Malkia Karen - Mapendo (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- [#MalkiaKaren #Mapendo #SlideDigital
(C) Slide Digital
Malkia Karen Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/malkiak...
Written & Performed by Malkia Karen
For Bookings: mxcartertz@gmail.com
Follow Malkia Karen on:
/ malkiakaren
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Verse 1]
Mapenzi ,mapenzi ni kiza Washa taa tuone
nyoyo zinavong'arang'ara.
Mupenzi ,mapenzi ni tiba nipe yaniponye
kwa raha nala nalala.
Nyoyo zinameremeta yani twapendana sisi
Kulumana lumana kutandikana makissi.
Twatekenyana twatambiana hadithi
Hubby wangu boriti we zidi kukaza nati !
[pre chorus]
Nina maa,mapendo mapendo mapendo X 3
[chorus]
Aah aaa Chini ya jua tuko mimi nawe
Tunaopendana sana
Chini ya jua tuko kimi nawe
Tunaopendana baba .
[Verse 2]
Mapenzi yakupimiana sitaki
kwenye kibana si haki ooh,
Nipe yote ulowekeza kwenye mutima.
Vinyama nyama sitaki
vya mishikaki ooh
Halitoshi ata paja we nipe tu mwili mzima.
Unipepete pepete kama kiberenge eeh
Unibemende bemende hata nisitembee eeh
Unipapase kong'ote rungu la madenge eeh
Nikupe mgongo upande na popote Twendee..
[pre chorus]
[chorus]
HII NGOMA INASTAHILI 5 MILLION VIEWERS, JAMANI LET'S SUPPORT HER
Uyu video king ni yule wa mu wimbo fulani wa zucu
Umetisha mmy umeuaaa😙😙😙😙
Malikia uko Vizuri Sana
Always mm ni shabiki yako @karen
Washa moto mama.......
Kazi nzuri hongera sana dear
Alikiba kanileta hapa
Nzuri sana
Nzurii
I just discovered this magical voice 😍😍😍
Mbona unamkopi zuchu wew huna ubunifu uwe tofauti
Kaanza kabla ya Zuchu huyu mkuu!! Tafuta nyimbo zake za zamani!!
Good kareen
Kma namuona calisah alivyofurahi kupata nafasi kwa Karen hahaha hapo cna shaka Karen umemaliza kushoot salama kweli
🔥 📛 👨🚒
This is an other Zuchu version kwa wale wamekubaliana Nami wapi like zenu maana sijawai zipata#Do doondosheni apa Karen anaweza sana🔥🎶💯🤝👆
Good song
WASHAANZA KUMUIGA ZUCHU
Atapelekana na Nandy huyu
🤝🤝
❤️
tamu
uliemweka kachafua video
Wallah hii nyimbo kalii sana ila uyo video king msengeee tu ana mambo ya kishoga sana hawezi kuita wezake wachafu😏 Nakupenda sana karen paka naumwa mie
Suleiman Abbas 😂😂 Yeye tu mie nipo tayar kwa chochote anacho taka mbona hana matumizi ya kushitua huyu
Ila huyu mtoto ni mzuri kwakweli daaah hatari Mungu amtunze asiharibike kama wenzake
Mbona sauti ya Zuchu
Uyu mtoto anahitaji support anafanya kazi nzuri saana
Huyu mtoto ananikosha sana,
Mi ni shabiki yako namba1
Karen ana lafudh ya kitanga tam.song tam mashalaah 🥰🥰
Sound like Zuchu kabisa.
