MAKONDA AONGEA KAULI NZITO MBELE ya WAZIRI KITILA "Mimi ni Tofauti na Wengine Sipendi Ubabaishaji"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 июл 2024

Комментарии • 54

  • @abdialijamaa1643
    @abdialijamaa1643 17 дней назад +14

    a leader is the one who knows the way,goes the way and shows the way .this is the kind of people we need in leadership paul makonda . keep shining like a star

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 17 дней назад +7

    Safi sana Mh Makonda, hongera sana unakitendea haki cheo chako 🎉🎉🎉 Mungu akulinde akupiganie uchape kazi hakika ww ni kiongozi wa kuigwa 🎉🎉

  • @LeahGyei
    @LeahGyei 17 дней назад +13

    Wewe ni kiongozi kutoka kwa Mungu. Barikiwa sana mwanangu

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 17 дней назад +9

    Makonda kwa hili nimekupongeza umeongea kwa hekima na uwezo wa juu sana leo unazidi kuimalika kwene uongozi, i wish siku koja yapi awe makamu wako mpo vizuri.

    • @section8ight174
      @section8ight174 17 дней назад

      *KuimaRika but yeah great point you’ve put across!!

  • @kamogesamuel2461
    @kamogesamuel2461 17 дней назад +7

    Barikiwa sana kwa utumishi uliotukuka na maono makubwa

  • @yahayampangilwa
    @yahayampangilwa 18 дней назад +9

    Viongozi wazalendo kama Makonda wanatakiwa kulindwa sana.

  • @yusuphchimwala4126
    @yusuphchimwala4126 17 дней назад +4

    Uko vizur sanaaa mkuu Allah akuongoze katika utendaji wako mkuu🎉

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5 17 дней назад +1

    Mhe Mkuu wa Mkoa Arusha mhe
    Makonda wewe ni kiongozi mbunifu sana wewe ni mlezi wa kila lika duh !!! Sijawahi kuona masha allah mungu akufanyie wepesi wakazi zako za kila siku piga kazi mhe makonda

  • @JudicaJoseph
    @JudicaJoseph 17 дней назад +5

    Haya kama wakisema Ni siasa Ni sawa tungekuwa tunafanyiwa siasa nzuri kama hizi za vitendo Na viongozi wote nchi ingekuwa mbali Sana Na wananchi tungepona

  • @MossesMeleji
    @MossesMeleji 17 дней назад +2

    Makonda ubarikiwe sana! Songa mbele

  • @IlalioMbunju-hv7kw
    @IlalioMbunju-hv7kw 17 дней назад +5

    Chapa kazi Mungu anakuona unachofanya

  • @shabannayopa5406
    @shabannayopa5406 17 дней назад +3

    Viva makonda cna neno chapa kaz, 💯 nakubal

  • @abasibogga4798
    @abasibogga4798 18 дней назад +3

    U are the leader ofcause big up makonda

  • @nichoojr.6747
    @nichoojr.6747 17 дней назад +4

    Sema Kaka We NI Raisi Miaka ijayo 🙏

  • @bogate156
    @bogate156 15 дней назад

    MAKONDA IS REAL VERY SMART...QUICK DECISION MAKER...VERY DIPLOMATIC...MWALIMU..MCHA MUNGU...MZEE WA BLACK AND WHITE.ANANYOOSHA MAMBO NA HAMUONEI MZEMBE AIBU...HUYU ANGEKUA WAZIRI MKUU 2025 MAMBO MENGI YANGUKUA SUPER...BIG UP BROTHER COMRADE.MUNGU AKULINDE..

  • @abdallahomary515
    @abdallahomary515 17 дней назад +5

    Huyu jamaa ana vision kiukweli

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 17 дней назад +3

    Big up sana Vijana tunakuelewa sana Makonda

  • @JudicaJoseph
    @JudicaJoseph 17 дней назад +4

    Safi kaka makonda kiongozi wa mfano

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee 17 дней назад +2

    Makonda Akili kubwa sana.....heko kwake

  • @user-md7ug5dd9r
    @user-md7ug5dd9r 17 дней назад +3

    Mungu akubarki sana

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 17 дней назад +1

    Ubarikiwe sana Mh Makonda.

