CHEKI BATO KALI YA SINGELI KATI YA KINATA MC NA MC MABRICHI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 фев 2021
  • #mashujaatv
    Follow us
    mashujaatv...

Комментарии • 481

  • @rashidatymayad5221
    @rashidatymayad5221 3 года назад +116

    Marioo kanishutua kinata big up mnao mkubali kinata like 15

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 3 года назад +58

    Kinata mc noma Sana👏🏼👏🏼👏🏼🌄🇹🇿.

  • @ibrahimmaswali1404
    @ibrahimmaswali1404 3 года назад +35

    Uyo mabrich ana roho mbaya sana yani ataki mwenzake aimbe, mngese sana

  • @careenmumy192
    @careenmumy192 3 года назад +25

    Yaani Mungu akiamua lake akuna wa kuzuia huyo kajitahidi sana kumbania mwenzie ila ndio katamba Mc Kinata ni hatariii🔥🔥🔥🔥

  • @almasially6509
    @almasially6509 3 года назад +92

    Huyu jamaa mfupi anajua kinyamaaaaaa🔥🔥🔥🔥

    • @pilikhamis2924
      @pilikhamis2924 3 года назад

      Jamani uuuuuuuuuuiiiiiiiiii weuweeeee mfupi una mambo hasa ww uuuuuuiiiiii nafurahi kua mtanzania

  • @happysalim4120
    @happysalim4120 3 года назад +42

    Aisee bila insta nisingewajua aisee 😅😅 Ila Mc kinata ni moto fire , yuko juu kama pierre liquid

  • @officialbekajoh3986
    @officialbekajoh3986 3 года назад +18

    Kumbe ndio huyu jamaa aliyesema hapanaa😂😂😂

  • @teenbamazaga9973
    @teenbamazaga9973 3 года назад +26

    Mziki wetu asilia Good job 🤣🤣🙏

  • @travellingandadventures2549
    @travellingandadventures2549 3 года назад +44

    Haha mungu bana ukichunguza kinata kama anabaniwa sana kwa hii interview ila kapata dakika 3 tu kakosha watanzania

    • @mosesmussa3669
      @mosesmussa3669 3 года назад

      Huyu jamaa wa pembeni alimbania sana Kinata

  • @Kakamussa1856
    @Kakamussa1856 3 года назад +50

    Instagram ndio imenileta huku 😂

  • @beneboybeneboy4386
    @beneboybeneboy4386 3 года назад +11

    Fupi ninoma man wapi like kwa fupi ww tujuane bx wadau

  • @danielmwakaseka3555
    @danielmwakaseka3555 3 года назад +48

    Kinata MC noma

  • @chidymaletalent4681
    @chidymaletalent4681 3 года назад +43

    MC kinata Ni noma sana

  • @shymedybrown1055
    @shymedybrown1055 3 года назад +19

    Hahaha ha brother hamna lefaaaa unamkatiza katiza mwenzako Mabrich

  • @hassanmkwahe9586
    @hassanmkwahe9586 3 года назад +31

    Amna kama kinat jaman uyo mabirinch hamfikii kinat ata asilimia 1 yaaan

  • @Immuh
    @Immuh 3 года назад +160

    Kwel tuliona Instagram tujuane kwakwel😂😂

  • @martinmsigwa9066
    @martinmsigwa9066 3 года назад +41

    Mc Kinata 🖖🖖

  • @vitalresspeter7295
    @vitalresspeter7295 3 года назад +7

    Nipo dom town ngoma nimeipata vizuli kama wew mtoto wa kusini kama mimi piga like

  • @mpmsafitz9936
    @mpmsafitz9936 3 года назад +19

    Mc kinataa♥️

  • @sir_leem_marlian1166
    @sir_leem_marlian1166 3 года назад +9

    MC Kinata you kill it 🙌🙌🙌Bless up

  • @jumalihumbo8937
    @jumalihumbo8937 3 года назад +26

    Kinata umetisha saiv kila status upo we mpk Ben pol kaludia mistar yko

  • @husseinomarymbiki5596
    @husseinomarymbiki5596 3 года назад +24

    kuna mtu ana wivu mpaka kaharibu radha ya hii burudani, mbaya zaidi anajiona yeye anajua zaidi kumbe huyu mc ni FUNDI na nusu, anajua sana, hana wivu, anaenjoy verse za mwenzake mpaka za kwake

