Mungu wangu naomba kila vizuri vilivyokaa mbele yangu,watoto wangu,mume wangu,kila eneo la maisha yetu kiondoke nakifurusha kikaangu kwenye shimo kisichotoka na kushindwa na kuisha nguvu Kwa jina la yesu Kristo Mwana wa Mungu ulie ulie hai Amina
Kila kizuizi kilichowekwa kinyume na maisha yangu nisipaate ndao nakivunja kwa damu ya Yesu kivunjike kivunjike kwa jina la Yesu kila mlango wote uliofungwa kwa maisha yangu nauvunja kwa jina La Yesu.😊
Ee bwana yesu nakuomba ukaondoshe vizuizi vyote vilivyo katika ndoa yangu,maisha yangu,familia yangu,na maisha yangu bwana nakuomba ukavivunje vyote bwana mana hakuna mungu kama wewe bwana. Ee mwokozi wangu nakuomba ukanijibu maombi yangu kumi na mbili. Kama ulivyo mjibu sara na Anna kama ulivyo mjibu yusufu na danieli nami unijibu leo bwana kwa damu ya mwanao yesu krsto
Yesu kristo unitangulienajiandaa kwa jili ya ndoa naomba uniondolee kila kizuizi ndani ya safari hiyo na pia naomba bwana yesu umsaidie mpenzi wangu awez kugutegemea kwa kila kitu Anacho kifanya bwana yesu tunaomba ututumie loho mtakatifu azidi kutuongoza na kutushauli cha kufasha siku zote za maisha yetu katika jina la yeweza yesu kristo naomba nikushukulu ameeeen
Kiukweli haya maombi nimesikiliza nimemaliza kusikiliza mpaka sasa hivi sina nguvu naandika huku mikono inatetemeka nimefunguliwa asante mungu kwa maombi haya from Malaysia 🇲🇾 🇲🇾🙏
Nimepokea Kwa jina la yesu ñimevunja mabaya yote kwangu Kwa jina la yesu wanaonifutilia washindwe na kuvunjwavunjwa Kwa jina la yesu bwana yesu nitangulie
Mungu wangu leo navunja kila aina ya kizuizi kinachonizuia kutoka hatua moja kwenda hatua nyingine ninakivunja leo na kuvisambaratisha kwa damu ya Yesu havina nafasi katika maisha yangu. Amen
Naomba Mungu aendelee kuniletea Kwa kuvunja vizuizi, malango ya vizuizi vinavyofanya magonjwa kusakama mwili wangu,Yesu wewe ndio mkombizi wa maisha yangu nami nasema nimepona Kwa Damu ya Yesu kristo.Ameen
Kila kizuizi kichopangwa kwenye maisha yangu, kazi yangu, familia yangu ninakitangua katika jina la yesu kristo. Ninafungua milango ya baraka na mafanikio yangu kwa jina la yesu.
Baba Kwa Jina la Yesu Naomba unitete Mimi na watoto wangu na Uvunje vizuizi vinavyozuia baraka kwenye uzao wa Tumbo langu. Fungus Mlango huyu ng'ombe Apate mteja atakakaemchukua Kwa bei nzuri Kwa Damu ya Yesu na Kwa Jina la Yesu Kristo
Kwajina la Yesu navunja kila vizuiz vyote vilivyoko mbele yangu kweny biashara zangu navunja navunja kwa kuna La YESUkristo wanazalet Mungu alie hai Mweza ya yote mmliki wa kila kitu! Pumzi yangu , uhai wangu watoto wangu wazaz wangu kila kitu kiko mikononimwako🙏🙏 navunja leo miamba yotee naaungusha chini kwajina la Yesu🙏🙏🙏
Ameeena, ninajisikia na ninaamini yakwamba mirango mibaya yote Papa God amefunga na akafunguwa mirango mipya halleeluiaaa ninakushukuru Baba na tunabariki pia mchungaji umutendee wema......Mungu tunakushkuru milele Amen🙏🏽😭
Najiunganisha na haya mathabau kubomoa kunguvu za kiza na vizuizi vyote vilivyomo ktk Familia yetu na maisha Yangu ktk jina la yesu kristo 🙏🙏 amen,ubarikiwe mutumishi Kwa uchumbe huu wa kujenga kiroho.
