ZABURI YA KUFUNGUA KAMBA ZILIZO KUFUNGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 июл 2020
  • IKIWA UNA USHUHUDA TUTUMIE KWA WHATSPP +255 755 932 283 ili turushe kwenye kipindi cha shuhuda

Комментарии • 113

  • @angel-y
    @angel-y 4 года назад +13

    Amen. Nilikuwa naomba kuhusa shida fulani ni nikawa maneno yameisha, nikaomba Mungu anene nami na nilipofungua Biblia yangu nikapata hii Zaburi. Leo hii niko kanisani pekee yangu na ndipo nimeipata tena. Kwa Imani mimepokea jibu la maombi yangu.

  • @aloycegasper5188
    @aloycegasper5188 4 года назад +7

    Nimefunguliwa kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareth aliye hai.
    PR Mmbaga nabarikiwa sana na Mahubiri TV.. Hata nikikosa bando nalazimisha kuwa nalo kwa ajili ya kusikiliza

  • @elizabethsamwel5924
    @elizabethsamwel5924 4 года назад +2

    Nimebarikiwa na ombi hili ninaimani nimefunguliwa mizigo yangu yote ninashukuru kwa baraka zote nilizozipata kupitia Zaburi hii Amen

  • @romwaldbruno5522
    @romwaldbruno5522 4 года назад +6

    Amina barikiwa mchungaji, somo limenibariki sana na limebadilisha mtazamo wangu kwa Mungu wangu
    Nawezaje kujiunga na group lenu la maombi la telegram

  • @sheilaombongi8086
    @sheilaombongi8086 4 года назад +2

    Ee Mungu nimlikie taa mbele yangu uniondolee kifuli mbele yangu, barikiwa sana pastor Amina

  • @huldakirururu8950
    @huldakirururu8950 4 года назад +1

    Ninashukuru kwa somo ninapitia mambo magumu sana barikiwa mch baba wambinguni akutumie sana kwaajili ya habari njema.

  • @henryntarisha5600
    @henryntarisha5600 Год назад

    Ubarikiwe Pastor Bwana akubariki azidi kukupa hekima na mafunuo kwa ajili ya utukufu wake amina.

  • @atupakisyekyando890
    @atupakisyekyando890 Год назад

    Ameeeeeeen mtushi wa Mungu barikiwa kwa kazi ya Mungu

  • @wadyanali900
    @wadyanali900 4 года назад +1

    Amen. Barikiwa sana pastor Mmbaga

  • @lulumkongwe9987
    @lulumkongwe9987 Год назад +1

    Asante YESU kwa kunifungua

  • @davidmisiwa4622
    @davidmisiwa4622 4 года назад +3

    Be blessed team mahubri TV, nabarikiwa na hili somo

  • @julianapeter9893
    @julianapeter9893 Год назад

    Amina Amina mungu akubaliki sana tangu niaze kufatilia mahubili Yako nimlikua vibaya kiuchumi nilikua nazambi iliyo niremea lakini kupitia mahubili Yako maisha yangu yamebadilika San namshukulu mungu sana nazidi kufunguliwa

  • @jessikaakinyi8445
    @jessikaakinyi8445 4 года назад +1

    Amen nabarikiwa na somo zuri la Psalm 18, Mungu akubariki sana pastor

  • @pendomatei846
    @pendomatei846 2 года назад

    Wale adui wanaopambana nami mungu wewe ndio unawafaham mungu matezo yangu mungu wangu mungu zaburi 18 mungu wewe ndio wakuniponya nakunifanya kuwa hai mungu biashara nilikuwa nauza mungu angalia mtaji wote umepotea mungu vifungo vyote mungu navifungua ktk jina la yesu chuwa Mimi

  • @janetfrancis7180
    @janetfrancis7180 4 года назад +1

    Nime funguliwa kwa jina la Yesu Amina

  • @faithboit2634
    @faithboit2634 3 года назад

    Amen nimeshinda vita na Yesu anipiganie na Adui zangu🙏🙏🙏 Amen Amen nifunguwe eeh yesu kristo Bwana.kenye Adui wamenifunga na Imani kwa jina ya yesu kristo Amen🙏

  • @khaldn7409
    @khaldn7409 Год назад

    Napokea hili ombi kwa jina la Yesu.Amina

  • @fbwire4559
    @fbwire4559 4 года назад +1

    Amina na MUNGU aendelee kupewa sifa

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial6083 4 года назад +1

    Amina asante nimefunguliwa ubarikiwe sana mchungaji wangu

  • @nicolaussengenge6465
    @nicolaussengenge6465 2 года назад

    Imani yangu ni kubwa mno kwa zabur ni sala nzuri sana na zenye majibu ya haraka sana.Amina.

