Barnaba - Washa (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Get it now Album:smartklix.com/...
Stream/Download:linktr.ee/barn...
Listen to Barnaba on Digital Streaming:
Audiomack:audiomack.com/...
Apple Music: / barnaba
Boomplay:www.boomplay.c...
Spotify:open.spotify.c...
Deezer:www.deezer.com...
Catch Up With Barnaba on Social Media:
Instagram: / barnabaclassic
Facebook: / barnabaofficial
Twitter: / barnabaclassic
+For More Information Booking Barnaba:
Contact:Barnabamanagement@gmail.com
Digital Distribution by Ziiki Media (PTY)
©2019 Hightable Sound.All rights reserved.
#Barnaba #Washa
Hii 2024 wimbo kama umetoka leo hivi..
Gonga like yako hapa aisee
Who is here 2024? Tunakiwasha full force💥💥 Kenya well represented....guza like tukisonga
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Bongo songs⁰0⁰⁰⁰⁰0⁰⁰@@margaretachieng3083
nipo hapo baibe
@@faithmurunga3766m jutkk k it
Nilie naye Hana kasoro jamani 🌹🌹🌹🌹humwimbo na hipenda sana
Barnaba uko vizuri 🎉🎉🎉🎉🎉 good job
daah kasong ka nzr
Umetish bro anaungana nam kua barnaba nimoto mwingne alike twende sawa
Barnaba hakika hii ndo tunaitaga #UMEKUA 100% uko updated kaka ......gonga like kama umemkubali......#BARNABA
2023 tuko wapi,,,, likes tafadhali.....alaf mniskume nifikishe 200subs please 🙏🙏
Don't be selfish Baby 🦉💚🇰🇪🌍
2024 bado hii ngoma iko juu sana❤❤❤💪💪
This guy is always underrated,
Wakenya like hapa kama unamkubali..
binben martin He's not bwana, sisi hatuunderrate artist wetu, Barnaba yuko juu.
Imeweza
THhis guys is good jamaa ako poa ametulia ki mziki
Yea I think he is too but he's so good...
Ok
Maufundi kama yote hivi!ni bonge ya ngoma!
Kazi nzuri kaka barnaba yaan ni mwendo wa kuwasha !!!!!
Hujawahi kosea nakukubali sana brow
huyu jamaa anajua sana yani bongo huyu ndio msanii bora kabisa sema sijui nyota hawo wakina mond na kiba hawafiki kwa huyu, Kama unakubali gonga like twende sawa
Moto kwa Barnaba classic ngoma nzuru sana kaka gonga like yako hapa
Jamani sijachelewa na washa huku🔥⚡ nami kali nakuambia.. wa kuachika achika wa kumwagwa mwagika wa kutemeka temeka... na wa kulike tulike hapa🙄😅🇰🇪🇷🇼🇹🇿
2023 and we and still here, thumps up for Barnaba😍
Ngoma classic kutoka kwa barnaba classic.producer habba process classic, kwetu studio classic mashabiki wa barnaba classic, team good music classic wasoma comment classic hata wew classic.
Barnaba umeweza I love the song
BONGE la dude barnaba classic....what a beat,what a melody...
bonge la song aseeeeeee..em tupia like lako la nguvu..maana washa kweliii..
Aminini nawambieni kua barnaba sio bidadam wa kawaida,
Daaaah hii ngoma kali sana aiseee daaah penz kiberit #washaaaa
Salute kwa #Msafiri Director kwa Shooting kali Na Big up kwa #Barnaba kwa Nyimbo kali Sana
Naomben 👐 like kama pongezi wadau
#washa.....👍
@KWETU STUDIOS #appreciate Mkuu
Barnaba fundi dogo yaani umegusa moja kwa moja mmmmh juuu xaana
Nakukubali sana kweli ww ni muimbaji
🔥👌👌
Kali kushinda Dem wangu ❤
Nzuri nzuri broo
Umetishaa sanaaa bro awakuwezi penz kiberitii washaaaaaaaaaa aaaaaaa aaaaaaa!!!!!