    • @Chiefmukama
      @Chiefmukama 2 года назад

      Kabisa, mwenzie anafurahia nyimbo zake yeye anamdharau. Mungu aloamua kumuonyesha kuwa kinyongo si kizuri

    • @HassaniNayaika-os5ft
      @HassaniNayaika-os5ft 9 месяцев назад

      Ndio kaka bhan

  • @eddyempire9797
    @eddyempire9797 3 года назад +24

    Tuliomfollow mwana baada ya LE MI GO twendeeeeeeeeeee👊👊👊

  • @abdullahmanmiyanjamo1796
    @abdullahmanmiyanjamo1796 3 года назад +14

    Uyo kinata ni🔥🔥🔥🔥🔥

  • @amrimagambo7902
    @amrimagambo7902 3 года назад +10

    Uyu mabrich mshamba yaan mwenzie akiimba anamnogeshea yy fujo kibao
    Kusini tushampitisha kwamba kinata ndo king of singeli kanda ya kusini
    Jitupateri from Tandawise

  • @maimamelody
    @maimamelody 3 года назад +75

    Mabrichi anasumbuliwa na Wivu 😂😂😂 yani Mwenzie akiimba kidogo tu yy Roh ina muuma dah😅

    • @gasparkiwiapamkiwia8105
      @gasparkiwiapamkiwia8105 3 года назад +2

      Kwel kabisa ujakosea

    • @japhethmangaka3768
      @japhethmangaka3768 3 года назад +6

      😂😂😂😂 nikajua peke yangu nimeliona hilo hataki kukubali kuwa aliyepewa kukuzid amekuzid tu

    • @kingangiejansie7731
      @kingangiejansie7731 3 года назад +2

      Na ndio katoboa sasa kipande kidogo tu alichoimba. Hii ndio maana ya msemo usemao, Mungu akitaka kukupa hakuandikii barua

    • @abduljembe6608
      @abduljembe6608 3 года назад

      Kweli kabisa lkn nae anajua basi tu

    • @angelapeter1065
      @angelapeter1065 3 года назад

      🤣🤣

  • @salumallymngumba5273
    @salumallymngumba5273 3 года назад +25

    Kinata 🔥🔥

  • @abimkoma8617
    @abimkoma8617 3 года назад +112

    Wafup tujuane kwa like

  • @herysalumu7420
    @herysalumu7420 3 года назад +7

    Kinata is so Talented 🏆🏆

  • @waggdillerboy487
    @waggdillerboy487 3 года назад +7

    Aaaaah ni kwele Sana singeli on the next level

  • @KaoratajrMD
    @KaoratajrMD 3 года назад +11

    Kinata ndo definition ya singeli 🔥🔥🔥

  • @Petitfally
    @Petitfally 3 года назад +20

    Mc kinata umeuwa sana 🔥

  • @davidchalambo9746
    @davidchalambo9746 3 года назад +11

    Dah nlicheka sana Instagram nlivyo muona mwamba😜😂😂😂

  • @mosesabraham8742
    @mosesabraham8742 3 года назад +6

    Mmmmmh,,,pimbiiiiiii anauwezo..nipeni like zangu jmn

  • @rajramson3670
    @rajramson3670 3 года назад +22

    Mafundi wawili hawa🔥🔥🔥🔥🔥

  • @amrikibazo9429
    @amrikibazo9429 3 года назад +5

    Huyo mabrichi ana roho mbaya ataki mwenzie aimbe anatumia ubabe mtazame kinata akiimba yeye anakunja sura zen anataka asikilizwe yy tu mbwa huyo mabrichi

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 3 года назад +12

    Mc Kinata ni fire...

