#1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 50

  • @YustinaNemes
    @YustinaNemes 3 месяца назад

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu, nimekuwa ujasiri sasa

  • @kabalizasekanabomarko6063
    @kabalizasekanabomarko6063 Год назад

    Amen mtumishi wa Mungu. Kwa kweli hofu na oga imetufanya kurudi sana katika kazi ya Mungu. Ila kupitiya iyi mahubiri. Nimejisikiya nguvu nyingi sana tena ndani yangu. Mungu akuzidishiye nguvu.

  • @lucymwakisuma8658
    @lucymwakisuma8658 3 месяца назад

    Amina, mungu na azidi kukubariki n kwa ajili ya neno lake ,nabarikiwa kabisa

  • @hellenratemo2813
    @hellenratemo2813 2 года назад

    Amen am so blessed nice
    courageous ND powerful message I ave learn a lot from this sermon praying believing ND trusting God is the key God bless you pastor

  • @godlovemapunda774
    @godlovemapunda774 2 года назад

    Nabarikiwa sana na hili somo limenigusa barikiwa pastor

  • @eunicekarembo7806
    @eunicekarembo7806 4 года назад +3

    Asante mwalimu kwa somo zuri. Bwana akubariki!

  • @eustina837
    @eustina837 2 года назад

    Amina Mungu atukuzwe

  • @redemptakajungiro8599
    @redemptakajungiro8599 4 года назад +5

    Amen Pastor. Nabarikiwa sana na mahubiri yako. Shetani alitaka kujitukuza katika hilo na hakika ameshindwa katika jina la Yesu Kristo 🙏

  • @florahdiame6268
    @florahdiame6268 2 года назад

    Amina saan mchungaji

  • @RajinaMagimpe
    @RajinaMagimpe 21 день назад

    Amina nimebarikiwa kupitia somo ziri

  • @roselineonyango3159
    @roselineonyango3159 4 года назад +1

    Nimeshukuru Mungu sana kwa kunielekeza kwa mahubiri hii. Inanilenga maisha kabisa sababu nimepambana ba woga ba wasi wasi kwa maisha yangu. Naamini Mungu ataniongoa ba hio roho katika jina la Yesu Kristo.

  • @linetokuku5390
    @linetokuku5390 3 года назад

    Amen Amen mtumishi barikiwa

  • @godfreymsuya-no3fi
    @godfreymsuya-no3fi Год назад

    Ubarikiwe sana mtumishi Yani nmekuwa jasiri mpk najicheka mwenyewe kumbe hofu ilikuwa imenitawala ila saivi kupitia maneno Yako kutoka Kwa MUNGU nmekuwa jasiri

  • @ceceliawamboi3636
    @ceceliawamboi3636 4 года назад +2

    Amen

  • @godlovemapunda774
    @godlovemapunda774 2 года назад

    Ameeen

  • @angelsogolani1991
    @angelsogolani1991 2 года назад

    I keep on laughing with your stories..Amen! the message is so touching and powerful..mungu aendelee kukubariki mchungaji

  • @damariskerubo6784
    @damariskerubo6784 4 года назад +2

    Asante sana mchungaji kwa mafundisho yako ila leo nina swali... Kuna vile sijajielewa maana uoga unaponingia mimi ina maana kuna jambo fulani lenye hautaenda sawa yaani halitaendana na mazingira mfano: lkawa nimeamka kuchelewa automatically nitachelewa kazini na kwa hilo uoga unajua tumboni kuwa nitafokewa lakini nilitoka napata hali ni safi na kipindi kingine nikachelewa na kuchukulia kawaida tu hapo ndio nilijua jiji. Nashindwa kutambua hili

  • @mercynyanchoka6283
    @mercynyanchoka6283 3 года назад

    Hofu imekua ikinisumbua sana, lkn kwa sababu ya mahubiri haya imeshindua kwamgu ktk jina la yesu, barikiwa pastor wangu

  • @thischildsofunny9872
    @thischildsofunny9872 2 месяца назад

    Am from Kenya I was in fear now am strong

  • @otiliahaule5180
    @otiliahaule5180 4 года назад +1

    Asante Mchungaji hili somo ni langu🙏🙏

  • @barakamalendeja6554
    @barakamalendeja6554 4 года назад +3

    God bless you Pastor

  • @ireneorina3560
    @ireneorina3560 4 года назад +1

    God bless you pastor

  • @alexeliya7813
    @alexeliya7813 3 года назад

    Asante mungu kwa kusema na mm

  • @donaldmwahalende4841
    @donaldmwahalende4841 4 года назад +1

    Ubarikiwe

    • @janechagie4277
      @janechagie4277 4 года назад

      Ubarikiwe mtumishi mahubiri yako yananibariki

  • @mashaeliazer7433
    @mashaeliazer7433 4 года назад +1

    Amina

  • @comfort7140
    @comfort7140 4 года назад +3

    Asanteh sana Ubarikiwe MTUMISHI wa MUNGU Kwa neno lenge NGUVU na lililokuja Kwa wakati sahihi kabisa.......lenye uponyaji.
    WOGA ~ni roho ya shetani ~
    IMANI ~ni roho ya MUNGU~
    AMEN 🙏🙏🙏

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 4 года назад

    Amina.

  • @سادهمحمد-ب1ض
    @سادهمحمد-ب1ض 4 года назад +2

    Sauti haipo mtumishi rudia cjasikia

  • @ceceliawamboi3636
    @ceceliawamboi3636 4 года назад +2

    Bona hatusikii

  • @aishambise6529
    @aishambise6529 4 года назад +1

    Zamani kila sehem ukienda mizabibu ilijaa hadi porini sikuizi imejaa miba tu mungu turehem

  • @florabenard707
    @florabenard707 4 года назад

    Ameeeeeeeen

  • @YustinaNemes
    @YustinaNemes 3 месяца назад

    Haki pasta umenitoa kwenye mateso ya hofu

  • @MabonzaVincent
    @MabonzaVincent 4 года назад +1

    Mic imefanya je Ndugu
    Naona hatusikii

  • @kelvinkimambo1022
    @kelvinkimambo1022 2 года назад

    Ni woga tu hofu

  • @nm1617
    @nm1617 4 года назад +1

    Amen

  • @nyangaustella8741
    @nyangaustella8741 4 года назад +1

    Amina

  • @YustinaNemes
    @YustinaNemes 3 месяца назад

    Haki pasta umenitoa kwenye mateso ya hofu

  • @puritychogoro
    @puritychogoro 4 года назад +2

    Amen

  • @peninadunda6348
    @peninadunda6348 3 года назад

    Amina

  • @iomeke
    @iomeke 2 года назад

    Amina

  • @lreneauma1762
    @lreneauma1762 4 года назад +1

    Amen

  • @christinamakwi4533
    @christinamakwi4533 Год назад

    Amina

  • @zipporahnyanchoka4291
    @zipporahnyanchoka4291 4 года назад

    Amen

  • @KaskeboyKaskeboy
    @KaskeboyKaskeboy 4 месяца назад

    Amen

  • @YustinaNemes
    @YustinaNemes 3 месяца назад

    Amen