Baba joan kazi nzuri Sana katika maishani mwangu najifunza kitu kutokana na uigizaji wenu Ewe Mwenyezi MUNGU bariki kazi za babajoan team wape nguvu wasishindwe daima nawapenda nyote salamu zangu ziwafikie nyote from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❣️🙏💪
Kweri ni haki yako baba karobo kwa mwezi ulio pitaa kuongozaa kwa kuw na watazamaji wengiii milion 10 hakika unapambnaa wanao mkubali gonga like hapa🎉🎉🎉
Unatufunza mengi maana wapo wanawake wenye tabia kama izo so wenye akili watapunguza sio kuacha maana mjaasili haachi asili yake kamwe🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 ❤❤❤❤❤ thanks baba joan
kingine nilichotaka kushangaa ni kwamba mama karobo anakupa nguo zako ufue wakati me sijawai kukuona ukibadilisha nguo daaah sema ndo ivo ilikua ndoto 2 naomben like zangu ❤😂😂😂😂
Naipenda sana hii movie 🎬 baba karobo mungu akubariki unaelimisha jamii songa songa mbele never give up 🎉🎉🎉❤❤❤❤ hii ikiisha utuleetee nzuru zaidi ya hiii🎉
😢sasa huyu baba ataona kweli nimechoka kufutilia hii movie 😢😢nataka kuona mama karobo akiteseka ndio ikue funzo kwa wengine.sasa hapa tunajifuza Nini na baba karobo anaendelea kuteseka
Na mm nimewah ndio kwanza dakika ya 8 kama unaamin baba karobo soon anapona gonga like hapa tujuane na tunaoamin mama karobo anakuwa.kipofu gonga like hapa 🎉🎉🎉🎉🎉
Amini katika kristo kwamba alikufa kwa dhambi zako ndipo roho wa Mungu atakuwa ndani yako hivyo hakuna baraka zozote utazipata kwa mtu kukwambia ugonge like acheni ufala
Kibanio unaleta uhalisia na unapendeza zaidi ukitoa wigi ,, na ukiendelea na kuacha kichwa Kwa style ya kunyoa utajitambulisha vema ww binafsi ktk tathnia ya uigizaji ,,
Baba joan kazi zako nzuri Sana katika maishani mwangu najifunza kitu kutokana na uigizaji wenu Ewe Mwenyezi MUNGU bariki kazi za babajoan team wape nguvu wasishindwe daima nawapenda nyote salamu zangu ziwafikie nyote from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
haiwezi kuwa kirahisi hivyo na kwa sababu kati yao kuna msaliti mmoja anaweza kupiga yoyo na mama karobo akawaangalia nyuma na akakimbia❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😊😊😊😊😅😅😅😅
Kaka nakusikia ukitaja shule wala hatujawahi kuona shule na Leo umetuonesha nguwo ufuwe wakati tunakuona unavaa nguwo moja Kila kipindi kaka lakin kazi yako nzuri na unatupa kwa wakati shukran brother ❤
Wa kwanza kutoka kenya 🇰🇪 wapi likes zangu tunakupenda sana baba joan💕mungu akubariki
ruclips.net/video/4BduxYtZxIk/видео.htmlsi=K0UiVaPDcl0wxkSH
Wa. Kw
Baba joan kazi nzuri Sana katika maishani mwangu najifunza kitu kutokana na uigizaji wenu Ewe Mwenyezi MUNGU bariki kazi za babajoan team wape nguvu wasishindwe daima nawapenda nyote salamu zangu ziwafikie nyote from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❣️🙏💪
Kweri ni haki yako baba karobo kwa mwezi ulio pitaa kuongozaa kwa kuw na watazamaji wengiii milion 10 hakika unapambnaa wanao mkubali gonga like hapa🎉🎉🎉
Unatufunza mengi maana wapo wanawake wenye tabia kama izo so wenye akili watapunguza sio kuacha maana mjaasili haachi asili yake kamwe🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 ❤❤❤❤❤ thanks baba joan
