Baraka The Prince - Siwezi (Official Video) SMS SKIZA 7637224 to 811
HTML-код
- Опубликовано: 10 апр 2020
- #BarakahThePrince #AfricanPrince #Siwezi
Afrikan Prince EP is OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
Link ffm.to/barakahtheprince
For Bookings: AfricanPrinceTz@gmail.com
Follow The Barakah The Prince on:
/ barakahtheprince_
/ afrikanprince_
Barakah Andrew (born February 13, 1994), better known by his stage name Barakah The Prince, is a Bongo Flava recording artist, singer and song writer from Tanzania.
Born and raised in Mwanza City, by his parents Andrew Odiero (father) and Risper (mother).
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz Видеоклипы
2024 Mwezi 6 Like hapa❤
Baraka hii ni special dedication to me, wacha nilie na moyo wangu hapa .Its 2024 nimeanza vibaya na heart breaks, tu like tukisonga
Oooooooh poleeee..utakuwa sawa😢
Sorry
Nimekutana na hii comment leo March 2024 na nipo heartbreak 😢
wa Tz na mapenz mtakufa kwa heart break 😂😂😂
Pole sana
Walio mmiss baraka the prince kwenye tasinia ya mziki tugonge like tujuane
Katika watu. Walioimba tenzi za mapenzi kwa ajili ya kutendwa jamaa aliimba akamaliza wengine wanaiga huu wimbo huchoki kuusikiliza na utaishi
Sanaaaaa
0p
Naupenda Sana huu wimbo
Baraka da prince, Duuuh!!!!
Hisua Kali sanaaaa,dude kalii
Wanangu wa 2024 tu like hapa tukumbkie mbali pamoja 🙏
Tulio rudia apa 2024 mwezi wa tano tujuwane kwa likes jameni.
Tuko wengi sana😢
2024/ mwezi wa nne mko wapi?
mwezi 5 niko hapa😥😥
😢😢😢😢🙌🙌🙌🙌
🎉🎉
Mwezi wa cta
Hiyi ni kali kali kali kama umerudi huwu mwaka wa 2024 usipite hiyi Comment bila ku like
2024 tunaomsikiliza baraka the prince tujuane😊
tupo
Bado tupo😢
2024/4/19 nipo nausikiliza hapa allah akubless
Mm hapa Esther Joseph nikiwa Mombasa in ukunda
Tupo 2024 May, bd ana hit Baraka the Prince
2024 wenye wamepata heart break mwezi watano gonga like
The beginning of mwezi wa saba nani hapa anipe like zake hivi ndo tunauanza mwezi
"We don't search for old songs"
"We search for gold memories"🎶🎶
2024
Everlasting masterpiece🎉❤
Wangapi tupo hapa 2024?😅❤❤
❤tupo pamoja
𝑰𝒎 𝒉𝒆𝒓𝒆😅
Tupo hapa
😂😂😂😂😂😂
❤❤❤
Daaaah hii nyimbo mpka leoo 2024 naisikiliza stapunguza mapenzi na stafuta no yakoo kamwe 😢😢
Bado naangalia hii Ngoma 2024
Huyu kijana alienda wapi?jamani Baraka Rudi bana you're talented
Wangapi wanaskiza SIWEZI 2023 AUGUST 🎉🔥
31 August
Niko Hapa Octo 2023 .This songs reminds me TBT
Mim hapa
Me here
October 2023🔥🔥🔥💯 fine tune
Tulioachwa acha tutulize nafsi zetu hapa 🤣🤣🤣🤣 like twende sawa
Ni kweli
Umeona eeee
This is very special for me nimejuwa haukuwa fungu langu moyo wangu naukana
Baraka nimeumizwa sana mwaka huu 2024. Asante kwa kumwambia ex wangu hongera kwa kuchukua usingizi wangu. Wimbo huu wanituliza sana.
Huu wimbo Never die Forever, utadumu miaka yote sijawahi choshwa na nyimbo za Baraka da prince
2024 am here for this song😢😢😢😢
Roma, umenikumbusha safari zangu nakatisha mbuga za Serengeti, Ngorongoro na Manyara, Mkomazi kwenda Tanga Lushoto
2024 nakumpenda siwezi kupunguza allah mbele
Tunao malizia 2023 like 🎉🎉🎉
Wangapi wanaskiriza sitopunguza mapenzi 2022 ❤👌
Nimerudi tena kusikiliza hii Hit Song leo tar 10.05.2024. na Mziki mzuri still soubd the same. ladga nzuri bado ipo pale pale
C nipate mtu mwenye mapenzi ya kweli nimechoka k heartbreakiwa😢 nitampata wapi 2024/23/04
Hii ngoma haikupata heshima inayostahili 🙌🙌🙌
Again....2024 niko hapa @ this time 😢
Naona nasikiliza peke yangu ama?
