Barnaba feat Alikiba - Cheketua (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Music Video by Barnaba featuring Alikiba performing Cheketua (Official Release) The Music Video was shot in Dar es Salaam, Directed by Kwetu Studio.
    Stream/Download:linktr.ee/barn...
    Digital Distribution by Ziiki Media (PTY)
    Listen to Barnaba on Digital Streaming:
    Audiomack:audiomack.com/...
    Apple Music: / barnaba
    Boomplay:www.boomplay.c...
    Spotify:open.spotify.c...
    Deezer:www.deezer.com...
    Connect Barnaba on Social Media:
    Instagram: / barnabaclassic
    Facebook: / barnabaofficial
    Twitter: / barnabaclassic
    +For More Information Booking Barnaba:
    Contact:Barnabamanagement@gmail.com
    ©2022 Ziiki Media (PTY) & Barnaba.All rights reserved.
    #Barnaba #Alikiba #Cheketua

Комментарии • 7 тыс.

  • @emanuelandrew9519
    @emanuelandrew9519 3 года назад +42

    Maneno yenu hayatutishi,mwenye tamu yangu....,,,,,,.....,,,, km umesikia haya maneno gonna like

  • @eddymarxhy9460
    @eddymarxhy9460 3 года назад +55

    Bado haujaniangusha me shabiki... kazi nzuri....🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪mko wapi wa kenya pitia tu na like kwa hii comment kam umepata hii nyimbo

  • @joelkahuya8356
    @joelkahuya8356 3 года назад +85

    Wenye fani zao wakikutana lazima dude lieleweke dah! Cheketua jmn
    👇

  • @user-nj4ir9hl2j
    @user-nj4ir9hl2j 9 месяцев назад +4

    Ali Kiba kudos,you just killed it...

  • @jmagelegraphics4658
    @jmagelegraphics4658 3 года назад +34

    Oyooooooh piga like chap kwa king

  • @suldaanidiriismedia4068
    @suldaanidiriismedia4068 3 года назад +206

    Kutoka Somalia 🇸🇴 wapi lakes yanngu napenda yimbo ya bongo sanaa ❤️💕💕❤️🤝

  • @onesmocharles4034
    @onesmocharles4034 3 года назад +24

    Mungu azidi kumbariki king pamoja na mopao..atubariki pia tunaoangalia hili goma..tim like weka like hapa

  • @naahally936
    @naahally936 2 года назад +3

    Love u kiba and barnaba boy nyie mnaujua mzk hambahatish

  • @suzanakibonde5898
    @suzanakibonde5898 3 года назад +31

    Waambie ugonileee jamaniii😍😍😍😍 i love you gusy Kiba and Barnaba❤❤❤❤

  • @omaramina3421
    @omaramina3421 3 года назад +87

    Nampenda kiba mana mziki wake unaheshima hamna neno Moja la tusi yani unaeza kuueka ukasikizwa hata mbele ya wazee .. team kiba all the way from +254

  • @hadijalukas5959
    @hadijalukas5959 3 года назад +30

    nimechelewa nipeni like japo kumi tu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @lameckdavies6417
    @lameckdavies6417 3 года назад +18

    Barnaba hujawai kosea sijapata zaidi yako still

  • @vitrecsoilmill5107
    @vitrecsoilmill5107 3 года назад +33

    Utamu wa wali nazi uutafune na ndizi, king himself

  • @user-eb1di2ez4t
    @user-eb1di2ez4t 3 года назад +45

    Wakenya njooni hapa. likes mia 200 tu!

  • @dannysaid8113
    @dannysaid8113 3 года назад +27

    Kama umeipenda na kuskilza mara tatu hii ngoma
    Gonga like #kingkiba 🤛🤛🤛✌✌🥰🥰🥰🥰

  • @youngkingbaddmankiller3006
    @youngkingbaddmankiller3006 3 года назад +2

    Barna ebu wapishe number 1 bana naona awana uwezo 😂😂😂😂🤧💙🥶

  • @anordbwai5620
    @anordbwai5620 3 года назад +76

    Tume ruka vizingiti wambea hamtutishi utamu wa wali nazi uutafune na Ndizi 🔥🔥🔥🔥 yooh