WA kwanza kutoka Riyadh Saudi Arabia teem strong wapi like za Baba karombo🎉🎉❤❤
Tuko dear Sema kuchoka adi kope😂😂😂
Assalamualaikum
Pamoja saiz❤
tunafanya mjengo tukiwaza mabaya ya mama karobo😂😂😂😂imgn mama karobo as your madam😂😂😂😂😂😢😢😢
@@wamboiwamboh hehehe 😂😄🤣 kwisha
Karobo you deserve my flowers 🌺🌺🌺🌺 I pray for everyone who will read this text God bless you and protect you and your family
Amen 🙏 🙏
At least leo nimefika mapema kabla katambe😂....mnipe hata likes 10 nijue nimeweza❤❤❤❤ The best film premiering in Tanzania
Kazi Safi Baba Joan,Mungu akubariki mara ya Kwanza kufika Kenya🇰🇪wapi likes za Baba karobo
Na Mimi sijachelewa like zangu jaman 🎉🎉❤🎉 baba karobo🎉🎉❤
Hatimae mmetuletea doko saf sana baba karobo umeweza kama.unamkubali doko gonga like hapa tujuane 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kipara ingwe mwenyewe
Eeeee makumaza huyooo@@elviskeiza6136
Mijanamke nimichawamnoi
P
p
Wenye vipara hatuchekeshi 😂😂😂
kingine nilichotaka kushangaa ni kwamba mama karobo anakupa nguo zako ufue wakati me sijawai kukuona ukibadilisha nguo daaah sema ndo ivo ilikua ndoto 2 naomben like zangu ❤😂😂😂😂
Sindo apa sasa mana atuja wai kumuona ana badili nguo ata siku moja❤❤❤❤😅😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂 umefanya nicheke sana 🤣
YOYOTE AKISOMA HII SMS NA KULIKE IN SHAA ALLAH MUNGU AMJALIE UMRI MREFU N SIKU YA LEO JUMA PILI AMFUNGULIE MILANGO YA KHERI 🤲🤲🤲🤲
Mambo
Amen 🙏🙏
Amina
Pia nawe,Amin insha'Allah 🤲
Amen 🙏🙏
Kutoka Kenya Nani anapenda baba karobo nipe likes
Ndi mu Rwanda igisenyi ndabakunda
nampenda
Watu wa Mungu kwa movie hii itufunze kuwa saidia vipofu,vilema,wanapitia magumu Sana.
Kabisa nipo pamoja nawewe❤
Hapo sawa na tupendane pia
Wakwanza Leo team baba karobo gonga like hapa
Wakwanza toka Burundi naomba like zangu
Nimesoma mengi sana tangia hapa tumefika, kudos Baba karobo na time yako yote 👏👏👏 more love from 🇰🇪 ila natazama nikiwa Qatar 🇶🇦 team strong 💪
Filamu yenu ina pendwa sana ndani ya duka langu hongera sana
Like zangu please
Mimi leo nahoba lakizagu kutoka U s🇺🇲🇺🇲
Hii kiswahili ya wp😢😢😢
Nahoba😂😂@@user-ie7yt9db6f
😂😂😂😂😂 etiee una what😂😂😂😂😂
@@user-ie7yt9db6fanahoba😮😮😮😮mwenzio🤭🤭😂😂😂😂
Hhhhhhh ety na hoba jamon ww pol san
Baba Joan ❤❤❤❤ nakupenda Sana from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Vales
@@AnnyanneLouella 💕💕💕💕💕🇧🇮🇹🇿
@@AnnyanneLouella
Nashukuru 💕💕💕💕🇧🇮🇹🇿 kunitag
Baba karobo hoyee kwa kazi nzuri ni kutoka kenya
ruclips.net/video/4BduxYtZxIk/видео.htmlsi=K0UiVaPDcl0wxkSH
Maman karobo byaku jitakiya sawa akuna shida tuone mwisho wako 🇨🇩👍👍👍
Mr uhakika 🇹🇿 wa kwanza from tz nipen like zangu jmn 😢
Mimi Leo ni WA kwanza baba Joan nakubali kazi Yako nzuri sana
Wa kwanza leooo naombeni like 😂❤
Kumekuchaaaaa mlio lala amkeni.mambo ni fire🔥🔥🔥🔥🔥
Wow!!yanina vipindi vyako karobo gai❤❤nazipenda...nakuombea mungu awezee kuulinda kipawa chako
Wa Kwanzaa naomben like
baba joan respect kweli anatiarisha kipindi vizuri kweli napenda vipindi vyenu from BURUNDI OK
Asanteni sana kutupatia ya wikend kbs arfu mbona mama karobo habadirike mwisho wake atajuta Kigali Rwanda 🇷🇼 ❤❤❤turabakunda cyaneeeee 🇷🇼
Natwe turabakunda
Nabapenda zujat karono nyinyi nbapenda Niko kigali
Abanyarwanda burya duhari turi benshi.