Kama zuchu,kama marioo,kama mboso..wimbo mzuri🤗🤗
Hakika sikupingi
Nimeona nipite bila kukusaport roho ikanisutq sababu ww nimwanamke mwenzangu mungu akufikishe mbali kipenz❤️
Nyimbo nzuri Sana Fanya bidii uje ufanye collaboration na alikiba uta penetrate
Hii nafasi ange pewa yule mshikaji alio Fanya ile video ya zuchu #wana Ange UA Sana 🤟👏👏
Hii video inafanana Sana na zile za bongofleva ya zamani
Kidogo sauth kmaa ya zchu
Duuh kalisah hebu gongen like hapa
Karen ana sauti nzuri
Kalisah kam kalisah
Karen aliingia wasafi ni nomaaa, zuchu atakuwa hanauwezo
Roho inavyoniuma sasa uyo boya anavyo kugusa gusa aiseeeeee
Kwani Calisah c alisema hatofanya video na wabongo cyo level zake
mi mwenyewe nataka kujua hapa nn kinaendelea alisema ameacha nashangaa humu yupo🙄🙄
Nakumbuka🙄🙄🙄🙄🙄
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥bonge la nyimbo 🔥🔥🔥#sns
Ngoma imemisi kidogo umemkosa mario humu
Nakubaliana nawe
Sawa Kabisa
Jahaaaa kelele Kwa mariooo wake
Kulumana lumana
mob love from kenya. dada naona ukienda mbali. the next big star.
take that to the bank
Nyimbo Kali sana kama unakulibana na mimi weka like apa twende sawa
Bgp Dada kuzen soko nyimbo nzr San mmwaaaaaa
Naskiliza mziki wako kutoka qatar 🇶🇦
alie angalia kwasababu ya kiba gonga
Mimi najuwa kutunga xn
Dah napenda sana unavyo penda malikia Karen I wish one day tuje kufanya project izo Ndo my dreams ❤❤🔥🔥🔥🔥
upo vizur bestie 😍😘
Ila we Dada mzuri rangi yako nzuri usije ukajichubua lol ,nice
Sauti tam mashallah,gadna unamtoto mzuri mashallah 👌🏿🥰
🔥🔥🔥
Ngoma kali Sana 🔥🔥🔥🔥🔥
😀😀😀😀 nzuri Kali big up
That’s my girl,watching from New York
Manshallah she is very beautiful..😇
NY wapi mrembo..
Karen wanguuu ❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥
Aziiizah mambo
ahmed 254 poa
Waooo love u c* Karen mwaaa
Malkia mwenyew
Nachopenda kwa muimbaji huyu ni namna anavyoandika muda mwingi me nautumia kusikilizamashairi yake yapo sawia na yanavutia
I love the song big up Karen shunu
Tulio kuja baada ya kuona kiba kapost likes
Good sana isee
Nilivyokuona mwanzo sikukujua,
Ila kadri nilivyokuona ndo nikakujua,na nilivyokujua sikuipata teyna picha yako,
Nikirud nitakuona
She is good .... Una mahadhyy mazuriii sana keep going karibu kenya
Caren hunajua nibas2 wanajfanya hawaoni ila wataelewa2 oneday
My baby girl ❤️❤️❤️
Sound is good sound is beautiful 👍
Queen Kareen # good music alive
Hyo sauti😇😇
💖💖💖nzuri Sana !! Keep up ccy
Sawa calisah
🔥🔥🔥
Karen nakupenda Sana unajua kuimba dada 💓🙏🙏🙏
💓 from KE
Nyimbo kali ila hii beat angepita nayo zuchu ingekuwa kizazi sana sema Karen well well
Congratulations dear ok good 😘😘😘
We onyesha onyesha hayo matako utaguswa mpaka utaomba poo.waulize walotangulia.
Kali
Ngoma kali
Nakupenda mwaya Karen mtoto wa Captein G
Dah umetisha sana ngop kali sana 🔥🔥🔥
Medody zimekaa mahali pake.
Wow! You killed sweetie
Congz
ngoma kariiii
Video king kingwendu au? 🤫🤫🤫
aiseee nice saund
Malkiaaaaa✌️
Dope🔥🔥🔥🔥🔥
Nice song 👌👍
I lov u kareen .u're such an awesome💖😙
👏👏👏👏🤗🤗🤗💥💥💥
Umetisha Malkia Karen... Ngoma kali🔥🔥
Mpaka nahisi wivu,please malkia I need to be with u in the next video en it'll be priceless dear..
Bonge moja la ngoma KAREN #mapendo❤
Nguo uchi sija like
KamA zuchu
From SNS🤗
Me too 🔥🔥🔥🔥🔥