MAOMBI YA KUZUIA HABARI MBAYA MAISHANI MWAKO // FUTA KABISA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 123

  • @LekisosionNangenoi-dz3kq
    @LekisosionNangenoi-dz3kq Год назад +1

    Amen and Amen Nakataa maneno yaliotamkwa juu yangu kwajina kuu Yesu Kristo aliehai na imekuwa

  • @kitambalazadock7078
    @kitambalazadock7078 Год назад +1

    Nakataa habari mbaya kwenye ndoa yangu katika jina la yesu 🙏

  • @anthonyjonny8427
    @anthonyjonny8427 Год назад +1

    Wuuui Mungu wangu Mungu wa mathambau ya esiri za bibilia nisamehe

  • @lilianleonard8106
    @lilianleonard8106 Год назад +6

    MUNGU NI MWEMA SANA HALLELUYAH AMETUEPUSHA SIKU YA JANA NA AJALI MBAYA SANA 🙏🙏 NAMSHUKURU SANA MUNGU

  • @pascalinakiimay462
    @pascalinakiimay462 Год назад +1

    Naji uganisha na haya mambi katika jina la Yesu kristo

  • @christinestemi1684
    @christinestemi1684 Год назад +1

    Naomba maneno yote yaliyotamkwa kwangu kwa watoto wangu yote mabaya yafutwe kwa damu yayesu

  • @MasaiTanzania-c3x
    @MasaiTanzania-c3x Год назад +1

    nakataa kila taarafa mbaya katika jina la yesu

  • @edithaabel7858
    @edithaabel7858 Год назад +1

    Nafuta maneno yote mabaya niliyojitamkia niliyowatamkia watoto wangu na ndugu zangu na yote tuliyotamkiwa na adui zetu nayafuta kwa Damu ya Yesu kristu, Amina.

  • @magdalenacharles8833
    @magdalenacharles8833 Год назад +1

    Amen,Asante YESU🙏

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Год назад +12

    Huenda niisingeuza Leo kwenye biashara yangu,,,,ila MUNGU amenipa wateja,,, asante yesu

  • @gracekunambi7438
    @gracekunambi7438 Год назад +2

    Natangaza habari njema katika uzao wangu. Amen

  • @HAPPYNESMSONDE
    @HAPPYNESMSONDE Месяц назад

    Amen mtumishi barikiwa sana mtumishi wa Yesu

  • @aminajuma1156
    @aminajuma1156 Год назад +1

    Ameen mtumishi

  • @Sabinajosephndunguru-xq9lc
    @Sabinajosephndunguru-xq9lc Год назад +1

    Amen amen amen🙏🙏🙏🙏

  • @emmahmaclean1175
    @emmahmaclean1175 Год назад +1

    Amina mtumishi wa mungu

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 5 месяцев назад

    Here's mungu nijalie nisimame na wewe mungu

  • @upendovicent5376
    @upendovicent5376 Год назад +1

    Ahsante mungu kwakunikomboa mm pamoja nafamilia yangu..hakunatena habalimbaya kwajina layesu amina

  • @UpendoMtunguja
    @UpendoMtunguja 2 месяца назад

    Ameen nafuta maneno yote mabaya yaliotamkwa kwangu na watoto wangu iwe kwa siri au kwa wazi Nakataa kila laana iliyotamkwa kwangu na kwa watoto wangu nafuta kila maneno mabaya niliotamka kwa watoto wangu iwe kwa kujua au kutokujua ameen

  • @user-sarah1sarah
    @user-sarah1sarah Год назад +1

    Huyo ni mimi huwa ata najitamukiya mwenyewe 😢eeee mungu Asante kwa neno lako🙏🙏🙏🙏

  • @gracerashidi-z8u
    @gracerashidi-z8u 8 месяцев назад

    Âmen Amen bwana yesu asifiwe

  • @beatricetumaini6364
    @beatricetumaini6364 Год назад +1

    Ameeeen Ameeen mtumishi barikiwa sana😊

  • @KishaVerus
    @KishaVerus 5 месяцев назад

    Asante Mungu wangu

  • @dollamtui5849
    @dollamtui5849 Год назад

    Asante Bwana Yesu kwa habari njema nakushukuru Bwana Yesu kwa kufuta matamko yoyote mabaya niliyowahi kujitamkia au kutamkiwa au kuwatamkia watoto wangu nayafuta kwa damu ya Yesu iliomwagika pale msalabani ameen

  • @BernadethaChigenda-pz5vn
    @BernadethaChigenda-pz5vn Год назад +2

    Mungu akubariki mtumishi umenivusha kupitia haya maombi nimetambua ctakiwi kutamka kitu chochote kilicho kibaya kwenye familia yangu

