MAOMBI YA KUVUNJA MADHABAHU | MAOMBI YA UKOMBOZI | USIPITE MAOMBI HAYA MAOMBI NI DAWA.Maombi ya moto

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025

Комментарии • 296

  • @BettyTegulo
    @BettyTegulo Месяц назад +2

    Mchungaji MUNGU Akubariki sana naomba maombi uniombee

  • @SeifJuma-yt1pk
    @SeifJuma-yt1pk 9 месяцев назад +32

    Mchungaji nitakutafuta uniombee kuna vitu vinanisumbua kwenye mwili nyayo na kichwa mwili mzima na pesazangu hazikai

  • @StewartStewart-k2o
    @StewartStewart-k2o 11 часов назад

    Asanteeee mungu akubaliki mchungaji kwa maombi yako naamini napokea ushindi mkubwa katika jina la yesu mkombozi

  • @KasondeRobert-d9d
    @KasondeRobert-d9d 17 дней назад +1

    Maombi ni dawa, napoleya kwa njiya la yesu Amina🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏♥️

  • @janemusali
    @janemusali 8 месяцев назад +14

    Naomba maisha ya watoto wangu yabadilike

  • @Christianchazinho
    @Christianchazinho 3 месяца назад +2

    Naomba Kutendewa kumbolewa na Damu ya Yesu kristo nakataa laana mikosi kufeli katika jina la yesu kristo Amen 🙏

  • @MillyKhasoa
    @MillyKhasoa 11 дней назад

    Najiunganisha na mathabau ya mungu naomba unifungue tumbo langu kizazi changu uzao wangu watoto wangu kirahisi katika jina la yesu cristo amen 🙏 🙌 👏

  • @Mwx-zd4ov
    @Mwx-zd4ov Месяц назад

    Yesu naomba unikumbuke pamoja na watoto wangu kila madhabahu yote yaliyo kinyume na maisha yetu yavunjike kwa damu ya yesu

    • @margaretwanza5827
      @margaretwanza5827 29 дней назад

      Paster kazi mzuri sana uniombee nafamilia ya ngu

  • @JedidaKitonga
    @JedidaKitonga 6 месяцев назад +2

    Amen kupitia maombi yko imani yangu imepanda.

  • @clarisumazi
    @clarisumazi Месяц назад +1

    Amen amen ubarikiwe Sana mumishi kwa hii huduma

  • @brigitamichael7569
    @brigitamichael7569 16 дней назад

    Amina hakika mbele ya mungu hakuna kinacho shindikana ❤ubarikiwi mchungungaji

  • @MillyKhasoa
    @MillyKhasoa Месяц назад

    Nakataa ufalme wa kizaa kusimama kwa maisha yangu katika jina la yesu cristo amen 🙏

  • @monicadittu2554
    @monicadittu2554 4 месяца назад +1

    Yesu ni msaada wangu maombi haya yanangu nyingi nimepokea uponyaji

  • @mohamedmohanef1839
    @mohamedmohanef1839 Месяц назад

    Mungu wangu simama na mmi nafamily yangu kwajina la yesu Amen

  • @uoendokivuyo6589
    @uoendokivuyo6589 7 месяцев назад +2

    Asante Mungu uwakomboe watoto wangu na madhabahu

  • @LindaNdikumana
    @LindaNdikumana 8 месяцев назад +2

    Amen Amen Amen Amen baba napokea ukombozi wa mungu ndani ya maisha yangu kwa jina la yesu kristo 🔥🔥🔥🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 8 месяцев назад +3

    Aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa napokea Kwa jina la Yesu Kristo hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah ❤❤❤

  • @TheresiaZimlinda-x4f
    @TheresiaZimlinda-x4f 9 месяцев назад +2

    Amen napokea kufunguliwa kila kona kwenye maisha yangu na watoto wangu,na kuongezeka uzao wangu amen

