nilikua sina google ac lakini hii nyimbo imenifanya nifungue ili mradi nitoe maneno yang,hii nyimbo walah angeimba diamond au kiba ingekuwa ringtone kwenye radio za bongo sad kaimba timbulo watu watasema ya kawaida,ila for real tangia mwaka uanze hii ndo nyimbo inayogusa hadi ndani ya moyo kama umepitia haya mambo ya mapenzi,timbulo na baraka for real u kill it this song
nicasius nicholaus ,,temana nae no need to back again,,,,LeAnn akuache then akurdie kisa wimbo,,,,,!! akiondoka utamrudishaje?? au kutakuwa na wimbo mwngne????
Chupa kali na la kisasa zaidi. Big up sana bro #timbulo na #barakadeprince kwa kitu fulani hivi chenye ladha ya nyumbani kabisa, hii sasa ndo bongo flava
Ila jaman kusema ukweli pamoja na mashauz yote ya baraka da prince ila jamaa anaimba sana mistar yake ndo inanikoshaga..ukimuweka na Timbulo ndo kabisa ngoma kali sana...Hit song
Hapana Baraka hapana Baraka sasa naweza kusema ndio umeamua kuonesha maufundi yako.sasa kwann kwenye wimbo huuu umenimaliza kabisa.Good music for gud artist well done Baraka na Timbulo
This song is just super amazing with a true message.Currently most people love each other but they ain't together.Takes me back to back olden days.I Love the song with all my heart.
Siwezi choka tazama hii nyimbo na kusikiliza,inanikumbusha mbali sana,niliachana na mpenzi wangu ambae mpaka Leo bado nampenda ila ashapata bwana mwingine,hii nyimbo ina ujumbe mkali sana inanifanya nakumbuka mbali sana,namkumbuka ila naomba anitunzie siri zangu
Mwaka ambao ngoma ilikuwa released ni mwaka huo huo,miezi kadhaa nyima nilitoka kuachwa na mpenzi wangu Sarah na kupelekea kuyumba kwangu kitaaluma,nilikuwa naisikiliza sana ngoma hii kuliko kuconcentrate na masomo yangu..ni true story..2019 twende sawa
ngoma Kali sana tu lina ladha ya nyumbni kabisa hongera Sana #timbulo vs baraka da Prince. nimeipnda sana hyo nyimbo pia imenigusa na naipnda nyimbo . peace & love. God bless u all
2024 Who Is Here With Me...Tuliye Kwa Pamoja 😂😂😂
👋👋👋👋
Niko apa
😭😭😭😭tulie kabisaa
😂😂😂alooo
Niko apaaaaaa
Its 2023 but listening to it feels like it's a brand new hit🔥
Ngoma Kali mnoo
It never dies 😘
P
Ivi yupo wapi timbulo kimya sana
2023🥺🥺🥺who is here with me...tulie Kwa pamoja
😂😂😂😂
Mimi niko hapa December 22, 2023.....❤❤❤❤
26- 12- 2023 we still here
😂😂😂😂😂😂😂
2024
kama umeirudia hii ngoma 2023 gonga like hapa tujuane
Tuko pamoja💪
usijaribu kunwekea ngoma hii hunkumbusha mbli sana na kunfanya ntoke apo kabisaaa
2024
Ady 2024
2024
Kama umeirudia Tena 2022 tujuane hao👇Kwa likes
Wacha kurundia my ringtone to phn
Yes
🎉🎉🎉
Kama unaikubali hii nyimbo bado gonga like..
