Meja Kunta - MAMU (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 20 июл 2019
- #MejaKunta #Mamu #SlideDigital
MEJA KUNTA SONGS OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/mejakunta
Follow Meja Kunta on
/ mejakuntaofficial
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Wanaoiangalia hii ngoma mpaka leo like hapa
Kutoka ufaransa nasikiliza singeli najivunia kuwa Mtanzania ♥️ 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Big up kazi nzuri
Umamu 2024 hii ndio flavour kamili ya singeli #meja power
kwa kweli nilikuwa simjui,ila nimekujua baada ya kifo feki
kwa kuwa unaimba vizur Mimi kuanzia Leo ni shabiki wako.safiiiiiiiiiiiiiii.
All the way from Kenya 2021💯💯💯🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪napenda t izo beats mejja kunta ngoma zako napenda t kwanza kwa woofer
Meja karibuni na kwetu Rwanda unatixha jamani
Meja kunta utaishi miaka mingi, walimwengu wabaya kazi yao kuzusha tu mambo mabaya
Wewe jamaa noma..... Nyimbo za singeli sizielewagi ila hiii.. Uhuhu yani ina hisia. Mpaka najikuta natoka na chozi 😥😥😥
Nimerud kuona kaziba pengo kias ganii😂😂😂 meja bwana
Mashaallah meja Punta nimependa hii nyimbo nakukubali
Hatari sana hii sengeli si sengeli mdundiko sio mdundiko vanga si vanga nilikua nishaacha sikiliza nyimbo za hivi sema mamu imenirudusha,safi sana Meja piga kazi
😍😍Umejua kunikosha jaman Ww ngoma tamu sanaa big up😜😜
Hakika umejua kuomba msamaha wa dhat kabisa ngoja mamuuu nirud kama unataka nirudi gongaaa like za kutosha hapaaa Ila usirudie Tena makosaa mume Wangu
Maryam Kyando kaomba adi uruma jamani rudi tu mke
😃 we chiz ujue
Steven urio Official narud hakika kajutia makosa sana kwel Mume Wangu kachakaaa ngoja nikamng`arishe
Omar Matuta uchiz Wangu nini imeandikwa samehe7×70 ndio kajua kosa acha nimsamehe
Maryam Kyando oya dogo pambana yaelaa yote
22 MARCH 2024...STILL BEST OF BEST OF MEJA KUNTA💥
Kaka nakuelewa vzur sana kaka😋😋😋😋🙋🏻♂🙋🏻♂🙋🏻♂
Nakupenda sana Meja Kunta, endelea kuhit kijana
Sipendagi miziki ya visingeli ila hapa nimenyoosha mkono , one love bro 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
From Cape Town South Africa 🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇹🇿🇹🇿2021
Jamani napenda hi nyimbo ❤❤❤
Mimi sio mpenz wa singeli kabisa, ila nimesikiliza huu wimbo wako nimeona mabadiliko makubwa kwenye aina hii ya uimbaji umeleta changes bigup wimbo mzuri unaelimisha pia
Video is Very Gooooood nilichokiwaza ndicho kilichokuwaaa Hongera 😍🤗🔥🔥
James Delicious umetisha kinoma noma
UMEJITAIDI KWA VIDEO 🙌🙌🙌🙌👏👏👏👏👏nakwambia kaza buti tu 👏👏👏👏👏
Mohammed Shaban poa sana
"A talented soul"we r proud of you mejakunta, big up bro,much love from Kenya👍👍👍👍👍👍
Naipenda sana hii nyimbo ❤❤❤❤
Kazi kubwa sana,, Shout out to the Big Boss #Dozeeeeee
Love you meja kunta
hongera
Nuru hujambo?
