Kinata Mc x Ibraah - Do Lemi Go (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 29 май 2021
- Download and Stream on all Digital Platforms Link
Subscribe for more official content from Ibraah:
/ ibraah
Follow Ibraah
Instagram: / ibraah_tz
Twitter: / ibraah_tz
Facebook: / ibraah255
Listen to Ibraah
/ ibraah
Audiomack: audiomack.com/ibraah-tz
Apple Music : / ibraah
Spotify : bit.ly/3ybEn3Z
Boomplay: www.boomplaymusic.com/share/a...
The official RUclips channel of Ibraah. Subscribe for the latest music videos, performances, and more.
For Bookings & More
Email: Ibraahmanagement3@gmail.com
Call: +255 718 712 420
#Kinatamc #DoLemiGo #Ibraah Развлечения
Chinga ni wa stima aki weka like tujuane💥💥💥💥💥
chinga mwenye melody zake 💣💣💣🔥🔥🔥like kwa king of new school 🐘🐘🐘🐘konde gang fc nipen like chama la wana🔥🔥⏱️
Wewe weeeh piga kelele kwa ibraha wake 🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️Don lem go kiboko babu💃💃💃
Waaaah hii moto sana 💥💥💥💥
Wanaosikiliza hii ngoma huku wanasoma comments tutambuane apa 👍👍👍
Jamani ukweli usemwe apa dogo apatia saaaaaaaaana ebukama umeukubali nipeni huko like zangu Tanzania 👉🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 is in fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💢💯💯💯💯💯💯💯
Aaaah! Kinataaaa🤗🤗 mmmmh!!
ibraah hapo ndipo
👊
... Do lemi go
Do Lemi Go 👏👏👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥🔥🔥 nyimbo nzuri sn.... hongera sn #kinata MC feat Ibraah
Uyu mtoto n fundi aiseee katishaaaa ni fireeeeeeeee kama umeona ilo ndondosha like yako apo kwajili ya kond gang family
Nawa ona mbali Sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kumamake Huyu Ibraah Wamoto Mno Hapoi Wala Haboi Dah Konde Gang For Everybody
Ibraaah ni habari nyengine...huwezi mlinganisha na msanii yoyote bongo...wale tuko pamoja gonga like🙏
Kila mmoja anaplay part yake msee tusuport good music zetu n burudani cjui fans tunafeli WAP...mm team konde damuu
🎉❤❤
Kama Umeskua na kuelewa mustari wa Ibrah "mi sio kama dadavany kueka kucha bandia"🤣🤣🤣gonga like twende nalo hadi 1M views
Hahahaha
ruclips.net/video/RfNJF4ZMveM/видео.html
😀😀😀
😃😃😃
Nakubal mwamba
woyooooo.....Goma la moto kitaa halipoi vibanda umiza ndo 🔥🔥✨✨🌟🌟🌟💥
Kinata Aya mauno ulio mwaga umu kweli hii ni ya international singeli my blood ibraah more fire 🔥🔥🔥 tume kuelewa ibraah umetisha Sana mzee nakukubali
Pongezi za dhati kwa ibraah na timu nzima ya kondegang, siku zote mpo mbele kupush game la kisingeli 🙏. Jahbless 👊👊👊.
