Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

UFANYE NINI PALE UNAPOPATA NDOTO MBAYA? ( SEH. B)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 июн 2020
  • Ikiwa hukuangalia sehem ya kwanza bonyeza hapa • UFANYE NINI PALE UNAPO...

Комментарии • 71

  • @graceesiabia5379
    @graceesiabia5379 3 года назад +8

    I'm not a seventh day Adventist but I feel and appreciate the work of God through the holy spirit in mchungaji.

  • @setholivier4862
    @setholivier4862 4 года назад +6

    God bless you cameraman and all staff members.

  • @froline5209
    @froline5209 Год назад +1

    Asante mchungaji nimepata jambo la kufanya katika somo hili la ndoto.

  • @rehabokaya2232
    @rehabokaya2232 2 года назад +1

    Amina Amina mchungaji asante kwa mahubiri hayo umenisaidia sana be blessed

  • @shafiihamis2344
    @shafiihamis2344 3 года назад +1

    Ameen ubarikiwe Sana mtumishi wa mungu

  • @nellyn2809
    @nellyn2809 4 года назад +2

    Mafunzo mazuri sana am blessed.Ubarikiwe muhubiri

  • @rahelfrancis7817
    @rahelfrancis7817 4 года назад +2

    Amina barikiwa pastor

  • @user-dh7yg6dl5e
    @user-dh7yg6dl5e 3 месяца назад

    Baba shikamoo asante kwa mafundisho mazuli

  • @watwegopnina6480
    @watwegopnina6480 4 года назад +2

    Amina mchungaji, Mungu akubariki sana

  • @marymungai889
    @marymungai889 4 года назад +1

    Amen mafunzo mazuri..ubarikiwe mtumishi

  • @bahatijohn4877
    @bahatijohn4877 3 года назад +2

    Yaan wasabato adi raha unarusiwa kabisa kuuliza maswali adi raha mweee

  • @arnoldtagaya4981
    @arnoldtagaya4981 2 года назад +1

    Bwana Yesu asifiwe Mchungaji nimebarikiwa sana na somo hili la ndoto nimekuelewa sana. Naitwa Arnold Tagaya niko Dar

  • @user-bx5nc8ge6r
    @user-bx5nc8ge6r 8 месяцев назад

    Alléluia 👋🙏🙏nashukuru sana mtumishi wa mungu

  • @patriciamatunduru9706
    @patriciamatunduru9706 4 года назад +1

    Mungu akubariki Sana mtumishi Wa Bwana!

  • @vanenyanchwa4784
    @vanenyanchwa4784 4 года назад +5

    nifanyeje,kuna rafiki nilisoma naye high school my deskmate nashinda kumuota tangu tutoke high school akinitembeza kwa maji nimeomba lakini bado namuotanga

  • @eugeniamsilikale8687
    @eugeniamsilikale8687 3 года назад +1

    Amina

  • @edinaclemence8977
    @edinaclemence8977 4 года назад +1

    Amina. Mtumishi wa Mungu nimesikiliza somo hili na nilikuwa na ushindani mkubwa maana inaniusu.Ni mwaka wa 16 sasa naota niko shule nawakati shule sikumaliza niliachia kidato cha pili baada ya kukosa ada. Kwa hiyo maisha yangu nimeishi hivyo uchumi wangu unapanda na kushuka. Nikumbuke ktk maombi Mtumishi.

    • @elpidiusezekiel2729
      @elpidiusezekiel2729 4 года назад

      Niliwah kusikliza moja ya mafundisho yake alisema asa kuhusu iyo ndoto ya kurudi shule na wakati ulishamaliza zaman, akasema kuna maroho yanakupeleka tena kwenye hari ya awali tena uliyokuwa nayo mfno umasikini au tahabu na maangaiko ivo yakupasa kuomba ili Mungu akunusuru na kila mipango ya adui, na mimi nilikuwa muhanga wa ndoto iyo tena ilikuwa inajirudia na nikaw naharibikiwa sana lakini Mungu alinitetea nilipojua nakuanza kuomba.

  • @perisbosibori2249
    @perisbosibori2249 3 года назад +2

    God bless you so much pastor. I'm so blessed with your preaching.

  • @NyamariFaith-qu1jm
    @NyamariFaith-qu1jm 7 месяцев назад

    Thanks pastor for powerful teaching,but I always dream am in school doing exam but I can't always understand the question

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 4 года назад +1

    Aminaa barikiwa sana

  • @mrwandamrwanda3751
    @mrwandamrwanda3751 2 года назад +1

    Mungu mwema akubariki sana kwa neno

  • @esternaftari4553
    @esternaftari4553 4 года назад +1

    Ni kweli mchungaj ubarikiwe sana

  • @nippermshana9260
    @nippermshana9260 4 года назад +1

    Barikiwa Sana pr.

  • @gracej876
    @gracej876 4 года назад +1

    Barikiwa pastor

  • @samsonkasaki4549
    @samsonkasaki4549 4 года назад +1

    Ubarikiwe pastor!

  • @estermshomi6139
    @estermshomi6139 4 года назад +3

    Pr, asante sanaa kwa mafundish haya, yamenigusa

  • @vanenyanchwa4784
    @vanenyanchwa4784 4 года назад +1

    kudos
    God bless you pastor David

  • @lennybaabrah6752
    @lennybaabrah6752 4 года назад +1

    Amen Amen,Ubarikiwe sana Pastor.

