Kweli kabisa kwanza wenye tunaishi nchi za inje mtuombee sana. Sasa fanya utafiti wa sufuria ninaamini chungu ndio kifaa kifaa kinyewe kwa sababu pia sisi ni udogo. Mungu akubariki, akulinde na aendelee kujitetea
Jamani mchungaji unafundisha hadi najihurumia nafsi yangu Mm niko huku Bahrain Lakini vyakula venye tunakula kweli ni hatari hadi tunapewa damu ya mnyama flani apo ati tueke kwa mboga,, mara Sijui mafuta ya swara ati tutie kwa chakula yaani ni mungu tu ndio anatulinda huku Bahrain
Mafunisho haya mazuri sana. Lishe aiendani na imani. Nagundua kwa nini mtu akatae kula baadhi ya wanyama na samaki mbali na imani. Kwani wengi hukazia tu, imani. Asante sana mchungaji kwa kuelimisha. Mafundisho safi.
Pastor kiukweli umeniongoa Sisi tulioko nchi za ugaibuni kiukweli hakuna kuku wakienyeji ila atukuzwe Mungiu kwakupitia masomo haya sitakula kuku tena badala yake nitakula vegetable mpaka nitakapo rejea Tanzania Bwana akubariki sana 🙏
kupitia ww pastor nabarikiwaa sanaaa.... mungu akupatie umri mrefuuuu
Amen
Asante Mchungaji kwa mafunzo mazuri ya kutuelimisha Mungu akuweke.
Amen
😍
Amen 🙏
Mungu aendelee kukupa nguvu Mchungaji David Mbaga
Mungu akubariki saaaana karibu kenya
Aminaa PR Mungu kubariki na azidi kukupa nguvu na ufanye kzi yake
Amen asante Yesu kwa mafunzo haya ya chakula ubarikiwe zaidi mchungaji . kumbe nimekua nikijiua polepole
Mungu akubariki sana pasteur David. Nimejifunza mengi kutoka kwako. Mimi natumia mafuta ya olive na canola.
Mungu akubarik mtumishi
munguakubariki mtumishi kwakazinjema
Muhubiri Mungu akubariki Sana.
Amina
AMEN nabarikiwa sana nikiwa hapa Iraq Baghdad
Amen, Mungu akubariki nasi pia
Kweli kabisa kwanza wenye tunaishi nchi za inje mtuombee sana. Sasa fanya utafiti wa sufuria ninaamini chungu ndio kifaa kifaa kinyewe kwa sababu pia sisi ni udogo. Mungu akubariki, akulinde na aendelee kujitetea
Pastor this is total truth ubarikiwe sanaa
Amen. Barikiwa sana.
Ee Mwenyezi Mungu tusaidie dunia ni ngumu.
Asante kwasomo zuri
Shimwe Kagwiza Amen
Jamani mchungaji unafundisha hadi najihurumia nafsi yangu Mm niko huku Bahrain Lakini vyakula venye tunakula kweli ni hatari hadi tunapewa damu ya mnyama flani apo ati tueke kwa mboga,, mara Sijui mafuta ya swara ati tutie kwa chakula yaani ni mungu tu ndio anatulinda huku Bahrain
Ubarikiwe sana muchungaji
Mafunisho haya mazuri sana. Lishe aiendani na imani. Nagundua kwa nini mtu akatae kula baadhi ya wanyama na samaki mbali na imani. Kwani wengi hukazia tu, imani. Asante sana mchungaji kwa kuelimisha. Mafundisho safi.
Weka sehemu ya kwanza.
Ngendahayo Ngena Samuel Hii hapa
ruclips.net/video/B0PPp4CoXbw/видео.html
Angalia sehem ya kwanza hapa
ruclips.net/video/B0PPp4CoXbw/видео.html
asante kwasomo la vyakula .
🙏🏻🙏🏻
Nondo za kutosha mungu akutangulie Vita kali
wow
Amina pastor hicho kitabu tarime nitakipata wapi
Amina barikiwa zaidi pastor 🤝
Asante ubarukiwe nchungaju
Mungu akubariki sana pastor
Amina
Mafuta ya mizeituni yañafaa kupikia
Ndio ila usikaangie
Mchungaji ubarikiwe kwamahubiri mazuri nimebarikiwa
Ningeomba unielezee kidogo kuusiana na hao anunaki
Jfrado rmonwy Number yako?
@@MahubiriPrMmbaga 0786404259
Asanti pastor live long in Christ🙏🙏
Pastor kiukweli umeniongoa Sisi tulioko nchi za ugaibuni kiukweli hakuna kuku wakienyeji ila atukuzwe Mungiu kwakupitia masomo haya sitakula kuku tena badala yake nitakula vegetable mpaka nitakapo rejea Tanzania Bwana akubariki sana 🙏
Pastor Nina swali mbona unasema mungu alieda kuona mnara unavyojegwa na mungu sema yote TU yatedayo anakunga anatuna alafu ni munyua from Kenya??
Je mafuta ya pamba nayo hayafai au yako sawa??.
Naje mbona kunahiki kitabu cha enoko kilicho patikana hivi karibuni kinaelezea vitu vingine kabisa hichi nacho kinakuwaje?
Ukiangalia kimechapishwa upya, maana kuna kama maandiko mengi ya uongo ,kwa mfano MWANZO 6:1... kuna uongo umeingizwa mle.
Kumbe soda kashetan kastarab harafu tunakanunua du
Jmn na swali ? Iv mchungaji unawajua anunaki
Jfrado rmonwy Ndio
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
Amen