LIVE: IKATAE SAUTI HII NDANI YAKO, NI YA SHETANI KABISA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Kwa maana dunia itajazwa maarifa ya utukufu wa BWANA, kama maji yaifunikavyo bahari.
    Habakuki 2:14
    Maarifa ya Ki-Mungu
    @SIRI ZA BIBLIA
    www.sirizabiblia.com
    +255 758 708 804
    linktr.ee/siri...
    Instagram Account
    / siri_za_biblia
    SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
    M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
    CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI

Комментарии • 142

  • @NatashaCharles-gv3qb
    @NatashaCharles-gv3qb 3 месяца назад +2

    Nibadilishe YESU niwe mwaminifu kwako

  • @joyceshiyo7257
    @joyceshiyo7257 Год назад +1

    Mungu naomba uingilie Katie yangu haya ninayopitia

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Год назад +1

    Asante MUNGU kwa kunikumbuka

  • @alicethobias932
    @alicethobias932 9 месяцев назад

    Napokea muujiza wangu kwa jina la Yesu

  • @RoseKageha-kn1uh
    @RoseKageha-kn1uh Год назад +2

    Asante mtumish nenolako unafundisha vinzuri sana .Hakisikukuwa nimeokoka lakini kupitiya kwafuzo lako naona mkono wabwana ubarikiwe amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @leilasaimjomba4246
    @leilasaimjomba4246 Год назад

    Mwenyezi Mungu nisaidie katika boma langu

  • @EsterMhulula
    @EsterMhulula 11 месяцев назад

    Nisamehe yesu nisamehe yesu,nisaidie kutembea katika njia yako, kwa ujumbe huu!!mahitaji rehema yako, nianze upya kusimama na kutembea na wewe yesu.

  • @Beaazul7
    @Beaazul7 Год назад

    Asante roho mtakatifu🙏🏾🙏🏾msaidizi wetu🙏🏾

  • @safialuhizo4979
    @safialuhizo4979 Год назад

    Ahsante Kwa kuniwezesha ehhhh roho mtakatifu Kwa kukamilisha mfungo WA mwezi,,,kesho yangu yaja,,,naahid kutenda matendo ya Baba yangu aliye mbinguni,,,,,Aaamen

  • @SarahRuhega-bf8zo
    @SarahRuhega-bf8zo Год назад +7

    Ujumbe huu ni WA kwangu kabisaa nisamehe Mungu nibadilishe niwe MWAMINIFU kwakoo YESU 😭😭😭

  • @diananaswa4842
    @diananaswa4842 Год назад

    Hilineno ni langu kbsa ....Asante MUNGU umeniwezesha kumaliza mfungo salama

  • @furahamkonda5112
    @furahamkonda5112 18 дней назад

    Mungu nirehemu mim mwanao mkosaji 😢

  • @PrisidaMnyangali
    @PrisidaMnyangali Год назад

    Asante mtumishi huu ujumbe umeniimarisha Sana kiroho

  • @HeritierMwengeGisele
    @HeritierMwengeGisele 2 месяца назад

    ❤oh yesu nikumbuke,nataka tena niimarike zaidi

  • @gracehose8840
    @gracehose8840 Год назад

    Najiungamanisha na madhabahu hii niendelee kusimama na Adui Aneshindwa Kwa Jina la Yesu

  • @gracehose8840
    @gracehose8840 Год назад

    Mungu nakiri kukusikilza maagizo Yako

  • @SUBIRASENGO-fp1kq
    @SUBIRASENGO-fp1kq Год назад

    AMEEEN AMEEEN, mtumish ubarikiwe sanaa.

  • @FelistaMartin
    @FelistaMartin 11 месяцев назад

    ameena hawahi na Wala hachelewi🙏🙏

  • @ziadalumumba6238
    @ziadalumumba6238 Год назад

    Nakuelewa mtumishi wa Mungu

  • @catherinemalikita12
    @catherinemalikita12 11 месяцев назад

    Mtumishe ni kwel kabxa 🥺mungu ni mwema kabxa na ni muhimu katika maisha yetu

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Год назад

    Nakuelewa mtumishi wa BWANA

  • @FaidaWilly-du8ts
    @FaidaWilly-du8ts Год назад

    Amen amen amen,jina la yesu kristo liinuliwe.

