MAOMBI NA MAOMBEZI YA KUWEKWA HURU, KATIKA MAGONJWA,MADENI,UCHAWI,NDOTO MBAYA,MAUTI,MIMBA,UKIMWI N.K
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- watu wengi wamefunguliwa kupitia Mwombezi Pastor Godwin Ndelwa na wewe utapokea muujiza wa kufunguliwa kupitia jina la Yesu.
Amina, nionganishe kwenye maombi
Amina mtumishi najisikia Aman nilikua Sina aman
Ubarikiwe mtumishi
Naomba maobezi ya kuwekwa huru
Amen 🙏 🙏 🙏
Mimi devota mashalla napokea Kwa jina la yesu
Pastor ubarikiwe sana kwa maombi mungu azidi kukufunulia maono
Ninachukulu mungu juu wakati nikuomba maombi haya niliota nimepewa funguo nanikaichika nikaikubatia na chukulu mungu na mungu akubaliki
❤
Nashukuru kwa maombi asante sana muchungaji
Amen in the name of Jesus 🙏🙏🙏
I received i received I received
Amenn
Kwakwer Kun vimenichom mwlin km sindano sijuw nini ameeeen pasta 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN BABA NAPOKEA KWA JINA LA YESU christo amen
Nikumbuke kwa maombi mwili wangu unauma Amen
Amen
Mtumishi nimebarikiwa sana naomba uniunganishe kwenye maomb yko kila utakapo toa nimebarikiwa sana mungu akubarik🙏🙏
Amina baba
Haleluyaàaaaa haleluyaaaaàa haleluyaaaaaaaaa amen mutumisshi wa mungu nashukuru sana napokeya kwa jina layesu
Amen barikiwa sana pastor nimefunguliwa mikono yangu sai nimesikiya vitu vinatambaa kwa mkono wangu Asante sana
Nashukuru sana mutumshi wa mungu napokeya maombezi yakuwekwa juru kwa jina layesu asante mungu akubariki saana
Asante Mtumishi wa Mungu kwa maombi haya ' nimewekwa huru" Yesu kuwa pamoja nami.
Amen I received
Amina Amina Mungu akubariki sana kwa ajili ya nguvu ya Mungu nilio ipata sasa asante
I received I received
Amen MUNGU akulinde na akubariki sana mtumishi Kwa maombi
Amen mtumishi mungu akubaliki naomba mtumishi niombee biashara yangu imekuwa ngumu sana mtumishi
Amen amen
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN BABA 🙏🙏🙏
Amen napokea katika jina la Yesu
Amine
Asande sana Yesu mwokonzi waku Kwa uzima umenipa Kwa ushindi wako muzalabani Asante sana
Amina baba lao
Ameen 🙌🙏
Mungu akubariki mutumishi
Amina mtumishi,eeh YESU nisaidie naomba amani juu ya Moyo wangu
Ameeen mtumishi nimebarikiw naomba uniunganishe kwenye maomb yako kila unapotoa 🙏🙏
Ameeeeeen ameeeeeen tuko pamoja.naomba
Uniuganishe namaombi kila unapotoa mutumishi wa mungu barikiwa sanaaaana
amen ubalikiwe mtumishi wa mungu naomba uninganishe kwe Nye maombi ya usiku
Amen Amen nimepokea
Niko na roho ya madeni mtumishi wa mungu naomba uniunganishe kwa maombi yako maana hata nkipata pesa yakunitosha mwisho naishia bado kukopa tu.barikiwa sana.amen
Asanti Kwa maombi mema Mungu akubariki mchungaji 🙏🏽... Amen 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Asante Yesu Kristo nimefunguliwa kuanzia leo
Amen Amen mungu wangu ansate kwa kunifungula, papa pasteur akika uko n'a mungu
Ameeen nitarejea kwenye ndoa yangu kwa jina la Yesu Kristo aliye hai
Amen, pastor naomba ndoa na pia kunawatu walinidhulumu zaidi ya laki moja na elfu kumi na sai wamenifungia simu naomba wasumbuke mpka wanirudishie in Jesus name
Eshafjef735...Tafadhali sana nakuomba toa uchungu katika Moyo wako...Amini MUNGU pekee.usiende kwa mganga sababu ya uchungu.Mwambie MUNGU akupe amani Moyoni mwako....upate pumziko la kipekee....Tulia tulia tulia katika BWANA.