  • @shazzysymon6835
    @shazzysymon6835 Год назад +1

    Asante roho mtakatifu

  • @annnziu6809
    @annnziu6809 Год назад

    Amen Amen mafuta rahana sote nilitamukiwa na andui zangu in Jesus name

  • @judithmkodo6892
    @judithmkodo6892 Год назад +1

    Shalom Nimebarikiwa Mno 🙏

  • @jemimahkarauki-ho8db
    @jemimahkarauki-ho8db Год назад +1

    Amen 🙏

  • @lydiab495
    @lydiab495 Год назад +1

    Amen in jesus

  • @janehabakuki4564
    @janehabakuki4564 Год назад +1

    Ninakataa kila matamshi juu yangu watoto wangu waliotamka yashidwe kwajina la Yesu maneon makari kiywani mwangu yashidwe

  • @christinestemi1684
    @christinestemi1684 Год назад +1

    Nafuta kila habari mbaya kwamba sitafaulu yashindwe kwajina layesu nipate kibali kwa damu yayesu kristo 🙌

  • @irinenjombo3368
    @irinenjombo3368 7 месяцев назад

    Ameeeeeen natangaza habari njema kwenye maisha yangu na watoto wangu, ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu 🙏🙏

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica3318 Год назад +4

    Ooo Lord Thank u kwakusaidia kinywa changu kutokuwai kujitamkia hata neno moja baya ila kama kuna popote niliwai nikasahau naomba upatakase kwa damu yako yesu ❤❤

  • @maurindeus
    @maurindeus Год назад +1

    Amen

  • @MasaiTanzania-c3x
    @MasaiTanzania-c3x Год назад +1

    🎉 Amina

  • @furahahonorine8055
    @furahahonorine8055 Год назад +1

    Aaaaaamiiina

  • @RehemaNzeyimana-j1k
    @RehemaNzeyimana-j1k Год назад

    Amen barikowa sana mutumshi wamungu nashuru sana

  • @sabinaleonce8243
    @sabinaleonce8243 Год назад

    Amina Mungu akubari Mtumishi

  • @alicethobias932
    @alicethobias932 9 месяцев назад

    Narudi nyumbani kwa jina la Yesu

  • @DativaAssey-lo3hn
    @DativaAssey-lo3hn 4 месяца назад

    Nafuta maneno mabaya Kwa jina la yesuuu kristu

  • @domingosj
    @domingosj 10 месяцев назад

    Ubarukiwe sana mtumishi,

  • @veronicajohn2705
    @veronicajohn2705 Год назад +1

    God 👏

  • @dianacute2836
    @dianacute2836 Год назад

    Amen Amen and Amen

  • @ElizabethAkinyi-ox7rf
    @ElizabethAkinyi-ox7rf Год назад +4

    Amen and Amen 🙏🙏🙏

  • @gabrielhonlat4043
    @gabrielhonlat4043 Год назад

    Nakwenda kufuta kila laaana ya maneno katika jina la yesuu.

  • @MarieMakiwa
    @MarieMakiwa 3 месяца назад

    Ee mungu wangu nahomba unihondolee maneno yote waliyo nitamukiya

  • @everlynkilimba3963
    @everlynkilimba3963 Год назад +3

    BWANA YESU ni mwema SANA siku zote ana HABARI NJEMA kwetu.Habari mbaya tunazifuta kwa Damu ya YESU KRISTO.❤❤❤❤❤

  • @MarieMakiwa-f9j
    @MarieMakiwa-f9j 6 месяцев назад

    Ee Mungu nilinde na maneno ya nayo tamkwa kinyume na mapenzi yako

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 Год назад

    Amen and Amen

  • @JosephineChondo
    @JosephineChondo Год назад

    Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @eliapendakiondo9229
    @eliapendakiondo9229 11 месяцев назад

    Aman amen

  • @mariamakunga8808
    @mariamakunga8808 11 месяцев назад

    Ameen hakika nimepona

  • @nurundumo7587
    @nurundumo7587 9 месяцев назад

    Amina kubwa

  • @joyceshiyo7257
    @joyceshiyo7257 Год назад +1

    Nikweli kabisa dada yangu alinitamkia maneno mabaya na yamenikuta kweli na yananitesa sana

  • @nurundumo7587
    @nurundumo7587 9 месяцев назад

    Amina nabarikiwa sana

  • @happinessmtitu4485
    @happinessmtitu4485 Год назад +1

    Nafuta Kila maneno mabaya yaliyotamkwa kwenye maisha yangu, hata kama nimejitamkia Mimi mwenyewe au watu wengine ninaowajua na nisiowajua nayafuta kwa Damu ya Yesu!