Huu mwaka 2024 ni wa maumivu sugu sitausahau kamwe Imani yangu kwake upendo wake kwangu leeooooooooh 😭😭😭 kupoteza mimba,,nyumba,,,muda???? Sina namna ILA moyo ndio sababu😢😢
Pole jaman 😢
@@fadhilsalim650 asante
Baraka mdogo wangu, jishushe ukubali katika maisha kuna kupanda na kushuka. Ukishuka usikubali kuzama mazima au kulaumu wengine. Jipange upya, bado una nafasi kwa mashabiki zako. Umetoa ngoma baada ya ngoma zinazokubalika mnoo. Soma soko urudi kwa nafasi yako. Una kila namna ya kuteka tena soko. Ila ushauri acha arrogance, huharibu sana karama ya mtu. Watu wanataka kufanya kazi na mtu humble. You can do it. Simama uendelee na mapambano.
Jamani baraka unaomba vizuri sana ,moyo ndo unapenda,kwa walio jua huu wimbo ni wa baraka 2024 tujuane kwa like apo basi
The verse "Hongera kwa kuchukua usingizi wangu."
I love this song
Mi nimekujua leo 🔥🔥
Ngoma kali sana nakumbuka imewahi nitoa choz hii kichupa .... Hongra kwa kuchukua usingiz wangu 😭😭😭😭😭🔥
Kila mda naskiliza hiki kipande
najua ni heartbreak iliwafanya mgundue huu wimbo ... duuh mimi pia singeweza nyakati hizo
Nasikia kulia nguvu tatz mda autoshi jmniii
Huu wimbo una hisia kali sana. Asante kijana. Watu tunapitia sana mambo haya. Haya.
Hii ngoma kwa ukubwa wake ilitakiwa iwe na billion viewers.....
We love your talent bro don't stop haijalishi magum gani unapitia....
🥰🥰🥰
Shida mashabiki tunaendlea kuwakuza kina kiba mond na wengine hawa tunawaacha
Saf sana
Uwumbo upo vizul mno
W
2023 new year still hear listening to a forever masterpiece!!
I'm still here too
🤣🤣😂😅BoyDjRodny😂😂🤼🏇
My favourite song always❤❤❤❤
Jamani goma kali ❤❤
Kwa kweli huu wimbo kwa waliopigwa kibut ukiusikiliza lazima ulie
sijui nn mbaya hi ngoma inatakana iwe like 100,000milions views hakuna mgoma tanzania inayo fikia hi walai my favorite song❤❤❤
Imjn kaka nakuelewa😘
🌟🌟🌟👈♥️
💯agree
Watanzania Wana wivu . Wanasaport WcB pekee .
@@vinniechymall9801 siyo kwelii wewe unachuki na dabrisibi. Why not king misivy
2024 stil I'm here
Siwezi choka na huu wimbo 😊 Baraka the Prince Yuko wapi..nyimbo zake ziko 🔥🔥🔥
Tupo ndani
6/4/2024 nmeshinda nkiisikiza 😢😢😢 not easy guys 🙌
2023 who is still here?
