#LIVE
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- Ujumbe: Mtafuteni Bwana
Andiko: Yohana 9:4
Pastor: Innocent Leonard Mashauri
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Mungu tusaidie tusikie neno tutende neno tushike neno tuishi katika utii na utakatifu kwa reo somo nirangu mungu nisaidie
Mungu Sina mwingine wa kunisaidia ni wewe tu nisaidie ,usiniache peke yangu,nisaidie bwana.
Sahihi kabisa, MUNGU atusaidie 🙏
Amen and Amen
Ee MUNGU naomba unirehemu mimi na watoto wangu na mumewangu,,,,nirehemu Bwana
Amen napokea neema yangu mwezi huu katika jina la Yesu Kristo
Ameni
Mungu naomba
Unifungue Kila lililofungwa kwenye maisha yangu
Amen pastor hili neno ni langu na ninaamini litanibadilisha nitaacha kumkopa MUNGU , MUNGU nisaidie mwizi mimi😢 sitaiba Tena ninaahidi mbele ya hii madhabahu ROHO MTAKATIFU tafadhali nikumbushage kuitimiza hii ahadi amen
Amen ! Ubarikiwe pastor
Amina 👏👏wimbo jumla na neno lako vimenibariki sn Mtumishi wa Mungu...
Asante Muñgu Baba wa mbingu ninaomba Rehema kwaajili yangu na familia yangu nawengineo wote kwa kuwa Muñgu najua utatuwazia mema mubariki mtimishi wako Asante Yesu❤❤❤❤🎉🎉
Mungu kubariki Sana kujazenguvu ekimanamarifa zadinazaidi kuwezeche
Asante Mungu 🙏🏿
Natamani kabisa kuishi nawe bwana mungu wangu
God bless my messenger
Ubarikiwe mtumishi
Asante mtumichi wamungu nachukulu kwamafundicho mazuli yamenigusa moyoni nachukulu sana
Amen sana
Eeh Mungu nisaidie mwanao nibadilike,naacha njia zangu mbaya nakufuata Yesu naomba uniongoze 🙏 Asante naomba pia umbariki mtumishi wako Asante Yesu 🥰
Ameni naomba MUNGU ANISAIDIE
Ata na mimi na omba Mungu ani sameh juu ya zaka. Na anipe nguvu ya kutowa saka sasa na mapato yangu.
Nyimbo ilioanza anaeijua aniambie nitumie kusifu 🙏
Bwana mungu naomba toba kutoka kwako pia siwezi tena kupinga na sauti yako wala kupuzia maelekezo yako yoyote bwana nisamehe
my pastor mungu wako ni mungu ambaye anaona mambo yote yangu pia anadjuwa makosa yangu nania yangu
Ninapo sikiliza haya mahubiri huwa yananitia nguvu hata mara nyingine😢😢naona kama nafika mwisho lakini najuwa cku moja mungu ataniinua kulingana vile nakufatilia😢😢najuwa mungu atanifuta majozi cku moja
Barikiwa Mtumishi
Nashukuru kwa mafundisho yako yame nitia moyo kwa sababu nilikuwa nimekata tamaa kazini
Nakupenda sana mtumishi wa MUNGU kwani hunijui sikujui ila kupitia neno la MUNGU nimehama kituo kiimani
Mungu nisaidie ninaangamia kwa kukosa marifa...asante kwa kunikutanisha na madhabahu haya,kilicho chako bwana wacha nikitoe kwa ukamilifu
Amen
Amen
Mungu wangu Asante sana kwa mafudicho Aya, the man of GOD GOD bless you 🙏
🙇🙇Tunashukuru sna kwa ajili ya neno la Mungu,Hakika linaniuwisha tena na kunifanya nipate nguvu ya kumtafuta Mungu zaidi🙏✍
Uongee ukweli mtumishi Kwa sababu IPO siku tutasimama mbele za Mungu na kutuonyesha ukweli unaotufundisha🙏🙏🙏
Neno la Leo limenigusa aposto naamini ata uyo mganga anamtegemea mungu,shalom watu wa mungu tumludie mungu,🙏🙏🙏amen,
Sikujua Santi mwenyezi mungu nmejua mengi n bariki🙏🙏🙏
Asante mungu naomba ukutane na mimi katika maisha yangu🙏🙏
AMINA
You're right the man of God 👏🙏mimi nikiwa ujauzito huwa siombi 😢nipe neema ya maombi baba yangu 🙏ulimwengu mna dhiki nipe nguvu ya kushinda😭🙏
Mungu wa mbunguni Leo uliingia kwenye chumba changu ukaona kila kitu Leo kwa sababu mchungaji ameongea neno kubwa kabisa tena sana mungu wewe ni mungu wa kweli