Enyanya enyanya
Baba kalobo Toka anze muv ata kubadilisha nguo jamani kweli atakama kipofu kama unakubali iro gonga like
Alibadili siku moja alipewa tisheti na dada ake
@@HarunaHaule mi sijawai ata muona
Naakanyanganywa @@HarunaHaule
Kuuliza 2 Ni Nguo Gani Zinazotaka Kufuliwa Maana Kila Cku Bakarobo Nguo Ni Izo Izooo Au😂😂😂😂
Alikuwa anawaza cjui anaota
Ndo ushangae😂😂
😂😂😂😂
swali lako kama langu
😂😂😂swali nzri sana
Doko kama Doko, kpala ingwe
ruclips.net/video/4BduxYtZxIk/видео.htmlsi=K0UiVaPDcl0wxkSH
Nipo baba kalobo
Kenya tuned wapi like zake baba karobo❤
Naomba Like kutoka SAUDIA🇸🇦TEAM Baba Karobo ❤
Done
Naipenda sana hii movie 🎬 baba karobo mungu akubariki unaelimisha jamii songa songa mbele never give up 🎉🎉🎉❤❤❤❤ hii ikiisha utuleetee nzuru zaidi ya hiii🎉
Bwakwanza ku like wa kwanza ku comment ❤❤❤ like zangu hapa wa kenya
mashallah wazima wote naombeni like zangu
Kutoka kenya🇰🇪mnipee likes ya baba karobo kuimba iyo wimbo imenikumbusha mbali❤❤❤
Leo niko wakalibu sana 56 seconds nimesha fika batu kumi basi munipe izo link ninawapend sana❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Mapenzi ya fasheni na mama kalobo feki bwna mtaniuwa duuuh ila ndio nimewahi mauwa ya baba kalobo🎉🎉🎉🎉🎉
Nyieeee mbona mapema na mmeshakua wengi😎😎😎mimi kutoka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮hapa
ruclips.net/video/4BduxYtZxIk/видео.htmlsi=K0UiVaPDcl0wxkSH
Na mimi sijachelewa baba kalobo naombeni like 😂😂🎉🎉❤🎉😂
😢sasa huyu baba ataona kweli nimechoka kufutilia hii movie 😢😢nataka kuona mama karobo akiteseka ndio ikue funzo kwa wengine.sasa hapa tunajifuza Nini na baba karobo anaendelea kuteseka
Ki ukweili tumesha choka
Tumechoka kwer man maneno yanajiludia tu
Nakuunga mkono kwakweli, inajirudiya rudiya
Wakwanza from Kenya wapi likes zangu
Mimi wa kwansa kutoka Jordan 🇯🇴 wapi love ya baba karobo 🎉❤❤❤❤
Naomba like zangu, Congo was kwanza
Bigapu sana baba joan
Tumpe like zake na komenti zake baba joan
Baba Joan na time yako nawapenda saaan kutoka burundi
Jamani nimemmic patronize kitambo sana, kama nawe umemmic dogo Gonga like apo tujuane, by Sharo nikiwa Lusaka zambia 🇿🇲
Maman karobo. Kubadirika. Siorewo warakesho😂😂😂 anazidi. Kuyakanyaga. Tu. Mungu. Wabipufu simaman n'a baba karobo
Hii sehemu ya mama karobo na fasheni kwenda kwa mganga mmeirefusha sana bila sababu
Wakwanza Leo nmekukimbilia wewe bwana mungu nipe uvumilivu
Na mm nimewah ndio kwanza dakika ya 8 kama unaamin baba karobo soon anapona gonga like hapa tujuane na tunaoamin mama karobo anakuwa.kipofu gonga like hapa 🎉🎉🎉🎉🎉
Mama kalobo na beby wake wana kazi yagu shahu liana ujinga tu kalobo na gupenda bule from BURUNDI
