CANON EMMANUEL MASOUD AKIELEZEA MALENGO YA SIKUKUU YA MAVUNO 2023

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024
  • Canon Emmanuel Masoud ni Kasisi wa kanisa kuu la kristo Mkunazini alipata nafasi ya kuzungumza na team ya media kutoka kanisa kuu la kristo Mkunazini hapa Zanzibar, katika mazungumzo yake amebainisha wazi malengo yaliyoafikiwa kwa pamoja na uongozi wa kanisa na wahumini kuwa lengo kuu la ibada ya sikukuu ya mavuno kwa mwaka 2023 ni kuboresho miundombinu ya kanisa kwa upande wa mifumo ya umeme pamoja na kuboresha zaidi vipooza joto (Air condition system) akihusisha na sikukuu ya mavuno iliyofanyika katika mwaka uliopita ambapo kanisa liliweza kukarabati vitu vilivyo ndani ya kanisa hasahasa viti vya kukalia .
    Mbali na haya Canon Emmnauel Masoud amewashukuru watu wote waliohudhuria katika ibada ya sikukuu ya mavuno iliyofanyika tarehe 5 mwezi wa11 mwaka 2023
    Unaweza kuwasilisha sadaka yako ya sikukuu ya mavuno kupitia account no 021201007547 NBC BANK _-ANGLICAN CHURCH CATHEDRAL

Комментарии •