Timbulo - Usisahau Feat Barakah The Prince (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • Timbulo - Usisahau Feat Barakah The Prince (Official Video)

Комментарии • 2,8 тыс.

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 8 месяцев назад +187

    2024 Who Is Here With Me...Tuliye Kwa Pamoja 😂😂😂

  • @Nel-the-Notorius
    @Nel-the-Notorius Год назад +138

    Its 2023 but listening to it feels like it's a brand new hit🔥

  • @miss.lulonde
    @miss.lulonde Год назад +81

    2023🥺🥺🥺who is here with me...tulie Kwa pamoja

  • @MamaYetu-v7h
    @MamaYetu-v7h Год назад +122

    kama umeirudia hii ngoma 2023 gonga like hapa tujuane

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Год назад +108

    Kama umeirudia Tena 2022 tujuane hao👇Kwa likes

  • @lydiamupe6466
    @lydiamupe6466 4 года назад +98

    Kama unaikubali hii nyimbo bado gonga like..

  • @iddykasuva9232
    @iddykasuva9232 7 лет назад +136

    nilikua sina google ac lakini hii nyimbo imenifanya nifungue ili mradi nitoe maneno yang,hii nyimbo walah angeimba diamond au kiba ingekuwa ringtone kwenye radio za bongo sad kaimba timbulo watu watasema ya kawaida,ila for real tangia mwaka uanze hii ndo nyimbo inayogusa hadi ndani ya moyo kama umepitia haya mambo ya mapenzi,timbulo na baraka for real u kill it this song

  • @chrissjoel7752
    @chrissjoel7752 3 года назад +16

    *Kama uwepo wa OTILE BROWN kwenye hii ngoma umeugundua baada ya mda mrefu gonga like tuendelee kuinjoy good music*

  • @asiashabani4074
    @asiashabani4074 3 года назад +23

    Kama umewahi kutendwa comment hapa huu wimbo ukuliwaze 2021 Ramadhan kareem 🙏

  • @laurentchimbirani5990
    @laurentchimbirani5990 2 года назад +41

    "Ukitaka nirudie ukiniona sifai nichunie
    Ama vipi unipuuze ukiniona popote nipotezee" - TIMBULO 😭😭😭😭😭

  • @sallydhahabu7789
    @sallydhahabu7789 Год назад +49

    2022 and can't get enough of this song coz it's the Panadol I need sometimes

  • @Moregun619
    @Moregun619 Год назад +16

    Yani leo namuona otile humu😄😁duh
    Aisee
    Anyway old will forever be Gold
    This masterpiece is beyond amazing 🙌🏽

  • @Swalehe-ht9bs
    @Swalehe-ht9bs 8 месяцев назад +14

    2024 nimeirudia tena timbulo from Est African

  • @shirorose1147
    @shirorose1147 3 года назад +58

    2021 niko hapa, this song reminds me of my most crushed moments when everything was so obvious but I couldn't see

  • @winnyemery
    @winnyemery 4 года назад +58

    2020 whose watching....💯🥺💞

  • @mdachiclassic5163
    @mdachiclassic5163 7 лет назад +22

    Naamini atakaeikataa ngoma hii atakuwa na asili ya uchawi sio bure
    .......................................
    Kazi nzuri sana mazee... 👏👏👏

  • @real_a0794
    @real_a0794 7 лет назад +278

    I send this song to my x,she understand it more than my words niliyo kuwa nikimwambia,n we are back coz of this song,ime catch emotion zake big up

    • @nicasiusnicholaus8705
      @nicasiusnicholaus8705 7 лет назад +1

      Ahmed Mohammed hahahahahaha congrats man.. what an achievement 😂😂😂😂

    • @mamuhmgimba2479
      @mamuhmgimba2479 7 лет назад +4

      what an achievement😂😂

    • @kitulamasunga9900
      @kitulamasunga9900 7 лет назад +7

      nicasius nicholaus ,,temana nae no need to back again,,,,LeAnn akuache then akurdie kisa wimbo,,,,,!! akiondoka utamrudishaje?? au kutakuwa na wimbo mwngne????

