FAHAMU KUHUSU KAZI YA GEREJI MAREKANI NA JIFUNZE VINGI KUHUSU GPS NA KAZI YA AMAZON 🇺🇸

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 52

  • @kelvinbirukila4555
    @kelvinbirukila4555 Месяц назад

    Bro you are doing a good job to us please km unawaza share mawasiliano yako

  • @jewtv1732
    @jewtv1732 5 месяцев назад +2

    Bro kazi nzuri god blesse youu

  • @SafariKaembe
    @SafariKaembe 4 месяца назад

    Thanks bro to show us what the Americans are needed the people to work at their country

  • @lutambisos3605
    @lutambisos3605 2 месяца назад +2

    BlackSingapore uko vizuri Brother.Naomba namba yako ya simu tuwasiliane.Naitwa Sostenes niko Zanzibar.

  • @Ally-n2o
    @Ally-n2o 4 месяца назад +2

    M nakufatiria sana but nashidwa kuelewa kwann mada nyingi unazo ongele mala nyingi m2 akiomba namba yamuhusika hutoi kwamufano apa naona w2 wengi wanaomba namba ya sm angenti kwann usitupe nmba iyo ilikweri tuone kama unamusada kw2 naomba iy

  • @user-xt1zc3mm8x
    @user-xt1zc3mm8x 5 месяцев назад +2

    Tuwekee namb hzo za maagent kaka andika bas

  • @ahmedalfan8075
    @ahmedalfan8075 5 месяцев назад +2

    One love brother 👊

  • @ramadhanrashid1011
    @ramadhanrashid1011 5 месяцев назад +1

    Big up 💪🏾👍🏾💯

  • @user-xt1zc3mm8x
    @user-xt1zc3mm8x 5 месяцев назад +1

    Nitumie namba ya hao maagent tufanye mipango

  • @enemtatuka5863
    @enemtatuka5863 5 месяцев назад +1

    Brother kaka sngp unatuwakilisha vixuli San unabaya

  • @user-qv9hn9sm6i
    @user-qv9hn9sm6i 5 месяцев назад

    Umetisha

  • @GodfreyMdemu-uw2lv
    @GodfreyMdemu-uw2lv 5 месяцев назад

    Pamoja sana umeereweka vizuri sana mkuu

  • @nduwimanaLaziz
    @nduwimanaLaziz 5 месяцев назад

    Kaka big up sana

  • @janety1933
    @janety1933 5 месяцев назад +1

    Nataka kuja Singapore

  • @EFJmgasa
    @EFJmgasa 5 месяцев назад

    God bless u bro

  • @Manyara-Jr
    @Manyara-Jr 4 месяца назад +1

    khaaaaa nani kaiona IST kama mimi kwenye hii video

  • @user-bf3mm5wu1s
    @user-bf3mm5wu1s Месяц назад

    Naomba namba Yako ya in box kiongoz

  • @hussenkarigo4496
    @hussenkarigo4496 5 месяцев назад

    Unyama sana mtu wetu

  • @Big-oc8wl
    @Big-oc8wl 5 месяцев назад +1

    Ndugu yangu mm napenda sana kazi Yako .ila ndugu yangu mm napenda sana nifanye kazi apo us kaka.

    • @InformationMarketer007
      @InformationMarketer007 2 месяца назад

      ndugu kama una Nia ya kwenda marekani Anza mchakato wa kupata vitu vidogovidogo kwanza

    • @Big-oc8wl
      @Big-oc8wl 2 месяца назад

      Kama Nini ?ndugu.

    • @InformationMarketer007
      @InformationMarketer007 2 месяца назад

      @@Big-oc8wl uwe na cheti cha kuzaliwa,NIDA,passport ya kusafiria na hata PCC ya police clearance certificate alaf ndio uanze mchakato wa kuomba visa

    • @Big-oc8wl
      @Big-oc8wl 2 месяца назад

      @@InformationMarketer007 ndugu ishu sio hivyo vitu ishu ni konection mtu wa kukupokea na kukusaidia baruwa na mambo mengine.mtu wa hivyo ningumu kupata mkuu

  • @aishasaidmimo5239
    @aishasaidmimo5239 5 месяцев назад

    part 2 ya mtanzania aliepitia mexico iko wapi

  • @ElikanaKiheka
    @ElikanaKiheka 5 месяцев назад

    Saf sana mzee

  • @user-xt1zc3mm8x
    @user-xt1zc3mm8x 5 месяцев назад +1

    Ni vibari gani hvyo wanaitaji fatilia utwambie maan mpaka nimesubscribe ili nijue et

    • @InformationMarketer007
      @InformationMarketer007 2 месяца назад

      Kwani isifanye mpango wa kuingia kule alaf ukifika unachange status na unakuwa na visa ya kazi Kwa muda

  • @salumusobo4009
    @salumusobo4009 5 месяцев назад

    Bro naitaji namba zako kaka nipo njiani kuja USA

  • @pendaeljumbe8952
    @pendaeljumbe8952 3 месяца назад

    Babkubwa mzee

  • @mombamo5
    @mombamo5 5 месяцев назад

    Wee mzee niaje, email yko mbona invalid,
    Watching frm sauz africa

  • @user-gj5iy2rq8y
    @user-gj5iy2rq8y 5 месяцев назад +1

    Vp sisi wapiga rangi wa magari nazo zipo izokazi?