Hiyo,ni,kweli,kabisa,mtumish
Amen❤
Asante ntumishi kwa kutufundisha neno la kweli ambalo linatusaidia kutoka sehemu moja kwenda nyingine, Mungu akuoandishe viwango vya juu zaidi
Amen mungu Wangi nisamehe nilikosa mbele zako nitienguvu tena maana bila wewe pekeangu sitaweza
Bwana asante kwa yote
Mungu naomba unirehemu Mimi na wanangu tuondolee nguvu za giza zinazotufuatilia kwenye kazi na biashara mungu nisaidie
Saw
Mungu anitie guvu
ubalikiwe sana mtumishi wamungu
Aksante Mungu kwa rehema na neema yako kwa uzima wetu🙌🙌🙌 Zab103:3🙏
Hakika tunatakiwa kutubu na kusimama Tena amen
Napenda ivi vipindi vya mafundisho nifanyaje ili kila kipindi niwe nakipata Kwa wakati Kila unapo ingia
Asante sana baba unanisaidiya sana mutumishi wu mungu
Naomba neema yako ya uzao
Mungu anisaidie nitoke hapa
Mungu akubariki kw Neno nzuri Mtumishi unanitia moyo kila ukihubiri neno la uzima🙏
Asante ntumishi kwa kutuelekeza namna ya kuenda kwa Mungu, namna ya kuomba rehema kwa Mungu,namna ya kumtolea sadaka na zaka, namna ya kuwa mwaminifu kwa Mungu, namna ya kutengeneza na Mungu, Mungu akubariki sana
😂😂😂😂 usisubiri kukabwa usiku. Wapendwa tumrudie Mungu maisha ya duniani ni mengi ila tusikubali kushusha mahusiano yetu na Mungu. Mtumishi ubarikiwe sana endelea kutupa Neno 🙏🙏🙏🙏🙏
Mmmm sina nilillolifanya ili nikumbukwe na Mungu yaani nahitaji neema ya kuanza naye sasa
Asante sana mungu akubariki Kwa kazi yako
Ahsantee yesu 🙏🙏🙏
Amen
Aliyeimba huu wimbo ni nani,watumishi wa Mungu nisaidieni..
MUNGU BABA nisameh mimi mtenda dhambi🙏🙏🙏
Hakika umenirudisha kwenye mstari ubarikiwe sana mtumishi
Mungu nirehemu sawa sawa na fadhili zako amen
Nikumbuke Mungu wangu naomba usiniache 😭😭😭
Naomba roho mtakatfu aingie ndani yamoyo wangu
Nashukuru mtumishi Kwa maubiri,you make me move closer to God
Amen amen 🙏
Nashukuru sana Mchungaji, Mungu akubariki tena sana
Amen mtumishi wa MUNGU.
Mungu akuariki mtumishi neno zuri ❤❤
Mungu nipe neema yako
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU
Asante mtumishi wa mungu unanifundisha ukweli uliopo nakuelewaa sanaa na kila uombapo unanigusa mimi
Mungu naomba unirehemu Mimi na wanangu tuondolee nguvu za giza zinazotufuatilia kwenye kazi na biashara mungu nisaidie
Eeee Bwana Yesu naomba unirehemu unisamehe maovu yangu, unipiganie kutokana na roho za kipepo,nshike mkono uniongoze safarini peke yangu siwezi
Amen MUNGU atukumbuke
Ubarikiwe saana Mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe Sana mtumishi 🙏🙏
Nashindwa hata kuomba neema inanities na kunitoa hatpa
Ubarikiwe Sana mtumishi.
Amen
Ubarikiwe sana Pastor👏
Mtumishi Muñgu akubariki Nimekuelewa sana niombee na Müñgu anisamehe Kuna vingi Sana umenifuraisha hujaongea Sana umetufundisha Sana Muñgu awe nawe ❤❤❤❤ ubarikiwe mno wewe na familia yako umeponya nafusi za wengi kupitia Neno hili
Amen amen
Amen 🙏
Ameeeeeeen
Ndiyo baba sio huongo kabisa
Amen. Barikiwa
Amen amen 🙏🙏🙏🙏
Leo MUNGU mkali kupitia mtumishi wake,,,,naomba unisamehe MUNGU wangu,,,naacha wizi
Hakika pastor maubili yako yamenilenga huyo ni mm 😭😭😭 eee mungu nisaidie na mm; postor nisaidie niombee natamani sana kuokoka na mm yatosha kutumikishwa na ibilisi shetani eee mungu nikumbuke
AMEN AMEN 🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe
Amen
MUNGU nikumbuke mana natumika kanisan kwa nguvu zangu na sadaka
Bwana nikumbuke
Jamani jamani jamani MUNGU kanionya leo
Amen Mtumishi Asante sana Mtumishi 🙏