WANANCHI ARUSHA WAMFUNGUKIA MAKONDA - ''AKIONDOKA AWE ANAAGA '' - WAMPA KAZI YA KUANZA NAYO KUFANYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 191

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  2 месяца назад +4

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @damianikimario5695
    @damianikimario5695 2 месяца назад +9

    Mungu wa mbiguni na kuomba umjalie afya njema yeye na familia yake umlinde na maaduwi.... binafsi nampenda sana tena sanatu. Kutokana na utendaji wake wa kazi.👊👊

  • @EsterAloyce-m4j
    @EsterAloyce-m4j 2 месяца назад +8

    Amaa nimemuombea jaman nampenda sana mungu mkumbuke

  • @janelyatuu1135
    @janelyatuu1135 2 месяца назад +6

    ❤❤ mungu akutunzee kaka akupe afya njema tulibaki na maswali mengi sanaa mungu akutunzee baba uwishi miaka mungu usimulie matendo makuu ya mungu nakuona raisi ajae mungu amesikia kilio chetu wananchi wa Arusha jina la bwanaa libarikiwee ❤❤❤❤

  • @EmannuelKusema
    @EmannuelKusema 2 месяца назад +10

    ❤🎉nakubali sana kiongoz wangu binafsi mungu azid kumtunza miaka mingi kiongoz wangu

  • @DaudiJastas
    @DaudiJastas 2 месяца назад +7

    RAIS ijayeee,, hivi hao viongozi wengine hawana aibu mokonda anasifiwa wengine kusifika kwa wizi na ufisadi,,, makonda❤❤

  • @AmenMushi-j2j
    @AmenMushi-j2j 2 месяца назад +15

    Makonda kioo Jamani acheni mm niko Morogoro nampenda maana ni mtu wa haki

  • @MengineyoBernad
    @MengineyoBernad 2 месяца назад +7

    Mungu akulinde hatuna cha kusema ila unapoomba ruhusa kumbuka nyuma yako kuna watu wanaokuangalia kama kioo cha jamii usiwe unajificha sana mwamba

  • @Nafsa-st9pm
    @Nafsa-st9pm 2 месяца назад +1

    Rais wetu wabadae Makonda❤

  • @MartinLaban
    @MartinLaban 2 месяца назад +7

    Makonda oyoooooooo nikiwa kenya nimefurahi furahi sana saaana kukuona jembe la majembe

  • @mohammedabdullah5895
    @mohammedabdullah5895 2 месяца назад +1

    Mungu ampe umri mrefu makonda

  • @SaumuLekule-de4hr
    @SaumuLekule-de4hr 2 месяца назад +2

    Tunamshukuru Mwenyez Mungu amerudi salama, alhamdulillah

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 2 месяца назад +8

    ❤❤❤❤ makonda tunampenda kwa sababu anakutatulia shida zako hapo hapo sio wengine wengine hamjali wanyonge mnajali family zenu makonda mwenyezi mungu yupo nawe inshallah

  • @jofreykilangila4118
    @jofreykilangila4118 2 месяца назад +16

    Usimfananishe makonda na mtu yeyote. Inabidi awe anaaga huyo ni wa tofauti na wengine

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 2 месяца назад +1

      Hiyo haipo kwenye utaratibu wa kuaga kwa matangazo!!! Ukienda ofisini kwake ukiambiwa yuko likizo itoshe!!! Si unatoka hapo unaanza kuzusha ooh mara wanatudanganya ooh mara amepelekwa hospitali mara anaumwa!!! Jamani mbona tunatia aibu!! Nchi imekua ya umbea umbea tuu na kutakiana mabaya...hata angeumwa ni siri yake na daktari wake!!! We ukiumwaga unapiga nduru kwa majirani??!! Hii nchi inawajinga wengi sana😔😔

    • @ubunifulifestyle3492
      @ubunifulifestyle3492 2 месяца назад

      We nae tuache​@@mamboshepea8888

    • @linahndemeka8428
      @linahndemeka8428 2 месяца назад

      😂😂

  • @amedeustesha5947
    @amedeustesha5947 2 месяца назад +5

    Mungu akujalie afya njema niliumia Sana habari nilizokuwa nazisikia. All the way mungu akulinde sana

  • @MussaMlali
    @MussaMlali 2 месяца назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤🎉

  • @josephatmtweve6534
    @josephatmtweve6534 2 месяца назад

    Makonda Yuko vizuri mungu akulinde tunakuombea Sana chapa kazi

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 2 месяца назад +2

    Du, nimefurahi sana kumuona Tena konda boy

  • @selinamichael6504
    @selinamichael6504 2 месяца назад +1

    Daah MUNGU WA MBINGUNII NAOMBA UTUKUZWE MILELE DUNIANI NA MBINGUNII🙏🙏🙏

  • @ritamaro5444
    @ritamaro5444 2 месяца назад +1

    Mungu ni mwema,karibu tena Mkuu.Tulipata wasiwasi Sana juu yako.

