Meja Kunta - MAMU (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 июл 2019
  • #MejaKunta #Mamu #SlideDigital
    MEJA KUNTA SONGS OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
    ffm.to/mejakunta
    Follow Meja Kunta on
    / mejakuntaofficial
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz

Комментарии • 912

  • @AllyMaganga-cd8qm
    @AllyMaganga-cd8qm 2 месяца назад +14

    Wanaoiangalia hii ngoma mpaka leo like hapa

  • @magangakiyabo3429
    @magangakiyabo3429 4 года назад +14

    Kutoka ufaransa nasikiliza singeli najivunia kuwa Mtanzania ♥️ 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
    Big up kazi nzuri

  • @DanielChaula
    @DanielChaula 23 дня назад +2

    Umamu 2024 hii ndio flavour kamili ya singeli #meja power

  • @gracegilbert5296
    @gracegilbert5296 4 года назад +15

    kwa kweli nilikuwa simjui,ila nimekujua baada ya kifo feki
    kwa kuwa unaimba vizur Mimi kuanzia Leo ni shabiki wako.safiiiiiiiiiiiiiii.

  • @stavinemkuumemes4594
    @stavinemkuumemes4594 3 года назад +6

    All the way from Kenya 2021💯💯💯🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪napenda t izo beats mejja kunta ngoma zako napenda t kwanza kwa woofer

  • @user-xw7pz7ls5k
    @user-xw7pz7ls5k Год назад +3

    Meja karibuni na kwetu Rwanda unatixha jamani

  • @shamilamuhogo7542
    @shamilamuhogo7542 4 года назад +1

    Meja kunta utaishi miaka mingi, walimwengu wabaya kazi yao kuzusha tu mambo mabaya

  • @nianaalphonce2309
    @nianaalphonce2309 4 года назад +34

    Wewe jamaa noma..... Nyimbo za singeli sizielewagi ila hiii.. Uhuhu yani ina hisia. Mpaka najikuta natoka na chozi 😥😥😥

  • @eviepretty2646
    @eviepretty2646 3 года назад +8

    Nimerud kuona kaziba pengo kias ganii😂😂😂 meja bwana

  • @qrrrqtqt9976
    @qrrrqtqt9976 3 года назад +3

    Mashaallah meja Punta nimependa hii nyimbo nakukubali

  • @allyhamoud5914
    @allyhamoud5914 4 года назад +1

    Hatari sana hii sengeli si sengeli mdundiko sio mdundiko vanga si vanga nilikua nishaacha sikiliza nyimbo za hivi sema mamu imenirudusha,safi sana Meja piga kazi

  • @doreenjamhuri3985
    @doreenjamhuri3985 5 лет назад +66

    😍😍Umejua kunikosha jaman Ww ngoma tamu sanaa big up😜😜

  • @maryamkyando3956
    @maryamkyando3956 4 года назад +158

    Hakika umejua kuomba msamaha wa dhat kabisa ngoja mamuuu nirud kama unataka nirudi gongaaa like za kutosha hapaaa Ila usirudie Tena makosaa mume Wangu

    • @stevenurioofficial4165
      @stevenurioofficial4165 4 года назад +4

      Maryam Kyando kaomba adi uruma jamani rudi tu mke

    • @omarmatuta7709
      @omarmatuta7709 4 года назад +1

      😃 we chiz ujue

    • @maryamkyando3956
      @maryamkyando3956 4 года назад +2

      Steven urio Official narud hakika kajutia makosa sana kwel Mume Wangu kachakaaa ngoja nikamng`arishe

    • @maryamkyando3956
      @maryamkyando3956 4 года назад

      Omar Matuta uchiz Wangu nini imeandikwa samehe7×70 ndio kajua kosa acha nimsamehe