Hatari Sana umenikumbusha mbali sana
Dogo unajua saaana, hii ngoma inabamba sana huku mtaani kwetu
Hongera kwake kwa aliyepiga biti hii
Tisha sana mwanang tunatarajia makubwa zaid ya haya tunaka kuwa elimisha km singel si mzk wa kihuni bal ni mzk wa kila sampuli... Jah bless dam yang
Kali sana yaani Konki fire 🔥🔥❤️ pambana baba ... Sisi kina dogo twaja. muziki wa singeli
Ndo nyumbani
Mamu
Big up sanaaaaaah
Dah saf sana Mwanangu sauti unayo na unaitendea haki sambamba na kipaji chako NAKUONA MBALI sana aisee ongeza juhudi zaid support zetu kwako 100% mzee
Basi tuu vingoma vya humu vinanifurahishaga!
Alifarik kafufuka twende kazi Sasa like Kama mnamkubali meja kunta 👊👊👊👊
Sijawah kupenda mziki wa singeli but this one is incredible!!👏🏾👏🏾
We are the same
Yaani hapa Meja umemaliza
Nakubl ki2 Cha meja kunta jamn ooooh Mamu kam hunaikubali bx gonga like yako wahuni wa singida
Meja kunta kingdom
Aaah mi sio mpnz wa hiz song ila meja kunta we ni fuuuuundiiiiiiiiiii....unajua mzee baba...
@team meja kunta
Upo vizur😍😍sauti MashaAllah
Kweli Wolper alienda HAPA, pombe mbaya
Tamuu kamaa nn!!!
KAZI NZURI Meja Kunta
mbon aipo hii kwako
Oi mbaba
@@nginjapradaa2188 ipo Muda sana..
VIDEO > www.djmwanga.com/2019/07/video-meja-kunta-mamu.html
AUDIO > www.djmwanga.com/2019/05/meja-kunta-mamu.html
DJ Mwanga ✔✔✔
DJ Mwanga nice
Meja wauweeeeeeh 🙌🙌🙌
Meja wauweeeeeeh
Wa Tabata Dar es salaam
Kazi kuu mbili za Fasihi ni
1- Kuelimisha
2- Kuburudisha
Kazi zote tunazipata kwa Meja Kunta hapa 7/11/2020
Mungu ibariki Tanzani🇹🇿
Meja chanzo cha mm kupenda singeli💞💞💞.,
Meja kunta ana sauti nzr balaaa. Ni firee
**"""dundo kari ile mbaya respect sana boy ...all the best ...🎤🎧📻📢📣📯🎺🎻📞🎶🎶🎶
Daniel Karisto
No coment
Sichok kuskiza huu winbo,,, mashair mazur
Uzusha umekufa unaonekana unapenda sana kufa usijali utakufa tu karibuni kwa uwezo wa mungu
Jimbo pambe sana bonge la song ww mkali wao
Kama ulikuja huku baada ya kuskia kifo cha kunta afu yupo hai bado gonga like twende sote ila kiki mbaya Sana 😂😂😂😥😥😥😥😥😥
Hii nyimbo inanikumbusha kipindi nipo tz dah kweli miaka inasonga naipenda hatali
Meja kunta hilo deni kubwa sana inabid utoe nyimbo kubwa zaidi ya hii maana umeanzia levo za juu sana SISI TUNAKUDAI
29/07/2023 Still #Hit hii ngoma asante #Meja_kunta
Walio kuja bahada ya kusikia kunta mzm bado gonga like twende sawa😭😭😭😭😭😭😭😭
Rip
VP ujambo
@@selinalangu5045 meja
Meja Kunta yuko juu kinoma
Nilipata huzuni et umekufa duh!! Mara ya tano natazama video hii ,pata maisha marefu meja
nlkua naisubr kwa hamuuu... big up kwako Mr mamu😂😂
Can't believe the way I love Ur music, wale tulioletwa huku baada ya kuskia kifo chake tujuane
Ishi sana chaliangu umeuwaaaa
Sijawahi kupenda ngoma za kihuni hii ya kwanza
Kila mmoja aende kwa mamuu wake akaombee msamaha 😀😀😀now 2020 like twende sawa
Aiseeee ngoma kaliiiiii sanaaaaaa .Huyu jamaaaa akitulia ,he can bring changes kubwaa sanaaa kwenye singeli .
