Nafuta maneno yote mabaya niliyojitamkia niliyowatamkia watoto wangu na ndugu zangu na yote tuliyotamkiwa na adui zetu nayafuta kwa Damu ya Yesu kristu, Amina.
Ameen nafuta maneno yote mabaya yaliotamkwa kwangu na watoto wangu iwe kwa siri au kwa wazi Nakataa kila laana iliyotamkwa kwangu na kwa watoto wangu nafuta kila maneno mabaya niliotamka kwa watoto wangu iwe kwa kujua au kutokujua ameen
Asante Bwana Yesu kwa habari njema nakushukuru Bwana Yesu kwa kufuta matamko yoyote mabaya niliyowahi kujitamkia au kutamkiwa au kuwatamkia watoto wangu nayafuta kwa damu ya Yesu iliomwagika pale msalabani ameen
Ooo Lord Thank u kwakusaidia kinywa changu kutokuwai kujitamkia hata neno moja baya ila kama kuna popote niliwai nikasahau naomba upatakase kwa damu yako yesu ❤❤
Nafuta Kila maneno mabaya yaliyotamkwa kwenye maisha yangu, hata kama nimejitamkia Mimi mwenyewe au watu wengine ninaowajua na nisiowajua nayafuta kwa Damu ya Yesu!
A prayer request to you pastor innocent..nahitaji maombi more than..maisha yangu iko hatarini😢! # pastor innocent na Siri za bibilia tearm nibebeni na maombi 😢
Nafuta maneno nilijitamkia nikiwa mdgo kwamba sitaki kuolewa nafuta Mungu niajalie siku Moja nipate mwenza wa maisha mwenye tutaishi katika njia zako n kuenenda kwa kukupendeza n tuwe n maelewano 🙏🙏🙏🙏
Ninafuta chochote nilichojitamkia mwenyewe,pia nilichotamuka Kwa watoto wangu,hatakilichotamkwa Kwa familia yangu chochote kibaya bila kujua Na hatakujua.nafuta Kwa damu YA yesu Kristo amen
Ameni naomba .tumishi uniombee kuusu mausiano yangu yamekuwq ni yenye mateso san kila mwanaume akitaka kunowa anapotea mazim nisaidiye mtumishi nimechoka zambi ya uzinzi naitaji niishi kwaamani na familiya
Amen amen asante yesu.asante mungu kwakuniweka Salama pamoja Na kilakitu changu mikononi mwako.ubarikiwe sana mtumishi Kwa Haya mafundisho roho mtakatifu alioachilia kwako.
AMEN AMEN,nafuta kila maneno mabaya yaliyotamkwa juu yangu iwe kwa kujuwa au kwa kutokujuwa,iwe na ninaowafaham au nisiowafaham kwa mamlaka ya jina la YESU KRISTO WANAZALETI 🙏🙏
Ameeen 🙏🙏, barikiwa sana mtumishi wa Mungu 🙏🙏..am so much blessed through your teachings and prayers... your teachings strengthens my Faith day by day I thank God for everything 🙏🙏🙏
Hii ujumbe ni yangu kabisa nikiwa mdogo mamaangu aliniambia nitaoleka mboma kumi akuna pahali nitaioleka nikae saai nimeoleka mbona ya inne niko na watoto wa inne kila mtoto na babaake kwa saai niko na watoto wangu sina mwanaume nikipata mtu anipeleke kwao alfu aende kwetu nikipata mtoto tunaashana natoka sikai uko saai ndio mamaangu anasema aliongea lakini akuwa anajua itatendeka kupitia hii maombi laana nilitamkiwa sikatoke kwa njina la yesu 🙏🙏🙏🙏
Amina lakini nilikuwa naomba ushauri, Kuna kipindi nilikuwa naokot ela shilling 10000 na ni kila baad ya miaka miwili au mitatu lazima nikote. Ina maana gani?? had hapa nilipo nimetafta kazi mpaka nimechokaa sipat hata mahusiano yenyewe ni ngumu kwanguuu, na kuota upo sehemu unakuta Kuna mtu anafanya kazi ya mgahawa lakini kwenye sufuria la wali unakutana na ela na mala y pili niliota chini y karai Kuna miambili ko selewi an mtumishi wa mungu nisaidieni
Amen and Amen Nakataa maneno yaliotamkwa juu yangu kwajina kuu Yesu Kristo aliehai na imekuwa
Nakataa habari mbaya kwenye ndoa yangu katika jina la yesu 🙏
Wuuui Mungu wangu Mungu wa mathambau ya esiri za bibilia nisamehe
MUNGU NI MWEMA SANA HALLELUYAH AMETUEPUSHA SIKU YA JANA NA AJALI MBAYA SANA 🙏🙏 NAMSHUKURU SANA MUNGU
Naji uganisha na haya mambi katika jina la Yesu kristo
Naomba maneno yote yaliyotamkwa kwangu kwa watoto wangu yote mabaya yafutwe kwa damu yayesu
nakataa kila taarafa mbaya katika jina la yesu
Nafuta maneno yote mabaya niliyojitamkia niliyowatamkia watoto wangu na ndugu zangu na yote tuliyotamkiwa na adui zetu nayafuta kwa Damu ya Yesu kristu, Amina.
