NIKIPANDA LAZIMA NISHIKWE KIUNO - MALKIA KAREN
HTML-код
- Опубликовано: 1 июн 2022
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Развлечения
Kutokuamini ktk ndoa ni kuamini ktk Zinaaa,, mwisho Mungu ataonesha kuwa Superior
Daaaah diva jmn ilo wigi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!!!!!!!
Endelea kula hela za wahuni wahuni kwanza ukifikia muda muafaka utaacha ujinga na kufanya kinachotakiwa kwenye ndoa.
Huyu hana hit song hata moja af nashangaa et ni celeb
Basi Sasa mume umepata sifa Zote unazo 👏👏👏❤️
Ndoa nijambo moja jepesi sana ila nizito sana pindi ukiikosea sasa inakuaje umkumbatie mwanaume wakati upo kwenye ndoa ikiwa mahusiano basi unavyo penda maana hamujaoana mupo kwenye mahusiano tuu lakini kiisilam ukishaolewa nikwamba umekubali kua na muumewako sio waume wako jitambueni nyie madada zetu hii dunia nisawa na bofu tuu ukilitia upepo mwingi utasikia puuu
Nongwa tu. Mke wa Joti naye asemeje? Ni kuelewa situation ya mtu na kuacha maisha yaendelee!
@@TamuzaKale nimependa jibu lako, ulimpenda hivohivo na Kaz yake, iweje uanze kujaji
@@vinnahjasson5546 Wanaume tunapenda sana mamlaka. Nimesema hivi, mara vile. Wanawake ni waelewa sana. Hata wakitufumania, wanatusamehe. Tendo hilo liwe kinyume chake, utasubiri kudura ya jalali. Tuna wivu wa kijinga kupita kiasi. Mfano mdogo ni huo, mke wa Joti. Anavumilia yote. Ingekuwa mambo anayofanya Joti yanafanywa na mwanamke, wanaume wachache wenye kuelewa situation za wake zao, watakubali. Wengi wao wangeingia ubia na wivu na mwishowe ndoa kufa au kuuana. Tumeyaona! Heshimu kazi ya mwenzako!
Ukuerewa sanakaren
Aliyemwambia kapendeza na Hilo Wig Mungu ana muona.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
anaconect had sm ukipigiwa anajua
Wewe usidanganyeeee
🔥🔥🔥
Your beautiful caren kubali uishi maisha mazuri
Duu sema karembo sanaa yaan kananikosha sana
unavalishwa viat kushikwa paja kunatokea wapi tenaaa
Mzur sana karen
Kwa iyo na ww mwenzio ukikuta kashikwa kiuno na mwanamke mwenzio utafurahi?
Uyuu mswailii
Huo ni usenge we hufai endelea kudanga hamna mwanaume mwenye moyo huo
Takupata wapi
Nyinyi ndio mnafanya mahusiano kuwa magum kwa sababu ya matokeo yenu wenyewe kwa wanaume, akili timam, mwanamke kiongoz wake mwanaume analokwambia fuata ukilikosa hili jua kwenye uanamke unamapungufu, hii ni matokeo yakurith mira mbaya zisizokua zetu, akili timam ni dini
Ndo maana nasemaga mtafute wa saiz yako yan ushikwe paja halafu nakuonaaa wweeeeh
Aisee nipe namba mm nikupende hyo mahba ndo nhtaj
Diva kwani hujui kutengeneza wigs zako vizur unavaa wigs zimechakaa namna iyo khaaaaaaaaa. Peleka saloon wigs zako zitengenezwe yani wig haionekani kaman ni closure au frontal .
Adi anaonekana Mchafu kichwani
Ndio ... Kila siku wigs zake haziekeweki afu anajitamba anapesa pride nyingi mtu hajui hata kujitacare mmmm
Huyu ni mchafu mvivu hadi kwa mwil wake hukuona kunakipnd alihojiwagwa nyumba yake yan chumba kichafu akichukua nywele hachani anavaa tu
Shida ya watu maarufu au ma star tunawaona ni kujiondoa akili kua ndoa inaongozwa na u star! Ni wachace sana wanaojitambua kwenye mahusiano yao sababu misingi na kanuni ni kwamba hata ungekua star kiasi gani bado hutakiwi kua juu ya sheria ya mahusiano
Kushikwa paja tena😂😂kwani kiatu hakifaliki bila ya kushikwa paja
Kumbe huyu Dada akili Hana
Kaachwa hana lolote
Umalaya tu
😂😂😂malaya tuu kwaann ushikweo
😄😄😄
PESA UKO NAZO MIMI NIJE?
Bado ujafikia atua ya kuwa mke kuna level yakuwa mke. Tafuta malaya mwenzio Mdate ila si mume
Good
Hmn lolote hpa
danga hilo😂😂😂 , hivyo vingine visingizio tu😂.....we sema ukimaliza kazi ya kujiuza ndio utaanza kuwaza kuolewa😅
Kiatu kinavaliwa mguuni, at least ushikwe goti mkono pajani wapi kwa wapi na kiatu. Ni paja au ni haja inayotafutwa pajani?
🤣🤣🤣🤣🙌🙌
Ukipendwa penda utakuja penda na husipendwe utalia wewe
Acha kuona wanaume ni wajinga,,,hakuna uhusiano kati ya paja na kiatu.🏌️🏌️
Nonsense.
Hii ni Baraka sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👉🏼👉🏼👉🏼ruclips.net/video/cgb-mXBbADk/видео.html
Ushikwe paja kawaida ushikwe kiuno kawaida kha👀
Kwani uwezi kuvaa kiatu lazima ushikwq paja? Au shikweshikwe?
Vitu unavyotqka vinaitwa Tania mbaya.
Ata hao wazungu wanajiheshimu wanapokuwa katika mahusiano.
Subiri uzeeke ndio utashtuka
Hapo bado time yakuwa mke vyote hivyo hutofanya na utatulia akuna mwanaume wahivyo kuona kawaida kisa we star
Mwanaume gani anaelubali huo ujinga
ilaFainal uzeni utaishi mwenye km kahaba