  • @sarahwambui879
    @sarahwambui879 2 года назад

    Tumebarikiwa sana pastor BWANA na akubariki zaidi pamoja na team ya mahubiri tv.

  • @lamidalonghee7012
    @lamidalonghee7012 4 года назад +2

    thanks man of God Amen

  • @kabalizasekanabomarko6063
    @kabalizasekanabomarko6063 7 месяцев назад

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu.

  • @mackynicky5832
    @mackynicky5832 4 года назад +2

    Sifa na utukufu tunakurudishia Mungu wetu wa mbinguni

  • @salamaseif4183
    @salamaseif4183 2 года назад

    Naomba nifunguwe bwana mungu muaminifu nakusifu beans na nunaimani nitafanikiwa Ameena

  • @salamaseif4183
    @salamaseif4183 Год назад

    Naomba mungu afunguliwe mwanangu apart uduma na Baba yake amsomeshe kupitia zabuli hii mungu anitangulize

  • @naominasimiyu551
    @naominasimiyu551 4 года назад +2

    Wauh, thanks, pastor, AMEN.

  • @Frosita
    @Frosita 9 дней назад

    Ninapokea ushindi kwa Jina la Yesu Kristo.

  • @edinaclemence8977
    @edinaclemence8977 4 года назад +1

    AMINA, mtumishi wa Mungu.

  • @salamaseif4183
    @salamaseif4183 Год назад

    Naomba mungu nifunguwe kamba niliyofungwa ktk changamoto ya kuolewa bwana nakuamini naomba nifunguliwe kupitia zaburi hii nipate ndoa niolewe na mfanyakazi tena mwanajeshi aje atoe mahali ata akiwa mbali amtume MTU

  • @alexkalima4157
    @alexkalima4157 4 года назад

    Pongezi sana Mchungaji Devid tnafarijiwa namahubir yako Mungu akubaliki

  • @watwegopnina6480
    @watwegopnina6480 4 года назад +1

    Amen, Mungu akubariki

  • @mwavitafuraha7244
    @mwavitafuraha7244 4 года назад +1

    Ubarikiwe sana

  • @florencenakitare1947
    @florencenakitare1947 4 года назад

    That I God's work keep it up

  • @alexismwinyi8472
    @alexismwinyi8472 2 года назад +1

    Amen

  • @awezayesu1779
    @awezayesu1779 4 года назад +1

    Aminaaaaaaaaa Aminaaaaaaaaa

  • @bosireogwera3875
    @bosireogwera3875 Год назад

    Amen powerful message 🙏🙏🙏🙏

  • @lifewithkiki633
    @lifewithkiki633 4 года назад

    Amen mungu akubariki kwa somo nzuli sana

  • @christinaasukulu2814
    @christinaasukulu2814 4 года назад

    Amen 🙏 I didn’t know this kweli Asante sana

  • @atupakisyekyando890
    @atupakisyekyando890 Год назад

    Naomba Mungu anifungue kamba zilizo nifunga

  • @oman798
    @oman798 Год назад

    AMINA 🙏🙏

  • @Ellehenri
    @Ellehenri 4 года назад +1

    Asante kwa neno zuri

  • @salamaseif4183
    @salamaseif4183 Год назад

    Kupitia maombi Jaya mungu nitendee Mambo makuu latatu kupitia kufunguliwa kwangu kamba za aduwi za kunitowa kamba za aduwi kupitia zaburi hii

  • @salamaseif4183
    @salamaseif4183 2 года назад

    Nifunguliwe Leo kamba niliofungwa mwilini mwangu napitia magumu Sana nafanya mema nalipwa mabaya na maaduwi kuniandama

  • @dorinimalisa3062
    @dorinimalisa3062 3 года назад

    Ameen Mtumishi Mungu akubariki snaaa

  • @pendomartin1809
    @pendomartin1809 Год назад

    Amina

  • @janemagutusinda8092
    @janemagutusinda8092 Год назад

    Amina 🙏

  • @evampuya-mp9vf
    @evampuya-mp9vf Год назад

    Amen Amen

  • @washykhasera8374
    @washykhasera8374 4 года назад

    Amina tena Amina!

