Azam FC 5-1 Kagera Sugar | Highlights | NBC Premier League 25/05/2024
HTML-код
- Опубликовано: 25 май 2024
- Feisal Salum amefunga magoli mawili Azam FC ikiibugiza Kagera Sugar mabao 5-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC iliyopigwa leo kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.....
Magoli mengine kwenye mchezo huu yametoka kwa Gibril Sillah dakika ya 50’, Kipre Jr dakika ya 65' na Iddy Nado dakika ya 90, huku Feisal akifunga yake dakika ya 72 na 79. Спорт
Mmenunua mechi AZAM
walizidiwa tu aisee
Kagera wamejivunjia heshima kwa kuuza mechi hiyo.Wapenzi wa soka hawatasahau jambo hilo ingawa ndo wanagawanaka mkwsnja
Kagera sugar wamefungwa na timu Bora walizidiwa kiwango tu hawajauza mechi.
Hawajauza wamezidiwa