MTOTO WA AUNT EZEKIEL ATOA SIRI YA BABA YAKE

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 446

  • @barakakaduma8803
    @barakakaduma8803 5 лет назад +19

    Aunt umejibu maswali vizuri sana Hongera

  • @grasianatesha6405
    @grasianatesha6405 5 лет назад +3

    huyu dada Nampa asilimia 100 umemjibu Safi mwanamke Bora . wewe Ni wa kipekee kwenye bongo movie. hongera sana

  • @stellamsemo1020
    @stellamsemo1020 5 лет назад +34

    Aunt nakupenda!! Naomba mrudiane mlee watoto pamoja pls

  • @faustineimanigaba9391
    @faustineimanigaba9391 5 лет назад +4

    unastahili kuwa maman kbsa afu jinsi una answer ni kama bile strong woman and clever one HBD cookie na maman yako kipenzi,mutangazaji unataka kujuwa mengi kuhusu kuacana kwake na Iyobo aunty siyo kama wale wakiachana na mwenziyo wanamupakazia bwana hebu muelewe she is very humble even kwakusema nakupendeya bule aunty

  • @wahabmkazi7902
    @wahabmkazi7902 5 лет назад +59

    Mtangazaji yuko vizuri sana tena ako na sauti halisi ya mtangazaji wa kiume tatizo watu wamezoea sauti zile za kutengeneza au kugeza. Huyu yuko real na anajua kuuliza maswali yaani yuko on point

  • @madawakemikali776
    @madawakemikali776 5 лет назад +6

    Wasituzinguwe.....huyu jamaa yuko vizuri sana kwa kazi yake.....kisha sauti iko real....a man voice should be like that....kidume cha mbegu

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 5 лет назад +109

    Aunt umependeza sana wewe pamoja na mwanao. Happybirthday Cookie

  • @sittykassim7323
    @sittykassim7323 5 лет назад +14

    Waooh! Aunt umejua kujibu vzr sn

  • @laliaelulu1815
    @laliaelulu1815 5 лет назад +1

    Aunt Umekuwa rafiki yangu hii Interview najiskia kama nitazame mida yote fresh sana mwayaa Maana siri zako weka Moyoni.😍😍

  • @nelsonnmwaipaja6980
    @nelsonnmwaipaja6980 5 лет назад +2

    mtangazaji upo up xana big up bro

  • @dattitzfromtz6231
    @dattitzfromtz6231 5 лет назад +2

    Anti wewe nimama mzuri usikate tamaaa yote yanawezekana happy birthdaymy toto

  • @Alexandphylly
    @Alexandphylly 5 лет назад +1

    I love this woman so much she is so smart.nakupenda sana aunty

  • @Daphne362
    @Daphne362 5 лет назад +44

    HAPPY BIRTHDAY BEAUTIFUL PRINCESS COOKIE🎉🎉🎉🎉🎊🎊🎊🎊❤❤❤❤❤🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧

  • @irenesese6968
    @irenesese6968 5 лет назад +5

    Nakupenda Aunt. unajielewa my

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 5 лет назад +24

    Wasanii wa bongo kwa kuonjana onjana mmh 🙌🙌

  • @sophiemassare6356
    @sophiemassare6356 5 лет назад +1

    i like the talk mama cookie yua bright en intelligent..... plz come back baba cookie nyumban pamenogaaaa

  • @angelarajab1314
    @angelarajab1314 5 лет назад +10

    Happy birth day cookie may u live to grow to many yrs

  • @nsumbuleboniface8915
    @nsumbuleboniface8915 5 лет назад +6

    Bigup bro Mungu akufikishe mbali zaidi ktk kazi zako👏

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah6825 5 лет назад +38

    Mtangazaji alijipanga maswali anti masha allah

  • @selekidebe4385
    @selekidebe4385 5 лет назад +1

    Nakupend sana.ant Ezekiel
    Nampenda.sana cookie happy birthday 👑👗👡👡🎉🎊🎂🎁 namis kukuon cookie

  • @tekkashibm1629
    @tekkashibm1629 5 лет назад +17

    You talk smart..and unajibu straight i like the talk

  • @siyamunadhir3669
    @siyamunadhir3669 5 лет назад +3

    Makeup it amazing imetulia malipake 💄😍

  • @mako331
    @mako331 5 лет назад +32

    Aunt is smart and beautiful, pambana na maisha sister

    • @mamboleoanzurunimamboleoan6611
      @mamboleoanzurunimamboleoan6611 5 лет назад

      makoiga mg hjjhcc

    • @Amneamne-qi2du
      @Amneamne-qi2du 5 лет назад

      Anty Pambana na maisha kwa sasa kuachwa siyo ww wakwanza hata mimi mwenzio niliachwa nawatoto 3 nanilikuwa sina kazi lakini kwasasa nipo nakazi na sipo Tz nimeolewa naishi maisha ambayo sikuwahi kuishi uko nyuma funga buti mama Mungu yupo Pamoja na ww !Wastara hasumbuki

