Meja Kunta Feat D Voice - Madanga ya Mke Wangu (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 14 мар 2021
- #MejaKunta #MadangaYaMkeWangu #DVoice #SlideDigital
MEJA KUNTA SONGS OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/mejakunta
Follow Meja Kunta on
/ mejakuntaofficial
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Wangapi wameanza kumfatilia d voice baada ya kutangazwa wasafi WCB tujuane kwa like
I see tupo wengi hhhahahah
Ww umemjua leo uyo ni staa kitambo
Hhhhh
Nipo hapa,tena huu wimbo ni wa d voice sema kaamua kumpa mejq kunta kwa makubaliano,
Huyu no star kitambo
D voice baada ya kutambulishwa wasafii njooni apa ❤❤❤
Tulokuja hapa baada ya dvoice kutambulishwa wasafi 🖐🏻
😂
Wimbo mzuri kulingana na hiki kizazi kilichoasi. Ila pale unapomtaja Yesu na kuutaja Utatu Mtakatifu katika wimbo wa kiPumbavu kiasi hiki unakufuru. Sijui Meja ni dini gani ila naamini kama angetawa Mtume Muhammad kwenye nyimbo ya kiPumbavu kama hii Kingeumana.
Nyie ngoma tamu meja kunta unajua baba wangu aiseee, ebu wanaomkubali meja kunta tupieni like hapa aiseee me ananikosha sauti balaa nanusu😍😍😍😋
🔥🔥🔥🔥
Uhakika
🔥🔥🔥
Uyu mtoto kwakuimba afaii🔥🔥
Can anajuw
Tulio mfata d voice baada yakuingia wcb ❤❤
Hii ngoma dogo D Voice aliua sana, kuanzia uandishi hadi kuimba.🔥
D voice ❤❤❤ WCB
Kila mtu anamuongelea meja kunta ila huyu D voice kaua sana🔥🔥🔥
Tena sana
kamfunika sana
Dogo 🔥🔥🔥🔥🔥
Do do
@@saidshaban895 vCard luv vjbbnn
Jamani mi mkenya napenda sana singeli 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿❤❤ meja moto🔥🔥🔥🔥
Mambo
Njoo dar utazikuta
Kuna aliyemwona chino kama Mimi,aisee maisha kweli ni kukomaa
D Voice nouma sana.... Napenda sauti yake ndio kila kitu ktk hii nyimbo.
Yah iko safi sana kaitendea hki wallah
😘😘😘 sauti yake naipenda
Hatariii..... mkenya wa kwanza kuskiza singeli 🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Pamoja
😂😂😂mkenya wa buza
@@valeriaveda7519 😂😂😂😂😂😂acha banah
Aya bwanaa 😂😂😂😂 buza wapajua kumbe🤔🤔🤔🤔
@@valeriaveda7519 nawaona marafiki zangu wabongo wakipataja sana......Buza kwa mpalange😂😂
D voice katisha sanaa aliegmuelew agonge LIKe
Yuko vzr sana
Yuko vizur
Huyo vizur meja kunja
Likes za producer wa hii Ngoma 🔥🔥🔥🔥
Kama umemuona chino wanaman gonga like apa
meja kunte Huyo Dogo D Voice Kuwa naye makini anaweza chukua nafasi yako humu kakufunika mbaya
Dogo hatar Sana asee
True Ila kampa nafasi ya Kuimba kipande kikubwa
Kwel aseeeeee yan kama nyimbo yakeeeeeeee
Kaua vibaya mno..💥💥
@@thresherjordan6829 nyimbo ni ya D voice
Kw niaba ya TIN WHITE. Sihitaji like ya mtu, ila ukilike cyo dhambi. 😜
Ongera sana kazi nzur sana mwaya.
D VOICE ANAJUWA SOME LOVE FROM KENYA 🇰🇪
Utachekwa wewe
@@MudMuho-zo9do Kwani uongo?
Huu ndio mziki wenye vibe lake la kipekee yaani naamanisha duniani kote huwezi kuta vigoma ,vinanda na midundo kama hii its only in TANZANIA na seriously in feel very proud listening to singeli ..
😃😃
Na huu ndio mziki halisi wa Kiafrika
@@richardndoshi6477popk 8
Kweli madanga yamke wangu
Vinanda vitam hatari
Mia kwa Mia Kama balozi Kutoka Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 singeli should be in Grammy's.... content humour,,, reality you guys you killing it🔥🔥🔥🤘
Nyimbo za matusi msiwe mnataja jina la Yesu hata kama ww sio muumin wa yesu
Yani mimi sijawai kupewa like sijui kwa nini😂
We zombie, haujui😂
😅😅😅🎉🎉🎉🎉🎉
Samahani, ivi Kuna Siri ganni katka likes huku RUclips mana naona wengi sana wanaomba likes.. answer me please 🙏.
