NIKIPANDA LAZIMA NISHIKWE KIUNO - MALKIA KAREN

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 июн 2022
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 59

  • @nuraansuhail2578
    @nuraansuhail2578 Год назад +1

    Kutokuamini ktk ndoa ni kuamini ktk Zinaaa,, mwisho Mungu ataonesha kuwa Superior

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 2 года назад +5

    Daaaah diva jmn ilo wigi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!!!!!!!

  • @crershawmafia1009
    @crershawmafia1009 2 года назад +1

    Endelea kula hela za wahuni wahuni kwanza ukifikia muda muafaka utaacha ujinga na kufanya kinachotakiwa kwenye ndoa.

  • @dineshog8575
    @dineshog8575 2 года назад

    Huyu hana hit song hata moja af nashangaa et ni celeb

  • @obrigadoofficial1506
    @obrigadoofficial1506 2 года назад

    Basi Sasa mume umepata sifa Zote unazo 👏👏👏❤️

  • @hapapetu7018
    @hapapetu7018 2 года назад +7

    Ndoa nijambo moja jepesi sana ila nizito sana pindi ukiikosea sasa inakuaje umkumbatie mwanaume wakati upo kwenye ndoa ikiwa mahusiano basi unavyo penda maana hamujaoana mupo kwenye mahusiano tuu lakini kiisilam ukishaolewa nikwamba umekubali kua na muumewako sio waume wako jitambueni nyie madada zetu hii dunia nisawa na bofu tuu ukilitia upepo mwingi utasikia puuu

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale 2 года назад

      Nongwa tu. Mke wa Joti naye asemeje? Ni kuelewa situation ya mtu na kuacha maisha yaendelee!

    • @vinnahjasson5546
      @vinnahjasson5546 2 года назад

      @@TamuzaKale nimependa jibu lako, ulimpenda hivohivo na Kaz yake, iweje uanze kujaji

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale 2 года назад +1

      @@vinnahjasson5546 Wanaume tunapenda sana mamlaka. Nimesema hivi, mara vile. Wanawake ni waelewa sana. Hata wakitufumania, wanatusamehe. Tendo hilo liwe kinyume chake, utasubiri kudura ya jalali. Tuna wivu wa kijinga kupita kiasi. Mfano mdogo ni huo, mke wa Joti. Anavumilia yote. Ingekuwa mambo anayofanya Joti yanafanywa na mwanamke, wanaume wachache wenye kuelewa situation za wake zao, watakubali. Wengi wao wangeingia ubia na wivu na mwishowe ndoa kufa au kuuana. Tumeyaona! Heshimu kazi ya mwenzako!

  • @jwakoofficial1560
    @jwakoofficial1560 2 года назад +2

    Ukuerewa sanakaren

  • @kwazulu5240
    @kwazulu5240 2 года назад

    Aliyemwambia kapendeza na Hilo Wig Mungu ana muona.

  • @leticiafabian4450
    @leticiafabian4450 2 года назад +1

    anaconect had sm ukipigiwa anajua

  • @ahmadzubeir3363
    @ahmadzubeir3363 2 года назад +1

    Wewe usidanganyeeee

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili 2 года назад +1

    🔥🔥🔥

  • @miriamdavis3893
    @miriamdavis3893 2 года назад +1

    Your beautiful caren kubali uishi maisha mazuri

  • @stevenkapugi4209
    @stevenkapugi4209 2 года назад +1

    Duu sema karembo sanaa yaan kananikosha sana

  • @qudratv9169
    @qudratv9169 2 года назад +1

    unavalishwa viat kushikwa paja kunatokea wapi tenaaa

  • @suzmaryhenry1920
    @suzmaryhenry1920 2 года назад +2

    Mzur sana karen

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice2348 2 года назад +3

    Kwa iyo na ww mwenzio ukikuta kashikwa kiuno na mwanamke mwenzio utafurahi?

  • @calvinpaul2171
    @calvinpaul2171 2 года назад

    Uyuu mswailii

  • @peterrobert8905
    @peterrobert8905 2 года назад

    Huo ni usenge we hufai endelea kudanga hamna mwanaume mwenye moyo huo

  • @merlinmugisho9765
    @merlinmugisho9765 2 года назад +1

    Takupata wapi

  • @sadickbudoda4361
    @sadickbudoda4361 2 года назад +1

    Nyinyi ndio mnafanya mahusiano kuwa magum kwa sababu ya matokeo yenu wenyewe kwa wanaume, akili timam, mwanamke kiongoz wake mwanaume analokwambia fuata ukilikosa hili jua kwenye uanamke unamapungufu, hii ni matokeo yakurith mira mbaya zisizokua zetu, akili timam ni dini

  • @ntamwanatv4737
    @ntamwanatv4737 2 года назад

    Ndo maana nasemaga mtafute wa saiz yako yan ushikwe paja halafu nakuonaaa wweeeeh

  • @hugomtete1461
    @hugomtete1461 2 года назад

    Aisee nipe namba mm nikupende hyo mahba ndo nhtaj

  • @jovithajames5962
    @jovithajames5962 2 года назад +5

    Diva kwani hujui kutengeneza wigs zako vizur unavaa wigs zimechakaa namna iyo khaaaaaaaaa. Peleka saloon wigs zako zitengenezwe yani wig haionekani kaman ni closure au frontal .