    • @salimnamburi7322
      @salimnamburi7322 4 года назад

      Maryam Kyando oya dogo pambana yaelaa yote

  • @vitalisneymar7097
    @vitalisneymar7097 4 месяца назад +3

    22 MARCH 2024...STILL BEST OF BEST OF MEJA KUNTA💥

  • @johnsamweli4160
    @johnsamweli4160 3 года назад +2

    Kaka nakuelewa vzur sana kaka😋😋😋😋🙋🏻‍♂🙋🏻‍♂🙋🏻‍♂

  • @nongwanorbertnongwa8821
    @nongwanorbertnongwa8821 4 года назад +6

    Nakupenda sana Meja Kunta, endelea kuhit kijana

  • @jumamkumbi3277
    @jumamkumbi3277 4 года назад +39

    Sipendagi miziki ya visingeli ila hapa nimenyoosha mkono , one love bro 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @husseinkundan1964
    @husseinkundan1964 3 года назад +10

    From Cape Town South Africa 🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇹🇿🇹🇿2021

  • @user-uc4qn6dw6z
    @user-uc4qn6dw6z 6 месяцев назад +1

    Jamani napenda hi nyimbo ❤❤❤

  • @jumannemfaume
    @jumannemfaume 4 года назад +9

    Mimi sio mpenz wa singeli kabisa, ila nimesikiliza huu wimbo wako nimeona mabadiliko makubwa kwenye aina hii ya uimbaji umeleta changes bigup wimbo mzuri unaelimisha pia

  • @jamesdelicious3957
    @jamesdelicious3957 5 лет назад +41

    Video is Very Gooooood nilichokiwaza ndicho kilichokuwaaa Hongera 😍🤗🔥🔥

  • @mohammedshaban1498
    @mohammedshaban1498 5 лет назад +36

    UMEJITAIDI KWA VIDEO 🙌🙌🙌🙌👏👏👏👏👏nakwambia kaza buti tu 👏👏👏👏👏

  • @sadiknzembe1724
    @sadiknzembe1724 Год назад +9

    "A talented soul"we r proud of you mejakunta, big up bro,much love from Kenya👍👍👍👍👍👍

  • @user-if9ps3qr3q
    @user-if9ps3qr3q 2 месяца назад +1

    Naipenda sana hii nyimbo ❤❤❤❤

  • @nuruspicy3968
    @nuruspicy3968 5 лет назад +57

    Kazi kubwa sana,, Shout out to the Big Boss #Dozeeeeee

  • @wilsonnyitika6454
    @wilsonnyitika6454 3 года назад +3

    Hatari Sana umenikumbusha mbali sana

  • @mwandegeplaza6504
    @mwandegeplaza6504 5 лет назад +70

    Dogo unajua saaana, hii ngoma inabamba sana huku mtaani kwetu

  • @danielmathias160
    @danielmathias160 3 года назад +1

    Hongera kwake kwa aliyepiga biti hii

  • @jiggamanqatada911
    @jiggamanqatada911 5 лет назад +29

    Tisha sana mwanang tunatarajia makubwa zaid ya haya tunaka kuwa elimisha km singel si mzk wa kihuni bal ni mzk wa kila sampuli... Jah bless dam yang

  • @BoysUpgrade44ftVillageboys
    @BoysUpgrade44ftVillageboys 4 года назад +15

    Kali sana yaani Konki fire 🔥🔥❤️ pambana baba ... Sisi kina dogo twaja. muziki wa singeli
    Ndo nyumbani
    Mamu

  • @victorisaya8296
    @victorisaya8296 5 лет назад +3

    Dah saf sana Mwanangu sauti unayo na unaitendea haki sambamba na kipaji chako NAKUONA MBALI sana aisee ongeza juhudi zaid support zetu kwako 100% mzee

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu4933 3 года назад +1

    Basi tuu vingoma vya humu vinanifurahishaga!

