Mungu katika maombi aya ya husiku naomba uachilie neem na amani katika moyowangu ntaomba mungu uniondolee hofu ilio shikila usingizi wangu na fraha yangu nataka sasa niwe ni afraha sasa ntaomba rehema yako iwe pamoja nami katika husiku huu mkubwa ukanikomboe na kuniokoa katika shimo bovu nililo tupiwa nikatoke sasa na kuwa hulu mungu naamini kwa rehema zako kabra ata ya maombi umeshaa anza kunitendea miujiza yako namk nipo tayali kupokea miujiza yako na changamoto zangu zote nilizo kuwa napitia leo ndiyo mwisho sasa 😭😭🙏
Kuwa na Iman atatoka huyo coz mm nilishakuwa na jina mahaba nilikuwa mara Kwa mara naota nafanya mapenz lakn saivi Wala haitokei Tena na mahusiano na dumu nayo
Asante mtumishi wa Mungu,nabarikiwa na meno NAOMBA Mungu anifungue kiuchumi na kiafya ,NAOMBA ulinzi lwa familia yangu
Amen
Mungu naomba maombi haya yaweze kunipa. Amani nafurahi katika maisha yangu Mungu naomba maraika wako waweze kunirinda
Nipe moyo wa kuomba bwana nahitaji unitetee katika mipango ya kishetani nipone vidonda vya tumbo katika jina la yesu kristo Amen 🙏
Mungu naomba kibali cha kushinda yote naomba neema yako Loho za mauti na hofu za uck navunja kila nguvu za giza Amina.
Amen ,tulinde bwana usiku wote wa leo
Mungu naomba nisadie katika usiku huu
Mungu anitetee mm na familia yangu katika jina la yesu kristo Amen
Asante sana barikiwa sanaaaana mutumishi wa Mungu Kwa maombi
Mungu atusaidie tupate ujasili inua Imani yaku ndani mwaku Nikutumainiye tuu wewe Mungu wa kweli Mumba mbingu na inch niongoze eee Bwana
Asante sana Babaku barikiwa sanaaaana babaku Mungu akubariki sana
Ahsante mtumishi Naenda kinyume na ndoto mbaya roho za mauti ajajali ninazikataa kwa jina la YESU
Mtumishi wa Bw ubarikiwe ssns kwa sadaka yako ya maombi kwa kondoo wako kwa kweli wewe ni mwema sana
Mungu katika maombi aya ya husiku naomba uachilie neem na amani katika moyowangu ntaomba mungu uniondolee hofu ilio shikila usingizi wangu na fraha yangu nataka sasa niwe ni afraha sasa ntaomba rehema yako iwe pamoja nami katika husiku huu mkubwa ukanikomboe na kuniokoa katika shimo bovu nililo tupiwa nikatoke sasa na kuwa hulu mungu naamini kwa rehema zako kabra ata ya maombi umeshaa anza kunitendea miujiza yako namk nipo tayali kupokea miujiza yako na changamoto zangu zote nilizo kuwa napitia leo ndiyo mwisho sasa 😭😭🙏
Nikweli mungu anisaidie
Amen niombee nifunguliwe
Ubarikiwe mtumishi wa mungu maombi yako ni faraja kwangu mungu akubariki sana
Jina mahaba ananitesa mungu nimechoka sanàaa nakuja mikononi mwako amina😥😔🙏🤲
Kuwa na Iman atatoka huyo coz mm nilishakuwa na jina mahaba nilikuwa mara Kwa mara naota nafanya mapenz lakn saivi Wala haitokei Tena na mahusiano na dumu nayo
nabarikiwa sana na maombi ya huyu mtumishi
Amen mungu nimebeba mambo makubwa sanàaa shetan ananite msano na jina mahaba mungu nisaidie mm wewe ndio umenpa loho amina🙏🤲🤲🤲🤲🤲😥😥😥😔
Barikiwe sana mtumish yote unayozungumza nikweli kabisa yalishanitokea sana
Nimeani mchungaji Yaani ni kweli kabisa lakini MUNGU amesema vita vyetu si vyetu bali ni vyake 🙏🙏📖 📖 📖 🙏 📖📖
Asante mtumishi wa Mungu ubarikiwe Kwa maombi haya
Amen 🙏 mtumishi wa mungu ubarikiwe sana kwa maombi
Amen aki ukweli. Maombi. Yana sahidiya Amen mungu aku bariki sana mtu mishi wa . Mungu Amen🙏🏻🙏🏻
amina mtumsh wa mangu
Asante mtumishi kwamaombi yak ubalikiwe namungu
Asante mtumishi kwamaombi yak ubalikiwe namungu amin
Mungu akusaidie usiko wa Leo uyu
Amen Baba ubalikiwe
Ubarikiwe sana mtumishi
AMEEN
ubarikiwe Mtumishi wa Mungu 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Amen baba
Ameeeeeen ameeeeeen
Amen amen God bless you always
Amina mtumishi wa mungu mwenyezi mungu sikia maombi yangu
Aaaamen
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Amina Asante Yesu napokea
Amen mchungaji
Ameeen na Ameeeen Ameeen
Amen🙏🙏
Amen amen tunusuru yes
Amen 🙏🏽 🙏🏽🙏🏽
Amen Amen
Amen Amen 🙏
Amina baba🙏
Ameni🙏🤲
AMEN❤❤❤❤
Amen Amen Amen God bless
Amen and amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Amen 🙏 🙏
ameni🙏
Ameen
Amina
Amina 🙏
Amina.
Amen 🙏🙏🙏🙏
Amen
Amina
Amen baba
Ameen
Amen
Ameni🙏
Amen
Amen
Amen 🙏