Ameen
Amina mtumishi nimefunguliwa kwa jina la Yesu
Amen,Glory be toGod,,,na hisi nmefunguliwa kwa jina la Yesu
Amina mtumish ninaamin kw maombe Aya nmepokie
🙏
Ameen
Amen ameeeeeen ameeeeeen dady tuombee sana mutumishi wa mungu tuko pamoja
Amina mtumishi mimi naitwa liliani damaseni naamini nimewekwa huru kwelikweli
Ubarikiwe mtumishi ameena
Pasta Asante sana
Ameni namuomb mungu ailinde familia yangu usiku huu na siku zote aondoe roho za kukata tamaa na roho za mauti na magonjwa atupe amani na furaha
Mtumishi naomba uniunganishe ktk maombi aya
Amen Amen and Amen
Ameeeeeeeeen pasta
Ubarikiwe mtumishi nimefunguliwa nimetapika sana pia biashara zangu haziendi kuomba nimekuwa mzito pia kuna mtu alinidhurumu laki sita naomba uniunganishe kila unapoomba na pia unitumie nam ba ya sadaka
Naomba unisaidie kukataa roho za presha ubarikiwe Baba
Mm ni Ann lngabi mtu mishi. Wamungu. Naomba. uni unga ni she ki ia siku ni si kose maombi ni dawa Amen 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Amen mungu akubariki mtumishi
Amennn🙏🙏🙏🙏
Amina ubarikiwe sanaa mtu wa Mungu
Asante yesu kwa kuniweka huru
Mtumishi wa Mungu naomba uniunganishe kwenye maombi yako kwani nina shida ya magonjwa na ndoto mbaya na kukosa wateja katika biashara yangu
Naamini kwajina la yesu amee
Amen asante mtu mishi wa mungu mm ni Ann lngabi. nashu kuru mungu. Ani Fu ngu we maombi ni dawa asante san baba yangu kwa maombi. haya Amen 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙌
Amen and Amen glory to God powerful message hallelujah barikiwa sana pastor nimebarikiwa 🔥🙏🙏🙏🙏
Bwana Yesu asifiwe mtumishi niunganishe kwy maombi ya uponyaji au kama naweza kukupigia simu pia uko wapi
Kupita ombi hili la kuwekwa huru katika maisha yangu nipo tayali kupokea uponyaji sasa na mambo yangu yote nikafanyikiwe sasa na piya kuepushwa na mgonjwa kupushwa na nguvu za giza maana nimeteseka sana na nguvu za giza mwili wangu ukakae sawa na hafya yangu piya mungu naombe unitedee maajabu sasa na mimi piya nipate kuona ufunguwo wa maisha yangu 🙏🙏
Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen
Ameen mungu akubariki mtumishi
Mtu mishi wamungu naomba uLi onga ni she na maombi. Kiia siku Amen 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙌
Mungu akubaki sana
Nashukuru Sana Kwa maombi
judy saudia emen nimebarkiwa
Amen 🙏 ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Amen baba mchungaji
Nimepokea Kwa jina layesu
Hallelujah 🙌🙌🙌
❤
Amen hallelujah I received in Jesus mighty name Amen 🙏
Asante kwa maombi 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Ameeen nipokea
Hallelujah 🙏🙏 Amen glory to Jesus
Ameeeeeeen....
Asante mungu
Amen 🙏🙏🙏 be blessed alot man nimwfunguliwa
Amina 🙏🏻🙏🏻
Very powerful
AMEEEEN❤❤❤❤❤❤❤❤
emeeeeeeeen🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Amina
Amen pastor
amen ameñ😮😮😮😮😮😮😮❤❤❤❤❤❤❤
Mtumishi naomba uniunge nisitwe na maombi
Pray for my children peace and unity
AMEN AMEN
Amlan Nadia 1000000 baba
AMEN AMEN❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
🙏🙏🙌🙌🙏 Amen 11:14 11:17