  • @alphredmlelwa8270
    @alphredmlelwa8270 4 года назад +6

    Alifarik kafufuka twende kazi Sasa like Kama mnamkubali meja kunta 👊👊👊👊

  • @edwins5804
    @edwins5804 4 года назад +11

    Sijawah kupenda mziki wa singeli but this one is incredible!!👏🏾👏🏾

  • @semhineshauri3410
    @semhineshauri3410 4 года назад +1

    Yaani hapa Meja umemaliza

  • @zulfaimrani7900
    @zulfaimrani7900 4 года назад +5

    Nakubl ki2 Cha meja kunta jamn ooooh Mamu kam hunaikubali bx gonga like yako wahuni wa singida

  • @abdullahmsangi7067
    @abdullahmsangi7067 5 лет назад +3

    Aaah mi sio mpnz wa hiz song ila meja kunta we ni fuuuuundiiiiiiiiiii....unajua mzee baba...
    @team meja kunta

  • @user-gz2zm9ro1h
    @user-gz2zm9ro1h 4 года назад +7

    Upo vizur😍😍sauti MashaAllah

  • @keifatuke99
    @keifatuke99 4 года назад +1

    Kweli Wolper alienda HAPA, pombe mbaya

  • @khadijasarahani5867
    @khadijasarahani5867 3 года назад +2

    Tamuu kamaa nn!!!

  • @DJMwangaDotCom
    @DJMwangaDotCom 5 лет назад +174

    KAZI NZURI Meja Kunta

    • @nginjapradaa2188
      @nginjapradaa2188 5 лет назад +3

      mbon aipo hii kwako

    • @innocentboykid2442
      @innocentboykid2442 4 года назад +2

      Oi mbaba

    • @DJMwangaDotCom
      @DJMwangaDotCom 4 года назад +2

      @@nginjapradaa2188 ipo Muda sana..
      VIDEO > www.djmwanga.com/2019/07/video-meja-kunta-mamu.html
      AUDIO > www.djmwanga.com/2019/05/meja-kunta-mamu.html

    • @edithpaulo399
      @edithpaulo399 4 года назад +2

      DJ Mwanga ✔✔✔

    • @falidahilali3460
      @falidahilali3460 4 года назад +2

      DJ Mwanga nice

  • @monikisongo2771
    @monikisongo2771 5 лет назад +20

    Meja wauweeeeeeh 🙌🙌🙌

  • @henerikomico948
    @henerikomico948 3 года назад +1

    Wa Tabata Dar es salaam
    Kazi kuu mbili za Fasihi ni
    1- Kuelimisha
    2- Kuburudisha
    Kazi zote tunazipata kwa Meja Kunta hapa 7/11/2020
    Mungu ibariki Tanzani🇹🇿

  • @floraleonard9095
    @floraleonard9095 Год назад +2

    Meja chanzo cha mm kupenda singeli💞💞💞.,

  • @saadakiyungi6437
    @saadakiyungi6437 4 года назад +3

    Meja kunta ana sauti nzr balaaa. Ni firee

  • @danielkaristo1697
    @danielkaristo1697 4 года назад +27

    **"""dundo kari ile mbaya respect sana boy ...all the best ...🎤🎧📻📢📣📯🎺🎻📞🎶🎶🎶

  • @barakathomas7814
    @barakathomas7814 3 года назад +1

    Sichok kuskiza huu winbo,,, mashair mazur

  • @CRMEDIA-yd7dp
    @CRMEDIA-yd7dp 4 года назад

    Uzusha umekufa unaonekana unapenda sana kufa usijali utakufa tu karibuni kwa uwezo wa mungu

  • @mosiwaziri1621
    @mosiwaziri1621 4 года назад +3

    Jimbo pambe sana bonge la song ww mkali wao

  • @hajrarkuziwa730
    @hajrarkuziwa730 4 года назад +12

    Kama ulikuja huku baada ya kuskia kifo cha kunta afu yupo hai bado gonga like twende sote ila kiki mbaya Sana 😂😂😂😥😥😥😥😥😥

