Malkia Karen X Meja Kunta - Sina (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 8 ноя 2020
- #MalkiaKaren #Sina #SlideDigital
(C) Slide Digital
Malkia Karen Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/malkiakaren
Written & Performed by Malkia Karen
For Bookings: mxcartertz@gmail.com
Follow Malkia Karen on:
/ malkiakaren
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz - Видеоклипы
malkia umetisha dada yangu meja amekueka sehm nzuri kwenye mziki .umetisha dada yangu
Meja na Karen Hawakuwahi niangusha ✊🏿
Karen una sauti nzuri sana na mziki unauweza Big up🎉
Daaah ngoma hii imetulia inaskikaa kwa umakin saana tena inautulivu mkuubwa saana meja umetulia hii nimeielewa dj kaitendea haki dadaa sauti iko vizur
Mashalah sauti zipo mwaaaaa
Bonge la song.yaan....saut ya Karen balaaa meja ndo kabisaa 100%%
Si meja tena yule tunayemjua kwa pengo ,huyu ni meja 2021 mpyaaaa 💃💃🔥🔥
💯🔥ongeza bidii we ni mshindi hakuna wa kupinga kaulicho kifanya
hongereni kwa kufanya kazi nzuri mnajuwa kuimba kelel ya kwanza meja kunta wewewwee kelele ya pili kwa malikia wake wewwwww
Dogobalaa
Mejaa kunta sio mfalme wa singeli
@@triphonechami1037 bac mama yako
@@lotvnguyummajidincutsonda9436 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤷♂️🤷♂️🤣🤣
Mfame ni dulla makabila
Malkia $$ meja mmeweza💃💃💃💃 wangap wameipenda km mm like hapa
Me piah nimeikubali sanaa
Aaa Meja pesa kidogo tu umeenda kuweka na jino cheeefu. nimekuelewa mdada uko vizuri singeli ya kufungia mwaka 🔥🔥🔥
Kumbe Karen ukivaa Dera unakuw mzuri hvo nmekupenda bure mwaaaaaa!!
Never disappoint malkia 💃💃💃💃💃💃💃💃
MaashaAllah nyimbo nzuri
Ngoma kali sanaaaaa👌nimeyipenda sana❣❣❣❣
bonge la nyimbo
Usapotini jaman music mzur kutoka nyumban tanzania ngoma kali sana
Meja ume nenepa kweli pesaaa
Chefu
Mbn km umepanki ndug
ngoma kaliiiiiiii sanaaaaaaaaa👍👍👍👍 pamoja mani uko vizuri manigahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
So sweat voice,karembo sana haka kamdada
We meja wewe duuu nyimbo zako nzuli Sana ,akuna fujo yani mziki taratibu utumii nguvu iyo NDO sengeli Sasa inaenda na stsili
Yaan sauti zenu MashaAllah😘😍penda sana nyie watu
He reminds mih of Aslay akiwa mdogo love from 254 booooooom❤️❤️❤️❤️
Kelele ya kwaza kwa Meja Akeeeee
Kelele ya Pili Kwa Malkia Akeeeee
Kelele ya Tatu Kwa Like Zenuuuuuuu
ilove official ilda keys
DIAMOND AMCHANA HARMONIZE WAZI WAZI: ruclips.net/video/EhmI49JzV28/видео.html
ruclips.net/video/2VaZl_PxUeM/видео.html
*Fake Promise*
Mmb
Mwaaaaa mchumbaaaa
Piga kerere kwa meja akeweeeeee
I’m your new fan from Sweden 🇸🇪 Nakupenda musiki huu Tanzania 🇹🇿💎❤️
kihulamark@gmail.com can you check me please
welcome
Ulivo meka jino ulipendeza
Thanks for appreciation
Nice
Kazi nzuri.
From #kitanda na fobby na zooote napenda sauti yakoooooo karen spika saut ad mwisho nawakera majiraniiiii😜🥰🥰🥰💥
Usichoke et endelea kuwakela Raha jipe mwenyewe
Careen Umeua Sanaaaa
Bonge la ngoma.big up mejakunta🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
Kinanda Lake noma sana
100
Ngoma kali sana❤❤❤❤❤❤
Meja love ❤️😘
Ngoma Kali sanaaa 👊👊🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Malkia kumbe na wew unakatika vzr
Smashing *posterior* movements right there!!
