Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Mungu wa mbiguni na kuomba umjalie afya njema yeye na familia yake umlinde na maaduwi.... binafsi nampenda sana tena sanatu. Kutokana na utendaji wake wa kazi.👊👊
❤❤ mungu akutunzee kaka akupe afya njema tulibaki na maswali mengi sanaa mungu akutunzee baba uwishi miaka mungu usimulie matendo makuu ya mungu nakuona raisi ajae mungu amesikia kilio chetu wananchi wa Arusha jina la bwanaa libarikiwee ❤❤❤❤
❤❤❤❤ makonda tunampenda kwa sababu anakutatulia shida zako hapo hapo sio wengine wengine hamjali wanyonge mnajali family zenu makonda mwenyezi mungu yupo nawe inshallah
Hiyo haipo kwenye utaratibu wa kuaga kwa matangazo!!! Ukienda ofisini kwake ukiambiwa yuko likizo itoshe!!! Si unatoka hapo unaanza kuzusha ooh mara wanatudanganya ooh mara amepelekwa hospitali mara anaumwa!!! Jamani mbona tunatia aibu!! Nchi imekua ya umbea umbea tuu na kutakiana mabaya...hata angeumwa ni siri yake na daktari wake!!! We ukiumwaga unapiga nduru kwa majirani??!! Hii nchi inawajinga wengi sana😔😔
Acha kutusemea kidogo nipate pressure,alafu unasema wananchi wa Arusha hatukustuka ,wote tulipata taharuki,usiwe unadanganya watu, pressure ziliwapata watu alafu unasema ni mambo ya kawaida ,acha hizo mambo sema ukweli
Hapana kuna haja ya viongozi kukomaa sas kuaga ni ustaarabu zaidi na ndio tabia njema Tuna miaka 60 tu ya kujitawala ni nafasi yetu na viongozi kuonyesha ukomavu wa utawala bado tuna ugeni katika utawala tuwe wenyeji. kuacha mambo ya mazoea kama viongozi kuchomoka tu bila taarifa linatengeneza ombwe ambalo watu watajaza mtakataka.Mkuu wa mkoa hongera sana chapa kazi ni dalili njema kwako hongera sana. Pamabano na maovu yanayo kumbatiwa na viongozi wengi.GEKO NGOSHA
Tulipokosa bandika bandua mkoani wee tulihangaika kutaka kujua yuko wapi kipenzi cha wananchi wa Arusha sasa Roho zetu zipo burudani kwa kweli Mungu ibariki Tanzania na wananchi wote
Mimi mmoja wapo Kila siku nilikuwa naweka mb Kwa ajili nijue makonda wetu Yuko wapi ila Jana niliposikia yupo ofisini lilifurahi sana na nilikula chakula kikaongia
Mungu akutunze kaka yangu Makonda,heri na baraka zikufuate wewe na uzao wako,kila jambo mtangulize Mungu,Endelea kutenda kazi katika misingi ya haki,damu ya kristo itulinde uwepo wa Mungu ukuzingile ewe na uzao wako,Ameen Ameen
We dada labda wewe hukutaharuki,wenzako hatupo Arusha ila tulilia na wengine Kufunga kwa maombi,ili tumuone tena na tena! Kwani Magufuli aliondokaje katika safari yake ya mileke?