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 8 месяцев назад +4

    Oooooh Yesu unaweza yote mwokonzi wetu Kristo Yesu Kristo hallelujah hallelujah

    • @Josephine-u7y
      @Josephine-u7y 8 месяцев назад

      Maombi ni dawa

    • @Josephine-u7y
      @Josephine-u7y 8 месяцев назад

      Mchungaji ninaomba uniombee kichwa yangu inauma Kila wakati na tumbo mara nyingine na sikia kama nimechanganyikiwa pia nasikua kizunguzungu

  • @ShellaPuis-x6h
    @ShellaPuis-x6h Месяц назад

    Maombi yako mchngajii Godwin Yana nguvu 🙏🙏🙏

  • @maureenmgeni
    @maureenmgeni 9 месяцев назад +2

    Amina na Amina. Nimekombelewa kwa damu ya Yesu. Amina.

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 6 месяцев назад +1

    Alelluyah alelluyah blessed barikiwa sanaaaana mutumishi wa Mungu sifa na utukufu simurudiye Mungu WA Mungu

  • @ambindwilemary3010
    @ambindwilemary3010 7 месяцев назад +2

    Mungu akubariki sana mchungaji. Nimekuwa nakufuatilia na napata mpenyo

  • @اال-خ2ت
    @اال-خ2ت 9 месяцев назад +2

    ANN INGA BI Amen mm nabata maombi. Niki wa saudia. asante. Baba Ya ngu. Waroho Na shu kuru Amen 🙏🙏🏻🙏🙏🏻🇰🇪

  • @victoriamwashungula
    @victoriamwashungula 2 месяца назад

    Nashukuru mchungaji kwa maombi Yako yananisaidia

  • @Oman-s7f8u
    @Oman-s7f8u Месяц назад

    Amina ubalikiwe sana mtumishi

  • @monicahkariuki7926
    @monicahkariuki7926 20 дней назад

    Nimefunguliwa kwa Jina kuu la Yesu Amen

  • @bahatichenje6224
    @bahatichenje6224 8 месяцев назад +1

    U connect my kids to this prayers in Jesus name Amen

  • @AgiAggi-my6yh
    @AgiAggi-my6yh 4 месяца назад

    Naomba Mungu akaniondolee hii roho ya hofu na kuota ndoto na kusaau na ninapo soma neno na ninasaau naomba Mungu akanifunguwe na akanirejeshee ufahamu

  • @LindaNdikumana
    @LindaNdikumana 8 месяцев назад +1

    Amen Amen baba mtumishi mungu azidi kukuweka dahima amin baba 🙏🏻🙏🏻

    • @ZeituniJumanne
      @ZeituniJumanne 4 месяца назад

      Maombi ni dawa

    • @ZeituniJumanne
      @ZeituniJumanne 4 месяца назад

      Ameen baba nimebarikiwa na maombi mungu akubariki sana unapoendelea kutufungua kutoka kwenye vifungo

  • @tamariamisi3540
    @tamariamisi3540 9 месяцев назад +2

    Askante sana mutumishi kwa maomaombi ya ukombozi mungu anikomboe nauzao wangu na familia yangu amen

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 6 месяцев назад +1

    Asante sana Yesu nisaindie mwokonzi wetu nibungue Kwa jina lako Yesu Kristo wanasareti

  • @VictorineBarakamfitiye
    @VictorineBarakamfitiye 16 дней назад

    Yesu n'a homba unikumbuke mimi na watoto wangu tukombowe

  • @Moureenegeiza
    @Moureenegeiza 5 месяцев назад +1

    Amen Amen 🙏🙏🙏,damu ya yesu kristo tukomboe mm na familia yangu

  • @vickybarakamfitiye5227
    @vickybarakamfitiye5227 8 месяцев назад +4

    Ninahomba munisaidie katika maisha ya wabinti wangu wafunguriwe kwa jina rayesu ❤

    • @Josephine-u7y
      @Josephine-u7y 8 месяцев назад

      Maombi ni dawa ninaombamunisaidie katika maisha yangu na watoto wangu wote na wajukuu wangu ninapitia maisha mangu sana pamoja na watoto wangu

    • @Josephine-u7y
      @Josephine-u7y 8 месяцев назад

      Maombi ni dawa

    • @TheresiaNjau
      @TheresiaNjau 3 месяца назад

      Theresia naombaMaombi nidawa naomba mambi

  • @chances-x1984
    @chances-x1984 5 месяцев назад

    Mchungaji mungu akubariki, nakuwa apa goma D.R. Congo.

