SIRI KUBWA KUHUSU VYAKULA SEH 2. (USIACHE KUANGALIA HADI MWISHO)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • WENGI MLITUMA UJUMBE KUHUSU SEH YA 2 YA SOMO HILI,SASA LIMEFIKA,ANGALIA HADI MWISHO

Комментарии • 55

  • @josephshidukiseni8758
    @josephshidukiseni8758 5 лет назад +6

    kupitia ww pastor nabarikiwaa sanaaa.... mungu akupatie umri mrefuuuu

  • @sabrinakenya2353
    @sabrinakenya2353 5 лет назад +4

    Asante Mchungaji kwa mafunzo mazuri ya kutuelimisha Mungu akuweke.

  • @MahubiriPrMmbaga
    @MahubiriPrMmbaga  5 лет назад +5

    Amen

  • @SamweliDaud
    @SamweliDaud 5 лет назад +6

    Mungu aendelee kukupa nguvu Mchungaji David Mbaga

  • @eddahnyongesa7020
    @eddahnyongesa7020 5 лет назад +6

    Mungu akubariki saaaana karibu kenya

  • @upendotv2776
    @upendotv2776 Год назад

    Aminaa PR Mungu kubariki na azidi kukupa nguvu na ufanye kzi yake

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial6083 4 года назад +1

    Amen asante Yesu kwa mafunzo haya ya chakula ubarikiwe zaidi mchungaji . kumbe nimekua nikijiua polepole

  • @hamisilumona7163
    @hamisilumona7163 3 года назад +1

    Mungu akubariki sana pasteur David. Nimejifunza mengi kutoka kwako. Mimi natumia mafuta ya olive na canola.

  • @fei3668
    @fei3668 5 лет назад +3

    Mungu akubarik mtumishi

  • @saimonmichael792
    @saimonmichael792 5 лет назад +2

    munguakubariki mtumishi kwakazinjema

  • @chamdada3812
    @chamdada3812 5 лет назад +3

    Muhubiri Mungu akubariki Sana.

  • @bobog9732
    @bobog9732 5 лет назад +5

    Amina

  • @akinyisusan8049
    @akinyisusan8049 5 лет назад +3

    AMEN nabarikiwa sana nikiwa hapa Iraq Baghdad

  • @watwegopnina6480
    @watwegopnina6480 4 года назад +2

    Amen, Mungu akubariki nasi pia

  • @cynthianawambugha7663
    @cynthianawambugha7663 4 года назад +2

    Kweli kabisa kwanza wenye tunaishi nchi za inje mtuombee sana. Sasa fanya utafiti wa sufuria ninaamini chungu ndio kifaa kifaa kinyewe kwa sababu pia sisi ni udogo. Mungu akubariki, akulinde na aendelee kujitetea

  • @dennisdeogratius6558
    @dennisdeogratius6558 Год назад

    Pastor this is total truth ubarikiwe sanaa

  • @angel-y
    @angel-y 5 лет назад +4

    Amen. Barikiwa sana.

  • @mbarikiwambarikiwa3988
    @mbarikiwambarikiwa3988 4 года назад +1

    Ee Mwenyezi Mungu tusaidie dunia ni ngumu.

  • @shimwekagwiza2300
    @shimwekagwiza2300 5 лет назад +3

    Asante kwasomo zuri

  • @eliabamayi4344
    @eliabamayi4344 4 года назад +2

    Jamani mchungaji unafundisha hadi najihurumia nafsi yangu Mm niko huku Bahrain Lakini vyakula venye tunakula kweli ni hatari hadi tunapewa damu ya mnyama flani apo ati tueke kwa mboga,, mara Sijui mafuta ya swara ati tutie kwa chakula yaani ni mungu tu ndio anatulinda huku Bahrain

  • @seraphinembila1199
    @seraphinembila1199 5 лет назад +3

    Ubarikiwe sana muchungaji

    • @ngendahayongenasamuel2903
      @ngendahayongenasamuel2903 5 лет назад +1

      Mafunisho haya mazuri sana. Lishe aiendani na imani. Nagundua kwa nini mtu akatae kula baadhi ya wanyama na samaki mbali na imani. Kwani wengi hukazia tu, imani. Asante sana mchungaji kwa kuelimisha. Mafundisho safi.