Mama siku nyingine udiludie kusema hivyo kama wewe makonda humpendi Yani sisi makonda tunampenda. VibayaSana kutokana na kazi na na natamani siku moja aongoze nchi ndio nitalizika
Hili liwe fundisho kwa ccm kuwa watanzania hawaiamini serikali ya Tz kwakuwa imezoeleka kuwa kiongozi akiwa mwema na mpenda watu huuwawa haraka. Kwahiyo ccm ccm ccm sisi raia hatuna Imani nanyi dhidi ya watu wema
Huyo mama wa Kwanza ana matatizo ya akili, Arusha ilikua kwenye taharuki, yeye ajiongelee mwenyewe lakini asituongelee wakazi wa Arusha sababu sio msemaji wetu
Vyombo vya habari vinavyotoa habari za uongo vifugiwe kwasababu vinaleta uchonganyifu wamesema mambo mengi sana amevishwa mpaka hadi walie mlisha wamekuwa wakiwatajja namaliza kwa kumuombea Makonda Mungu amlinde ili aendelee kulitumikia taifa. na Mungu amfikishe pale alipokusudia kumfikisha damu ya yesu imtangulie mpaka pale Mungu alipokusudia kumfisha
Mtandao ilipokuwa inasema kuhusu sumu , siyo wana chuki , bali wana upendo mkubwa kwa Mheshimiwa ,, jamani kumsema kunasaidia sana. , Nawapongeza wana mitandao Kumbuka mwaka fulani Mo alikuwa haonekani ,, ' mitandao ikasema sema Mo akaonekana Mh Makonda amepewa na Mungu uwezo nia. Nyota mkubwa sana , Viongozi wa dini muombeeni sana , maana anawasaidia kazi ya kuleta amani ktk jamii , Wasiyo mmpenda Makonda wasisubutu kufanya yaliyokuwa yanahisiwa kwenye mitandao. Mungu atawapiga
Tuliumia sana ila tunamshukuru sana mungu kwa kurudi salama maisha yako yaongezeke sana ila usiruhusu tena wakunenee mabaya haya maana kinywa kinaumba mwanangu makonda kiongozi shupavu mtenda haki
Kuna jamaa alisemaga kabisa Kuwa haya anayoyafany MAKONDA ndiyo anazidi kupenya hivo wengine waendelee kukaa2 maofisini yani jamaa amekubalika mno kila sehemu atayowekwa watuwanamkubali wengi mno
Watu tuliogopa, mtaani kila mmoja alitaka kujua yuko wapi? Watu wanaulizana kwa sauti ndogo, kwa woga hofu na kukata tamaa...! aagage tuu, atuage wadau wake,tunampenda sana kuliko anavyofukiri
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Mungu wa mbiguni na kuomba umjalie afya njema yeye na familia yake umlinde na maaduwi.... binafsi nampenda sana tena sanatu. Kutokana na utendaji wake wa kazi.👊👊
Amaa nimemuombea jaman nampenda sana mungu mkumbuke
❤❤ mungu akutunzee kaka akupe afya njema tulibaki na maswali mengi sanaa mungu akutunzee baba uwishi miaka mungu usimulie matendo makuu ya mungu nakuona raisi ajae mungu amesikia kilio chetu wananchi wa Arusha jina la bwanaa libarikiwee ❤❤❤❤
❤🎉nakubali sana kiongoz wangu binafsi mungu azid kumtunza miaka mingi kiongoz wangu
RAIS ijayeee,, hivi hao viongozi wengine hawana aibu mokonda anasifiwa wengine kusifika kwa wizi na ufisadi,,, makonda❤❤
Makonda kioo Jamani acheni mm niko Morogoro nampenda maana ni mtu wa haki
Mungu akulinde hatuna cha kusema ila unapoomba ruhusa kumbuka nyuma yako kuna watu wanaokuangalia kama kioo cha jamii usiwe unajificha sana mwamba
Rais wetu wabadae Makonda❤
Makonda oyoooooooo nikiwa kenya nimefurahi furahi sana saaana kukuona jembe la majembe
Mungu ampe umri mrefu makonda
Tunamshukuru Mwenyez Mungu amerudi salama, alhamdulillah
❤❤❤❤ makonda tunampenda kwa sababu anakutatulia shida zako hapo hapo sio wengine wengine hamjali wanyonge mnajali family zenu makonda mwenyezi mungu yupo nawe inshallah
Usimfananishe makonda na mtu yeyote. Inabidi awe anaaga huyo ni wa tofauti na wengine
Hiyo haipo kwenye utaratibu wa kuaga kwa matangazo!!! Ukienda ofisini kwake ukiambiwa yuko likizo itoshe!!! Si unatoka hapo unaanza kuzusha ooh mara wanatudanganya ooh mara amepelekwa hospitali mara anaumwa!!! Jamani mbona tunatia aibu!! Nchi imekua ya umbea umbea tuu na kutakiana mabaya...hata angeumwa ni siri yake na daktari wake!!! We ukiumwaga unapiga nduru kwa majirani??!! Hii nchi inawajinga wengi sana😔😔
We nae tuache@@mamboshepea8888
😂😂
Mungu akujalie afya njema niliumia Sana habari nilizokuwa nazisikia. All the way mungu akulinde sana
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉
Makonda Yuko vizuri mungu akulinde tunakuombea Sana chapa kazi
Du, nimefurahi sana kumuona Tena konda boy
Daah MUNGU WA MBINGUNII NAOMBA UTUKUZWE MILELE DUNIANI NA MBINGUNII🙏🙏🙏
Mungu ni mwema,karibu tena Mkuu.Tulipata wasiwasi Sana juu yako.
