MAOMBI YA UPONYAJI -PASTOR MYAMBA
HTML-код
- Опубликовано: 12 апр 2022
- #HOUSEOFVICTORYCHURCH #PASTORMYAMBA #LIVEHVCSERVICE
This is the Official RUclips Channel for Pastor Emmanuel Myamba. Is a Pastor of the HOUSE OF VICTORY CHURCH , This church is Headquartered in Kigamboni-Mbutu (Dar es salaam) Tanzania
-----------------------
For Offerings / Tithe and Seeds please send through Western Union / Money Gram / RIA and M-PESA: NETWORK: Vodacom, NUMBER: +255 744 982 517, NAME: Emmanuel Myamba, COUNTRY: Tanzania
-----------------------
Follow Us:
Instagram: / pastormyamba
Facebook: / pastor-myamba-12973112...
RUclips: / pastormyamba
Call: +255 744 982 517,+255 713 842 123,+255 686 953 030
Nipo nchini Kenya napenda nitoe sadaka yangu kwa ajili ya mke wangu,anaumwa umwa hovyo.
Nalikua mgonjwa wa tumbo na kujawa na hofu lakini Mungu kaniponya kupitia maombi haya amen! Amen amen
Baba mwanangu rehema abasi amepigwa kiuchumi apati mume muombee afunguliwe
Amen Mtumishi Mungu Naomba uendelee kimponya mtoto wangu
Mungu nipone mwili wangu kupitia maombi haya
Asante yesu nimepokea uponyaji katika jina la yesu
Mungu uniponye niweke huru na magonjwa rejesha afya yangu
Asante yesu kwa uponyaji, huu nalikuwa mgonjwa sasa ni mzima
Bwanayesu asifuliwe nashukuru mngu nilikua naumwa na mgongo nshku saii nskia vzri amen
Napokea uponyaji Kwa jina la yesu mungu akubariki sana pastor myamba
Nimepona katika jina la yesu❤
Bwana yesu uniponye na magnjwa ya baridi miguuni ,mishipa ya damu nyama na mifupa Baba uskie maombi yangu Amina
Mungu niponye Allerge kwa jina la yesu
Kichwa changu kilikua chaniuma shetan ameshidwa katika jina layesu Amen
Asante kwa uponyaji wa migiu magiti ya muda mrefu .Mungu nijalie kutembea vizuri sasa.kwa neema yako.😢❤
Mungu aniponye amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😢😢😢😢
Namshukuru mungu kwa uponyaji kichwa na shingo vilikuwa vinauma sana na masikio yalikuwa yanapiga kelele baada ya kusikiliza maombi nmepata utofauti mkubwa sana mungu azidi kukubariki mtumishi wa Mungu
Asante mungu wangu kwamtoa baba angu katika operation Asante mungu wangu 🔥🔥🔥🔥🙏🙏✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨
asante mungu nimepona Kwa jina la yesu
Napokea uponyaji kwa jina la Yesu
Mungu niponye maradhi yangu yote ktk jina YESU clisto
Amen. Maombi yamemponya jicho mwanangu. Asante Mungu
Mungu niguse katika afya yangu na kazi yangu na biashara yangu na mahusiano yangu na dalia zumba
Ameen Mama angu LOY MGELLA na dada angu ELINAMI AKYOO wapokee uponyaji sasa iv wakawe Huru na wapokee Nuru Ameen
Amina naomba mungu aniponye mifupa yangu iliyovunjika mara tatu iunge kwa jina la yesu
Ameen ubarikiwe sana mtumishi wa mungu nilikosa amani na kuona uzito ndan ya moyo sasa ni mzm nina aman kupitia maombi yako🙏🙏
Nimepona moyo wangu Mungu akubariki uponyaji wangu udum
Ahsante Bwana YESU kwa uponyaji wako!!!