#singelitothetop #kondegang4everybody
#kondegang4life
Hawana kujivuna wakiamua kusapot wanasapot kwakuinesha umahir wanaposhirkishwa
Mm kama ambassador wa wasafi nakubaliiii..Npeni likes za wasafi
Umekuja huku 🤣🤣🤣
@@aysharahman3080 Goma kali
Konde tisho uyu Ni mwana tu! Bado baba noma**
Ibraah kwa kweli tunakupenda huku Kenya, yaani umebarikiwa kipaji kikubwa sana katika sanaa ya uimbaji
Dogo lbrah Sai umechanuka ile mbaya ivyo ndo tunataka 🔥🔥🔥🔥
The King is back Ibtah ft kinata MC
Gonga like kama ww ni mwana wa KONDE GANG FC @ harmonize##
ruclips.net/video/Qtc1rbYzbDs/видео.html
ruclips.net/video/Qtc1rbYzbDs/видео.html
ruclips.net/video/I7L-cxvrZPQ/видео.html
🙏🙏🙏
nyimbo kali sana sema kinata Mc sauti haipangilie iko juu sana adi inaboa kuna sehemu anapanda sana adi inakua kama anapiga kelele ila kwa ibra nampa 100% amebalance unaweza sikiliza kipande kimoja zaidi ya mara 10 mziki hunao imba biti ni ya kukimbia na kufoka sasa ukishindana nayo unaharibu
Huyu mc kinata singeli anaiweza haswaa.😍dolemigo
Yaan kafunika
Ngoma Kali sana respect kutoka 🇸🇸🇸🇸wapi likes za Ibrah
ruclips.net/video/Qtc1rbYzbDs/видео.html
🔥🔥🔥🔥🔥🔥ngoma la mwaka
Konde gang forever #Jeshi..... Ibrah anawatesa kweli💯💯💯🔥🔥
Chyiiiiiiii hatari sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Utamu utamu 😯Jamn Ata like 50 tu zinani tosha mana sija wy pata nioneeni uruma natia uruma masikin from +968
Tupo wote wa +968🔥 wew upo maeneo gan @mariam
ww asant
upo vzr mbon
Vzr
Unae soma comments huku una watch najua hatujuani ila naomba mwenyezi mungu akuzidishie maishani 🙏🙏🙏❤️❤️
Poa bhana
Amina
Ibta
Ibta
Amen 🙏🏻 wewe pia
Kinata unaimba mpaka Raha jmn na hivi sauti zetu zinafanana maana sio kukwaruza huku much love
Oyaaaa hatareee sana hiiii nani karudia Rudia kama mara zote ngonga like twenzetu on 1 trending 💥💥💥💥💥
Kiboko ya dada vany🔥🔥🔥
😂😂😂
Atyaaaaaa atyaaaaaa ♥️♥️♥️♥️
Nakukubar xna ibra daah saut nyololo hajawahii kutokea kwhapa bongo
Dogo Ibraah tutakuona mbali siku za usoni, hatarii🔥🔥
ruclips.net/video/Qtc1rbYzbDs/видео.html
ruclips.net/video/I7L-cxvrZPQ/видео.html
Inshallah
🔥🔥🔥
Ibra unauwezo wakushiba sana,umeshika hii ngoma kama we ndio mwenye NAYO..nahii ndio maana halisi ya kushirikishwa unatakiwa unafanya kama yako ili kumuonesha upendo mwana
Love....Si kama Dada Vanny Mueka Picha Bandia👏👏👌😀
Nawakilisha Kenya 🔥🔥🔥💯💯
Dah ibra umenikosha 😍😍😍
OYAAAAAAH DUDEEEE ILOOOOO PIGA LIKE WANANGUH✌
ruclips.net/video/Qtc1rbYzbDs/видео.html
Wasafi wanasema irudiweeeeeee
😂😂😂😂🙌
😅😅😅😅😅😅
Toka 255 tunasema ngoma inabamba saanaaaaaa kitaaa
Wenye tumerudi hapa afta kuskia nyumba ndogo ya zuchu tupige likes
😅
Ibrah safiiiiii naomba like za dolemigo
Mweny alikuwa anaisubir na atairudia Hadi iende trend tjuane kwa likes wanang wa Kondegang
ruclips.net/video/Qtc1rbYzbDs/видео.html
ruclips.net/video/Qtc1rbYzbDs/видео.html
Pamoja
Lazima tufike trending
Uwakikaaaah ❤️❤️
Mitaan sas hiv konde boy shikamoo mambo yote pambeeeeeeeeeee 🔥🔥🔥🔥🔥
Habar ya mjini uno ,habari ya mjini wowowo nimependa alivyoonyesha wowowo na kulichezesha
Don't let me go if my baby you love me forever, if you wanna go my heart break me down.Singeli to the World🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Eeeee
ruclips.net/video/RfNJF4ZMveM/видео.html
Ibraah umetisha sana
sio Kam dada van umewekaa kucha ya bandia daaah maraiiii ni 🔥 like zenu jpoo 10
Uwiiii chinga kam chingaaa😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍do lemi go
Nzuri sana🇨🇦🇨🇦🇨🇦
Waaaawaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥👍tunaingoja
Gongeni like za Kenya hapa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ngoma Kali bwana ibraah 🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘
Daaaaaaa saf sana kitu imebamba
oya eeeee run Kama umesikia Dada vany mueka kucha bandia gonga like twende sawa🇹🇿🇹🇿🇹🇿
ruclips.net/video/Qtc1rbYzbDs/видео.html
🤣🤣🤣🤣wabongo sie kwa kukuza🤗
Jmn
😀😀😀😀😀
Nimewahi kinata mc weweeeeeee like kwa kinata and IBRA
Ibraah ameharibika mtoto huyu, moto kama pasi.