    • @zahramohd7716
      @zahramohd7716 7 лет назад

      😂😂👌

    • @nicasiusnicholaus8705
      @nicasiusnicholaus8705 7 лет назад +1

      sihusiki hapo aiseeee.....

  • @merryhonest7217
    @merryhonest7217 4 года назад +169

    2020 nan yupo na mm gonga like twende sawa

  • @abdallaanton5210
    @abdallaanton5210 4 года назад +198

    Kama unaiangalia 2020 Like twende sawa wadau

  • @mikarubisha3331
    @mikarubisha3331 3 года назад +66

    Kama umeumizwa na kuitafuta hii ngoma 2021 gusa like hapa tupoze maumivu!!

  • @salmamalit9333
    @salmamalit9333 4 года назад +220

    Wow! Nani tena bado ako hapa 2020? Unanikumbusha good times with my late cuzo this was his favorite song waah! Still in my heart

  • @ushizotvofficial5041
    @ushizotvofficial5041 4 года назад +77

    Kama unasikiliza 2020 gonga like twende sawa

  • @sumakijaji4547
    @sumakijaji4547 Год назад +7

    Saa 21:02Usiku, Siku Ya Jumapili Tarehe 19/03/2023, Hii Nyimbo Naangalia Muda huu Nyimbo Yangu Pendwa Siku Zoteeee🙌🙌🙌🙌😌

  • @ZawijiBijo-lg8jg
    @ZawijiBijo-lg8jg 5 месяцев назад +9

    Ii ngoma Kwa kweri sio POa ebu weka like kwanza tunayoicheki Ii kazi

  • @barakaoliwaly8653
    @barakaoliwaly8653 4 года назад +24

    tulio ludia mwaka 2020 tujuwane hapa timburo baraka love song

  • @Mr.Kibabu
    @Mr.Kibabu 7 лет назад +35

    am sorry Timbulo sikuwah kukuelewa... ila kupitia hii nyimbo nimekuelewa.
    kazi nzur sna sna

  • @justinejulius3544
    @justinejulius3544 7 лет назад +25

    Baraka ni mwanamziki mzur sana ila kwenye nyimbo zake anakurupukaga... well done baraka

  • @bookten6210
    @bookten6210 5 лет назад +256

    kama bado unaitazama 2019 piga like

  • @susannjoroge2913
    @susannjoroge2913 5 лет назад +198

    2019 i can't stop playing this song if you believe it's 🔥 like this😍😜

  • @MsuyaMsuyaJr
    @MsuyaMsuyaJr 4 года назад +96

    Kama umerudi kuutazama 2020 gonga like hapo twende sawa

  • @wahidal-buhriy5372
    @wahidal-buhriy5372 7 лет назад +47

    kazi nzuri timbulo na baraka imetulia sana ujumbe umefika ..

  • @rashkadedj5393
    @rashkadedj5393 5 лет назад +28

    254 family like kama umeona mr otile brown kwenye hii video

  • @fadhilirashidi4982
    @fadhilirashidi4982 5 лет назад +45

    Hii nyimbo ilitoka wakati nafanya seacliff court dar es salaam ila nilitendwa na Time kiukweli nilikuwa sili coz nilikuwa Sina pesa

  • @rajahiv9723
    @rajahiv9723 5 лет назад +58

    2019 who is here 🙋🏽‍♂️?