  • @eunicewangecieunicewangeci6359

    amen mungu nisaidie nikama hii ujumbe ni wakwangu

  • @ericaugustine8003
    @ericaugustine8003 2 дня назад

    MUNGU ni mwema, namshukuru kwa neema hii sio kila mtu anaipata.

  • @graceboke4346
    @graceboke4346 Год назад

    Amen pasta Mungu akubariki sana

  • @gracehose8840
    @gracehose8840 Год назад

    Mungu Wangu nakushukuru naomba nisimame ktk nafasi yangu wewe unionekanie

  • @gracehose8840
    @gracehose8840 Год назад

    Naomba Roho mtakatifu nisaidie pale nilikofanya Kwa ulegevu nisamehe Baba naomba Rehema na Toba Nisamehe Baba

  • @imeldaadam154
    @imeldaadam154 Год назад

    Ameeen tubadilike watu wa mungu

  • @suzzymussa89
    @suzzymussa89 Год назад

    Baba yangu niponyee🙏🙏

  • @NaomiBahat-bz6ri
    @NaomiBahat-bz6ri 4 месяца назад

    Eeee Mungu nisawa unikumbuke nami pia

  • @RahmaKidaly-nw6tn
    @RahmaKidaly-nw6tn Год назад

    Asante mtumishi kwa mafunzo yako

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Год назад

    Napokea baraka zangu in Jesus name Leo loe

  • @ziadalumumba6238
    @ziadalumumba6238 Год назад

    Najiungamanisha na ibada hii ya leo Mungu akanibadilishe

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Год назад

    Amen baba

  • @DeboraHavila-iv6fy
    @DeboraHavila-iv6fy Год назад

    Amen ubalikiwe Sana mtumishi🙏🙏🙏🙏 uwezo wa mungu uwe juu yako daima...Kuna muda tunaoishinao wanaweza kutuodoa au kutufanya tukawa mbali na uwepo wa mungu hivyo mungu atutengeneze upya na roho mtakatifu atusaidie Sana...amen

  • @KabikaKajuwegeye-vr1ol
    @KabikaKajuwegeye-vr1ol Год назад +1

    Mm nilikuwa siwez kufunga masaa 24 wala mwez hii ndo mala yang yakwanza tangu nizaliwe...asante Mungu kuna vitu vingi sana naviona ni vigen sana kwang..kimoja wapo funga yang ilikuwa ngum mwanzon ila ilifika hatua nikawa sisikii njaa kabisa nilisha fungua kwa kunywa maji tuu na nikafunga tena yaan nakuwa sina njaa kabisa had nashangaa n mm kwel Mungu mkubwa sna...mafungo ya masaa 24 yalifungua tumbo lang nilikuwa siwez kula chakula kilicho tengenezwa kw ngano ila nilipo funga masaa 24 nikaweza nakula vyakula vya ngano had nashangaa...nilikuwa sili ngano kwa zaid ya miaka 10.Mungu ni mwena na namuomba sana anijalie fungu la kumi.Amen

  • @maseaJoe8676
    @maseaJoe8676 Год назад

    Asante Yesu Amen Amen Amen

  • @edinamtemela9214
    @edinamtemela9214 Год назад

    Ameeeen ameeeen barikiwa sana

  • @AdrianaSepapha-fn8sy
    @AdrianaSepapha-fn8sy Год назад

    Napatikana geita jaman mafundisho mazur kabisa yananihusu mimi mungu nisaidie

  • @SoosanOman
    @SoosanOman 2 месяца назад

    Amen

  • @Dhore-jb5pb
    @Dhore-jb5pb 11 месяцев назад

    Amen and amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @feminakidiavai5849
    @feminakidiavai5849 Год назад

    Amen nimebarikiwa sana

  • @gracekunambi7438
    @gracekunambi7438 Год назад

    Amen Ameeeen

  • @shukurusyriack3504
    @shukurusyriack3504 Год назад

    Mungu naomba unisamehe kwakuwa mwiz wa fungu la kumi.nirehem Baba.

