Aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa napokea Kwa jina la Yesu Kristo hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah ❤❤❤
Amina na Amini katika maombi aya nimefunguliwa Mungu naomba kaniondolee roho ya magonjwa ndani yangu na kwenye familia yetu na roho za kutushusha kiuchumi zikatoweke
Katika maombi haya na omba Mungu anipe aniongoze katika masomo yang mimi na wadogo zangu pia awabariki wazazi wangu awafungurie milango ya baraka katika uchumi wao na awaondolee mitafaluko katika familia BWANA ahimidiwe
Mchungaj nasumbuliwa Sana na ndoto za kijijin nilipo kulia na pia nakua nasoma shule ya msingi na pia hua naokota hela mda mwingine na kuota nakula naiman kukujua ww mchungaj nitasaidika kwa jina la yesu.
Pastor niombee mm niko gulf lkn siku hizi nikiamka nasikia kujoka mwili wangu wote kila siku nasikia kama ni miguu yangu inajomeka sijui shida plz niombee
Katika maombi aya mungu anikomboe katika maisha yangu piya niende viwango vingin vya juu maana nimepitia mateso menge na mapito magumu namini sasa miujiza inakuja kupitia maombi aya na mungu piya naamini ata nijibu kwa wakati mwepesi 😭😭😭🙏
Mchungaji nitakutafuta uniombee kuna vitu vinanisumbua kwenye mwili nyayo na kichwa mwili mzima na pesazangu hazikai
Amen 🙏 ushindi mungu amen 🙏❤
Aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa napokea Kwa jina la Yesu Kristo hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah ❤❤❤
Amen kupitia maombi yko imani yangu imepanda.
Asante sana mchungaji kwa maombi na Mungu azidi kukutumia
Amina na Amina. Nimekombelewa kwa damu ya Yesu. Amina.
Mungu akubariki sana mchungaji. Nimekuwa nakufuatilia na napata mpenyo
Asante Mungu uwakomboe watoto wangu na madhabahu
Askante sana mutumishi kwa maomaombi ya ukombozi mungu anikomboe nauzao wangu na familia yangu amen
Kupitia maombi haya naamini nitafunguliwa pamoja na watoto wangu amen.
Amen Amen Amen Amen baba napokea ukombozi wa mungu ndani ya maisha yangu kwa jina la yesu kristo 🔥🔥🔥🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Yesu ni msaada wangu maombi haya yanangu nyingi nimepokea uponyaji
Oooooh Yesu unaweza yote mwokonzi wetu Kristo Yesu Kristo hallelujah hallelujah
Maombi ni dawa
Mchungaji ninaomba uniombee kichwa yangu inauma Kila wakati na tumbo mara nyingine na sikia kama nimechanganyikiwa pia nasikua kizunguzungu
Alelluyah alelluyah blessed barikiwa sanaaaana mutumishi wa Mungu sifa na utukufu simurudiye Mungu WA Mungu
Amen napokea kufunguliwa kila kona kwenye maisha yangu na watoto wangu,na kuongezeka uzao wangu amen
ANN INGA BI Amen mm nabata maombi. Niki wa saudia. asante. Baba Ya ngu. Waroho Na shu kuru Amen 🙏🙏🏻🙏🙏🏻🇰🇪
Asante sana Yesu nisaindie mwokonzi wetu nibungue Kwa jina lako Yesu Kristo wanasareti
Amina na Amini katika maombi aya nimefunguliwa Mungu naomba kaniondolee roho ya magonjwa ndani yangu na kwenye familia yetu na roho za kutushusha kiuchumi zikatoweke
Amina amina kupitia maombi haya familia yetu imefunguliwa
Mchungaji mungu akubariki, nakuwa apa goma D.R. Congo.
Amina mtumishi napokea ukombozi wangu kwanzia sasa
Amen pastor uparikiwe nawe pia
Amen mungu afungue bilivyo fugwa ndani ya nyumba yangu
Ameen Pastor, wakati wakusali nimekohoa sanaa naamin nimekombolewa.Mungu wa mbinguni azid kukubariki 🙏
Asante. Kupitiya ndamu yayesu .mungu aogeze kipawa
ubarikiwe mtumish
Namuomba mungu mke wangu akapate ujauzito tukapate kizazi kilicho bola ameni
Asande sana mutumishi wa Mungu barikiwa sanaaaana
Nashukuru sana kwa maombi yko mtumishi wa mungu
Kupitia maombi haya mungu afungue biashara yangu ya frem
Kupitia Maombi haya naomba Mungu amfungue mtoto wangu maana ibilisi anamtesa ameni.
Nmekmblewa pamoja na familia yngu amen ubarkiwe mtumishi wa mungu.
