HUKU NDIO NILIPATA KAZI NIKATOKA BONGO NIKAJA MAREKANI/NYUMBA NYINGI WATU HAWAKAI WANAKUJA SUMMER TU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024

Комментарии • 48

  • @julianmsele3880
    @julianmsele3880 23 дня назад

    tupe raman mzee mbn kama hufunguk vizur

  • @OliverMacha-i1g
    @OliverMacha-i1g 8 дней назад

    Dear brother naomba mchongo jaman angalau na mie nikomboe familia yangu

  • @aronindibalema4964
    @aronindibalema4964 Месяц назад +3

    Mbona kagera nyumba kama izo kibao tu vijijini kasoro lami

  • @salumrashidabdullashmely2558
    @salumrashidabdullashmely2558 Месяц назад

    Watu weupe si wanakuona kama nyani tu na miti hio. Ndio maana mbwa anakubwekea

  • @pablomnyama
    @pablomnyama Месяц назад +1

    Duuh ww umesha kuwa boss bro hiyo pesa unayo piga sio poa salutee

  • @kalishaban252
    @kalishaban252 Месяц назад

    Du kuzuri ila pamepoa sana

  • @beautifulafrica4384
    @beautifulafrica4384 Месяц назад

    😂😂😂😂 dah! Imebidi nicheke tu… mtaa mzima uko peke ako

  • @rumdeesonsoa1811
    @rumdeesonsoa1811 Месяц назад +1

    Hapo kuzuri kuishi kuliko kwenye jiji katikati. Mazingira yametulia vizuri

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 Месяц назад +1

    Dah pazuri kama green city mbeya

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Месяц назад +1

    Nikwambie kitu ndugu yangu,fanya jambo tukukumbuke daima ,jambo lenyewe jivunie japo kuwapa watu michongo ya KAZI watanzania wenzako waje huko u.s.a

  • @chantalmanariyo8850
    @chantalmanariyo8850 Месяц назад +2

    Ok,sasa wanakula nini hapo sioni hata kakitu kakula !! Hamna soko!?

  • @user-bf3mm5wu1s
    @user-bf3mm5wu1s Месяц назад +1

    Jamani tupeane michongo tuje uko mm passport kubwa Ninayo ni drive wa truck naenda congo

  • @TheSadicLife
    @TheSadicLife Месяц назад +1

    Kua makini sehemu za utulivu kama hizo ukiwa unatembea peke yako hasa kwa mtu mweusi. Kila la heri

  • @enemtatuka5863
    @enemtatuka5863 Месяц назад +1

    Brother kak 😮😮😮wew nimtu muhim san

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Месяц назад +1

    Hivi huogopi una tembea sehem ya hivo hakuna mtu hata mmoja anae pita kwa mguu!?🤔 kusema kweli panatisha😂

  • @geofreytimothy5858
    @geofreytimothy5858 Месяц назад +3

    Naomba namba yako ya Whatsapp kaka. Nahitaji kuwasiliana na wewe tafadhali.

  • @hussenkarigo4496
    @hussenkarigo4496 Месяц назад +5

    Tupe michongo kaka natamani na mm nije kufanya kazi uko na kuishi niunganishe kaka

    • @bakarymousam126
      @bakarymousam126 Месяц назад +1

      Je una passport kwanza ?

    • @sharifukilongo2565
      @sharifukilongo2565 Месяц назад +1

      Passport, ipo

    • @bakarymousam126
      @bakarymousam126 Месяц назад

      ​@@sharifukilongo2565 sawa je mpk Sasa umesave pesa ngapi Kwa ajili ya kuanza mchakato wa safari?

    • @bakarymousam126
      @bakarymousam126 Месяц назад +1

      Je mpk Sasa umetunza pesa ngapi Kwa ajili ya mchakato wa safari

    • @mangofish9079
      @mangofish9079 Месяц назад +1

      Hussein nchi za majuu hazina future tena migogoro mengi sana inakuja siku za karibuni

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk Месяц назад

    Safi chief 👏

  • @wariobamussa2462
    @wariobamussa2462 Месяц назад

    Big up mdogo wangu nakutakia kila la heri.......!

    • @blacksingapore
      @blacksingapore  Месяц назад

      @@wariobamussa2462 ahsante kaka🫱🏾‍🫲🏿

  • @MohamedIddy-w2s
    @MohamedIddy-w2s Месяц назад

    Ndg wasaidie watu number yako ya whats sap

  • @ahmedalfan8075
    @ahmedalfan8075 Месяц назад

    One day brother see you

  • @charlesmajuto4664
    @charlesmajuto4664 Месяц назад

    Unyama mwingi saana huko

  • @amianndeya8932
    @amianndeya8932 Месяц назад +1

    Wenzetu wanaheshimu sana mazingira na smartness, ukimkabidhi mbongo eneo hilo utashangaa mara amekata miti na kuchoma mkaa

  • @liverpoolvsrangers2273
    @liverpoolvsrangers2273 Месяц назад +1

    Npo Seattle karibu sana kaka

  • @HalifaSalim
    @HalifaSalim Месяц назад

    From zanzbari

  • @tunauzapweza3501
    @tunauzapweza3501 Месяц назад

    Kila la kheri mzee

  • @suzanngowi5223
    @suzanngowi5223 Месяц назад

    Mkuu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @pablomnyama
    @pablomnyama Месяц назад

    Hiyo mijengo kama masaki aise🤣🤣

  • @gnaivasha
    @gnaivasha Месяц назад

    uku inaonyesha ukiwa na lawncare company unapiga hela sana

  • @Laizer3
    @Laizer3 Месяц назад

    WAZUNGU NDIO WAMESTAARABIKA ELIMU YAO IMEWAKOMBOA HUKU BONGO NI PACHAFU KILA MAHALI NI CHAFU.

  • @nellykibukila5677
    @nellykibukila5677 Месяц назад

    Kaka mimi ni saidiye na number yako ya simu nataka uni fafa nuliye kuusu kazi ,a shamba.

  • @mpigadaud4180
    @mpigadaud4180 Месяц назад

    Kaka nipe no yako ya Whatsapp