  • @jacklinejuma-bo7zj
    @jacklinejuma-bo7zj Месяц назад

    Nadai ushindi kwenye maisha yangu amen

  • @DivinahNyambeki
    @DivinahNyambeki 6 месяцев назад +1

    Asante sana mchungaji kwa maombi na Mungu azidi kukutumia

  • @GomelliaNgoie
    @GomelliaNgoie 5 месяцев назад

    Amen mungu afungue bilivyo fugwa ndani ya nyumba yangu

  • @sekerasanga264
    @sekerasanga264 8 месяцев назад +3

    Kupitia Maombi haya naomba Mungu amfungue mtoto wangu maana ibilisi anamtesa ameni.

  • @mgdleenknzo9297
    @mgdleenknzo9297 Месяц назад

    Amen amen 🙏🙏🙏 nimefunguliwa kwa jina la yesu

  • @CandyKenya-p8g
    @CandyKenya-p8g 3 месяца назад

    Mombi ni silana kubwa kutoka Mbn guni🙏🙏🙏🙏

  • @JoyceJohn199
    @JoyceJohn199 3 месяца назад +1

    Mungu wangu simama na family yangu kwa jina la yesu amen 🙏

  • @MarieMakiwa
    @MarieMakiwa 3 месяца назад

    Amen na amini Nita kombolewa kwa Jina la Yesu

  • @nginqKanunga
    @nginqKanunga 8 месяцев назад +1

    Nashukuru sana kwa maombi yko mtumishi wa mungu

  • @JosphineMwasame
    @JosphineMwasame 3 месяца назад +1

    Amen 🙏 ushindi mungu amen 🙏❤

  • @JeliahMoraa-f7u
    @JeliahMoraa-f7u 12 дней назад

    Amen barikiwa sana mchungaji🙏🙏

  • @RaphaeleugeneNgoma-pk5cm
    @RaphaeleugeneNgoma-pk5cm 3 месяца назад

    Amina baba kilaana itoke kwajina layesu🎉

  • @ChristinaNtilakigwa
    @ChristinaNtilakigwa 5 месяцев назад +9

    Mungu naomba utemberee familia yangu 1:19

    • @ChristinaNtilakigwa
      @ChristinaNtilakigwa 5 месяцев назад +1

      Naomba utemberee familia yamgu pomoja na Nazi zangu6

  • @MagrethPaul-p9j
    @MagrethPaul-p9j Месяц назад

    Amina nimekombolea naisi Amani moyoni mwangu

  • @RoseMunuo-f9j
    @RoseMunuo-f9j 9 месяцев назад +1

    Ameen Pastor, wakati wakusali nimekohoa sanaa naamin nimekombolewa.Mungu wa mbinguni azid kukubariki 🙏

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 6 месяцев назад

    Asande sana mutumishi wa Mungu barikiwa sanaaaana

  • @DorethMselem
    @DorethMselem Месяц назад

    Mchungaji unanibariki sana Amen

  • @stacymwesh-xg9lx
    @stacymwesh-xg9lx 6 месяцев назад

    Ee mungu naomba ubadilishe maisha ya familia yangu🙏🙏🙏

  • @marylnemshai5959
    @marylnemshai5959 2 месяца назад

    Amen Amen kupitia maombi yameniweka huru na pia nimekua mwepesi na fatilia sana maombi pst mungu akubariki sana

