#LIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Ujumbe: Mtafuteni Bwana
    Andiko: Yohana 9:4
    Pastor: Innocent Leonard Mashauri
    SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
    M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
    CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI

Комментарии • 110

  • @ChikondiMadaliso
    @ChikondiMadaliso 3 месяца назад +7

    Mungu tusaidie tusikie neno tutende neno tushike neno tuishi katika utii na utakatifu kwa reo somo nirangu mungu nisaidie

  • @aminambuligu4571
    @aminambuligu4571 3 месяца назад +5

    Mungu Sina mwingine wa kunisaidia ni wewe tu nisaidie ,usiniache peke yangu,nisaidie bwana.

  • @laurentndowa2304
    @laurentndowa2304 3 месяца назад +2

    Sahihi kabisa, MUNGU atusaidie 🙏

  • @salomekilavi6421
    @salomekilavi6421 3 месяца назад +1

    Amen and Amen

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 3 месяца назад +4

    Ee MUNGU naomba unirehemu mimi na watoto wangu na mumewangu,,,,nirehemu Bwana

  • @truphenakhagori9387
    @truphenakhagori9387 3 месяца назад +3

    Amen napokea neema yangu mwezi huu katika jina la Yesu Kristo

  • @gracedamas5883
    @gracedamas5883 14 дней назад

    Ameni
    Mungu naomba
    Unifungue Kila lililofungwa kwenye maisha yangu

  • @DelaneyWambui
    @DelaneyWambui 3 месяца назад +11

    Amen pastor hili neno ni langu na ninaamini litanibadilisha nitaacha kumkopa MUNGU , MUNGU nisaidie mwizi mimi😢 sitaiba Tena ninaahidi mbele ya hii madhabahu ROHO MTAKATIFU tafadhali nikumbushage kuitimiza hii ahadi amen

  • @kapamevenas79
    @kapamevenas79 2 месяца назад +1

    Amen ! Ubarikiwe pastor

  • @rosemarymsekela1774
    @rosemarymsekela1774 3 месяца назад +3

    Amina 👏👏wimbo jumla na neno lako vimenibariki sn Mtumishi wa Mungu...

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 3 месяца назад +2

    Asante Muñgu Baba wa mbingu ninaomba Rehema kwaajili yangu na familia yangu nawengineo wote kwa kuwa Muñgu najua utatuwazia mema mubariki mtimishi wako Asante Yesu❤❤❤❤🎉🎉

  • @lontinaMtenga
    @lontinaMtenga 2 месяца назад +2

    Mungu kubariki Sana kujazenguvu ekimanamarifa zadinazaidi kuwezeche

  • @oman5875
    @oman5875 25 дней назад +1

    Asante Mungu 🙏🏿

  • @MujingakasashiKasahi
    @MujingakasashiKasahi 3 месяца назад +4

    Natamani kabisa kuishi nawe bwana mungu wangu

  • @lontinaMtenga
    @lontinaMtenga 2 месяца назад +1

    God bless my messenger

  • @JanethUrasa-qs5ot
    @JanethUrasa-qs5ot 2 месяца назад +2

    Ubarikiwe mtumishi

  • @faisalali8550
    @faisalali8550 29 дней назад

    Asante mtumichi wamungu nachukulu kwamafundicho mazuli yamenigusa moyoni nachukulu sana

  • @JolleetNiaze
    @JolleetNiaze 2 месяца назад +1

    Amen sana

  • @QueenMage
    @QueenMage 2 месяца назад +2

    Eeh Mungu nisaidie mwanao nibadilike,naacha njia zangu mbaya nakufuata Yesu naomba uniongoze 🙏 Asante naomba pia umbariki mtumishi wako Asante Yesu 🥰

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 3 месяца назад +2

    Ameni naomba MUNGU ANISAIDIE

  • @kapamevenas79
    @kapamevenas79 2 месяца назад +2

    Ata na mimi na omba Mungu ani sameh juu ya zaka. Na anipe nguvu ya kutowa saka sasa na mapato yangu.

