MKUNAZINI TV
MKUNAZINI TV
  • Видео 18
  • Просмотров 22 592

Видео

UJENZI KANISA LA MTAKATIFU BARNABA MAHONDA AWAMU YA PILI
Просмотров 134Месяц назад
Lay Canon James Philip Kaleza akiambatana na vijana wa media wa Kanisa Kuu la Kristo Mkunazini, leo majira ya jioni walitembelea na kukagua ujenzi wa jengo la Kanisa la Mtakatifu Barnaba, Mahonda. Ziara hiyo ni utekelezaji wa agizo la Kamati ya Fedha ya Kanisa Kuu la Kristo Mkunazini baada ya kutoa msaada wa ujezi wa kuta za jengo hilo. Kanisa Kuu limesaidia kiasi cha milioni 15 za ujenzi wa ku...
VIJANA KANISA KUU WASHIRIKI IBADA MTAA MDOGO ZINGWEZINGWE
Просмотров 1752 месяца назад
Jumapili ya Tarehe 04/8/2024 ilikua jumapili ya baraka sana kwa wakristo wa Mtaa wa Kanisa Kuu la Kristo Mkunazini ambapo walijumuika katika chakula cha kiroho na Kimwili na Wakristo wa Mtaa wa Zingwezingwe, Pia ilifanyika Ibada nzuri iliyoambatana na matendo ya Huruma. Zaburi 133:1 Tazama, jinsi ilivyo vema, na kupendeza, Ndugu wakae pamoja, kwa umoja
KUTOKA HUKUMU YA KIFUNGO CHA MAISHA MPAKA URAIANI
Просмотров 1653 месяца назад
Obedi Samson mkazi wa Bunda mkoani Mara anasimulia namna maisha yake yalivyokuwa baada ya kuhukumiwa kifungo cha maisha gerezani, Akiwa gerezani kwa imani yake alimuomba Mungu amsaidie Katika changamoto hiyo kwani alihukumiwa kwa kosa la kusingiziwa , Hatimaye Bwana akatenda miujiza na mwangaza ukawa upande wake aliweza kuachiwa huru baada ya kukata rufaa.
WATOTO KANISA KUU WAKITOA UFAFANUZI JUU YA MADA WALIZOFUNDISHWA KATIAK SEMINA
Просмотров 783 месяца назад
Baadhi ya watoto walioshiriki katika semina iliyoandaliwa na Kanisa Kuu la Kristo Mkunazini wakitoa ufafanuzi juu ya kile walichofundishwa darasani
🔵 SEHEMU 2. MAONI YA WADAU NA WALIMU KUHUSU SEMINA YA WATOTO KANISA KUU
Просмотров 553 месяца назад
Baadhi ya wadau na walimu wakitoa maoni yao juu ya semina ya watoto iliyofanyika kanisa Kuu la Kristo Mkunazini
MAONI YA WADAU NA WALIMU KUHUSU SEMINA YA WATOTO KANISA KUU 🔵 SEHEMU YA KWANZA
Просмотров 633 месяца назад
Baadhi ya wadau na walimu wakitoa maoni yao juu ya semina ya watoto iliyofanyika kanisa Kuu la Kristo Mkunazini
MATOKEO YA UCHAGUZI WA WAZEE WA KANISA
Просмотров 1998 месяцев назад
Uongozi wa kanisa kuu la kristo Mkunazini unawapongeza Wakristo wote wa Kanisa Kuu kwa kushiriki uchaguzi na kuchagua kistaarabu na utulivu. tunawapongeza watu wote waliohusika kuhamasisha Wakristo kushiriki uchaguzi.
KIKAO CHA MAELEKEZO JUU YA KUSTAAFU KWA ASKOFU MICHAEL HAFIDH (SEHEMU YA 3)
Просмотров 3828 месяцев назад
MAELEKEZO YA NYUMBA YA MAASKOFU (KAT) YAKIWASILISHWA NA KATIBU MKUU JUU YA KUSTAAFU KWA ASKOFU MICHAEL AFIDHI
KIKAO CHA MAELEKEZO JUU YA KUSTAAFU KWA ASKOFU MICHAEL HAFIDH (SEHEMU YA 2)
Просмотров 2428 месяцев назад
MAELEKEZO YA NYUMBA YA MAASKOFU (KAT) YAKIWASILISHWA NA KATIBU MKUU JUU YA KUSTAAFU KWA ASKOFU MICHAEL AFIDHI
KIKAO CHA MAELEKEZO JUU YA KUSTAAFU KWA ASKOFU MICHAEL HAFIDH (SEHEMU YA 1)
Просмотров 1748 месяцев назад
MAELEKEZO YA NYUMBA YA MAASKOFU (KAT) YAKIWASILISHWA NA KATIBU MKUU JUU YA KUSTAAFU KWA ASKOFU MICHAEL AFIDHI
SIKU YA BWANA YA 2
Просмотров 118 месяцев назад
Fr. Godwin Emmanuel Masoud, Kasisi na Mwalimu kutoka Kanisa Kuu la Kristo Mkunazini akielezea kuhusu ibada iliyofanyika katika Siku ya Bwana ya 2 ya Ufunuo
BADO UNAYO NAFASI YA KUTOA SADAKA YAKO YA SIKUKUU YA MAVUNO 2023.
Просмотров 1011 месяцев назад
BADO UNAYO NAFASI YA KUTOA SADAKA YAKO YA SIKUKUU YA MAVUNO 2023.
CANON EMMANUEL MASOUD AKIELEZEA MALENGO YA SIKUKUU YA MAVUNO 2023
Просмотров 1011 месяцев назад
CANON EMMANUEL MASOUD AKIELEZEA MALENGO YA SIKUKUU YA MAVUNO 2023
YALIYOJIRI KATIKA SIKUKUU YA MAVUNO 2023
Просмотров 2311 месяцев назад
YALIYOJIRI KATIKA SIKUKUU YA MAVUNO 2023
KUELEKEA KILELE CHA IBADA YA SIKUKUU YA MAVUNO 2023
Просмотров 10811 месяцев назад
KUELEKEA KILELE CHA IBADA YA SIKUKUU YA MAVUNO 2023

