Malkia Karen - Tabu (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • #MalkiaKaren #Tabu #SlideDigital
    (C) Slide Digital
    Malkia Karen Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
    ffm.to/malkiak...
    Written & Performed by Malkia Karen
    For Bookings: mxcartertz@gmail.com
    Follow Malkia Karen on:
    / malkiakaren
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz
    [Verse 1]
    Ukija niacha moyo wangu Nitaumia sana mie
    Ndomana nikikuona mwili wote unanitutusika eeh
    Kua nawe sina hakika ,utaniua wee!
    Mi kunipa pendo lako,kwangu imekua kama njozi,hata pale tufikapo.. Amini naumwa homa!
    We sio wa sampuli wala sample
    kwangu umekua kama dozi,
    hata pale niangukapo,Awe unaniinua savipi ukiniacha?
    [Chorus]
    Me nitapata tabu oooh tabu! x 4
    [Verse 2]
    Niko na wewe,kinywa hakineni
    yanini niandikie mate ,eti kipya kinyemi maneno ya uvumi yasinichachafye!
    Mimi umenifunga semi kwa rafikizo baba usintangazie..
    Ona mana fisi bucha hasusiwi hata buti haing'ai bila kiwi malumbano kando hayatakiwi... X2
    sasavipi ukiniacha?
    [Chorus]
    Me nitapata tabu ooooh tabu! x 4
    bridge
    Tujikongoje tara tara..Taratibu kokote sisi tutafika
    Visiwani bara bara..Majaribu usitetereke yatakwisha
    [Chorus]
    Me nitapata tabu oooh tabu! x 4

Комментарии • 522

  • @RajmahKalolo
    @RajmahKalolo 4 месяца назад +9

    Mungu akupe uvumilivu Caren wetu tunajua upendo wako Kwa baba

  • @yohanamaulid9493
    @yohanamaulid9493 4 года назад +17

    Aliyeurudia mara zaidi ya Mara nane tutambuane hapo kwenye kipengele Cha like

    • @saidjuma-iq1go
      @saidjuma-iq1go Год назад

      Mm hapa

    • @MbarakaBarak
      @MbarakaBarak 4 месяца назад

      Pole Sana Sana Karen kwa kufiliwa na MZEE ndo kazi ya Mola hanaga makosa

    • @MbarakaBarak
      @MbarakaBarak 4 месяца назад

      Pole Sana Sana Karen kwa kufiliwa na MZEE ndo kazi ya Mola hanaga makosa

  • @fahadykabuhaya8994
    @fahadykabuhaya8994 4 года назад +5

    Alikiba katutuma kwann tusije wakat bab kisha sema ebu tumpe sapot kings wote na tem kiba nice song yuuuup

  • @hamisikareem648
    @hamisikareem648 4 года назад +4

    Duu huyu boy alienae humu ndan anafanana Na Chris Brown... Kama umeona gonga like

  • @kinyuaj2337
    @kinyuaj2337 4 года назад +8

    Huyu Ni zaidi ya Zuchu ✅✅

  • @elizabethvictor3057
    @elizabethvictor3057 4 года назад +10

    Mi nitapat taabu oooooh tabu mi nitapat tabu ooooooh tabu karen napenda unapoimba huo mstar

  • @sullehtz9327
    @sullehtz9327 4 года назад +3

    MalkiaKaren unaimba kma radyjaydee kudadek💪💪💪

  • @lulutwahiry933
    @lulutwahiry933 4 года назад +13

    jitahd sana utakuja kuw msanii mkubwa sana Tz zikwepe skendo na heshimu Kila mmoja one day utakuja kuona matokeo mazur

  • @lusseraymond5449
    @lusseraymond5449 4 года назад +3

    ivi ukipata likes inakuaje sielewi hhhh ngoma kali natafta wakunipa tabu

  • @AbisinaRashidi-wg5jt
    @AbisinaRashidi-wg5jt 4 месяца назад +3

    Pole Kwa wakati huu mgumu wa kumpoteza babaako kipenzi

  • @edwingwesso6818
    @edwingwesso6818 4 года назад +2

    Sina cha kusema zaid ya kumkumbuka mpenz wangu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😷😷 2020

  • @manjaruujr146
    @manjaruujr146 4 года назад +16

    mama la mama we ndo unajuaga kunilegeza me mkazaji kinoma ani KAREN

  • @issaadam867
    @issaadam867 4 года назад +19

    Naitwa Fellow B toka kenya Karen ushapata shabiki. Nyimbo nzuri

    • @officialsile3624
      @officialsile3624 4 года назад

      Issa Adam Gusa na hapa aisee ruclips.net/video/qM5xUDqwMO4/видео.html

  • @nelsontanzania1098
    @nelsontanzania1098 4 года назад +58

    Karen MamaLao Nakupenda ❤️

  • @shebyclouds2003
    @shebyclouds2003 3 года назад +2

    Moja kazi nzuri kutoka kwako #tabu jamani sijui kwann naupenda sana

  • @eliadaniel9570
    @eliadaniel9570 4 года назад

    Namskia lady jay dee kwa mbali ni saut ya uyu dogo au jide nae kaimba back vocal

  • @petermbugua5719
    @petermbugua5719 4 года назад +2

    wanaorudi kuitizama hii ngoma. mara kwa,mara gonga like. dada tushamkubali.