  • @witneskilinda5034
    @witneskilinda5034 4 года назад

    binafsi kuna mambo yanautesa sana mtima wangu! ninaomba mpk nahic kuwa Mungu ameamua kunikaushia!!! imefika mahali hata kuomba nimekata tamaa kabisa! Yesu anisaidie

    • @chengulachannel1002
      @chengulachannel1002 4 года назад

      Atakusaidia usikate tamaa ukikata tamaa shetani atapata nafasi zaidi

  • @lumandemwenebokyo4613
    @lumandemwenebokyo4613 4 года назад +1

    Amena

  • @isackmbise8968
    @isackmbise8968 3 года назад

    Ok up hi

  • @methodjohn7991
    @methodjohn7991 3 года назад

    Mungu akubariki pastor

  • @salamaseif4183
    @salamaseif4183 Год назад

    Namuomba mungu kupitia zaburi hii ya 18 yakufunguwa vifungo vilivyoshindikana naomba nifungiliwe nipate mule mfanyakazi juma abdala anioe na afunguliwe apate kazi

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica3318 3 месяца назад

    Ameeeen

  • @nyamunakisuda6333
    @nyamunakisuda6333 4 года назад

    Amen mtumshi

  • @oman798
    @oman798 10 месяцев назад

    AMINA

  • @msafirihemedi6094
    @msafirihemedi6094 Год назад

    Amina sana

  • @ellykibale190
    @ellykibale190 4 года назад

    Asante kwa mahubiri haya,Jana usiku(21 July) nilikuwa na changamoto(kamba) ambazo zilinikosesha amani, nikamwomba Mungu nipate mahubiri yatakayonitia nguvu.
    Nikakutana na mahubiri haya,na kuyafuatilia.
    Leo 22July,ofisini nikaisoma Tena zaburi 18 na kupokea sehemu ya utatuzi wa changamoto hiyo.
    Namshukuru Mungu,kupitia mahubiri haya nimeomba kwa kutumia zaburi 18 na kupokea sehemu ya majibu,naamini Mungu ataonekana pia kwa sehemu iliyobaki.
    Amen.

  • @salamaseif4183
    @salamaseif4183 Год назад

    Naitwa abduli sadiki milingo kupitia maombi haya naomba nifunguliwe nipate mafanikio katika biashala zangu naomba nizidiwe nawateja mpaka nitafute watu wakunisaidia

  • @mrtoxicx
    @mrtoxicx 4 года назад +2

    ZABURI YA KUFUNGUA KAMBA ZILIZO KUFUNGA

  • @happyjoseph5516
    @happyjoseph5516 4 года назад

    Nimefunguliwa kamba zangu zote Utukufu Ni kwa Mungu

  • @esthermsely3537
    @esthermsely3537 2 года назад

    Amen🙏

  • @steliakyteisiehello6096
    @steliakyteisiehello6096 4 года назад

    Amen Amen Amen

  • @mauwakiza2120
    @mauwakiza2120 4 года назад

    Amen amen

  • @florabenard707
    @florabenard707 4 года назад +1

    Amen amen!

  • @janemagutusinda8092
    @janemagutusinda8092 Год назад

    Nimepokea wokovu vifungo vyote vimekatika nimefunguliwa Sasa 🙏🙏

  • @salamaseif4183
    @salamaseif4183 Год назад

    Bwana aniokoe na umaskini niliofungwa kupitia maombi haya naomba nifunguliwe katika safali yangu nipate mine

  • @salamaseif4183
    @salamaseif4183 Год назад

    Bwana anitendee makuu nipate mume mwente hekima

  • @salamaseif4183
    @salamaseif4183 Год назад

    Naomba nifunguliwe vigungo

  • @mrgbaba3696
    @mrgbaba3696 2 года назад

    🙏🙏

  • @scholasticamavere8521
    @scholasticamavere8521 3 года назад

    AMINA .NAPOKEA

  • @judithmakoye6592
    @judithmakoye6592 4 года назад

    Aamina, mbarikiwe mahubiri tv, naamini nimefunguliwa pamoja familia yangu, kweli nimegundua vifungo vingi, nazidi kuomba kufunguliwa kupitia zaburi hii,amina

