Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
MAOMBI MAALUM KWA WAGONJWA NA WAHITAJI - Pastor Myamba
HTML-код
- Опубликовано: 13 авг 2024
- #HOUSEOFVICTORYCHURCH #PASTORMYAMBA #LIVEHVCSERVICE
This is the Official RUclips Channel for Pastor Emmanuel Myamba. Is a Pastor of the HOUSE OF VICTORY CHURCH , This church is Headquartered in Kigamboni-Mbutu (Dar es salaam) Tanzania
-----------------------
For Offerings / Tithe and Seeds please send through Western Union / Money Gram / RIA and M-PESA: NETWORK: Vodacom, NUMBER: +255 744 982 517, NAME: Emmanuel Myamba, COUNTRY: Tanzania
-----------------------
Follow Us:
Instagram: / pastormyamba
Facebook: / pastor-myamba-12973112...
RUclips: / pastormyamba
Call: +255 744 982 517,+255 713 842 123,+255 686 953 030
Ninaimani nimeona maumivu yote yanayonitesa ndani ya mwili wngu,nimepokea uponyaji kwa jina la kristo amen
Nimepona UKIMWI katika jina la YESU
Napokea uponywaji wa hiv sasaivi aminaaa
Ninapokea uzima kwa jina yesu ameen
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN
Amina nimepokea uponyaji kwa jina la yesuuu
Napokea izima umfikie Daniel mdogo wangu
Barikiwa sana paster mungu aendelee kukutunza na kukuficha mbali na hila za yule mwovu
Ameen dadaangu amepokea kwajina layesu
Napokea uponyaji wangu Mimi na family yangu
Napokea uponyaji kwa jina la yesu
Amen napokea uponyaji
Napokea uzima kwa jina la Yesu nimepokea uzima kwa damu ya yesu
Napokea uponyaji kwa Jina la yesu kristo
Naomba kupona nyonga
Napokea uzima kwajina la yesu Kristu nimepokea uzima kwadamu yayesu
Napokea uponyaji wa bawasiri kwa jina la yesu
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN
Naomba naomba mungu nipone magonywa yakishilikina
Amen Namuunganisha dada yangu kwenye maombi haya pamoja na mm pia
Amen nimepona kidole mana nilichomwa na sindano nikavimba mno namaumivu makali lakini baada tu ya maombi nimeona kimya asante mungu katika jina la yesu kwa uponyanyi hakika wewe ni mungu wa kweli na uzima
Nataka kupona ukimwi kwa jina la yesu
Napokea uponyaj kwadadaangu napokea Aman yamoyo kwajina layesu
Napokea uponyaji kwajina layesu
Naomba kilamizigo kwenye kichwa chAngu Leo yesu naomba unituwe
Amen
Nime pona kizazi changu amina
napokea uponyaji was mwili wangi mzima nauponyaji wa mme wangu
Ameen mtumishi ubarikiwe sana
Nimeiona uvumbe kwajina layesu
Mamangu apokee uponyaji kwa njina la yesu
Mtoto Wangu airini pona ktk jina LA yesu. Najiunganisha na maombi haya
Aminaa nimepokea Uponyaji kwa jina la YESU
Bjr inaomba kufanya je kwakupata namba ya muchungaji
Amen Ubarikiwe pastor
Asante sana ubatikiwe mi lele
Mungu naomba usiku uuu utulinde navita
Nimepona kabisa Asante yesu
Amen nimepokea uponyaji
Ameni napokeauponyaji WA.hli juuu kabisa
Bwana yesu asifiwe
Nimepokea kwa jina la yesu
Naomba nioneshe anayo cheza namaisha yangu mungu usiku uuuu nioneshe kwa macho yangu mawili
Amina Amina
Nimepona tumbo na kichwa kwajina la yesu
Napokea uzima kwajina la yesu kirsto
Amina amina
AMEN AMEN AMEN
AMEN IN THE NAME OF JESUS
Naomba mungu mwanangu apone magonywa yote
Amin
Nipone ukimwi kwa jina la yesu
Amen amen
Mama angu apokee uponyaji kwa jina la YESU
Napokea uponyaji kwa mtoto wanguuu
Mtoto wangu pokea uponyaji in Jesus 🙏🙏🙏
Amina naiman mam angu atapona
Amen and Amen
Napokea .
Pastor naomba uniombee nasikia vtu vyanitembea kwa mwili
Napokea uponyaji wako
Kama kunauchawi kwenywe nyumba iki naomba mungu unioneshe usiku uuuu kama kunamtu ananitesa mungu naomba unioneshe usiku huuuuu
Amina
Amen nimekuea na bleed 1month.bila kukoma.napokea uponyaji
AMEEEEN
Namuombea rafiki yangu apone
Ameen
Amen ❤
Amen.
Ameeen
Amiin
Amen🙏🏽
I received
Nataka nipone uvimbe tumboni upande wa kulia chini in name Jesus Amen 🤲
🙏🏽jesus
Namuoomba Mungu haponyeee mama angu kipenzi Miguu yake eeeh Mungu saidiaa
Dadaangu anapona kwajina layesu Christ
From mwanza
ameni
Utukufu
Na mm piaa napoanaa naaminii
Naamini Naenda kupokea uponyaji kwa jina la yesu amen🙏
Ameen nimepokea uponyaji kwa jina la yesu 🙏🙏🙏💯
Naamuungamanisha mama yangu Valentina na haya maombi
Asante Mungu kwa uponaji napokea uzima
Mwanangu amepokea uponyaji kwa jina la yesu kristo,na Mimi nimepokea uponyaji kwa jina la yesu kristo amen
Nimepokea uponyaji kwa jina la Yesu🙏🙏
Natangaza uponyaji kwa mama angu pale hospital Mungu amponye aweze kurud katka hali yake
Damu yagu IPO mahabara
Magonjwa yanayojirudia juu ya watoto wangu na mke wangu hayana mamlaka katika jina Safi la Bwana wetu Yesu Kristi,Amina🙏🙏🙏
Nimepokea uponyaji kwa damu ya yesu kristo amen
Amin mtumishi niombee siku zangu siende sawa sawa
Amen mtumishi wa mungu Asante sana nimepona kwa jina la yesu 🙏🙏🙏🙏🙏
Nimepokea uponyaji kwa jina la yesu 🙏
Nimepokea Kwa imani
Mungu namuunganisha Blasio na Irenus na maombi haya ya uponyaji kwa Jina la Yesu.
Namii naaminii naamini napokeaa uponyajii na mtoto wangu anaamini anatokaa akiwaa salamaaa kbsaaaa kw damu ya yesuu
Shingo yangu inapona kwa uwezo wa roho mtakatifu
Napokea uponyaji wa Magonjwa yote niliyonayo kwenye mwili wangu kwa Jina la Yesu.
Nimepokea uponyaji wangu in name Jesus Amen 🤲
Mngu aniponye kwajina layesu
Nimepokea kwajina layesu
🎉nimepona kwa jina la yesu
Naomba mungu aniponye kichwa kwa nzia ivi sasa katika jina la yesu
Nimepokea uponyaji katika jina la Yesu kristo Amen.
Nimepokea uponyanji wangu na familia yangu katika jina la Yesu aliye hai 👏👏