Baraka is very underrated and it hurts me😢
Yani hauchoshi huu wimbo love nyingi kaka ake❤️❤️
Sitapunguza mapenzi 😭😭😭
Nyimbo hii inamaana sana kikubwa ni utulivu wkt wa kuisikiliza,ni faraja sana kwa waliotendwa ki mapenzi
Nakumbuka rafk yangu alilia hii nyimbo,wanaume🙌🙌🙌🙌😭😭😭😭😭😭
Pole
Hii wimbo ilinilizaga jmn enz hizo
Acheni tuu enzi izo
Nyie wanaume
😭😭😭
Team baraka weka like Kama zote 💓💓💓💓
❤❤❤❤❤❤❤❤
najua kunipenda c lazima na siwezi kujenga chuki
Hongera nyathiwa 💞💞
Hongera kwa kuchukua usingizi wangu,,,,,,sisemi kitu
Wenye tunafika apa 2024 mwezi wa nne weka like ❤️
Baraka Rudi mzikini
Mwanetu ❤❤
Huu Wimbo kwangu mm Naurudiakilasiku maana umenigusa mno ubarikiwe bro upo juu nakupenda bure ulichezana mawazo yangu
Me pia
❤️❤️❤️❤️♥️😢😢😢😢😢 da prince umeliza wengi kwa hii nyimbo 🙏🙏🙏🙏
Kweli kabsa😢😢😢
2024 jamani huu wimbo uwe wa taifa❤❤❤❤❤
baraka ulijua kunigusa jmn daaah
My kenyans people show love tukishongo 🔥🔥🔥🔥the music is dope 💖
Qq
💕🥰🥰🥰🥰🥰🤣🤣🤣🤩🥳🥰😅😘🌷🌹🌹❤️LoeOYu🌹🌹🥑🍌🍌🍉🍓🍓🍓🍓🍔🧆🌮🌭🌭🥕🧇🌯🥪🧂🚖🚖🚖🚖
This song touches my relationship
2024 this song hits different 😢❤❤❤
Jaman mnisaidie kuniambia baraka yupo wap nimemmic sana
Daaaaa,umenikonga moyo wangu
Hongera kwa kuchukua ucngizi wangu, hatari
The best 👌 artist in tz watakupiga vita lakini utaendelea kutoboa
Hii nyimbo inanikumbusha mbali jmni
I love this song so much coz huwa inanikumbusha nilikuwa na msupa mwenye nilikuwa nampenda sanaaaaa but tukaachana i always remember her up to now i miss her so much
mwanangu apa uliimba ✊🏾 this song inasaidia sana ukipigwa tukio asee helps kusaidia u move on asee🙏🏾 uliimbaaa
kiukwel huwa najihic km vle npo peponi mara tu nisikiapo hii ngoma!!!
Huu wimbo unagusa mioyo ya watu kabisa
Dah an ngoma za huyu jamaa znanitoaga roho kabsa kila nikisiklzaga nakumbuka mbali 💯💯💯💕
Huu wimbo ni fundisho kwa wanaume waliokosa penzi kutokana na changamoto za maisha hasa za kiuchumi.....Big Up Baraka The Prince!!!!!!
10 ,10,2021 hat broken daaah mapenz hay💔💝💝😭😭
TIKI nying WEWE ✅✅✅ 2023
Moto moto🔥🔥🔥
Raha ya goma kama hili ukute ndio vile wewe unapenda mwenzako anakuona mbuzi mmoja hivi hahaaa zinga la goma
This song remminds me of kingwendu kingine he wasted my 5 good years and then he married, now he wants me back but siwezi nilimtapika sanaaaa
It's been a year since you commented this...I hope you gave him another chance..he has learnt his lesson...get married to him en live together
Poor promo... huyu jamaa hana pesa na ameshindwa ku sign big labels ime mgharim
Siwezi choka huu wimbo mim❤❤❤
❤❤❤❤
2020 song hiii kila nikisikia macozi hunitoka Baraka ametufariji sana😮 uyu mkaka jaman kapotelea wap
From UK Tunakupata Vema Ssaanaa..
This song still needs air play guys
Hii ngoma ninoma sana baraka tumekumis
Hongera kwa kuchukua usingizi wangu😪😪
To someone who broke my heart THANK YOU 😣🙏🏾
😭😭😭💔
😂😂🤭 daah ndo maisha
We are together 💔💔💔
2024, this guy alienda wapi? Kind of music we need
Aliimba mno huu wimbo
Huyu jamaa namkubali sana
2021 February who still dedicated to this beautiful song 🤗😄
Mwanza product ♥️🏃♥️
🔥 hatar
Hatari
2022 but the song still hits...first love is always the best moments
Me@@fatiahkerubo6399
2023 ❤❤ I looooove love love this song 💃 💃
Watching this after kutemwa😢😢
Moja Ya Nyimbo zilizo tikisa
Ngoma za kiswahili n tamu sana, can't get enough of this song
Mzuri
naisikiliza kutwa nzima hiingoma ila haichoshi
Yanii kama kaniimbia mm HV.... Wakat sahihi kwangu kusikiliza bonge la ngoma
Let us show love to this young man aki
Nampenda Sana kwa nyimbo zake pia kwa nn wameandimika sana
Imebidi nitafutie hii song 😭 sawatu