Duh nyimbo gani dunia kwisha yani mke aka akadange akuletee hela kiyama kimefika
Sijachelewa jmn hii nyimbo naipenda mnoooooo 💕💕💕💕 like namimi
imetisha
Nzuri Sana 💕💕🤩
😍😍😍
Kama umegundua kuwa sauti zao
Hawa Wanyama zinafanana gonga
Like tujuane 🤝🤝🤝
Zinafanana kwel mkali
Ndio
Japo ya meja kali sn
mi nilijua kaimba meja kumbe sio peke yake
Umeona kama mimi.
D voice umeua sana kwenye ngoma hii kipaji.🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪👍
ruclips.net/video/-075lBJIW2o/видео.html
Humau d voice kaimba vzri zaid ya meja
Meja hakuna mtuanaweza kumkuta meja❤❤🎉
D vocal.... D voice ni hatari ila kakutana na fundi zaidiiii
Machizi waki kutana lazima waache watu hoi tabani kama hili ngoma Naipenda kinoma aise 🙏❤️ ma baharia Wenzangu tujuwane kwenye like basi
d fundikino maanangoma kalisaana siopwhebu gongaleketujuane wanangu wabuzampo
I see you far mkali mejja since day one...baba mmoja mama mmoja tumbo mbali mbali yaan binam yangu alielewa hapa gonga like tusepe na kijiji🤑🤑
Who is here after D voice was signed under WCB_wasafi❤
Tupo wengiii😅
D voice kamfunika Meja Kunta hapa 🔥🔥🔥🙌
Hapa meja kunta alikutana na moto wa ges
Sasa naona ngoma hii inavyoeenda kua trending soon daaah Ila bonge la video ubunifu100%ho hongera #D voice
Yaan Weeeh acha Tuu Navyoikubal Hii Ngoma
Atali sana
Mejaaaa big up nyimbo zako uko poaaa wewe fundi wakasome wakongwe was singel✊
Dada anaecheza kati hapo mnamjua😊😊😊ndo masha love alokalia chupa akapasuaaa...😍😍bonge la ngoma
Meja x d voice goma la 🔥🔥🔥 bonge la video iko poa mungu abariki kazi za mikono yenu 🙏🙏
Alie ona madanga ya make wangu Gonga like twende sawa 😂😂 nimewasanua wengi kweli maana mwandishi NOMA SANA.
All in all chupa qari💏💏
Ndo nlikua nafkiria... Kwann hawako Makini hv
Ngoma kali sana i se😂😂😂😂
😂😂
@@zumombiro9019 bfftvvtbvtbttbtb
@@wasafitv1062 h
TANZANIAAAA..!!🇹🇿🇹🇿🇹🇿 we blessed #period 😎💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾 singeli to the world🌎
I really love the song ..much love from kenya
Tumpeleke Meja namba moja on trending maana wanaume WA siku he ndo walivo 🔥
Nyamiss karega😁😁😁😄😄😄😄🙃
Xxl
😅😅😅🤣🤣
Like kwa produced WA hii ngoma
nakubali producer
Kuntaaa hapingwi
Kenny
Much love from NIGERIA 🇳🇬 🔥🔥🔥
Am enjoying this song too much thanks my 2 brothers 🎊💕💕💕❤️❤️❤️😊🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
D voice umeuaa baba💥💥💥
Mamb
Atali yn
@@battashyabuu3255 pw
Hii ngoma huyu D Voice ameua sana jamaa 🔥🔥🔥
Sanaaa kwasababu n wimbo wake,,, Meja alitaka kumfanya dogo asikike ajulikane😊
We are proud of you guys…..endeleeni kutuwakilisha kibongo bongo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kumbe D voice ameanza kuimba nyimbo kali siku nyingi
Daah sijawahi kurudia kutazama Mara mbili Singeli ila hii nimeirudia zaidi ya mara nne kuma make
Bora ww m nd repeat kbx
Hili shipa wanangu
@@emmanuellugano7912 hahaha haa mimi najikuta nikirudia rudia nenda nae kwa mpalangee!! Hahaha haa hii noma aisee dah
Ila huyu d voice ni noma🔥🔥🔥🙌🙌
Atali nanusu
Ukipata bwana mzungu mpeleke kwa mpalange Mumeo nimekuruhusu ukadange kama umeskia huo mstari comment n like tuwe sambamba
Ahaha
Nakubali
Ahh
Perfectly nenda nae kampalange
Hahahah😂😂😂😂
Kama umerudia ngoma zaidi ya mala1 gonga likes
Wacha wee eee 0688605743 cheki
Can't get enough of this vibe 🎈🎈🎈🇰🇪🇰🇪🇰🇪💯💯❤️❤️❤️❤️❤️
Mamb
@@battashyabuu3255I'm fine thank you 💐
Dah,,,uko vizur meja🧡🧡🧡🧡🧡🧡
🇰🇪🇰🇪 Marafiki zangu wa Wakenya kwa #MPARANGE# mnapajua Lakini !!??😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
Wanaokubaliana na mimi kuwa meja ndo king wa singeli tujuwane 👇
Kabixa
Kuna dullah makabila my dear
@@abdulkheri7322 meja kunta singeli zake ni za kipekee japo makabila nae hodari
Ww na dullah mnatupa burdani
Aswaaaa
D ni wengi ila voice ni mmoja
Kumbe d voice jama nimunyma kuimba hii ngoma nikali sana diamond kaona kipaji kipo
I'm back Here in 2023 and i can't get enough of this
meja kunta hawezagi kuimba bila kutaja neno madanga
2po pamoja na wewe hata wafanyaje cc ni mashabiki zako sio wao achia vitu meja tutakufwata tu popote like nyungi kwake kwa master
wangap ndo unajua kuwa dvoice yuko kwa hii ngoma leoo
Kwan wameimba wawil au mejaa bhna mbon unatufany hiv saut za fanan kabs ngom tamu hiii
Ngoma kali hatariii sanaaa 🤣🤣✅Tin white na dullavan wameuvaa uhusika 🤣🤣🤣 Meja muda si mwingi atakuwa king 👑 of Singeli ✅🇹🇿 Pambania kombo Meja
Niaje
xaf
mamb
Kashakuwa teali 😍😍😍
Nakukubali kinoma mwanangu mejakunta. Love from nungwi zanzibar 🇹🇿.