  • @YonaEmanuli
    @YonaEmanuli 6 месяцев назад +1

    Namuomba mungu mke wangu akapate ujauzito tukapate kizazi kilicho bola ameni

  • @zedmsafili6931
    @zedmsafili6931 9 месяцев назад +1

    Amina mtumishi napokea ukombozi wangu kwanzia sasa

  • @LeminaTemba
    @LeminaTemba 3 месяца назад

    Amina napokea kukombolewa kwa jina la Yesu

  • @SammondJoseph
    @SammondJoseph 8 месяцев назад +4

    Katika maombi aya mungu anikomboe katika maisha yangu piya niende viwango vingin vya juu maana nimepitia mateso menge na mapito magumu namini sasa miujiza inakuja kupitia maombi aya na mungu piya naamini ata nijibu kwa wakati mwepesi 😭😭😭🙏

  • @janemusali
    @janemusali 8 месяцев назад

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu

  • @AnnaMwashala
    @AnnaMwashala Месяц назад

    Naomba msaada wa maombi kwa ajir ya familia yangu ikombolewe na maagano yote mabaya ya Giza Kaz yake iweze kuwa baraka pia uzao naomba mkono wa muumba ututendee kutupeleka sehemu sahih yenye utukufu wa mungu mwili wangu ukombolewe mtoto wangu appne ugonjwa tutengwe na kila giz kibiashara kiuchumi

  • @carolinekageha1884
    @carolinekageha1884 4 месяца назад

    Amen pastor uparikiwe nawe pia

  • @SelinaDama-k3l
    @SelinaDama-k3l 9 месяцев назад +2

    Nmekmblewa pamoja na familia yngu amen ubarkiwe mtumishi wa mungu.

  • @TinaNombo
    @TinaNombo 5 месяцев назад

    Amina na Amini katika maombi aya nimefunguliwa Mungu naomba kaniondolee roho ya magonjwa ndani yangu na kwenye familia yetu na roho za kutushusha kiuchumi zikatoweke

  • @RodahShikhaya
    @RodahShikhaya 2 месяца назад

    Madhabahu yoyote ya nguvu za Giza kwenye maishani mwangu yavunjike kwa damu ya yesu.

  • @SalomeSimiyu-t7l
    @SalomeSimiyu-t7l 4 месяца назад

    Kupitia maombi haya naamini nitafunguliwa pamoja na watoto wangu amen.

  • @carolinekageha1884
    @carolinekageha1884 2 месяца назад

    Amen 🙏🙏🙏🙏 nime kombolewa Kwa jina la yesu kristo

  • @JoyceHaule-o8c
    @JoyceHaule-o8c 8 месяцев назад +1

    Amina amina kupitia maombi haya familia yetu imefunguliwa

    • @JofreyDamson-nm6ec
      @JofreyDamson-nm6ec 3 месяца назад

      Mchungaji mimi naitwa felista nipo morogoro naomba uniombee nifungue kiuchumi

    • @JofreyDamson-nm6ec
      @JofreyDamson-nm6ec 3 месяца назад

      Ubarikiwe sana naomba uniombee nipone nanifunguliwe kila vifungo

  • @Lilian20248
    @Lilian20248 9 месяцев назад +1

    Amen🙏🙏🙏 Mungu akubariki kwa kazi unayo utumikia

  • @ZihalirwaRaymond
    @ZihalirwaRaymond 2 месяца назад

    Asante mutumishi pasta godi naomba maombi kwenyi maisha yangu n'a kwenyi familia yangu yote

  • @TheAngelofGod-b1q
    @TheAngelofGod-b1q 9 месяцев назад +3

    Amen naskia vitu zikotembea tembea Kwa miguu

  • @ambindwilemary3010
    @ambindwilemary3010 6 месяцев назад

    Amen
    Nafunguliwa kwa jina la Yesu

  • @JackiKilima
    @JackiKilima 8 месяцев назад +1

    Praise be to God

  • @maulinemakungu5322
    @maulinemakungu5322 8 месяцев назад +1

    NIMEFUNGULIWA SASA KATIKA JINA LA YESU KRISTO🙏🙏🙌🙌🙌DAMU YA YESU IMENIWEKA HURU

  • @AnithaJoeli
    @AnithaJoeli Месяц назад

    Naomba maisha ya watoto wangu wakakombolewe kwa jina la Yesu Kristo alie hai🙏🏻

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 7 месяцев назад

    Amina napokea uchumi wangu watoto wangu

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 4 месяца назад

    Asante sana barikiwa saidi mutumishi wa Mungu

  • @Susansaid-nn1wf
    @Susansaid-nn1wf 3 месяца назад

    Amen Amen God bless baba

  • @christinemoranga7598
    @christinemoranga7598 3 месяца назад

    Amen and Amen more blessings 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤

