TAZAMA MASHA LOVE AKIZAWADIWA GARI NA MOSE IYOBO/WAFUNGUKA KUHUSU MAHUSIANO YAO/MAHABA YAONEKANA

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 62

  • @saydathyhakizimana9348
    @saydathyhakizimana9348 Год назад +2

    Apana ntaamini juma lokole niakikishie nikweli iyozawadi ama nikiki👌

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Год назад

    Mashaallah...Masha ringia rangi alokupa Mungu...

  • @ashleynatalie3872
    @ashleynatalie3872 Год назад

    So You have started like Diamond and Zuchu aty sisters and brothers... God is watching chaaiiiiiiiiiii.

  • @Rose-ue2ho
    @Rose-ue2ho Год назад +3

    Huyu Mose bado anampenda aunti zeikel na anafanya hivi amuonesha..anatumia nguvu nyingi kumuonesha aunti😂

  • @Rose-ue2ho
    @Rose-ue2ho Год назад +1

    6:46 eti sister wangu😂😂kweli ni sister kwa sauti yake tuu inaonesha ni sister😂

  • @Thebaddest255
    @Thebaddest255 Год назад

    Hovyoooo 😂😂😂 brother wake kipenzi Mbona 😂😂

  • @wardadimoso6649
    @wardadimoso6649 Год назад +1

    Wasanii wahong hiyo sigari ya siku zote ya masha

  • @FatumaMamlo-st8pj
    @FatumaMamlo-st8pj Год назад +3

    Mose anawazazi kweli au wameshatangulia maan kwa mwanamke huyo japo kupenda maradhi ila hapo siungi mkono kabisa khaa mwili kutwa upo bila msitu wa hifadhi mazingira minapita tu😂😂😂😂

  • @fatumakassim64
    @fatumakassim64 Год назад

    Mmmh kwaiyo mapenzi

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 Год назад +2

    Kiki za kipuuzi...yaani ukitaka kufanya kiki mtafute masha.. 🤣🤣

  • @kissamwamunyange1018
    @kissamwamunyange1018 Год назад

    Nyie Kiki Hz watanzania MUNGU anawaona

  • @hawaomary8486
    @hawaomary8486 Год назад

    Bwanake

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 Год назад +2

    Uongo tu kiki zenu mastar 😂😂😂😂😂😂

  • @dalyat3537
    @dalyat3537 Год назад

    Next time mujaribu kupeana plot atlist mtu apate kueka msingia wa kesho

  • @Makole17Makole17
    @Makole17Makole17 Год назад +1

    Hii ndo sauti yake mose😂😂😂.....ivi magari sh.ngp😢,, mbn me cnunuliwi😅

  • @user-tq2rk8jw3s
    @user-tq2rk8jw3s Год назад

    Atari sio kwa penz jipy hiri

  • @Official83640
    @Official83640 Год назад +6

    Asubutu sauti ya Mose imeenda Turkey ama😂😂😂

  • @naomikyonike2359
    @naomikyonike2359 Год назад

    Ila mapenz bana

  • @rittaoman1460
    @rittaoman1460 Год назад

    Eti kaka subutu juma juma uku kunajambo 😅😅😅

  • @filimonmpinge6039
    @filimonmpinge6039 Год назад +2

    Yaani kweri moze laana ya ant Ezekiel inakutafuna ivi hujaona wanawake wote

    • @amanimapenzi571
      @amanimapenzi571 Год назад +1

      Wewe wacha upuzi!!! Laana ???? Wajisikia? Nikuulize ulisikia wapi mke anauwezo wa kulaani mumewe???? Alafu hivi huyu moze hafai kuoa tena ! Aaaaaah nenda ukajifunze mwanzo tofauti ya L na R

  • @DeeLugaila-rp5yr
    @DeeLugaila-rp5yr Год назад

    Uongoooo bhn me stakiiiiiii😂😂😂😂😂

  • @Thebaddest255
    @Thebaddest255 Год назад +2

    Moze hivi we mwenyewe una gari 😂😂 watoto aunty anakutunzia😂

    • @speciosermusika2009
      @speciosermusika2009 Год назад

      Anti yeye hataki Moze amhudumie mtoto anasema Kusah 😂😂atahudumia mtoto.

