BABA YANGU KIPOFU Full Episode /35/

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Tunakaeibia kumaliza series YETU hii inayohusu MAISHA halisi ya binadamu ili kuikaribisha series MPYA tuendelee kusaport watu wangu wanguvu
    #love

Комментарии • 1 тыс.

  • @jaysonkingcrazy198
    @jaysonkingcrazy198 8 дней назад +147

    Wa kwanza kutoka kenya 🇰🇪 wapi likes zangu tunakupenda sana baba joan💕mungu akubariki

  • @MaimunaLugua-tf7vh
    @MaimunaLugua-tf7vh 8 дней назад +78

    Baba joan kazi nzuri Sana katika maishani mwangu najifunza kitu kutokana na uigizaji wenu Ewe Mwenyezi MUNGU bariki kazi za babajoan team wape nguvu wasishindwe daima nawapenda nyote salamu zangu ziwafikie nyote from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❣️🙏💪

  • @OmaryOscar-o9d
    @OmaryOscar-o9d 8 дней назад +98

    Kweri ni haki yako baba karobo kwa mwezi ulio pitaa kuongozaa kwa kuw na watazamaji wengiii milion 10 hakika unapambnaa wanao mkubali gonga like hapa🎉🎉🎉

  • @DeeDan-sj1mr
    @DeeDan-sj1mr 8 дней назад +34

    Unatufunza mengi maana wapo wanawake wenye tabia kama izo so wenye akili watapunguza sio kuacha maana mjaasili haachi asili yake kamwe🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 ❤❤❤❤❤ thanks baba joan

  • @Lucywanjirukagonye
    @Lucywanjirukagonye 8 дней назад +138

    WA kwanza kutoka Riyadh Saudi Arabia teem strong wapi like za Baba karombo🎉🎉❤❤

    • @user-di1ix3ol7w
      @user-di1ix3ol7w 8 дней назад +3

      Tuko dear Sema kuchoka adi kope😂😂😂

    • @MWANAISHAMTENGO
      @MWANAISHAMTENGO 8 дней назад +2

      Assalamualaikum

    • @ashamwanganzi6400
      @ashamwanganzi6400 8 дней назад +2

      Pamoja saiz❤

    • @wamboiwamboh
      @wamboiwamboh 8 дней назад

      tunafanya mjengo tukiwaza mabaya ya mama karobo😂😂😂😂imgn mama karobo as your madam😂😂😂😂😂😢😢😢

    • @Lucywanjirukagonye
      @Lucywanjirukagonye 8 дней назад

      @@wamboiwamboh hehehe 😂😄🤣 kwisha

  • @Emmajose-t8t
    @Emmajose-t8t 8 дней назад +26

    Karobo you deserve my flowers 🌺🌺🌺🌺 I pray for everyone who will read this text God bless you and protect you and your family

  • @tomsteves
    @tomsteves 8 дней назад +35

    At least leo nimefika mapema kabla katambe😂....mnipe hata likes 10 nijue nimeweza❤❤❤❤ The best film premiering in Tanzania

  • @Kevin-y6i
    @Kevin-y6i 7 дней назад +6

    Kazi Safi Baba Joan,Mungu akubariki mara ya Kwanza kufika Kenya🇰🇪wapi likes za Baba karobo

  • @EdigaNashon-g7b
    @EdigaNashon-g7b 8 дней назад +21

    Na Mimi sijachelewa like zangu jaman 🎉🎉❤🎉 baba karobo🎉🎉❤

  • @YusraSiyaleo-yk2fz
    @YusraSiyaleo-yk2fz 8 дней назад +138

    Hatimae mmetuletea doko saf sana baba karobo umeweza kama.unamkubali doko gonga like hapa tujuane 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @kingustarboe
    @kingustarboe 8 дней назад +12

    kingine nilichotaka kushangaa ni kwamba mama karobo anakupa nguo zako ufue wakati me sijawai kukuona ukibadilisha nguo daaah sema ndo ivo ilikua ndoto 2 naomben like zangu ❤😂😂😂😂

    • @Elizakilisipinilikolika1996
      @Elizakilisipinilikolika1996 7 дней назад

      Sindo apa sasa mana atuja wai kumuona ana badili nguo ata siku moja❤❤❤❤😅😅😅😅😅😅😅😅

    • @sharonshaz957
      @sharonshaz957 4 дня назад

      😂😂😂😂😂 umefanya nicheke sana 🤣

  • @modex_0376
    @modex_0376 8 дней назад +567

    YOYOTE AKISOMA HII SMS NA KULIKE IN SHAA ALLAH MUNGU AMJALIE UMRI MREFU N SIKU YA LEO JUMA PILI AMFUNGULIE MILANGO YA KHERI 🤲🤲🤲🤲

  • @michelinechalouhi2189
    @michelinechalouhi2189 8 дней назад +35

    Kutoka Kenya Nani anapenda baba karobo nipe likes

  • @delickmarco3945
    @delickmarco3945 8 дней назад +61

    Watu wa Mungu kwa movie hii itufunze kuwa saidia vipofu,vilema,wanapitia magumu Sana.