  • @Yesslarry
    @Yesslarry 3 месяца назад +2

    Nyimbo ilioanza anaeijua aniambie nitumie kusifu 🙏

  • @SandraFatuma-r4y
    @SandraFatuma-r4y 3 месяца назад +2

    Bwana mungu naomba toba kutoka kwako pia siwezi tena kupinga na sauti yako wala kupuzia maelekezo yako yoyote bwana nisamehe

  • @SandraFatuma-r4y
    @SandraFatuma-r4y 3 месяца назад +2

    my pastor mungu wako ni mungu ambaye anaona mambo yote yangu pia anadjuwa makosa yangu nania yangu

  • @roselynerose
    @roselynerose 3 месяца назад +3

    Ninapo sikiliza haya mahubiri huwa yananitia nguvu hata mara nyingine😢😢naona kama nafika mwisho lakini najuwa cku moja mungu ataniinua kulingana vile nakufatilia😢😢najuwa mungu atanifuta majozi cku moja

  • @herinitiative4789
    @herinitiative4789 3 месяца назад +1

    Barikiwa Mtumishi

  • @sophiawetoto7873
    @sophiawetoto7873 3 месяца назад +2

    Nashukuru kwa mafundisho yako yame nitia moyo kwa sababu nilikuwa nimekata tamaa kazini

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 3 месяца назад +2

    Nakupenda sana mtumishi wa MUNGU kwani hunijui sikujui ila kupitia neno la MUNGU nimehama kituo kiimani

  • @hdgHdhd-eu7vf
    @hdgHdhd-eu7vf 2 месяца назад +2

    Mungu nisaidie ninaangamia kwa kukosa marifa...asante kwa kunikutanisha na madhabahu haya,kilicho chako bwana wacha nikitoe kwa ukamilifu

  • @lusilusi8687
    @lusilusi8687 3 месяца назад +1

    Amen

  • @Evansserede-uw4tb
    @Evansserede-uw4tb 3 месяца назад +1

    Amen

  • @damarismuli8364
    @damarismuli8364 3 месяца назад +2

    Mungu wangu Asante sana kwa mafudicho Aya, the man of GOD GOD bless you 🙏

  • @AnnachristopherRobert
    @AnnachristopherRobert 3 месяца назад +2

    🙇🙇Tunashukuru sna kwa ajili ya neno la Mungu,Hakika linaniuwisha tena na kunifanya nipate nguvu ya kumtafuta Mungu zaidi🙏✍

  • @DorothyChilembo
    @DorothyChilembo 3 месяца назад +2

    Uongee ukweli mtumishi Kwa sababu IPO siku tutasimama mbele za Mungu na kutuonyesha ukweli unaotufundisha🙏🙏🙏

  • @MichaelMlangwa-m9h
    @MichaelMlangwa-m9h Месяц назад

    Neno la Leo limenigusa aposto naamini ata uyo mganga anamtegemea mungu,shalom watu wa mungu tumludie mungu,🙏🙏🙏amen,

  • @IshaK-t7g
    @IshaK-t7g Месяц назад

    Sikujua Santi mwenyezi mungu nmejua mengi n bariki🙏🙏🙏

  • @furahamichael6047
    @furahamichael6047 3 месяца назад +3

    Asante mungu naomba ukutane na mimi katika maisha yangu🙏🙏

  • @oman798
    @oman798 3 месяца назад +1

    AMINA

  • @Judith-mw4ys
    @Judith-mw4ys 3 месяца назад +2

    You're right the man of God 👏🙏mimi nikiwa ujauzito huwa siombi 😢nipe neema ya maombi baba yangu 🙏ulimwengu mna dhiki nipe nguvu ya kushinda😭🙏

  • @SandraFatuma-r4y
    @SandraFatuma-r4y 3 месяца назад +2

    Mungu wa mbunguni Leo uliingia kwenye chumba changu ukaona kila kitu Leo kwa sababu mchungaji ameongea neno kubwa kabisa tena sana mungu wewe ni mungu wa kweli

  • @BahatiChengo-n8k
    @BahatiChengo-n8k 3 месяца назад +1

    Hiyo,ni,kweli,kabisa,mtumish

  • @ELIYAMWANA
    @ELIYAMWANA 2 месяца назад +1

    Amen❤

  • @lidyanapegwa8154
    @lidyanapegwa8154 3 месяца назад +2

    Asante ntumishi kwa kutufundisha neno la kweli ambalo linatusaidia kutoka sehemu moja kwenda nyingine, Mungu akuoandishe viwango vya juu zaidi

  • @rhabrhab1797
    @rhabrhab1797 Месяц назад

    Amen mungu Wangi nisamehe nilikosa mbele zako nitienguvu tena maana bila wewe pekeangu sitaweza

  • @SandraFatuma-r4y
    @SandraFatuma-r4y 3 месяца назад +1

    Bwana asante kwa yote

  • @MwajumaRollinson
    @MwajumaRollinson 3 месяца назад +3

    Mungu naomba unirehemu Mimi na wanangu tuondolee nguvu za giza zinazotufuatilia kwenye kazi na biashara mungu nisaidie

