Amen. Nilikuwa naomba kuhusa shida fulani ni nikawa maneno yameisha, nikaomba Mungu anene nami na nilipofungua Biblia yangu nikapata hii Zaburi. Leo hii niko kanisani pekee yangu na ndipo nimeipata tena. Kwa Imani mimepokea jibu la maombi yangu.
Nimefunguliwa kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareth aliye hai. PR Mmbaga nabarikiwa sana na Mahubiri TV.. Hata nikikosa bando nalazimisha kuwa nalo kwa ajili ya kusikiliza
Amina Amina mungu akubaliki sana tangu niaze kufatilia mahubili Yako nimlikua vibaya kiuchumi nilikua nazambi iliyo niremea lakini kupitia mahubili Yako maisha yangu yamebadilika San namshukulu mungu sana nazidi kufunguliwa
Wale adui wanaopambana nami mungu wewe ndio unawafaham mungu matezo yangu mungu wangu mungu zaburi 18 mungu wewe ndio wakuniponya nakunifanya kuwa hai mungu biashara nilikuwa nauza mungu angalia mtaji wote umepotea mungu vifungo vyote mungu navifungua ktk jina la yesu chuwa Mimi
Amen nimeshinda vita na Yesu anipiganie na Adui zangu🙏🙏🙏 Amen Amen nifunguwe eeh yesu kristo Bwana.kenye Adui wamenifunga na Imani kwa jina ya yesu kristo Amen🙏
Naomba mungu nifunguwe kamba niliyofungwa ktk changamoto ya kuolewa bwana nakuamini naomba nifunguliwe kupitia zaburi hii nipate ndoa niolewe na mfanyakazi tena mwanajeshi aje atoe mahali ata akiwa mbali amtume MTU
binafsi kuna mambo yanautesa sana mtima wangu! ninaomba mpk nahic kuwa Mungu ameamua kunikaushia!!! imefika mahali hata kuomba nimekata tamaa kabisa! Yesu anisaidie
Namuomba mungu kupitia zaburi hii ya 18 yakufunguwa vifungo vilivyoshindikana naomba nifungiliwe nipate mule mfanyakazi juma abdala anioe na afunguliwe apate kazi
Asante kwa mahubiri haya,Jana usiku(21 July) nilikuwa na changamoto(kamba) ambazo zilinikosesha amani, nikamwomba Mungu nipate mahubiri yatakayonitia nguvu. Nikakutana na mahubiri haya,na kuyafuatilia. Leo 22July,ofisini nikaisoma Tena zaburi 18 na kupokea sehemu ya utatuzi wa changamoto hiyo. Namshukuru Mungu,kupitia mahubiri haya nimeomba kwa kutumia zaburi 18 na kupokea sehemu ya majibu,naamini Mungu ataonekana pia kwa sehemu iliyobaki. Amen.
Naitwa abduli sadiki milingo kupitia maombi haya naomba nifunguliwe nipate mafanikio katika biashala zangu naomba nizidiwe nawateja mpaka nitafute watu wakunisaidia
Yani kweli Mungu anatenda jamani, sasa natumia pia zaburi18 ya maombi ya sifa, hadi nabaki najishangaa kwamba hv ndivyo Mungu anatenda, kuna watu walikua wanafanya uchongezi kazini (RAS wamkoa) maajabu katolewa yeye, tuliomba kwa hiyo zab35
Nami naomba niwekwe kwenye group la maombi. Nina kaka yangu na mwanangu(kijana wa marehemu dada yangu) naomba Mungu awafungue kwenye kifungo cha pombe. Naamini kwa Mungu hakuna lisilowezekana. Namba yangu ya simu ni 0713933100
Amen. Nilikuwa naomba kuhusa shida fulani ni nikawa maneno yameisha, nikaomba Mungu anene nami na nilipofungua Biblia yangu nikapata hii Zaburi. Leo hii niko kanisani pekee yangu na ndipo nimeipata tena. Kwa Imani mimepokea jibu la maombi yangu.
Nimefunguliwa kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareth aliye hai.
