Nawashukuru nawapenda Upendo Na Nguvu mnaonipa ni Mkubwa Sana Cha Pili Mungu ndo anajua Namna Gani napambana Juu Yenu Na kwa ajili ya soko letu Na kutengeneza muziki mzuri wenye ADHD nawashukuru mnanipa nguvu Hata Kama wengine awatoi nguvu nyie mnanitosha 🌺💥🍓🤛🏿kazi Juu ya kazi mwaka huu wataeleweka Tu
Barnaba mimi naishi Australia kwa wimbo huu nita subscribe kwa channel yako napenda sana wimbo wakoTunafanana kwa sasa nimekuwa mshabiki wako siku zote. Nipeni like kwa wimbo huu wa Barnaba jamani Australia.
No words we ni kiboko yangu huwa sichoki kukusikiliza hata zile ulizoanza Nazi enzi hizo hazichujii ng'ooooo wengine woteeee hawaimbi ....you were born for music that's why is classic
Baba mwenye muziki wako fanya jambo basi sokoni amna ngoma kali playlist zinaboa sana saivi mzee Baba najua tukiomba unatusikia na unatujibu Baba fanya kitu basi
Nacho kupendaga Barnaba unaimba Kwa Kujiamini ukitumia na Vifaa vya Mziki kama Tarumbeta,Gitaa na Kinanda duuuu hapo huwa unani Seduce niendeleee kusikiliza Nyimbo zako
Barnaba if you can read this YOU ONE ARTIST I CAN NEVER GET ENOUGH OF YOU ever since MILELE to this latest jam you are a true definition of PURE TALENT keep the doing what you do best. TALK LESS RELEASE GOOD MUSIC that's what describe you.From254 thumbs up
Guyz seriously, ONLY 1.2M over 5 years and yet there are songs with less flavour with more than 1.2M. @Barnabaclassic Mimi Niko na wewe. Kwanza the latest 3 songs Nyanganyanga, one in a million and marry me. Majamaa mpe views.
yahanni nakuelewa sanaa broo barnaba kwangu ww ndio mfalme wa mziki najua sana nyimbo zako azipati views wengi hilaa kazi yako siyo yakimchezo washgamba awawez kuelewa n kazi ya uhakika baba pamoja sana
Kama kuna msanii namzimia bas BARNABA CLASSIC. I do no why I feeel to listen ur own song's. hujawah niangusha kila ukishusha dude. braza saluti sana kwako mkubwa. niseme to loverboy; Marry you; till now tunafanana.
Nawashukuru nawapenda Upendo Na Nguvu mnaonipa ni Mkubwa Sana Cha Pili Mungu ndo anajua Namna Gani napambana Juu Yenu Na kwa ajili ya soko letu Na kutengeneza muziki mzuri wenye ADHD nawashukuru mnanipa nguvu Hata Kama wengine awatoi nguvu nyie mnanitosha 🌺💥🍓🤛🏿kazi Juu ya kazi mwaka huu wataeleweka Tu
BarnabaClassic wao I love u so much
Inabidi niku dai bro maana GB zangu zinaishia hapa siku wa nne sasa..nice work bro thumps up
BarnabaClassic nadhan replay button itaharibika. kaka unajua kupita maelezo. we need you internationally
BarnabaClassic ,...u are moo fire dude , yaani kila ukitoa wimbo tz inakuwa on fleek, keep going bro,,, only God knows how you struggle,,
BarnabaClassic Almighty bless you with a wonderful voice keep the good music
kama umecheza hii nyimbo zaidi ya mara tano nipe like na neno moja
mimi hapa zaidi ya mara kumi
iko sawa ni noma
Daaah hii nyimbo ni nooooooooma yaaan sitakagi iiishe masikioni mwangu
Mwana ume kuchakalika kwenye shidah Wewe ndowangu
@@veronicampeka739 very nice song they sing always on sound daaaah
Hujawahiii!! kukosea ka mkubwa!! kila kitu kikaliii!! Kichupa kikaliii,Nyimbo kaliiii, mtoto mkalii😝😝 na location pia kaliiiii....
