Barnaba - Washa (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Get it now Album:smartklix.com/...
    Stream/Download:linktr.ee/barn...
    Listen to Barnaba on Digital Streaming:
    Audiomack:audiomack.com/...
    Apple Music: / barnaba
    Boomplay:www.boomplay.c...
    Spotify:open.spotify.c...
    Deezer:www.deezer.com...
    Catch Up With Barnaba on Social Media:
    Instagram: / barnabaclassic
    Facebook: / barnabaofficial
    Twitter: / barnabaclassic
    +For More Information Booking Barnaba:
    Contact:Barnabamanagement@gmail.com
    Digital Distribution by Ziiki Media (PTY)
    ©2019 Hightable Sound.All rights reserved.
    #Barnaba #Washa

Комментарии • 2,7 тыс.

  • @daigohaule2946
    @daigohaule2946 8 месяцев назад +73

    Hii 2024 wimbo kama umetoka leo hivi..
    Gonga like yako hapa aisee

  • @JuneMalia-st6ed
    @JuneMalia-st6ed 4 месяца назад +78

    Who is here 2024? Tunakiwasha full force💥💥 Kenya well represented....guza like tukisonga

  • @congoqueen8084
    @congoqueen8084 5 лет назад +23

    Nilie naye Hana kasoro jamani 🌹🌹🌹🌹humwimbo na hipenda sana

  • @deulemwangolo
    @deulemwangolo 9 месяцев назад +1

    Barnaba uko vizuri 🎉🎉🎉🎉🎉 good job

  • @juxchris4196
    @juxchris4196 5 лет назад +2

    daah kasong ka nzr

  • @joemutab1283
    @joemutab1283 5 лет назад +19

    Umetish bro anaungana nam kua barnaba nimoto mwingne alike twende sawa

  • @Utulivu444
    @Utulivu444 5 лет назад +57

    Barnaba hakika hii ndo tunaitaga #UMEKUA 100% uko updated kaka ......gonga like kama umemkubali......#BARNABA

  • @simpletimoh7730
    @simpletimoh7730 Год назад +3

    2023 tuko wapi,,,, likes tafadhali.....alaf mniskume nifikishe 200subs please 🙏🙏

  • @samwelnjuguna-gz9eb
    @samwelnjuguna-gz9eb 9 месяцев назад +2

    Don't be selfish Baby 🦉💚🇰🇪🌍

  • @nancymusembi617
    @nancymusembi617 6 месяцев назад +8

    2024 bado hii ngoma iko juu sana❤❤❤💪💪

  • @binbenmartin3425
    @binbenmartin3425 5 лет назад +748

    This guy is always underrated,
    Wakenya like hapa kama unamkubali..

    • @lucasrhema4212
      @lucasrhema4212 5 лет назад +2

      binben martin He's not bwana, sisi hatuunderrate artist wetu, Barnaba yuko juu.

    • @janetaswa5435
      @janetaswa5435 5 лет назад +1

      Imeweza

    • @samnur6709
      @samnur6709 5 лет назад +3

      THhis guys is good jamaa ako poa ametulia ki mziki

    • @wairimumutinda7972
      @wairimumutinda7972 4 года назад +2

      Yea I think he is too but he's so good...

    • @amanijuma1054
      @amanijuma1054 4 года назад +1

      Ok

  • @herymalundo1716
    @herymalundo1716 5 лет назад +5

    Maufundi kama yote hivi!ni bonge ya ngoma!

  • @leaderkyejo1705
    @leaderkyejo1705 5 лет назад +6

    Kazi nzuri kaka barnaba yaan ni mwendo wa kuwasha !!!!!

  • @fadhilirashidi4529
    @fadhilirashidi4529 5 лет назад +5

    Hujawahi kosea nakukubali sana brow

  • @josephmkande4896
    @josephmkande4896 5 лет назад +26

    huyu jamaa anajua sana yani bongo huyu ndio msanii bora kabisa sema sijui nyota hawo wakina mond na kiba hawafiki kwa huyu, Kama unakubali gonga like twende sawa

    • @asumaniomari4229
      @asumaniomari4229 3 года назад +1

      Moto kwa Barnaba classic ngoma nzuru sana kaka gonga like yako hapa

  • @pwoka5208
    @pwoka5208 5 лет назад +44

    Jamani sijachelewa na washa huku🔥⚡ nami kali nakuambia.. wa kuachika achika wa kumwagwa mwagika wa kutemeka temeka... na wa kulike tulike hapa🙄😅🇰🇪🇷🇼🇹🇿

  • @moise-nv2sf
    @moise-nv2sf Год назад +54

    2023 and we and still here, thumps up for Barnaba😍

  • @philiposhilingi7288
    @philiposhilingi7288 5 лет назад +26

    Ngoma classic kutoka kwa barnaba classic.producer habba process classic, kwetu studio classic mashabiki wa barnaba classic, team good music classic wasoma comment classic hata wew classic.

