Комментарии •

  • @mishimishi6952
    @mishimishi6952 3 года назад +3

    Ubarikiwe mtumishi wa mungu mahubiri yako yalinifungua kifungo nilicho nacho na bado naendelea kubarikiwa hata time nyingine nikama unanihubiria mimi ubarikiwe saana

  • @mburujamburuja548
    @mburujamburuja548 4 года назад +7

    Mafundisho mazuri. Nabarikiwa from Germany.

  • @eliyajames5549
    @eliyajames5549 3 года назад +2

    Mungu akubariki sana mchungaji mbaga kwani umekuwa mwl wangu wa neno la Mungu akuinue zaidi.

  • @bahatijohn4877
    @bahatijohn4877 3 года назад +2

    Very amazing Pr yaan ubarikiwee sana Baba

  • @milembephilemon6103
    @milembephilemon6103 4 года назад +2

    Hakika pastor nabarikiwa sana na mafundisho yako Mungu azidi kukuinua zaidi tuzidi kufumbuliwa

  • @niyodusengaelimelek8792
    @niyodusengaelimelek8792 4 года назад +5

    Pasteur kazia hapo mungu ukuongeze akiri kuzidi mimi Niko rwanda

  • @MaggieG276
    @MaggieG276 4 года назад +12

    Your teachings are so blessing,More grace man of God.

    • @marykaroli5398
      @marykaroli5398 3 года назад

      Barikiwa. Hakika nimejifunza.

    • @chachasalima2017
      @chachasalima2017 3 года назад +1

      Why don't you consider joining the Seventh Day Adventist Church? This is the only church which teaches and preaches the biblical truth that no other church do. May God bless you all

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio 4 года назад +9

    Nilipokuwa mdogo nilikuwa naota kila siku ndoto hiyo hiyo " NAOTA NAPAA" then nashuka polepole huku naogopa kuwa nitaanguka!

  • @shaniachanceline2751
    @shaniachanceline2751 4 года назад +5

    Ameeeeen God bless you pastor 🙏🙏🙏🙏💖💓🥰😍

  • @raelsarange638
    @raelsarange638 2 года назад +1

    You have moved me one step ahead pastor, God bless you abundantly, I'm blessed too

  • @angelicagulake3361
    @angelicagulake3361 3 года назад +1

    Jamani yaani Pr Mungu akurehemu ufundishaji wako ni neema kwangu sana Asante sana Mungu akujazie mibaraka

  • @jeremiahsigira2919
    @jeremiahsigira2919 4 года назад +5

    Listening from Qatar

  • @catherinewashoto5098
    @catherinewashoto5098 3 года назад +1

    Kweli kabisa pastor nimeguswa sana na mahubiri haya na mengi nimeyapitia na yamenipa nguvu yakuendelea kupambana..Mungu akubariki

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 2 года назад +1

    thank you pastor for words of God it's not late. words of God is renewed everyday🙏🙏

  • @pauloropian8116
    @pauloropian8116 4 года назад +5

    May God bless you a man of God

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio 4 года назад +3

    Mungu akubariki sana Mchungaji wangu, nakuelewa! 🤔🤔

  • @paulineditutu6208
    @paulineditutu6208 4 года назад +7

    Que Dieu tout-puissant te bénisse et qu'à son retour tu dois emmener au ciel,tu es vraiment le serviteur de Dieu créateur !!!! Moi,je suis en Belgique.,je te suis souvent

  • @shafiihamis2344
    @shafiihamis2344 3 года назад +1

    Ameen ubarikiwe mtu mishi wamungu

  • @hellenkatilemutisya9556
    @hellenkatilemutisya9556 4 года назад +3

    Amen mtumishi

  • @equilinendikubwayo5645
    @equilinendikubwayo5645 3 года назад

    Mungu akubariki kwa jina la yesu kristo mtumishi pasteur David ni mbarikiwe sana pasteur

  • @elizabethwambuimacharia9744
    @elizabethwambuimacharia9744 4 года назад +3

    God bless you pastor,your preaching is from God direct from our Almighty King Jesus.