hujawahi kuniangusha mzee baba🙌🙌🙌🙌unajua mpka unaboa😅😅😂😂😂
Dah!we jamaa,hivi kwanin hatukupi heshima yako mzee wa sauti!tumekaaa kuwashabikia wazee wa kick kila cku!!,naamin huu wimbo watakuelewa mzee!big up
Ilove my song
yaaaaaaaaaaan kweli we kiboo duuu hili dude trace wataisoma namba
2024 We are here ... Kabisa Barnabas. It was a pleasure sharing same stage Pale Miss Tanzanite 2014 Arusha. Moseh The Drummist 🇰🇪 Hapa. Salute
Who is here in 2024 listening to this good sound from Barnaba.?
dah huyu jamaa! mtu au mini nc song brodah
i am writing this comment so that whoever like this comment it reminds me to come here and listen to this masterpiece song💯
Duh wimbo mtamu hadi nasahau kula hiv why hupewi salute ww mtu maan nyimbo zako zote zinanipag ukichaa ,,,,,,,,,,;;!! Thanx a lot mkaka
Barnaba mimi naishi Australia kwa wimbo huu nita subscribe kwa channel yako napenda sana wimbo wakoTunafanana kwa sasa nimekuwa mshabiki wako siku zote. Nipeni like kwa wimbo huu wa Barnaba jamani Australia.
No words we ni kiboko yangu huwa sichoki kukusikiliza hata zile ulizoanza Nazi enzi hizo hazichujii ng'ooooo wengine woteeee hawaimbi ....you were born for music that's why is classic
Brooo cjawahiii ona anakoseaaaaa kbcaaaa huyuuu Jamaaa talented cnaaaa aiseeehhhhh tnguuu nimemjuaaa hajawahiii kukoseaaaaaaa duuuu kamaa upooo pamojaa Na mm likes
big up broo naomba nikualike kwenye harusi yangu mwezi Wa kumi hii ngoma sjawahi sikia na hakuna kama wewe
mtoto akilia dedeeee letenimubebe rahaa Sana nice barnb
yan ww jmaa bongo bahati mbaya yani unajua mpaka basi
yan we lavel za mbeleee sema tu ndo vile .. this song is a hit..
Hatari sana hii daddy yangu...ukizidi hivi naona nikipata mchumba
hahaha
Charlo Sue Msanifu ukweli...cheki my new video 'low key' on my channel
Miaaaaaaaamiaaaaaa nice song..hujawah kusea ..
Who else thinks "Lonely".... Diserved a video?... Can't wait for your album Barnabas
Sijaisikia Tarumbeta....ingependeza kulisikia
imo kidogo
Bizimana Frenki Nimeisikia. ....inahitaji umakini kuisikia.....asante
poa
mshike mkono Ben pol baba B naona anayumba.......nyie ndio wakali wa bongo rnb👑
😂😂😂😂mafuta hayajaai kumuacha mtu salama
cjawahig coment kweny u tube bt dis song na video iz dope jamaa anajua xana
dah bro hujawai kukosea ,wimbo mzuri saaaana sana ,go go goooooo barnaba
kila siku nasubiri kawimbo utakachokosea maana kila ngoma ninoma zaidi ya Jana 😍
haki ya kweli aisee .. Hata mm nasubirigi kila siku apuyange ila wapi aisee hakoseagi
...kanyimbo kapo vizuli sana boy nomaaaaaaa👉🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Akuna ngoma utakae itoa ikawa mbaya nakukubal sana mzee baba barnaba classic
safi kabisa upo vizuli
Simu yangu hua ina nyimbo za huyu jamaa tu ingawa nasikiliza nyimbo nyingi sana..big up barnaba boy
Barnaba ni zaiidi YA Artist kila kitu unajua kuimba, Kutunga, kupga vyombo big up mziki. Mtaaaamu
dah am in russia but huyuu jamaa ni noma and am not understand swahili lkn we jamaa ni fire sana #tunafanana
Azizy Adam jamaa huwa haharibu yaani.