  • @daudijohn609
    @daudijohn609 4 года назад +38

    Km na ww mara ya kwanza ulidhan ni lady jay dee gonga LIKE

  • @derrickthedon91
    @derrickthedon91 4 года назад +5

    Naikubalii sana hii nyimbo Karen kaimba freshi sana

  • @aureliacharles5043
    @aureliacharles5043 4 года назад +34

    Bonge la ngoma bila ku like ntapat tabuuu

  • @mgabumakau78
    @mgabumakau78 4 года назад +3

    Hongera sana sister wimbo mzuri sana nimeupenda mnoo , nyimbo kama hiz ndo huwa tunaimbiana vile kwa room

  • @wakhuben
    @wakhuben 4 года назад

    Nifanyie fevour please. Fanya wimbo mmoja tu na Alikiba, Mbosso au Konde boy.

  • @jennyamecha7701
    @jennyamecha7701 4 года назад

    The guy.....kijana mtanashati kweli

  • @musuamri9427
    @musuamri9427 4 года назад

    Tupe ngoma moja na mdada vein itakuwa poa sanaa

  • @salurashidy6239
    @salurashidy6239 4 года назад +2

    nampenda sana karen anajua sanaa nakupenda sana karen

  • @kisasiletate6069
    @kisasiletate6069 3 года назад +1

    I'm cry for you malkia Karen nakupenda too much naomba uende asasination kuna ujumbe wako

  • @pepumondzacharia6691
    @pepumondzacharia6691 4 года назад +2

    We kareni umetisha nimeikubali sanaa hii ngoma

  • @nyamangatv2004
    @nyamangatv2004 4 года назад

    Oya naomba mnisaidie huyu jamaa aliyesimama kama video king anaitwa nani maana ana nyimbo yake moja hv Kali sana

  • @vicentmpuya1516
    @vicentmpuya1516 4 года назад +3

    Dada angu Karen hii song ni yafunga mwaka hongera kwa bonge la song

  • @mgabumakau78
    @mgabumakau78 4 года назад +1

    Kuanzia leo naanza kukufuatilia , ila sio kwamba kila sku mwanadamu atapendezwa na kaz zako zoteee apana , kuna kupatia na kukosea ndvo ilivyo , ahsantheee sana kwa kaz nzuri , majukumu mema. Mgabu from butiama mara chizi music

  • @mgabumakau78
    @mgabumakau78 4 года назад +1

    Huu wimbo bana ni mzuri mnoo yaan sjui imekuaje nimechelewa kuufahamu aisee my today's Auto repeat song , ooo tabu ,, ooo tabu e bwana hisia nzito ndan mpaka unawaza sayar nyngne , embu vuta hisia sasa uko ndan na emu ngoja niache kuandika saaaana

  • @johnmarwa6908
    @johnmarwa6908 3 года назад +1

    Mwenye fisi bucha hasusiwi, hata buti haing'ai bila kiwi 🔥🔥🔥

  • @winniemakeup9422
    @winniemakeup9422 4 года назад +27

    millad ayo interview imenileta duu big up dada

  • @janethgaudence265
    @janethgaudence265 4 года назад +7

    Carlen jamani nakukumbuka sana maeneo flani hivi tabora.love u👩‍❤️‍💋‍👨

  • @Splkevin8026
    @Splkevin8026 4 года назад

    Ongera.sana.malikia.karen.kaza.buti

  • @malilingagani3231
    @malilingagani3231 4 года назад

    Karen unaweza kuimba dada endelea kipaji unacho

  • @IzackKimario-jm6fo
    @IzackKimario-jm6fo 4 месяца назад +2

    Nipo mana ata nilikuwa simjui

  • @mariellerashidi4649
    @mariellerashidi4649 2 года назад

    Yoooo mwimbo umenigusa nashemejiyenu

  • @precuorsgrace7635
    @precuorsgrace7635 4 года назад +5

    Cjui ni vile nakupenda ndo maana napenda kila ki2 kutoka kwako jmn love ngoma tamu hiii mweee!!! mpka inaboa etii💕💓💗