  • @GodfreymwinukaGodfreymwinuka
    @GodfreymwinukaGodfreymwinuka 25 дней назад

    ubalikiwe sana mtumishi wamungu

  • @mukamutsinzimarygorette5108
    @mukamutsinzimarygorette5108 3 месяца назад +2

    Aksante Mungu kwa rehema na neema yako kwa uzima wetu🙌🙌🙌 Zab103:3🙏

  • @EstherMallya-y2o
    @EstherMallya-y2o 3 месяца назад +1

    Hakika tunatakiwa kutubu na kusimama Tena amen

  • @NeemaIvan
    @NeemaIvan 3 месяца назад +2

    Napenda ivi vipindi vya mafundisho nifanyaje ili kila kipindi niwe nakipata Kwa wakati Kila unapo ingia

  • @LuandaBushashire
    @LuandaBushashire 3 месяца назад +1

    Asante sana baba unanisaidiya sana mutumishi wu mungu

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 3 месяца назад +2

    Naomba neema yako ya uzao

  • @DoraTemba
    @DoraTemba Месяц назад

    Mungu anisaidie nitoke hapa

  • @ezekielmwau7320
    @ezekielmwau7320 3 месяца назад +3

    Mungu akubariki kw Neno nzuri Mtumishi unanitia moyo kila ukihubiri neno la uzima🙏

  • @lidyanapegwa8154
    @lidyanapegwa8154 3 месяца назад +1

    Asante ntumishi kwa kutuelekeza namna ya kuenda kwa Mungu, namna ya kuomba rehema kwa Mungu,namna ya kumtolea sadaka na zaka, namna ya kuwa mwaminifu kwa Mungu, namna ya kutengeneza na Mungu, Mungu akubariki sana

  • @franciscakija1702
    @franciscakija1702 3 месяца назад +3

    😂😂😂😂 usisubiri kukabwa usiku. Wapendwa tumrudie Mungu maisha ya duniani ni mengi ila tusikubali kushusha mahusiano yetu na Mungu. Mtumishi ubarikiwe sana endelea kutupa Neno 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @NeemaKomba-vn6sh
    @NeemaKomba-vn6sh 3 месяца назад +2

    Mmmm sina nilillolifanya ili nikumbukwe na Mungu yaani nahitaji neema ya kuanza naye sasa

  • @RubeniMwenda
    @RubeniMwenda Месяц назад

    Asante sana mungu akubariki Kwa kazi yako

  • @GodfreymwinukaGodfreymwinuka
    @GodfreymwinukaGodfreymwinuka 25 дней назад

    Ahsantee yesu 🙏🙏🙏

  • @MujingakasashiKasahi
    @MujingakasashiKasahi 3 месяца назад +2

    Amen

  • @rosemarymsekela1774
    @rosemarymsekela1774 3 месяца назад +2

    Aliyeimba huu wimbo ni nani,watumishi wa Mungu nisaidieni..

  • @FeliciteNiybitanga
    @FeliciteNiybitanga 3 месяца назад +1

    MUNGU BABA nisameh mimi mtenda dhambi🙏🙏🙏

  • @EuphrasiaNtawatawa
    @EuphrasiaNtawatawa 3 месяца назад +1

    Hakika umenirudisha kwenye mstari ubarikiwe sana mtumishi

  • @SelinaRaphael-dr5lg
    @SelinaRaphael-dr5lg 3 месяца назад +1

    Mungu nirehemu sawa sawa na fadhili zako amen

  • @DorothyChilembo
    @DorothyChilembo 3 месяца назад +1

    Nikumbuke Mungu wangu naomba usiniache 😭😭😭

  • @RenathaKatambala
    @RenathaKatambala 3 месяца назад +1

    Naomba roho mtakatfu aingie ndani yamoyo wangu

  • @MercyWanjala-ki5nn
    @MercyWanjala-ki5nn 3 месяца назад +1

    Nashukuru mtumishi Kwa maubiri,you make me move closer to God

  • @GodfreymwinukaGodfreymwinuka
    @GodfreymwinukaGodfreymwinuka 25 дней назад

    Amen amen 🙏

  • @BayaganakandiLydia
    @BayaganakandiLydia 3 месяца назад +1

    Nashukuru sana Mchungaji, Mungu akubariki tena sana

  • @agnethapaul6057
    @agnethapaul6057 3 месяца назад +1

    Amen mtumishi wa MUNGU.