  • @toweman6484
    @toweman6484 3 года назад +48

    WAKIJA WAAMBIE NDAGA MGONILE NKAS GWANGU KIBA VERSE GOOD SANA👇👇👇👍👍

  • @dje-sir254
    @dje-sir254 3 года назад +56

    Mwenye anaamini king never disappoint kama mm aweke lyk apo chini

  • @amedeuslyimo2315
    @amedeuslyimo2315 3 года назад +17

    😥😥😥kwani me nilikuwa wapi hiii hii ngoma kali ivii ilivyotokaa.. dahh najua .... nimechelewa sana jamani mnipe hapo hata likes kumi tu ntafurahi... Cheketuaa bonge la ngoma

  • @jacklinemugure7945
    @jacklinemugure7945 3 года назад +425

    Fashion and design well done..jameni like ata tano tu kama umeona wakipedeza😘

  • @uchebechata9823
    @uchebechata9823 3 года назад +24

    Tunao kubariana Kama hii ngoma kalii anipe like apa mziki mzuri unaweza kukaa ata na wazazi wako mka angalia aina shida yani

  • @lapazako1770
    @lapazako1770 3 года назад +79

    Dah nimecheketua bali simalizi jameni wimbo ndoo huu 👌♥️mnipe likes ingawa nimechelewa 🇧🇮 majirani naomba likes

  • @faithachieng6453
    @faithachieng6453 3 года назад +1

    Juzi nilisikiza na my dad before niweke akaniambia usiweke izo nyimbo zenu za uchafu nikamwambia hii ni ya adabu akaniuliza msani ni nani kumention kiba alisema uyu kijana ako na adabu sana big up king ady wazee wanakusikiza👊🏼🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @frankmwinuka5941
    @frankmwinuka5941 3 года назад +90

    Kama umeielewa ngoma hii asilimia na Kama shabiki wa kiba gonga like hapa na Kama unaamin kesho muda huu tutakua na views 1.ml

  • @tzdizoboy415
    @tzdizoboy415 3 года назад +24

    Jamani ngoma Kali Sana naomba like kwa Wana wa Tabora unyamwezini ♥️♥️

  • @subiransasi8029
    @subiransasi8029 3 года назад +50

    Waambie ugonile,ndaga fijo nkasi gwangu wanyakyusa hoyeeeeee!!!

  • @manonoali9557
    @manonoali9557 2 года назад +6

    ali kiba the real legend very consistency since his first song

  • @nobertfanuel2299
    @nobertfanuel2299 3 года назад +72

    The best song, Number one on trending Barnaba ft Alikiba is 🔥🔥🔥🔥 gonga like apa twendezetu

    • @kamedia1066
      @kamedia1066 3 года назад

      ruclips.net/video/RfNJF4ZMveM/видео.html

  • @fredyaddy5024
    @fredyaddy5024 3 года назад +24

    Wimbo mzuri hongereni kaka zangu Ally kiba na barnaba

  • @jamesprincealiass
    @jamesprincealiass 3 года назад +56

    🇰🇪🇰🇪 Kenya tumeipokea vizuri King 👑 akiwa na Prince Nipeni Likes jamani 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @goddamwakimi5889
    @goddamwakimi5889 3 года назад +12

    Duuh mpaka leoo on trending duuh, kweli king is the master

  • @elizagona8534
    @elizagona8534 3 года назад +27

    ALIKIBA U ARE BLESSED

  • @tetetvlamu9224
    @tetetvlamu9224 3 года назад +151

    Kumbe like za peana kwa kujuana, sawa mm ni mgeni musinipe basi

  • @mbavutatumedia5534
    @mbavutatumedia5534 3 года назад +41

    Harusi hoyee🔥🔥🔥Gonga like kama umekubali verse ya #KingKiba

  • @rachelqueen2212
    @rachelqueen2212 3 года назад +2

    Wow, love song

  • @silversindjalabakeni2533
    @silversindjalabakeni2533 3 года назад +78

    Wow good music good sound good song mafundi walili wakikutana basi amini Vita inakwisha Barnaba classic and king Kiba sauti zenu ni utajiri munao jivuniya team Kiba and Barnaba classic like zenu jamani 👳‍♂️👰 ## LOVE IS GOOD BABY ## 🎤🎺🎹🎸🎧🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @yungdrew467
      @yungdrew467 3 года назад +1