  • @halemaalamri3989
    @halemaalamri3989 2 года назад +2

    Hii nyimbo inanikumbusha kipindi nipo tz dah kweli miaka inasonga naipenda hatali

  • @linnadeo4056
    @linnadeo4056 4 года назад

    Meja kunta hilo deni kubwa sana inabid utoe nyimbo kubwa zaidi ya hii maana umeanzia levo za juu sana SISI TUNAKUDAI

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 10 месяцев назад +8

    29/07/2023 Still #Hit hii ngoma asante #Meja_kunta

  • @saidisaidi4341
    @saidisaidi4341 4 года назад +139

    Walio kuja bahada ya kusikia kunta mzm bado gonga like twende sawa😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @jumajumajuma1592
    @jumajumajuma1592 4 года назад +1

    Meja Kunta yuko juu kinoma

  • @antonymassawe3775
    @antonymassawe3775 4 года назад +1

    Nilipata huzuni et umekufa duh!! Mara ya tano natazama video hii ,pata maisha marefu meja

  • @asamunique5174
    @asamunique5174 5 лет назад +13

    nlkua naisubr kwa hamuuu... big up kwako Mr mamu😂😂

  • @reginamjema1997
    @reginamjema1997 4 года назад +3

    Can't believe the way I love Ur music, wale tulioletwa huku baada ya kuskia kifo chake tujuane

  • @rehematukai6084
    @rehematukai6084 9 месяцев назад +1

    Ishi sana chaliangu umeuwaaaa

  • @emanuelmhoja2411
    @emanuelmhoja2411 3 года назад +2

    Sijawahi kupenda ngoma za kihuni hii ya kwanza

  • @ambaely23
    @ambaely23 4 года назад +6

    Kila mmoja aende kwa mamuu wake akaombee msamaha 😀😀😀now 2020 like twende sawa

  • @jamesjonh4471
    @jamesjonh4471 4 года назад +11

    Aiseeee ngoma kaliiiiii sanaaaaaa .Huyu jamaaaa akitulia ,he can bring changes kubwaa sanaaa kwenye singeli .

  • @maryamisa9743
    @maryamisa9743 4 года назад +2

    Wanao ombwa msamaha wote kama mm na meja kuntu jamani tutafutane

  • @bakarrashid6474
    @bakarrashid6474 4 года назад +1

    Singel yangu Bora huuu

  • @feysalismail4768
    @feysalismail4768 5 лет назад +316

    tunaomkubali meja tujuane kwa kugonga like

  • @ridahmainde7508
    @ridahmainde7508 5 лет назад +4

    Waoooh nzur sanaaaa nasauti pia imetulia hadi raha.

  • @jeneralAthanoel
    @jeneralAthanoel 2 года назад

    Mashairi yamesimama hatari..., beat sasaaa, ni kurudia tu nyimbo

  • @kareemkassim2319
    @kareemkassim2319 4 года назад +9

    mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥hapana chezea mam

  • @erickcantonxnomahiingomada3742
    @erickcantonxnomahiingomada3742 3 года назад +19

    Mwanangu hii nyimbo ulipatia kinoma inasaidia sana hii 😂 Kwenye migogoro

    • @jumajuma3710
      @jumajuma3710 3 года назад +1

      unatakiw uwe na moy wa hurum kam haun haot kaa na wt

  • @mariamhuhossen3352
    @mariamhuhossen3352 4 года назад +1

    Daaah kaka angu siamin macho yangu kama aupo duniani

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 4 года назад +2

    Ooh mamuuuu.oooh mamuuuu.mejakunta.love from Zanzibar.