  • @janetymatola6639
    @janetymatola6639 2 месяца назад +3

    Mungu akupe umri mrefu siku moja tuonane kipenzi cha wanyonge Rais wetu 2030

  • @EmmanuelassemblieschurchSirari
    @EmmanuelassemblieschurchSirari 2 месяца назад +1

    Mh Asante kurud Salam

  • @CatherineMbatta
    @CatherineMbatta 2 месяца назад +3

    Acha kutusemea kidogo nipate pressure,alafu unasema wananchi wa Arusha hatukustuka ,wote tulipata taharuki,usiwe unadanganya watu, pressure ziliwapata watu alafu unasema ni mambo ya kawaida ,acha hizo mambo sema ukweli

  • @CeciliaAnthony-v4b
    @CeciliaAnthony-v4b 2 месяца назад

    Moyo wangu unaniambia makonda akuwepo sehemu salama,tumshukuru tu Mwenyezi Mungu ni kwamba amerudi salama

  • @JekobuNgwara
    @JekobuNgwara 2 месяца назад +2

    Alusha mungu awabaliki huyo nimtoto wetu afrika dam ya baba magu tumwombeage

  • @ChandeMaulid
    @ChandeMaulid 2 месяца назад +2

    Afadhali nitanenepa sasa nilikuwa namawazo sana kuhusu mkuu wetu ❤❤

  • @Sharifa-e7y
    @Sharifa-e7y 2 месяца назад

    Nipo Mwanza kama umerudi nimefurahi sana ❤

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 2 месяца назад +2

    Mkaka,umesema ukweli, Mungu akubariki 🙏🏽

  • @EdithTelemark
    @EdithTelemark 2 месяца назад +2

    daah, Kwa kweli amejua kuutumiza Walala hoi, Mungu Ni wewe tu uwezaye!

  • @LomayaniLukumayi
    @LomayaniLukumayi 2 месяца назад

    makonda..mungu..akulinde.sana

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 2 месяца назад +12

    Huyu makonda atuage wananchi hatutaki hofu juu yake . Akiondoka atuambie maana keshakuwa baba

  • @JosephPeter-i5k
    @JosephPeter-i5k 2 месяца назад +1

    Jembe la Kaz iloooo

  • @AthumaniKondo-y5r
    @AthumaniKondo-y5r 2 месяца назад

    Alhamdulilah

  • @omarimsangi4075
    @omarimsangi4075 2 месяца назад +1

    Hapana kuna haja ya viongozi kukomaa sas kuaga ni ustaarabu zaidi na ndio tabia njema Tuna miaka 60 tu ya kujitawala ni nafasi yetu na viongozi kuonyesha ukomavu wa utawala bado tuna ugeni katika utawala tuwe wenyeji. kuacha mambo ya mazoea kama viongozi kuchomoka tu bila taarifa linatengeneza ombwe ambalo watu watajaza mtakataka.Mkuu wa mkoa hongera sana chapa kazi ni dalili njema kwako hongera sana. Pamabano na maovu yanayo kumbatiwa na viongozi wengi.GEKO NGOSHA

  • @marypeter7209
    @marypeter7209 2 месяца назад +2

    Angepangiwa kila mkoa hata mwaka mmoja mmoja tu huyu ni mwamba

  • @fedakatoga3161
    @fedakatoga3161 2 месяца назад +1

    Namshukuru sana mungu

  • @NeemaMduma
    @NeemaMduma 2 месяца назад

    Kwl kabisa niliugua juu ya makonda

  • @monicasimpilu6257
    @monicasimpilu6257 2 месяца назад +2

    Ni kweli uwe unaaga watu walifikiria vibaya.