Mungu akupe umri mrefu siku moja tuonane kipenzi cha wanyonge Rais wetu 2030
Mh Asante kurud Salam
Acha kutusemea kidogo nipate pressure,alafu unasema wananchi wa Arusha hatukustuka ,wote tulipata taharuki,usiwe unadanganya watu, pressure ziliwapata watu alafu unasema ni mambo ya kawaida ,acha hizo mambo sema ukweli
Moyo wangu unaniambia makonda akuwepo sehemu salama,tumshukuru tu Mwenyezi Mungu ni kwamba amerudi salama
Alusha mungu awabaliki huyo nimtoto wetu afrika dam ya baba magu tumwombeage
Afadhali nitanenepa sasa nilikuwa namawazo sana kuhusu mkuu wetu ❤❤
Nipo Mwanza kama umerudi nimefurahi sana ❤
Mkaka,umesema ukweli, Mungu akubariki 🙏🏽
daah, Kwa kweli amejua kuutumiza Walala hoi, Mungu Ni wewe tu uwezaye!
makonda..mungu..akulinde.sana
Huyu makonda atuage wananchi hatutaki hofu juu yake . Akiondoka atuambie maana keshakuwa baba
Sumu
Jembe la Kaz iloooo
Alhamdulilah
Hapana kuna haja ya viongozi kukomaa sas kuaga ni ustaarabu zaidi na ndio tabia njema Tuna miaka 60 tu ya kujitawala ni nafasi yetu na viongozi kuonyesha ukomavu wa utawala bado tuna ugeni katika utawala tuwe wenyeji. kuacha mambo ya mazoea kama viongozi kuchomoka tu bila taarifa linatengeneza ombwe ambalo watu watajaza mtakataka.Mkuu wa mkoa hongera sana chapa kazi ni dalili njema kwako hongera sana. Pamabano na maovu yanayo kumbatiwa na viongozi wengi.GEKO NGOSHA
Angepangiwa kila mkoa hata mwaka mmoja mmoja tu huyu ni mwamba
Namshukuru sana mungu
Kwl kabisa niliugua juu ya makonda
Ni kweli uwe unaaga watu walifikiria vibaya.
Makonda Mungu akutunze Sana,akuepushe na kila baya
S❤❤❤❤ Makonda kaenda kujipika
Allaahumma nakuomba kwaidhniyako mpeusalama naumuinue kicheo RC makonda aamyn
Tabia mbaya Sana hii mheshimiwa Uwe unaaga bana
Tuheshimiane tuheshimiane Makonda aseme mwenyewe.dada tuheshimiane mshazooea kutuuli viongozi adimu.huyo ndio anatukumbusha magufuli.ebu twende taratibu tunaomba aseme mwenyewe
Tulipokosa bandika bandua mkoani wee tulihangaika kutaka kujua yuko wapi kipenzi cha wananchi wa Arusha sasa Roho zetu zipo burudani kwa kweli Mungu ibariki Tanzania na wananchi wote
Mimi mmoja wapo Kila siku nilikuwa naweka mb Kwa ajili nijue makonda wetu Yuko wapi ila Jana niliposikia yupo ofisini lilifurahi sana na nilikula chakula kikaongia
Ameridi
Amerudi au ni maneno tu jamani
Mungu akutunze kaka yangu Makonda,heri na baraka zikufuate wewe na uzao wako,kila jambo mtangulize Mungu,Endelea kutenda kazi katika misingi ya haki,damu ya kristo itulinde uwepo wa Mungu ukuzingile ewe na uzao wako,Ameen Ameen
@@MariamAnafi-bf9gyduu mi madonda ya tumbo hoi 😢😢 ila amerudi nimehisi kupona
Kabisa,kufuatia kitu kwa uhakika.