  • @happinessmtitu4485
    @happinessmtitu4485 Год назад

    Ameen

  • @rithamalisa4636
    @rithamalisa4636 Год назад +1

    Amina naamin nimepokea kwa jina la yesu wa nazareti AMENI🙏

  • @CalistaShayo-sy7pg
    @CalistaShayo-sy7pg Год назад

    Asante bwana hata kwa kunikumbusha

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 2 месяца назад

    Ameni

  • @abigaelmwadena2262
    @abigaelmwadena2262 Год назад

    Ameen barikiwa sana

  • @DoraTemba
    @DoraTemba 2 месяца назад

    Nazuia bahati mbaya zisitokee

  • @emilywamalwa5938
    @emilywamalwa5938 Год назад +1

    Yote yenye wazazi wangu walinitamkia ninaikataa nakuifuta na damu ya Yesu kristo in Jesus name amen,amen🙏🙏🙏🙏mtumishi Mungu akubariki.

  • @margaretmumby2411
    @margaretmumby2411 8 месяцев назад

    A prayer request to you pastor innocent..nahitaji maombi more than..maisha yangu iko hatarini😢! # pastor innocent na Siri za bibilia tearm nibebeni na maombi 😢

  • @perisriziki1592
    @perisriziki1592 Год назад

    Ameeeen and Ameeeen

  • @blessedmajojojo387
    @blessedmajojojo387 Год назад

    Ps 31:15

  • @alicemwaka3762
    @alicemwaka3762 Год назад

    Emeeen

  • @joycepatofondo
    @joycepatofondo Год назад +2

    Nafuta maneno nilijitamkia nikiwa mdgo kwamba sitaki kuolewa nafuta Mungu niajalie siku Moja nipate mwenza wa maisha mwenye tutaishi katika njia zako n kuenenda kwa kukupendeza n tuwe n maelewano 🙏🙏🙏🙏

  • @sharifamakasy6087
    @sharifamakasy6087 Год назад

    Nafta maneno niliyo jitamkia na niliyotamkiwa ka tamu ya yesu ameni

  • @OrestaLuambano-bh8gp
    @OrestaLuambano-bh8gp Год назад

    Nafuta maneno yote mabaya niliyo tamkiwa mimi na familia yangu ktk JINA LA YESU

  • @tatusaid3934
    @tatusaid3934 Год назад

    🤲🤲 amen and ameeen

  • @francoise17
    @francoise17 Год назад

    Amen 😊

  • @AnnaKosta-e1v
    @AnnaKosta-e1v 3 месяца назад

    Baba yangu na ndugu zangu wanatamka maneno mabaya kuhusu kipato changu na ndoa yangu oi pasta niombee

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Год назад +1

    Jamani wazazi,,,,,maneno Yana nguvu,,,,tunene mazuri jamani

  • @annagodwin412
    @annagodwin412 Год назад +1

    Nafuta maneno yote mabaya niliyojitamkia mm mwenyewe au na mtu mwingine /au kuwatamkia wanangu ktk Jina la YESU KRISTO aliye Hai ! Ameen 🔥🔥🔥

  • @marymaria6544
    @marymaria6544 Год назад

    Ninafuta chochote nilichojitamkia mwenyewe,pia nilichotamuka Kwa watoto wangu,hatakilichotamkwa Kwa familia yangu chochote kibaya bila kujua Na hatakujua.nafuta Kwa damu YA yesu Kristo amen

  • @LazaroMollel-zw2of
    @LazaroMollel-zw2of Год назад

    🙏🙏🙏🙏

  • @florencekwekwe1993
    @florencekwekwe1993 Год назад +1

    AMEN 🙏 AMEN be blessed

  • @GressGress-fd9xl
    @GressGress-fd9xl 3 месяца назад

    Ameni naomba .tumishi uniombee kuusu mausiano yangu yamekuwq ni yenye mateso san kila mwanaume akitaka kunowa anapotea mazim nisaidiye mtumishi nimechoka zambi ya uzinzi naitaji niishi kwaamani na familiya

  • @esthercharo695
    @esthercharo695 11 месяцев назад

    Àmen

  • @FaidaWilly-du8ts
    @FaidaWilly-du8ts Год назад

    Amen amen mtumishi,damu ya yesu inisafishe na mimi

  • @pendomosha1469
    @pendomosha1469 Год назад

    🤲🤲🙏🙏

  • @marymaria6544
    @marymaria6544 Год назад

    Amen amen asante yesu.asante mungu kwakuniweka Salama pamoja Na kilakitu changu mikononi mwako.ubarikiwe sana mtumishi Kwa Haya mafundisho roho mtakatifu alioachilia kwako.