Hataliii😍😍
Oyaaaaaa wanangu nimechelewa naombeni like kumi to kwa ibraah huuu ndo mwaka wa ibraah wanangu
P
🤗🤗🤗
Anaweza kusema ukweri
Noma sana
naomba like za ibraaah apa ata 50
Mambo mbaya Sana ya Do lemigo.....💯💯💯💯
Ibraah utatuhuwa 👍🔥🔥🔥
Kama wewe ni mwanajeshi naomba comments ziwe mbili mbili tuingie trending asubuhi na mapema...hakuna kulala..
Pamoja
@@husnanyamvula2372 basiii🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Jeshiiii
Haina shida mdgo wangu hakuna wa kutuzuia konde gang4 love
@@yasinkatondopamojasanakaka3831 tusonge basi
Moto zaidi ya moto kenya tumekubali konde gang for everybody
Saafi Wakukaya all man southern boys - from Lindi mtwara me kwetu
Dogo ibraa shoga ajui mziki dogo m2 gan ana imba kuria kila cku alafu ngoma azi iti masha biki wa konde gen ibra na anjera anjera anajua NEXT LEVEL FOR LIFE
Kitoko sss ibraah de King🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿✌🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💪💪💪💪💪💪💞💞
Wapi likes za Ibra... Love from Kenya
Koooonde Gaaaaang For Eeevrybaaady Huku Kenya Goma Tumelifanya Wimbo Wa Taiga😂💪💥💯
Kila hatua dua
Haaaaa
@@matridachatila6839 Ndio Hivoo
Imetisha kinoma hiyo ngoma kondegang kiboko yao ni hit after hit
Hiyo kitu ina nyanyua hadi maadui wanacheza do lemi go hatari😆😆😆😆
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥
Ngoma Ni Kali hatariiii 🔥🔥 beby usigooo
Oyaaa naomba like za ibraah💪
Konde gang Kali sana.....tuendeni jamni
ibraah unatishaaa🔥🔥
Kinata and Ibraa they are on another level...lets make it on Trending..nipeeni likes hata mbao leo
hiyo ngoma ninoma
Do lemigo oooooo 🔥 Moto umewaka mbaya
Mziki mzuriii sana
Singerii na bongo flava
Likeee kama zotee wanaopenda ujio mpyaa
Much love from +254🇰🇪🇰🇪 wapi love from kenya
Do lemigo oooooo 🔥 Moto umewaka mbaya sana
Ray vany ajibu hii hit tumempa mwezi mzima yeye na timu yake ya next level sh*t
Konde gang KINDAKI daki naomba 1k Kama wew pia Ni mwanachama gang for everybody
Pamoja
Huyu msanii Kinata mc anafanya vizuri hapa South Africa kwasababu anaimba kiingereza , kwahiyo kinasikika vizuri na ni mzaliwa wa hapa Kwa Zulu Natal, South Africa flag Ft Tanzanian flag.
Da!! Mmeuwaa sana nimependa
Mwaka huu n kwaajil ya konde Gang 2 bx😄✊🏾
Kama unamkubali ibrah na unamuona atafika mbali kweny muziki nipe like me babu yenu 😭
Duuuuuuh umeuwa ibraah jitahid
Hatari Ngoma 🔥🔥🔥🔥
Singeriii world wide through Konde boy by Ibraaah💥💥💣
ruclips.net/video/3J0P6ZKdiuU/видео.html
@@kissakaboneka5945
Rhefem
Verry true
@@kissakaboneka5945 F
Ay kondegan farmily twend saw like kama wa ni team kondegan
ruclips.net/video/Qtc1rbYzbDs/видео.html
Ibra nakuona mbaliii mungu akusimamie kwenye kazi zako
Huba
Huba
👐🏻✨
Nani mwengine anarudia kama mm🔥🔥🔥🔥
I played this song in my room, I swear a lizard turned into a dinosaur. Ibraah hoiyee
🙄😅😅😅
🤣🤣🤣
How big is your room
😂😂😂😂
😂😂😂
Kama unamkubali kinata mc achia like twende sawa
Kinata fundi🙏
@@amanichasama9730 nakubali
from atlanta us feeling dis shit is fireeeeee....dadekii
Naomba like zenu kwa ibraah
Hahaha nakbl ebu like hapaa kama hii ngoma kalii konde gang 4 every body
Awa watoto wametisha sana