Baba Joan movie ikiwa ndefu sana itaisha utam fanya mmalize bhana muandae nyingne
Nikweli
yaah itatutoa kwenye reli
Kweli kabisa inakera
Yeyote atakae soma msg na ku like Mwenyez Mungu amlinde zidi ma maadui wanao muandama na amtimizie majambo yke anayo muomba kirasiku Ameen ❤
Amina mung akubalik pia pia baby 🙏🙏🙏🙏🙏😒💗❤️🌹
😂❤😂❤
Amini katika kristo kwamba alikufa kwa dhambi zako ndipo roho wa Mungu atakuwa ndani yako hivyo hakuna baraka zozote utazipata kwa mtu kukwambia ugonge like acheni ufala
🙏🙏🙏🙏
Mnazingua mizunguko ming move hata haiishi Dah!😂😂
Hii muvi nzuri sana lkini hii kuamini mambo ya nguvu za kiza ni hatari
Kibanio unaleta uhalisia na unapendeza zaidi ukitoa wigi ,, na ukiendelea na kuacha kichwa Kwa style ya kunyoa utajitambulisha vema ww binafsi ktk tathnia ya uigizaji ,,
ruclips.net/video/4BduxYtZxIk/видео.htmlsi=K0UiVaPDcl0wxkSH
Hii minimkenya napeda sana muvi zenyu mwendele ivo kutu changamsha
Wakwanza kutoka drc 🎉🎉❤❤ baba Joan 🙏🙏
Kazi nzuri sana baba joan hongera much love from Kenya 🇰🇪 😊🎉
Jamani hongera sana baba karobo na wenzako. Kazi njema. Mungu awazidishie umaarufu❤❤
Wakwanza from kenya mnipe like zangu plz
Unadaganya wewe Mimi donabamoja
Baba joan kazi zako nzuri Sana katika maishani mwangu najifunza kitu kutokana na uigizaji wenu Ewe Mwenyezi MUNGU bariki kazi za babajoan team wape nguvu wasishindwe daima nawapenda nyote salamu zangu ziwafikie nyote from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hope next Sasa baba Karobo ataona🎉🎉❤❤kazi nzuri wapambanaji wa baba Karobo
Nipo serous sana, nataka kuoa zugyat au kibanio
Posa ni like zenu
Oa mama karobo
@@ALICIAEMILLY-b8jkwakweli aoe mama karobo
@@ALICIAEMILLY-b8j alkhuuuuuu sisithubutu huyu mbali na kuigiza ana mdomo sana
Kenya 🇰🇪 wapi likes 👍 zangu tunakupenda sana baba Joan 🙏 ❤❤❤ mungu akubariki 🎉🎉🎉❤
Doko yupo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉nmefurahi kukuona twende nalo mpaka mwisho movie yazidi kipendeza❤❤❤❤
Mnachelewa kupost😢😢 mpka nkakata tamaa za kuona Baba karobo akipoana
Noma San nipeni like zangu sijachelewa Sana kazi nzuri San 🔥🔥🔥💯
Team Kenya mupo, nipee likes tukisonga jamani, Kongole Baba Joan kwa ubunifu wako
Mungu atujaalie baraka na uzima wote tunafatilia muvi hiiiii❤❤
Amina🙏🙏🙏
Amen
Hii movie naona haitaisha mpaka maisha yetu yote😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Kwa kweri nukti ni msaliti hata hafurahie Na mawazo yenu jamani sijapenda 😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nipeni likes zangu kwa mnaemkubali baba karobo kutoka Taif team strong mnaemkubali
Hello
@@NurdinMirandu Hi
@@EshaomarmfaumeMfaume please 🥺 mzima wey naweza kukuomba kitu?