      Umeongea moyoni kabisa🔥

  • @mustafasalehmwanamilongo217
    @mustafasalehmwanamilongo217 3 года назад +21

    Niatari kingkiba njo mwisho mfalme hakuna mwengine kukakuwa mwengine ni feki

  • @mwarabualphonce1192
    @mwarabualphonce1192 3 года назад +316

    King kibaa🤴🏻💪🇰🇪 leo na mimi naomba likes 100

  • @shabaniomary8252
    @shabaniomary8252 3 года назад +7

    King kauwa hanaga wivu kaimba kama nyimbo yake had I laha pia barnaba umeuwa

  • @princessshazia914
    @princessshazia914 3 года назад +26

    Achillia wimbo wa taifaa my favorite artist king en mopaooo

  • @seifzongo320
    @seifzongo320 3 года назад +113

    Like za king kiba ,alichokifanya humu dunia inajua 🔥🔥🔥

  • @frankdaud6655
    @frankdaud6655 3 года назад +21

    🔥🔥🔥🔥🔥nyie jamaaa ni very talented mungu awape nguvu✅

  • @husseinally7052
    @husseinally7052 3 года назад +2

    Ma sha allah

  • @mistalbboy8432
    @mistalbboy8432 3 года назад +16

    Wow unyama wa king 🤴 sasa tunataka kuhuwona

  • @pendomwabuka8696
    @pendomwabuka8696 3 года назад +57

    Wanyakyusa tujuane kwenyee huu wimbo,,barnba ft king kiba
    👑👑👑👍👍👍👍

  • @MrHezborn
    @MrHezborn 3 года назад +28

    Barnaba na the King himself....asanteni sana. Receive my love all the way from Webuye, Kenya

  • @mirfatysaddick8449
    @mirfatysaddick8449 3 года назад +15

    Mashallah nimepnd saut ya king kiba ❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @triniahvera6658
    @triniahvera6658 3 года назад +477

    cheketua ya pili....mimi sijawai pata likes ata Tatu jamani nipeeni tano tu nivimbe...much love from🇰🇪🇰🇪

  • @khamisshee5131
    @khamisshee5131 3 года назад +33

    Mabikwa wa voookooo King Kiba Na Barnaba Classic
    Twaisubiria kwa hapo video yetu pendwaaa ya mwaka
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪
    aka bachuchu mombasa 001
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @wanjoki1
    @wanjoki1 3 года назад +64

    Nawakubali sana Barnaba na kiba Hawa dio wenye mziki mzuri...yaani king 👑 hatumiangi nguvu nyingi🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mariabasily115
    @mariabasily115 3 года назад +3

    My super star barnaba the king

  • @dorahpaulin8012
    @dorahpaulin8012 3 года назад +19

    Kweli mfalme mfalme tu huyu ndio FB wangejua ukwasi wake asingekosa kwa list top10

  • @isaackela7879
    @isaackela7879 3 года назад +27

    Don't have to say waaaah...Alikiba ft Barnaba... This song make me feel like I am in an other planet...

  • @mzungukobe4416
    @mzungukobe4416 3 года назад +17

    Utamu wa walinazi utafune na ndizi weweeeee nimeipendaniyo iyooo😍😍😍kiba we noma kaka

  • @aishasaid6700
    @aishasaid6700 3 года назад +3

    Nyimbo tamuuuu sanaaaa

  • @lazarojr8923
    @lazarojr8923 3 года назад +86

    Kinyakyusa nimekisikia jamani watu wambeya toeni like kwa King kiba kwa kuimba Nyakyusa(ugonile )

  • @fridaynight5504
    @fridaynight5504 3 года назад +18

    One of the greatest artists of all times #kingkiba 👑👑🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @tajiriwamawazomusic2855
    @tajiriwamawazomusic2855 3 года назад +130

    Sjawahi pewa likes hata siku moja kwani mnanibagua, kama umerudua hii nyimbo zaidi ya mara tano gonna like twende sawa

  • @nuriathmickdard6521
    @nuriathmickdard6521 3 года назад +2

    Fire bonge la ngoma nimependa sana

  • @karaniomoit5259
    @karaniomoit5259 3 года назад +30

    The king will always win home and away

  • @makondenimissionteam
    @makondenimissionteam 3 года назад +1809

    #kingkiba

    • @joshuamboge8237
      @joshuamboge8237 3 года назад +20

      Mnajua
      Mziki

    • @alexaiddan979
      @alexaiddan979 3 года назад +13

      Unaukingi gani wewe usie jua kuwatengeneza wasan wako unawalibu simbaaa baba mwangalie anacho kifanyaa