  • @prospermk0
    @prospermk0 3 года назад +7

    Kama upo baada ya kuwachwa njoo hapa 🤌🤌😂🥶

  • @hidayajuma5052
    @hidayajuma5052 7 лет назад +212

    Aisee mbona hizi nyimbo za Timbulo tamu sana alaf sizickii maredion kuzirusha dooh mnambania ziko juu hataree

  • @nyaokeviolet4144
    @nyaokeviolet4144 7 лет назад +70

    oh my this song is looking for..254 Kenya iko wapi likes za kwetu

  • @azizgau7512
    @azizgau7512 7 лет назад +116

    Daah hii nyimbo ni hatari inaingia mpk kwny moyo hongera sn timbulo hongera sn Baraka mmefanya ki tu kizuri sn

  • @EricaBizuru-jp9by
    @EricaBizuru-jp9by 10 месяцев назад +7

    "Basi moyo wangu nakupa zawad nenda nao"❤❤❤❤ Hiki kipande ndio kinafanya naupenda huu wimbo

  • @laurentchimbirani5990
    @laurentchimbirani5990 2 года назад +13

    "NINAPO WAONA MASHOGA ZAKO NAMISS VITUKO NILIPOKUWA NAWE"😭😭 Nyimbo isiyo chuja #Timbulo #BarakaThePrince #Usisahau 🙌🙌🙌

  • @datikazumari515
    @datikazumari515 7 лет назад +313

    ukiona mtu anaiponda hii nyimbo ujue ukoo wao wote ni wachawi ,,big up timbulo#baraka ni nyimbo yenye hisia yani noma

  • @wasajo
    @wasajo 7 лет назад +51

    mashoga ndo wanaopinga kila kitu, audio na video viko pouwa sana congrats to them

  • @manallove1
    @manallove1 7 лет назад +46

    Otile brown bana mbona hukuimba..huu wimbo ungekuwa fire with most amazing voices na pia nyi nyote huwa 🔥

  • @emmanueldamas3621
    @emmanueldamas3621 5 лет назад +219

    2019 kama tuko p1 gonga like twenze tu

  • @gabrielmushi2813
    @gabrielmushi2813 5 лет назад +160

    2019 ngoma bado inatikisa miamba ya akili yangu ...
    My lovely nenda ila usisahau ..

    • @rajabusamsimba7150
      @rajabusamsimba7150 5 лет назад +2

      jap mmeteman na ww ila mtunzie madhaif yang yan hii ngom kla nikiichek bad yanitoa chozi huwez aminnkweli usalit nishid

    • @Zanzibar_quiztv
      @Zanzibar_quiztv 4 года назад

      GABRIEL MUSHI
      ruclips.net/video/E2iUxMvJbEc/видео.html

    • @janethjamala6225
      @janethjamala6225 4 года назад +1

      Up poa cn

    • @mohamediamrani8399
      @mohamediamrani8399 4 года назад

      GABRIEL MUSHI .😃

    • @andrewmunis6058
      @andrewmunis6058 4 года назад

      Hahaaa acha moyo usukume dam broo

  • @kayunisijali5350
    @kayunisijali5350 7 лет назад +31

    wimbo mtam sana ila ukisikia vizuri wimbo wa kassimu mganga -haiwezekani unaendana sana kwa bit zao

  • @swalloonpoint2306
    @swalloonpoint2306 7 лет назад +52

    Chupa kali na la kisasa zaidi.
    Big up sana bro #timbulo na #barakadeprince kwa kitu fulani hivi chenye ladha ya nyumbani kabisa, hii sasa ndo bongo flava

  • @storinzurtv3835
    @storinzurtv3835 7 лет назад +67

    Dah nyimbo tamu sanaa kila wakati naisikiliza sichoki

  • @playlistahme6095
    @playlistahme6095 5 лет назад +55

    Anaemkubali huyu jamaa like nyingi kwake jomoniii👍👍👍

  • @jackymukoma1506
    @jackymukoma1506 3 года назад +19

    2021: still listening

  • @nautharkhaiyan5089
    @nautharkhaiyan5089 7 лет назад +39

    huu wimbo ulivyotoka nilihis nimeimbiwa lkn big up sana nice song

  • @juliusuronu8812
    @juliusuronu8812 7 лет назад +16

    Ila jaman kusema ukweli pamoja na mashauz yote ya baraka da prince ila jamaa anaimba sana mistar yake ndo inanikoshaga..ukimuweka na Timbulo ndo kabisa ngoma kali sana...Hit song