  • @everlinenafula
    @everlinenafula Год назад +1

    Pastor MUNGU akupe maisha marefu,naasidi kuku angazia roho mtakatifu

  • @Emerance-i9b
    @Emerance-i9b Год назад

    Yesu nisadiye 😢😢❤ nioneye uruma

  • @maorinebarongo7789
    @maorinebarongo7789 Год назад

    Amen Amen

  • @everlinenafula
    @everlinenafula Год назад +1

    Ee YESU wangu unapo suru wengine nami naomba pia usinipite

  • @BernadethaChigenda-pz5vn
    @BernadethaChigenda-pz5vn Год назад

    Ameen 🙏

  • @saitafrank4945
    @saitafrank4945 Год назад

    MUNGU wangu naomba unisamehe Mimi nimekuwa mtu waambaye sio mwaminifu

  • @gracehose8840
    @gracehose8840 Год назад

    Mungu Baba Naomba nikukaribie ili uniheshimishe Amina

  • @victoriaaman6628
    @victoriaaman6628 Год назад

    Amen Mtumishi 🙏 🙏

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Год назад

    Ameeeeeeeeeen❤

  • @gladysnjeri282
    @gladysnjeri282 Год назад

    Shalom Shalom

  • @VeronicaMagiri
    @VeronicaMagiri Год назад

    Mungu nisamehe thumbing sangu .naunibariki .asant kwakunipeya nguvu ya kufunga na kuomba

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Год назад

    Shetani mbaya Sana na neno lake la eti eee,,,,shindwa ndani yangu ktk jina la YESU

  • @dayemukalai3427
    @dayemukalai3427 Год назад

    Ameeen tukopamoja

  • @julietmunyazi
    @julietmunyazi Год назад

    Ameeeeen🎉🎉🎉

  • @ellienjohn2753
    @ellienjohn2753 Год назад +2

    Amen amen umeniona Roho Mtakatifu na kunifanya nisikilize ujumbe huu umenigusa na mm. Asante MUNGU 🙏

  • @jesca.mkony2015
    @jesca.mkony2015 2 месяца назад

    Ni kweli kabisa

  • @ziadalumumba6238
    @ziadalumumba6238 Год назад

    Ujumbe huu ni wangu jaman 😢😢

  • @leonardobulalu
    @leonardobulalu Год назад +3

    Najiunganisha na ibada ya leo ikatende maishani mwangu kwenda kukataa sauti zote za shetani maishani mwangu naenda kuruhusu sauti ya Roho mtakatifu na ya Mungu maskioni mwangu

  • @AnitaMr-g3b
    @AnitaMr-g3b Год назад

    Amen 🙏

  • @alicesidi-sq5yz
    @alicesidi-sq5yz Год назад +2

    Eeee mungu wangu nisamehe hili neno limeniona Mimi Manisha yangu kwa kweli mtumishi hizi sauti huwa nyingi sana kwanu naomba mungu wangu nizishinde hizi sauti kwa jina la yesu

  • @katherinasamwel3937
    @katherinasamwel3937 Год назад

    Amen Amen mtumishi ubarikiwe kwa somo

  • @agathemichelle238
    @agathemichelle238 Год назад

    Shalom shalom

  • @Feldauc
    @Feldauc Год назад

    Hakika ujumbe huu ni wangu,, niliweza siku tatu za mwanzo, baada ya hapo shetani akajiinua kwa nguvu isiyoeleweka,, mungu naomba nisamehe na kunitegemeza kwako

  • @gracehose8840
    @gracehose8840 Год назад +1

    Nakushukuru Mungu kuniwezeshe kufikia siku ya 29/9/29 Haikuwa Rahisi lakini Kwa Neema nimefika leo

  • @JosiphineWairimu
    @JosiphineWairimu 11 месяцев назад

    Yes

  • @imeldamussa4124
    @imeldamussa4124 Год назад +1

    Amina barikiwa umenitoa shimoni

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Год назад

    Oooh my God,,, Nisaidie nisikuweke pending

  • @MwaduduFatma
    @MwaduduFatma Год назад +2

    Ameen Mungu atuongoze maan mtumishi unayosema nkwel kabsaa

  • @georgepeter2564
    @georgepeter2564 Год назад

    Nmejufunza kwa kweli

  • @ProsperNgabirano-pn2xy
    @ProsperNgabirano-pn2xy Год назад

    Bwana Yesu asifiwe ibda ya Leo imenigusa sana sikuzote nikipanga kufanya kazi ya Mungu awa nishindwaga malanyingine nasikia mwiri kuchoka au usingizi malanyingine nasikia Roho inataka kunichomola Leo hiyi Mungu anitie nguvu niweze kushinda bila Mungu siwezi