Mwendo wa D haina R 🔥🔥🔥🔥
Penzi kiberiti washa🎶🎶💃💃💃😅😅
Ukiachwa achika,ukimwagwa mwagika, ukitemwa temeka😅😅,,Ngoma iko juu Barnaba Classic❤
Wamboh Penainah ahahhahahaa imechomaaa hiyoooo
😀😀😀😀👍🙏
Tammmmmmh 👌
😂😂😂😂❤❤
Nimuelewa sana
leo nimetanguliza nyote....nipee likes jameni kama unamkubali barnaba classic
Amazing song
TRENDING hatari sana
TRENDING balaaa tupu Broo hujawah kosea asee nakukubali maishaaaah
TRENDING jeshi yamtu mmoja
Ata mie namkubariii saaana kwa kaz ake nzr aise
wakati unajiuliza ni nani katoa hit Tanzania wambie ni best vocalist wa east Africa na siyo wa bongo natafta ndugu zangu wakenya APA +254 na nyinyi mwenyew wa tz +255 naomba like please kama umependa maneno ya hii ngoma yetu.
mfalme wa muzik
Tupo sana
Fatuma Kadute nakubali sana
philipo shilingi mamb fireeee
Umetishaaaa
Safi sana baba!!!
Tumewasha na Tigo Wasafi has brought me
I just subscribed and liked
Tigo performance wa fire
Nilie nae anakasoro........penz kiberit whashaaaaa
Ujawai niangusha mzee baba!ni mmoja kati ya kati ya mashabik wako wa muda wote ila fanyeni mambo ili ugonge collaboration na king kiba kaka💪💣🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
ndio maana wadada wengi huwa wana data na sauti yako bro kiukweli unajua kupangilia mashaili siwezi choka kusikiliza hii ngoma ya taifa.
Huyu jamaa kitambo anajua sema nyotaa ndo tatzo#hii ngoma qalee saana
ramah Jr kwa nafasi aliyo nayo inamtosha tu kwani hauwez taja wasanii bora 10 Tanzania ukamuacha barnaba kwaiyo yuko juu sana
Bado kama naona huyu jamaa hapotei "classic" 👏👏
Daah 2024 , nakumbuka kipindi niko advance soya high school chemba ,soya Dodoma ,kambini much love to all people over there😊😊
Hii song aki ya mungu,, unilewesha kila siku,,,,,, manze boy uliweza mbaya,,, penzi kiberiti aaaiiii chimoooo,
Mzee huu wimbo umewashaaaa...
#Barnaba Classic
Good Sana Barnabas, but mwoe huyo uliyeimba nae plz.
nakubali.ngomazako.broo.idrisa.sanaa
Shikamoo Mwl
Kibongo bongo sioni wa kumfananisha na Barnaba
You're the best artist
Napenda mpaka basi sichoki kusikiliza.Hongera sana kaka nyimbo zako huwa ni kali sana hazina mbwembwe kila wakati zinasikilizika popote na muda wowote
Jamaaaaa ninomaaaaa anajuwa kitambooooo!
Huu wimbo niliupenda kweli
Nyimbo nzurisana tena sana💜💜💜💜
Fire, najua unacho manisha
Maaaaaaadddddd
Wewe siyo msanii ni mwanamziki wakuelewa wataelewa...big up barnaba boy
Dah bongo hakuna goma kama Hilii✌️heshima kwako my bro classic
Bad man minakuelewaga sana barnaba 🎧
Sawa sana kichupa kimetulia kabisaa.
Kama ulikuwa kwenye mausiano alafu waka kusaliti gonga like hapa.
Umetishaaaa
Wow kumbe ni hii file song ukiachwa achika ukimwagwa mwagika so nice aki big up sana barnaba imeweza kama umeikubali hii ngoma kama mm naomba gonga like apa penzi kiberiti washa from Kenya 👌👌👌👌👌👌👌👌💃💃💃💃
Yaan huwa unanikosha hatar huu wimboooo 💃💃🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️💕💕💕💕💕
❤Jaman wimbo mzur nyieeeeee.💖🙏
Mm personal
Nimeipendaaa sanaaaaaaa audio uwiiiiiii
Unawezaaaa ikula tamu tamuuuu
Ujumbe mtamuuu mnooooooo#washa
hii ngoma ni moto TEAM ANT WASAFI semeni hii ni moto
Yachomaaaaaaa
Safi sana bro always we need soul touch musics achana na masebene yao.
walai mm nakukubali sana bro am your big fan mungu akupe pumzi zaidi,uzidi kutesa.
Penzi kweli kiberiti,,, my favorite ❤️❤️❤️
Naeza taka sana ex wangu auone huu wimbo Jamani
Huyu ni fundiiii hapa bongo wachache sana mmojawapo no barnaba
ukimwagwa jifunze kumwagika.
tujifunze kutoka kwa maji, uking'ang'ania ndoo ya chooni watakuchambia.