  • @aggreyomondi9279
    @aggreyomondi9279 3 года назад +1

    Barnaba umeweza I love the song

  • @sydokinyogoli6526
    @sydokinyogoli6526 5 лет назад +3

    BONGE la dude barnaba classic....what a beat,what a melody...
    bonge la song aseeeeeee..em tupia like lako la nguvu..maana washa kweliii..

  • @imamhussein1104
    @imamhussein1104 5 лет назад +4

    Aminini nawambieni kua barnaba sio bidadam wa kawaida,

  • @pastorylucas8106
    @pastorylucas8106 5 лет назад +7

    Daaaah hii ngoma kali sana aiseee daaah penz kiberit #washaaaa

  • @datiusdidace2173
    @datiusdidace2173 5 лет назад +54

    Salute kwa #Msafiri Director kwa Shooting kali Na Big up kwa #Barnaba kwa Nyimbo kali Sana
    Naomben 👐 like kama pongezi wadau
    #washa.....👍

    • @datiusdidace2173
      @datiusdidace2173 5 лет назад

      @KWETU STUDIOS #appreciate Mkuu

    • @jobboniphasi1161
      @jobboniphasi1161 3 года назад

      Barnaba fundi dogo yaani umegusa moja kwa moja mmmmh juuu xaana

  • @emmanuelmzila8120
    @emmanuelmzila8120 5 лет назад +4

    Nakukubali sana kweli ww ni muimbaji

  • @reubenstonsilingi1032
    @reubenstonsilingi1032 3 месяца назад

    Kali kushinda Dem wangu ❤

  • @lwimikomwambene
    @lwimikomwambene 5 лет назад +9

    Nzuri nzuri broo

  • @ufunuomanyanga3
    @ufunuomanyanga3 5 лет назад +10

    Umetishaa sanaaa bro awakuwezi penz kiberitii washaaaaaaaaaa aaaaaaa aaaaaaa!!!!!

  • @japhetshirima8697
    @japhetshirima8697 5 лет назад +9

    Mwendo wa D haina R 🔥🔥🔥🔥

  • @emmaculateaokoochieng6911
    @emmaculateaokoochieng6911 4 года назад +1

    Penzi kiberiti washa🎶🎶💃💃💃😅😅

  • @misswamboh9585
    @misswamboh9585 5 лет назад +508

    Ukiachwa achika,ukimwagwa mwagika, ukitemwa temeka😅😅,,Ngoma iko juu Barnaba Classic❤

  • @trending1009
    @trending1009 5 лет назад +262

    leo nimetanguliza nyote....nipee likes jameni kama unamkubali barnaba classic

  • @philiposhilingi7288
    @philiposhilingi7288 5 лет назад +280

    wakati unajiuliza ni nani katoa hit Tanzania wambie ni best vocalist wa east Africa na siyo wa bongo natafta ndugu zangu wakenya APA +254 na nyinyi mwenyew wa tz +255 naomba like please kama umependa maneno ya hii ngoma yetu.

  • @selemanadam2980
    @selemanadam2980 5 лет назад +9

    Safi sana baba!!!

  • @celebritypress9958
    @celebritypress9958 3 года назад +1

    Tumewasha na Tigo Wasafi has brought me
    I just subscribed and liked
    Tigo performance wa fire

  • @obedimwakagali7755
    @obedimwakagali7755 3 года назад

    Nilie nae anakasoro........penz kiberit whashaaaaa

  • @alexmassimba9803
    @alexmassimba9803 5 лет назад +11

    Ujawai niangusha mzee baba!ni mmoja kati ya kati ya mashabik wako wa muda wote ila fanyeni mambo ili ugonge collaboration na king kiba kaka💪💣🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @philiposhilingi7288
    @philiposhilingi7288 5 лет назад +96

    ndio maana wadada wengi huwa wana data na sauti yako bro kiukweli unajua kupangilia mashaili siwezi choka kusikiliza hii ngoma ya taifa.