  • @tumainlession411
    @tumainlession411 4 месяца назад +2

    Mungu akutie nguvu

  • @salomejohn2416
    @salomejohn2416 18 дней назад +1

    2024❤❤

  • @nadhiruomar699
    @nadhiruomar699 3 года назад +2

    🔥🔥🔥🇰🇪

  • @EileenConnects
    @EileenConnects 4 года назад +88

    Who else watched this after zamaradi’s interview. C🤗😀😀😉

  • @muusilvermasunga9368
    @muusilvermasunga9368 4 года назад +2

    Aiseee Mimi namwelewaga sana uyu Dada

  • @lazaromaniche429
    @lazaromaniche429 4 года назад +1

    Iko Poa sana hii nyimbo naipenda mno

  • @mwajumamatimbwa4932
    @mwajumamatimbwa4932 4 года назад

    Hongera mamy sauti kidogo ifanane ya jdee

  • @Lux_Billy
    @Lux_Billy 4 года назад +1

    Malkia karen naomba nikuandikie wimbo

  • @mirajmalick7697
    @mirajmalick7697 4 года назад +30

    #Kingkiba anafuatilia mziki sana... nimekuja hapa baada ya yeye kukutaja kuwa n moja wasanii watatu anaowakubali sana🔥🔥🔥

  • @jemimaneyo2900
    @jemimaneyo2900 4 года назад +1

    Aki mungu akufikishe mbali Ivi kwann watu hamuelewi izi kitu sweet voice

  • @mackykempstv7512
    @mackykempstv7512 4 года назад

    Daaah! Verse ya kwanza na chorus yake imenifanya nikumbuke mbali mpaka nitaman kuangusha choz

  • @alexmwamwezi8848
    @alexmwamwezi8848 4 года назад

    Dada uko vizur ,cjaona levo yako ila kaza kamba ucjisahau zis Tz

  • @awardandrew973
    @awardandrew973 4 года назад +3

    Wao,issa amazing work,nimependa mlivoangaliana hapo na huyo bro akavua miwani inasisimua kinomer!

  • @grapevinetv800
    @grapevinetv800 4 года назад +1

    #tabu #karen
    Nice song.. kidogo nilidhani ni Nandi sauti za fanana.
    Kazi safi..👍

  • @magrethnatai8846
    @magrethnatai8846 Год назад

    Nyimbo nzuri sana Kareni. I remember during covid 2020 ilikuwa inapigwa sana EATV. I fell inlove with the song since then

  • @saidibakari1182
    @saidibakari1182 4 года назад +2

    Hata fix bucha axuxiw na kiatu aking'ai bila kiwi. good song karen

  • @claudetube2592
    @claudetube2592 4 года назад +2

    Napata taabu saana

  • @KirangaHouston
    @KirangaHouston 4 года назад +3

    Vanessa Vimoney na Nandy na Ruby wafunge mkanda vizuri..
    Maana naona umekujaspeed km risasi..
    Big up sn nyimbo nzuri...usiachi hapo endelea kutupa mawe.
    #KikiHouston
    @BURUNDI

    • @aginessjacksoni8115
      @aginessjacksoni8115 4 года назад +1

      Bwege jianga rie kumtaja ruby na veee mapesa wangu rabda nandyi mwiiimba tab mwenzie chezea mbar bwege wewe kitu conq kavukavu awa achie kina mapesa na ruby

    • @KirangaHouston
      @KirangaHouston 4 года назад +1

      @@aginessjacksoni8115 kumjivu bwege kama ww nikupoteza time...jifunze kuandika kiswahili.....

  • @jazatz280
    @jazatz280 4 года назад +2

    Umeua

  • @Mwakito2013
    @Mwakito2013 4 года назад +3

    Alieandika hii ngoma nampa max 99% alieimba na max 100%

  • @youngweezy3846
    @youngweezy3846 4 года назад +129

    Demu mkal bongo nzima like kama unakubali😂😂😂

  • @ibrahcataryan7114
    @ibrahcataryan7114 4 года назад +3

    Yaani nimeickia sehem,sauti ikanichanganya sanaa sijui nandy au jdee,kumbe ni ww#malkiakaren

  • @hassanfadhil3579
    @hassanfadhil3579 3 года назад

    Nakubal ngom zak we uko vzr san

  • @saidrajabu9589
    @saidrajabu9589 4 года назад +1

    Karen hii ngoma nimeilewa sana umeweza sana big up

  • @erickmwangonda7814
    @erickmwangonda7814 4 года назад +1

    Dogo unaweza sanaaaa nakuona wewe ni msanii mkali sana badae

  • @ahmedhassannoor9645
    @ahmedhassannoor9645 4 года назад +1

    Wanao mkubali malkia karen kama mimi gonga like am supporting this girl from mombasa kenya