  • @leonardkayolo7314
    @leonardkayolo7314 4 года назад +3

    Be blessed Pastor

  • @dafrozamuhanga5519
    @dafrozamuhanga5519 3 года назад

    Bwana Yesu asifiwe mtumishi nabarikiwa sana na mahubiri yako,Ubarikiwe sana

  • @t7zkc5tpxgim28
    @t7zkc5tpxgim28 4 года назад +1

    AMEN, Mungu akubariki sana pastor

  • @gracemwende8054
    @gracemwende8054 4 года назад +2

    Wow good

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 4 года назад +1

    Ameen pastor barikiwa sana

  • @patricejakanyadagi4069
    @patricejakanyadagi4069 4 года назад +2

    Nmejifunza kitu hapo jmn MUNGU wetu anaweza

  • @furahajoy3168
    @furahajoy3168 4 года назад +3

    Amen Jesus's good

  • @sofinammbaga3303
    @sofinammbaga3303 3 года назад

    Ubarikiwe kwa mahubiri yako mtumishi tumebarikiwa sana

  • @joycemaxmillian4909
    @joycemaxmillian4909 4 года назад +1

    Mungu aendelee kukutumia paster

  • @christinaanatory1962
    @christinaanatory1962 Год назад

    Nabarikiwa sana mtumishi,mungu aendelee kutumia katka kazi yake

  • @equilinendikubwayo5645
    @equilinendikubwayo5645 3 года назад

    Ubarikiwe Sana pasteur kwa ushauri mzuri kwa wazazi 🙏🙏

  • @stevensamwel4854
    @stevensamwel4854 4 месяца назад

    Pr ubarikiwe, ninaomba Kuna ndoto niliota kama utapata muda unijulishe nipige ni ndefu siwezi kuelezea Kwa kuandika.

  • @janethurio2453
    @janethurio2453 4 года назад +2

    Mungu azidi kukuinua. Hakika mafundisho yako yamenisaidia kwa kiwango kikubwa. Kweli wachungaji wengi wamekuwa wapgaji.

  • @user-xg4mr4gs6j
    @user-xg4mr4gs6j 3 года назад

    Asante sana Mchungaji kwa ujumbe mzuri Mungu akubariki

  • @froline5209
    @froline5209 Год назад

    Asante kwa somo hata nimebarikiwa

  • @lreneauma1762
    @lreneauma1762 3 года назад

    Amen ubarikiwe sana

  • @johndeogratias2543
    @johndeogratias2543 2 года назад

    Nabarikiwa sana

  • @judithcherono2595
    @judithcherono2595 4 года назад +4

    Together pastor God bless you

  • @esthermrambamramba1570
    @esthermrambamramba1570 4 года назад +1

    Ameen

  • @juliusmantago4511
    @juliusmantago4511 3 года назад

    Nashukuru kwa mafundisho mazuri Mr Mbaga ubarikiwe

  • @ziporamachilu6877
    @ziporamachilu6877 Год назад

    Pastor nakuombea mema kwa Bwana maana naponywa na injili yako hakika ww ni mtumishi wa Mungu

  • @janviermechack1494
    @janviermechack1494 Год назад

    Kweli na kufata sana pasteur

  • @msafirimhehe
    @msafirimhehe 4 года назад +1

    To God be the Glory!

  • @bethelight9052
    @bethelight9052 2 года назад

    God bless you men of God

  • @christinajmnkenyi724
    @christinajmnkenyi724 3 года назад

    Pastor ubarikiwe na Mungu mengi mungu kakutumia kutufungua macho yakiroho.