Amen🙏🙏🙏 Asante bwana yesu kwaku niponya majera yangu yote namakovu asante kwa uchumi wangi asante kwaki zazi changu nina kuchukur wewe nakuku abudu wewe bwana bwana wamaicha yangu asante kwaku ni weka huru siku ya leo ninakusifu nakuli abudu jina lako AMEN🙏🙏🙏🙏
Amen mtumishi wa mungu maombi haya yamenigusa wakati naomba Kuna kitu kama kichomi nikikisikia katika ya kifua changu,na nikatapika naamini mungu ameniponya na kupitia maombi haya naamini vizuizi vyangu vinaenda kufunguliwa
Ahsanteee mtumish naamin milango imefunguliwa na naanza kufanikiwa katika ndoa yangu katika uzaz katika kupata Kaz kwa jina la yesu kristo wa nazalet aliye hai
Naomba mungu a kuvunja kila vizuizi katika maisha yangu na family yangu vivunjeke kwa jina la yesu kwa damu ya yesu kila vizuizi katatika ndoa naomba mungu kavichome kwa jina la yesu naamini mungu amendenda barikiwa mtumishi wa mungu
Naamuru Damu ya Yesu ikaondoe kila kizuiz kilichowekwa mbele yangu kinachonifanya nisisogee mbele kwa jina la Yesu kitoke,kama ni mwamba ukashuke,kama ni mlima ukasogee nipite kwa jina la Yesu!Amina.
Yesu christo uliye hai nitangulie kwa kila njia yangu ongoza kila hatua ya miguu yangu vunja vizuizi vyote ambavyo vinazuia baraka yangu na mafanikio yangu
MUNGU wa mbinguni kila kizuizi kinacho zuia maendeleo yangu na mume wangu, wasambalatike kwa damu ya YESU KRISTO 🙏🙏 watu wote walio kinyume wakafichuke kwa damu ya YESU
Mungu wangu naomba kila vizuri vilivyokaa mbele yangu,watoto wangu,mume wangu,kila eneo la maisha yetu kiondoke nakifurusha kikaangu kwenye shimo kisichotoka na kushindwa na kuisha nguvu Kwa jina la yesu Kristo Mwana wa Mungu ulie ulie hai Amina
Kila kizuizi kilichowekwa kinyume na maisha yangu nisipaate ndao nakivunja kwa damu ya Yesu kivunjike kivunjike kwa jina la Yesu kila mlango wote uliofungwa kwa maisha yangu nauvunja kwa jina La Yesu.😊
Vizuizi juu ya watoto wangu, ndoa yangu, kazi yangu na afya yangu navivunja vyote leo kwa jina la Yesu... Vunjikaaa Yeremia 1:10
Asante yes Kristo kwakunifungua 🙏 😢naamini hii wiki nitabarikiwa ameni 🙏 yesu nakupenda ❤️
Ee bwana yesu nakuomba ukaondoshe vizuizi vyote vilivyo katika ndoa yangu,maisha yangu,familia yangu,na maisha yangu bwana nakuomba ukavivunje vyote bwana mana hakuna mungu kama wewe bwana. Ee mwokozi wangu nakuomba ukanijibu maombi yangu kumi na mbili. Kama ulivyo mjibu sara na Anna kama ulivyo mjibu yusufu na danieli nami unijibu leo bwana kwa damu ya mwanao yesu krsto
Kila kizuizi kwenye maisha yangu kibomoke kwa jina la Yesu Kristo
Yesu kristo unitangulienajiandaa kwa jili ya ndoa naomba uniondolee kila kizuizi ndani ya safari hiyo na pia naomba bwana yesu umsaidie mpenzi wangu awez kugutegemea kwa kila kitu Anacho kifanya bwana yesu tunaomba ututumie loho mtakatifu azidi kutuongoza na kutushauli cha kufasha siku zote za maisha yetu katika jina la yeweza yesu kristo naomba nikushukulu ameeeen
I declare and decree that no barrier will come on my way in jesus mighty name 🙏
Mungu wangu! Yesu wangu! Nisaidie kuvuja vizuizi vyote vilivosimama juu yangu, juu ya maisha yangu na uzao wangu; kwa jina na kwa damu yaYesu kristo!
