PROF. KITILA MKUMBO AKOSHWA NA UBUNIFU WA RC MAKONDA ARUSHA ""UNAKITENDEA HAKI CHEO CHAKO""

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 15

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511 2 месяца назад +5

    Hakika mkumbo wewe nakukubari Sana majembe ya mama laisi wetu kipenzi mungu ajarie Sana

  • @bitutuatemba2164
    @bitutuatemba2164 2 месяца назад +2

    Hon Makonda hoyeeeeeee# my bro Paul tuko pamoja

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 2 месяца назад

    Very true makonda ni Jembe

  • @FahmiNassor
    @FahmiNassor 2 месяца назад +2

    Jamani kila siku nasema MAMA SAMIA TEUWA MAKONDA KUWA WAZIRI MKUU, JERRY SLAA WAZIRI WA AFYA,JUMAA AWESO WAZIRI WA NISHATI MAMA SAMIA UTASTAREHE

  • @lucascosmas908
    @lucascosmas908 2 месяца назад

    Mwamba au kiongozi makini pia ana ubaya na TAIFA kiujumla Paul makonda apa spana tu😊

  • @josephmajembe3090
    @josephmajembe3090 2 месяца назад +1

    Aaa hapo kwenye kipaumbele cha kwanza kilimo ivi inawezekanaje mtu kupata degree ya kilimo SUA alafu hajua hata namna ya kuoperate powetiller? Prof majibu.

  • @user-qh9jt7rm1x
    @user-qh9jt7rm1x 2 месяца назад +3

    Makonda ni jembe piga kazi kiongozi shughulikia hao wanyonyaji

  • @toshindugwa1085
    @toshindugwa1085 Месяц назад

    Hakika MUNGU amekufunulia hilo ni kweli kijana ana vision kubwa.OMBI langu kama mwananchi MAMA amzungushe huyu kijana kila mkoa baada ya miaka mitatu

  • @user-ue4yx2ql3m
    @user-ue4yx2ql3m 2 месяца назад

    Kwwl

  • @fredrickbaryagati2194
    @fredrickbaryagati2194 2 месяца назад +1

    Bado unataka makofi fanya kazi usipende makofi yatajireta tu .erimu yako bure

  • @jacksonbarnaba9088
    @jacksonbarnaba9088 2 месяца назад

    Hizi chanel zimekua nyingi mpaka hawana muda wa kupitia walichokiandika. I mean hawana wahariri. Mnaandika haraka haraka muwe wakwanza kupost😢

  • @fr.edgarngowiosa6599
    @fr.edgarngowiosa6599 2 месяца назад

    Consolation of the fools!

    • @Ezeqsweya1116
      @Ezeqsweya1116 2 месяца назад

      Hahahhaa! vugumu kukuelewa but noted

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 2 месяца назад

    Viongozi wetu acheni uongo nyie ndiyo kikwazo kwa maendeleo ya taifa imagine mmeagiza sukari zaidi ya naksi harafu bado mnajigamba kwamba muda si mwingi tutajitosheleza kwa uzalishaji kivipi? Kuhusu kuongeza thamani kama kweli mngekuwa na nia ya dhati kwanini mnasaini mkataba wa kuuza mahindi Zambia badala ya kuwauzia unga?

    • @user-xd9kw6nt8w
      @user-xd9kw6nt8w Месяц назад

      Mwenda pole hajikwai tunaenda mdogo mdogo mwisho tutauza UNGA badala ya mahindi