  • @daudkindy8062
    @daudkindy8062 17 дней назад +1

    Ishaallah Makonda utafika mbali ishaallah

  • @stevenmrama3123
    @stevenmrama3123 14 дней назад

    Falsafa yako ni nzuri sana,isipokua viongozi wetu kwanza akiwa ofisini wanakua miungu watu .ni shida sana

  • @user-dn9lb9ct1w
    @user-dn9lb9ct1w 17 дней назад +3

    Mh poul makonda hakika upo vzuri Arusha is the big city now co of u

  • @user-nd1le6zp3e
    @user-nd1le6zp3e 17 дней назад +5

    Sema mwamba tunakuamini

  • @MsumalAloyce
    @MsumalAloyce 9 дней назад

    Anaemshambulia makonda,bora afe

  • @jerichoseth4188
    @jerichoseth4188 17 дней назад +1

    Bro you are my lol model in leadership

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 15 дней назад

    Asante mh makonda tunakupenda arusha

  • @peterpaschal4522
    @peterpaschal4522 17 дней назад +2

    Mheshimiwa makonda hapo kwenye kusema au nilikosea kufanya hi biashara kuna siku nilijisemea walai maana kumsimamia mtu ambaye hajitambui ilikuwa hatari

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 17 дней назад +1

    NINAKUELEWA SANA MHE MAKONDA UKO VIZURI KAKA

  • @mwinyisaruni8974
    @mwinyisaruni8974 14 дней назад

    Mheshimiwa endelewa kupiga spana kazi iendelee Ila hiyo wawekezaji jamani ichunguze vizuri kweli kuna sehemu ata nawao waangalie na kuajiri watu maana Kuna namna haija kaa vizuri na wao, wanawapotezea watu muda mrefu bila kuwaajiri Hilo lichunguze mheshimiwa

  • @Antelius-ew6it
    @Antelius-ew6it 17 дней назад +1

    Karibu ikilu ❤

  • @MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh
    @MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh 14 дней назад

    Nakubali sana utendajiwako bigap

  • @khamismtoma4902
    @khamismtoma4902 17 дней назад +3

    PhD ya makonda

  • @elizabethbigilwa6822
    @elizabethbigilwa6822 17 дней назад +2

    Chapa kazi. Kama ulivyoacha DSM

  • @masakamgalla9273
    @masakamgalla9273 17 дней назад +3

    A man and ahalf

  • @WilhelmPetro
    @WilhelmPetro 10 дней назад

    Makonda oyeeeeeee inatakiwa

  • @zakarialuhemeja444
    @zakarialuhemeja444 17 дней назад +1

    Intelligent

  • @loyakanuda2521
    @loyakanuda2521 17 дней назад +1

    ❤❤❤❤❤

  • @MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh
    @MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh 14 дней назад

    Nikweli unamtaja mama malaika niwewe

  • @samwelmkufya3694
    @samwelmkufya3694 16 дней назад

    Wewe ni Rais unaesubiri kuapishwa tu brother piga kazi

  • @user-hu9bf7nw4c
    @user-hu9bf7nw4c 15 дней назад

    Makonda amefundwa na magu ,habadiliki ni yule yule ,haendi na upepo kama wengne, hua wanabadilika hawana uelekeo maalum ,hao wa hvyo ndio wanaohalibu nchi, unakuta uongozi wa awam fulan wengne wanajifanya wema alafu nyingne wanakua wabaya kabisa kwa kutetea ubaya, inakua kama machawa ambao ndio wahalibifu kabisa wa nchi ,ila kwa makonda ni yule yule habadiliki toka awam ya magu ,na ndio tunaowaitaji sisi wananchi viongoz wa namna hii na ukiwapata hata 20 vile ujue nchi itanyooka mno

  • @DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to
    @DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to 16 дней назад

    Je mbuga ya ngorongoro haijauzwa kwa nini wamasai wanahamishwa je Watanzania wameelezwa.

  • @lucascosmas908
    @lucascosmas908 16 дней назад

    Sawa

  • @user-pi5df7qu3y
    @user-pi5df7qu3y 16 дней назад

    Rais wangu miaka inayokuja

  • @user-pw9ir4fg7x
    @user-pw9ir4fg7x 17 дней назад

    Ikulu unakaribixhwa

  • @masakamgalla9273
    @masakamgalla9273 17 дней назад +3

    Takwimu za milembe kubwa kidogo hapo chuga😂😂

  • @vincentmhoro1952
    @vincentmhoro1952 17 дней назад

    Vivo hivyo, msiwa-treat mapinzani wa kisiasa kama maadui

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 17 дней назад

    wamechaguliwa na nani

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 17 дней назад

    sheria ndio mbovu wewe unampaje mtubwa tra mamlaka ya kukadiliaaa hela ya serikali na anamaamuzi yote ya kufanya anachotaka na hakaguliwi

    • @section8ight174
      @section8ight174 17 дней назад

      *KukadiRia, tobwe wewe! Acheni kuaribu lugha nyie wa kuletwa!!

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow 17 дней назад

    Makonda unatakiwa uwe raisi sio huyu mtalii