Kiukweli haya maombi nimesikiliza nimemaliza kusikiliza mpaka sasa hivi sina nguvu naandika huku mikono inatetemeka nimefunguliwa asante mungu kwa maombi haya from Malaysia 🇲🇾 🇲🇾🙏
Ameen ameeen
Mungu akubariki sana sana
roho zamauti kwenye familiar yangu kamata moto motooooo wadamu yayesu
Asante yesu kwa kunifungua katika kila vizuizi kwenye kila eneo kwenye maisha yangu 🙏
Kila kizuio kilicho katika njia yangu au kifungu chochote kile yesu ukifungua week hii yesu tuweze kulipa madeni haya yesu nakupenda sana nakutegemea
Ee Mungu niondlee kizuizi cha kutokupata miradi kwenye shirika langu
Amen Amen ninafurahi milango yangu imefunguka Asante munguwangu kwakuni funguwa milango yangu imefunguka aleluyaaaaa💃💃💃💃💍👰♂️🗣
Ameen ameeen
Nimepokea Kwa jina la yesu ñimevunja mabaya yote kwangu Kwa jina la yesu wanaonifutilia washindwe na kuvunjwavunjwa Kwa jina la yesu bwana yesu nitangulie
Damu ya yesu initetee, kila mlango uliofungwa juu yangu, nafungua kwa damu ya yesu
Amen
@@holyspiritconnect amen
Naomba Jehova unitangulie
Amen
E bwana yesu kavunje vizuizi katika maisha yangu kwadamu yayesu
Mungu wangu leo navunja kila aina ya kizuizi kinachonizuia kutoka hatua moja kwenda hatua nyingine ninakivunja leo na kuvisambaratisha kwa damu ya Yesu havina nafasi katika maisha yangu. Amen
Naomba Mungu aendelee kuniletea Kwa kuvunja vizuizi, malango ya vizuizi vinavyofanya magonjwa kusakama mwili wangu,Yesu wewe ndio mkombizi wa maisha yangu nami nasema nimepona Kwa Damu ya Yesu kristo.Ameen
Damu ya Yesu inizingire pamoja na uzao wangu katika jina safi la bwana wetu yesu kristo 🙏
Baraka najiunganisha na maombi haya yakuvunja vizuizi vinavozuia maisha yangu kusonga mbele kiroho,uchumi,kimwili na elimu kwa watoto wangu amen
Ninavunja kila aina ya vizuizi katika maisha yangu watoto wangu kazi zangu ndugu zangu kwa damu ya yesu aliye hai
Ee bwana yesu ondoa kila ainaya kizuizi kinacho zuia katika familia yangu naimanutatenda kadri ya uwezo wako
Kila kizuizi kichopangwa kwenye maisha yangu, kazi yangu, familia yangu ninakitangua katika jina la yesu kristo. Ninafungua milango ya baraka na mafanikio yangu kwa jina la yesu.
