M nakufatiria sana but nashidwa kuelewa kwann mada nyingi unazo ongele mala nyingi m2 akiomba namba yamuhusika hutoi kwamufano apa naona w2 wengi wanaomba namba ya sm angenti kwann usitupe nmba iyo ilikweri tuone kama unamusada kw2 naomba iy
@@InformationMarketer007 ndugu ishu sio hivyo vitu ishu ni konection mtu wa kukupokea na kukusaidia baruwa na mambo mengine.mtu wa hivyo ningumu kupata mkuu
Sasa ukiwa huna makalatasi unaweza kupata nyumba yakupanga ??kuna mzee anaitwa ebm alisema ili upange nyumba nilazima uwe na makalatasi pia mwenye nyumba ni lazima ajue mshahara wako ndio atakupangisha au imekaajee hio??
Kwa Mimi navyojua ili kuepuka hayo yote kama ndio unaanza kuingia marekani basi Bora upate kazi ya living in Yani upate kazi ya kukaa hapo hapo na kulala ili uepuke kulipa Kodi na upate hifadhi Kwa boss wake bila tabu yoyote
@@SelemaniMlwafu-jl7lj sema tatizo Pesa lakini kama ungekuwa na pesa ya kusafiri ningekuunganisha na mtu kule Yani ukiiingia tu kama Leo marekani keshokutwa unaanza kazi
Bro you are doing a good job to us please km unawaza share mawasiliano yako
Bro kazi nzuri god blesse youu
Thanks bro to show us what the Americans are needed the people to work at their country
BlackSingapore uko vizuri Brother.Naomba namba yako ya simu tuwasiliane.Naitwa Sostenes niko Zanzibar.
Na je una passport tayari
M nakufatiria sana but nashidwa kuelewa kwann mada nyingi unazo ongele mala nyingi m2 akiomba namba yamuhusika hutoi kwamufano apa naona w2 wengi wanaomba namba ya sm angenti kwann usitupe nmba iyo ilikweri tuone kama unamusada kw2 naomba iy
Tuwekee namb hzo za maagent kaka andika bas
One love brother 👊
Big up 💪🏾👍🏾💯
Nitumie namba ya hao maagent tufanye mipango
Brother kaka sngp unatuwakilisha vixuli San unabaya
Umetisha
Pamoja sana umeereweka vizuri sana mkuu
Kaka big up sana
Nataka kuja Singapore
God bless u bro
khaaaaa nani kaiona IST kama mimi kwenye hii video
Huo ni utoto bro focus kwny mambo muhimu
Naomba namba Yako ya in box kiongoz
Unyama sana mtu wetu
Ndugu yangu mm napenda sana kazi Yako .ila ndugu yangu mm napenda sana nifanye kazi apo us kaka.
ndugu kama una Nia ya kwenda marekani Anza mchakato wa kupata vitu vidogovidogo kwanza
Kama Nini ?ndugu.
@@Big-oc8wl uwe na cheti cha kuzaliwa,NIDA,passport ya kusafiria na hata PCC ya police clearance certificate alaf ndio uanze mchakato wa kuomba visa
@@InformationMarketer007 ndugu ishu sio hivyo vitu ishu ni konection mtu wa kukupokea na kukusaidia baruwa na mambo mengine.mtu wa hivyo ningumu kupata mkuu
part 2 ya mtanzania aliepitia mexico iko wapi
Saf sana mzee
Ni vibari gani hvyo wanaitaji fatilia utwambie maan mpaka nimesubscribe ili nijue et
Kwani isifanye mpango wa kuingia kule alaf ukifika unachange status na unakuwa na visa ya kazi Kwa muda
Bro naitaji namba zako kaka nipo njiani kuja USA
Babkubwa mzee
Wee mzee niaje, email yko mbona invalid,
Watching frm sauz africa
Vp sisi wapiga rangi wa magari nazo zipo izokazi?
Ndugu ngoja nikusaidie kitu kazi nchini marekani zipo ila Mpaka upate nafasi ya kufika ila kazi au Fursa zipo nyingi tu
Tena kama wewe una fani yako basi ni Bora zaidi na kazi kama hizo kule zinalipa sana
✊🏽
Brack lini. Unaingia tz
Sasa ukiwa huna makalatasi unaweza kupata nyumba yakupanga ??kuna mzee anaitwa ebm alisema ili upange nyumba nilazima uwe na makalatasi pia mwenye nyumba ni lazima ajue mshahara wako ndio atakupangisha au imekaajee hio??
Mimi mwenyew ilo nashindwa kuelewa sabb uwezi kupanga kama hauna social number
Kwa Mimi navyojua ili kuepuka hayo yote kama ndio unaanza kuingia marekani basi Bora upate kazi ya living in Yani upate kazi ya kukaa hapo hapo na kulala ili uepuke kulipa Kodi na upate hifadhi Kwa boss wake bila tabu yoyote
Kaka Mimi ni welder nimehamasika sana, Sasa kama kuongea kikrsto siwezi unaweza kufanya kazi
Sikia marekani hawaangalii Elimu yako au lugha Yao muhimu kufika tu kule ila kazi zipo nyingi tu swali ni kwamba Je una connection ya kazi kule..?
Connection hapo ndo kipengele kaka, cimjui mtu yeyote Kule!?
@@InformationMarketer007 connection hapo ndo kipengele kaka, cimjui mtu yeyote Kule
@@SelemaniMlwafu-jl7lj sema tatizo Pesa lakini kama ungekuwa na pesa ya kusafiri ningekuunganisha na mtu kule Yani ukiiingia tu kama Leo marekani keshokutwa unaanza kazi
@@InformationMarketer007 kwani nauli inakost kama bei Gani!
Sema mwamba malizia story ya jamaa aliyepitia Mexico
Dah kaka napiga spana uku arabuni kumbe hamna maajabu kabisa kulinganisha na uko
Ww jishauwe tu wenzako wanapigwa pesa kila siku aswa wauko Gulf ukiskia nyoo DM kimbia usiende
@@jumamuhamed8636 aaaah yaani wanazulumiwa au
@@ahmedalfan8075 Tatizo watu wanadhulumiwa Kwa kukosa taarifa sahihi