    • @ramadhaniyasinisadala1756
      @ramadhaniyasinisadala1756 5 лет назад +1

      Huyu jamaa kitambo anajua sema nyotaa ndo tatzo#hii ngoma qalee saana

    • @philiposhilingi7288
      @philiposhilingi7288 5 лет назад +2

      ramah Jr kwa nafasi aliyo nayo inamtosha tu kwani hauwez taja wasanii bora 10 Tanzania ukamuacha barnaba kwaiyo yuko juu sana

  • @salminmhando1316
    @salminmhando1316 5 лет назад +11

    Bado kama naona huyu jamaa hapotei "classic" 👏👏

  • @johson575
    @johson575 9 месяцев назад +2

    Daah 2024 , nakumbuka kipindi niko advance soya high school chemba ,soya Dodoma ,kambini much love to all people over there😊😊

  • @stellambeca5913
    @stellambeca5913 3 года назад

    Hii song aki ya mungu,, unilewesha kila siku,,,,,, manze boy uliweza mbaya,,, penzi kiberiti aaaiiii chimoooo,

  • @streetkidonline4777
    @streetkidonline4777 5 лет назад +21

    Mzee huu wimbo umewashaaaa...
    #Barnaba Classic

  • @MwakiGraphics3
    @MwakiGraphics3 5 лет назад +22

    Shikamoo Mwl
    Kibongo bongo sioni wa kumfananisha na Barnaba
    You're the best artist

  • @evaristlembile2865
    @evaristlembile2865 5 лет назад +5

    Napenda mpaka basi sichoki kusikiliza.Hongera sana kaka nyimbo zako huwa ni kali sana hazina mbwembwe kila wakati zinasikilizika popote na muda wowote

  • @jumanneomary197
    @jumanneomary197 5 лет назад

    Jamaaaaa ninomaaaaa anajuwa kitambooooo!

  • @hellenkaeke6291
    @hellenkaeke6291 26 дней назад

    Huu wimbo niliupenda kweli

  • @swaggagamingtv6841
    @swaggagamingtv6841 5 лет назад +10

    Nyimbo nzurisana tena sana💜💜💜💜

  • @ayubuhenry5426
    @ayubuhenry5426 5 лет назад +10

    Fire, najua unacho manisha

  • @hyasintakundy369
    @hyasintakundy369 5 лет назад +5

    Wewe siyo msanii ni mwanamziki wakuelewa wataelewa...big up barnaba boy

  • @kingsheddy255
    @kingsheddy255 3 года назад +1

    Dah bongo hakuna goma kama Hilii✌️heshima kwako my bro classic

  • @maulidmauleed83
    @maulidmauleed83 4 года назад +2

    Bad man minakuelewaga sana barnaba 🎧

  • @MrMtulivu
    @MrMtulivu 5 лет назад +6

    Sawa sana kichupa kimetulia kabisaa.

  • @g.p.ubandusa7564
    @g.p.ubandusa7564 5 лет назад +118

    Kama ulikuwa kwenye mausiano alafu waka kusaliti gonga like hapa.

  • @ayshakivuruge5653
    @ayshakivuruge5653 5 лет назад +3

    Wow kumbe ni hii file song ukiachwa achika ukimwagwa mwagika so nice aki big up sana barnaba imeweza kama umeikubali hii ngoma kama mm naomba gonga like apa penzi kiberiti washa from Kenya 👌👌👌👌👌👌👌👌💃💃💃💃

  • @happyrite1279
    @happyrite1279 4 года назад +2

    Yaan huwa unanikosha hatar huu wimboooo 💃💃🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️💕💕💕💕💕

  • @bahatiagape7121
    @bahatiagape7121 2 года назад

    ❤Jaman wimbo mzur nyieeeeee.💖🙏

  • @rachelwilson2414
    @rachelwilson2414 5 лет назад +4

    Mm personal
    Nimeipendaaa sanaaaaaaa audio uwiiiiiii
    Unawezaaaa ikula tamu tamuuuu
    Ujumbe mtamuuu mnooooooo#washa

  • @hermankamarikigalavaidaywa1213
    @hermankamarikigalavaidaywa1213 5 лет назад +55

    hii ngoma ni moto TEAM ANT WASAFI semeni hii ni moto

  • @delcinfotz8694
    @delcinfotz8694 5 лет назад +77

    Safi sana bro always we need soul touch musics achana na masebene yao.

