Malkia Karen - Nakuachaje (Live Band Session)
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Malkia Karen - Nakuachaje
"Nakuachaje " OUT NOW: onerpm.link/Na...
Follow Malkia Karen on:
/ malkiakaren
Lyrics:
Ah mzee mwenzangu
kwa pigo zako
kila mtu atakung'ang'a
Ushachukua moyo wangu
uko nao kwako
ona nimeshajifia
Uliponiroga karoge tena
mana nainjoy
sisikii la shari wala la wema
sipumui sikohoi
Yalosemwaga Kumbe niyakweli
kwamba subira ndo huvuta heri
Umenifanya nisivute fegi sheli
Waambie hapauzwi
ogopa matapeli weh!
Kwa raha nazozipata (Nakuachaje sasa)
eh baba we!
Kwa starehe nnazozipata
ehh aahh weh!
Na waseme na waseme na waseme
Watajua wenyewe
Acha Waseme na wasemeee Mh
Ilibaki Kidogo mapenzi yangenishinda
olooooh oh
kumbe ningekukataaa ah
ningekua mjinga
Eeh!
Yalosemwaga Kumbe niyakweli
kwamba subira ndo huvuta heri
Umenifanya nisivute fegi sheli
Waambie hapauzwi
ogopa matapeli weh!
Kwa raha nazozipata (Nakuachaje sasa)
eh baba we!
Kwa starehe nnazozipata
ehh aahh weh!
Kwa Mfano ukinihonga gari
(nakuachaje Sasa)
Ehh Baba we
(nakuachaje Sasa)
Unipe Hati nyumba ya masaki
(nakuachaje Sasa)
eeh Baba weh
(nakuachaje Sasa)
Kila shughuli unkatie kijora
(nakuachaje Sasa)
Na kila wili unlipie kikoba
(nakuachaje Sasa)
Nikikucheat unisamehe
(nakuachaje Sasa)
Ukinipa Password zako
(nakuachaje Sasa)
Eeh Meneja Zack ... Msalimie Star Jay Eeh
Yalosemwaga Kumbe ni ya kweliii
Kwamba subira ndo huvuta kheriii
#malkiakaren #Nakuachaje
Nimeisikia leo nikasema hadi niipate 😮
💥💥💥💥❤💯💯💯💯💯💯💯OH k
Bonge la kazi🔥🔥🔥🔥
Yaani hii nyimbo imenikosha narudia mara kumi kumi
Karen imba hivi it suits you well and this sounds last forever ❤️
Umeifanya Live performance ionelane ni kama kitu rahisi vile😊
R.I.p star jay
KALI
Mziki mzuri stress zinakimbia😊 here in Kenya we enjoy your music❤
Jadee KBS pigo zako Safi sana mama na mwana.
😂😂hapo kwenye kikoba ndo penyewe sasa umejua Kuishika furaha yangu 😊nakuachaje sasaaa❤
Ameimba vizuri sana
Dear k ukichanganya lugha pia na hii style ya nyimbo unatoboa because it a Queen vibe as you are
❤❤❤❤❤❤❤
Sauti imetulia ni kama imefanyiwa mixing 🔥🔥🔥🔥
Sheis good in music
Kariiiii❤
Malkia mtafute yule kijana anaitwa Melord Mbassa mfanye collaboration kaaaliiiii❤
Miziki ya wakubwa Malkia Karen big up❤️❤️❤️❤️❤️
Nyimbo nzuri
Malkia Alaf talented ❤❤❤❤
Big up mwanangu Karen
Mungu akuzidishie kipaji chako
Much love❤ from Zambia🇿🇲
Nice song😘😘
Maumbo ya mdori ❤
Gedagedegedagadao I've been married a long time ago where did you come from where did you go where did you come from buken cotton eye joe
nime penda hiii nakuachaje ❤❤❤
Malkia 🔥
Fire🔥❤️😩
😊😊😊
talented queen
Malkia ❤❤❤
Namsikia jideee❤
❤❤❤❤
Hatar 🔥
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤
🥰🥰🥰🥰
Sijaulewa jmn duuuuuh
Jamn hii nyimbo sio nzuri me mbona siielewi😂mnisamehe bure tu
Ww utakuwa muwanga😂😂😂
Uchawi ndio huu sasa😂😂😂
Mmh una yako wew
😂😂
Wewe ni roho mbya tuu,wimbo mkali sana
❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