good music alive
Lakni hyu ndo msanii anaejua mambo ya mziki kuliko wote africa mashariki
Noma sana.You nailed it Bro.I love how you sing with
alot of passion.Soo much in love with this good job.
Nimependa huo wimbo, nimependa pia huyo dada alivopendeza na hiyo sketi nyeupe na hiyo top anavotembea, nimependa sana
Nakubali kaka
I like the way u sing, you are sound make me crazy always. Good music
Nakukubali sanakaka
uko vizuri sana
Fatuma Kilave w
Nice song
Mapenzi yanauma na moyo sio chuma
Wow....I like this
Nimekuja tuungane baada ya kuumizwa
ahhaah
Kweli mapenz hayana komandoo
yatakwisha na ntasahau.. kudadeq bonge La ngoma hakyanani mapenz jeneza
kali kinoma..mapenzi jeneza sio utani
Mimi na kupenda sana tu usitesekwe moyo ila kwa shariti moja mpe mungu maisha yako uone uleupendo wa kweli siku zote una sura mbili ila kwa mungu ni sura moja upendo tuuu