  • @thabithamagnus638
    @thabithamagnus638 2 месяца назад +1

    Makonda Mungu akutunze Sana,akuepushe na kila baya

  • @RatifaHamisi-s4i
    @RatifaHamisi-s4i 2 месяца назад

    S❤❤❤❤ Makonda kaenda kujipika

  • @AhmediKilingamoyo
    @AhmediKilingamoyo 2 месяца назад

    Allaahumma nakuomba kwaidhniyako mpeusalama naumuinue kicheo RC makonda aamyn

  • @IshipalemyPasko
    @IshipalemyPasko 2 месяца назад +1

    Tabia mbaya Sana hii mheshimiwa Uwe unaaga bana

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 2 месяца назад +3

    Tuheshimiane tuheshimiane Makonda aseme mwenyewe.dada tuheshimiane mshazooea kutuuli viongozi adimu.huyo ndio anatukumbusha magufuli.ebu twende taratibu tunaomba aseme mwenyewe

  • @esthersissamo1120
    @esthersissamo1120 2 месяца назад +12

    Tulipokosa bandika bandua mkoani wee tulihangaika kutaka kujua yuko wapi kipenzi cha wananchi wa Arusha sasa Roho zetu zipo burudani kwa kweli Mungu ibariki Tanzania na wananchi wote

    • @MariamAnafi-bf9gy
      @MariamAnafi-bf9gy 2 месяца назад

      Mimi mmoja wapo Kila siku nilikuwa naweka mb Kwa ajili nijue makonda wetu Yuko wapi ila Jana niliposikia yupo ofisini lilifurahi sana na nilikula chakula kikaongia

    • @NechLove
      @NechLove 2 месяца назад

      Ameridi

    • @NechLove
      @NechLove 2 месяца назад

      Amerudi au ni maneno tu jamani

    • @Neema-mo4sm
      @Neema-mo4sm 2 месяца назад

      Mungu akutunze kaka yangu Makonda,heri na baraka zikufuate wewe na uzao wako,kila jambo mtangulize Mungu,Endelea kutenda kazi katika misingi ya haki,damu ya kristo itulinde uwepo wa Mungu ukuzingile ewe na uzao wako,Ameen Ameen

    • @JanethSwai-i3d
      @JanethSwai-i3d 2 месяца назад

      ​@@MariamAnafi-bf9gyduu mi madonda ya tumbo hoi 😢😢 ila amerudi nimehisi kupona

  • @restitutakisamo7607
    @restitutakisamo7607 2 месяца назад +1

    Kabisa,kufuatia kitu kwa uhakika.

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 2 месяца назад +2

    Makonda njoo uwe mkuu wa mkoa wa songwe🎉🎉

  • @SalmaMakuwani
    @SalmaMakuwani 2 месяца назад +2

    Mungu akubaliki makonda,mungu aendelee kukulinda.mchapa kazi,kijana makini,muaminifu,mtendahaki

  • @omarimsangi4075
    @omarimsangi4075 2 месяца назад +1

    UMEWEKA HISTORIA NGOSHA GETEGETE

  • @thabithamagnus638
    @thabithamagnus638 2 месяца назад +4

    We dada labda wewe hukutaharuki,wenzako hatupo Arusha ila tulilia na wengine Kufunga kwa maombi,ili tumuone tena na tena! Kwani Magufuli aliondokaje katika safari yake ya mileke?

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 2 месяца назад +5

    Siyo hawelewi,ni upendo.Yasitukute kama ya magufuli

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g 2 месяца назад +5

    Mama siku nyingine udiludie kusema hivyo kama wewe makonda humpendi Yani sisi makonda tunampenda. VibayaSana kutokana na kazi na na natamani siku moja aongoze nchi ndio nitalizika

    • @brownmgidange5201
      @brownmgidange5201 2 месяца назад

      Yule mama Ni walewale, taharuki haikua Arusha tu, na maeneo mengine ya Tanzania

  • @Uhuru-s8c
    @Uhuru-s8c 2 месяца назад +1

    Hili liwe fundisho kwa ccm kuwa watanzania hawaiamini serikali ya Tz kwakuwa imezoeleka kuwa kiongozi akiwa mwema na mpenda watu huuwawa haraka.
    Kwahiyo ccm ccm ccm sisi raia hatuna Imani nanyi dhidi ya watu wema

  • @NeemaMollel-vw8ct
    @NeemaMollel-vw8ct 2 месяца назад +3

    Kaka yangu Manase.

  • @mussamarwachamahaaaaaaaaaa8065
    @mussamarwachamahaaaaaaaaaa8065 2 месяца назад +1

    Dad sema ukweli kwa Sisi tumefulai tunamupenda San akasema ukweli

  • @mcback4384
    @mcback4384 2 месяца назад

    Huyo mama wa Kwanza ana matatizo ya akili, Arusha ilikua kwenye taharuki, yeye ajiongelee mwenyewe lakini asituongelee wakazi wa Arusha sababu sio msemaji wetu

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 2 месяца назад +4

    ❤❤❤ makonda kipenz cha watu jaman tunampenda msie mpenda makonda kunywen sumu😂😂😂😂😂

  • @am2323Diaspora
    @am2323Diaspora 2 месяца назад +1

    Mji wa Arusha umetupwa haujajengwa kabisa kwa umuhimu wake

  • @babusadala5732
    @babusadala5732 2 месяца назад +2

    Hacha uongo we dada ,watu walikuwa wanajiuliza sana kuhusu baba kigan....