  • @esterlatiniel9948
    @esterlatiniel9948 5 лет назад +15

    nakupenda aunt hauna dharau kama wasanii wengne wanaodharau waandishi wa habari

  • @yuzotv458
    @yuzotv458 5 лет назад +74

    mtangazaji uko poah sana kuuliza maswali yenye point.👏👏👏.

  • @dayanerrichy9842
    @dayanerrichy9842 5 лет назад +6

    big up kwa muulizaj wa maswal

  • @hamishamis9905
    @hamishamis9905 5 лет назад +14

    Hee kumbe anti Ezekiel mzuri loh" mtoto wa kibongo weeeee

  • @elialucas6140
    @elialucas6140 5 лет назад +10

    happy birthday to you cookie

  • @sheysarahnjeno9326
    @sheysarahnjeno9326 5 лет назад +10

    Nakupenda uant.kiukweli mmeachana sjapenda

  • @catenzeki678
    @catenzeki678 5 лет назад

    Napenda interview zote za Aunty Ezekiel.Hua anajibu maswali kwa ufasaha saaana.Big up dear

  • @blackisgold1200
    @blackisgold1200 5 лет назад +5

    She’s beautiful baby. Only that the mother dosent sound responsible

  • @shirimacambodia184
    @shirimacambodia184 Год назад

    Hongera sana kwa majibu yaliyotukuka dada.Nimebarikiwa kwa majibu yako ya hekima sana.

  • @christsflowe.r
    @christsflowe.r 5 лет назад +8

    Cookie is so beautiful❤️

  • @rhouzieosore5143
    @rhouzieosore5143 5 лет назад +1

    Happiest Belated Birthday Princess Cookie

  • @irenepatrickdavid5891
    @irenepatrickdavid5891 5 лет назад

    Waandishi wa sikuhz hamjui wajibu wenu khaaaaaaaaaa.....🙌🙌🙌🙌🙌

  • @sureiamboo
    @sureiamboo 5 лет назад +10

    This presenter is doing good , keep up young man !

  • @barkembarak9270
    @barkembarak9270 5 лет назад +36

    U are looking good my dear

  • @yoooyooo4270
    @yoooyooo4270 4 года назад +4

    love cook na mama ake 😍

  • @nurudovino288
    @nurudovino288 5 лет назад +3

    Ndio maan watoto huwa wakikuwa hawawapendi wababazao kisa tabia za babazao Mungu nikuzie mwanangu na mie😍

  • @sarahwawuda7638
    @sarahwawuda7638 5 лет назад +2

    Aunt nakupenda sana....mmependeza

  • @sk-wj9or
    @sk-wj9or 5 лет назад +25

    Nimekupenda.
    You hv changed.
    Naagiza Mama kukuunga mkono

  • @frijeniasumbai9847
    @frijeniasumbai9847 5 лет назад

    Love you aunt....naienjoy jina la mtoto wako cookie...hahahaha

  • @graceedward3334
    @graceedward3334 5 лет назад +2

    Wooooooow lik it an maswal.majib yote qonk

  • @masudimwana6107
    @masudimwana6107 5 лет назад +1

    Mashallah umependenza namwanao

  • @yudithamchome5046
    @yudithamchome5046 5 лет назад +1

    U'r my everything😘😘😘😘😘

  • @laurenciamushi8727
    @laurenciamushi8727 5 лет назад +4

    HAPPY BIRTHDAY COOKIE

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966
    @fatumaramadhanmashaallahal9966 4 года назад

    Mashaallah tabaraka llahu upendeza

  • @sifamugwaneza1178
    @sifamugwaneza1178 5 лет назад +15

    Nampenda san my lovely sister #AuntyEzekiel

  • @avagalslay985
    @avagalslay985 5 лет назад +3

    Mie na dada zangu tushawahi kupiga picture na aunt Ezekiel I love you aunty😘

    • @fettyRamadhani
      @fettyRamadhani 5 лет назад

      Mohammed Nassor hahaha wabongo bwana

    • @avagalslay985
      @avagalslay985 5 лет назад

      Wewe fetty kama ulikuwa hujui mimi ndio mbongo haswa upo nyonyo 🙅

  • @joycematonya1241
    @joycematonya1241 5 лет назад +10

    honger aunt kwa kukuza the cute baby

  • @mourinenekesah4002
    @mourinenekesah4002 5 лет назад +1

    so cute mum cookie

  • @joycematonya1241
    @joycematonya1241 5 лет назад +6

    nakukubali san aunt na mwanao

  • @beathahillu9926
    @beathahillu9926 5 лет назад

    Happy birthday cookie mmependezaaa

  • @fatmaissa6681
    @fatmaissa6681 5 лет назад +68

    Alichokiongea cook ,,Na mlichokiandika hapo juu ni tofauti kabisa waandishi hv mna nini lakn ??