Agnes Ephata 😅😅😅😅😅
Azizy Adam huko china mmesemaje
huku ni shida
Azizy Adam hahaha Russia
hakiamungu kama ni international alitakiwa huyu jamaa ndo atuwakilishe hakuna siku aliyokosea big respect
Kama bado unaikubali hiyo ngom na kuickiliza mpk leo tia like za kutosha,,
barnaba ndugu yangu nakwamia bro big up mwenzi mungu akuzidishie Siku zeto
Huyu jamaa hajawahi kuwaangusha mashabiki wake, hongera sana jamaa unatoa vitu vimetulia sana aisee, ngoma kali sana hii, #tunafanana.
Aisee ni hatari sana, yan siku izi kila msanii anatoa nyimbo kali safi sana!Wish bongo move wangekuwa kama nyie
Alwayzzzz talentedddddd cnaaaa aiseehhhhh barnabaaa Ni noumaahhhhhhhh cnaaaaaaaaaa
WENGINE WASANII SAWA... LAKIN WW NDO MUIMBAJI KAKA. RESPECT
Nakukubali sana Barnabas big up my brother
napenda sana iyi song atakama kiswahili ca bongo kigumu..burundi we love your song barnaba..🎶🎶🎶tunafana mapaca
Big tune...barnaba u never dissapoint...my best artist in Africa
Classic boiii hujawai kosea sijui tu kwann hawakuviki taji la ukuu wao
my nmber 2 kwangu kwa waimbj wa kiume we ni noumer sanaaaaa
mtoto akilia dede.... auuu i am. just ua biggest fan.... big up
Barnaba never disappoints... way to go Mr lover boy... repping 254
the manor at ngorongoro.thnx 4 coming bro.video kali wimbo mkal salut kwako bro nakuelewa sn
Innocent Semvua dah nilifikir nimeona mwenyew kumbe na ww ushagundua, nice location kwel hata mi sijakosea
og
Wasanii ninao wategemea tz ww ukosi barnaba big up nice song
Duu big up baba Steve hujawai niangusha ww ni fire
Baba mwenye muziki wako fanya jambo basi sokoni amna ngoma kali playlist zinaboa sana saivi mzee Baba najua tukiomba unatusikia na unatujibu Baba fanya kitu basi
Namkubari huyu jamaa ngoma zake zote ziko Poa kinoma Barnaba Boy you're king
unzweza bro excellent 🙌🙋🙌🙌🙌
salute kwene hi hit aseee @barnabaclassic
Nacho kupendaga Barnaba unaimba Kwa Kujiamini ukitumia na Vifaa vya Mziki kama Tarumbeta,Gitaa na Kinanda duuuu hapo huwa unani Seduce niendeleee kusikiliza Nyimbo zako
umetisha sana Barnabas mim ni fan wako toka day one am proud of you i enjoy alot listen to you
Watu kama hawa ndio wanaifanya dunia kuwa sehemu nzuri hongera xana barnaba
Jamaa ana kipaji angepata wafanyabiashara wafanye kazi jamaa anufaike ingekuwa poa sana
U r my Idol,yaan hujawah kunifanya nijute kukubali kwa kifua mbele,ooooh this song is killing me deep inside of my bones,yaaaan nyang'anyang'a
Ngoma nzuri sana barnaba hujawahi kukosea kwa kweli wewe ni kipaji zaidi#tupe ngoma mpaka wajue wewe ni kiboko yao
alwayz ur fire...ujawah kukosea ata siku moja...nakkubal zaid ya unavyojikubal ww
big up barnaba
#salute_Tudi_Thomas biti imeshiba hatareeeee one love #barnaba_king
Msainiii pekeee tanzaniaa anayeee juaaa kila kitu kwenye mziki wengine wanapayukatui
tanzania bhana daaah... KUNA VIJINYIMBO kahawa mchele sana zinapigwa promo balaaa..... ila jini kama huyu hakuna mwenye muda nae ase
We are still here bro, Keep on 💯
Nimekosa neno la kusema coz Barnaba umeweza kabisa kwa hii song
Daah brother bongo bahati mbaya wew #tunafanana
254 na mark register hapa piga like hapa
#Denis kisaye (254) ni code ya Kenya
tuko hapa wakenya
noma sana
Charlo Sue Msanifu niko ndaneeee zaidi... sauti tu uuuuuuuuwi
#mercy waitungi karibu uku
daaaaaa brouda ww ni hatariii
From 254 nakupenda sana barnaba
Barnaba if you can read this YOU ONE ARTIST I CAN NEVER GET ENOUGH OF YOU ever since MILELE to this latest jam you are a true definition of PURE TALENT keep the doing what you do best. TALK LESS RELEASE GOOD MUSIC that's what describe you.From254 thumbs up
Mike Lucian you can say that again, BARNABA needs to see this comment walah
You cannot under estimate the power of classic music , 👍🏽👌
big up sana naba wengine wanaiga tu watimulie vumbi kama mapacha kama mapacha
baranaba sijui nikufananishe nanini mana huja wai kosea sauti tu inatumarazaaaaaaaaa👍
Guyz seriously, ONLY 1.2M over 5 years and yet there are songs with less flavour with more than 1.2M.