Amen,Asante YESU🙏
Huenda niisingeuza Leo kwenye biashara yangu,,,,ila MUNGU amenipa wateja,,, asante yesu
nakushukuru Mungu wangu asante
Natangaza habari njema katika uzao wangu. Amen
Amen mtumishi barikiwa sana mtumishi wa Yesu
Ameen mtumishi
Amen amen amen🙏🙏🙏🙏
Amina mtumishi wa mungu
Here's mungu nijalie nisimame na wewe mungu
Ahsante mungu kwakunikomboa mm pamoja nafamilia yangu..hakunatena habalimbaya kwajina layesu amina
Ameen nafuta maneno yote mabaya yaliotamkwa kwangu na watoto wangu iwe kwa siri au kwa wazi Nakataa kila laana iliyotamkwa kwangu na kwa watoto wangu nafuta kila maneno mabaya niliotamka kwa watoto wangu iwe kwa kujua au kutokujua ameen
Huyo ni mimi huwa ata najitamukiya mwenyewe 😢eeee mungu Asante kwa neno lako🙏🙏🙏🙏
Âmen Amen bwana yesu asifiwe
Ameeeen Ameeen mtumishi barikiwa sana😊
Asante Mungu wangu
Asante Bwana Yesu kwa habari njema nakushukuru Bwana Yesu kwa kufuta matamko yoyote mabaya niliyowahi kujitamkia au kutamkiwa au kuwatamkia watoto wangu nayafuta kwa damu ya Yesu iliomwagika pale msalabani ameen
Mungu akubariki mtumishi umenivusha kupitia haya maombi nimetambua ctakiwi kutamka kitu chochote kilicho kibaya kwenye familia yangu
Asante roho mtakatifu
Amen Amen mafuta rahana sote nilitamukiwa na andui zangu in Jesus name
Shalom Nimebarikiwa Mno 🙏
Amen 🙏
Amen in jesus
Ninakataa kila matamshi juu yangu watoto wangu waliotamka yashidwe kwajina la Yesu maneon makari kiywani mwangu yashidwe
Nafuta kila habari mbaya kwamba sitafaulu yashindwe kwajina layesu nipate kibali kwa damu yayesu kristo 🙌
Ameeeeeen natangaza habari njema kwenye maisha yangu na watoto wangu, ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu 🙏🙏
Ooo Lord Thank u kwakusaidia kinywa changu kutokuwai kujitamkia hata neno moja baya ila kama kuna popote niliwai nikasahau naomba upatakase kwa damu yako yesu ❤❤
Amen
🎉 Amina
Aaaaaamiiina
Amen barikowa sana mutumshi wamungu nashuru sana
Amina Mungu akubari Mtumishi
Narudi nyumbani kwa jina la Yesu
Nafuta maneno mabaya Kwa jina la yesuuu kristu
Ubarukiwe sana mtumishi,
God 👏
Amen Amen and Amen
Amen and Amen 🙏🙏🙏
Nakwenda kufuta kila laaana ya maneno katika jina la yesuu.
Ee mungu wangu nahomba unihondolee maneno yote waliyo nitamukiya
BWANA YESU ni mwema SANA siku zote ana HABARI NJEMA kwetu.Habari mbaya tunazifuta kwa Damu ya YESU KRISTO.❤❤❤❤❤
Ee Mungu nilinde na maneno ya nayo tamkwa kinyume na mapenzi yako
Amen and Amen
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Aman amen
Ameen hakika nimepona
Amina kubwa
Nikweli kabisa dada yangu alinitamkia maneno mabaya na yamenikuta kweli na yananitesa sana
Amina nabarikiwa sana
Nafuta Kila maneno mabaya yaliyotamkwa kwenye maisha yangu, hata kama nimejitamkia Mimi mwenyewe au watu wengine ninaowajua na nisiowajua nayafuta kwa Damu ya Yesu!
Ameen
Amina naamin nimepokea kwa jina la yesu wa nazareti AMENI🙏
Asante bwana hata kwa kunikumbusha
Ameni
Ameen barikiwa sana
Nazuia bahati mbaya zisitokee
Yote yenye wazazi wangu walinitamkia ninaikataa nakuifuta na damu ya Yesu kristo in Jesus name amen,amen🙏🙏🙏🙏mtumishi Mungu akubariki.