Sahihi kabisa,anajitahidi sana
You can do better
Wanao ombwa msamaha wote kama mm na meja kuntu jamani tutafutane
Singel yangu Bora huuu
tunaomkubali meja tujuane kwa kugonga like
ata mm namkubr san
Uyu sio Omary mtoto wa Mbagala au namfananisha
Feysal Ismail mkn
maja ndio bigwa wasingel
Team mamu tupo pamoja
Waoooh nzur sanaaaa nasauti pia imetulia hadi raha.
Mashairi yamesimama hatari..., beat sasaaa, ni kurudia tu nyimbo
mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥hapana chezea mam
Mwanangu hii nyimbo ulipatia kinoma inasaidia sana hii 😂 Kwenye migogoro
unatakiw uwe na moy wa hurum kam haun haot kaa na wt
Daaah kaka angu siamin macho yangu kama aupo duniani
Ooh mamuuuu.oooh mamuuuu.mejakunta.love from Zanzibar.
singeli ya kwanza kupendwa namimi haswaaaaaaaaa
Sawa
Hey bro uko vzr
HUYU MEJA SINGELI BIASHARA
SIO KAMA WALE WASE**WENGINE
mbele yako nyuma yetu
😭😭😭😭
Nalinga Comedian ygbooppkjkkkjybjgbgm
Dogo fundi huyu
Fundii!!!! meja junta n kama #mondi
Nyimbo tamu hii tangu niiskie day one mekuwa kama mtumwa wake any time naiskiliza
Imetisha boy
This is a comedy wallah...😂😂Nmcheka yangu yote. Someone take me to Dar this 2020... Inshallah.
Hey
Mfalime wa singeliii mejaaa
Mej km mej massallah kw kpj chk
R.I.P Meja pumzika kwa Amani
R.i.p
Kwa ajili ya hii nyimbo nimefikiria kumsamehe mtu 😀😀😀salute meja
Dah! Kumbe ni huyu kaka..May his soul rest in peace 🙏
Meja hajakufa
Kama unaicheki 01/05/2021 gonga like tujuane twende sawaaaaaaa💥💥💥
Hii song kama umeniimbia mimi vile
Meja kumbe anamwanya
😘 bonge la video
Hiii ngomaaa nitam sanaa kama nini gonga like sema tam kama nn
Joseph Sanga
Yan we acha tyu jamaa ametisha htr
@@tabiayusuph8406
K
Duu mpaka midadi Inanipanda
I love you
Nimekuja kuona nyimbo zake baada ya kuskia amekufa
Ukopoa sana meja napendakaziyako
Atal sana wakimbize 2
sipendani miziki hii Lakin huu 💯💯🔥🔥
Huu nomaa na nusu 🔥🔥💪💪
Kweli kabisa,huwa siikubali sana ila dogo anajitahidi sana
Mpambanaji sana mbunifu
bonge la ngoma hapa mjini linabamba kichizi
Mamu ajitokeze hapa na amsamehe huyu mtu, maana nyimbo kali hii
Umefanya poa Sana meja big up hii ngoma imependwa Sana
Naipendraa sanaa safi sana kaka
Kaz nzur ndug yang x kaz buti ba mdog
Buloooo apa umetishaaaa kinomaa
2020 nimekuja kuangalia pengo la meja baada ya kua ameliziba
tupo pamoja
😀
The love I have for mejja ❤️❤️❤️❤️
Odoe
🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯
Vile moyo huwa inaniluka nikiisikia hii nyimbo mngenionea huruma Ngoma tamu hii jamn
Mamuuuu huyoo
Sijawah pata like ata mojaa jamaniii dah ata like tanoo zinatoshaaa
mage lukman vp