Nashukuru mungu kwa kuniponya pamoja na familia yangu amen,
Mungu najuwa kwamaombi haya mimi nimzima kabisa Asante yesu kiristo
Nataka nipone jino Lina uvimbe in name Jesus
Ameeeeen asante Yesu nimepona Ameeen mtumishi ubarikiwe sana asante kwamaombi haya
Nashukuru Kwa maombi haya mama alikua anakohoa sana usiku huu nimeshika kifua changu badala yake ameacha kukohoa na amepata usingizi shetani ameshindwa Kwa jina la yesu Asante yesu
Asante yesu nilikuwa naumwa. A tumbo sasa iv limepo poa Asante yesuekwa uponyajk
Asante mungu wangu kwamyenyua Tena 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥✨✨✨✨✨
Mungu ningome imalasana
Ameen Pastor
Amen 🙏
Naomba yesu uniponye magonywa tote kwenye mwili wangu naomba namwanangu utuponye leo
Naamini nimepona katika jina la yesu kristo wa nazareth alie hai
Amen 🙏🏽 nimepona katika jina la yesu kristo 🙏🏽barikiwa mtumishi
Baba mungu 🙏 kupitia maombi haya baba angu akote operation akiwa hai🙏🙏🙏🙏😭😭😭
😊
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN
Mungu niondolee enia umeme urudi nipate pesa kwa njia rahisi nilipwe madeni yangu judico anipende
Asante sana mtumishi, nashukuru kwa uponyaji
Amina mtumishi nitatoa sadaka yangu ya uponyagi
Bwana Yesu mponye mamangu kipenzi anatungwa na mwiba chini ya mvavu ya left
Asante Yesu KWA uponyaji, watataharika, hawataweza.Wamekuja KWA njia 1, watatawanyika ktk njia 7.
Mtoto eliza pokea uponyaji kwa Jina la Yesu🙏🏾
Ameen bwana yesu asifiwe nshukur mngu nilikua naumwa na koo lkn saii nshukuru mngu amenfugua katk jinalayesu
Ameni🙏🙏🙏
Naomba mkumbuke kwenye maombi maana ndoa yangu inasumbua Sana mtumishi wa Mungu
Amina mchungaj bawasili ilinibana sana kwasasa naendelea vizur
Ameeeen nimepona kwa Jina Yesu
Mungu niponye UTI imekua sugu kwangu🙏🙏
Nimetuma sadaka yangu , maombi Yako yanazidi kunisaidia
Ameeeeeeeeeen 🔥🔥🔥🙏🙏✨✨
nimepona amen
Nimepona Kwa jina la yesu me sio mngonjwa tena
Ameen 🙏🏻
Asante kwa maombi ya uponyaji
Napona katika jina la yesu
Amen🙏🙏
Ameni napokea upon yagi kwa jina la yesu
Mngu anifungulie njia nkaweze kujifungua salama nmeumwa mda mlefu na sjifungui mngu tenda juuu ya hili kwa neema yako njia ikafunguke
healings apon me 😢😢 3weeks kichwa mfukulizo God
😇😇ameni tumepona kimwili na kiroho
Ameen malika mgonjwa sasa ni mzima
Ameen nimepokea uponyaji
AMEN
I received i received i received i received
Asante sana pastor Kwa maombi Yako yameniponya high blood pressure sahii nko swa mungu akubariki
God please heal me
Ee mungu uniponyaij
Amen baba napokea uponyaji kuanzia sasa Niko course lakini nilipata maumivu ya miguu gafula kw a maombi haya nimepona
Napokea uponyaji kwajina layesu
Napokea kwa jina layesu 🙏🙏🙏
Nimepona Kwa imani
Ameen
Ubarikiwe sana mtumishi kwa maombi ubarikiwe sana
Napokea ameni
Napokea uponyaji
Naomba nipoke uponyaji
Napokea afya
Nimepokea uponyaji katika jina la yesu
Asante yesu sofa kwako
Amen amen amen amen
Nimepona tumbo Kwa imani
.Ee yesj asnte muniponya
Asante Yesu maumivu ya moyo yamepungua Sasa nahc usingizi maana nilishindwa kulala
Nimepona kwa Jina la Yesu Kristo
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen I received
Amen Amen
Ameen 🙏🙏
Asante Mungu baba kwa uponyaji
🙏🙏🙏🙏🙏
Ameen and Ameen
Naokea uponyaji wa mama anapona Kansa na hali ya kujisikia kichefuchefu na vibaya vinaondoka sasa kwa jina la Yesu
Amen 🙏🙏🙏be blessed
Amen
Amen.
Amein nasema asnte san