  • @straightkonect1613
    @straightkonect1613 3 года назад +15

    Jamaa alichanwa na kiingereza hadi akasema HAPANA🤣

  • @ayubusalum4487
    @ayubusalum4487 3 года назад +115

    Imenibid niitafute hiii inatrendi san instagram 😂

  • @miangijunior4358
    @miangijunior4358 3 года назад +1

    Mh🔥🔥🔥🔥💥 Kwangu mimi KINATA MC Ndio Noma 💪

  • @dplunk4623
    @dplunk4623 3 года назад +17

    kinAte fundi mmoja

  • @m7d1996
    @m7d1996 3 года назад +8

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣✔✔Vijana wangu nawaona 🤴🤴

  • @Djso26
    @Djso26 3 года назад +11

    kinaaaata🔥🔥🔥🔥👍😅

  • @gine9011
    @gine9011 3 года назад +7

    Miezi mitatu ndo imepakiwa hii clip ila tumeiona leo sijui kwa ajili ya Insta😳😂😂

  • @mataigajeshi1248
    @mataigajeshi1248 3 года назад +14

    Minataka bato na kinata nakaa mtama lindi huyo jamaa nilishawai shindana nae kwenye kucheza ila kaja kwenye mziki nataka ni bato nae naingia mwezi wa 6 hapo mashuja

  • @hamudseif
    @hamudseif 3 года назад +17

    Dah nimejikuta nimenyanyuka mbele ya mshua nacheza 😆😆, awa jamaa

  • @mackmtata8277
    @mackmtata8277 Год назад +1

    Naludia kuangalia Leo tarehe 28 /12/2022

  • @evcloudjuma9790
    @evcloudjuma9790 3 года назад +35

    Kinata hatari!

  • @hammyg5714
    @hammyg5714 3 года назад +4

    Huyu KINATA aisee ni hatari sana Mwenzake bato hawezi

  • @ummyabubakary7742
    @ummyabubakary7742 3 года назад +8

    Nakubali Sana kinata

  • @musictv5020
    @musictv5020 3 года назад +2

    Jama mfupi noma sana 🔥🔥 ana mzuka hatari

  • @dfexmashairi1131
    @dfexmashairi1131 3 года назад +6

    Hatimae nimeipata Huyo Kinata anajua

  • @sharikimuhidin6357
    @sharikimuhidin6357 2 года назад

    Kinata msenge anajuaa🙌🙌🙌

  • @kiranja_comedy3321
    @kiranja_comedy3321 3 года назад +3

    Ukisubili Sana utakula vyakuoza like zangu jamani

  • @psj1564
    @psj1564 3 года назад +3

    Mabrichi unajua lakini mshindi kinata najua zaidiyako

  • @ernestndauka9301
    @ernestndauka9301 3 года назад +7

    😄😄😄😄😄😄 Ndugu yake Piere!!! Nani kaona hilo!!!

  • @24magic52
    @24magic52 3 года назад +1

    Mabrich kuimbaaa hajuiiiiiii

  • @gingertheonly3330
    @gingertheonly3330 3 года назад +7

    Huyu mabrich sijui mabrichii hataki mwenzake aimbe ....lakini mungu nani kinata sasa hvi anatrend

  • @farajingwale963
    @farajingwale963 3 года назад +9

    Mc kinataaaaa Noma sanaaa

  • @allyswaleh3379
    @allyswaleh3379 3 года назад +3

    Kinata umeua brooo 🔥🔥🔥

  • @farhanmpakata4742
    @farhanmpakata4742 3 года назад +5

    Mc mabrichi ninomaaaah anajua an😁😁😁

  • @nurusgerad7794
    @nurusgerad7794 3 года назад +2

    Kwa wale marioo alitutoa fb like tujuane

  • @chris_jabari
    @chris_jabari 3 года назад +3

    Daaaaaaah, kinata nomaaaass 🤣🤣🤣🤣

  • @Banushking9574
    @Banushking9574 3 года назад +1

    Umetisha mwamba kalisan

  • @letisiamakonda3873
    @letisiamakonda3873 3 года назад +18

    Mc Kinata ndo Babalaoo🔥

  • @Mr5G_Og
    @Mr5G_Og 3 года назад +1

    Aliemsikia mabrich akisema hapana like hapa

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 3 года назад +4

    Noma sana aisee...

  • @dionisjabir2863
    @dionisjabir2863 3 года назад +3

    Yuko vizuri jamaa!!🔥🔥🔥🔥

  • @hamzanandule7923
    @hamzanandule7923 3 года назад +1

    Kinataaaaa wanangu wa kusini weka like hapa

  • @johncharles7951
    @johncharles7951 3 года назад +3

    Mc Kinata anajua sana

  • @allymselemu5650
    @allymselemu5650 3 года назад +2

    Nakubal Sana vijana Wang wa nguvu

  • @twaribmustapha6602
    @twaribmustapha6602 3 года назад +15

    Ufup xio xio kilema

  • @footmobonline
    @footmobonline 3 года назад +9

    Mabrich alikuwa anambania mwenzie😂
    Halafu kipindi Mabrich anaimba, Kinata alikuwa anaenjoy anachoimba mwenzake.
    Ila kipindi Kinata anaimba, Mabrich anamind halafu anamkatisha katisha mwenzie😂
    Ila Mungu acheni aitwe Mungu, dakika 3 zimetosha kumfanya Kinata ang'ae.