Makonda njoo uwe mkuu wa mkoa wa songwe🎉🎉
Muombe Rais Makonda hana mamlaka
Mungu akubaliki makonda,mungu aendelee kukulinda.mchapa kazi,kijana makini,muaminifu,mtendahaki
UMEWEKA HISTORIA NGOSHA GETEGETE
We dada labda wewe hukutaharuki,wenzako hatupo Arusha ila tulilia na wengine Kufunga kwa maombi,ili tumuone tena na tena! Kwani Magufuli aliondokaje katika safari yake ya mileke?
Siyo hawelewi,ni upendo.Yasitukute kama ya magufuli
Mama siku nyingine udiludie kusema hivyo kama wewe makonda humpendi Yani sisi makonda tunampenda. VibayaSana kutokana na kazi na na natamani siku moja aongoze nchi ndio nitalizika
Yule mama Ni walewale, taharuki haikua Arusha tu, na maeneo mengine ya Tanzania
Hili liwe fundisho kwa ccm kuwa watanzania hawaiamini serikali ya Tz kwakuwa imezoeleka kuwa kiongozi akiwa mwema na mpenda watu huuwawa haraka.
Kwahiyo ccm ccm ccm sisi raia hatuna Imani nanyi dhidi ya watu wema
Kaka yangu Manase.
Dad sema ukweli kwa Sisi tumefulai tunamupenda San akasema ukweli
Huyo mama wa Kwanza ana matatizo ya akili, Arusha ilikua kwenye taharuki, yeye ajiongelee mwenyewe lakini asituongelee wakazi wa Arusha sababu sio msemaji wetu
Walihoji mwendawazimu
❤❤❤ makonda kipenz cha watu jaman tunampenda msie mpenda makonda kunywen sumu😂😂😂😂😂
Si Arusha tu ni kipenzi Cha watanzania wote
Mji wa Arusha umetupwa haujajengwa kabisa kwa umuhimu wake
Hacha uongo we dada ,watu walikuwa wanajiuliza sana kuhusu baba kigan....
Mchawi huyo😂😂
@@JanethSwai-i3d mweeee..umeonaee
Vyombo vya habari vinavyotoa habari za uongo vifugiwe kwasababu vinaleta uchonganyifu wamesema mambo mengi sana amevishwa mpaka hadi walie mlisha wamekuwa wakiwatajja namaliza kwa kumuombea Makonda Mungu amlinde ili aendelee kulitumikia taifa. na Mungu amfikishe pale alipokusudia kumfikisha damu ya yesu imtangulie mpaka pale Mungu alipokusudia kumfisha
Makonda hakuwa likizo mbona afya yake haiko sawa
Kweli kabisa
Hata arusha hatukuwa cool uwongo huo
kuweni wa kweli tuu, usitudanganye kama watto
Kwani nchi hii wakuu wa mikoa mingapi ulishawahi kuona mkuu gani wa mkoa anauliziwa akienda likizo kwa walio wengi akiwe hujui asipo kuwepo hujui
HAO WENGINE C WAKU WA MIKOA HAWANA UMUIMU
Huyu ni jembe hasa. Wengine ni matumbo yao tu. Huyu ni baba hasa. Mungu amfunike kwenye kiganja chake
Mimi Sasa cjaamini Kama makonda amerudi ofsin naitwa Dr nyangaki kutoka sudani kusin
We dada Acha uongo watu hatukulala tuliumia sana
❤❤❤❤❤❤❤
Mtandao ilipokuwa inasema kuhusu sumu , siyo wana chuki , bali wana upendo mkubwa kwa Mheshimiwa ,, jamani kumsema kunasaidia sana. , Nawapongeza wana mitandao Kumbuka mwaka fulani Mo alikuwa haonekani ,, ' mitandao ikasema sema Mo akaonekana Mh Makonda amepewa na Mungu uwezo nia. Nyota mkubwa sana , Viongozi wa dini muombeeni sana , maana anawasaidia kazi ya kuleta amani ktk jamii , Wasiyo mmpenda Makonda wasisubutu kufanya yaliyokuwa yanahisiwa kwenye mitandao. Mungu atawapiga
Tuliumia sana ila tunamshukuru sana mungu kwa kurudi salama maisha yako yaongezeke sana ila usiruhusu tena wakunenee mabaya haya maana kinywa kinaumba mwanangu makonda kiongozi shupavu mtenda haki
Baba mtetezi wawa nyonge kazi iendelee
Mmmh kwa nini hamkusema aliko mpaka yote hayo yanazushwa
Mkuu wa mkoa namba moja Tanzania.
