MAOMBI YA KUVUNJA MADHABAHU | MAOMBI YA UKOMBOZI | USIPITE MAOMBI HAYA MAOMBI NI DAWA.Maombi ya moto

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 187

  • @SeifJuma-yt1pk
    @SeifJuma-yt1pk 5 месяцев назад +22

    Mchungaji nitakutafuta uniombee kuna vitu vinanisumbua kwenye mwili nyayo na kichwa mwili mzima na pesazangu hazikai

  • @JosphineMwasame
    @JosphineMwasame 14 часов назад +1

    Amen 🙏 ushindi mungu amen 🙏❤

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 4 месяца назад +3

    Aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa napokea Kwa jina la Yesu Kristo hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah ❤❤❤

  • @JedidaKitonga
    @JedidaKitonga 2 месяца назад +1

    Amen kupitia maombi yko imani yangu imepanda.

  • @DivinahNyambeki
    @DivinahNyambeki 2 месяца назад +1

    Asante sana mchungaji kwa maombi na Mungu azidi kukutumia

  • @maureenmgeni
    @maureenmgeni 5 месяцев назад +2

    Amina na Amina. Nimekombelewa kwa damu ya Yesu. Amina.

  • @ambindwilemary3010
    @ambindwilemary3010 3 месяца назад +2

    Mungu akubariki sana mchungaji. Nimekuwa nakufuatilia na napata mpenyo

  • @uoendokivuyo6589
    @uoendokivuyo6589 3 месяца назад +1

    Asante Mungu uwakomboe watoto wangu na madhabahu

  • @tamariamisi3540
    @tamariamisi3540 5 месяцев назад +2

    Askante sana mutumishi kwa maomaombi ya ukombozi mungu anikomboe nauzao wangu na familia yangu amen

  • @SalomeSimiyu-t7l
    @SalomeSimiyu-t7l Месяц назад

    Kupitia maombi haya naamini nitafunguliwa pamoja na watoto wangu amen.

  • @LindaNdikumana
    @LindaNdikumana 4 месяца назад +2

    Amen Amen Amen Amen baba napokea ukombozi wa mungu ndani ya maisha yangu kwa jina la yesu kristo 🔥🔥🔥🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @monicadittu2554
    @monicadittu2554 17 дней назад

    Yesu ni msaada wangu maombi haya yanangu nyingi nimepokea uponyaji

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 4 месяца назад +4

    Oooooh Yesu unaweza yote mwokonzi wetu Kristo Yesu Kristo hallelujah hallelujah

    • @Josephine-u7y
      @Josephine-u7y 4 месяца назад

      Maombi ni dawa

    • @Josephine-u7y
      @Josephine-u7y 4 месяца назад

      Mchungaji ninaomba uniombee kichwa yangu inauma Kila wakati na tumbo mara nyingine na sikia kama nimechanganyikiwa pia nasikua kizunguzungu

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 2 месяца назад +1

    Alelluyah alelluyah blessed barikiwa sanaaaana mutumishi wa Mungu sifa na utukufu simurudiye Mungu WA Mungu

  • @TheresiaZimlinda-x4f
    @TheresiaZimlinda-x4f 5 месяцев назад +2

    Amen napokea kufunguliwa kila kona kwenye maisha yangu na watoto wangu,na kuongezeka uzao wangu amen

  • @اال-خ2ت
    @اال-خ2ت 5 месяцев назад +2

    ANN INGA BI Amen mm nabata maombi. Niki wa saudia. asante. Baba Ya ngu. Waroho Na shu kuru Amen 🙏🙏🏻🙏🙏🏻🇰🇪

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 2 месяца назад +1

    Asante sana Yesu nisaindie mwokonzi wetu nibungue Kwa jina lako Yesu Kristo wanasareti

  • @TinaNombo
    @TinaNombo Месяц назад

    Amina na Amini katika maombi aya nimefunguliwa Mungu naomba kaniondolee roho ya magonjwa ndani yangu na kwenye familia yetu na roho za kutushusha kiuchumi zikatoweke

  • @JoyceHaule-o7b
    @JoyceHaule-o7b 4 месяца назад +1

    Amina amina kupitia maombi haya familia yetu imefunguliwa

  • @chances-x1984
    @chances-x1984 Месяц назад

    Mchungaji mungu akubariki, nakuwa apa goma D.R. Congo.

