Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

MADHARA YA KUFUNUA NDOTO AU MIPANGO YAKO KABLA YA WAKATI SEH.(B)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 авг 2024
  • IKIWA HUJA ANGALIA SEH YA KWANZA BONYEZA HAPA
    • MADHARA YA KUFUNUA NDO...

Комментарии • 54

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 4 года назад +12

    inanishangaza sana lulu kama hizi watu wanazipita kama vile hawaoni lakini mambo mengine wanaya like.dah! Mungu atusaidie.

  • @angelicagulake3361
    @angelicagulake3361 4 года назад +3

    Huyu mchungaji ni blessing sana hebu Mungu aendelee kumtumia he is a gold bwana asifiwe juu yake

  • @bethpowl2444
    @bethpowl2444 4 года назад +3

    yaani mchungaji kama umeniona vile yaliyonikuta makubwa maono yameharibiwa kabisa mpaka najiuliza why me? lkn Mungu ni mwaminifu nimejifunza kitu,barikiwa sana

  • @samwelmsafiri8962
    @samwelmsafiri8962 4 года назад +2

    Nabarikiwa sans

  • @zubaidavicent1551
    @zubaidavicent1551 4 года назад +2

    Yaan mtumishi unayoyasema ni amin na kweli

  • @elizabethtondo5178
    @elizabethtondo5178 4 года назад +1

    Amen

  • @pauljohn5367
    @pauljohn5367 4 года назад +1

    Hakika Mungu yupo ndani yako Pr Mbaga nakupenda sana Mungu azidi kukubariki uendelee kutulisha chakula cha kiroho

  • @joemax77
    @joemax77 4 года назад +3

    Baba wa mbinguni azidi kukutumia, pastor

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 4 года назад +3

    Baba ninanufaikaga sana na masomo haya.ubarikiwe sana Pastor David.nimejifunza kua mkimya wa maono yangu.nitafunga mdomo wangu sawa na hilo neno ulilosema la matay.9:30.Haleluya.

  • @elizabethsamwel5924
    @elizabethsamwel5924 4 года назад +1

    Nabarikiwa sana mahubiri yako pr. Umenifundisha kunyamaza

  • @patriciasanga9848
    @patriciasanga9848 4 года назад +1

    Mungu akubariki Sana mtumishi wa Bwana wa Majeshi

  • @pauljohn5367
    @pauljohn5367 4 года назад +2

    Nimekuwa mtu wa ku feli kwa kila jambo kwasababu ya domo langu Mungu nisaidie kufunga hili domo langu

  • @richardnyakundi5895
    @richardnyakundi5895 4 года назад +1

    Asante pastor, nazidi kujifunza sana kutokana na mafundisho yako. Yamenijenga imani sana.

  • @gideonmajura2013
    @gideonmajura2013 4 года назад +3

    Asante kwa Sehemu ya pili.
    UBARIKIWE

  • @mossesjoseph2202
    @mossesjoseph2202 2 года назад

    Litukuzwe jina la Mungu aliye ndani yako.

  • @bernardomondi2632
    @bernardomondi2632 3 года назад

    AMEEN Mtumishi wa Mungu hapo kweli nimeona hayo Barikiwa sana

  • @naominasimiyu551
    @naominasimiyu551 4 года назад +5

    It's true pastor, God bless your life.

  • @butondodavid2105
    @butondodavid2105 Год назад

    Mtumishi Mungu akupe maisha marefu

  • @nippermshana9260
    @nippermshana9260 4 года назад +1

    Amen pastor

  • @beatricemageka7972
    @beatricemageka7972 4 года назад +1

    Asante pastor kwa somo nzuri,nimejifunza kunyamazia jonzi na Mungu anisaidie kwa kufunga mdomo wangu ifikapo kwa ndoto ya mipango yake kwa maisha yangu,Amina

  • @elizabethtondo5178
    @elizabethtondo5178 4 года назад +1

    Pastor namshukuru Mungu has uwepo wako ,somo hili limenigusa nimekuwa nikiweka mambo yangu wazi nimekuwa nikikutana na matatizo ila kupitia somo hili nimejifunza

  • @esternaftari4553
    @esternaftari4553 4 года назад +1

    Haya mchungaj natamani kuelew sana somo hili

  • @rachelmanema9044
    @rachelmanema9044 4 года назад +1

    Pastor ni km umeniona Mimi kabisa unakuta mtu ananichukia bila sababu ila nikicgunguza sana ngundua kuna vingi hatuendani Mungu akubariki sana na aendelee kukutumia utufungue zaidi

  • @emmanuelmbwambo6571
    @emmanuelmbwambo6571 3 года назад

    Ulinigusa na umenigusa tena,hili somo lina ujumbe muhimu SANA ktk maisha yetu sote hasa Mimi,lirudie mara nyingi kwa kadri uwezavyo mchungaji wangu (thanks much).