  • @PatrickPeter-ce9zn
    @PatrickPeter-ce9zn 8 дней назад +60

    Wakwanza Leo team baba karobo gonga like hapa

  • @ConsessaNiBiZi
    @ConsessaNiBiZi 8 дней назад +22

    Wakwanza toka Burundi naomba like zangu

  • @susanmitchell5641
    @susanmitchell5641 8 дней назад +4

    Nimesoma mengi sana tangia hapa tumefika, kudos Baba karobo na time yako yote 👏👏👏 more love from 🇰🇪 ila natazama nikiwa Qatar 🇶🇦 team strong 💪

  • @nalundjamubalama9979
    @nalundjamubalama9979 8 дней назад +43

    Filamu yenu ina pendwa sana ndani ya duka langu hongera sana

  • @SifaMasamba-rq6ee
    @SifaMasamba-rq6ee 8 дней назад +58

    Mimi leo nahoba lakizagu kutoka U s🇺🇲🇺🇲

    • @user-ie7yt9db6f
      @user-ie7yt9db6f 8 дней назад +2

      Hii kiswahili ya wp😢😢😢

    • @maylucson001
      @maylucson001 8 дней назад

      Nahoba😂😂​@@user-ie7yt9db6f

    • @Gift-kijiti
      @Gift-kijiti 8 дней назад +2

      😂😂😂😂😂 etiee una what😂😂😂😂😂

    • @Gift-kijiti
      @Gift-kijiti 8 дней назад +1

      ​@@user-ie7yt9db6fanahoba😮😮😮😮mwenzio🤭🤭😂😂😂😂

    • @AmenaMm-r5t
      @AmenaMm-r5t 8 дней назад

      Hhhhhhh ety na hoba jamon ww pol san

  • @vallesndayishimiye2396
    @vallesndayishimiye2396 8 дней назад +59

    Baba Joan ❤❤❤❤ nakupenda Sana from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @JosephKibi
    @JosephKibi 8 дней назад +4

    Maman karobo byaku jitakiya sawa akuna shida tuone mwisho wako 🇨🇩👍👍👍

  • @MrUhakikaTz
    @MrUhakikaTz 8 дней назад +14

    Mr uhakika 🇹🇿 wa kwanza from tz nipen like zangu jmn 😢

  • @mustafahlokol7338
    @mustafahlokol7338 8 дней назад +38

    Mimi Leo ni WA kwanza baba Joan nakubali kazi Yako nzuri sana

  • @Andjelanisuzzy
    @Andjelanisuzzy 8 дней назад +16

    Wa kwanza leooo naombeni like 😂❤

  • @user-rk1uq3ht4z
    @user-rk1uq3ht4z 8 дней назад +5

    Kumekuchaaaaa mlio lala amkeni.mambo ni fire🔥🔥🔥🔥🔥

  • @MagdaleneKhatsika
    @MagdaleneKhatsika 7 дней назад +3

    Wow!!yanina vipindi vyako karobo gai❤❤nazipenda...nakuombea mungu awezee kuulinda kipawa chako

  • @nassoraly5296
    @nassoraly5296 8 дней назад +24

    Wa Kwanzaa naomben like

  • @OlivierMasambilo
    @OlivierMasambilo 8 дней назад +3

    baba joan respect kweli anatiarisha kipindi vizuri kweli napenda vipindi vyenu from BURUNDI OK

  • @nshimiyimanaalex6467
    @nshimiyimanaalex6467 8 дней назад +31

    Asanteni sana kutupatia ya wikend kbs arfu mbona mama karobo habadirike mwisho wake atajuta Kigali Rwanda 🇷🇼 ❤❤❤turabakunda cyaneeeee 🇷🇼