Bado iko fity sana
❤❤
nilikua sina google ac lakini hii nyimbo imenifanya nifungue ili mradi nitoe maneno yang,hii nyimbo walah angeimba diamond au kiba ingekuwa ringtone kwenye radio za bongo sad kaimba timbulo watu watasema ya kawaida,ila for real tangia mwaka uanze hii ndo nyimbo inayogusa hadi ndani ya moyo kama umepitia haya mambo ya mapenzi,timbulo na baraka for real u kill it this song
very true
Dah verry true nice song
fact bro!..hii ngoma timbulo kauaaa
amini yan
real
*Kama uwepo wa OTILE BROWN kwenye hii ngoma umeugundua baada ya mda mrefu gonga like tuendelee kuinjoy good music*
Kama umewahi kutendwa comment hapa huu wimbo ukuliwaze 2021 Ramadhan kareem 🙏
"Ukitaka nirudie ukiniona sifai nichunie
Ama vipi unipuuze ukiniona popote nipotezee" - TIMBULO 😭😭😭😭😭
😂😂😂😂😂ukiniona nipotezee aina aja tuaribiane mood
Pole @laurent 😅😅
Acha ubwege
2022 and can't get enough of this song coz it's the Panadol I need sometimes
I love it too
Yani leo namuona otile humu😄😁duh
Aisee
Anyway old will forever be Gold
This masterpiece is beyond amazing 🙌🏽
2024 nimeirudia tena timbulo from Est African
2021 niko hapa, this song reminds me of my most crushed moments when everything was so obvious but I couldn't see
Moto sana🔥🔥🔥
Tupo
2020 whose watching....💯🥺💞
👍
Enzi izo bongo fleva ilikua ikiimba content
Nikifunga 2020
Naamini atakaeikataa ngoma hii atakuwa na asili ya uchawi sio bure
.......................................
Kazi nzuri sana mazee... 👏👏👏
I send this song to my x,she understand it more than my words niliyo kuwa nikimwambia,n we are back coz of this song,ime catch emotion zake big up
Ahmed Mohammed hahahahahaha congrats man.. what an achievement 😂😂😂😂
what an achievement😂😂
nicasius nicholaus ,,temana nae no need to back again,,,,LeAnn akuache then akurdie kisa wimbo,,,,,!! akiondoka utamrudishaje?? au kutakuwa na wimbo mwngne????
😂😂👌
sihusiki hapo aiseeee.....
2020 nan yupo na mm gonga like twende sawa
During #covid_19
Tupo wote ndugu
Iam here now💃💃💃
Nami cpo nyuma 2020
Barakah aliua sana
Kama unaiangalia 2020 Like twende sawa wadau
2022 still watching
Kama umeumizwa na kuitafuta hii ngoma 2021 gusa like hapa tupoze maumivu!!
Baada ya kuachwa nimerud kujifarij kupitia wimbo huu
Baada ya kuachwa ndo ivo basi
😭
Tupo wengi had nimekonda kwa kwel mapenz nikifo tu
Mungu nipe mume mwema
Wow! Nani tena bado ako hapa 2020? Unanikumbusha good times with my late cuzo this was his favorite song waah! Still in my heart
Dah Leo ndo nimeona ukwel wa hii nyimbo my broo big up
Tamu sanaaaaaa!........
Mimi nipo naendelea mpk mwaka 30000
Sisi sote brother
@@leahthequeen363 ++
Q
Kama unasikiliza 2020 gonga like twende sawa
Saa 21:02Usiku, Siku Ya Jumapili Tarehe 19/03/2023, Hii Nyimbo Naangalia Muda huu Nyimbo Yangu Pendwa Siku Zoteeee🙌🙌🙌🙌😌
Ii ngoma Kwa kweri sio POa ebu weka like kwanza tunayoicheki Ii kazi
tulio ludia mwaka 2020 tujuwane hapa timburo baraka love song
am sorry Timbulo sikuwah kukuelewa... ila kupitia hii nyimbo nimekuelewa.
kazi nzur sna sna
noma sana 2018 still in it
Baraka ni mwanamziki mzur sana ila kwenye nyimbo zake anakurupukaga... well done baraka
Daaa gud up ma bro timbulo... ujumbe umefika
Justine Julius
kweli umeongea jamaa anajua lkn hajaipangi kwenye nyimbo zake
Tisha thana mmeuwa
Justine Julius acha majngu jmn anasauti nzuri pia anajua sn kimba kifupi nimkali
Justine Julius how 😥
kama bado unaitazama 2019 piga like
book ten
ruclips.net/video/E2iUxMvJbEc/видео.html
Naikubali
iko poa sana
Og
naipenda xana hii nyimbo inanikumbuxha mbali xana
2019 i can't stop playing this song if you believe it's 🔥 like this😍😜
Fireeeeeeeeeeeeee
I do
From +254 love it❤❤
Susan Njoroge
ruclips.net/video/E2iUxMvJbEc/видео.html
2023..you still there?