    • @neemalkiswaga6126
      @neemalkiswaga6126 5 лет назад

      Hawajielewi

    • @hilarymafole6638
      @hilarymafole6638 5 лет назад

      Hawana akili hawa jamaaaaa

    • @patriciaemanuel3252
      @patriciaemanuel3252 5 лет назад

      Iyo inaitwa attention getting devices Kazi yake kubwa ni
      Kuhakikisha tunavutiwa kuisoma habari au kuiview video

    • @fettyRamadhani
      @fettyRamadhani 5 лет назад

      Fatma Issa na sisi tuache umbeya

    • @barakakaduma8803
      @barakakaduma8803 5 лет назад

      Fatma Issa Yani awa watu ni baraa kichwa cha Habari ni tofauti kabisa.

  • @jeremiahjoseph2794
    @jeremiahjoseph2794 4 года назад +3

    Mwandish acha usenge sasa mtoto katoa sir gan hapo??fala wew

  • @junemuchiri609
    @junemuchiri609 5 лет назад +6

    This chiq is cute and mature n intelligent,what do men really want???😭😭😭😭

  • @hasnasaif1075
    @hasnasaif1075 5 лет назад +8

    Umzuri mamy

  • @mimaakenirram1405
    @mimaakenirram1405 5 лет назад +74

    kumbe mmeachana kweli jamani nilikuwa nawapenda sana

  • @gloriachristianshirima5001
    @gloriachristianshirima5001 5 лет назад +6

    Wanaume was kibongo
    Wanatesa na kunyanyasa wake zao ndo maana MTU akiachwa anakuwa huru

  • @lovenesselisante6035
    @lovenesselisante6035 5 лет назад +28

    black is beauty😘

  • @rehemasaid6876
    @rehemasaid6876 5 лет назад

    Kwakeli mm mwenyewwe nimeipenda sana mama hongera sana ant

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 года назад

    Hizi media zinaingilia mpaka kuwauliza watoto mambo ya familia hii siyo vizuri

  • @lawratakida4821
    @lawratakida4821 5 лет назад +9

    Mbona watangazaji mnakua waongo kichwa cha habari ni tofauti na tukio lenyewe

  • @peninahmutua2396
    @peninahmutua2396 5 лет назад +4

    HBD Cookie

  • @joleenmasha
    @joleenmasha 5 лет назад +10

    yaani kweli mumewachana duuuu mbaya sana nikosa gani kubwa lenye lilitokea mpaka kusamehana ikawa haiwezekani jamani mbona mungu sisi atusamehe kila siku lakini sisi binadamu hatuwezi

  • @azizalazri1283
    @azizalazri1283 5 лет назад +5

    Jamani mrudiyanee tuuuu mbona yule Kk nimtulivuu sana alafuu mlipendezenaa vibayaa sana

  • @annakashelo8519
    @annakashelo8519 5 лет назад +12

    Anty nakupenda sana pia unajua sana kujibu maswali

  • @safiyashabani8717
    @safiyashabani8717 5 лет назад +14

    Nakupenda sana uko mkweli

  • @safiyashabani8717
    @safiyashabani8717 5 лет назад +3

    Maasha'allah

  • @fatimamwamjibu7661
    @fatimamwamjibu7661 5 лет назад +4

    Smart Aunt na Cookie

  • @user-dw2yu9en2d
    @user-dw2yu9en2d 11 месяцев назад

    Omulimu omulunge by lily

  • @shukranswai9701
    @shukranswai9701 5 лет назад

    Huo msautiii khaaaa mbayaa

  • @user-dx5lz6du4y
    @user-dx5lz6du4y 5 лет назад +9

    Ww anti rudi kwa mumeo acha mumependeza sana hao wanaume mwengine wanakufata fata wanakudanganya tu moze ndio anakupenda

  • @denispaul3744
    @denispaul3744 4 года назад +2

    Hbd cookie

  • @jeniferlukas7346
    @jeniferlukas7346 5 лет назад +3

    Ukweli sina lakusema,,mana raha yangoma uingie ucheze,,,daaah mlipendeza,,niliwapenda jaman,,cjui kwann mmeachana,,daaah