    • @qwerqasd8597
      @qwerqasd8597 8 дней назад

      Natwe turabakunda

    • @MbonyonshutiEric
      @MbonyonshutiEric 8 дней назад

      Nabapenda zujat karono nyinyi nbapenda Niko kigali

    • @horakibondo6667
      @horakibondo6667 7 дней назад

      Abanyarwanda burya duhari turi benshi.
      Enyanya enyanya

  • @ElietBeatus
    @ElietBeatus 8 дней назад +6

    Baba kalobo Toka anze muv ata kubadilisha nguo jamani kweli atakama kipofu kama unakubali iro gonga like

    • @HarunaHaule
      @HarunaHaule 7 дней назад

      Alibadili siku moja alipewa tisheti na dada ake

    • @ElietBeatus
      @ElietBeatus 7 дней назад

      @@HarunaHaule mi sijawai ata muona

    • @adelinaomani9012
      @adelinaomani9012 3 дня назад

      Naakanyanganywa ​@@HarunaHaule

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 8 дней назад +29

    Kuuliza 2 Ni Nguo Gani Zinazotaka Kufuliwa Maana Kila Cku Bakarobo Nguo Ni Izo Izooo Au😂😂😂😂

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 8 дней назад +18

    Doko kama Doko, kpala ingwe

    • @MbagalambagalaZakiem
      @MbagalambagalaZakiem 7 дней назад

      ruclips.net/video/4BduxYtZxIk/видео.htmlsi=K0UiVaPDcl0wxkSH

  • @user-fk1od3fm8w
    @user-fk1od3fm8w 8 дней назад +19

    Nipo baba kalobo

  • @danielmutisya784
    @danielmutisya784 8 дней назад +6

    Kenya tuned wapi like zake baba karobo❤

  • @ZilfaNdayikunda
    @ZilfaNdayikunda 8 дней назад +13

    Naomba Like kutoka SAUDIA🇸🇦TEAM Baba Karobo ❤

  • @aminahkahindi2676
    @aminahkahindi2676 8 дней назад +3

    Naipenda sana hii movie 🎬 baba karobo mungu akubariki unaelimisha jamii songa songa mbele never give up 🎉🎉🎉❤❤❤❤ hii ikiisha utuleetee nzuru zaidi ya hiii🎉

  • @sadcome3213mapenzi
    @sadcome3213mapenzi 8 дней назад +11

    Bwakwanza ku like wa kwanza ku comment ❤❤❤ like zangu hapa wa kenya

  • @RahemaOman
    @RahemaOman 8 дней назад +4

    mashallah wazima wote naombeni like zangu

  • @user-tc7md4mb8e
    @user-tc7md4mb8e 8 дней назад +38

    Kutoka kenya🇰🇪mnipee likes ya baba karobo kuimba iyo wimbo imenikumbusha mbali❤❤❤

  • @niyogushimadorine6086
    @niyogushimadorine6086 8 дней назад +18

    Leo niko wakalibu sana 56 seconds nimesha fika batu kumi basi munipe izo link ninawapend sana❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-ie7yt9db6f
    @user-ie7yt9db6f 8 дней назад +5

    Mapenzi ya fasheni na mama kalobo feki bwna mtaniuwa duuuh ila ndio nimewahi mauwa ya baba kalobo🎉🎉🎉🎉🎉

  • @bonheurNimbeshaho-qy7sy
    @bonheurNimbeshaho-qy7sy 8 дней назад +18

    Nyieeee mbona mapema na mmeshakua wengi😎😎😎mimi kutoka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮hapa

    • @MbagalambagalaZakiem
      @MbagalambagalaZakiem 7 дней назад

      ruclips.net/video/4BduxYtZxIk/видео.htmlsi=K0UiVaPDcl0wxkSH

  • @MaduaDeusi-d9u
    @MaduaDeusi-d9u 8 дней назад +6

    Na mimi sijachelewa baba kalobo naombeni like 😂😂🎉🎉❤🎉😂

  • @CharityNyaboke-gv7lg
    @CharityNyaboke-gv7lg 8 дней назад +11

    😢sasa huyu baba ataona kweli nimechoka kufutilia hii movie 😢😢nataka kuona mama karobo akiteseka ndio ikue funzo kwa wengine.sasa hapa tunajifuza Nini na baba karobo anaendelea kuteseka