Amen Amen 🙏🙏🙏,damu ya yesu kristo tukomboe mm na familia yangu
. mungu yumwema
Amina napokea uchumi wangu watoto wangu
Amen
Nafunguliwa kwa jina la Yesu
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Praise be to God
Amen Amen baba mtumishi mungu azidi kukuweka dahima amin baba 🙏🏻🙏🏻
Maombi ni dawa
Ameen baba nimebarikiwa na maombi mungu akubariki sana unapoendelea kutufungua kutoka kwenye vifungo
Amen🙏🙏🙏 Mungu akubariki kwa kazi unayo utumikia
Wabariki watoto wangu mmoja apate kazi na mwingine afaulu vema mitihani yake
Amen,pastor naomba uniombee ili niwese kukomaa kroho,Majina Ni Emmanuel
Ee mungu naomba ubadilishe maisha ya familia yangu🙏🙏🙏
Naomba mungu awakomboe watoto wangu kwenye madhabahu ya ukoo maroho ya kuridhi mungu akanipiganie
Mungu niepushe na wabaya wote baba
Naomba Mungu akaniondolee hii roho ya hofu na kuota ndoto na kusaau na ninapo soma neno na ninasaau naomba Mungu akanifunguwe na akanirejeshee ufahamu
Mungu akubariki sana
Asante sana barikiwa saidi mutumishi wa Mungu
Amen naskia vitu zikotembea tembea Kwa miguu
Mungu atatufungua amina
Ninahomba munisaidie katika maisha ya wabinti wangu wafunguriwe kwa jina rayesu ❤
Maombi ni dawa ninaombamunisaidie katika maisha yangu na watoto wangu wote na wajukuu wangu ninapitia maisha mangu sana pamoja na watoto wangu
Maombi ni dawa
Naomba maisha ya watoto wangu yabadilike
Amen 🙏🙏🙏🙏 barikiwa sana pastor
Asante sana Yesu Kwa uaminifu
Pastor amen niko na madui kazini tusindi kuomba washindwe kwa jina la yesu
Allelua napokeye uponyaji kwajina la yesu kristo
Ameen nimekombolewa na nimepona tumbo na miguu na nienda kupokeaa watoto mapacha kwa ukombozi huu amen
Ameen nijalie niwe nauzao wakukujua Mungu nakuku tumikia wewe milele
U connect my kids to this prayers in Jesus name Amen
Mungu ametenda
Naamin naenda kukombolewa kaika maisha yangu
Baba Asante Kwa maombi hakika damu ya Yesu imekata Kila mishale ya magonjwa na madhabahubzimevunjika kwangu nikumbuke
Asante Pastor Amen Amen Halleluja 🙏🙏🙏🙏🙏
Amen Amen, nakataa ndoto mbaya nasosiota kwa Familia yangu, waja damu ya yesu iliyo mwagika ikasingire Familia ygu, I command fire in Jesus name
AMEN,,, 🙏🙏🔥🔥📖📖,, LEO IKAWE USHUHUDA KWANGU 🙏🙏✝️✝️
Amen servant of God be blessed
Nimekombolewa na familia yangu kwa damu ya yesu amina
Aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa
Katika maombi haya na omba Mungu anipe aniongoze katika masomo yang mimi na wadogo zangu pia awabariki wazazi wangu awafungurie milango ya baraka katika uchumi wao na awaondolee mitafaluko katika familia BWANA ahimidiwe
Asande Sana mutumishi wa Mungu
❤❤❤❤❤❤ aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa
Amen 🙏 i reve
Maombi ni Dawa!!!!🎉🎉❤❤
Silaha ni maombi
Aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa
NIMEFUNGULIWA SASA KATIKA JINA LA YESU KRISTO🙏🙏🙌🙌🙌DAMU YA YESU IMENIWEKA HURU
Emen emen 🙏 thank you God 🙏
Glory Glory Glory Glory
Asante Yesu kwa kunikombos
Maombi ni dawa amen
Amina Sana napokea kwa jina la yesu
Mchungaj nasumbuliwa Sana na ndoto za kijijin nilipo kulia na pia nakua nasoma shule ya msingi na pia hua naokota hela mda mwingine na kuota nakula naiman kukujua ww mchungaj nitasaidika kwa jina la yesu.
Naamin naenda kukombolewa katika maisha yangu
Amen
Naomba Emanuel abadilike
Mungu wangu nakuomba unifungulie milango yangu🤲🤲🤲🤲🤲
Nakataa magonjwa ya kufanana kwenye family magonjwa ya kurizi vifo vya kufanana fanana kwa jina la Yesu
Amina🙏
Amina
Amina baba
Ee Mungu nikomboe katika madhabahu zote za Giza poppet zilipowekwa na nilizoingia kwa kujua nakutokujua
Pastor niombee naota ndoto mbaya sana
Mungu naomba utemberee familia yangu 1:19
Naomba utemberee familia yamgu pomoja na Nazi zangu6
Pastor niombee mm niko gulf lkn siku hizi nikiamka nasikia kujoka mwili wangu wote kila siku nasikia kama ni miguu yangu inajomeka sijui shida plz niombee
AMINA
Amen Amen Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ameen
Nimekombolewa kwa damu ya yesu kristo 🙏🙏
Amen
Katika maombi aya mungu anikomboe katika maisha yangu piya niende viwango vingin vya juu maana nimepitia mateso menge na mapito magumu namini sasa miujiza inakuja kupitia maombi aya na mungu piya naamini ata nijibu kwa wakati mwepesi 😭😭😭🙏
Amen and amen
Maombi nidawa
🙏
AMEN