Ushubwada
Good song meja kunta
wow alie angalia hii nyimbo mpaka ina fika 1M like hapa
Nimeikubali ipo vizur
D baba toa moja na bosi sasa tupe salute i love singeli❤ for real 👊
Sipati picha Meja kunta angekua anaimba RnB🔥
😂😂😅😅😅😅😅
Much love ❤️ from kisauni mitaa ya kati
8
I love this song ..from Kenya
kwa video kali kama hizi singeli itaenda international 🔥🔥🐉
Kabisa
Bonge la dudeeeeeeeeeee, mejaa hunaga kazi mbovu mzee babah
Huy ndio anatakiwa aitwe king of singel like kwa meja kunta
Lek kwake
Congratulations D Voice,,, wishing you all the best as you're nurturing your talent,,,,Mola azidi kukubariki unapoendelea kukuza talanta yako💖💓🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Tujitahidi ifike #1 ON TRENDING
Wimbowaotire
Dawroadwimbowaotire
Wapi like ya dulla van kwa alie mwona😂😂😂
Kali kabisa
😂😂😂😂mm ap
Love d voice
Vp mkal
@@catherintarimo9125 #
Kilichoo niiudhii hiyo Dogoo anayee jifanyaa demu , na Meja pia kafelii , Mademu kibao , MUTAJIBU NM MUNGUU KESHOO DAHH
Kama unamini mpake uwehuke ndio uimbe singeli tujuane hapa👍👍👍🤣🤣🤣
Like moja kwa kunta wake
Ngoma tam sana achia like twend sawa
Ni mzuri lakn watu wanasema iludiweeéeeeeeeeee,🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙉🙉🙉🙊🙊🙊duh
wANGAPI WAMEKUJA HUKU BAADA YA d voic KUWA JAMAA WA WCB😂
🇹🇿💪hatupoi hatuboi ngoma kal nimependa adi nimependa tena.... nikiwa🇴🇲no stress
amsha popoooo 👍
Sema huyu D VOICE ni mnyama sana hii vocal yake ni sumu mzee
🔥🔥🔥🔥 Wcb 4life🔥🔥🔥👊
i dont understand but im in love with this rythm! much love from brazil! :D
Lol he respects his wife's side dudes bcoz they are the ones who help him😂
Respect broo this is singeli Natural music of Tanzania this sound is dude , you can support him for get do performance there . Great 🔥🔥
@@zuhurarashid7117 that’s tuff 🤣🤣🤣
@@africatanzaniatours5980a❤❤❤❤❤❤❤qq❤
Kariii
Dah bonge la ngoma video ndio usiseme nakupenda bureeee meja😍😍
Huyu Mtt D Voice Hatare sana
D voice next level
Hili ngoma laua bana....izo sauti noma hatari 💥💯
Meja kunta umeuwaaaa😍😍😍
That is kills
Unyama 🔥 ngoma kali san
Nyimbo Kali hii kuwahi kutokea
TUME KUJA KUMONA MSANII MPYA WA WASAFII
Anaemkubali tine white na dullvan gonga like
Meja hatree haya wanangu wa singelii wote hapa like💫💫
Karibu wcb
Duniani hapa kuna Mambo Mengi Sana Duh.....
hako ka D voice ndyo kamenikosha humo 😂🙌🏽
Umeona eeeehhhh😝😝😝😝
Yaan Me Ndo Kanikoxha Hatr💯💯🙏🙏
Hatarii snaaa
Hiii nyimbo naipenda sana, lkn sauti meja ni nzuri sana 😘😘😘