    • @papaitoernesto3506
      @papaitoernesto3506 3 года назад +9

      👌👂👂from🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

    • @NellyWaKidato
      @NellyWaKidato 3 года назад +31

      @@alexaiddan979 kachengwe shoga ww

    • @tngmediake1905
      @tngmediake1905 3 года назад +16

      Mzikii imesoma

  • @vailethywalter2842
    @vailethywalter2842 3 года назад +34

    Mafundi mmekutana ,nyimbo tamu Sana love Alkiba voice❤️

  • @salumhillal5487
    @salumhillal5487 2 года назад +2

    Very nice hasa designing ya mavazi na sauti nzuri ya Alikiba

  • @mangweshidismas5403
    @mangweshidismas5403 3 года назад +31

    Mziki kama huu ulitukosa siku nying sana gonga like zavkutosha CHEKETUA🔥🔥🔥

  • @mrbonaventure160
    @mrbonaventure160 3 года назад +638

    Kiba anajua aisee, kwenye hili song
    Uchi : 0%
    Bangi : 0%
    Matusi: 0%
    Kupendeza: 100%
    Mashairi : 100%

  • @salumkibiki7539
    @salumkibiki7539 3 года назад +17

    Vipi Mashemeji zetu wakenya siwaoni Umu🇹🇿 🇰🇪

  • @yuweidin6774
    @yuweidin6774 3 года назад +22

    This collabo it's lits 🔥much love from Kenya 🇰🇪,nipeni japo like tano tu

  • @Rumayo_006
    @Rumayo_006 3 года назад +77

    Alikiba ameimba vzr xn. Team Kiba for Real🔥🔥🤝

  • @hancedatch974
    @hancedatch974 3 года назад +16

    Aisee sijaskia maneno ya vijiweni sijui ifinyie kwa ndani sijui chomoa kwanza ..bonge la dude

  • @youngjmstaarabu2559
    @youngjmstaarabu2559 3 года назад +24

    Aah tumeruka vizingiti waambea hamtutishi.....♨♨🎶🎶🎵🎼🎧 mmmh cheketua aaaah ngoma kali sana kama wakali wenyewe. Yaani Kingkiba hajawahi nikera wala kunitega wala kuniangusha

  • @laclassic1336
    @laclassic1336 3 года назад +5

    Hii nyimbo nimeirudia kuitazama Mara 96,,,,nyie ally kiba hiki kiumbe nihatar Sana,,aisee balaaa

  • @BETConlineTVTZ
    @BETConlineTVTZ 3 года назад +176

    ALIKIBA,BARNABA,KAYUMBA-BONGE LA COMBO WHO AGREE WITH ME.

  • @amrimadunda7821
    @amrimadunda7821 3 года назад +16

    Daah mim nimecheka huyuu jamaa Aliye piga sim half Banaba na Ally walipo fika jamaa anafoka Banaba na Ally wanamuombaa msamaha duh nomaaa Ally kamtendea haki Banaba Respect kwao colabo nyingin Tadhali

  • @mayungantugwa3348
    @mayungantugwa3348 3 года назад +89

    Mayunga kutoka Mtimbira malinyi Morogoro Tz, Kama nyimbo hii imekutach Twenzetu na like mungu mingi

    • @charleslulandalah9785
      @charleslulandalah9785 3 года назад +2

      Nipo Morogoro wilaya ya kilombero tarafa ya mang'ula kata ya mwaya kijiji cha tazara

    • @pelinahmatandula4604
      @pelinahmatandula4604 3 года назад +2

      Malinyi nyumbani kabisa igawa moja hiyo

    • @kamedia1066
      @kamedia1066 3 года назад

      ruclips.net/video/RfNJF4ZMveM/видео.html

    • @danfordmkwandule9528
      @danfordmkwandule9528 3 года назад

      Dah Malinyi nyumban Mimi pia. Much love kwako kwakuwakilisha 👊👊👊

    • @finah791
      @finah791 3 года назад

      Jirani yangu kabisa..from ifakara

  • @shanally8490
    @shanally8490 3 года назад +6

    So.sweet 😍😍

  • @Venture_1818
    @Venture_1818 3 года назад +15

    miguno ya #KingKiba tuu hapo mwanzo unaelewa shughuli itakua nzito humo ndani! ilikua ndoto ya muda mrefu kuona sauti za Dhahabu zikirindima kwenye mdundo mmoja..... watu wanaojua mziki na kuuchezea vile watakavyo wao ila kwetu burudaniii hakika Bongo Flava iko mikono salama kabisa , Congratulations #Mopao X #KingKiba 🔥🌍