  • @salumadam2862
    @salumadam2862 4 года назад +1

    Mungu akubaliki sana

  • @zadockmedia2793
    @zadockmedia2793 4 года назад +1

    Amen🙏🙏🙏

  • @pascalnicolaus6986
    @pascalnicolaus6986 2 года назад

    Ahsante Mungu kwa zawadi hii! Hakika natamani ningeyasikia haya miaka mingi iliyopita.Hata hivyo nakushukuru kuliko nisingesikia kabisa.

  • @pauloropian8116
    @pauloropian8116 4 года назад +2

    Hallelujah, Glory be to God.

  • @pauloropian8116
    @pauloropian8116 4 года назад +2

    Amen God bless you.

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 3 года назад

    Amina Asante pastor kwa Mashauri

  • @msafiribenjamin104
    @msafiribenjamin104 4 года назад +8

    Jambo mchungaji, kwa kweli mafundisho yako yanazidi kunijenga kabisa katika Imani.mimi ni msabado niko DRC lakini napenda unisaidie katika Jambo fulani kwani lina nisumbua sana. Kwa hali alisi ambayo inchi yangu iko na pitiya katika kipindi iki inanifanya mimi kutaka kutimiza malengo yangu, mimi nakuaka na ndoto yakutaka niwe mfanya siasa lakini sasa mambo ambayo niko naota inatafautiana na malengo yangu.mara ya
    1: nilipata ndoto mimi ninaenda kuomba msaada wa pesa kwenye mtu mkubwa katika serekali ili nikajenge kanisa, baadae nikaona nimesimamia ujenzi wa kanisa kubwa mpaka ujenzi ulivyo kamilika kisha nikaona naanza kupima vyombo ndani ya kanisa iyo ( vipaza sauti pamoja na vyombo vya muziki ).
    2: siku nyingine nikaona niko katika mkutano mkubwa niko na towa neno la Mungu.
    Mpaka sasa pasta niko najiuliza maana ya ndoto izo na siyapata jibu hata kidogo. Niko nakuomba mchungaji unieleweshe kwa undani zaidi kuusu ndoto izo.lakini ndoto zipo nyingi ambazo zinatofautiana lakini nikichunguza vizuri zina malengo tu moja.ninapenda nifaamu Mungu anamalengo gani na mimi ?, Asante kwa usikilivu mwema.

    • @albertinemacimu1247
      @albertinemacimu1247 4 года назад

      +255755932283

    • @albertinemacimu1247
      @albertinemacimu1247 4 года назад

      Ndugu yangu msafiri mpaka hapo nimehamua kukuachia hiyo namba kwa sababu umeheleweshwa vizuri sana katika somo kama unaneno hadi hapo tafuta hiyo namba ili kufikisha ujumbe kama huo ulioandika na mengine ulionayo Mungu akubariki

  • @aimeirankunda2338
    @aimeirankunda2338 3 года назад

    Mungu akuzindishiye mafuta mutumishiwa Mugu

  • @esthermatheka97
    @esthermatheka97 4 года назад +1

    Blessing my life.mungu in fundishe kunyamaza

  • @asooraaasooraa4816
    @asooraaasooraa4816 4 года назад +1

    Amina sana

  • @halimasaidi4054
    @halimasaidi4054 4 года назад

    Ubarikiwe sana

  • @aliladavid9766
    @aliladavid9766 4 года назад +1

    UBARIKIWE KWA SOMO ZURI SANA PR.

  • @justinemajula1882
    @justinemajula1882 4 года назад +1

    Good

  • @shaniachanceline2751
    @shaniachanceline2751 4 года назад +1

    Ameeeeen 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼💖💓😍🥰

  • @albertinemacimu1247
    @albertinemacimu1247 4 года назад +1

    Amina

  • @yusuph1547
    @yusuph1547 4 года назад +1

    Nataman nijue kusikiliza sauti ya Mungu,sijui bado,masomo haya yanachoma sana maana kila kitu kilichoongea kina ukwel

  • @jackneymasamson8335
    @jackneymasamson8335 4 года назад +1

    I'm Connecting faith through Christ Jesus and I Agree, believe and receive this powerful Prayers upon my life and my Son and my family in the Mighty name of Jesus Christ because our Help Comes from Jehovah God the maker of the Heaven and Earth in Jesus Might name amen and amen Hallelujah Glory be to God

  • @emmanuelmbwambo6571
    @emmanuelmbwambo6571 3 года назад

    Mimi nimemwambia MKE wangu pastor nikifikiri ni mtu sahihi nafanyaje mchungaji nisaidie 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭.

  • @goryowaibe3149
    @goryowaibe3149 4 года назад

    Ahsante mtumishi kwa mafundisho yako

  • @halimasaidi4054
    @halimasaidi4054 4 года назад

    Nimejifunza kitu mchungaji

  • @mussamagali9353
    @mussamagali9353 3 года назад +1

    Kama unamuelew muchugaji goga like

  • @emmanuelmbwambo6571
    @emmanuelmbwambo6571 3 года назад

    SAWA mchungaji wangu Sasa tunafanyaje?p0.piqsels.com/preview/33/215/657/pastor-preaching-bible.jpg

  • @ruthaminga7160
    @ruthaminga7160 3 года назад

    Amen