    • @naomiomenda9598
      @naomiomenda9598 5 лет назад

      walai mm nakukubali sana bro am your big fan mungu akupe pumzi zaidi,uzidi kutesa.

  • @stellambeca5913
    @stellambeca5913 3 года назад +2

    Penzi kweli kiberiti,,, my favorite ❤️❤️❤️

  • @sharonnduku4578
    @sharonnduku4578 Год назад +1

    Naeza taka sana ex wangu auone huu wimbo Jamani

  • @miringariismail718
    @miringariismail718 5 лет назад +6

    Huyu ni fundiiii hapa bongo wachache sana mmojawapo no barnaba

  • @mbunga-nicholaus
    @mbunga-nicholaus 5 лет назад +5

    ukimwagwa jifunze kumwagika.
    tujifunze kutoka kwa maji, uking'ang'ania ndoo ya chooni watakuchambia.

  • @immanuelcatylynplatnumz6491
    @immanuelcatylynplatnumz6491 5 лет назад +26

    Huyuu anayetengeneza hizi beat yuko vizur balaa hata beat ya maua sama ya #Iokote ilibamba balaaa hata hii ya #Washa itabamba balaaa,aisee huyuu the mixing killer abaaaa ni hatariii

  • @lennoxchesoni1645
    @lennoxchesoni1645 5 лет назад

    Hapa bro ulifunga,, kazi Safi king.

  • @machumadmercy7134
    @machumadmercy7134 3 года назад +2

    Just found this song after kuiona tik Tok,,,naombeni likes zenu plz

  • @jackgeorge1309
    @jackgeorge1309 5 лет назад +6

    Always ukoseagi bro hii nayo 💥💥💥🤙

  • @Maureennthenya
    @Maureennthenya 4 года назад +65

    Who's here 2020??? Love from Nairobi Kenya ❤ +254...

  • @niyibitaulyauly7004
    @niyibitaulyauly7004 4 года назад +14

    Big up sana nani kama mm kwa kupenda hii ngoma gonga like hapa jamani👇👇👇

  • @naimamushi4819
    @naimamushi4819 5 лет назад +1

    Kitu na boks washaaaaaaaaaaaa yann nipashe kiporo? Pita na mia

  • @fffttty8173
    @fffttty8173 5 лет назад

    Hahahahaaaaaaa wengi wananitaman, sharo nyingi kwa Barnaba boyyyyyyyyyyyy

  • @magrethelias1961
    @magrethelias1961 5 лет назад +10

    Sana ukiachwa achika bonge la songi😍👌👌🔥🔥🔥 naipenda sana hii nyimbo daah

  • @estherfrancis9222
    @estherfrancis9222 5 лет назад +12

    nimeupenda sana huu wimbo nimeusikiliza zaid ya mara 10 big Up bro

  • @noelakoko9567
    @noelakoko9567 2 года назад +81

    It's 2022 and I can't get enough of this underated music star❤️

  • @danielgasaya6720
    @danielgasaya6720 4 года назад +1

    Wanaume wote mikono juu,kwa pamoja viporooo hatuliiiii

  • @zulfaabdala7370
    @zulfaabdala7370 3 года назад +1

    Huwez amin nikiwa nasikikiza huu wimbo napata matumaini kama kwel nmeachana na mtu ambae akinitesa sana

  • @jyhassan5169
    @jyhassan5169 5 лет назад +7

    najikuta tu kupenda hii nyimbo

  • @barakakazimoto808
    @barakakazimoto808 5 лет назад +15

    WAngap wanamwagwa hamwagiki kama mm like apo chini kama zotee twendeee sawa mambo ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @philiposhilingi7288
    @philiposhilingi7288 5 лет назад +46

    hii ni hit nyingine kutoka kwa best vocalist in Tanzania ngoma inaitwa washa na ni washa kweli bro ngoma usha tupatia mashabiki natangaza lasmi hii ngoma siyo ya kwako niyetu sisi mashabiki😹😹 wasoma comment wapi twende na like apa👍👍👎☝