Kama umerudi kuutazama 2020 gonga like hapo twende sawa
2021
kazi nzuri timbulo na baraka imetulia sana ujumbe umefika ..
safi sana
Wahid Ally
Ujumbe umefika
Wahid Ally. iiinyimbo naikubal sana
254 family like kama umeona mr otile brown kwenye hii video
Nilimuona but nilikua nadoubt
Hii nyimbo ilitoka wakati nafanya seacliff court dar es salaam ila nilitendwa na Time kiukweli nilikuwa sili coz nilikuwa Sina pesa
Poleeee
Asnte
Yep pole ilikuwaa 2017 nikikuwaa college hivoo hivoo demu akarun away reason it mone
Wooi nakufeel🥺
2019 who is here 🙋🏽♂️?
Nice nice good songo men
2021
Kama upo baada ya kuwachwa njoo hapa 🤌🤌😂🥶
Aisee mbona hizi nyimbo za Timbulo tamu sana alaf sizickii maredion kuzirusha dooh mnambania ziko juu hataree
Du!!!!!!! Nyimbo nzur, nimeipenda kwel
richard joseph
wayaaa
media hazipo fair kabisa
Khanifa Hanifa
oh my this song is looking for..254 Kenya iko wapi likes za kwetu
Wimb mzuli sana
Daah hii nyimbo ni hatari inaingia mpk kwny moyo hongera sn timbulo hongera sn Baraka mmefanya ki tu kizuri sn
Jmni naikubali hdi xaxa
hamezng
Aziz Gau ruclips.net/video/E2iUxMvJbEc/видео.html
"Basi moyo wangu nakupa zawad nenda nao"❤❤❤❤ Hiki kipande ndio kinafanya naupenda huu wimbo
"NINAPO WAONA MASHOGA ZAKO NAMISS VITUKO NILIPOKUWA NAWE"😭😭 Nyimbo isiyo chuja #Timbulo #BarakaThePrince #Usisahau 🙌🙌🙌
Kabisa man, ina touch
ukiona mtu anaiponda hii nyimbo ujue ukoo wao wote ni wachawi ,,big up timbulo#baraka ni nyimbo yenye hisia yani noma
#Dati Kazumari 😂😂😂😂
true story
big up kaka umetisha kinomanoma
Dati Kazumari 😂😂😂👏🏾
ngoma kali sana broz
mashoga ndo wanaopinga kila kitu, audio na video viko pouwa sana congrats to them
namkubal xn bro anajua
Otile brown bana mbona hukuimba..huu wimbo ungekuwa fire with most amazing voices na pia nyi nyote huwa 🔥
kumbe you know him ..
ABIYAH JANE WINNIE kabisa kenya damu nikose kumjua
+manal love kabisa + 254 to the fullest ..
Inatisha sana nyimbo yako #Timbulo # imepenya kwenye nafsi za watu all
ingoma inaninguxa san mm
2019 kama tuko p1 gonga like twenze tu
Ngoma iko pw
Daaaa hatare hadi nimeimiss hi ngoma
Iko vzr sana
XXxX
Inanikumbuxha mbali sana
2019 ngoma bado inatikisa miamba ya akili yangu ...
My lovely nenda ila usisahau ..
jap mmeteman na ww ila mtunzie madhaif yang yan hii ngom kla nikiichek bad yanitoa chozi huwez aminnkweli usalit nishid
GABRIEL MUSHI
ruclips.net/video/E2iUxMvJbEc/видео.html
Up poa cn
GABRIEL MUSHI .😃
Hahaaa acha moyo usukume dam broo
wimbo mtam sana ila ukisikia vizuri wimbo wa kassimu mganga -haiwezekani unaendana sana kwa bit zao
Chupa kali na la kisasa zaidi.