    • @sellove6220
      @sellove6220 2 года назад +3

      Adi anaonekana Mchafu kichwani

    • @jovithajames5962
      @jovithajames5962 2 года назад +2

      Ndio ... Kila siku wigs zake haziekeweki afu anajitamba anapesa pride nyingi mtu hajui hata kujitacare mmmm

    • @annamduma4009
      @annamduma4009 2 года назад +2

      Huyu ni mchafu mvivu hadi kwa mwil wake hukuona kunakipnd alihojiwagwa nyumba yake yan chumba kichafu akichukua nywele hachani anavaa tu

  • @patrickmukundichalamila3038
    @patrickmukundichalamila3038 2 года назад +1

    Shida ya watu maarufu au ma star tunawaona ni kujiondoa akili kua ndoa inaongozwa na u star! Ni wachace sana wanaojitambua kwenye mahusiano yao sababu misingi na kanuni ni kwamba hata ungekua star kiasi gani bado hutakiwi kua juu ya sheria ya mahusiano

  • @Rose-ue2ho
    @Rose-ue2ho 2 года назад +1

    Kushikwa paja tena😂😂kwani kiatu hakifaliki bila ya kushikwa paja

  • @seifabraham5836
    @seifabraham5836 2 года назад

    Kumbe huyu Dada akili Hana

  • @leonardemmanuel9249
    @leonardemmanuel9249 2 года назад

    Kaachwa hana lolote

  • @manjaruu1575
    @manjaruu1575 2 года назад

    Umalaya tu

  • @zakiahfaustin8087
    @zakiahfaustin8087 2 года назад

    😂😂😂malaya tuu kwaann ushikweo

  • @saidhassan7779
    @saidhassan7779 2 года назад

    PESA UKO NAZO MIMI NIJE?

  • @paulmteki8196
    @paulmteki8196 2 года назад

    Bado ujafikia atua ya kuwa mke kuna level yakuwa mke. Tafuta malaya mwenzio Mdate ila si mume

  • @kiumbeonlinetv4688
    @kiumbeonlinetv4688 2 года назад

    Hmn lolote hpa

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 2 года назад

    danga hilo😂😂😂 , hivyo vingine visingizio tu😂.....we sema ukimaliza kazi ya kujiuza ndio utaanza kuwaza kuolewa😅

  • @rashidhusain2958
    @rashidhusain2958 2 года назад

    Kiatu kinavaliwa mguuni, at least ushikwe goti mkono pajani wapi kwa wapi na kiatu. Ni paja au ni haja inayotafutwa pajani?

  • @calvinmeela7563
    @calvinmeela7563 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🙌🙌

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 2 года назад

    Ukipendwa penda utakuja penda na husipendwe utalia wewe

  • @olarivolariv1313
    @olarivolariv1313 Год назад

    Acha kuona wanaume ni wajinga,,,hakuna uhusiano kati ya paja na kiatu.🏌️🏌️

  • @moseskisingi7696
    @moseskisingi7696 2 года назад

    Nonsense.

  • @rafikingango
    @rafikingango 2 года назад +1

    Hii ni Baraka sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👉🏼👉🏼👉🏼ruclips.net/video/cgb-mXBbADk/видео.html

    • @hamisibakali9271
      @hamisibakali9271 2 года назад

      Ushikwe paja kawaida ushikwe kiuno kawaida kha👀

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 2 года назад +2

    Kwani uwezi kuvaa kiatu lazima ushikwq paja? Au shikweshikwe?
    Vitu unavyotqka vinaitwa Tania mbaya.
    Ata hao wazungu wanajiheshimu wanapokuwa katika mahusiano.
    Subiri uzeeke ndio utashtuka

    • @hafsamsangi597
      @hafsamsangi597 2 года назад

      Hapo bado time yakuwa mke vyote hivyo hutofanya na utatulia akuna mwanaume wahivyo kuona kawaida kisa we star

    • @toneylulinda9320
      @toneylulinda9320 2 года назад

      Mwanaume gani anaelubali huo ujinga

  • @thomaskeya5488
    @thomaskeya5488 2 года назад

    ilaFainal uzeni utaishi mwenye km kahaba