MAOMBI YA SAA TISA USIKU/KUVUNJA MAAGANO YA UHARIBIFU-Pastor Myamba
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- #HOUSEOFVICTORYCHURCH #PASTORMYAMBA #LIVEHVCSERVICE
This is the Official RUclips Channel for Pastor Emmanuel Myamba. Is a Pastor of the HOUSE OF VICTORY CHURCH , This church is Headquartered in Kigamboni-Mbutu (Dar es salaam) Tanzania
-----------------------
For Offerings / Tithe and Seeds please send through Western Union / Money Gram / RIA and M-PESA: NETWORK: Vodacom, NUMBER: +255 744 982 517, NAME: Emmanuel Myamba, COUNTRY: Tanzania
-----------------------
Follow Us:
Instagram: / pastormyamba
Facebook: / pastor-myamba-12973112...
RUclips: / pastormyamba
Call: +255 744 982 517,+255 713 842 123,+255 686 953 030
Hasantee sana ubarkiwe sana nambayako mtumishi
Nimwhudumiwa Mtumishi Ahsante sana Mungu akulinde Mungu aendelee kukupigania katika kazi unayoifanya
Myamba kama myambaaa
Nionganishe wassup posted
Yesu unapodhuru wengine na mimi unikumbuke kupitia mtumishi wako uliempaka mafuta na maombi haya yesu ukakutane na aja za moyo wangu amen
Nifurahi sana kwahio maombi yasatinza nimembarikiwa sana
Amen amen amen
Karibu kenya mi ni apostle Dennis barasa kutoka chwele bungoma count
Omba nami mchungaji
Mawasiliano yako mtumishi
Mahitaji maombi pia pastor nasongwa na hofu yakifo Sana kimala nasikia sauti ndani yangu
Uniombeye,kîzàzi,kurudi,tumboni,kikoinje
Mahusiano
Bwana timiza haja za moyo wangu kupitia maombi haya
Navunja maagano ya kiukoo yote kwa jina la Yesu navunja agano la kiukoo kiugonjwa na ndoa hata kwa vizazi vya watoto na wajukuu zetu.navunja kabisaa
Shalom,naomba uniombee kufunga agano kwa mchumba wangu,alitamkiwa kwamba hatokuja kuoa maisha yake yote na mwanamke aliyekuwa naye kabla yangu,sasa uchumba wetu umekuwa na mafarakano hataki hat kuniona,
Pole mumy
Ameeeeeeeeeeen
Amen
Niunganishe wasap mtumishi
AMEN UBARIKIWE MTUMISHI WA MUNGU
Amen. barikiwa
Bwn nisaidie kuvunja maagano ya kifamilia,kichawi,njfungulie maagano ukoo
Naomba namba mtumishi
🙏🙏🙏🙏
Nataka nipate cheo ninacho kinda ktk moyo wangu na kinywa changu
Namba uniunge kwenye group la watsapp
AMEN AMEN
Usaidizi
Jambo mutumishi unisaidiye nanamba yako yawasp asant kumaombi yausiku inafanya kazi
Mimi mwenyewe nataka namba yake ya wsp ukipata unipe
Pastor nipo ktk Hali mbaya mama yangu ni mgonjwa tangu mwezi wa 8 kidonda Cha oparetion ya nyonga akiponi naomba msaada wako nakupataje ututembelee maana awezi ata kutembea
naomba niunge kwenye group
Mchungaji yesu answerable yote.naomba niombee nipate cheo kikubwa ktk siasa bila kutumia nguvu za kiza.natamani ukuu wa mungu ujidhihirishe watu wajue mungu ktk kugombea.sio waganga.nataka nionyeshe ukuu wa mungu
Wow 😲
niunge kwenye group
Pray for me how can I be in the WhatsApp group
Maagano ya waganga ,kila kikabila zote majini mapepo
Nuonganishe namimi mugroupe
Niunge kwenye group la what's up la ancha siku na Bwana
Jackei
Mtumishi naomba niombee wazazi wangu walifanya maagano na matambiko mengi na yananiafect uchumi wangu na afya yangu
Mtumishi naomba uniombe ninasumbuliwa na maumivu ya tumbo takriban miaka 9 sasa nimetumia dawa nyingi sana bila mafanikio nisaidie
Naomben namba ya huyu mtumishi wa Mungu
Mchungaji naomba n yako
Mnachukua muda mwingi Kwa maongea bila kuingiankwa maombi! Ni vyema kuokoa muda Kwa maombi sababu MTU anaamka Kwa maombi !
Amen naomba namba ya watsap mtumishi nina mahitaji😢
Maombi yako hua yananitia nguvu sana .kwa sasa na hitaji maombi niko saudia ninaumwa sana na mkono ulianza tu wenyewe vidole vinauma siezi shika kitu naumia sana nahitaji maombi mm ni mkenya
Amen munipe number zapasteur
Mtumishi namba ya whsp please
link ya group mtumishi
Niomba maombi mtumishi niunge wasp
Namba ya kujiunga kwenye group la WhatsApp naomba.
Amen amen amen
Ameni
Amen
Amin Amin