  • @fatumaababy1281
    @fatumaababy1281 6 лет назад +266

    2018who is here?🙋

    • @salummbaruok9408
      @salummbaruok9408 6 лет назад +2

      fatuma Ababy I am

    • @kopaone1551
      @kopaone1551 6 лет назад +2

      By Shaggy Ze Don ndan ya fb duuuh imenitach kinomayan kari saaaaaaaaaana

    • @michandbe
      @michandbe 6 лет назад +1

      sisi hawa

    • @anisetnyaki750
      @anisetnyaki750 6 лет назад +1

      fatuma Ababy Me From TZ

    • @derrickmatenga4804
      @derrickmatenga4804 6 лет назад +1

      fatuma Ababy😍naomba number zako dada yangu😢😭

  • @chrisbrownbrown8182
    @chrisbrownbrown8182 4 года назад +17

    Wale tuko 2020 hadi sasa tujuane kwa like hapo juu

  • @Ramjamcomedian
    @Ramjamcomedian Год назад +5

    Wale wa 2023 tujuane kwa likes pliiiz..

  • @mamuhmgimba2479
    @mamuhmgimba2479 7 лет назад +62

    bonge moja la jimbo mpaka naiona kama fupi hiv jinsi ilivyo tamu

  • @aishahermis4895
    @aishahermis4895 7 лет назад +266

    😍😍😍😍 😭😭😭 niliyempenda hakujua thamani yangu ahsante kwa huu wimbo 😍😍

  • @emmanuelmpunza5404
    @emmanuelmpunza5404 7 лет назад +18

    Hapana Baraka hapana Baraka sasa naweza kusema ndio umeamua kuonesha maufundi yako.sasa kwann kwenye wimbo huuu umenimaliza kabisa.Good music for gud artist well done Baraka na Timbulo

  • @ritaritaa3517
    @ritaritaa3517 5 лет назад +18

    November 2018who is here😍😍

  • @mimiadam9156
    @mimiadam9156 5 лет назад +14

    2019 who is watching😍😘😎

  • @brendamini9906
    @brendamini9906 7 лет назад +30

    for real am in love with this song I just recall my X. ......

  • @giftwaziri1955
    @giftwaziri1955 7 лет назад +12

    iko vizur sana, ujumbe mzito sana kwa mwenye akili,, congratulation for nice work Barakah & Timbulo

  • @rennymicha8567
    @rennymicha8567 7 лет назад +23

    we nenda usisahau i love this song ukiona sifai unichunie wow

  • @zipporahkatoro1131
    @zipporahkatoro1131 8 месяцев назад +4

    2024 nani mwingine ako hapa aki mapezi ya pewe sifa

  • @theunreportedculture4828
    @theunreportedculture4828 5 лет назад +45

    Kenya 2019 tuko na nani ?? gnga LIKE tukiendanga,,

  • @claudianusmugasha717
    @claudianusmugasha717 7 лет назад +44

    Hyu jamaa fundi yaan nyimbo sichoki kusikiliza noma aisee

  • @superkingkong1034
    @superkingkong1034 7 лет назад +23

    Bonge la song, nahisi kulia flani ivi... big up Timbulo na Baraka,,,, Mmetisha kinoma

    • @sherrysherry6067
      @sherrysherry6067 5 лет назад

      "Ukitaka nirudie, ukiniona sifai nichunie, ama vipi unipuuze ukiniona popote nipotezee" wow I love this😍😍😍😍😍

    • @veronicajulius9878
      @veronicajulius9878 5 лет назад +1

      lia tu mbona mm apa nalia

  • @Az__2012
    @Az__2012 7 лет назад +54

    hii nyimbo nzuri kuliko nisamehe ya baraka na ali kiba😂

    • @joycemichaellovelove2221
      @joycemichaellovelove2221 7 лет назад

      #unknown hacker 😂😂😂😂😂

    • @simonkaysam
      @simonkaysam 7 лет назад +1

      fr real...baraka hapa ameweza kuliko kW #nisamehe.