  • @japhetnicholaus9467
    @japhetnicholaus9467 3 года назад

    asanter pastor nabarikiwa na masomo yako

  • @wiliminangacho1150
    @wiliminangacho1150 3 года назад

    Nimebarikiwa sana mchungaji jina LA yesu libarikiwe

  • @maggyirene110
    @maggyirene110 2 года назад

    Ameen ameen Asante kwa mafundisho

  • @romamsamba7782
    @romamsamba7782 3 года назад

    Mungu akubariki sana pasta nakupata vizuri

  • @oscarobuyu2688
    @oscarobuyu2688 3 года назад

    Amen kenyan from states

  • @Estherm309
    @Estherm309 2 года назад

    Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen

  • @shimwekagwiza3731
    @shimwekagwiza3731 4 года назад +2

    Barikiwa pastor

  • @melodyanne3249
    @melodyanne3249 4 года назад +1

    hii ni yangu barikiwa mchungaji

  • @manoatfl1841
    @manoatfl1841 4 года назад +2

    Nabarikiwa sana mchungaji from saudia mungu akubariki

  • @officialgabriel7535
    @officialgabriel7535 2 года назад

    Very educated

  • @tundalawokovu
    @tundalawokovu 4 года назад +3

    Tuna baki hoi

  • @esternaftari4553
    @esternaftari4553 4 года назад +5

    Mtumishi ninakuelew lkn Nina swali

  • @veronicaaa1326
    @veronicaaa1326 2 года назад

    Amen 🙏 🙏

  • @graceesiabia5379
    @graceesiabia5379 3 года назад

    This is a blessing. Listening from Kenya

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga 3 года назад +1

      Amen

    • @chachasalima2017
      @chachasalima2017 3 года назад

      Hi. Why don't you consider joining the seventh day Adventist church for more summons of this nature and even more bless full? May God guide you when reaching a better decision

  • @beatricedickson605
    @beatricedickson605 4 года назад +2

    Maajabu pastor wakwanza wakisabato anahubir ndoto nawaswas anapigwa Vita Mungu amtetee na alete uamsho kwa wasabato waache udini watu wafundishwe mambo yanayowatesa

    • @chachasalima2017
      @chachasalima2017 3 года назад

      Habari za leo mtumishi wa Mungu? Ni udini gani tulionao ndugu? Ni uamsho wa aina gani tunaohitaji? Yawezekana tunaacha boriti katika macho. Tufungue mtumishi wa Bwana.

  • @penuelfullsalvationchurch3350
    @penuelfullsalvationchurch3350 2 года назад

    Haleluyaa

  • @wakombibado2623
    @wakombibado2623 4 года назад +4

    Kila mara naota nyama zikiwa zimenijaaa mdomoni kiasi kwamba huwa sijisikii kuwa na amani...sijui tafsiri yake ni nini

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga 4 года назад +1

      wakombi bado Kemea hiyo ndoto kwa jina la Yesu! Mpaka ipotee

  • @eugeniamsilikale8687
    @eugeniamsilikale8687 3 года назад

    Amina

  • @tundalawokovu
    @tundalawokovu 4 года назад +3

    Na please mahubiri ni fupi wakati ni matamu sana.

  • @victoriajames6190
    @victoriajames6190 3 года назад

    Barikiwa mno mchungaj

  • @ziadaziada1613
    @ziadaziada1613 3 года назад

    MUNGU ni mwema wakati wote kwanza namshukuru MUNGU ni mwingi wa rehema na fadhili ama kweli MUNGU ana makusudi yake,, mm nakumbuk kipindi Niko shuleni nikiwa kidato cha tatu nilianza kuota ndoto nikiwa nakimbizwa na mapepo kila siku lkn nilikuw naogopa sana na sikutokea kumwambia MTU yeyote kilichonitokea baada ya miezi kadhaa nilianz kudondoka nilishangaa San na nilikuwa nalia sana ,ninachoomba wakristo wenzangu tulmbeane sana kwa MUNGU

  • @yohanakayange7947
    @yohanakayange7947 2 года назад

    Mjungaji Mimi uwa naota napambana na wachawi Kwa maombi uwa na kemea

  • @tundalawokovu
    @tundalawokovu 4 года назад +5

    Tupo pamoja lakini Pastor una chelewa sana ku upload sehemu ya 2

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga 4 года назад +7

      TUOMBEE TUPATE VIFAA NA WATU WA KUTOSHA ILI KAZI IENDE KWA KASI

    • @salehekikwa7804
      @salehekikwa7804 4 года назад +2

      Amen

    • @marymburu1782
      @marymburu1782 3 года назад

      @@MahubiriPrMmbaga amen may the lord open the way

  • @merrythadeo5318
    @merrythadeo5318 3 года назад

    Jamanii sauti haijakaa vizuri

  • @pauloropian8116
    @pauloropian8116 4 года назад +4

    Nakumbuka Kuna ndoto alinirudia Mara kwa Mara nikiwa nakula asali " what's a meaning of that"?