    • @hono1232
      @hono1232 3 года назад

      Bando lako dogo

  • @otiliahaule5180
    @otiliahaule5180 4 года назад +1

    Asante pastor kwasomo la ndoto

  • @paulineditutu6208
    @paulineditutu6208 4 года назад +2

    Bjr pasteur , sois beni

  • @imgracesamwel3999
    @imgracesamwel3999 3 года назад

    Mchungaji mungu akubariki umefundisha somo limenijenga amen

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina4396 7 месяцев назад

    Amen

  • @janetkahada5206
    @janetkahada5206 4 года назад +1

    amen amen

  • @dibogodibogo9358
    @dibogodibogo9358 4 года назад +1

    Mchungaji, ubarikiwe kwa mafundisho yako. Mm nilikuwa nikiota Mara kwa Mara kwamba nasifiwa Sana na Kaka yangu ambaye ni marehemu. Wakati akiwa hai hakuwahi kunisifia katika Jambo lolote. Pia nimewahi Kuota binti ya Kaka yangu, na Kaka yangu wamekufa kwa siku moja, na hawa wote ni marehemu, tena walikufa kwa nyakati tofauti tofauti. nisaidie kujua hizi ndoto Zina maana gani.

  • @keniyakeniya8381
    @keniyakeniya8381 3 года назад +1

    Lakini mchungaji mimi huota mala nyingi Sana lakini kila siku siikumbuki yani the more I try to remember the more I forget ..na Hilo Jambo limekua likinisumbua Sana sijui nifanyeje

  • @Itsjona1
    @Itsjona1 3 года назад

    Asante sana Pastor

  • @raghadmubarak553
    @raghadmubarak553 4 года назад +2

    Kweli mtumishi yalinikuta hayo ya ndoto nikapuzia nayakatimia

  • @enocktvonline8465
    @enocktvonline8465 Год назад

    Hili somo nimelitafuta sana nijue maana yake kwa mfano wa mtumishi serikalini Nimepata jibu

  • @zipporahnyanchoka4291
    @zipporahnyanchoka4291 3 года назад +1

    Amen,following from 254

  • @beatriceamissi5144
    @beatriceamissi5144 4 года назад +1

    Amena

  • @Estherm309
    @Estherm309 2 года назад

    Amen Amen Amen Amen Amen

  • @jackynyakundi1740
    @jackynyakundi1740 4 года назад +1

    Asante sana mchungaji. Mungu akubariki sana🙇🏽‍♀️

  • @cathshuma1621
    @cathshuma1621 4 года назад +1

    Ameeen

  • @monniekevin9303
    @monniekevin9303 3 года назад

    Amen amen 🙏

  • @cyrusmagonya2670
    @cyrusmagonya2670 3 года назад +1

    Asante pr kwa mafunzo, Sasa Nina hakika mingi za ndoto zangu ni ugali

  • @dilurai4204
    @dilurai4204 3 года назад

    Amen,

  • @simonkaumba7030
    @simonkaumba7030 Год назад +1

    Hallo my pastor how are you doing mchungaji napendezwa Sana Nahuduma zako,Sasa nikuombe kama ikiwezikana niyapate Aya masomo kwanjiya ya Gmail ?

  • @vanishMekubo
    @vanishMekubo 8 месяцев назад

    Pastor naulisa niseme unaopewa alafu uyo menye anaombewa anataja wenye wanamlonga ama wanamsumbua ambo sasa utasema aje

  • @peninahAlphonce17
    @peninahAlphonce17 3 года назад +1

    Kuna ndoto niliota zaidi ya Mara 3, iliniangaisha kujua maana yake, but sikuona niulize yeyote! Baada ya kuskiza hii video na kuifatillia ndio najua ndoto huwa zatafsiriwa!! Na mimi nishasahau niliota nini

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio 4 года назад +1

    Niliwahi kuota ndoto moja inayofanana na aliyoota kijana wangu ucku huohuo.....! KM SI MUNGU NISEME SASA!

  • @ziadaziada1613
    @ziadaziada1613 3 года назад

    Mchungaji nakuomba unisaidie Mimi nikiota ndoto yaan inakuw ni ya kutisha lakini sikumbuki hata zikiwa nzuri sizikumbuki sasa tatizo nini mchungaji

  • @johnmtey1232
    @johnmtey1232 3 года назад

    Una Roho mtakatifu

  • @nicholausjoseph6176
    @nicholausjoseph6176 4 года назад

    Mchungaji mimi nakufatilia kwenye mahubiri tv ila kila nikitaka kudownload zinakataaa nifanye nini

  • @wisdomdeus1039
    @wisdomdeus1039 Год назад

    Kuota unakemea inamaana fan?

  • @halimaelizabethamuli254
    @halimaelizabethamuli254 2 года назад

    Amen

  • @keniyakeniya8381
    @keniyakeniya8381 3 года назад +1

    Lakini mchungaji mimi huota mala nyingi Sana lakini kila siku siikumbuki yani the more I try to remember the more I forget ..na Hilo Jambo limekua likinisumbua Sana sijui nifanyeje

  • @josephkivunge7501
    @josephkivunge7501 4 года назад +1

    Amina

    • @loycep7785
      @loycep7785 4 года назад

      Asante pastor mafundidho haya yamenijenga na kunibariki maana watu wengi huniuliza mara kwa mara niwatafasilie ndoto lkn huwa najibu kama ulivyofundisha barikiwa pastor

  • @esthermsely3537
    @esthermsely3537 2 года назад

    Amen

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial6083 4 года назад +1

    Amen

  • @dinahisaboke171
    @dinahisaboke171 4 года назад +1

    Amen