  • @aminaburundi5210
    @aminaburundi5210 5 лет назад +10

    Happy Cook nagupenda mutoto muzur

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 4 года назад

      Haha Amina hata mim nampenda kazur watu waliumbukaga Zaman wakat mama yake hamuonyeshi wakasema mtoto mbaya nini kamfuata sura baba yake walivyokuja kumuona wakashangaaga kila mtu akasifia mtoto mzur mzur nikasema binadam nyie

  • @tinabellafashionz
    @tinabellafashionz 4 года назад +1

    Nice 🌸🌸

  • @pascalrichard742
    @pascalrichard742 5 лет назад +5

    nice I LOVE YOU

  • @estherqueen5382
    @estherqueen5382 5 лет назад +8

    Exactly. Mama cookie

  • @neymermponde7810
    @neymermponde7810 5 лет назад +2

    Nakupenda Sanaa

  • @beatricekamengekamenge5543
    @beatricekamengekamenge5543 5 лет назад

    Hongera sanaa ant ww nijembe

  • @munalook4477
    @munalook4477 5 лет назад

    Comments mum thanks aunty Ezekiel.mungu akubarikie family yako mum.but naomba mkuwe na usiano mwema kwa Baba mtoto wako.namanisha hivyi mum kama Baba mtoto anakusaidia kulea , imagine ni Bora Mimi kama mm nimezaa na mtu hata maji kuletea watoto wake ni Ngoma.mungu aibaliki hio usiano aunty na usindisshe maombi kwa mola

  • @felisterjames1127
    @felisterjames1127 5 лет назад +5

    Iv jina lako halic nanai?

  • @SuperKibwana
    @SuperKibwana 5 лет назад +12

    Powerful message to mothers for sure.

  • @rogathengowo1099
    @rogathengowo1099 5 лет назад +6

    Mtangazaji ana jisauti libaya ila anauliza maswali konki sana salute kwako Kaka

  • @piusmwachuvaka3490
    @piusmwachuvaka3490 5 лет назад

    Nakupenda uant huwezi amini na pia napenda sana kazi zako mungu akusimamie kwenye kazi zako

  • @aminadulle7797
    @aminadulle7797 4 года назад +1

    Sauti ya huyu mtangazaji nmeipenda jmn

  • @wahidamuhamed9518
    @wahidamuhamed9518 4 года назад

    Hongera sana kwako mama na mtoto

  • @lisanide6339
    @lisanide6339 5 лет назад

    NAKUPENDA SANAAA AUNT EZEKIEL UNAJIELEWA NA UNAJITUMA NA UNAJUWA THAMAN YAKO NA YA MWANAO

  • @omaryadamn4560
    @omaryadamn4560 5 лет назад

    Aunt mwanzo nilikua sikukubali kabisa ila baada kua na mtoto umekua tofaut kabisa afu unatumia busara nakupenda sana

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5 5 лет назад

    Ongeza kapili jamani watakupa furaha hao baadae. Hbd cocky

  • @antiaosward9283
    @antiaosward9283 5 лет назад

    Love u mama cokie

  • @zabibunduwimana4612
    @zabibunduwimana4612 5 лет назад +1

    Mama Cookie anajielewa sana

  • @paulinekababa524
    @paulinekababa524 5 лет назад +1

    mashallah

  • @stellafungo9711
    @stellafungo9711 5 лет назад

    Kumbe. Mmeachana jamani Poleni Sana eheee

  • @grecehuyukibanishida5595
    @grecehuyukibanishida5595 5 лет назад +30

    kusema kweli nakuomba aunt ezekili rudi kwa mumeo

  • @alphaswai5847
    @alphaswai5847 5 лет назад +1

    Nice ant

  • @sophiamtaita7416
    @sophiamtaita7416 5 лет назад

    Mastaa hv mnapepo gani hamkali mkatulia na wanaume mliozaa nao mnataka kilamtoto awe na baba yake mnaona ndiosifa acheni ushamba kama mlikua hamtaki kuishi wato mnachanua miguu ya nini ushambamtupu mtakua mnazaraulika kilasiku 😎😎😎😎😎😎😎

    • @jenfan8781
      @jenfan8781 5 лет назад

      Sophia Mtaita acha kuhukumu watu mama
      Coz wew mwenyew n mwanamke cha msingi n kuomba tuuu

  • @kidawaramadhan2801
    @kidawaramadhan2801 5 лет назад

    Du!! Mllikuwa mnapendeza sana na moze.

  • @christinamnyili627
    @christinamnyili627 3 года назад

    Umependeza mama Cookie