Kila napopata nafasi nausikilizia huu wimbo😂
Nimeupenda Sana😍
*Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*
Weuweueeeeeeeeee jamani hiii kitu tamuuuuuuuuuuuuuuuu
Vp
Mann❤📸📸❤🎶🎶
Mamb 💚💚❤🧡🎶🎶vpi
Uyu dada ni mzuri alaf anasaut nzur kuliko hata nandy yaan huyu ndio alipaswa kupewa cheo cha kuitwa African princess na ktk ulimwengu wa singeli meja kunta anaongoza jahazi kwakwel yupo vizuri huyu mwamba
Meja kunta shikamoooooooo sanaaaa yaan hapoo cna cnaaaa shkamoo tena
My favorite tune on replay👌🤗
Nimependa Hii Come Out ya @MalkiaKaren Ni Mabadiliko Mazuri Sanaaa Aiseee❤️#Sina Ft @Mejakunta
Kazi safi ndogo zangu
Nawakubali sana
Meje kiukweli nyimbo zako zinanikosa sana 💥💥💥
Kazi Nzuri Sana!🔥🔥🔥🔥🔥
Mad love from 🇷🇼🇷🇼🇷🇼
Kazi Mzuli Allah akufanyie wepes uzid kuendelea mbele
Mungu akufikishe unapo pataka
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 appreciate this song was my ling tone and my fovarites ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️ big up to you meja and love you to bro ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Karen kaniwahi
"pesa kidogo tuu pengo halionekani"
Jamani at Mimi apa kaniwai😃😃🤣😁
😂😂😂😂
P
Dah meja kunta ameua kinyamwezi kwa hii kolabo
Keep up the good work🎉🎉🎉
Hit song 🔥🔥🔥🙌
Malikia anafananaga Na nandi sura kwambalii kama naww umeiona gonga like apo
Kweli mpaka sauti inafanana
Kabsaa
Kafanana na nadiaaa
Nimeipenda sana
Exactly
Sauti ya meja 🙌🏾🙌🏾
Oooh sauti iz jomon♥️♥️Malikia ♥️♥️ Meja
mamaeee mko wapi njooon uku Ngoma LA moto ili
Much love from 254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
ruclips.net/channel/UCV-fmG9wE8dF8nKZShOUBXA
Anajua mejakunta
tupo nae nampa tu nampa anaweza buana🇰🇪🇰🇪
Wehuodjh
the same
NYC malkia wanguvu
Hongera Sana huu wimbo umeniburudisha Sana Hadi sielewiii hongera Sana uko vizurii Sana nakupongeza Sanaa napenda kazi zako
Aseeee malkia Karen love you xn big up xn meja kunta sema bonge la ngoma aseee 👊👊👊nataman kila time nichek 2🔥🔥🔥
2021 wangp tunatazm
Meja kunta jamani kwenye kipande chake kafanya vizuri sana marikia careni dada uko poa sana
Star wangu
Meja kunta x karen ht song
Singeri on air
Meja kunta kaota jino jaman kumbe alikuwa bado mdogo sasa kakua gonga like twende sawa
mashaallah mremb
Daaaah dogo kumbe pengo kilema 😁
Kareen nakupenda
Vya kale vinapsua anga...
Aaaaah meja pesa kidogo ushaeka na jino 😂😂😂👌💞💞💞💞
Internationally....! 🔥🔥🔥
Jamani mtaniuwa
Hongereni bonge la ngoma
Naupenda huu Wimbo kutoka Ndani ya Moyo Wangu❤🔥🔥🔥🔥🎶🎵
Unishindi mimi
Tunaomkubali meja naombeni like zenu
Saut ya uyu jamaa inakosha San Yan dah💝
We Queen Mbona htr so kwa dance hizo
One love from Kizimwite ❤️❤️❤️love you Meja
Lit 🔥
Daah lile pengo lile pengo lili kupendeza 😊ila xiyo mbaya kwa kuweka jino bandia
Safi sana Karen majoka umeyaluka pia ngoma Kali sna meja katisha sarut kwenu
Song ni🔥🔥🔥🔥
Kama unamkubal meja kunta gonga like hapa👎
Makini sana Meja kunta hii ngoma imekwenda shule aseeeee aminia sanaaaaaaaaa
I love Tanzania
Caren wewe fundi hayo ndo mambo thanks to BURN MUSIC chini ya MOTTO ON THE BEAT
Wayaaaaaaaaaaaaaaaasaaas💡💡💡💡💡💡💡💡Ziro music
I LOVE TANZANIA
Nai❤ pia mm umetulia meja
Katoto kazur aka duuh!!!
Ngoma karii kinoma....
Listen dis song from Kenya nice voice
Xx
Meja unajua kaka mm naitwa twalha ilanasema kwanini sijaitwa meja unajua mpaka kelo
💃💃💃💃💃💃💃💃💃
Nipeni namba ya malkia Karen jamani nampenda mpaka nahisi kukosa punzi
Nyimbo nazipenda San hii jamn
Wangap hawajaonaa pengo la meja kunta gongen like
Limezibwa
Pesa kidogo tu ameenda kuliziba
@@alexandrinadomaino9868 😂😂😂😂😂😂😂😂
Mambo
@@agustinoamos5917 vp
Wow wat a voice tukiachana na baby face alionayo Karen dondosha likes Kama nawew unakubali Karen G Habashi
C. TV
Yes yes yes that kavoice jamani mdada ni balaaa
@@farajamanga886 wOpl
@@farajamanga886 Hugh by out youth thy Hugh thug thy but though h
Imekaa vizuri
Kareen umetisha saruti kwko
Much love from 🇩🇪🇩🇪🇩🇪
Lakisha wie gehts
Very excited for you guys we can do it together when you're done my love 💚💝💛💝💛👂 aishery
Lots of love,,, mkoo juu wadogo zangu,, Mungu Awalinde inshallah
Wimbo wenu bomba malkia umetisha hata singeli...cku ukiimba na Nandero cjui itakuwaje wote mna sauti😋
My favorite song 2020🔥🔥🔥
Kitendo cha kuziba pengo meja sasa ivi namuona kama binadam wengine tu .
Mmmh we umekamilika
kwan pengo kilema acha kufuru
Hahaha
Kwan mwanzo hakuwa binadamu ata ivo meja handsome
Mwanzo alikuw mzuri ule mwanyya kuuziba kafanya kufuru Mungu akikupa ajali ya jicho usijeweka la kondoo ili watu wakuone unalo sina nia mbaya wajumbe