Baba Kwa Jina la Yesu Naomba unitete Mimi na watoto wangu na Uvunje vizuizi vinavyozuia baraka kwenye uzao wa Tumbo langu. Fungus Mlango huyu ng'ombe Apate mteja atakakaemchukua Kwa bei nzuri Kwa Damu ya Yesu na Kwa Jina la Yesu Kristo
Kila zuizi lililofungwa katka maisha yangu katka biashara yangu nafuta kwa damu ya yesu amen
Bwana Yesu uniondelee vizuizi vyote vinavyozuia mipango yangu ya miradi SIHA na nyumba yangu kuuzika
Ee mwenyezi MUNGU vunja vizuizi vyoye vinavozuia nisifanikiwe katika maisha maisha yangu
Vizuizi juu ya maisha yangu, ndoa yangu na kwa biashara yangu navunja vyote leo katika jina la yesu.
Yesu nione yesu niguse nifanikishe kujenga yangu kwa mikono yangu 👏👏👏 i
Kwajina la Yesu navunja kila vizuiz vyote vilivyoko mbele yangu kweny biashara zangu navunja navunja kwa kuna La YESUkristo wanazalet Mungu alie hai Mweza ya yote mmliki wa kila kitu! Pumzi yangu , uhai wangu watoto wangu wazaz wangu kila kitu kiko mikononimwako🙏🙏 navunja leo miamba yotee naaungusha chini kwajina la Yesu🙏🙏🙏
Ameen
Grory to God
Amina
Ee bwana yesu unitangulie kwa Kila vizuwizi katika Kila eneo LA maisha yangu na Familia yangu na kwa watoto wangu katika masomo Yao na maisha yao
Amen Natangaza katika ulimwengu wa Roho na mwili kwa kunifungua kwa Damu ya Yesu
Natangaza ktkt dam yayesu nimefunguliwa ktk vizuizi
Amen amen ameeeni mungu akutie nguvu mutumishi Morris na akujaze nguvu za roho mtakatifu kwa jina la baba mwana na roho mtakatifu amen
Ameeena, ninajisikia na ninaamini yakwamba mirango mibaya yote Papa God amefunga na akafunguwa mirango mipya halleeluiaaa ninakushukuru Baba na tunabariki pia mchungaji umutendee wema......Mungu tunakushkuru milele Amen🙏🏽😭
Ameen
Baraka najiunganisha na maombi haya yakuvunja vizuizi vinavozuia maisha yangu kusonga mbele kiroho,uchumi,kimwili na elimu kwa watoto wangu
Yesu tufungulie milango na pia vizuzi zinazo fanya tusiendele mbele.tunaomba hao kwa njia bwana Yesukristo Amina
You have touch me Apostle
Amen 🙏 Amen 🙏 Ee mungu naomba ukaniondelee vizuizi katika jina lako kiristo Amen
Amen Amen ninaita Damu ya YESU kwa kila mlango uliofungwa juu yangu
Vizuizi ni vingi mbele yangu ee yesu naomba unitangulie navunja milango yote iliyosimama mbele yangu nabomoa katika jina la yesu Ameee👏
I connect my self i brake all covenant made against me uchawi mahasidi wote
Asanteeee baba Leo nimefunguliwaaa 🙏🙏🙏🙏🙏Nakupenda Yesu❤️niliteseka sana 😭Yesu Ahsanteee🙏❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Najiunganisha na haya mathabau kubomoa kunguvu za kiza na vizuizi vyote vilivyomo ktk Familia yetu na maisha Yangu ktk jina la yesu kristo 🙏🙏 amen,ubarikiwe mutumishi Kwa uchumbe huu wa kujenga kiroho.