  • @Angel-rx7pg
    @Angel-rx7pg 9 месяцев назад +2

    Naamin naenda kukombolewa kaika maisha yangu

  • @JudithMunisi-r2u
    @JudithMunisi-r2u 7 месяцев назад

    Naomba mungu awakomboe watoto wangu kwenye madhabahu ya ukoo maroho ya kuridhi mungu akanipiganie

  • @NizereOrnella
    @NizereOrnella 4 месяца назад

    Allelua napokeye uponyaji kwajina la yesu kristo

  • @ShangaziShangazi
    @ShangaziShangazi 7 месяцев назад

    Baba Asante Kwa maombi hakika damu ya Yesu imekata Kila mishale ya magonjwa na madhabahubzimevunjika kwangu nikumbuke

  • @ClareKwamboka-gz4pm
    @ClareKwamboka-gz4pm 7 месяцев назад

    Amen Amen, nakataa ndoto mbaya nasosiota kwa Familia yangu, waja damu ya yesu iliyo mwagika ikasingire Familia ygu, I command fire in Jesus name

  • @hidayababu9477
    @hidayababu9477 7 месяцев назад

    Nimekombolewa na familia yangu kwa damu ya yesu amina

  • @NadulaMgusi-h3z
    @NadulaMgusi-h3z 5 месяцев назад

    Mungu niepushe na wabaya wote baba

  • @PeninaPatrick
    @PeninaPatrick Месяц назад

    Amin mtumish wa mungu 🙏🙏🙏

  • @bintiobediobedi7796
    @bintiobediobedi7796 Месяц назад

    Amen nimepokea

  • @NellyKadenyi-qc3em
    @NellyKadenyi-qc3em 9 месяцев назад +1

    Mungu ametenda

  • @NoellaNshimirimana-i3n
    @NoellaNshimirimana-i3n Месяц назад

    Mungu afunguwe watoto yangu

  • @wemasimon-cp1fw
    @wemasimon-cp1fw 7 месяцев назад

    ubarikiwe mtumish

  • @uoendokivuyo6589
    @uoendokivuyo6589 7 месяцев назад

    Wabariki watoto wangu mmoja apate kazi na mwingine afaulu vema mitihani yake

  • @محمدالقايد-د6ب
    @محمدالقايد-د6ب 7 месяцев назад +1

    Nakataa magonjwa ya kufanana kwenye family magonjwa ya kurizi vifo vya kufanana fanana kwa jina la Yesu

  • @agnessanga9228
    @agnessanga9228 4 месяца назад

    Mungu akubariki sana

  • @feddymwanga5462
    @feddymwanga5462 6 месяцев назад +1

    Ee Mungu nikomboe katika madhabahu zote za Giza poppet zilipowekwa na nilizoingia kwa kujua nakutokujua

  • @CyntiaOpondo
    @CyntiaOpondo Месяц назад

    Naomba ndoa katika jina la Yesu🙏

  • @MaslinNelima
    @MaslinNelima 7 месяцев назад

    Amen 🙏🙏🙏🙏 barikiwa sana pastor

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 8 месяцев назад

    Asante sana Yesu Kwa uaminifu

  • @BrigitteFuraha-t9q
    @BrigitteFuraha-t9q 3 месяца назад

    Asante. Kupitiya ndamu yayesu .mungu aogeze kipawa

  • @SamuelVictoireSAM33
    @SamuelVictoireSAM33 7 месяцев назад

    Amen servant of God be blessed