  • @mathiasmandi
    @mathiasmandi 2 месяца назад +2

    Vyombo vya habari vinavyotoa habari za uongo vifugiwe kwasababu vinaleta uchonganyifu wamesema mambo mengi sana amevishwa mpaka hadi walie mlisha wamekuwa wakiwatajja namaliza kwa kumuombea Makonda Mungu amlinde ili aendelee kulitumikia taifa. na Mungu amfikishe pale alipokusudia kumfikisha damu ya yesu imtangulie mpaka pale Mungu alipokusudia kumfisha

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 2 месяца назад +1

    Makonda hakuwa likizo mbona afya yake haiko sawa

  • @EvenEvarist-sk6ur
    @EvenEvarist-sk6ur 2 месяца назад +1

    Kweli kabisa

  • @meikoking
    @meikoking 2 месяца назад +1

    Hata arusha hatukuwa cool uwongo huo

  • @anethmasuki4638
    @anethmasuki4638 2 месяца назад +2

    kuweni wa kweli tuu, usitudanganye kama watto

  • @Faraja-j2z
    @Faraja-j2z 2 месяца назад +4

    Kwani nchi hii wakuu wa mikoa mingapi ulishawahi kuona mkuu gani wa mkoa anauliziwa akienda likizo kwa walio wengi akiwe hujui asipo kuwepo hujui

    • @KingBuddah-nx3ui
      @KingBuddah-nx3ui 2 месяца назад

      HAO WENGINE C WAKU WA MIKOA HAWANA UMUIMU

    • @ProsistaTarimo
      @ProsistaTarimo 2 месяца назад

      Huyu ni jembe hasa. Wengine ni matumbo yao tu. Huyu ni baba hasa. Mungu amfunike kwenye kiganja chake

  • @NkindaNzobe
    @NkindaNzobe 2 месяца назад +2

    Mimi Sasa cjaamini Kama makonda amerudi ofsin naitwa Dr nyangaki kutoka sudani kusin

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 2 месяца назад +1

    We dada Acha uongo watu hatukulala tuliumia sana

  • @jofreykilangila4118
    @jofreykilangila4118 2 месяца назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @moshiwasua5749
    @moshiwasua5749 2 месяца назад +1

    Mtandao ilipokuwa inasema kuhusu sumu , siyo wana chuki , bali wana upendo mkubwa kwa Mheshimiwa ,, jamani kumsema kunasaidia sana. , Nawapongeza wana mitandao Kumbuka mwaka fulani Mo alikuwa haonekani ,, ' mitandao ikasema sema Mo akaonekana Mh Makonda amepewa na Mungu uwezo nia. Nyota mkubwa sana , Viongozi wa dini muombeeni sana , maana anawasaidia kazi ya kuleta amani ktk jamii , Wasiyo mmpenda Makonda wasisubutu kufanya yaliyokuwa yanahisiwa kwenye mitandao. Mungu atawapiga

    • @LavinaJoseph-ei2tv
      @LavinaJoseph-ei2tv 2 месяца назад

      Tuliumia sana ila tunamshukuru sana mungu kwa kurudi salama maisha yako yaongezeke sana ila usiruhusu tena wakunenee mabaya haya maana kinywa kinaumba mwanangu makonda kiongozi shupavu mtenda haki

  • @FranciscaMichael-r9f
    @FranciscaMichael-r9f 2 месяца назад

    Baba mtetezi wawa nyonge kazi iendelee

  • @MengineyoBernad
    @MengineyoBernad 2 месяца назад +2

    Mmmh kwa nini hamkusema aliko mpaka yote hayo yanazushwa

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 2 месяца назад

    Mkuu wa mkoa namba moja Tanzania.
    Asiyekubaliana na cc ajitafakari

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 2 месяца назад +1

    Msiringe na sisi Dar tunamhitaji makonda

  • @AGNESSJOHN-v2g
    @AGNESSJOHN-v2g 2 месяца назад +1

    Natamani makonda awe raisi Jamani kila siku naomba sana kwahili

  • @innocentkanyata9923
    @innocentkanyata9923 2 месяца назад +1

    Kwa Makonda tuwe tunajulishana..