    • @InformationMarketer007
      @InformationMarketer007 2 месяца назад

      Ndugu ngoja nikusaidie kitu kazi nchini marekani zipo ila Mpaka upate nafasi ya kufika ila kazi au Fursa zipo nyingi tu

    • @InformationMarketer007
      @InformationMarketer007 2 месяца назад

      Tena kama wewe una fani yako basi ni Bora zaidi na kazi kama hizo kule zinalipa sana

  • @benardmsafiri4648
    @benardmsafiri4648 5 месяцев назад

    ✊🏽

  • @GodfreyMdemu-uw2lv
    @GodfreyMdemu-uw2lv 5 месяцев назад

    Brack lini. Unaingia tz

  • @saidimega9615
    @saidimega9615 5 месяцев назад +1

    Sasa ukiwa huna makalatasi unaweza kupata nyumba yakupanga ??kuna mzee anaitwa ebm alisema ili upange nyumba nilazima uwe na makalatasi pia mwenye nyumba ni lazima ajue mshahara wako ndio atakupangisha au imekaajee hio??

    • @user-oj1wz8hq5h
      @user-oj1wz8hq5h 5 месяцев назад

      Mimi mwenyew ilo nashindwa kuelewa sabb uwezi kupanga kama hauna social number

    • @InformationMarketer007
      @InformationMarketer007 2 месяца назад

      Kwa Mimi navyojua ili kuepuka hayo yote kama ndio unaanza kuingia marekani basi Bora upate kazi ya living in Yani upate kazi ya kukaa hapo hapo na kulala ili uepuke kulipa Kodi na upate hifadhi Kwa boss wake bila tabu yoyote

  • @SelemaniMlwafu-jl7lj
    @SelemaniMlwafu-jl7lj 5 месяцев назад +1

    Kaka Mimi ni welder nimehamasika sana, Sasa kama kuongea kikrsto siwezi unaweza kufanya kazi

    • @InformationMarketer007
      @InformationMarketer007 2 месяца назад

      Sikia marekani hawaangalii Elimu yako au lugha Yao muhimu kufika tu kule ila kazi zipo nyingi tu swali ni kwamba Je una connection ya kazi kule..?

    • @SelemaniMlwafu-jl7lj
      @SelemaniMlwafu-jl7lj 2 месяца назад

      Connection hapo ndo kipengele kaka, cimjui mtu yeyote Kule!?

    • @SelemaniMlwafu-jl7lj
      @SelemaniMlwafu-jl7lj 2 месяца назад

      @@InformationMarketer007 connection hapo ndo kipengele kaka, cimjui mtu yeyote Kule

    • @InformationMarketer007
      @InformationMarketer007 2 месяца назад

      @@SelemaniMlwafu-jl7lj sema tatizo Pesa lakini kama ungekuwa na pesa ya kusafiri ningekuunganisha na mtu kule Yani ukiiingia tu kama Leo marekani keshokutwa unaanza kazi

    • @SelemaniMlwafu-jl7lj
      @SelemaniMlwafu-jl7lj 2 месяца назад

      @@InformationMarketer007 kwani nauli inakost kama bei Gani!

  • @mr.booster5575
    @mr.booster5575 5 месяцев назад

    Sema mwamba malizia story ya jamaa aliyepitia Mexico

  • @ahmedalfan8075
    @ahmedalfan8075 5 месяцев назад +1

    Dah kaka napiga spana uku arabuni kumbe hamna maajabu kabisa kulinganisha na uko

    • @jumamuhamed8636
      @jumamuhamed8636 5 месяцев назад

      Ww jishauwe tu wenzako wanapigwa pesa kila siku aswa wauko Gulf ukiskia nyoo DM kimbia usiende

    • @ahmedalfan8075
      @ahmedalfan8075 5 месяцев назад

      @@jumamuhamed8636 aaaah yaani wanazulumiwa au

    • @InformationMarketer007
      @InformationMarketer007 2 месяца назад

      ​@@ahmedalfan8075 Tatizo watu wanadhulumiwa Kwa kukosa taarifa sahihi