  • @fatumasalum3119
    @fatumasalum3119 Год назад

    Napenda San nymb

  • @asaphag8789
    @asaphag8789 4 года назад +11

    Unachokifanya ni kikubwa na wala austahili kuwa hapo ulipo, kwa nini watanzania mnakuwa wagumu kumpa huyu dada masikio yenu!!!Mungu atakupeleka unapostahili #i love what u do

  • @DMATZ-qh2sd
    @DMATZ-qh2sd 4 года назад +2

    Ujawai kosea yaana ninavyo kukubar ...motoooo

  • @user-qx3fs9ts4q
    @user-qx3fs9ts4q 9 месяцев назад

    Mungu amekujaliya

  • @davidchesco52
    @davidchesco52 4 года назад +2

    Music 🎶 ni maisha uzuri wa kagoma haka mpaka kumoyo mimi nitapata tabu eeeeh nimeelewa

  • @charlesjustine7322
    @charlesjustine7322 4 года назад

    Dah.... Huu wimbo nimeutafta siku nzima youtube,,,,,, Nimeuelewa san aseeeeeeeee

  • @halifasaid8343
    @halifasaid8343 4 года назад

    Kazi nzuri sana kila kitu kipo sawa

  • @zainabu_al_tz4742
    @zainabu_al_tz4742 4 года назад

    Hongera Karen nyimbo mzuri

  • @mrmtulinga7865
    @mrmtulinga7865 4 года назад

    umenikosha kwa hii song service girl

  • @meshackswai1502
    @meshackswai1502 2 года назад

    Nyimbo inanikumbusha Mambo yangu mazito ❣️❣️

  • @eng.bevimas9089
    @eng.bevimas9089 4 года назад +2

    Karen, msanii mzuri wimbo mzuri. Utafika mbali sanaaaa

  • @shadyaomary2251
    @shadyaomary2251 4 года назад

    Ngoma tamu hii

  • @dadyyoo6799
    @dadyyoo6799 4 года назад +1

    Nice song i zidisha zaidi

  • @lukasanga9483
    @lukasanga9483 4 года назад +2

    kubal sana malkia

  • @ostinpius7618
    @ostinpius7618 4 года назад

    Aisee scirpt ya video ni kali ,,Melody kali na uandishi mzuri... Hongera sana

  • @Dm-yd1tl
    @Dm-yd1tl 4 года назад +1

    Dah hii imenikolea baraabara

  • @pillyolsen8377
    @pillyolsen8377 4 года назад

    Ww mrembo sana nakupenda bure

  • @Bambii101
    @Bambii101 Год назад +2

    My favorite female singer ❤️ of all the tym, who iz here 2023

  • @mjsaidkeya822
    @mjsaidkeya822 4 года назад

    Ngoma kali na kubali malkia

  • @theodorahcharles4183
    @theodorahcharles4183 4 года назад +1

    Nice one kareen

  • @sidrictaboula7863
    @sidrictaboula7863 4 года назад +6

    I understand nothing but i am in love with this song..kiss from Cameroon

  • @asinakidenya1232
    @asinakidenya1232 4 года назад

    Karen nomaa sana unajua

  • @fatmakombo7584
    @fatmakombo7584 3 года назад

    Uko vizur

  • @charleschanai601
    @charleschanai601 4 года назад +1

    Namsikia Jide kwny sauti ya huyu msichana

  • @hydrojaamwansyange676
    @hydrojaamwansyange676 4 года назад +4

    Malkia kareeen Jd replacement ❤️❤️❤️🛴🛴🛴🛴🛵🛵🛵

  • @fabianndimanya2055
    @fabianndimanya2055 3 года назад +1

    Dah bonge la chupa na sauti nyororo

  • @boniphaceexsavery5083
    @boniphaceexsavery5083 4 года назад

    Karen nitafte plz.....nikusain kings music.........

  • @grnifamgeni1309
    @grnifamgeni1309 4 года назад

    Keren nakupenda sana mpka naumwa

  • @yusuphwella9651
    @yusuphwella9651 2 года назад

    Nyimbo ya kiswahili comments za kiingereza, mmerogwa waafrica...

  • @roserisasi5441
    @roserisasi5441 4 года назад

    Kaza buti utafika

  • @rogerasifiwe6394
    @rogerasifiwe6394 4 года назад

    ngoma nzuri sana

  • @vannillahabdallahmarandava1815
    @vannillahabdallahmarandava1815 4 года назад

    Ndio nakuona cute wetu

  • @aronelius9515
    @aronelius9515 4 года назад +38

    Nisipocomment nitapata TABU. I love u every day.

  • @yohanasebastian6488
    @yohanasebastian6488 3 года назад

    Jmn ngoma nzur

  • @antonyjux6682
    @antonyjux6682 4 года назад +2

    uliyekuja baada ya kollabo na vany boy like plz