  • @mauajonelo8675
    @mauajonelo8675 2 месяца назад +1

    Muheshimiwa utalii iwe no 2 anza na hawa walawiti na wauwaji wa watoto tafadhar

  • @EnockManase-df9sf
    @EnockManase-df9sf 2 месяца назад +1

    Arusha tulijawa na taharuki kubwa sana maana tunampenda Sana kamanda wetu

  • @EnockTullo
    @EnockTullo 2 месяца назад +1

    Mbona mnayasema haya baadae ya kuonekana

  • @CareenTaji
    @CareenTaji 2 месяца назад

    Fanya kazi makonda ni mkoa wa mwisho wa usumbufu wa siasa mariza baba kazi yako

  • @brendasamson2086
    @brendasamson2086 2 месяца назад +1

    Dada usitupoteshe mkuu wetu wa mkoa Tunampenda ilitakiwa atuage

  • @thabithamagnus638
    @thabithamagnus638 2 месяца назад +1

    Mioyo yetu imeteseka Sana,hata mpaka sasa hatuamini kwamba ni yeye au

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z 2 месяца назад

    Ni kweli dada

  • @DamianyPeter
    @DamianyPeter 2 месяца назад

    Hakika kuna haja ya kufuatilia vyombo vya habari vinavyoshiriki katika kutoa maneno yasiyo ya kweli katika mitandao

  • @HamisiMtulia-p7f
    @HamisiMtulia-p7f 2 месяца назад

    Nimefurahisana kurudivyema kiongozihuyu makonda makondachapakazi munguyuponawe,nakutakiakillalakheri,hamisimtulia kutoka kibiti pwani

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 2 месяца назад +1

    Mbona tuliona wanaandamana

  • @AnatoriaRwabatwa
    @AnatoriaRwabatwa 2 месяца назад

    🎉We Anociatha huna lolote huna shukrani

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 2 месяца назад +1

    Mbona hukujitokeza kuongea before..

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 2 месяца назад +1

    Tusalimie sisi tulioko mbali.tusiendelee kusema hovyo kwa hao simba Wala watu

  • @AmdaniSuleiman
    @AmdaniSuleiman 2 месяца назад

    Nimapuguf ya ubinadam 2sameeyane 2:19

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 2 месяца назад

    Hamna kazi malkonda kila siku

  • @zianasalimuhivikunamchunga5224
    @zianasalimuhivikunamchunga5224 2 месяца назад +1

    Mama samia please tafadhali nakuomba umlete makonda Mkoa wa Tanga. Awe. Mkuu wa mkoa wa Tanga nakuomba mama

  • @mwanaidchande9180
    @mwanaidchande9180 2 месяца назад

    Mimi nipo morogoro lakini kijana yupo vizur.

  • @MartineShija
    @MartineShija 2 месяца назад +1

    Kuna jamaa alisemaga kabisa Kuwa haya anayoyafany MAKONDA ndiyo anazidi kupenya hivo wengine waendelee kukaa2 maofisini yani jamaa amekubalika mno kila sehemu atayowekwa watuwanamkubali wengi mno

  • @miletuskgmiletus1563
    @miletuskgmiletus1563 2 месяца назад +3

    Umeombwa kusema jambo

  • @gatsonmatiko8000
    @gatsonmatiko8000 2 месяца назад

    Nikweli ukiulizwa sana ujuwe watu wako wanakupenda

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 2 месяца назад

    Watu tuliogopa, mtaani kila mmoja alitaka kujua yuko wapi?
    Watu wanaulizana kwa sauti ndogo, kwa woga hofu na kukata tamaa...!
    aagage tuu, atuage wadau wake,tunampenda sana kuliko anavyofukiri

  • @SophiaKamgunda
    @SophiaKamgunda 2 месяца назад +1

    Mbona hukujitokeza kipind tunababaishwa ukatuliza nafs zetu

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 2 месяца назад +1

    Arusha ni.nchi gani hv

  • @HildaMacharia
    @HildaMacharia 2 месяца назад +1

    Una uhakika?

  • @AbdillahSalimu
    @AbdillahSalimu 2 месяца назад +1

    Mimi nimeshangaa sana Mkuu wa mkowa kuondoka kihuni hivyo nakuachataharuki kwa wanamkowa.sijui Kama ndio taratibu zao

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 2 месяца назад +1

      Kaondoka kihuni??!! Hivi viongozi wote wanaoendaga likizo huwa wanatangazaga??!! Mbona wabongo manachekesha??!! Waliozusha ni wale wale!!!

    • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
      @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 2 месяца назад

      wewe huna marinda wewe ni shoga

  • @veronicankhwazi7954
    @veronicankhwazi7954 2 месяца назад

    Makonda awe mkuuwa wakuuwa mikoa yote Tanzania