  • @severinaseverinanyoni707
    @severinaseverinanyoni707 2 года назад

    😂😂YAAN WW MCHUNGAJI NAKUPENDAG SAN ET NAONGEA NA BINADAM AU WATU🤣🤣🤣🤣

  • @keillanelly3782
    @keillanelly3782 2 года назад

    Umegusa moyowangu nimebalikiwa saaana .kilasiku naota ndoto mbaa lakini kwasomohili nimefahamu nifanye nini ??? Ubarikiwe malamia.nitaomba kilasiku.

  • @ceceliawamboi3636
    @ceceliawamboi3636 3 года назад

    Nashukuru mungu kwa sababu nilikuwa sijuwi lakini nimefahamu, perster naomba unijibu ndoto yangu nimejalibu kufafanuwa lakini sifahamu inamanisha nini? Huwa naota tu Sana nikiwa shule, nasoma lakini simalizi masomo, niko Saudia

  • @farajaandrew7081
    @farajaandrew7081 4 года назад +3

    Mimi ndoto zinaniandama sana😢 juzi juzi tu hapa nimeota nimekufa nipo mortuary 😭 Mungu anisadie

    • @viddamgeneka8881
      @viddamgeneka8881 4 года назад +2

      faraja andrew hutakufa bali utaishi, uyasimulie matendo mema ya Bwana. Haleluya

    • @dinahmsulwa1516
      @dinahmsulwa1516 4 года назад

      Funga na kuombea na kemea hyo ndoto mamy siyo nzuri.

    • @godfreygeffi3865
      @godfreygeffi3865 3 года назад +2

      Hiyo Ni roho ya mauti inakufuatilia kemea Sana.

    • @marryjohn5509
      @marryjohn5509 3 года назад

      Yupo Mungu mwenye hatima yako ikemee hiyo ni mipango ya shetani.

  • @hellenmagembe295
    @hellenmagembe295 3 года назад

    Ubarkiwe mchugaji

  • @catherinedavis945
    @catherinedavis945 3 года назад

    God Bless You Man of God

  • @juliahwanjiru9715
    @juliahwanjiru9715 3 года назад

    nliota June this year twice my husband akiniambia kwanzia leo tutakua tunaishi kwa hii nyumba.ilikuwa na moles plus kwa sakafu kulikuwa kumejaa maji then haikua cemented nkaamka nikilia sana nanika mwambia sitaki kukaa huko 2 weeks later, same ndoto ikajirudia tena.as am writing this comment tulifukuzwa due to lack of rent arrears, 80thousands shillings and am currently living in my husband upcountry so lost and weak.i have a very strong faith I'll make it in Jesus name.but his mother is making my life a living hell pastor please advice.

  • @ezekielwilliam4654
    @ezekielwilliam4654 2 года назад

    Hivi ukiota unasoma ni dalili ya nini

  • @hsggsfs8979
    @hsggsfs8979 3 года назад

    Ubarokiwe mchungaji kwa hiyo neno

  • @viddamgeneka8881
    @viddamgeneka8881 3 года назад

    Sijui unakaa wapi! Hata namba jamani

  • @beatricedickson605
    @beatricedickson605 4 года назад

    Bora uwaambie watu ukweli kuliko kuwafumba

  • @seraphinmagungu1827
    @seraphinmagungu1827 3 года назад +1

    Pasta ujambo vipi nyumbani mambo ? Nimebarikiwa zaidi kwa mafundisho zako nimeifata sana na umenibadirisha kwa safari ya kiroho. Sasa nakuomba tu namba zako apana za mahubiri tv apana za kwako. Nimekufata apa Congo RDC