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 Год назад

      ​@@speciosermusika2009 pia alishasema alipoamua kuzaa mtt alimtaka yy km yy kwahiyo atahudumia

  • @firdausbakari7341
    @firdausbakari7341 Год назад +1

    Sauti ya mose vipi😂😂

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel Год назад

    Ivi moze iyobo ww si ulikuwa unakuwaga unamutusi kusa ona sasa kwenye ulienda angukiya du kwa huyo masha ronge weye

  • @husseinkhatiib333
    @husseinkhatiib333 Год назад

    Hii pambesanaa😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @PriscaPhedrick-pl6ve
    @PriscaPhedrick-pl6ve Год назад

    Wakujiongopea hao

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Год назад

    Tz bwana rahaaa sana😂😂😂😂

  • @saurasoso1543
    @saurasoso1543 Год назад +1

    Ivi na nyinyi mnaamini haya maigizo jamani khaa watu wanajua kutumia fulsa y kiki. Sasa mose iyobo wa kutoa gari kwa masha kweli akati cookie ada tu hapewi 😂😂 ivi kwani mose hana Dada au mdogo wa kumpa uje uumpe girlfriend 😂😂😂

  • @KhadijaHamadi-dp5pe
    @KhadijaHamadi-dp5pe Год назад +6

    Hz gar wanaokotaga wapi jaman😂

    • @mwinjemwinje1016
      @mwinjemwinje1016 Год назад

      Me mwenyewe nawazaga 😁😁

    • @africandarling6925
      @africandarling6925 Год назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yani aaahhh sie wengine tunajituma miaka na miaka atagari ya milioni kumi 10 hatuna jamani Aaaahh

    • @josephassenga3741
      @josephassenga3741 Год назад

      @@mwinjemwinje1016 aaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @rosetembe3785
    @rosetembe3785 Год назад

    Limasha lizuri sema linatoa fahamu tu

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du Год назад

    Tumechoka na uongo wenu. Wee moxe wemwenye pangu pakavu

  • @salmatanza8133
    @salmatanza8133 Год назад

    Moze kitakukuta kitu we nengeneka

  • @user-oz6rj5le4e
    @user-oz6rj5le4e Год назад

    Sauti kama chokuu

  • @CesiliaMaganga-pl2tw
    @CesiliaMaganga-pl2tw Год назад

    Kiki iyoo

  • @amosijacques9951
    @amosijacques9951 Год назад

    😂😂😂😂

  • @maidamwaipopo9603
    @maidamwaipopo9603 Год назад +1

    Tutajua tu kinachoendelea chezea Masha mbona atakinukisha mbona

    • @jenipheraron3566
      @jenipheraron3566 Год назад

      It's all about kiki😅😅u know war am sayingggg?

  • @rahmawabeatus6735
    @rahmawabeatus6735 Год назад

    ,😂😂😂😂

  • @jenipherseleman7752
    @jenipherseleman7752 Год назад +1

    Kiki

  • @souvenirweber7169
    @souvenirweber7169 Год назад +2

    Hivi kuna laana gani kwa wasanii wa Tz kutojielewa?? Mtoa gari mkatika kiuno katika show ya wasafi na hana maisha kapanga nyumba maisha ni bora ya kisanii bila kupambania nyumba yake, na mpewa gari mchezesha matiti kwanini magari yatolewe kama karanga kujionyesha kwa tulio na akili hii ni Hovyo

    • @FatmaHamid-uj7bj
      @FatmaHamid-uj7bj Год назад

      kupanga nyumba hamainishi huna ela bali ni staili tu ya maisha mtu mwenyewe kajichagulia ukitaka mifano ipo mingi

    • @tunsumejohnjohnmwalaba4719
      @tunsumejohnjohnmwalaba4719 Год назад

      Tunapanga lakin tumepangisha bwana

  • @user-mo9nm2vv8l
    @user-mo9nm2vv8l 6 месяцев назад

    This was prank 😅

  • @MaryNgoi-
    @MaryNgoi- Год назад

    Sister🤣🙌🏻

  • @swariotibi6134
    @swariotibi6134 Год назад

    😂😂😂

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 Год назад

    Acheni kupotosha watu

  • @dalyat3537
    @dalyat3537 Год назад

    Wa bongo nyie kama machizi vile magazine ndio mafanikio yao

  • @user-oz6rj5le4e
    @user-oz6rj5le4e Год назад

    Sauti kama chokuu

  • @user-gn2wz2os4f
    @user-gn2wz2os4f Год назад

    😂😂😂😂😂

  • @wlkmwlkm2174
    @wlkmwlkm2174 Год назад

    😂😂😂😂