  • @rashidmussa4574
    @rashidmussa4574 3 года назад +48

    Wangap Wameusikiliz Zaidi Ya Mara Mbili Kama Mimi ☝️👆

  • @AishaAisha-eb9hh
    @AishaAisha-eb9hh 3 года назад +2

    Spectacular👌👌👌👌👌👌💥💥💥💥

  • @aamyaamy8504
    @aamyaamy8504 3 года назад +26

    Naomba like ata 10 jaman king kiba uko juu ila mbna hua huvumi shem wetu

  • @bravotzee218
    @bravotzee218 3 года назад +23

    Tumeshinda vzngti wambea hatutishiii🥰🥰🥰🔥🔥🔥🔥

  • @lilpaff-noma8573
    @lilpaff-noma8573 3 года назад +33

    Kama ulikuwa unatafuta ngoma ya Harusi basi ndo hiii
    King kiba

    • @davidshaban4391
      @davidshaban4391 3 года назад +1

      Dingii naoa jumamos karibu sana kings wote

  • @aminashabani6892
    @aminashabani6892 2 года назад +3

    Wimbo mtamuuu huuu sichoki kuusikiliza

  • @davidmwakibinga5058
    @davidmwakibinga5058 3 года назад +47

    Nani kasikia kinyakyusa kimeimbwa na alikiba.nipe likes zangu jameni

  • @kigomamc1179
    @kigomamc1179 3 года назад +44

    pia mashabik atujui kesho yet itakuaje mda mwingine tuwe naofu yamngu tuwape sapot kama umuelew bas unapita t kmy kmy

  • @Jainey_Dickson
    @Jainey_Dickson 3 года назад +88

    King Kiba all the way😩🥺.... Tumeruka vizingiti wambea hamtutishi💥

  • @winnerkimaro3210
    @winnerkimaro3210 3 года назад +6

    Kwakweli wimbo ni mzuri sana na unafaa hata kuangalia na wazazi

  • @s_mwafrika
    @s_mwafrika 3 года назад +63

    Wapi Likes za Mfalme wa bongo fleva...#KINGKIBA

  • @ashaally6993
    @ashaally6993 3 года назад +17

    Mumeua watu wangu wa nguvu nawapenda mpaka naumwa 🔥❤

  • @youngdingdng26
    @youngdingdng26 2 года назад +1

    Can't stop listening to this music 🔥
    Alikiba bana is the best

  • @eunicemwende2969
    @eunicemwende2969 3 года назад +44

    This song gives me Dodo vibes! Cheketua🔥🔥🇰🇪🇰🇪

  • @emmanuelreuben8506
    @emmanuelreuben8506 3 года назад +17

    when mopao meets King what do u expect..!?WHAT A SONG

  • @dinankone9415
    @dinankone9415 3 года назад +17

    Hatar San 1 million 24 hours tukomae wazeee asee tuonyesh nguv alikiba tusiwagushe

  • @misperkerubo7808
    @misperkerubo7808 3 года назад +19

    AliKiba's Voice manze ni ya kutoa nyoka pangoni😹😹 utamu wa wali nazi ni kula kwa ndizo🥰🥰🥰. King Kiba you are on another level 🙌🙌🙌🙌🙌

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 3 года назад +76

    Wimbo hauna MATUSI,,, na UNATREND kama kawaida..... BIG UP King Kiba & Barnaba Boy...

  • @unclegmihale455
    @unclegmihale455 3 года назад +42

    Two Musicians.....hatr sna .....Mfalme....na Mopao..

  • @ozaneetanzania5211
    @ozaneetanzania5211 3 года назад +153

    Team mfalme naombeni like zenu afu baadae tuna Jambo letu 🔥

  • @youngpozze
    @youngpozze 2 года назад +3

    BARNABA KAAMUA KUMSALITI KING KIBA 😔😔😔

  • @humfreyoduor2235
    @humfreyoduor2235 3 года назад +71

    That's why I call him the king of bongo because of his marturerity in him

  • @shyboy9614
    @shyboy9614 3 года назад +29

    King kiba in East Africa 🙏🙏 Barnaba Classic in another Level