  • @mariamnamwa188
    @mariamnamwa188 3 года назад

    Sauti haziko clear plz

  • @anethmasaki5842
    @anethmasaki5842 3 года назад

    Unapatikana wapi jaman nakupataje pastor

  • @anusiathawilliam4555
    @anusiathawilliam4555 4 года назад +2

    Pastor mm nimeota wazazi wangu wamefariki inajirudiarudia ila wapo hai nisaidie

  • @dorahnyange4826
    @dorahnyange4826 3 года назад

    Mm pastor hapo nmepata neno

    • @rhodaessaba362
      @rhodaessaba362 2 года назад

      Hiki ndo kilinitokea pr. Laiti ningelijua mapema ningeokoa ndoa yangu

  • @jacksonsemit7154
    @jacksonsemit7154 3 года назад +1

    Barikiwa Pr kuota upo shule mara nyingi yamaanisha nini?

    • @evelinaluvata1471
      @evelinaluvata1471 3 года назад

      Hii ina tegemea kama uliishia la saba na una OTA ukohuko ina mana tofaut kama uko chuo Levo fran na hio Levo nayo ina mana tofaut

    • @dorcaswede8154
      @dorcaswede8154 3 года назад

      Imani yako ni haba

  • @johnmasatu2164
    @johnmasatu2164 3 года назад +1

    Nifanyeje ndani ya siku hizi za hatari?? Muchungaji naomba unisaidie.

  • @marymburu1782
    @marymburu1782 3 года назад

    Mimi nimeota Mala mingi nimeolewa but sijawai ona mwenye anioa 'mpaka waleo sijaolewa😭

    • @godfreygeffi3865
      @godfreygeffi3865 3 года назад

      Tayari una ndoa, ya Nini sasa uolewe? Una mme wa kiroho tayari, angalia maisha yako compare na your sexual life then ull know.

    • @reimercy7663
      @reimercy7663 3 года назад

      Huwezi manake u are married to spiritual husband mwone kuhani akuombee akutenganishe nazile spirit lasivyo utaishi hvo..... I stand to be corrected

  • @rizikimarie6765
    @rizikimarie6765 4 года назад +2

    Pastor tunaomba number

  • @zakariajoel3994
    @zakariajoel3994 4 года назад +4

    Pastor mm ni mhanga wa kutafuta mtoto kwa mwaka 4 sasa ila hua naota kuwa nimjamzito baada ya mda naota nimejifungua nanyonyesha,ajabu nikiamka usingizini maziwa yangu yanatoa maziwa kabisa,hats mwez mzima yanatoka tu,alafu hii ndoto nimeota Mara 3 nimeomba na bado ninaomba,nisaidie kwa maombi pastor

    • @janejoseph9009
      @janejoseph9009 4 года назад

      polee hiyo ni roho kamili inayo kufanya usipate mtoto

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga 4 года назад +1

      Mpigie Pastor +255755932283

    • @hopistgraphics8326
      @hopistgraphics8326 4 года назад +2

      In the name of Messiah (Jesus Christ) may all the alters of evils be destroyed

    • @beatricedickson605
      @beatricedickson605 4 года назад

      Umeolewa najini mahaba nahao watoto unazaa kwenye ulimwengu waroho maisha yako yamefungwa unahitaji deliverance maombi ya ukombozi sio kitoto nakushauri ingia mahubir ya mwakasege utakutana na maombi andika maombi mwakasege itakusaidia

    • @traceisaac3548
      @traceisaac3548 2 года назад

      Funga Yesu yupo ..funga sana uombe

  • @beatricedickson605
    @beatricedickson605 4 года назад +2

    Wasabato kwasheria .... hatukatai kuna wachungaji waongo lkn wapo wakweli namanabii wenyekarama zakufasili ndoto Kama kina Daniel ko msiwafungie watu lamuhim nikuwafundisha waenende kwaroho ili roho mtakatifu awaongoze wakutane nawatu sahihi lkn mkikanusha hvo mnakosea

    • @SinnersavedbyGracewithoutdebt
      @SinnersavedbyGracewithoutdebt 4 года назад

      Watumishi walio wengi ni wadanganyifu ila sijaona sehemu amesema hamna watu wenye karama za kufasiri ndoto

  • @neriacharles955
    @neriacharles955 4 года назад

    Nabarikiwa sana