  • @djothaniel254.
    @djothaniel254. 8 дней назад +10

    Wakwanza from Kenya wapi likes zangu

  • @Gracenelima254
    @Gracenelima254 8 дней назад +12

    Mimi wa kwansa kutoka Jordan 🇯🇴 wapi love ya baba karobo 🎉❤❤❤❤

  • @nalundjamubalama9979
    @nalundjamubalama9979 8 дней назад +9

    Naomba like zangu, Congo was kwanza

  • @JustineSilukala-io3nd
    @JustineSilukala-io3nd 8 дней назад +13

    Bigapu sana baba joan
    Tumpe like zake na komenti zake baba joan

  • @AishaNibizi
    @AishaNibizi 8 дней назад +10

    Baba Joan na time yako nawapenda saaan kutoka burundi

  • @sharobarowcb5251
    @sharobarowcb5251 8 дней назад +3

    Jamani nimemmic patronize kitambo sana, kama nawe umemmic dogo Gonga like apo tujuane, by Sharo nikiwa Lusaka zambia 🇿🇲

  • @WwddffDdssaa-rq3xu
    @WwddffDdssaa-rq3xu 8 дней назад +3

    Maman karobo. Kubadirika. Siorewo warakesho😂😂😂 anazidi. Kuyakanyaga. Tu. Mungu. Wabipufu simaman n'a baba karobo

  • @raphaelnambombi3709
    @raphaelnambombi3709 8 дней назад +6

    Hii sehemu ya mama karobo na fasheni kwenda kwa mganga mmeirefusha sana bila sababu

  • @janethmshahara4048
    @janethmshahara4048 8 дней назад +10

    Wakwanza Leo nmekukimbilia wewe bwana mungu nipe uvumilivu

  • @YusraSiyaleo-yk2fz
    @YusraSiyaleo-yk2fz 8 дней назад +13

    Na mm nimewah ndio kwanza dakika ya 8 kama unaamin baba karobo soon anapona gonga like hapa tujuane na tunaoamin mama karobo anakuwa.kipofu gonga like hapa 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MichouChalome
    @MichouChalome 8 дней назад +5

    Mama kalobo na beby wake wana kazi yagu shahu liana ujinga tu kalobo na gupenda bule from BURUNDI

  • @FaustineMganyizi
    @FaustineMganyizi 8 дней назад +27

    Baba Joan movie ikiwa ndefu sana itaisha utam fanya mmalize bhana muandae nyingne

  • @NoorynMody
    @NoorynMody 8 дней назад +17

    Yeyote atakae soma msg na ku like Mwenyez Mungu amlinde zidi ma maadui wanao muandama na amtimizie majambo yke anayo muomba kirasiku Ameen ❤

    • @moreenfelluzy3243
      @moreenfelluzy3243 8 дней назад

      Amina mung akubalik pia pia baby 🙏🙏🙏🙏🙏😒💗❤️🌹

    • @KachaMan-s9s
      @KachaMan-s9s 4 дня назад

      😂❤😂❤

    • @emmanueljohnthankslord1411
      @emmanueljohnthankslord1411 4 дня назад

      Amini katika kristo kwamba alikufa kwa dhambi zako ndipo roho wa Mungu atakuwa ndani yako hivyo hakuna baraka zozote utazipata kwa mtu kukwambia ugonge like acheni ufala

    • @laddyfaida
      @laddyfaida 4 дня назад

      🙏🙏🙏🙏

  • @JosephMtukufu-h1b
    @JosephMtukufu-h1b 8 дней назад +5

    Mnazingua mizunguko ming move hata haiishi Dah!😂😂

  • @user-kc2ln7oy1z
    @user-kc2ln7oy1z 8 дней назад +4

    Hii muvi nzuri sana lkini hii kuamini mambo ya nguvu za kiza ni hatari

  • @kinanaissango3492
    @kinanaissango3492 8 дней назад +5

    Kibanio unaleta uhalisia na unapendeza zaidi ukitoa wigi ,, na ukiendelea na kuacha kichwa Kwa style ya kunyoa utajitambulisha vema ww binafsi ktk tathnia ya uigizaji ,,

    • @MbagalambagalaZakiem
      @MbagalambagalaZakiem 7 дней назад

      ruclips.net/video/4BduxYtZxIk/видео.htmlsi=K0UiVaPDcl0wxkSH

  • @Mercyblessingsopo
    @Mercyblessingsopo 8 дней назад +6

    Hii minimkenya napeda sana muvi zenyu mwendele ivo kutu changamsha

  • @Bonh2herbert45
    @Bonh2herbert45 8 дней назад +5

    Wakwanza kutoka drc 🎉🎉❤❤ baba Joan 🙏🙏

  • @ChristineMaloba-hk9je
    @ChristineMaloba-hk9je 8 дней назад +3

    Kazi nzuri sana baba joan hongera much love from Kenya 🇰🇪 😊🎉

  • @Aziza..Shaban
    @Aziza..Shaban 8 дней назад +1

    Jamani hongera sana baba karobo na wenzako. Kazi njema. Mungu awazidishie umaarufu❤❤