A prayer request to you pastor innocent..nahitaji maombi more than..maisha yangu iko hatarini😢! # pastor innocent na Siri za bibilia tearm nibebeni na maombi 😢
Ameeeen and Ameeeen
Ps 31:15
Emeeen
Nafuta maneno nilijitamkia nikiwa mdgo kwamba sitaki kuolewa nafuta Mungu niajalie siku Moja nipate mwenza wa maisha mwenye tutaishi katika njia zako n kuenenda kwa kukupendeza n tuwe n maelewano 🙏🙏🙏🙏
Nafta maneno niliyo jitamkia na niliyotamkiwa ka tamu ya yesu ameni
Nafuta maneno yote mabaya niliyo tamkiwa mimi na familia yangu ktk JINA LA YESU
🤲🤲 amen and ameeen
Amen 😊
Baba yangu na ndugu zangu wanatamka maneno mabaya kuhusu kipato changu na ndoa yangu oi pasta niombee
Jamani wazazi,,,,,maneno Yana nguvu,,,,tunene mazuri jamani
Nafuta maneno yote mabaya niliyojitamkia mm mwenyewe au na mtu mwingine /au kuwatamkia wanangu ktk Jina la YESU KRISTO aliye Hai ! Ameen 🔥🔥🔥
Ninafuta chochote nilichojitamkia mwenyewe,pia nilichotamuka Kwa watoto wangu,hatakilichotamkwa Kwa familia yangu chochote kibaya bila kujua Na hatakujua.nafuta Kwa damu YA yesu Kristo amen
🙏🙏🙏🙏
AMEN 🙏 AMEN be blessed
Ameni naomba .tumishi uniombee kuusu mausiano yangu yamekuwq ni yenye mateso san kila mwanaume akitaka kunowa anapotea mazim nisaidiye mtumishi nimechoka zambi ya uzinzi naitaji niishi kwaamani na familiya
Àmen
Amen amen mtumishi,damu ya yesu inisafishe na mimi
🤲🤲🙏🙏
Amen amen asante yesu.asante mungu kwakuniweka Salama pamoja Na kilakitu changu mikononi mwako.ubarikiwe sana mtumishi Kwa Haya mafundisho roho mtakatifu alioachilia kwako.
Thank you Lord
Maneno yote niliyotamka kwa kinywa changu n wengine ninafuta kwa damu ya YESU KRISTO 🙏
Maneno yaliyotamkwa kinyume na mapenzi yako juu yangu ninayafuta kwa damu ya Yesu
Asante Yesu kwa kutukomboa na watoto wangu. Amen Amen Amen Lord Amen
AMEN AMEN,nafuta kila maneno mabaya yaliyotamkwa juu yangu iwe kwa kujuwa au kwa kutokujuwa,iwe na ninaowafaham au nisiowafaham kwa mamlaka ya jina la YESU KRISTO WANAZALETI 🙏🙏
Amen mtumishi kwa somo zuri.nakwenda kufuta kila matamko niliyosema. na kusemewa na watu wabaya katika jina la yesu nisaidie yesu Amen.
Vunja taking njila yesu
Nafuta kila nilichokitamka na nilichotamkiwa na mtu yeyote kibaya Kwa damu ya yesu kristu🙏🙏
Ameeeeen ninatamka Baraka in Jesus name
Ameeen 🙏🙏, barikiwa sana mtumishi wa Mungu 🙏🙏..am so much blessed through your teachings and prayers... your teachings strengthens my Faith day by day I thank God for everything 🙏🙏🙏
It's my pleasure @LINET
@@sirizabiblia5276 be blessed mtumishi wa Mungu 🙏🙏
Shalom and Amen 🙏 🙌 👏
Power in prayers those know God 🙏
Hii ujumbe ni yangu kabisa nikiwa mdogo mamaangu aliniambia nitaoleka mboma kumi akuna pahali nitaioleka nikae saai nimeoleka mbona ya inne niko na watoto wa inne kila mtoto na babaake kwa saai niko na watoto wangu sina mwanaume nikipata mtu anipeleke kwao alfu aende kwetu nikipata mtoto tunaashana natoka sikai uko saai ndio mamaangu anasema aliongea lakini akuwa anajua itatendeka kupitia hii maombi laana nilitamkiwa sikatoke kwa njina la yesu 🙏🙏🙏🙏
Maneno mabaya yote yanayotamkwa kwa akili ya familia yangu mayafuta kwa jina la yesu
Amen 🙇🙇🙇🙌
Nafuta kila maneno Mabaya nilio tamka au kutamkiwa na watu nafuta kwa jina la YESU kristo wa nazaleti
Amina lakini nilikuwa naomba ushauri, Kuna kipindi nilikuwa naokot ela shilling 10000 na ni kila baad ya miaka miwili au mitatu lazima nikote. Ina maana gani?? had hapa nilipo nimetafta kazi mpaka nimechokaa sipat hata mahusiano yenyewe ni ngumu kwanguuu, na kuota upo sehemu unakuta Kuna mtu anafanya kazi ya mgahawa lakini kwenye sufuria la wali unakutana na ela na mala y pili niliota chini y karai Kuna miambili ko selewi an mtumishi wa mungu nisaidieni
Tuma meseji au piga simu, namba ipo hapo