  • @saidbobea6922
    @saidbobea6922 3 года назад +3

    😂😂😂 anatetemeka muache aje kwangu uyoooooooooooo 🔥🔥🔥🔥

  • @sakinakhalifa5586
    @sakinakhalifa5586 2 года назад

    Wawooh nyie noma hongereni sana 🙏🙏

  • @sillab3120
    @sillab3120 3 года назад +5

    Kinata

  • @othmanjuma4618
    @othmanjuma4618 3 года назад +3

    Kinata 😄😄 ni fireeeeee💥

  • @evcloudjuma9790
    @evcloudjuma9790 3 года назад +3

    Huyu jamaa mabrich anawivu Sana anataka sikilizwe yeyetu

  • @edmondjr17
    @edmondjr17 3 года назад +7

    MC KINATA 🔥 😃

  • @aikamassawe6073
    @aikamassawe6073 3 года назад +4

    kinata noma 🔥🔥🔥

  • @faidhalungi1975
    @faidhalungi1975 3 года назад +1

    Huyo bishoo hapo pembeni amesimama kuzuia mwenzie hafikii mayck😀😀😀

  • @sunncilaveda8360
    @sunncilaveda8360 3 года назад +2

    Jaman iyo ngoma aitengenezwe kaa vp itolewe

  • @shedyplatinumz4853
    @shedyplatinumz4853 3 года назад +4

    Mmetisha 😁😁😁🔥🔥

  • @shedyjr3227
    @shedyjr3227 3 года назад +5

    Kinata ni noma

  • @allykiukala1540
    @allykiukala1540 3 года назад +4

    Kinataa

  • @mtelewalindi84
    @mtelewalindi84 3 года назад

    Kazeni ndugu zangu wa lindi kazi nzuri

  • @jerahdekalax.0022
    @jerahdekalax.0022 3 года назад +5

    Tulio na mashavu makubwa kam tunapliza moto tujuane

  • @benedictorgwambasa4159
    @benedictorgwambasa4159 3 года назад +2

    Huyu mabrichiii ndio kampa u staa mwenzakee ila alikuwa kashinda ttzo alivyosema habari za kingerezaa ndio kampa mizuka na kushinda hii battle ila kinacha mkalii

  • @enockrwehumbiza3555
    @enockrwehumbiza3555 3 года назад +1

    Mabrich anajua kupangilia kuliko mfupi mwenzangu

  • @barakajohnh.b985
    @barakajohnh.b985 3 года назад +1

    Mko vzr👏👏👏

  • @digosmart4179
    @digosmart4179 3 года назад +1

    Nakubar wanang

  • @HappyAlbatross-us3bg
    @HappyAlbatross-us3bg 2 дня назад +1

    Mc kinata ni firee

  • @reginaphilimon782
    @reginaphilimon782 3 года назад +3

    Hivi kwann hiz lebo kubwa wasichukue nawasanii wa mziki wa singeli watatobowa san

  • @emmanuelademba7919
    @emmanuelademba7919 2 года назад

    HAKIKA HII NDIO MIZIKIN YENYE LADHA TANZANIA,siyo miziki yenye ladha KINEGERIA.

  • @halifabarnaba5584
    @halifabarnaba5584 3 года назад +4

    Mhh jamaaa noma

  • @shabanisenkunde1927
    @shabanisenkunde1927 2 года назад

    Nakubari sana apo

  • @abdulytza9291
    @abdulytza9291 3 года назад +1

    ..awaaa jamaa nomaaa sanaaaaaa

  • @samiaarimkonekonko5096
    @samiaarimkonekonko5096 2 года назад +2

    😍😍😍😍😍

  • @macksonjuma5180
    @macksonjuma5180 3 года назад +7

    Love that kenyan bracelet 🇰🇪

  • @taizermelody9261
    @taizermelody9261 3 года назад +2

    Hawa wote 🔥🔥🔥🔥