a leader is the one who knows the way,goes the way and shows the way .this is the kind of people we need in leadership paul makonda . keep shining like a star
Makonda kwa hili nimekupongeza umeongea kwa hekima na uwezo wa juu sana leo unazidi kuimalika kwene uongozi, i wish siku koja yapi awe makamu wako mpo vizuri.
Mhe Mkuu wa Mkoa Arusha mhe Makonda wewe ni kiongozi mbunifu sana wewe ni mlezi wa kila lika duh !!! Sijawahi kuona masha allah mungu akufanyie wepesi wakazi zako za kila siku piga kazi mhe makonda
Haya kama wakisema Ni siasa Ni sawa tungekuwa tunafanyiwa siasa nzuri kama hizi za vitendo Na viongozi wote nchi ingekuwa mbali Sana Na wananchi tungepona
MAKONDA IS REAL VERY SMART...QUICK DECISION MAKER...VERY DIPLOMATIC...MWALIMU..MCHA MUNGU...MZEE WA BLACK AND WHITE.ANANYOOSHA MAMBO NA HAMUONEI MZEMBE AIBU...HUYU ANGEKUA WAZIRI MKUU 2025 MAMBO MENGI YANGUKUA SUPER...BIG UP BROTHER COMRADE.MUNGU AKULINDE..
Mheshimiwa makonda hapo kwenye kusema au nilikosea kufanya hi biashara kuna siku nilijisemea walai maana kumsimamia mtu ambaye hajitambui ilikuwa hatari
Mheshimiwa endelewa kupiga spana kazi iendelee Ila hiyo wawekezaji jamani ichunguze vizuri kweli kuna sehemu ata nawao waangalie na kuajiri watu maana Kuna namna haija kaa vizuri na wao, wanawapotezea watu muda mrefu bila kuwaajiri Hilo lichunguze mheshimiwa
Makonda amefundwa na magu ,habadiliki ni yule yule ,haendi na upepo kama wengne, hua wanabadilika hawana uelekeo maalum ,hao wa hvyo ndio wanaohalibu nchi, unakuta uongozi wa awam fulan wengne wanajifanya wema alafu nyingne wanakua wabaya kabisa kwa kutetea ubaya, inakua kama machawa ambao ndio wahalibifu kabisa wa nchi ,ila kwa makonda ni yule yule habadiliki toka awam ya magu ,na ndio tunaowaitaji sisi wananchi viongoz wa namna hii na ukiwapata hata 20 vile ujue nchi itanyooka mno
a leader is the one who knows the way,goes the way and shows the way .this is the kind of people we need in leadership paul makonda . keep shining like a star
Safi sana Mh Makonda, hongera sana unakitendea haki cheo chako 🎉🎉🎉 Mungu akulinde akupiganie uchape kazi hakika ww ni kiongozi wa kuigwa 🎉🎉
Wewe ni kiongozi kutoka kwa Mungu. Barikiwa sana mwanangu
Makonda kwa hili nimekupongeza umeongea kwa hekima na uwezo wa juu sana leo unazidi kuimalika kwene uongozi, i wish siku koja yapi awe makamu wako mpo vizuri.
*KuimaRika but yeah great point you’ve put across!!
Barikiwa sana kwa utumishi uliotukuka na maono makubwa
Viongozi wazalendo kama Makonda wanatakiwa kulindwa sana.