Ameen ameeen ameeen
Ubarikiwe pia
Kila kizuizi kilichopo kwenye maisha yangu na familia yangu watoto wangu ndugu zangu nakwenda kukivunja kwa damu ya Yesu kristo aliye hai
Ooooh yes lord nitangulie bwana ninatamani kufika 🙏🙏 maana bila ww siwez 🙏🙏 kutana na hitaji la moyo wangu 🙏 🙏🙏
Asante sana mtumish kwa kuniongoza maombi haya mazuri,naamini dam ya Yesu inaenda kunena jambo jipya kwangu kupitia haya maombi,Amen🙏🙏
Ameen
Amen mtumishi wa mungu uzidishwe kwa Jina la yesu🎉🎉🎉
Bwana Yesu nitangulie ukasawazishe mahali penye vizuizi vinavyonizuia nisisonge mbele ktk jina la Yesu
Asante Sana Mwwnyezi Mungu kwaajili ya haya maombi ,,,Yesu nasema Asante kwakuniweka huru ,,, NAKUPENDA YESU WANGU
Amen🙏🙏🙏 Asante bwana yesu kwaku niponya majera yangu yote namakovu asante kwa uchumi wangi asante kwaki zazi changu nina kuchukur wewe nakuku abudu wewe bwana bwana wamaicha yangu asante kwaku ni weka huru siku ya leo ninakusifu nakuli abudu jina lako AMEN🙏🙏🙏🙏
navunja roho za vizui juu yangu kwa jina la Yesu 🙏🙏
I love you Jesus so much asante kwa kunifungua mimi Judyth kwa vifungo vyote vya shetani na kunieka huru
Mungu naomba kila kizuizi kilichowekwa katika utafutaji wangu mahusiano yangu kiondoke katika jina la yesu amen
Ni mm hapa Niko na mlima chakutofaulu kimaisha , financial breakthrough,,damu ya yesu osha yote amen 🙏
Ameen
Amen kwa jina la yesu kristo kizuizi kilicho simama katika ndoa yangu kivunjike katika jina la yesu
Kila kizuizi kilichosimama katika maisha yangu nakivunja katika jina la Yesu 👏👏👏👏
Amen , kila kizuizi chochte kwenye maisha yagu kitoweke kw jina la yesu , ndoa ,kazi ,maisha yagu yafunguliwe leo kw jina la yesu😢😢
Asante kwanifungua kwajina la yesu christo Ameeeeeen 🙏🙏🙏🙏
Naomba iyo mlima uliko bere yangu ishushwe navuja mipango yote ya shetani juu yangu na watoto wangu najiosha katika damu ya yesu amen
Amen mtumishi wa mungu maombi haya yamenigusa wakati naomba Kuna kitu kama kichomi nikikisikia katika ya kifua changu,na nikatapika naamini mungu ameniponya na kupitia maombi haya naamini vizuizi vyangu vinaenda kufunguliwa
Damu ya yesu initetee kila mlango uliofungwa juu yangu naifungua kwa damu ya yesu😭😭😭
Navunja kila kizuizi kilichopo ktk maisha yangu, kizuizi Cha kutopata Pesa navunja kizuizi Cha Aina yoyote ktk Jina la Yesu. Amen
Kila kizuizi ambacho kimefunga mm nisiendelea kimaisha, ndoa yangu isiwe na Amani na familia yangu isiendelee, naingoa katika jina la yesu kristo.
Mungu baba wambinguni katika jina la yesu kristo niondolee vizuizi katika baraka za baba yangu wambinguni
Amina mchungaji kwa kweli sijawahi omba nikajibiwa papo hapo kama leo ubarikiwe sana mtumishi wa mungu,nami bwana akanibariki amen
Kupitia maombi haya naamini Mungu ataviondoa vizuizi vyote ktk maisha yangu pamoja na familia yangu Mungu awashangaze Yesu Ahsante
Ahsanteee mtumish naamin milango imefunguliwa na naanza kufanikiwa katika ndoa yangu katika uzaz katika kupata Kaz kwa jina la yesu kristo wa nazalet aliye hai
Mwenyez mungu kavunja vizuizi vyote vibaya ktk jina la yesu 🙏🙏
Mungu nakuomba mwamba uliofungwa juu yangu ufunguke ktk jina layesu aliehai amen
Eee mwenyezi mungu Kila kizuizi kilichozuia amani kwenye ndoa yangu life Kwa jina la yesu