  • @zedmsafili6931
    @zedmsafili6931 5 месяцев назад +1

    Amina mtumishi napokea ukombozi wangu kwanzia sasa

  • @carolinekageha1884
    @carolinekageha1884 6 дней назад

    Amen pastor uparikiwe nawe pia

  • @GomelliaNgoie
    @GomelliaNgoie Месяц назад

    Amen mungu afungue bilivyo fugwa ndani ya nyumba yangu

  • @RoseMunuo-f9j
    @RoseMunuo-f9j 5 месяцев назад +1

    Ameen Pastor, wakati wakusali nimekohoa sanaa naamin nimekombolewa.Mungu wa mbinguni azid kukubariki 🙏

  • @BrigitteFuraha-t9q
    @BrigitteFuraha-t9q 17 часов назад

    Asante. Kupitiya ndamu yayesu .mungu aogeze kipawa

  • @wemasimon-cp1fw
    @wemasimon-cp1fw 3 месяца назад

    ubarikiwe mtumish

  • @YonaEmanuli
    @YonaEmanuli 2 месяца назад +1

    Namuomba mungu mke wangu akapate ujauzito tukapate kizazi kilicho bola ameni

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 2 месяца назад

    Asande sana mutumishi wa Mungu barikiwa sanaaaana

  • @nginqKanunga
    @nginqKanunga 4 месяца назад +1

    Nashukuru sana kwa maombi yko mtumishi wa mungu

  • @RoseMkatambo
    @RoseMkatambo 9 дней назад

    Kupitia maombi haya mungu afungue biashara yangu ya frem

  • @sekerasanga264
    @sekerasanga264 4 месяца назад +3

    Kupitia Maombi haya naomba Mungu amfungue mtoto wangu maana ibilisi anamtesa ameni.

  • @SelinaDama-k3l
    @SelinaDama-k3l 5 месяцев назад +2

    Nmekmblewa pamoja na familia yngu amen ubarkiwe mtumishi wa mungu.

  • @Moureenegeiza
    @Moureenegeiza Месяц назад +1

    Amen Amen 🙏🙏🙏,damu ya yesu kristo tukomboe mm na familia yangu

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 3 месяца назад

    Amina napokea uchumi wangu watoto wangu

  • @ambindwilemary3010
    @ambindwilemary3010 2 месяца назад

    Amen
    Nafunguliwa kwa jina la Yesu

  • @janemusali
    @janemusali 4 месяца назад

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu

  • @JackiKilima
    @JackiKilima 4 месяца назад +1

    Praise be to God

  • @LindaNdikumana
    @LindaNdikumana 4 месяца назад +1

    Amen Amen baba mtumishi mungu azidi kukuweka dahima amin baba 🙏🏻🙏🏻

    • @ZeituniJumanne
      @ZeituniJumanne 28 дней назад

      Maombi ni dawa

    • @ZeituniJumanne
      @ZeituniJumanne 28 дней назад

      Ameen baba nimebarikiwa na maombi mungu akubariki sana unapoendelea kutufungua kutoka kwenye vifungo

  • @Lilian20248
    @Lilian20248 5 месяцев назад +1

    Amen🙏🙏🙏 Mungu akubariki kwa kazi unayo utumikia

  • @uoendokivuyo6589
    @uoendokivuyo6589 3 месяца назад

    Wabariki watoto wangu mmoja apate kazi na mwingine afaulu vema mitihani yake

  • @EmmanuelOndusoKerima
    @EmmanuelOndusoKerima 3 месяца назад

    Amen,pastor naomba uniombee ili niwese kukomaa kroho,Majina Ni Emmanuel

  • @stacymwesh-xg9lx
    @stacymwesh-xg9lx 2 месяца назад

    Ee mungu naomba ubadilishe maisha ya familia yangu🙏🙏🙏

  • @JudithMunisi-r2u
    @JudithMunisi-r2u 3 месяца назад

    Naomba mungu awakomboe watoto wangu kwenye madhabahu ya ukoo maroho ya kuridhi mungu akanipiganie

  • @NadulaMgusi-h3z
    @NadulaMgusi-h3z Месяц назад

    Mungu niepushe na wabaya wote baba

  • @AgiAggi-my6yh
    @AgiAggi-my6yh 8 дней назад

    Naomba Mungu akaniondolee hii roho ya hofu na kuota ndoto na kusaau na ninapo soma neno na ninasaau naomba Mungu akanifunguwe na akanirejeshee ufahamu