  • @CruzMelody
    @CruzMelody 8 дней назад +21

    Wakwanza from kenya mnipe like zangu plz

    • @SifaMasamba-rq6ee
      @SifaMasamba-rq6ee 8 дней назад

      Unadaganya wewe Mimi donabamoja

    • @MaimunaLugua-tf7vh
      @MaimunaLugua-tf7vh 8 дней назад +1

      Baba joan kazi zako nzuri Sana katika maishani mwangu najifunza kitu kutokana na uigizaji wenu Ewe Mwenyezi MUNGU bariki kazi za babajoan team wape nguvu wasishindwe daima nawapenda nyote salamu zangu ziwafikie nyote from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @IrenePeter-o7h
      @IrenePeter-o7h 8 дней назад +1

      🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @DelvinChepkorir-t1d
    @DelvinChepkorir-t1d 8 дней назад +3

    Hope next Sasa baba Karobo ataona🎉🎉❤❤kazi nzuri wapambanaji wa baba Karobo

  • @jonasamos555
    @jonasamos555 8 дней назад +6

    Nipo serous sana, nataka kuoa zugyat au kibanio
    Posa ni like zenu

    • @ALICIAEMILLY-b8j
      @ALICIAEMILLY-b8j 8 дней назад

      Oa mama karobo

    • @SaleheMwambiki
      @SaleheMwambiki 8 дней назад

      ​@@ALICIAEMILLY-b8jkwakweli aoe mama karobo

    • @jonasamos555
      @jonasamos555 7 дней назад

      @@ALICIAEMILLY-b8j alkhuuuuuu sisithubutu huyu mbali na kuigiza ana mdomo sana

  • @MrEdu47-yj2vs
    @MrEdu47-yj2vs 7 дней назад +5

    Kenya 🇰🇪 wapi likes 👍 zangu tunakupenda sana baba Joan 🙏 ❤❤❤ mungu akubariki 🎉🎉🎉❤

  • @saudianew2045
    @saudianew2045 8 дней назад +3

    Doko yupo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉nmefurahi kukuona twende nalo mpaka mwisho movie yazidi kipendeza❤❤❤❤

  • @AminaahJj
    @AminaahJj 8 дней назад +2

    Mnachelewa kupost😢😢 mpka nkakata tamaa za kuona Baba karobo akipoana

  • @rizikishukuru7490
    @rizikishukuru7490 8 дней назад +4

    Noma San nipeni like zangu sijachelewa Sana kazi nzuri San 🔥🔥🔥💯

  • @JosephKatana-xi3fk
    @JosephKatana-xi3fk 7 дней назад +1

    Team Kenya mupo, nipee likes tukisonga jamani, Kongole Baba Joan kwa ubunifu wako

  • @NeemaMzur
    @NeemaMzur 8 дней назад +10

    Mungu atujaalie baraka na uzima wote tunafatilia muvi hiiiii❤❤

  • @Jayboy257-i3x
    @Jayboy257-i3x 8 дней назад +2

    Hii movie naona haitaisha mpaka maisha yetu yote😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @JohariHasham
    @JohariHasham 8 дней назад +3

    Kwa kweri nukti ni msaliti hata hafurahie Na mawazo yenu jamani sijapenda 😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @EshaomarmfaumeMfaume
    @EshaomarmfaumeMfaume 8 дней назад +9

    Nipeni likes zangu kwa mnaemkubali baba karobo kutoka Taif team strong mnaemkubali

  • @EmilykuvunaKonzi
    @EmilykuvunaKonzi 8 дней назад +13

    Waaah alafu uyu Nukti uyu nimemchukia sana mkiumona mwambieni

  • @muulwacarlos
    @muulwacarlos 8 дней назад +1

    wakwanza kutoka Congo DRC 🇨🇩 kazi nzuri sana baba karobo hizi movie ninzuri sanaa

  • @Keziaingabire
    @Keziaingabire 8 дней назад +4

    haiwezi kuwa kirahisi hivyo na kwa sababu kati yao kuna msaliti mmoja anaweza kupiga yoyo na mama karobo akawaangalia nyuma na akakimbia❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😊😊😊😊😅😅😅😅