  • @Marianamariana181
    @Marianamariana181 Год назад +3

    Mungu nakataa maroho yanayoinuka katika maisha ndoyo za ngono na kurudi shule ndoto za kukimbia bila kujua nako ende eeeh mungu haya maroho nayakataa katika jina la yesu 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @elizabethkhisa4755
    @elizabethkhisa4755 Год назад +1

    Amen🙏🙏🙏🙏nisaidie Mungu niwe karibu na weww

  • @jacklinegatwiri635
    @jacklinegatwiri635 Год назад +1

    Balikiwa sana mtumishi wa Mungu Asante Yesu kwa kutupa mwalim wa neno lako

  • @gracehose8840
    @gracehose8840 Год назад

    Amina Amina Mtumishi Jina la Bwana lihimidiwe ubarikiwe na Mungu mtumishi wa Mungu

  • @gracehose8840
    @gracehose8840 Год назад

    Napokea Baraka zako ktk maeneo yote ya maisha yangu Napokea Kwa Imani

  • @juliuskalawa7860
    @juliuskalawa7860 Год назад +1

    Roho mtakatifu kaa nami mimi na familia yangu uwe tegemeo letu,Amen

  • @faridamahushi3613
    @faridamahushi3613 Год назад

    Ubarikiwe sana pastor unaeleweka vizuri sana

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Год назад

    MUNGU anaweza jamani

  • @jeskaniyimumpaye4170
    @jeskaniyimumpaye4170 Год назад

    😭😭😭😭😭 asate papa kwamahubiri yareo yamenigusa kweri papa unapo ombea wegine usinisahawu papa asate kwaneno rareo rimenigusa umeneneswa naroho wamungu kweri papa ubarikiwe Sana Sana mungu akupe guvu naujasiri wake am
    en amene papa ubarikiwe

  • @fatumakyese290
    @fatumakyese290 Год назад

    Amen amen Bwana Mungu nisaidie

  • @MiltonObote-ln4wb
    @MiltonObote-ln4wb Год назад

    🙏🙏

  • @gracehose8840
    @gracehose8840 Год назад

    Mungu Baba nisaidie nikupende kwani wewe umenipenda zaidi nakushuku Baba yangu wa Mbinguni

  • @victorianjau8856
    @victorianjau8856 Год назад

    Amen nimebarikiwa na maneno ya mungu ,mungu anisaidie nibadilike,pale ambapo sipo sawa na mungu,nienende sawa na kusudi lake mungu,barikiwa mtumishi

  • @alicemwaka3762
    @alicemwaka3762 Год назад +1

    Tuko pamoja

  • @irenemlingi4603
    @irenemlingi4603 Год назад

    Mbona hampokei cm jamn nina shida muwe mnapokeaaaaaaaa

  • @nasimiyujustine
    @nasimiyujustine Год назад

    Wow this is true I think this massage is mine

  • @marymaria6544
    @marymaria6544 Год назад

    Sylvia amen amen amen asante yesu

  • @suzzymussa89
    @suzzymussa89 Год назад

    Yesu tusaidie sio kwa hakili yangu🙏🙏

  • @shelyboyshely2928
    @shelyboyshely2928 Год назад

    AMEN asante Mungu kwa kunijalia afya njema jina lako ritukuzwe milele Amen

  • @leahluhwavi7850
    @leahluhwavi7850 Год назад

    Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu🙏🙏

  • @sophiamwangi843
    @sophiamwangi843 Год назад +1

    Mungu nisaidie sana niwe karibu yako bwana🙏🙏

  • @sophias3334
    @sophias3334 Год назад

    Mungu wangu kutana na haja ya moyo wangu😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @marykisiangani2470
    @marykisiangani2470 Год назад

    Amen amen,barikiwa sana mtumishi wa mungu kwa hili neno la mungu

  • @zawadilubondo4848
    @zawadilubondo4848 Год назад

    Amina 🙏🏼🙏🏼

  • @setds-ey2qs
    @setds-ey2qs Год назад

    Amen mungu akubariki sana

  • @anitajohn3834
    @anitajohn3834 Год назад

    Amen🙏 🧏🏼‍♀