    • @ngendahayongenasamuel2903
      @ngendahayongenasamuel2903 5 лет назад +1

      Weka sehemu ya kwanza.

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  5 лет назад +1

      Ngendahayo Ngena Samuel Hii hapa
      ruclips.net/video/B0PPp4CoXbw/видео.html

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  5 лет назад +1

      Angalia sehem ya kwanza hapa
      ruclips.net/video/B0PPp4CoXbw/видео.html

  • @mashakamkolwi7829
    @mashakamkolwi7829 5 лет назад +3

    asante kwasomo la vyakula .

  • @maxlove2668
    @maxlove2668 4 года назад +2

    🙏🏻🙏🏻

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 2 года назад

    Nondo za kutosha mungu akutangulie Vita kali

  • @SamweliDaud
    @SamweliDaud 5 лет назад +4

    wow

  • @davidsabai5051
    @davidsabai5051 5 лет назад +4

    Amina pastor hicho kitabu tarime nitakipata wapi

  • @shukranjulius5910
    @shukranjulius5910 3 года назад

    Amina barikiwa zaidi pastor 🤝

  • @gloriatoo22
    @gloriatoo22 3 года назад

    Asante ubarukiwe nchungaju

  • @t7zkc5tpxgim28
    @t7zkc5tpxgim28 4 года назад +2

    Mungu akubariki sana pastor

  • @EmmaMachela-yx1lp
    @EmmaMachela-yx1lp Год назад

    Mchungaji ubarikiwe kwamahubiri mazuri nimebarikiwa

  • @jfradormonwy5672
    @jfradormonwy5672 5 лет назад +3

    Ningeomba unielezee kidogo kuusiana na hao anunaki

  • @judithcherono4141
    @judithcherono4141 4 года назад +1

    Asanti pastor live long in Christ🙏🙏

  • @shukranjulius5910
    @shukranjulius5910 3 года назад

    Pastor kiukweli umeniongoa Sisi tulioko nchi za ugaibuni kiukweli hakuna kuku wakienyeji ila atukuzwe Mungiu kwakupitia masomo haya sitakula kuku tena badala yake nitakula vegetable mpaka nitakapo rejea Tanzania Bwana akubariki sana 🙏

  • @jacobmunyua
    @jacobmunyua Год назад

    Pastor Nina swali mbona unasema mungu alieda kuona mnara unavyojegwa na mungu sema yote TU yatedayo anakunga anatuna alafu ni munyua from Kenya??

  • @mbarikiwambarikiwa3988
    @mbarikiwambarikiwa3988 4 года назад +2

    Je mafuta ya pamba nayo hayafai au yako sawa??.

  • @jfradormonwy5672
    @jfradormonwy5672 5 лет назад +3

    Naje mbona kunahiki kitabu cha enoko kilicho patikana hivi karibuni kinaelezea vitu vingine kabisa hichi nacho kinakuwaje?

    • @theogenensanze4793
      @theogenensanze4793 5 лет назад

      Ukiangalia kimechapishwa upya, maana kuna kama maandiko mengi ya uongo ,kwa mfano MWANZO 6:1... kuna uongo umeingizwa mle.

  • @BashiruSajasi-tb3wi
    @BashiruSajasi-tb3wi Год назад

    Kumbe soda kashetan kastarab harafu tunakanunua du

  • @jfradormonwy5672
    @jfradormonwy5672 5 лет назад +2

    Jmn na swali ? Iv mchungaji unawajua anunaki

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @irenemasheli9360
    @irenemasheli9360 5 лет назад +3

    Amen