Asiyekubaliana na cc ajitafakari
Msiringe na sisi Dar tunamhitaji makonda
Natamani makonda awe raisi Jamani kila siku naomba sana kwahili
Kwa Makonda tuwe tunajulishana..
Muheshimiwa utalii iwe no 2 anza na hawa walawiti na wauwaji wa watoto tafadhar
Arusha tulijawa na taharuki kubwa sana maana tunampenda Sana kamanda wetu
Mbona mnayasema haya baadae ya kuonekana
Fanya kazi makonda ni mkoa wa mwisho wa usumbufu wa siasa mariza baba kazi yako
Dada usitupoteshe mkuu wetu wa mkoa Tunampenda ilitakiwa atuage
Mioyo yetu imeteseka Sana,hata mpaka sasa hatuamini kwamba ni yeye au
Ni kweli dada
Hakika kuna haja ya kufuatilia vyombo vya habari vinavyoshiriki katika kutoa maneno yasiyo ya kweli katika mitandao
Nimefurahisana kurudivyema kiongozihuyu makonda makondachapakazi munguyuponawe,nakutakiakillalakheri,hamisimtulia kutoka kibiti pwani
Mbona tuliona wanaandamana
🎉We Anociatha huna lolote huna shukrani
Mbona hukujitokeza kuongea before..
Tusalimie sisi tulioko mbali.tusiendelee kusema hovyo kwa hao simba Wala watu
Nimapuguf ya ubinadam 2sameeyane 2:19
Hamna kazi malkonda kila siku
Mama samia please tafadhali nakuomba umlete makonda Mkoa wa Tanga. Awe. Mkuu wa mkoa wa Tanga nakuomba mama
Mimi nipo morogoro lakini kijana yupo vizur.
Kuna jamaa alisemaga kabisa Kuwa haya anayoyafany MAKONDA ndiyo anazidi kupenya hivo wengine waendelee kukaa2 maofisini yani jamaa amekubalika mno kila sehemu atayowekwa watuwanamkubali wengi mno
SIO DAR.
Umeombwa kusema jambo
Nikweli ukiulizwa sana ujuwe watu wako wanakupenda
Watu tuliogopa, mtaani kila mmoja alitaka kujua yuko wapi?
Watu wanaulizana kwa sauti ndogo, kwa woga hofu na kukata tamaa...!
aagage tuu, atuage wadau wake,tunampenda sana kuliko anavyofukiri
Mbona hukujitokeza kipind tunababaishwa ukatuliza nafs zetu
Arusha ni.nchi gani hv
Tz
USA
Arusha ni nchi ndani ya nchi ya tz😂😂😂😂😂😂
Una uhakika?
Mimi nimeshangaa sana Mkuu wa mkowa kuondoka kihuni hivyo nakuachataharuki kwa wanamkowa.sijui Kama ndio taratibu zao
Kaondoka kihuni??!! Hivi viongozi wote wanaoendaga likizo huwa wanatangazaga??!! Mbona wabongo manachekesha??!! Waliozusha ni wale wale!!!
wewe huna marinda wewe ni shoga
Makonda awe mkuuwa wakuuwa mikoa yote Tanzania