PR Mmbaga nabarikiwa sana na Mahubiri TV.. Hata nikikosa bando nalazimisha kuwa nalo kwa ajili ya kusikiliza
Nimebarikiwa na ombi hili ninaimani nimefunguliwa mizigo yangu yote ninashukuru kwa baraka zote nilizozipata kupitia Zaburi hii Amen
Amina barikiwa mchungaji, somo limenibariki sana na limebadilisha mtazamo wangu kwa Mungu wangu
Nawezaje kujiunga na group lenu la maombi la telegram
Ee Mungu nimlikie taa mbele yangu uniondolee kifuli mbele yangu, barikiwa sana pastor Amina
Ninashukuru kwa somo ninapitia mambo magumu sana barikiwa mch baba wambinguni akutumie sana kwaajili ya habari njema.
Ubarikiwe Pastor Bwana akubariki azidi kukupa hekima na mafunuo kwa ajili ya utukufu wake amina.
Ameeeeeeen mtushi wa Mungu barikiwa kwa kazi ya Mungu
Amen. Barikiwa sana pastor Mmbaga
Asante YESU kwa kunifungua
Be blessed team mahubri TV, nabarikiwa na hili somo
Amina Barikiwa sana
Amina Amina mungu akubaliki sana tangu niaze kufatilia mahubili Yako nimlikua vibaya kiuchumi nilikua nazambi iliyo niremea lakini kupitia mahubili Yako maisha yangu yamebadilika San namshukulu mungu sana nazidi kufunguliwa
Amen nabarikiwa na somo zuri la Psalm 18, Mungu akubariki sana pastor
Wale adui wanaopambana nami mungu wewe ndio unawafaham mungu matezo yangu mungu wangu mungu zaburi 18 mungu wewe ndio wakuniponya nakunifanya kuwa hai mungu biashara nilikuwa nauza mungu angalia mtaji wote umepotea mungu vifungo vyote mungu navifungua ktk jina la yesu chuwa Mimi
Nime funguliwa kwa jina la Yesu Amina
Amen nimeshinda vita na Yesu anipiganie na Adui zangu🙏🙏🙏 Amen Amen nifunguwe eeh yesu kristo Bwana.kenye Adui wamenifunga na Imani kwa jina ya yesu kristo Amen🙏
Napokea hili ombi kwa jina la Yesu.Amina
Amina na MUNGU aendelee kupewa sifa
Amina asante nimefunguliwa ubarikiwe sana mchungaji wangu
Imani yangu ni kubwa mno kwa zabur ni sala nzuri sana na zenye majibu ya haraka sana.Amina.
Tumebarikiwa sana pastor BWANA na akubariki zaidi pamoja na team ya mahubiri tv.
thanks man of God Amen
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu.
Sifa na utukufu tunakurudishia Mungu wetu wa mbinguni
Naomba nifunguwe bwana mungu muaminifu nakusifu beans na nunaimani nitafanikiwa Ameena
Naomba mungu afunguliwe mwanangu apart uduma na Baba yake amsomeshe kupitia zabuli hii mungu anitangulize
Wauh, thanks, pastor, AMEN.
Ninapokea ushindi kwa Jina la Yesu Kristo.
AMINA, mtumishi wa Mungu.
Naomba mungu nifunguwe kamba niliyofungwa ktk changamoto ya kuolewa bwana nakuamini naomba nifunguliwe kupitia zaburi hii nipate ndoa niolewe na mfanyakazi tena mwanajeshi aje atoe mahali ata akiwa mbali amtume MTU
Pongezi sana Mchungaji Devid tnafarijiwa namahubir yako Mungu akubaliki
Amen, Mungu akubariki
Ubarikiwe sana
That I God's work keep it up
Amen
Aminaaaaaaaaa Aminaaaaaaaaa
Amen powerful message 🙏🙏🙏🙏
Amen mungu akubariki kwa somo nzuli sana
Amen 🙏 I didn’t know this kweli Asante sana
Naomba Mungu anifungue kamba zilizo nifunga
AMINA 🙏🙏
Asante kwa neno zuri
Kupitia maombi Jaya mungu nitendee Mambo makuu latatu kupitia kufunguliwa kwangu kamba za aduwi za kunitowa kamba za aduwi kupitia zaburi hii
Nifunguliwe Leo kamba niliofungwa mwilini mwangu napitia magumu Sana nafanya mema nalipwa mabaya na maaduwi kuniandama
Ameen Mtumishi Mungu akubariki snaaa
Amina
Amina 🙏
Amen Amen
Amina tena Amina!