  • @agnessanga9228
    @agnessanga9228 22 дня назад

    Mungu akubariki sana

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 29 дней назад

    Asante sana barikiwa saidi mutumishi wa Mungu

  • @TheAngelofGod-b1q
    @TheAngelofGod-b1q 5 месяцев назад +3

    Amen naskia vitu zikotembea tembea Kwa miguu

  • @HellenKatto
    @HellenKatto 4 месяца назад

    Mungu atatufungua amina

  • @vickybarakamfitiye5227
    @vickybarakamfitiye5227 4 месяца назад +4

    Ninahomba munisaidie katika maisha ya wabinti wangu wafunguriwe kwa jina rayesu ❤

    • @Josephine-u7y
      @Josephine-u7y 4 месяца назад

      Maombi ni dawa ninaombamunisaidie katika maisha yangu na watoto wangu wote na wajukuu wangu ninapitia maisha mangu sana pamoja na watoto wangu

    • @Josephine-u7y
      @Josephine-u7y 4 месяца назад

      Maombi ni dawa

  • @janemusali
    @janemusali 4 месяца назад +9

    Naomba maisha ya watoto wangu yabadilike

  • @MaslinNelima
    @MaslinNelima 3 месяца назад

    Amen 🙏🙏🙏🙏 barikiwa sana pastor

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 4 месяца назад

    Asante sana Yesu Kwa uaminifu

  • @CatherineNdambuki-z1e
    @CatherineNdambuki-z1e 4 месяца назад

    Pastor amen niko na madui kazini tusindi kuomba washindwe kwa jina la yesu

  • @NizereOrnella
    @NizereOrnella 7 дней назад

    Allelua napokeye uponyaji kwajina la yesu kristo

  • @magrethkizogi9043
    @magrethkizogi9043 Месяц назад

    Ameen nimekombolewa na nimepona tumbo na miguu na nienda kupokeaa watoto mapacha kwa ukombozi huu amen

    • @elisiamangumi
      @elisiamangumi 6 дней назад

      Ameen nijalie niwe nauzao wakukujua Mungu nakuku tumikia wewe milele

  • @bahatichenje6224
    @bahatichenje6224 4 месяца назад +1

    U connect my kids to this prayers in Jesus name Amen

  • @NellyKadenyi-qc3em
    @NellyKadenyi-qc3em 5 месяцев назад +1

    Mungu ametenda

  • @Angel-rx7pg
    @Angel-rx7pg 5 месяцев назад +2

    Naamin naenda kukombolewa kaika maisha yangu

  • @ShangaziShangazi
    @ShangaziShangazi 3 месяца назад

    Baba Asante Kwa maombi hakika damu ya Yesu imekata Kila mishale ya magonjwa na madhabahubzimevunjika kwangu nikumbuke

  • @emillyzeeh1173
    @emillyzeeh1173 17 дней назад

    Asante Pastor Amen Amen Halleluja 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @ClareKwamboka-gz4pm
    @ClareKwamboka-gz4pm 3 месяца назад

    Amen Amen, nakataa ndoto mbaya nasosiota kwa Familia yangu, waja damu ya yesu iliyo mwagika ikasingire Familia ygu, I command fire in Jesus name

  • @joankalegi
    @joankalegi Месяц назад

    AMEN,,, 🙏🙏🔥🔥📖📖,, LEO IKAWE USHUHUDA KWANGU 🙏🙏✝️✝️

  • @SamuelVictoireSAM33
    @SamuelVictoireSAM33 3 месяца назад

    Amen servant of God be blessed

  • @hidayababu9477
    @hidayababu9477 3 месяца назад

    Nimekombolewa na familia yangu kwa damu ya yesu amina

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 3 месяца назад

    Aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa

  • @elisiamangumi
    @elisiamangumi 6 дней назад

    Katika maombi haya na omba Mungu anipe aniongoze katika masomo yang mimi na wadogo zangu pia awabariki wazazi wangu awafungurie milango ya baraka katika uchumi wao na awaondolee mitafaluko katika familia BWANA ahimidiwe

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 4 месяца назад

    Asande Sana mutumishi wa Mungu

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 2 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤ aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa

  • @RosemuthiniEndres
    @RosemuthiniEndres 2 месяца назад

    Amen 🙏 i reve

  • @MarietaRukag-ch1vr
    @MarietaRukag-ch1vr 4 месяца назад

    Maombi ni Dawa!!!!🎉🎉❤❤

  • @happymassao6044
    @happymassao6044 3 месяца назад

    Silaha ni maombi

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 4 месяца назад

    Aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa

  • @maulinemakungu5322
    @maulinemakungu5322 4 месяца назад +1

    NIMEFUNGULIWA SASA KATIKA JINA LA YESU KRISTO🙏🙏🙌🙌🙌DAMU YA YESU IMENIWEKA HURU

  • @JudithNafuna-b7g
    @JudithNafuna-b7g 4 месяца назад

    Emen emen 🙏 thank you God 🙏

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 2 месяца назад

    Glory Glory Glory Glory

  • @feddymwanga5462
    @feddymwanga5462 2 месяца назад

    Asante Yesu kwa kunikombos

  • @RosemuthiniEndres
    @RosemuthiniEndres 2 месяца назад

    Maombi ni dawa amen

  • @KaumbyaJasinta
    @KaumbyaJasinta Месяц назад

    Amina Sana napokea kwa jina la yesu

    • @KaumbyaJasinta
      @KaumbyaJasinta Месяц назад

      Mchungaj nasumbuliwa Sana na ndoto za kijijin nilipo kulia na pia nakua nasoma shule ya msingi na pia hua naokota hela mda mwingine na kuota nakula naiman kukujua ww mchungaj nitasaidika kwa jina la yesu.

  • @ReginaAsha
    @ReginaAsha 5 месяцев назад +1

    Naamin naenda kukombolewa katika maisha yangu

  • @JaneSegesela
    @JaneSegesela 2 месяца назад +1

    Naomba Emanuel abadilike

  • @LinetClementinaMajanja
    @LinetClementinaMajanja 4 месяца назад

    Mungu wangu nakuomba unifungulie milango yangu🤲🤲🤲🤲🤲

  • @محمدالقايد-د6ب
    @محمدالقايد-د6ب 3 месяца назад +1

    Nakataa magonjwa ya kufanana kwenye family magonjwa ya kurizi vifo vya kufanana fanana kwa jina la Yesu

  • @neemamlay5389
    @neemamlay5389 2 месяца назад

    Amina🙏

  • @ggfghh6220
    @ggfghh6220 4 месяца назад

    Amina

  • @Cianadvd1
    @Cianadvd1 2 месяца назад

    Amina baba

  • @feddymwanga5462
    @feddymwanga5462 2 месяца назад +1

    Ee Mungu nikomboe katika madhabahu zote za Giza poppet zilipowekwa na nilizoingia kwa kujua nakutokujua

  • @JoyceVihenda-t2n
    @JoyceVihenda-t2n 5 дней назад

    Pastor niombee naota ndoto mbaya sana

  • @ChristinaNtilakigwa
    @ChristinaNtilakigwa 2 месяца назад +1

    Mungu naomba utemberee familia yangu 1:19

    • @ChristinaNtilakigwa
      @ChristinaNtilakigwa 2 месяца назад

      Naomba utemberee familia yamgu pomoja na Nazi zangu6

  • @NyamoriPhiles
    @NyamoriPhiles 4 месяца назад +2

    Pastor niombee mm niko gulf lkn siku hizi nikiamka nasikia kujoka mwili wangu wote kila siku nasikia kama ni miguu yangu inajomeka sijui shida plz niombee

  • @SophiaMiligo
    @SophiaMiligo Месяц назад

    AMINA

  • @loreamusanga7145
    @loreamusanga7145 5 месяцев назад +1

    Amen Amen Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @mercyjay5595
    @mercyjay5595 5 месяцев назад +1

    Ameen

  • @وليدالشمري-ح7ب
    @وليدالشمري-ح7ب 4 месяца назад

    Nimekombolewa kwa damu ya yesu kristo 🙏🙏

  • @francisonyango1796
    @francisonyango1796 5 месяцев назад +1

    Amen

  • @SammondJoseph
    @SammondJoseph 5 месяцев назад +3

    Katika maombi aya mungu anikomboe katika maisha yangu piya niende viwango vingin vya juu maana nimepitia mateso menge na mapito magumu namini sasa miujiza inakuja kupitia maombi aya na mungu piya naamini ata nijibu kwa wakati mwepesi 😭😭😭🙏

  • @VivianFuraha
    @VivianFuraha 2 месяца назад

    Amen and amen

  • @RosemuthiniEndres
    @RosemuthiniEndres Месяц назад

    Maombi nidawa

  • @stellalwena2522
    @stellalwena2522 4 месяца назад +1

    🙏

  • @MAG-yb5ez
    @MAG-yb5ez 5 месяцев назад +1

    AMEN