Uko vizur sanaaa mkuu Allah akuongoze katika utendaji wako mkuu🎉
Mhe Mkuu wa Mkoa Arusha mhe
Makonda wewe ni kiongozi mbunifu sana wewe ni mlezi wa kila lika duh !!! Sijawahi kuona masha allah mungu akufanyie wepesi wakazi zako za kila siku piga kazi mhe makonda
Haya kama wakisema Ni siasa Ni sawa tungekuwa tunafanyiwa siasa nzuri kama hizi za vitendo Na viongozi wote nchi ingekuwa mbali Sana Na wananchi tungepona
Makonda ubarikiwe sana! Songa mbele
Chapa kazi Mungu anakuona unachofanya
Viva makonda cna neno chapa kaz, 💯 nakubal
U are the leader ofcause big up makonda
Sema Kaka We NI Raisi Miaka ijayo 🙏
MAKONDA IS REAL VERY SMART...QUICK DECISION MAKER...VERY DIPLOMATIC...MWALIMU..MCHA MUNGU...MZEE WA BLACK AND WHITE.ANANYOOSHA MAMBO NA HAMUONEI MZEMBE AIBU...HUYU ANGEKUA WAZIRI MKUU 2025 MAMBO MENGI YANGUKUA SUPER...BIG UP BROTHER COMRADE.MUNGU AKULINDE..
Huyu jamaa ana vision kiukweli
Big up sana Vijana tunakuelewa sana Makonda
Safi kaka makonda kiongozi wa mfano
Makonda Akili kubwa sana.....heko kwake
Mungu akubarki sana
Ubarikiwe sana Mh Makonda.
Ishaallah Makonda utafika mbali ishaallah
Falsafa yako ni nzuri sana,isipokua viongozi wetu kwanza akiwa ofisini wanakua miungu watu .ni shida sana
Mh poul makonda hakika upo vzuri Arusha is the big city now co of u
Sema mwamba tunakuamini
Anaemshambulia makonda,bora afe
Bro you are my lol model in leadership
Asante mh makonda tunakupenda arusha
Mheshimiwa makonda hapo kwenye kusema au nilikosea kufanya hi biashara kuna siku nilijisemea walai maana kumsimamia mtu ambaye hajitambui ilikuwa hatari
NINAKUELEWA SANA MHE MAKONDA UKO VIZURI KAKA
Mheshimiwa endelewa kupiga spana kazi iendelee Ila hiyo wawekezaji jamani ichunguze vizuri kweli kuna sehemu ata nawao waangalie na kuajiri watu maana Kuna namna haija kaa vizuri na wao, wanawapotezea watu muda mrefu bila kuwaajiri Hilo lichunguze mheshimiwa
Karibu ikilu ❤
Nakubali sana utendajiwako bigap
PhD ya makonda
Chapa kazi. Kama ulivyoacha DSM
A man and ahalf
Makonda oyeeeeeee inatakiwa
Intelligent
❤❤❤❤❤
Nikweli unamtaja mama malaika niwewe
Wewe ni Rais unaesubiri kuapishwa tu brother piga kazi
Makonda amefundwa na magu ,habadiliki ni yule yule ,haendi na upepo kama wengne, hua wanabadilika hawana uelekeo maalum ,hao wa hvyo ndio wanaohalibu nchi, unakuta uongozi wa awam fulan wengne wanajifanya wema alafu nyingne wanakua wabaya kabisa kwa kutetea ubaya, inakua kama machawa ambao ndio wahalibifu kabisa wa nchi ,ila kwa makonda ni yule yule habadiliki toka awam ya magu ,na ndio tunaowaitaji sisi wananchi viongoz wa namna hii na ukiwapata hata 20 vile ujue nchi itanyooka mno
Je mbuga ya ngorongoro haijauzwa kwa nini wamasai wanahamishwa je Watanzania wameelezwa.
Sawa
Rais wangu miaka inayokuja
Ikulu unakaribixhwa
Takwimu za milembe kubwa kidogo hapo chuga😂😂
😢😢😢😢
Vivo hivyo, msiwa-treat mapinzani wa kisiasa kama maadui
wamechaguliwa na nani
sheria ndio mbovu wewe unampaje mtubwa tra mamlaka ya kukadiliaaa hela ya serikali na anamaamuzi yote ya kufanya anachotaka na hakaguliwi
*KukadiRia, tobwe wewe! Acheni kuaribu lugha nyie wa kuletwa!!
Makonda unatakiwa uwe raisi sio huyu mtalii