    • @judithmakoye6592
      @judithmakoye6592 4 года назад

      Sylvia kikibwa ni kuomba unaisoma kwa kutafakari na kwamba uko unaongea na BABA wambinguni akiwa anakusikiliza, kisha amini Mungu anatenda aisee

    • @florasingano5859
      @florasingano5859 4 года назад +1

      Kweli kabisa nakubaliana nawe,huwa naiomba kwa kuitafakari hakika nimemwona Bwana akipigana na adui zangu

    • @judithmakoye6592
      @judithmakoye6592 4 года назад

      Yani kweli Mungu anatenda jamani, sasa natumia pia zaburi18 ya maombi ya sifa, hadi nabaki najishangaa kwamba hv ndivyo Mungu anatenda, kuna watu walikua wanafanya uchongezi kazini (RAS wamkoa) maajabu katolewa yeye, tuliomba kwa hiyo zab35

    • @florasingano5859
      @florasingano5859 4 года назад +1

      @@judithmakoye6592 zaburi zina nguvu mno,maombi ni kila kitu ndugu zangu,adui wanatiishwa chini ya nyayo zetu.kwa Nina la Yesu

    • @judithmakoye6592
      @judithmakoye6592 4 года назад

      @@florasingano5859 aminaaaa

  • @mrgbaba3696
    @mrgbaba3696 2 года назад

    🙏🙏🙏🙏

  • @salamaseif4183
    @salamaseif4183 2 года назад

    Ewe Mila kupitia zaburi 23 naomba mwanangu afunguliwe usiku wa Leo apart uduma Kwa Baba take allydally amuudumie

  • @priscakihengu4620
    @priscakihengu4620 4 года назад

    Mch,wema na amani zikufuate

  • @salamaseif4183
    @salamaseif4183 Год назад

    Kupitia zabuli hii usiku naomba nifunguliwe niolewe ndoa na Jima abdala ndoa

  • @maimunatanzania1174
    @maimunatanzania1174 3 года назад

    Kama huna hiyo kitabu naweza kuombewa au kuwekwa kwenye maombi

  • @princesssarah4905
    @princesssarah4905 4 года назад

    Nami naomba niwekwe kwenye group la maombi. Nina kaka yangu na mwanangu(kijana wa marehemu dada yangu) naomba Mungu awafungue kwenye kifungo cha pombe. Naamini kwa Mungu hakuna lisilowezekana. Namba yangu ya simu ni 0713933100

  • @barakakashindye2820
    @barakakashindye2820 4 года назад

    Amin.. lakini pia naomba kuungwa kwenye group la Telegram no yangu 0686600880

  • @janetfrancis7180
    @janetfrancis7180 4 года назад +1

    Amen

  • @janemagutusinda8092
    @janemagutusinda8092 2 года назад

    Amina

  • @janemagutusinda8092
    @janemagutusinda8092 2 года назад

    Amina 🙏

  • @susandaniel3385
    @susandaniel3385 4 года назад

    Amina nimefunguliwa kwa jina la yesu

  • @rihannabellion5636
    @rihannabellion5636 4 года назад

    Ameeeen

  • @hawamusumba431
    @hawamusumba431 3 года назад

    Amen amen amen

  • @bethshebaemmanuel1253
    @bethshebaemmanuel1253 4 года назад +1

    Amen🙏

  • @joelmsambwa5504
    @joelmsambwa5504 4 года назад +1

    Amen

  • @verdianajohn7634
    @verdianajohn7634 4 года назад +1

    Amen

  • @jeremiahsigira2919
    @jeremiahsigira2919 4 года назад +1

    Amen

  • @nyangaigeorge7122
    @nyangaigeorge7122 4 года назад +1

    Amen

  • @lynetteondieki565
    @lynetteondieki565 6 месяцев назад

    Amen

  • @happinessmongare4311
    @happinessmongare4311 Год назад

    Amen

  • @pronetkawishe8099
    @pronetkawishe8099 2 года назад

    Amen

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 3 года назад

    Amen

  • @yohanadaudi6779
    @yohanadaudi6779 2 года назад

    Amina

  • @queenpiscator6117
    @queenpiscator6117 4 года назад

    Amina

  • @sarahabdulatif7391
    @sarahabdulatif7391 4 года назад

    Amina

  • @assinakwikwega6804
    @assinakwikwega6804 4 года назад

    Amen

  • @margueritnyingani8844
    @margueritnyingani8844 4 года назад

    Amen