Yesu nasema asante kwa mume hu yesunasema asante nakupenda asante yesu
Mungu kupitia maombi haya navunja kila kizuwizi kilchozuia uponyaji huu ya mwili wangu kishindwe kwajina la Yesu
Kila kizuizi kilicho kuwepo kwenye familia yangu vifunguliwe Kwa jina la yesu
damu yayesu naomba umuokoe dadayangu kwenye mateso yawachawi na roho zamauti
Yesu wangu naomba unitangulie ktk kila eneo ninatamani kufika
Naomba mungu a kuvunja kila vizuizi katika maisha yangu na family yangu vivunjeke kwa jina la yesu kwa damu ya yesu kila vizuizi katatika ndoa naomba mungu kavichome kwa jina la yesu naamini mungu amendenda barikiwa mtumishi wa mungu
Amen amen amen, nimabarikiwa Sana na nimewekwa huru vizuizi vyote na milima yote imesawazishwa natembea Kama mtoto wa kifamle
Amen
Kila kizuizi kilichopandwa kwenye familia yangu ,maisha yangu, watoto wangu mme wangu naving'oa kwa damu ya yesu kristo
YESU kristo mwana Mungu uliye hai unitangulie katika hatua zangu,katika safari hii ya Mbinguni 🙏🙏
Kila kizuizi kilichowekwa kinyuma namipango yangu nakivunja kwajina layesu nafungua milango yangu ya riziki kwa dam yayesu kristu ameen
Ee mungu nakuomba ukaniondolee vizuizi vyakunirudisha nyuma kw maisha yngu, pitia ujumbe huu naomb ukajb hoja ya moyo wangu Amina🙏🙏🙏
Asante mwenyezi mungu kwa kujifungulia vizuizi vyote amen
Ee bwana yusu nakuomba ukaondoshe kila vizuizi vyote kwenye ndoa ya ngua na maisha yangu pamoja na family yangu
Kwa dam ya yesu, navunja kira milima iliyopo mbele yangu inayo nifanya kuludi nyuma kwa jina la yesu
Napomoa vizuizi katika Jina la Yesu Kristo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Maombi ya nuru ya Kristo itawale maishani mwangu
yesu nihurumie kila vizuizi vilivyokaa ndani ya familia yangu navivunja kwa jina la.yesu
Naamuru Damu ya Yesu ikaondoe kila kizuiz kilichowekwa mbele yangu kinachonifanya nisisogee mbele kwa jina la Yesu kitoke,kama ni mwamba ukashuke,kama ni mlima ukasogee nipite kwa jina la Yesu!Amina.
Kila vizuizi vivunjike! Kwa jina la Yesu!
Bwana yesu nitangulie Amen 🙏🙏
Nafungua kila kizuizi kilioko juu ya maisha ngumu kwa jina la mwenyezi mungu Ameeeeeeeeeeeeeeen
Ameen ameeen
Asante kwakuniona nasema Asankwakuniweka huru asante Yesu nkukuza
Yesu christo uliye hai nitangulie kwa kila njia yangu ongoza kila hatua ya miguu yangu vunja vizuizi vyote ambavyo vinazuia baraka yangu na mafanikio yangu
Kwa jina la yesu napomoa mulango yote imefungwa ju yangu
Amen bwana yesu nitangulie mbele yangu na vunja vizuizi Kwa maisha yangu na familia yangu
Bwana yesu niondolee milima katika maisha yangu ondoa kila kizuizi mwilini mwangu au katika eneo langu
Mungu anitangulie and unianianalie mbele na milango zangu zilzizo funga zifunguliwe katika jina la yesu
Bwana YESU ninaomba unitangulie ninatamani kufika baba
Ninangoa kila miziz iliowekwa kuzuia mafanikio yangu kwa damu ya yesu
Ameen
Amen atanitakulia kwa kila njia aina zote za vizuizi vitashindwa kwa damu ya yesu kristo
MUNGU wa mbinguni kila kizuizi kinacho zuia maendeleo yangu na mume wangu, wasambalatike kwa damu ya YESU KRISTO 🙏🙏 watu wote walio kinyume wakafichuke kwa damu ya YESU