  • @salmamshana1928
    @salmamshana1928 4 года назад +8

    singeli ya kwanza kupendwa namimi haswaaaaaaaaa

  • @nalingacomedian3251
    @nalingacomedian3251 5 лет назад +43

    HUYU MEJA SINGELI BIASHARA
    SIO KAMA WALE WASE**WENGINE

  • @baynittv8804
    @baynittv8804 4 года назад +2

    Fundii!!!! meja junta n kama #mondi

  • @tausizuberi6898
    @tausizuberi6898 5 лет назад +2

    Nyimbo tamu hii tangu niiskie day one mekuwa kama mtumwa wake any time naiskiliza

  • @nemnem7431
    @nemnem7431 4 года назад +14

    This is a comedy wallah...😂😂Nmcheka yangu yote. Someone take me to Dar this 2020... Inshallah.

  • @hamzafedha4032
    @hamzafedha4032 4 года назад +8

    Mfalime wa singeliii mejaaa

  • @rebeccamnenge4091
    @rebeccamnenge4091 4 года назад +2

    R.I.P Meja pumzika kwa Amani

  • @tumainijecken2869
    @tumainijecken2869 4 года назад +2

    Kwa ajili ya hii nyimbo nimefikiria kumsamehe mtu 😀😀😀salute meja

  • @kisautijudith3409
    @kisautijudith3409 4 года назад +12

    Dah! Kumbe ni huyu kaka..May his soul rest in peace 🙏

  • @joejux1380
    @joejux1380 3 года назад +4

    Kama unaicheki 01/05/2021 gonga like tujuane twende sawaaaaaaa💥💥💥

  • @khadijaomar8427
    @khadijaomar8427 3 года назад +1

    Hii song kama umeniimbia mimi vile

  • @josephmgema9044
    @josephmgema9044 3 года назад +1

    Meja kumbe anamwanya

  • @jackcosmas4277
    @jackcosmas4277 5 лет назад +4

    😘 bonge la video

  • @josephsanga474
    @josephsanga474 5 лет назад +97

    Hiii ngomaaa nitam sanaa kama nini gonga like sema tam kama nn

  • @khaithamrubea5109
    @khaithamrubea5109 4 года назад +2

    Nimekuja kuona nyimbo zake baada ya kuskia amekufa

  • @moodymoody9280
    @moodymoody9280 4 года назад +1

    Ukopoa sana meja napendakaziyako

  • @nanahawty3447
    @nanahawty3447 5 лет назад +8

    Atal sana wakimbize 2

  • @babymansouth1164
    @babymansouth1164 4 года назад +52

    sipendani miziki hii Lakin huu 💯💯🔥🔥

  • @abdallajkhalfan1202
    @abdallajkhalfan1202 4 года назад

    Mamu ajitokeze hapa na amsamehe huyu mtu, maana nyimbo kali hii

  • @francisjapan1594
    @francisjapan1594 4 года назад +2

    Umefanya poa Sana meja big up hii ngoma imependwa Sana

  • @pascalandrea9053
    @pascalandrea9053 4 года назад +3

    Naipendraa sanaa safi sana kaka

  • @hawachole2299
    @hawachole2299 5 лет назад +3

    Kaz nzur ndug yang x kaz buti ba mdog

  • @joniblak7267
    @joniblak7267 3 года назад

    Buloooo apa umetishaaaa kinomaa

  • @hatibhatib5760
    @hatibhatib5760 3 года назад +2

    2020 nimekuja kuangalia pengo la meja baada ya kua ameliziba

  • @vee1939
    @vee1939 Год назад +8

    The love I have for mejja ❤️❤️❤️❤️

  • @muniramunira401
    @muniramunira401 3 года назад +4

    🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯

  • @anasaratoga5806
    @anasaratoga5806 4 года назад

    Vile moyo huwa inaniluka nikiisikia hii nyimbo mngenionea huruma Ngoma tamu hii jamn

  • @ZainabMohammed-id1db
    @ZainabMohammed-id1db 4 года назад +1

    Mamuuuu huyoo

  • @magelukman4720
    @magelukman4720 4 года назад +14

    Sijawah pata like ata mojaa jamaniii dah ata like tanoo zinatoshaaa