kuna mtu ana wivu mpaka kaharibu radha ya hii burudani, mbaya zaidi anajiona yeye anajua zaidi kumbe huyu mc ni FUNDI na nusu, anajua sana, hana wivu, anaenjoy verse za mwenzake mpaka za kwake
Uyu mabrich mshamba yaan mwenzie akiimba anamnogeshea yy fujo kibao Kusini tushampitisha kwamba kinata ndo king of singeli kanda ya kusini Jitupateri from Tandawise
Huyo mabrichi ana roho mbaya ataki mwenzie aimbe anatumia ubabe mtazame kinata akiimba yeye anakunja sura zen anataka asikilizwe yy tu mbwa huyo mabrichi
Minataka bato na kinata nakaa mtama lindi huyo jamaa nilishawai shindana nae kwenye kucheza ila kaja kwenye mziki nataka ni bato nae naingia mwezi wa 6 hapo mashuja
Mabrich alikuwa anambania mwenzie😂 Halafu kipindi Mabrich anaimba, Kinata alikuwa anaenjoy anachoimba mwenzake. Ila kipindi Kinata anaimba, Mabrich anamind halafu anamkatisha katisha mwenzie😂 Ila Mungu acheni aitwe Mungu, dakika 3 zimetosha kumfanya Kinata ang'ae.
Huyu mabrichiii ndio kampa u staa mwenzakee ila alikuwa kashinda ttzo alivyosema habari za kingerezaa ndio kampa mizuka na kushinda hii battle ila kinacha mkalii
Marioo kanishutua kinata big up mnao mkubali kinata like 15
Kinata mc noma Sana👏🏼👏🏼👏🏼🌄🇹🇿.
Uyo mabrich ana roho mbaya sana yani ataki mwenzake aimbe, mngese sana
Yaani Mungu akiamua lake akuna wa kuzuia huyo kajitahidi sana kumbania mwenzie ila ndio katamba Mc Kinata ni hatariii🔥🔥🔥🔥
Kabisaa, mablich anaroho mbaya
Kambana sana kweli lkn ndo anavuma
Huyu jamaa mfupi anajua kinyamaaaaaa🔥🔥🔥🔥
Jamani uuuuuuuuuuiiiiiiiiii weuweeeee mfupi una mambo hasa ww uuuuuuiiiiii nafurahi kua mtanzania
Aisee bila insta nisingewajua aisee 😅😅 Ila Mc kinata ni moto fire , yuko juu kama pierre liquid
Kumbe ndio huyu jamaa aliyesema hapanaa😂😂😂
Mziki wetu asilia Good job 🤣🤣🙏
Haha mungu bana ukichunguza kinata kama anabaniwa sana kwa hii interview ila kapata dakika 3 tu kakosha watanzania
Huyu jamaa wa pembeni alimbania sana Kinata
Instagram ndio imenileta huku 😂
@ERICK Instagram ya edokumwembe
Fupi ninoma man wapi like kwa fupi ww tujuane bx wadau
Kinata MC noma
MC kinata Ni noma sana
Hahaha ha brother hamna lefaaaa unamkatiza katiza mwenzako Mabrich
Amna kama kinat jaman uyo mabirinch hamfikii kinat ata asilimia 1 yaaan
Kwel tuliona Instagram tujuane kwakwel😂😂
Mc Kinata 🖖🖖
Nipo dom town ngoma nimeipata vizuli kama wew mtoto wa kusini kama mimi piga like
Oyoooooo
Mc kinataa♥️
MC Kinata you kill it 🙌🙌🙌Bless up
Kinata umetisha saiv kila status upo we mpk Ben pol kaludia mistar yko
kuna mtu ana wivu mpaka kaharibu radha ya hii burudani, mbaya zaidi anajiona yeye anajua zaidi kumbe huyu mc ni FUNDI na nusu, anajua sana, hana wivu, anaenjoy verse za mwenzake mpaka za kwake
Kabisa, mwenzie anafurahia nyimbo zake yeye anamdharau. Mungu aloamua kumuonyesha kuwa kinyongo si kizuri
Ndio kaka bhan
Tuliomfollow mwana baada ya LE MI GO twendeeeeeeeeeee👊👊👊
Uyo kinata ni🔥🔥🔥🔥🔥
Uyu mabrich mshamba yaan mwenzie akiimba anamnogeshea yy fujo kibao
Kusini tushampitisha kwamba kinata ndo king of singeli kanda ya kusini
Jitupateri from Tandawise
Mabrichi anasumbuliwa na Wivu 😂😂😂 yani Mwenzie akiimba kidogo tu yy Roh ina muuma dah😅
Kwel kabisa ujakosea
😂😂😂😂 nikajua peke yangu nimeliona hilo hataki kukubali kuwa aliyepewa kukuzid amekuzid tu
Na ndio katoboa sasa kipande kidogo tu alichoimba. Hii ndio maana ya msemo usemao, Mungu akitaka kukupa hakuandikii barua
Kweli kabisa lkn nae anajua basi tu
🤣🤣
Kinata 🔥🔥
Wafup tujuane kwa like
Nani mfupi
Kinata mc unatisha
Kinata is so Talented 🏆🏆
Aaaaah ni kwele Sana singeli on the next level
Kinata ndo definition ya singeli 🔥🔥🔥
Una mjua meja kunta wew?