Комментарии

  • @HappyCleophace-h3u
    @HappyCleophace-h3u 5 дней назад

    Poleni jamani

  • @IreneEgbat
    @IreneEgbat 22 дня назад

    Poren sana jmnii😢😂😂😢 mungu awatie nguvu

  • @godwinmasoud7180
    @godwinmasoud7180 2 месяца назад

    Yesu Kristo anatufundisha matendo ya huruma.

  • @raphaelkiondo
    @raphaelkiondo 3 месяца назад

    All the time God is good.

  • @HawaBeka-t4c
    @HawaBeka-t4c 6 месяцев назад

    😢😢😢 M/Mungu ayilaze roho yake mahari pema peponi

  • @josphatkibet2959
    @josphatkibet2959 8 месяцев назад

    R.i.p.

  • @jamesphilipkaleza
    @jamesphilipkaleza 8 месяцев назад

    Nami nachukua nafasi hii kuwapongeza wajumbe wote 12 waliochaguliwa kuingia katika Baraza la Wakuu wa Kanisa. Na kwa dhati, ninampongeza Rev. Canon Emmanuel Masoud na wasaidizi wake wote kwa kuendesha uchaguzi kwa haki, uwazi, utulivu na umakini mkubwa. Ninawapongeza Wakristo wote wa Kanisa Kuu kwa kushiriki uchaguzu na kuchagua kistaarabu na utulivu. Ninapongeza watu wote waliohusika kuhamasisha Wakristo kushiriki uchaguzi kuanzia kuchukua fomu za wagombea, kampeni na kupiga kura. Na hasa nimeguswa sana kwa watu wengi kujitokeza kupiga kura idadi ya watu 256 ni kubwa. Somo kubwa nililojifunza binafsi ni kwamba uchaguzi wa mwaka huu umekuwa ukifuatiliwa na watu wengi ndani ya Dayosisi na nje ya Dayosisi. Hii ni taswira nzuri kuwa Kanisa Kuu la Kristo linarudi katika hadhi yake iliyopotea miaka mingi. Ninatoa wito na ninaomba tushirikiane kwenye shughuli mbalimbali za Kanisa. Na hasa wito wangu kwa vijana, muda huu sasa tujitokeze kwa wingi kwenye kwaya, itapendeza Kwaya ya Kanisa Kuu ikajaa waimbaji, ni aibu kwa ya watu wanne! Aidha vijana pamoja na kushiriki majadiliano, pia washiriki kwenye kanisa lao, hasa shughuli za vijana. Mwaka jana tulishindwa kabisa kufanya Maigizo ya Mateso, napenda kuwakumbusha viongozi wa vijana wa Kanisa Kuu kuwashajihisha vijana waanze mazoezi ya Igizo la Mateso.

  • @AdolphinaPeter
    @AdolphinaPeter 9 месяцев назад

    It's been a long day without you my friend I will tell you everything when I see you again😢😢😢

  • @mercy0upupuuppillpuuuumadh927
    @mercy0upupuuppillpuuuumadh927 9 месяцев назад

    Rest good bro

  • @albanjohn4250
    @albanjohn4250 9 месяцев назад

    Hongereni kazi nzuri

  • @Mkunazini_Tv
    @Mkunazini_Tv 9 месяцев назад

    Don't forget to subscribe

  • @mamt7489
    @mamt7489 11 месяцев назад

    Tutakuja Mwenyezi Mungu atufikishe

  • @Mkunazini_Tv
    @Mkunazini_Tv 11 месяцев назад

    Nyote mnakaribishwa