  • @margaretmumby2411
    @margaretmumby2411 Год назад +3

    Thank you Lord

  • @rosemaryowory5710
    @rosemaryowory5710 Год назад +1

    Maneno yote niliyotamka kwa kinywa changu n wengine ninafuta kwa damu ya YESU KRISTO 🙏

  • @naryzmalilo571
    @naryzmalilo571 Год назад +6

    Maneno yaliyotamkwa kinyume na mapenzi yako juu yangu ninayafuta kwa damu ya Yesu

  • @edinahmasea1603
    @edinahmasea1603 Год назад +2

    Asante Yesu kwa kutukomboa na watoto wangu. Amen Amen Amen Lord Amen

  • @IsabelMazik-r4t
    @IsabelMazik-r4t Год назад +4

    AMEN AMEN,nafuta kila maneno mabaya yaliyotamkwa juu yangu iwe kwa kujuwa au kwa kutokujuwa,iwe na ninaowafaham au nisiowafaham kwa mamlaka ya jina la YESU KRISTO WANAZALETI 🙏🙏

  • @gabrielhonlat4043
    @gabrielhonlat4043 Год назад

    Amen mtumishi kwa somo zuri.nakwenda kufuta kila matamko niliyosema. na kusemewa na watu wabaya katika jina la yesu nisaidie yesu Amen.

  • @MedrineAnyango
    @MedrineAnyango 2 месяца назад

    Vunja taking njila yesu

  • @mosesmaganga1548
    @mosesmaganga1548 Год назад

    Nafuta kila nilichokitamka na nilichotamkiwa na mtu yeyote kibaya Kwa damu ya yesu kristu🙏🙏

  • @sharonatienoolweny
    @sharonatienoolweny Год назад

    Ameeeeen ninatamka Baraka in Jesus name

  • @linet6663
    @linet6663 Год назад +1

    Ameeen 🙏🙏, barikiwa sana mtumishi wa Mungu 🙏🙏..am so much blessed through your teachings and prayers... your teachings strengthens my Faith day by day I thank God for everything 🙏🙏🙏

    • @sirizabiblia5276
      @sirizabiblia5276  Год назад

      It's my pleasure @LINET

    • @linet6663
      @linet6663 Год назад

      @@sirizabiblia5276 be blessed mtumishi wa Mungu 🙏🙏

  • @liddydeSalt4773
    @liddydeSalt4773 Год назад +1

    Shalom and Amen 🙏 🙌 👏

  • @gukawafly
    @gukawafly Год назад +1

    Power in prayers those know God 🙏

  • @dorisbernard4836
    @dorisbernard4836 4 месяца назад

    Hii ujumbe ni yangu kabisa nikiwa mdogo mamaangu aliniambia nitaoleka mboma kumi akuna pahali nitaioleka nikae saai nimeoleka mbona ya inne niko na watoto wa inne kila mtoto na babaake kwa saai niko na watoto wangu sina mwanaume nikipata mtu anipeleke kwao alfu aende kwetu nikipata mtoto tunaashana natoka sikai uko saai ndio mamaangu anasema aliongea lakini akuwa anajua itatendeka kupitia hii maombi laana nilitamkiwa sikatoke kwa njina la yesu 🙏🙏🙏🙏

  • @dariageorge1448
    @dariageorge1448 Год назад

    Maneno mabaya yote yanayotamkwa kwa akili ya familia yangu mayafuta kwa jina la yesu

  • @user-sarah1sarah
    @user-sarah1sarah Год назад

    Amen 🙇🙇🙇🙌

  • @cobtechgiants
    @cobtechgiants Год назад +1

    Nafuta kila maneno Mabaya nilio tamka au kutamkiwa na watu nafuta kwa jina la YESU kristo wa nazaleti

  • @JoannaWilliam-gw8fy
    @JoannaWilliam-gw8fy Год назад

    Amina lakini nilikuwa naomba ushauri, Kuna kipindi nilikuwa naokot ela shilling 10000 na ni kila baad ya miaka miwili au mitatu lazima nikote. Ina maana gani?? had hapa nilipo nimetafta kazi mpaka nimechokaa sipat hata mahusiano yenyewe ni ngumu kwanguuu, na kuota upo sehemu unakuta Kuna mtu anafanya kazi ya mgahawa lakini kwenye sufuria la wali unakutana na ela na mala y pili niliota chini y karai Kuna miambili ko selewi an mtumishi wa mungu nisaidieni