Huyuu anayetengeneza hizi beat yuko vizur balaa hata beat ya maua sama ya #Iokote ilibamba balaaa hata hii ya #Washa itabamba balaaa,aisee huyuu the mixing killer abaaaa ni hatariii
Ni Abba mwenyewe fund sana
Penz kiberiti washaaa
Hapa bro ulifunga,, kazi Safi king.
Just found this song after kuiona tik Tok,,,naombeni likes zenu plz
Always ukoseagi bro hii nayo 💥💥💥🤙
Who's here 2020??? Love from Nairobi Kenya ❤ +254...
Twaipenda Sana💖
⚘
love love
Iko tamu
2024 Kenyan here lazima tuwakilishe
Big up sana nani kama mm kwa kupenda hii ngoma gonga like hapa jamani👇👇👇
Kitu na boks washaaaaaaaaaaaa yann nipashe kiporo? Pita na mia
Hahahahaaaaaaa wengi wananitaman, sharo nyingi kwa Barnaba boyyyyyyyyyyyy
Sana ukiachwa achika bonge la songi😍👌👌🔥🔥🔥 naipenda sana hii nyimbo daah
nimeupenda sana huu wimbo nimeusikiliza zaid ya mara 10 big Up bro
It's 2022 and I can't get enough of this underated music star❤️
Wanaume wote mikono juu,kwa pamoja viporooo hatuliiiii
Huwez amin nikiwa nasikikiza huu wimbo napata matumaini kama kwel nmeachana na mtu ambae akinitesa sana
najikuta tu kupenda hii nyimbo
WAngap wanamwagwa hamwagiki kama mm like apo chini kama zotee twendeee sawa mambo ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
hii ni hit nyingine kutoka kwa best vocalist in Tanzania ngoma inaitwa washa na ni washa kweli bro ngoma usha tupatia mashabiki natangaza lasmi hii ngoma siyo ya kwako niyetu sisi mashabiki😹😹 wasoma comment wapi twende na like apa👍👍👎☝
philipo shilingi duuuuh! kweli ww team Barnaba co kwa comments izi🐒mpaka nimechoka Ku...like
YOHANA MOHAMEDI hahahaha aya bn ujue uyu jamaa ni muda ajatoa hit song kwaiyo alivyo itoa hii ngoma nikasema hapahapa maana siyo kwa mistari hii kiukweli kanikuna sana uyu barnaba
tisha sana kaz nzuri
endelea na huo moyo
Great poetry......big tune❤❤❤
Ngoma kali sana nimegundua leo
2024 anyone?? This man has always got taste and class❤❤❤
Tisha saana.. Gonga like twende sawa.
cwez kusaliti washa penda sana barnaba
Nice
Mmmmmmm ngoma za jamaa huwa zinanitibua hakili aisee
Nyc song I lyk it
Nice
Kumbe mziki mzuli upo apa BONGO, basi fanya kama waGonga LIKE apa ivii👇👇👇 twende pamoja
Nakuelewa sana king of bongo flava unajua kuimba kuvaa pia pigo zako safi
Mzeeee ni Washa kweli... Yani Naipenda mpaka Basi
Ukitemwa temeka 2019 nan yupo hap kabla ya 1m views
nakubali sana boy noma sana
Akianani....wooooi ngoma kali....254 semeni Barnabas ni krimimoo
Exactly
Kriminoooooooooo....
Yaga
Nilikua wapii, hii ngoma kali naisikia Leo
Ukiachwa achika dont force 😎😎😎
My favorite Tanzanian artist. Always singing sense. Kenya pia Tunakubali mashairi yako bro. Hii tutaila mara tatu kwa siku. Pongezi bro, hii kazi ina#washa!
Calm Media Official waambie jua kali na khaligraf wafanye mzikimzuri waache wivu
Barnaba umeuwa
Mimi ndo mkaguzi mkuu wa nyimbo kali Tz nasema hivi HII NI YENYEWE KBS 🔥 👐
Barnaba kiboko
hahaha. kweli penzi kiberiti Washa kabisa
Washeni like za barnaba hapa +(254) +(255) washa👏👊
nilienae ana kasoro penda sana wimbo
Kiukwer ngømã iko xawa ñice project jaaaah!!!!
Washaaaa fireeeee
Fundi buana 🔥🔥🔥
Kiukwel hii vyimbo tamuuuuuu daaah yan siichoki 👏👏🔥🔥🔥
🔥🔥❤❤
....Kuna wengi wanaokutamani...mtoto mdogo kajipa pressure bure.
#ukiachwaachika
Kumbe huyu ni ule mke wake ❤❤❤❤