  • @EstherMallya-y2o
    @EstherMallya-y2o 3 месяца назад +1

    Mungu akuariki mtumishi neno zuri ❤❤

  • @JoyceMlelwa
    @JoyceMlelwa 3 месяца назад +1

    Mungu nipe neema yako

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 3 месяца назад +1

    Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU

  • @tunuhaji
    @tunuhaji 3 месяца назад +2

    Asante mtumishi wa mungu unanifundisha ukweli uliopo nakuelewaa sanaa na kila uombapo unanigusa mimi

  • @MwajumaRollinson
    @MwajumaRollinson 3 месяца назад +1

    Mungu naomba unirehemu Mimi na wanangu tuondolee nguvu za giza zinazotufuatilia kwenye kazi na biashara mungu nisaidie

    • @RahabkRuth
      @RahabkRuth 3 месяца назад

      Eeee Bwana Yesu naomba unirehemu unisamehe maovu yangu, unipiganie kutokana na roho za kipepo,nshike mkono uniongoze safarini peke yangu siwezi

  • @qeenimringo4136
    @qeenimringo4136 3 месяца назад +1

    Amen MUNGU atukumbuke

  • @EstherMulekania
    @EstherMulekania 3 месяца назад +1

    Ubarikiwe saana Mtumishi wa Mungu

  • @DorothyChilembo
    @DorothyChilembo 3 месяца назад +1

    Ubarikiwe Sana mtumishi 🙏🙏

  • @DoraTemba
    @DoraTemba Месяц назад +1

    Nashindwa hata kuomba neema inanities na kunitoa hatpa

  • @RistaMwambete
    @RistaMwambete 3 месяца назад +1

    Ubarikiwe Sana mtumishi.

  • @SharonBakari-yv4ru
    @SharonBakari-yv4ru 5 дней назад

    Amen

  • @mukamutsinzimarygorette5108
    @mukamutsinzimarygorette5108 3 месяца назад +1

    Ubarikiwe sana Pastor👏

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 3 месяца назад +3

    Mtumishi Muñgu akubariki Nimekuelewa sana niombee na Müñgu anisamehe Kuna vingi Sana umenifuraisha hujaongea Sana umetufundisha Sana Muñgu awe nawe ❤❤❤❤ ubarikiwe mno wewe na familia yako umeponya nafusi za wengi kupitia Neno hili

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 3 месяца назад

    Amen amen

  • @GodfreymwinukaGodfreymwinuka
    @GodfreymwinukaGodfreymwinuka 25 дней назад

    Amen 🙏

  • @JolleetNiaze
    @JolleetNiaze 2 месяца назад

    Ameeeeeeen

  • @SandraFatuma-r4y
    @SandraFatuma-r4y 3 месяца назад +1

    Ndiyo baba sio huongo kabisa

  • @veronicajohn7645
    @veronicajohn7645 3 месяца назад +1

    Amen. Barikiwa

  • @kaisammy5848
    @kaisammy5848 3 месяца назад +1

    Amen amen 🙏🙏🙏🙏

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 3 месяца назад +1

    Leo MUNGU mkali kupitia mtumishi wake,,,,naomba unisamehe MUNGU wangu,,,naacha wizi

  • @MalaikaBrighton
    @MalaikaBrighton 2 месяца назад +1

    Hakika pastor maubili yako yamenilenga huyo ni mm 😭😭😭 eee mungu nisaidie na mm; postor nisaidie niombee natamani sana kuokoka na mm yatosha kutumikishwa na ibilisi shetani eee mungu nikumbuke

  • @Ursain.IKE.jesuis9365
    @Ursain.IKE.jesuis9365 3 месяца назад +1

    AMEN AMEN 🙏🙏🙏

  • @SailisMsuha
    @SailisMsuha 3 месяца назад +1

    Amen 🙏🙏🙏🙏

  • @ArinaitweFatuma
    @ArinaitweFatuma 25 дней назад

    Amen 🙏🙏🙏😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏

  • @KagoyireSarah-xw4xx
    @KagoyireSarah-xw4xx 3 месяца назад +1

    Ubarikiwe

  • @DelianNyambu-pu3gc
    @DelianNyambu-pu3gc 3 месяца назад +1

    Amen

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 3 месяца назад +2

    MUNGU nikumbuke mana natumika kanisan kwa nguvu zangu na sadaka

  • @MujingakasashiKasahi
    @MujingakasashiKasahi 3 месяца назад +1

    Bwana nikumbuke

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 3 месяца назад +1

    Jamani jamani jamani MUNGU kanionya leo

  • @victoriaaman6628
    @victoriaaman6628 3 месяца назад

    Amen Mtumishi Asante sana Mtumishi 🙏