Mc kinata umeuwa sana 🔥
Dah nlicheka sana Instagram nlivyo muona mwamba😜😂😂😂
Mmmmmh,,,pimbiiiiiii anauwezo..nipeni like zangu jmn
Mafundi wawili hawa🔥🔥🔥🔥🔥
Huyo mabrichi ana roho mbaya ataki mwenzie aimbe anatumia ubabe mtazame kinata akiimba yeye anakunja sura zen anataka asikilizwe yy tu mbwa huyo mabrichi
Mc Kinata ni fire...
Jamaa alichanwa na kiingereza hadi akasema HAPANA🤣
😂😂😂😂😂
😂
Imenibid niitafute hiii inatrendi san instagram 😂
Haha na mm
😁😁😁😁 na mm
Mi nilimuona marioo kaipost FB😂
😃😃😃😃😃😃me nimesaka kweli
@@fatumakassim64 nilivyo ona kiingereza kwenye singeli nikasema lazma nimpate😂
Mh🔥🔥🔥🔥💥 Kwangu mimi KINATA MC Ndio Noma 💪
kinAte fundi mmoja
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣✔✔Vijana wangu nawaona 🤴🤴
kinaaaata🔥🔥🔥🔥👍😅
Miezi mitatu ndo imepakiwa hii clip ila tumeiona leo sijui kwa ajili ya Insta😳😂😂
Minataka bato na kinata nakaa mtama lindi huyo jamaa nilishawai shindana nae kwenye kucheza ila kaja kwenye mziki nataka ni bato nae naingia mwezi wa 6 hapo mashuja
Jaribu bahati mzee
Nakupata vzl kutoka maeneo ya Londo
Dah nimejikuta nimenyanyuka mbele ya mshua nacheza 😆😆, awa jamaa
😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣
Chz kweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣❣️🔥🔥
Naludia kuangalia Leo tarehe 28 /12/2022
Kinata hatari!
Huyu KINATA aisee ni hatari sana Mwenzake bato hawezi
Nakubali Sana kinata
Jama mfupi noma sana 🔥🔥 ana mzuka hatari
Hatimae nimeipata Huyo Kinata anajua
Kinata msenge anajuaa🙌🙌🙌
Ukisubili Sana utakula vyakuoza like zangu jamani
Mabrichi unajua lakini mshindi kinata najua zaidiyako
😄😄😄😄😄😄 Ndugu yake Piere!!! Nani kaona hilo!!!
Mabrich kuimbaaa hajuiiiiiii
Huyu mabrich sijui mabrichii hataki mwenzake aimbe ....lakini mungu nani kinata sasa hvi anatrend
Kumbe umeona eh jamaa anazingua
Kinata tisho
Kina amekua mkubw insagram
Kweli aseeh jamaa anajua
Mc kinataaaaa Noma sanaaa
Kinata umeua brooo 🔥🔥🔥
Mc mabrichi ninomaaaah anajua an😁😁😁
Kwa wale marioo alitutoa fb like tujuane
Daaaaaaah, kinata nomaaaass 🤣🤣🤣🤣
Umetisha mwamba kalisan
Mc Kinata ndo Babalaoo🔥
Aliemsikia mabrich akisema hapana like hapa
Noma sana aisee...
Yuko vizuri jamaa!!🔥🔥🔥🔥
Kinataaaaa wanangu wa kusini weka like hapa
Mc Kinata anajua sana
Nakubal Sana vijana Wang wa nguvu
Ufup xio xio kilema
Mabrich alikuwa anambania mwenzie😂
Halafu kipindi Mabrich anaimba, Kinata alikuwa anaenjoy anachoimba mwenzake.
Ila kipindi Kinata anaimba, Mabrich anamind halafu anamkatisha katisha mwenzie😂
Ila Mungu acheni aitwe Mungu, dakika 3 zimetosha kumfanya Kinata ang'ae.
🤣🤣 Ila ni kweliiii
Kwel kabisa
😂😂😂kwel
Sijamuelewa kabsa uyo mabrich msenge
😂😂😂 anatetemeka muache aje kwangu uyoooooooooooo 🔥🔥🔥🔥
Wawooh nyie noma hongereni sana 🙏🙏
Kinata
Kinata 😄😄 ni fireeeeee💥
Huyu jamaa mabrich anawivu Sana anataka sikilizwe yeyetu
MC KINATA 🔥 😃
kinata noma 🔥🔥🔥
Huyo bishoo hapo pembeni amesimama kuzuia mwenzie hafikii mayck😀😀😀
Jaman iyo ngoma aitengenezwe kaa vp itolewe
Mmetisha 😁😁😁🔥🔥
Kinata ni noma
Kinataa
Kazeni ndugu zangu wa lindi kazi nzuri
Tulio na mashavu makubwa kam tunapliza moto tujuane
Huyu mabrichiii ndio kampa u staa mwenzakee ila alikuwa kashinda ttzo alivyosema habari za kingerezaa ndio kampa mizuka na kushinda hii battle ila kinacha mkalii
Mabrich anajua kupangilia kuliko mfupi mwenzangu
Mko vzr👏👏👏
Nakubar wanang
Mc kinata ni firee
Hivi kwann hiz lebo kubwa wasichukue nawasanii wa mziki wa singeli watatobowa san
HAKIKA HII NDIO MIZIKIN YENYE LADHA TANZANIA,siyo miziki yenye ladha KINEGERIA.
Mhh jamaaa noma
Nakubari sana apo
..awaaa jamaa nomaaa sanaaaaaa
😍😍😍😍😍
Love that kenyan bracelet 🇰🇪
Hawa wote 🔥🔥🔥🔥