Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
JIFUNZE KULIOMBEA KUSUDI LAKO // WEWE NI NANI
HTML-код
- Опубликовано: 2 фев 2023
- Yoe 2:12-17
Lakini hata sasa, asema BWANA, nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote, na kwa kufunga, na kwa kulia, na kwa kuombolea; rarueni mioyo yenu, wala si mavazi yenu, mkamrudie BWANA, Mungu wenu; kwa maana yeye ndiye mwenye neema, amejaa huruma; si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema, naye hughairi mabaya. N’nani ajuaye kwamba hatarudi na kugeuka, na kutuachia baraka nyuma yake, naam, sadaka ya unga, na sadaka ya kinywaji, kwa BWANA, Mungu wenu? Pigeni tarumbeta katika Sayuni, Takaseni saumu, kusanyeni kusanyiko kuu; Kusanyeni watu, litakaseni kusanyiko, Kusanyeni wazee, kusanyeni watoto, Na hao wanyonyao maziwa; Bwana arusi na atoke chumbani mwake, Na bibi arusi katika hema yake. Hao makuhani, wahudumu wa BWANA, na walie Kati ya patakatifu na madhabahu, Na waseme, Uwaachilie watu wako, Ee BWANA, Wala usiutoe urithi wako upate aibu, Hata mataifa watawale juu yao; Kwani waseme kati ya watu, Yuko wapi Mungu wao?
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/sirizabiblia
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Amen mtumishi nlijiungamanisha na haya maombi Kwa kuzamilia mtumishi nlitapika nakujiskia vizuri kabisa mungu akutunze mtumishi
Amen mtmish mungu akubariki naomba mungu anibarik tena unionyeshe njia zake mungu tembea na maisha yangu
Amen amen amen.
Amen Amen 🙏 🙌, following up from Saudi Arabia 🇸🇦
Amin❤
Amen.napokea kusudi lsko
𝐀𝐦𝐞𝐧🙏🙏🙏
Amen Amen katika Jina lajesu Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🇩🇪🇩🇪🇩🇪
Amina! Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa kwa maombi mazuri
Mungu ni mwema kilawakati
Amen
Amen and amen nawafatilia nikiwa Saudi Arabia, May God protect us 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nabarikiwa kutoka Arusha🇹🇿
Amen asante YESU
Ameeen
Mungu ni mwema sana nashukuru kwakua na kiu juu ya kusubiri mafundisho juu ya madhabau hii ubarikiwe mtumishi wetu naimani nitabafilika na kumtumaini mungu
Amen. Asante kwa maombi yakutujenga kiroho🙏🙏🙏
Amen 🙏 mtumishi Mungu akubariki 😊
Ameen
AMINA 🙏🙏
Amen ameen ubarikiwe sana mtumishi 🙏🙏
Amen Amen and Amen 🙏
Amen amen 🙌🙌thank you Jesus thank you Jesus thank you 🙌🙏🙏
Amen 🙏
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. hakika Bwana anafanya kwa uzuri wake.
Amen 🙏 🙏 God bless you too much pastor
Amen amen 🙏🙏🙏🇧🇮🇧🇮
Ameeen Ameeen
Mungu atusaidie tuyajue maksuudi yetu ili tuweze kuenenda sawa na neno lake
Amen 🙏 mtumishi
Napokea kwa jina la Yesu Ubarikiwe Sana mtumish 🙏
AMEN 🙏
Mungu nakuomba uniguse, unishike mkono uniine eee Bwana. Amina
Amém glória a Deus
Amen nimepokeya nime kata tamaa
Amen Amen Atukuswe Mungu 🇩🇪🙏🙏
Amen amen
Katika jina la YESU KRISTO nimepokea amen🙏
Amen je reçois
Amen Mtumishi mungu akupe maisha marefu🙏🤲
Amen,asante sana
Bwana awe nasi.
Ameen ubarikiwe sana mtumishi
Mapenzi yako yatimiye kwangu
Tuko pamoja
Tukumbushe bwana kusudu lako kwetu bwana.
Amen Amen 🙏🙏🙏🙌
Ameni MTUMISHI
Hallelujah Amen 🙏
Holy Spirit, 🙏🏼
Amen
Ameeen
Ameeen Ameeen
Ameen
Amen
Ameeen
Amen
Amen