  • @EdwinNamesake
    @EdwinNamesake 8 дней назад +1

    Watching from Kenya

  • @GideonKidege
    @GideonKidege 8 дней назад +2

    Moyo WA baba karobo umenisika sana,,,kuwa mvumilivu Kwa maisha ndio Salio kamili

  • @PatientKilunga-vv7lm
    @PatientKilunga-vv7lm 8 дней назад +2

    Kwa Nini munarefusha ivi sana mutoshe filamu ingine izi tuna choka sana munakawiya sana na zaidi baba yangu kipofu

    • @MbagalambagalaZakiem
      @MbagalambagalaZakiem 7 дней назад

      ruclips.net/video/4BduxYtZxIk/видео.htmlsi=K0UiVaPDcl0wxkSH

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 7 дней назад

      Jamani mm nataka isishee kanbisa ifike hata mia mbona sawa

  • @kingustarboe
    @kingustarboe 8 дней назад +4

    baba karobo huo wimbo umenigusa aisee Mungu nipe uvumilivu 🙏🙏🙏

    • @MbagalambagalaZakiem
      @MbagalambagalaZakiem 7 дней назад

      ruclips.net/video/4BduxYtZxIk/видео.htmlsi=K0UiVaPDcl0wxkSH

  • @situmaiseremani-t1c
    @situmaiseremani-t1c 7 дней назад +1

    Safiiiii sana Baba kaloboo lete vituuu kaka

  • @nadhiruomar699
    @nadhiruomar699 8 дней назад +3

    Kaka nakusikia ukitaja shule wala hatujawahi kuona shule na Leo umetuonesha nguwo ufuwe wakati tunakuona unavaa nguwo moja Kila kipindi kaka lakin kazi yako nzuri na unatupa kwa wakati shukran brother ❤

  • @furahakalyfurahakaly4901
    @furahakalyfurahakaly4901 8 дней назад +1

    Hofwii hadi roho yaenda mbio mama karobo Kula chuma ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🇰🇪🇰🇪

  • @AtiboTome
    @AtiboTome 8 дней назад +3

    Baba kalobo kazi zori, from Mozambique

  • @rehemambingi7180
    @rehemambingi7180 8 дней назад +2

    Mimi 3 timu baba kalobo❤

  • @RachealMusembi-wb6pj
    @RachealMusembi-wb6pj 8 дней назад +4

    Wa kwanza leo🤩

  • @Irenemwesa-k7y
    @Irenemwesa-k7y 7 дней назад +2

    Jamani jitaidini kuzitowaa nimezipenda sana movie yenu

    • @Irenemwesa-k7y
      @Irenemwesa-k7y 7 дней назад +1

      Mwisho ngapi ya bab yang kipofu daar baba, na mtot wana uvumilivu sana

  • @VioletteManirakiza-jf2rk
    @VioletteManirakiza-jf2rk 8 дней назад +2

    Mgungu amulinde baba karobo namwanaye

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 8 дней назад +1

    Karobo nimekupenda buree umemuambia babayako uchafuu wamamayako..
    Nahawa niwachawi kweli kotee huku mnaenda kuroga namnachokiroga mlikiroga lkn bado mnataka kumtoa rohoo

  • @Ronald-t2b
    @Ronald-t2b 8 дней назад +3

    Woooow so great

  • @Gsh-ov2ut
    @Gsh-ov2ut 8 дней назад +1

    Weeee nimeruhi Sana kumuona Doko kwenye baba karobo love you ❤❤❤❤from Kenya

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 8 дней назад +2

    REHMA NA AMAN ZIMFIKIE YEYOTE ATAKAYESOMA HII COMENT UWE NA SIKU NJEMA INSHALAAAA🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲

  • @ميريالشمري-ح9ب
    @ميريالشمري-ح9ب 8 дней назад

    Iyi muvi karobo na.babayake mnapendakula wangine wote nikuzururatuuu😂😂😂

  • @princejayban
    @princejayban 8 дней назад +3

    Wa kwanza likes zangu mbili tu

  • @user-ie8om7kh5w
    @user-ie8om7kh5w 8 дней назад +2

    Wow ni nzuri sana❤❤🎉🎉

  • @benena4683
    @benena4683 8 дней назад +3

    Hiii,,,, imenena,, kenya mpooooo

  • @jengenimsuva377
    @jengenimsuva377 3 дня назад

    Wa mwisho leo like jaman mtabarikiwaa kaz nzur sana ba joan