    • @aminasheri8405
      @aminasheri8405 7 лет назад +1

      unknown hacker hii song imefanyiwa 254 Kenya huyo gay yuko na that lady ni Otile Brown

    • @samuelpeter5807
      @samuelpeter5807 7 лет назад +1

      +simon samuel may be

    • @aminasheri8405
      @aminasheri8405 7 лет назад

      samuel peter am from Kenya that why I know 😉😉😉but I love Bongo songs😁👏👏

  • @IdrisaGusowa
    @IdrisaGusowa 7 месяцев назад +6

    Nan anae icheki kama mimi muda huu 2024

  • @achiengmusic9640
    @achiengmusic9640 5 лет назад +20

    Kama Una watch on June 2019 hit like

  • @hillarysasita7107
    @hillarysasita7107 5 лет назад +47

    This song is just super amazing with a true message.Currently most people love each other but they ain't together.Takes me back to back olden days.I Love the song with all my heart.

  • @nabyswabz1522
    @nabyswabz1522 5 лет назад +13

    2019 Julyy Who's Is Here❤❤😥😥

    • @Zanzibar_quiztv
      @Zanzibar_quiztv 4 года назад

      Sally Babz ruclips.net/video/E2iUxMvJbEc/видео.html

  • @michaelgitau9681
    @michaelgitau9681 4 года назад +9

    After every heartbreak nakujaga hapa 😭🔥🔥🔥2020

  • @ZzikoliaKE
    @ZzikoliaKE 8 часов назад

    2025 VIBES TUNAVIEW BADO MWEZI WA KUMI.

  • @aggreytuti1259
    @aggreytuti1259 4 года назад +9

    2020 who is still here?

  • @emilyngendo8772
    @emilyngendo8772 7 лет назад +28

    wow what a song watching it from Kenya but missing otiles voice

    • @francispeter3450
      @francispeter3450 6 лет назад +1

      Emily Ngendo nakupendaga sana janja wangu Upo good kinoma

    • @mariamrich4242
      @mariamrich4242 4 года назад

      Kazi nzuri naipenda hii nyimbo

  • @samwelkisuda3452
    @samwelkisuda3452 7 лет назад +10

    Timbulo nilikumic aisee broo asante san kk kwa hk kitu kzr big up sana

  • @ebbyexaud4125
    @ebbyexaud4125 7 лет назад +39

    natamani nikutag..ila nenda tu!

  • @nananana4885
    @nananana4885 5 лет назад +6

    Yaani naona taswira ya wema wako ila siamini kwanini uliamua uende zako

  • @junebikeri8700
    @junebikeri8700 3 года назад +17

    This song brings back my scattered heart . life makes sense again

  • @missjosephs95
    @missjosephs95 7 лет назад +5

    Timbulo umerudi vinoma bro. pamoja na Baraka kisha kwenye video mmemwakilisha my bro Otile brown. penda sana hii ngoma.

  • @strongnana2226
    @strongnana2226 7 лет назад +42

    moto kuliko pasi..video👍mistari👍nimekubali nie

  • @alquinmadoro5767
    @alquinmadoro5767 7 лет назад +11

    Siwezi choka tazama hii nyimbo na kusikiliza,inanikumbusha mbali sana,niliachana na mpenzi wangu ambae mpaka Leo bado nampenda ila ashapata bwana mwingine,hii nyimbo ina ujumbe mkali sana inanifanya nakumbuka mbali sana,namkumbuka ila naomba anitunzie siri zangu