@@NurdinMirandu kitu gani hicho
Waaah alafu uyu Nukti uyu nimemchukia sana mkiumona mwambieni
Hata Mimi nimemchukia ghafla kwa usaliti wake aisee
Mm pia sipendi rafiki mnafiki
Hawakosekani wanafiki hata ukaona watu wote wanakupenda bas na wanafik pia wapo
😅
😅
wakwanza kutoka Congo DRC 🇨🇩 kazi nzuri sana baba karobo hizi movie ninzuri sanaa
haiwezi kuwa kirahisi hivyo na kwa sababu kati yao kuna msaliti mmoja anaweza kupiga yoyo na mama karobo akawaangalia nyuma na akakimbia❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😊😊😊😊😅😅😅😅
Watching from Kenya
Moyo WA baba karobo umenisika sana,,,kuwa mvumilivu Kwa maisha ndio Salio kamili
Kwa Nini munarefusha ivi sana mutoshe filamu ingine izi tuna choka sana munakawiya sana na zaidi baba yangu kipofu
ruclips.net/video/4BduxYtZxIk/видео.htmlsi=K0UiVaPDcl0wxkSH
Jamani mm nataka isishee kanbisa ifike hata mia mbona sawa
baba karobo huo wimbo umenigusa aisee Mungu nipe uvumilivu 🙏🙏🙏
ruclips.net/video/4BduxYtZxIk/видео.htmlsi=K0UiVaPDcl0wxkSH
Safiiiii sana Baba kaloboo lete vituuu kaka
Kaka nakusikia ukitaja shule wala hatujawahi kuona shule na Leo umetuonesha nguwo ufuwe wakati tunakuona unavaa nguwo moja Kila kipindi kaka lakin kazi yako nzuri na unatupa kwa wakati shukran brother ❤
Alikuwa anaota my dear angalia vizuri
Alikuwa anaota na wewe
😂😂😂😂😂😂
Jmn 😂😂
Hofwii hadi roho yaenda mbio mama karobo Kula chuma ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🇰🇪🇰🇪
Baba kalobo kazi zori, from Mozambique
Mimi 3 timu baba kalobo❤
Wa kwanza leo🤩
Jamani jitaidini kuzitowaa nimezipenda sana movie yenu
Mwisho ngapi ya bab yang kipofu daar baba, na mtot wana uvumilivu sana
Mgungu amulinde baba karobo namwanaye
Karobo nimekupenda buree umemuambia babayako uchafuu wamamayako..
Nahawa niwachawi kweli kotee huku mnaenda kuroga namnachokiroga mlikiroga lkn bado mnataka kumtoa rohoo
Woooow so great
Weeee nimeruhi Sana kumuona Doko kwenye baba karobo love you ❤❤❤❤from Kenya
REHMA NA AMAN ZIMFIKIE YEYOTE ATAKAYESOMA HII COMENT UWE NA SIKU NJEMA INSHALAAAA🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Iyi muvi karobo na.babayake mnapendakula wangine wote nikuzururatuuu😂😂😂
Wa kwanza likes zangu mbili tu
Wow ni nzuri sana❤❤🎉🎉
Hiii,,,, imenena,, kenya mpooooo
Wa mwisho leo like jaman mtabarikiwaa kaz nzur sana ba joan