Big up sana bro #timbulo na #barakadeprince kwa kitu fulani hivi chenye ladha ya nyumbani kabisa, hii sasa ndo bongo flava
Jastine Swalo Au sio
Kabisa, iko Mwaah
Khalifah Saidy
salunt kwako brooo nyimbo hiii ni baraaa
Tuliimis sana bongo fravor naona mmeiludisha
Dah nyimbo tamu sanaa kila wakati naisikiliza sichoki
Daaah bonge La song japo n kitambo kidgo bt haichuji
Kama mm yaan hz ndio nyimbo znaeleweka hata kuckiliza mara 1000
We nenda usisahau 2019
Wow nice song
Anaemkubali huyu jamaa like nyingi kwake jomoniii👍👍👍
Pamoja
👍👍👍👍👍
Poa
✌
2021: still listening
huu wimbo ulivyotoka nilihis nimeimbiwa lkn big up sana nice song
Aiseee acha tyu
Hii nyimbo naikubali cn mapnz yanauma
Duuu hii ngoma inabamba sana
Dah nausikiliza huku nakunywa pombe ndo nazid kuchanganyikiwa machoz yananitoka😭
Ila jaman kusema ukweli pamoja na mashauz yote ya baraka da prince ila jamaa anaimba sana mistar yake ndo inanikoshaga..ukimuweka na Timbulo ndo kabisa ngoma kali sana...Hit song
Julius URONU kweli kabisa
mambo vp mzima we
2018who is here?🙋
fatuma Ababy I am
By Shaggy Ze Don ndan ya fb duuuh imenitach kinomayan kari saaaaaaaaaana
sisi hawa
fatuma Ababy Me From TZ
fatuma Ababy😍naomba number zako dada yangu😢😭
Wale tuko 2020 hadi sasa tujuane kwa like hapo juu
Wale wa 2023 tujuane kwa likes pliiiz..
bonge moja la jimbo mpaka naiona kama fupi hiv jinsi ilivyo tamu
mumetisha
😍😍😍😍 😭😭😭 niliyempenda hakujua thamani yangu ahsante kwa huu wimbo 😍😍
Aisha Hermis jaman aisha pole
Aisha Hermis njo Aisha 0743416315
Aisha Hermis pamoja Dada..
Come to me,i know how to care,bat im not yet meet da one i love.
Hata mm pia nilimpenda akaniona sifai
Hapana Baraka hapana Baraka sasa naweza kusema ndio umeamua kuonesha maufundi yako.sasa kwann kwenye wimbo huuu umenimaliza kabisa.Good music for gud artist well done Baraka na Timbulo
November 2018who is here😍😍
2019 who is watching😍😘😎
for real am in love with this song I just recall my X. ......
Hopefully na yeye amekukumbuk.....
always
Brenda Mini 😂😂😂 hatari
Big up
It's good mamy miss u
iko vizur sana, ujumbe mzito sana kwa mwenye akili,, congratulation for nice work Barakah & Timbulo
we nenda usisahau i love this song ukiona sifai unichunie wow
Renny Micha haswaaa
2024 nani mwingine ako hapa aki mapezi ya pewe sifa
Kenya 2019 tuko na nani ?? gnga LIKE tukiendanga,,
Marvin Murithi ruclips.net/video/E2iUxMvJbEc/видео.html
p
p
@@midrajiibrahimhalifa2572 Q
Hyu jamaa fundi yaan nyimbo sichoki kusikiliza noma aisee
Claudianus Mugasha kabisa nyimbo nzuri sana mie mwenyew siishi kuisikiliza
love storty for me
Hehehe
Bonge la song, nahisi kulia flani ivi... big up Timbulo na Baraka,,,, Mmetisha kinoma
"Ukitaka nirudie, ukiniona sifai nichunie, ama vipi unipuuze ukiniona popote nipotezee" wow I love this😍😍😍😍😍
lia tu mbona mm apa nalia
hii nyimbo nzuri kuliko nisamehe ya baraka na ali kiba😂
#unknown hacker 😂😂😂😂😂
fr real...baraka hapa ameweza kuliko kW #nisamehe.
unknown hacker hii song imefanyiwa 254 Kenya huyo gay yuko na that lady ni Otile Brown
+simon samuel may be
samuel peter am from Kenya that why I know 😉😉😉but I love Bongo songs😁👏👏
Nan anae icheki kama mimi muda huu 2024
Mimi
Kama Una watch on June 2019 hit like
This song is just super amazing with a true message.Currently most people love each other but they ain't together.Takes me back to back olden days.I Love the song with all my heart.