    • @yohanamohamedi6724
      @yohanamohamedi6724 5 лет назад +1

      philipo shilingi duuuuh! kweli ww team Barnaba co kwa comments izi🐒mpaka nimechoka Ku...like

    • @philiposhilingi7288
      @philiposhilingi7288 5 лет назад +1

      YOHANA MOHAMEDI hahahaha aya bn ujue uyu jamaa ni muda ajatoa hit song kwaiyo alivyo itoa hii ngoma nikasema hapahapa maana siyo kwa mistari hii kiukweli kanikuna sana uyu barnaba

    • @cyntahjozeemwageni884
      @cyntahjozeemwageni884 5 лет назад

      tisha sana kaz nzuri

    • @danielntabo2849
      @danielntabo2849 3 года назад

      endelea na huo moyo

  • @katanabreezy2597
    @katanabreezy2597 7 месяцев назад +1

    Great poetry......big tune❤❤❤

  • @youngyayoo2805
    @youngyayoo2805 3 года назад

    Ngoma kali sana nimegundua leo

  • @everono4640
    @everono4640 4 месяца назад +5

    2024 anyone?? This man has always got taste and class❤❤❤

  • @devisanselmo
    @devisanselmo 5 лет назад +427

    Tisha saana.. Gonga like twende sawa.

  • @nassibbinmasinthekes9025
    @nassibbinmasinthekes9025 5 лет назад +14

    Kumbe mziki mzuli upo apa BONGO, basi fanya kama waGonga LIKE apa ivii👇👇👇 twende pamoja

  • @sheysarahnjeno9326
    @sheysarahnjeno9326 5 лет назад

    Nakuelewa sana king of bongo flava unajua kuimba kuvaa pia pigo zako safi

  • @kubedramaofficial2117
    @kubedramaofficial2117 5 лет назад

    Mzeeee ni Washa kweli... Yani Naipenda mpaka Basi

  • @gundajr2883
    @gundajr2883 5 лет назад +33

    Ukitemwa temeka 2019 nan yupo hap kabla ya 1m views

  • @ombenivasha7361
    @ombenivasha7361 5 лет назад +5

    nakubali sana boy noma sana

  • @janeetveenduku2418
    @janeetveenduku2418 5 лет назад +46

    Akianani....wooooi ngoma kali....254 semeni Barnabas ni krimimoo

  • @beatricelichoti1650
    @beatricelichoti1650 4 года назад

    Nilikua wapii, hii ngoma kali naisikia Leo

  • @urbetraderscompanyltd2401
    @urbetraderscompanyltd2401 5 лет назад +1

    Ukiachwa achika dont force 😎😎😎

  • @jaymenge
    @jaymenge 5 лет назад +46

    My favorite Tanzanian artist. Always singing sense. Kenya pia Tunakubali mashairi yako bro. Hii tutaila mara tatu kwa siku. Pongezi bro, hii kazi ina#washa!

  • @kinjeathuman2350
    @kinjeathuman2350 5 лет назад +30

    Mimi ndo mkaguzi mkuu wa nyimbo kali Tz nasema hivi HII NI YENYEWE KBS 🔥 👐

  • @princenewton
    @princenewton 5 лет назад +111

    Washeni like za barnaba hapa +(254) +(255) washa👏👊

  • @ednasamson4040
    @ednasamson4040 5 лет назад +1

    nilienae ana kasoro penda sana wimbo

  • @tusabehildah2968
    @tusabehildah2968 5 лет назад +1

    Kiukwer ngømã iko xawa ñice project jaaaah!!!!

  • @tibeitajoseph6646
    @tibeitajoseph6646 5 лет назад +4

    Washaaaa fireeeee

  • @frozerjohny8136
    @frozerjohny8136 5 лет назад +8

    Fundi buana 🔥🔥🔥

  • @evelinewilsone4137
    @evelinewilsone4137 5 лет назад +7

    Kiukwel hii vyimbo tamuuuuuu daaah yan siichoki 👏👏🔥🔥🔥
    🔥🔥❤❤

  • @HelpedbyGod-o2z
    @HelpedbyGod-o2z 4 года назад

    ....Kuna wengi wanaokutamani...mtoto mdogo kajipa pressure bure.
    #ukiachwaachika

  • @godgrace23-wg5
    @godgrace23-wg5 Год назад

    Kumbe huyu ni ule mke wake ❤❤❤❤