Magwiji wa soka Mkapa, Duwa Said, Adolph Rishard wachambua nusu fainali

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 май 2024
  • Magwiji wa soka nchini, Duwa Said, Keneth Mkapa na Adolph Rishard wamezichambua mechi za nusu fainali za #CRDBBankFederationCup kati ya Coastal Union dhidi ya Azam FC ambayo itapigwa Mei 18, katika dimba la CCM Kirumba pamoja na ile ya Ihefu SC dhidi ya Yanga SC itakayopigwa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha, Mei 19.
  • СпортСпорт

Комментарии •