2019 Julyy Who's Is Here❤❤😥😥
Sally Babz ruclips.net/video/E2iUxMvJbEc/видео.html
After every heartbreak nakujaga hapa 😭🔥🔥🔥2020
😁
😂😂
2025 VIBES TUNAVIEW BADO MWEZI WA KUMI.
2020 who is still here?
wow what a song watching it from Kenya but missing otiles voice
Emily Ngendo nakupendaga sana janja wangu Upo good kinoma
Kazi nzuri naipenda hii nyimbo
Timbulo nilikumic aisee broo asante san kk kwa hk kitu kzr big up sana
#samwel
samuel peter
nilimiss kusikia saut kaka,,,,nimefurah umekuja kivingine....ngoma nzur saanaaaaaaaaaa
natamani nikutag..ila nenda tu!
Ebby Exaud
Nenda tu my ex was mie sina haja ya kukumbuka
Yaani naona taswira ya wema wako ila siamini kwanini uliamua uende zako
This song brings back my scattered heart . life makes sense again
Timbulo umerudi vinoma bro. pamoja na Baraka kisha kwenye video mmemwakilisha my bro Otile brown. penda sana hii ngoma.
moto kuliko pasi..video👍mistari👍nimekubali nie
MOHD YEYE
Betty Kanana 07120942. 93
Nc xnaaaaa
Siwezi choka tazama hii nyimbo na kusikiliza,inanikumbusha mbali sana,niliachana na mpenzi wangu ambae mpaka Leo bado nampenda ila ashapata bwana mwingine,hii nyimbo ina ujumbe mkali sana inanifanya nakumbuka mbali sana,namkumbuka ila naomba anitunzie siri zangu
Kweli kabisa tupo wote ata mi nakumbuka mbali ivo ivo
Pia mimi nakumbuka sana mpenzi wangu ingawa alipata bwana mpka yuko na watoto wawili ila bado nampenda😭😭
ok it's 2021✌️
nani anatizama 2019 like hapa
Nyimbo kali ya muda wote 🙌
November 2021 ???
Daaaaah nice song kila mara naisikiliza,ilike it
Mwaka ambao ngoma ilikuwa released ni mwaka huo huo,miezi kadhaa nyima nilitoka kuachwa na mpenzi wangu Sarah na kupelekea kuyumba kwangu kitaaluma,nilikuwa naisikiliza sana ngoma hii kuliko kuconcentrate na masomo yangu..ni true story..2019 twende sawa
Pole bro 😀😀😀 Ni naipe nda bure bure sichoki kuisikiliza vijana Hawa wako juu Sana ila wanabaniwa Sana
@@blacknature7637 asante kaka
Danakumbukambari sana
Kama umerudi hapa 2022 gonga like...hii song bdo iko moyoni
Hii hapa kali sana, ladha bado yote , wapi likes zake hii 2020
ngoma Kali sana tu lina ladha ya nyumbni kabisa hongera Sana #timbulo vs baraka da Prince. nimeipnda sana hyo nyimbo pia imenigusa na naipnda nyimbo .
peace & love.
God bless u all
nic voice da prince
Kareem Hassani 💒💒💒💒💒
This song my favourite back 2017😭😭😭
Me too dear❤
i come to hear otile brown...so disappointed
Thats the art of music bro
Hii ngoma kali sanaaa ila kwasababu hawapo WCB haijafika mbali yaani bonge moja la ngoma sijawahi kuacha kuisikiliza
Kama umekuja kuitazama 2020 msimu huu wa Corona gonga like
safi sana Timbulo nakukubali sanaaa
Lucas Mseti Tanzania
Farhiya Jama farhiya Jama welcome
Farhiya Jama hi
safi sana timbulo
so nice....
I love this song becouse it gives me courage whenever i feel I'm in the same situation
bonge la ngoma hii ya nyumbani kabisa
Gud song
+florence leonard yap true dat
2022 still listening to ur hit broh naipenda mbya bravo kwenu makaka...zngu
Leo 1/11/2019 bd song linakubalika