@Barnabaclassic Mimi Niko na wewe. Kwanza the latest 3 songs
Nyanganyanga, one in a million and marry me.
Majamaa mpe views.
dah!!!!!!!kazi nzur sana, hongera pacha, BB classic
We do love you so much dear upo smart from outlook&kituu unatoaa very quality❤❤😍😘my idol
Nitakusaport mpk mwisho wa maisha yangu....ngoma kali...ss izo tarumbeta uwiiiiiii
Never underestimate the power of good music.the song is insanely good and Barnaba is talented
Hii nyimbo nimeisaka sana at last nimeipata imechezwa sana kwa maisha magic bongo movies
unajua Barnaba level zako sio za Tanzania sijui kwanini Watanzania hawataki kulelewa. 👏👏
Talented cnaaa huyu mtuuuuuu anajuaa mzikiiiii cnaa huyuuuu jmaaaaaa mm namkubaliiiii cnaaaa
kaka Hakuna wa kukufikia wew ni the best unaimba nyimbo nzuri Sana like it song
yahanni nakuelewa sanaa broo barnaba
kwangu ww ndio mfalme wa mziki najua sana nyimbo zako azipati views wengi hilaa kazi yako siyo yakimchezo washgamba awawez kuelewa n kazi ya uhakika baba pamoja sana
hongera video kali brother umejitahid
noma sana BB.. Waiting for another one..
Underrated African Young King🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🏿
Your truly classic brother... Wewe ni hatari sana....
barnaba sauti utatumaliza wallah the song is so dope 😍😍😍 team +254 mko wapeee?
sina maringo wala sinaga isidingo hy maneno kanambia bae😍😍😍😍i luv u barnaba
sichoki kuiskizia.....kazi safi,mziki wenye adabu
kama mapaca twoo loveds😍😍😍
Hakika ww n barnaba classic unajua unachokifanya nice song japo sielew kiswahili nipo shinyanga
Mwambaaa unajuaaa sana mpaka unapitilizaaa hatariii sana
hujawahi kuniangusha kwa chochote.sitoacha kukupenda.best lyrics...best vocals...best everything
Kama kuna msanii namzimia bas BARNABA CLASSIC. I do no why I feeel to listen ur own song's. hujawah niangusha kila ukishusha dude. braza saluti sana kwako mkubwa. niseme to loverboy; Marry you; till now tunafanana.
vijana wetu mnafanya kazi nzuri sana i m so proud with tz musician
Mangi umetisha mnooo bonge la ngoma
namimi natamani kusema kama ebitoke kwa huyu kaka namp
Sema mwaya😂
Serena Jimmygaits 😂😂😂😂cjui Kwann yule mkewake kwann waliachana, yaani bac tu kunguru hafugiki
You Rock iT kaka.. Kwnzia LOVER BOY hadi TUNAFANANA....keep Goid music Alive
super awesome Nairobi imependa
hatubahatishi... big up Barnaba... next level music +video
kaliii kinoumaaaa..big up +barnabaclassic
big tune barnaba Kenya love