    • @kanywelemgangamganga4381
      @kanywelemgangamganga4381 Год назад

      Kweli kabisa tupo wote ata mi nakumbuka mbali ivo ivo

    • @legendohmy3088
      @legendohmy3088 Год назад

      Pia mimi nakumbuka sana mpenzi wangu ingawa alipata bwana mpka yuko na watoto wawili ila bado nampenda😭😭

  • @aishaally2338
    @aishaally2338 3 года назад +3

    ok it's 2021✌️

  • @khadijaabdallahsaid303
    @khadijaabdallahsaid303 5 лет назад +19

    nani anatizama 2019 like hapa

  • @jaytheboy2393
    @jaytheboy2393 2 года назад +4

    Nyimbo kali ya muda wote 🙌
    November 2021 ???

  • @mariammbwambo6638
    @mariammbwambo6638 7 лет назад +19

    Daaaaah nice song kila mara naisikiliza,ilike it

  • @jr_mkumbojr
    @jr_mkumbojr 5 лет назад +7

    Mwaka ambao ngoma ilikuwa released ni mwaka huo huo,miezi kadhaa nyima nilitoka kuachwa na mpenzi wangu Sarah na kupelekea kuyumba kwangu kitaaluma,nilikuwa naisikiliza sana ngoma hii kuliko kuconcentrate na masomo yangu..ni true story..2019 twende sawa

    • @blacknature7637
      @blacknature7637 5 лет назад +1

      Pole bro 😀😀😀 Ni naipe nda bure bure sichoki kuisikiliza vijana Hawa wako juu Sana ila wanabaniwa Sana

    • @jr_mkumbojr
      @jr_mkumbojr 5 лет назад

      @@blacknature7637 asante kaka

    • @fathimafathima3888
      @fathimafathima3888 4 года назад

      Danakumbukambari sana

  • @Victor-jo6sp
    @Victor-jo6sp Год назад +2

    Kama umerudi hapa 2022 gonga like...hii song bdo iko moyoni

  • @andrewzthetalentedguy8699
    @andrewzthetalentedguy8699 4 года назад +5

    Hii hapa kali sana, ladha bado yote , wapi likes zake hii 2020

  • @kareemhassani8286
    @kareemhassani8286 7 лет назад +12

    ngoma Kali sana tu lina ladha ya nyumbni kabisa hongera Sana #timbulo vs baraka da Prince. nimeipnda sana hyo nyimbo pia imenigusa na naipnda nyimbo .
    peace & love.
    God bless u all

  • @MercyNdila-yo6ci
    @MercyNdila-yo6ci 21 день назад +3

    This song my favourite back 2017😭😭😭

  • @KimaniJoseph
    @KimaniJoseph 7 лет назад +19

    i come to hear otile brown...so disappointed

  • @vanestorymahenge1724
    @vanestorymahenge1724 3 года назад +1

    Hii ngoma kali sanaaa ila kwasababu hawapo WCB haijafika mbali yaani bonge moja la ngoma sijawahi kuacha kuisikiliza

  • @maimunahassan4878
    @maimunahassan4878 4 года назад +5

    Kama umekuja kuitazama 2020 msimu huu wa Corona gonga like

  • @lucasalbertomseti1578
    @lucasalbertomseti1578 7 лет назад +32

    safi sana Timbulo nakukubali sanaaa

  • @roseonsare3039
    @roseonsare3039 Год назад +7

    I love this song becouse it gives me courage whenever i feel I'm in the same situation

  • @zuberihussein4597
    @zuberihussein4597 7 лет назад +16

    bonge la ngoma hii ya nyumbani kabisa

  • @nuruali7859
    @nuruali7859 2 года назад +1

    2022 still listening to ur hit broh naipenda mbya bravo kwenu makaka...zngu

  • @abdullmaliki7479
    @abdullmaliki7479 4 года назад +7

    Leo 1/11/2019 bd song linakubalika