binafsi kuna mambo yanautesa sana mtima wangu! ninaomba mpk nahic kuwa Mungu ameamua kunikaushia!!! imefika mahali hata kuomba nimekata tamaa kabisa! Yesu anisaidie
Atakusaidia usikate tamaa ukikata tamaa shetani atapata nafasi zaidi
Amena
Ok up hi
Mungu akubariki pastor
Namuomba mungu kupitia zaburi hii ya 18 yakufunguwa vifungo vilivyoshindikana naomba nifungiliwe nipate mule mfanyakazi juma abdala anioe na afunguliwe apate kazi
Ameeeen
Amen mtumshi
AMINA
Amina sana
Asante kwa mahubiri haya,Jana usiku(21 July) nilikuwa na changamoto(kamba) ambazo zilinikosesha amani, nikamwomba Mungu nipate mahubiri yatakayonitia nguvu.
Nikakutana na mahubiri haya,na kuyafuatilia.
Leo 22July,ofisini nikaisoma Tena zaburi 18 na kupokea sehemu ya utatuzi wa changamoto hiyo.
Namshukuru Mungu,kupitia mahubiri haya nimeomba kwa kutumia zaburi 18 na kupokea sehemu ya majibu,naamini Mungu ataonekana pia kwa sehemu iliyobaki.
Amen.
Naitwa abduli sadiki milingo kupitia maombi haya naomba nifunguliwe nipate mafanikio katika biashala zangu naomba nizidiwe nawateja mpaka nitafute watu wakunisaidia
ZABURI YA KUFUNGUA KAMBA ZILIZO KUFUNGA
Nimefunguliwa kamba zangu zote Utukufu Ni kwa Mungu
Amen🙏
Amen Amen Amen
Amen amen
Amen amen!
Amen Amen
Nimepokea wokovu vifungo vyote vimekatika nimefunguliwa Sasa 🙏🙏
Bwana aniokoe na umaskini niliofungwa kupitia maombi haya naomba nifunguliwe katika safali yangu nipate mine
Bwana anitendee makuu nipate mume mwente hekima
Naomba nifunguliwe vigungo
🙏🙏
AMINA .NAPOKEA
Aamina, mbarikiwe mahubiri tv, naamini nimefunguliwa pamoja familia yangu, kweli nimegundua vifungo vingi, nazidi kuomba kufunguliwa kupitia zaburi hii,amina
Sylvia kikibwa ni kuomba unaisoma kwa kutafakari na kwamba uko unaongea na BABA wambinguni akiwa anakusikiliza, kisha amini Mungu anatenda aisee
Kweli kabisa nakubaliana nawe,huwa naiomba kwa kuitafakari hakika nimemwona Bwana akipigana na adui zangu
Yani kweli Mungu anatenda jamani, sasa natumia pia zaburi18 ya maombi ya sifa, hadi nabaki najishangaa kwamba hv ndivyo Mungu anatenda, kuna watu walikua wanafanya uchongezi kazini (RAS wamkoa) maajabu katolewa yeye, tuliomba kwa hiyo zab35
@@judithmakoye6592 zaburi zina nguvu mno,maombi ni kila kitu ndugu zangu,adui wanatiishwa chini ya nyayo zetu.kwa Nina la Yesu
@@florasingano5859 aminaaaa
🙏🙏🙏🙏
Ewe Mila kupitia zaburi 23 naomba mwanangu afunguliwe usiku wa Leo apart uduma Kwa Baba take allydally amuudumie
Mch,wema na amani zikufuate
Kupitia zabuli hii usiku naomba nifunguliwe niolewe ndoa na Jima abdala ndoa
Kama huna hiyo kitabu naweza kuombewa au kuwekwa kwenye maombi
Nami naomba niwekwe kwenye group la maombi. Nina kaka yangu na mwanangu(kijana wa marehemu dada yangu) naomba Mungu awafungue kwenye kifungo cha pombe. Naamini kwa Mungu hakuna lisilowezekana. Namba yangu ya simu ni 0713933100
Amin.. lakini pia naomba kuungwa kwenye group la Telegram no yangu 0686600880
Amen
Amina
Amina 🙏
Amina nimefunguliwa kwa jina la yesu
Ameeeen
Amen amen amen
Amen🙏
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amina
Amina
Amina
Amen
Amen